Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Hivi kwanini kila anayempa hela insider lazima aiweke kwenye bahasha hizi bahasha wanazitoaga wapi?
Haya ni makasiriko na wivu utakufa kihoro.
Aliyopewa na Iryn dola ilikuwa kwa bahasha na aliyorudishiwa na Mtoto wa Tanga akakataa.
Alafu ule ni ustarabu kwa walio starabika
 
Kama INSIDER Hanaisha na mam j mbaka leo kwa amani basi ndoa sio ngumu
 
Maana mzee Pama,mama Janeth ,Jane ,iryn muda wote lazima waingie ndani watoe hela wampe insider kwenye bahasha haiwezi kuwa chini ya million

Hata mimi kama nampa mtu pesa nyingi lazima niweke kwa bahasha kama nikikosa nafunga hata kwenye karatasi, au natengeza bahasha kwa kutumia stapler na pin.

Watu wenye pesa huwa hawakosi bahasha ndani sababu wanazipatia sana bank, nknk. Kwanza ndo ustaarabu mzuri kuweka pesa kwenye bahasha, hata mimi sikosi bahasha ndani na sina hela, sembuse tajiri mwenye pesa?

Swali lako ni la kijinga sana
 
Chief story unamalizia lini???

Amesema tareh 1.11.23 saa 4 usiku sijui

Kwakweli mimi saiz nimeamua kwenda na flow ya mwandishi akipost hayaa asipopost sawa pia[emoji23] kuna muda inakua kama tunambembeleza/tulazimisha apost ili kumaliza story lakini kwa upande mwingine nae ana majukumu kazi, familia plus personal things hawez kukaa tu awaandikie nyie story kwa faida gani mnayompa??(hapa kuna watu watalipuka)

nachojaribu kusema ni kwamba mwacheni afanye anaachona yeye sawa uzuri siku hazigandi yani hata akisema atapost mwakani siku itafika tuu[emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…