Nimependa sana hii mimi tangu nikute vya kukuta kwa mume wangu yani nimeacha kabisaaaaa kumtarajia yani siku hizi yalaaaa mwanzoni ndio nilikua na kumuhu muhe siku hizi naangalia tu yaani sitarajii na najiona navyokua na amani simchukii, simuamini na sitarajii chochote [emoji3][emoji3][emoji3] sana sana nikiona jambo kwa uwazi nacheka alafu namwambia oyaaaa grow up nyau wewe una majukumu kibao aafu magonjwa kebekebe na umala...ya huuwezi tulia yaani kisela tu anainama chini kwa aibu imeisha hiyo nimeacha kulalamika, nimeacha kumfwatilia wooiiiiii[emoji119][emoji119]