Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Arsenal akichukua ubingwa J2, nitapost picha nikiwa na Iryn kwa dakika 1 na nitaifuta. Otherwise tukutane kesho kwa chapter 10 ✅
Screenshot_20240425_135707_WhatsApp.jpg

INSIDER MAN we tu bless tu
 
SEASON 02:
CHAPTER 10

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

Mimi nilikwenda kuoga na baada ya kutoka washroom nilikuta Iryn hayupo na mimi nilijua ameondoka kurudi kwao, ni wivu wake ulikuwa una msumbua. Pale kitandani kulikuwa na karatasi nyeupe ameiandika na niliichukua ili nisome alichoniandikia.

CONTINUE

Baada ya kusoma ile karatasi alikuwa kaandika hivi,

"Congratulations, my love! Argentina's victory in the World Cup is a testament to their incredible teamwork and skill. I'm so proud of you and your team for achieving this remarkable milestone. Let's celebrate this historic moment together! Vamos Argentina.❤️”

Niliishia kusonya tu pale maana alikuwa kasha-niharibia usiku wangu na muda huu Jimmy alinipigia simu kupitia whatsapp na nikapokea pale kwa haraka sana,

JIMMY: “Hey bro where the f*ck are you?”

MIMI: “I’m at the hotel, she didn't want me to stay there, so we went back to the hotel."

JIMMY: “I'm sorry brother, Iryn isn't feeling well today. She's struggling with jealousy towards you, but please be patient with her, her pregnancy is causing some confusion."

MIMI: “Hahahahaa! You can't believe we got back to the hotel and then she left me alone.”

JIMMY: “Like I said, bear with her, her mind is not right at the moment."

MIMI: “Thank you brother let me sleep, I’ll see you tomorrow if God wish.”

JIMMY: “Goodnight brother.”

Baada ya kuongea na Jimmy nilijisemea kama shemeji ninae hana noma na hii ni bahati maana alikuwa ananijali sana na alionesha kunikubali since tunakutana pale Tripple 7 Mikocheni. Niliwaza kuhusu Iryn na nilijua ni mimba inamchanganya kwasasa na sio kingine, ila mimi wasiwasi wangu wasije wakamshtukia tu! pale kwao.

Kwa upande mwingine nilifanya mawasiliano na Sumaiya na alinipa taarifa kuwa ameshachukua gari yake tayari, lakini hajui kuendesha na ameishia kuipark tu. Nilimwambia aanze kwenda driving school ili aongeze ujuzi na nilimtumia namba ya mtu ambaye ataweza kumfundisha kwa haraka, ni kule alikojifunzia Jane.

Kwa upande mwingine wife alikuwa kanicheki pia kuulizia maendeleo na siku ambayo nitarudi. Ukweli sikuwa najua muda wa kurudi Tanzania na niliishia kumwambia mpaka kufikia jumanne nitakuwa nimerudi.

****
Kesho yake ambayo ni jumatatu nilichelewa kuamka na ile baada ya kuamka, kucheki muda ilikuwa ni saa 4 asubuhi. Kwa upande mwingine hakukuwa na taarifa yoyote kutoka kwa Iryn wala Jimmy. Niliingia bafuni kuoga na baada ya kutoka nilikutana na missed call 2 za Jimmy na nika-mcall back, akanipa taarifa kuwa wako njiani wanakuja ili twende tukatalii lake Tana.

Baada ya kuwasili na kuni-pick tuliondoka kuelekea upande mwingine wa ziwa ambako ndo tulipata boat ya kukodi na kututembeza ziwani. Tangu wawasili pale hotelini kunibeba mimi na Iryn hatukuwa na maongezi yoyote zaidi ya salamu tu na mimi niliamua kuvunja ukimya. Nilianza kuongea naye na kubwa nilitaka kujua maendeleo yake kwa ujumla kwani alionekana kutokuwa sawa kabisa. Iryn kwa upande wake alisema yuko sawa na niliendelea kumtania kama bado kanuna kutokana na jambo la siku ile.

Ndani ya muda mfupi tulikuwa tuko sawa na story zilikuwa zimekolea na Jimmy alianza kumzingua Iryn,

JIMMY: “Kwanini jana umemtoa Insider bila ridhaa yangu?”

IRYN: “Kwanini ulitoka naye bila ridhaa yangu?”

JIMMY: “Ulitakiwa unishukuru mimi kwa uwepo wangu otherwise Insider angekuwa lonely sana.”

IRYN: “Umemwacha mama mtoto wako kule home umekimbilia kula bata na b*tch zako.”

JIMMY: “Sikumpigia simu aje home ni mama aliyefanya huu ujinga wa kumpigia simu.”

IRYN: “Jimmy you’re my brother sometimes behave like my brother, kumbuka yule mwanamke analea damu yako, jaribu kumpa thamani bhasi. Kila siku nakwambia katika wanawake ulionao hakuna hata mmoja anaemzidi akili Amara.”

JIMMY: “Kuzaa na mimi sio ticket ya kumuoa endeleeni kumdanganya na mama.”

