Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Punguza makasiriko dada, Insider hana cheti cha ndoa ila anaishi na mwanamke ndani. Bado anaweza kuoa Iryn maamuzi ni yake.Pamoja na yooote huyo IRYN wako ni malayer kama malayer wengine wanaoingilia ndoa za watu! Ila kwa vile ni boss wako na ana pesa basi unaona hakuna kitu anaharibu pamoja na kwamba una mke na mtoto, hivi unafikiri mkeo akijua mahusiano yenu yatakuwa the same? Aahhh umbwa kabisa takataka
Ndoa ni cheti dada, wote ni sawa 50-50. Usikute hata wewe hapo ni mchepuko wa mtu ila hujui.Kwa vile we bado ni mtoto huoni cha kupoteza na hujui madhara yanayokuja baada ya wawili waliozaa kutengana na kiasi gani mtoto anaathirika kuoa sio cheti, kwa maisha anayoishi Insider na mama j hiyo ni ndoa..kasome aina za ndoa. Ni sawa anaweza kuoa, unafikiri iryn kwanini ajihesabie kuwa sahihi kuharibu ndoa ya mwanamke mwenzie na sio kina Asmah na prisca?
Hizo aina za ndoa nazifahamu lakini haina nguvu kama kumiliki cheti cha Ndoa. Ikitokea Insider kaondoka Duniani mama J atakosa nguvu ya kudai mali. Insider mwenyewe mpaka sasa anaweza kuoa amtakaye na hakuna wa kumzuia.Haijawahi tokea, nikufumbue macho enda soma aina za ndoa urudi hapa kama haujalelewa kwenye moja kati ya aina hizo za ndoa....nimelelewa kwenye ndoa ya baba na mama angu nami nalea wanangu kwenye ndoa yangu na mume wangu pole weee
Uko Dunia gani?, ndo nyie tuliokuwa tunabishana kuhusu kubeba pesa kwenye flight.Boy, hivi perfume inapanda ndege siku hizi?.
ExactlyBETTER LATE THAN NEVER 🙌🏿🙌🏿
Atadai mali ipi?. Wakati yeye mwenyewe Iryn ndio mali?Hizo aina za ndoa nazifahamu lakini haina nguvu kama kumiliki cheti cha Ndoa. Ikitokea Insider kaondoka Duniani mama J atakosa nguvu ya kudai mali. Insider mwenyewe mpaka sasa anaweza kuoa amtakaye na hakuna wa kumzuia.
Hongera kwakulea watoto lakini nakwambia hakuna Mwanaume mwenye demu mmoja hapa Duniani, inauma lakini ndo ukweli huu nakupa.
Bado mkuuYule dem wa car wash kule mbweni vp ?? Alikucheki ?
Boy, hili nalo la kudiscuss?Boy, hivi perfume inapanda ndege siku hizi?.
Hapana ndugu yanguIla insider km mbususu umezisugua ni hatari Ogopa....
Ukweli wa too late??siyo vizuri aisee wanaume wengi huwa mnakosea sanaa hapaa mueleze mtu ukweli kabla hujala mbususu yake ili akupe mbususu akiwa anajua anampa mume wa mtu au mwanaume ambaye mbeleni anaweza geuka kuwa mumeweeeHapa umefanya vyema kumweleza Prisca ukweli wako, maana itakufanya kuwa huru!
Lini perfume ilikuwa haipandi ndege?Boy, hivi perfume inapanda ndege siku hizi?.
dyuuuuuu mfano fkil wew ndo iryn alaf umependa ukun wang inakuaje hapo na unajua nna mke na mtoto naushaupendaPamoja na yooote huyo IRYN wako ni malayer kama malayer wengine wanaoingilia ndoa za watu! Ila kwa vile ni boss wako na ana pesa basi unaona hakuna kitu anaharibu pamoja na kwamba una mke na mtoto, hivi unafikiri mkeo akijua mahusiano yenu yatakuwa the same? Aahhh umbwa kabisa takataka
mwendelezo saaaaa ngap kakaBado mkuu