Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Hakika MUNGU anamakusud na ww mkuu,, nikuombe tu usisahau kutuletea mlejesho wa mtt akizaliwa na ulimuowa kabsa lryn Kwa ndoa? Na ulifanikiwa kumtambulisha kijacho au vip,, big up insider na ujuwe tu lryn tumemla ote Kwa kuemagine hahahahahah
Insider anazingua eti anajifanya anampenda Sana Mama J wkt anampiga matukio mazito nyuma ya Pazia aoe tu Iryne ili awe bilionea halafu Mama J awe nyumba ndogo Anashindwa kutumia AKILI??papuchi tu ya Mama J kuipata mpaka aandike barua kwa mjumbe
 
Mtu hajaoa halafu anasema dini hairuhusu? Kwa hiyo dini inaruhusu kuwa na mchepuko?
Hapa kazinguq Sana japo mwenyewe anasema Mama J akimaliza Chuo ndo wataoana Ila atakuwa wa kwanza kumtosa mtu Tena angemwacha apate mtu sahihi.Insider sio mtu sahihi kwa Mama J kwa matukio aliyopiga.Nimesema ukweli insider Njoo uniue sasa
 
Hapa kazinguq Sana japo mwenyewe anasema Mama J akimaliza Chuo ndo wataoana Ila atakuwa wa kwanza kumtosa mtu Tena angemwacha apate mtu sahihi.Insider sio mtu sahihi kwa Mama J kwa matukio aliyopiga.Nimesema ukweli insider Njoo uniue sasa
Halafu na sisi wanawake bwana, unakaaje na mtu miaka rudi hamna ndoa na wewe upo tu. Hajui binadamu kugeuke ni sekunde tu
 
Yuko ukonga kivule na ni jirani YANGU.
Haya anayoandika HAPA kuna muda nikimuona naishia kujisonya na kumsonya ni vile tu sitaki kumuambia.

HUYU anaemuita iyrin kuna sehemu namuona nae na picha nimempiga bila kujua,,,akisema suu naituma HAPA.
Kuhusu Mama j ni mtu anaeniheshimu na rafiki wa mke wangu na picha zake ninazo na akisema suu nazituma.


Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Sidhani Kama unasema kweli
 
ni njaa na umasikini hajitambui na yuko cheap he has price hapo atokeee mtoto wa mama janet kumpenda na ampe ela zaidi au kama irene atatoka nae hana tofauti na kujiuza he is a valueless man hana pride mwili wake na hisia zake ziko sokoni
Hapana sidhani bht aliyopata hata wewe unaitaka
 
Halafu na sisi wanawake bwana, unakaaje na mtu miaka rudi hamna ndoa na wewe upo tu. Hajui binadamu kugeuke ni sekunde tu
Hii inatokeaga Sana hasa ukishazalishwa unajua Soko la mwanamke akishazaa ni gumu Sana ona hata humu kejeli za Wanazengo ni Single mothers tupu so unavumilia matukio ukiamini ipo siku ataamua mfunge ndoa.ndo Hali ilivyo But wanawake wengi wanaangukia hapa kulea
 
Kama Mtu mzima nina point kadhaa kwa INSIDERMAN

1.Usimuoe Iryn kabla ya mama J
2.muda mwingi utakua unautumia na Iryn..maana utakua unafanya nae kazi..angalia hapo namna ya kubalance

3.Inaonekana Love yako ni kubwa kwa Iryn kuliko kwa Mama J..angalia namna ya kurekebisha hilo...


Usisahau awali ni awali hasa kama hajakufanyia baya...justification za kunyimwa dudu na mama j ..kwa ajili ya prisca ni Irrelevant..tafuta constructive reasons umconvice huyo mama..plus matendo atakuelewa

Naona kama unaenda speed huu upande wa Iryn na it worried me ( ie..Ndoa plus mtoto wa pili huku nyumbani hukuwa hizo plans) hili nalo kalifanyie kazi...

Mtoto akizaliwa nje ya mahusiano...sio kitu kigeni..ni jukumu lako kama mwanaume kubalance..misimamo na utafute hela kweli kweli mkuu...!

By the way hii story ukipata director mzuri....tunaiuza Azam...
Yaani insider ALISEMA wkt Hana kitu siku zile anasoma Mama J alikuwa anampiga tafu Ila anesahau hata lyne kampiga tafu kuliko mama J Kama point kuu ndo Hiyo na wote Sasa watakuwa sare kwa.kuwa na mtoto naye.Ushauri awe.na Iryne kwenye Maisha Mama J atatusamehe Mana Insider Sasa ni wa viwango vya Paris Dubai..wanaume wapo wengi amwache insider afurahie miujiza wake na lryne
 
Sio kila kitu lazima kusema....
Iryn alijijua ni mchepuko toka mwanzo basi endelea kumficha.
Subiri hata uzeeni huko ndo uje ulipue hilo bomb,
Otherwise kuwa tayari kupoteza mmojawapo, na ukimpoteza mama J hata Irene huwezi kumfaidi sababu hakai bongo na ana mambo yake, utakua unatanga tanga tu mjini Daslam bila stability.
Ushauri mbaya huu Iryne awe mke mama J awe Bonus
 
Mwanaume una njaa kali, huna pride, u are cheap and easy japo stori ya uongo ila inakera
Wewe utakuwa ndo Prisca story inakera?? Umetumwa Usome?? Mastory yaliyojaa humu unasema story inakera are you crazy?????
 
Kuna kitu nilisahau kumuuliza Insider. kuhusu mke wa Mzee Pama .Je alipogundua Mumewe kamjengea mchepuko Nyumba na mimba juu mapokeo yake yalikuwa tu positive mpaka mgawanto wa Mali keep sa ru yupo kwa Will au ilikuwaje?Mana Insider umepotray as if Yule ma
Hakuna lililomshtua Tena michepuko miwili Je hali.ilikuwaje na Kama alikuwa poa tu why? Mana nakumbuka aliwahi kukuita kuhusu ni muda gn umefahaniana na Jane
 
Very very complicated... ukisikia miluzi mingi humpoteza mbwa, basi ndo hii. yote kwa yote Mungu ndiye mpangaji wa yote...
 
Back
Top Bottom