IRYN: “Yaani Jimmy Mungu akusaidie bro, na wale mama watoto zako wengine wanaendeleaje?”

JIMMY: “Wako salama natuma pocket money kwa wakati ndomana unaona hakuna kelele.”

Iryn aliishia kusikitika na akaniangalia maana mimi muda wote nilikuwa kimya kama mpenzi msikilizaji.

Tulikwenda upande wa pili wa ziwa na tulitulia beach na muda huu niliendelea kufanya mazungumzo na Iryn maana ilibidi nimuulize yeye anaondoka lini huku. Kwa upande wake alisema yupo mpaka mwisho wa week hii sababu ana msubiri baba yake na watarudi wote south Africa. Kwa upande wangu niliomba niondoke kesho ambayo ni jumanne lakini aliniomba niondoke jumatano ili tukatembelee kaburi la mama yake tena.

Ofcourse tulikuwa kwenye mahaba mazito sana pale beach na Jimmy akaanza matani kwa Iryn, ni kama walikuwa wanatupiana mpira. Nisema naipenda sana life style yao, wanapendana sana hawa watu balaa,

“Insider dada yangu sijui umempa nini maana unajua kumpagawisha.”

Na tulishia kucheka wote maana Jimmy ni mtu wa matani sana na ni talkative. Ni aina ya mtu ambaye ana story sana na haboi kuwa naye ni mtu mmoja poa sana asee.

Saa 11 za jioni tuliondoka kule ziwani kurudi home na walinunua samaki wa kutosha wa kupeleka home. Baada ya kuwasili home tulimkuta bibi amekaa garden na sisi tulimfuata pale tukaungana na tukaanza story,

IRYN: “Momo! huyu anaitwa Insider mwanaume tunayeongea kuhusu yeye kila siku, ndo huyu sasa.”

Lugha iliyokuwa inatumika ni ki-oromo lakini Iryn alikuwa ananitafsiria.

BIBI: “Juzi nikasema yule mwarabu ametokea wapi tena kumbe ndo mme mwenzangu.”

Na bibi akaanza kucheka, na tukasalimiana kwa kushikana mikono,

MIMI: “Isin attam?” (unaendeleaje?)

BIBI: “Nagaa, maqaan ke eenyu?” (Salama, unaitwa nani?”)

MIMI: “Maqaaan ko Insider.” (Naitwa Insider).

Iryn alishangaa sana kuona nimeweza kuongea na bibi kwa kilugha hata bibi naye alionesha kunifurahia sana. Iryn aliendelea kuongea na bibi pale kwa kilugha na baadae alinambia kuwa bibi anajua kila kitu kuhusu ujauzito wake. Nilishangaa maana niliona Iryn ameanza kuleta masihara,

IRYN: “Baby don’t worry bibi hana shida kabisa na anajua kinachoendelea na leo ndo amekujua ni baba wa hii mimba. Maswala mengine hatujaongea, ila nilimwambia tangu mimba ikiwa changa so usiwe na wasiwasi, sisi ni wake zako.”

MIMI: “Sawa no problem kama unayosema ni ya kweli.”

IRYN: “Huoni pia bibi kakupenda? I know her na amefurahi kukuona.”

Wakati tukiendelea kupiga story kwa upande mwingine Jimmy alionekana kuja usawa wetu huku amebeba bia kwenye trey na tukaanza kunywa pale taratibu. Baada ya dakika 10 hivi ilikuja nyama choma kwenye sinia kubwa na hapa bia zilikuwa zinashuka vizuri sasa. Bibi kwa upande wake alikuwa anakunywa wine, lakini ilikuwa tofauti kwa Iryn alikuwa anakunywa juice.

Walikuja wadogo zake kujumuika na sisi na Iryn alinionesha mdogo wake mmoja ambae anaishi nae South Africa. Baada ya kunitambulisha nikajisemea ndomana alikuwa ananiangalia sana, kumbe ananijua. Baadae mama mkubwa alikuja, tukasalimiana na niseme alikuwa ananiangalia sana, alianza maongezi na Iryn;

MAMA: “Wewe toka jana nakuona unakunywa juice? Una matatizo gani?” Lilikuwa ni swali kwenda kwa Iryn na alitumia kilugha.

IRYN: “Sijisikii vizuri ndomana.”

BIBI: “Tangu mjukuu wangu arudi analalamika hajisikii vizuri.”

JIMMY: “Dada kesho itabidi tukafanye check-up.”

MAMA: “Iryn nifuate ndani.”

Na mimi nilijisemea kimoyomoyo kimenuka nini? Na Iryn alinyanyuka akamfuata mama,

(Iryn alinambia kilichokuwa kinaendelea na maongezi yao baada ya mama yake mkubwa kuja pale garden).

Mida ya saa 3 usiku alikuja mdogo wake akanipa kikaratasi kwa siri sana yaani hakuna mtu aliyejua. Baada ya kukifungua kulikuwa na ujumbe kwamba niende parking ananisubiri na nilijua huyu ni Iryn, ilibidi nitoke pale kwa mahesabu maana palikuwa na ndugu kibao.

