So kutokana na descriptions hapo juu niliyemwona ni yeye insider au sio yeye??ππππ
Mkaka flani msafi sana
HB flan
Mwenye pozi zake za kutosha.
Kifupi mwanamke wa kupangua gia zake labda awe ameokoka ki kweli kweli
Umalaya tu .....ππππππππ
Mkaka flani msafi sana
HB flan
Mwenye pozi zake za kutosha.
Kifupi mwanamke wa kupangua gia zake labda awe ameokoka ki kweli kweli
Asante kwa kushirikiUmalaya tu .....ππππ
Wewe ulimuona yupi?So kutokana na descriptions hapo juu niliyemwona ni yeye insider au sio yeye??
Kaka sijawahi tumia Samsung katika history ya maisha yangu. Kama unataka kuniona uwe unatega NBAA mostly nakwenda pale kujisomea.Kuna sehemu nimekuona Insider, prove me wrong kama sio wewe kwanza kimo chako cha kati sio mrefu wala mfupi upo kawaida, ni mweupe kiasi chake. Na ulikuwa unatumia simu ya Samsung model sikujua ila kama sio Note something basi ni S series ambazo zina Pen
Malizia awe mzuri kuzidi Iryn hapo ndo ntaruka nayeπππππ
Mkaka flani msafi sana
HB flan
Mwenye pozi zake za kutosha.
Kifupi mwanamke wa kupangua gia zake labda awe ameokoka ki kweli kweli
Basi nilikuwa addicted sana na story yako mpaka nikakuimagine in real life, tunasubiri mwendelezo wa story muda wore jicho lipo humu.Kaka sijawahi tumia Samsung katika history ya maisha yangu. Kama unataka kuniona uwe unatega NBAA mostly nakwenda pale kujisomea.
Acheni shobo, mtakuja kutapeliwa na kubakwa kisa hizi story za uongo humu JF.Basi nilikuwa addicted sana na story yako mpaka nikakuimagine in real life, tunasubiri mwendelezo wa story muda wore jicho lipo humu.
Asante kwa kujazia point πMalizia awe mzuri kuzidi Iryn hapo ndo ntaruka nayeπ
Kwaiyo insider ni Mzee wa kugawa wastani kwa idadi....nimeipenda iyoAsante kwa kujazia point π
Ila wengine walikuwa hawamfikii boss lady na bado ukagawa wastani kwa idadi. Never say never
We hujaonaa?Kwaiyo insider ni Mzee wa kugawa wastani kwa idadi....nimeipenda iyo
Kwakweli anajitahidi....We hujaonaa?
Nbaa ni sehem gni mkuuKaka sijawahi tumia Samsung katika history ya maisha yangu. Kama unataka kuniona uwe unatega NBAA mostly nakwenda pale kujisomea.
Hii imepita bila ubishi boss wanguπHaha wakikutag ba miki nitag
Acheni shobo, mtakuja kutapeliwa na kubakwa kisa hizi story za uongo humu JF
Njoo nikushobokee wewe basi uridhike, unadhani kila mtu ni mjinga mjinga kama uliowazoea? Hii story naisoma for fun na the same kwenye kucoment so unadhani waliosema walimuona Irene ni kweli au wanachangamsha Uzi tuu??? Same to me just kuchangamsha uziAcheni shobo, mtakuja kutapeliwa na kubakwa kisa hizi story za uongo humu JF.
Google Mhasibu houseNbaa ni sehem gni mkuu