Baada ya kufika parking kulikuwa na gari kama sita hivi, nikawa simwoni na nilisikia sauti kwa chini ikiniita “Insider”. Nilizunguka upande wa nyuma nikamwona amesimama huku ameegemea gari, nikamsogelea na baada ya kufika usawa wake akanivuta akaanza kunipiga makiss kwa fujo.

MIMI: “Baby stop mazingira sio rafiki.”

Wasiwasi wangu ulikuwa ni camera wala sio kingine maana nilikuwa makini sana kama vile Rambo anavyo-move kwenye traps.

IRYN: “Nimeizima camera ya huku nyuma ndomana nimekuita. Nimekumiss baby na sahivi siwezi kutoka na wewe, unajua hapa home wana ni treat kama mtoto baby.”

MIMI: “Why? sijakuelewa.”

IRYN: “Nikiwa hivi home kama natoka kwenda sehemu lazima niage na mamkubwa ni mkali hataki ujinga tukiwa hapa kwake.”

Na alinivuta tena akaanza kunipa makisi motomoto sasa Kutoka na ule ukaribu nilianza kuli-feel joto lake na mnara ulikuwa ushaanza kudaka mawimbi kwa kasi. Nilianza kumpa ushirikiano pale na alianza kuikoki gun kwa mbali na nikajisemea huyu anataka vita wala sio kingine.

Na muda huu alionekana kabisa anataka nimuweke, lakini mazingira hayakuwa rafiki na alikuwa kashanza kunifungua mkanda,

MIMI: “Baby listen njoo kesho hotelini mapema but not here, utafanya wanione wa ajabu sana.”

IRYN: “No one will come here please! I need d*ck right now”.

Sikuwa na jinsi ilibidi nilimpe anachotaka muda huu palepale parking na baada ya risasi kufyatuka ndo kuachana pale. Kurudi garden niliona soo! hivyo nikamwambia ampigie simu Jimmy ili anipe kampani niondoke. Jimmy alikuja chap ili tuondoke na Iryn aliendelea kunikumbatia pale akawa hataki kuniachia,

JIMMY: “Kama bado una hamu naye twende na wewe ukalale hotelini.”

Nilimuaga kwa kumkiss shavuni na aliniachia tukaondoka na Jimmy kurudi hotelini. Njiani Jimmy alikuwa akiniambia kuwa mdogo wake ananipenda sana tena ni mapenzi yale real. Baada ya kufika hotelini tuliagana na mimi nilikwenda room kulala maana nilikuwa hoi sana.

****
Asubuhi na mapema niliamka kujiandaa kwaajili ya safari nyingine tena ya kwenda makaburini. Mida ya saa 3 asubuhi Jimmy na Iryn walikuwa wamewasili kunichukua na hao tukaanza safari ya kwenda huko.

Jimmy ndo mtoto wa kwanza kwa upande wa mama mkubwa ndomana Iryn anamuita kaka. Sasa kipindi tuko njiani Jimmy alikuwa ameweka ngoma za reggae na kibao kilichokuwa kinasikika ni cha Bob Marley “I'm just a Buffalo Soldier, In the heart of America, Stolen from Africa, brought to America.”

Jimmy alikuwa anaonesha kuimba kwa hisia kali sana muda huu maana alionesha utulivu wa hali ya juu sana, na Iryn alianza kumzingua Jimmy,

IRYN: “Mhh! Kwa jinsi unavyoimba kwa hisia utafikiri kweli unahisia kumbe ni mshenzi mmoja tu.”

JIMMY: “Umeamua uanze kunichokoza dada, namuheshimu Insider shem wangu hapa.”

IRYN: “Jimmy umenikera sana kwanini kila rafiki yangu naye kutambulisha lazima umtongoze? Hio sio heshima kabisa.”

Jimmy alinyamaza kimya kwa sekunde afu akacheka,

JIMMY: “Sifa ya mwanaume ni pamoja na kutongoza au ulitaka wanitongoze?”

IRYN: “Huoni aibu umekataliwa sasa na nimejua, una mwanamke wako amekuzalia na mtoto kaja hadi home kukupa kampani lakini bado unahangaika ni lini utatulia?”

JIMMY: “Naona unamtumia Amara kama jiwe la kunibondea dada yangu sawa bhana.”

IRYN: “Jimmy kaka yangu embu badilika natamani kuwa na wifi wangu wa uhakika, ndomana sikuhizi hunitambulishi wanawake zako.”

JIMMY: “Yaishe haya namuheshimu shem wangu hapa. Soon nakutambulisha wifi yako wa uhakika.”

IRYN: “Awe Amara na sio nje na huyu, sisi tumemchagua Amara ndo wifi yetu.”

Niliingilia maongezi yao,

MIMI: “Sasa uyo Amara ikitokea Jimmy kaoa mwanamke mwingine itakuaje?”

IRYN: “Anaanzaje? Amara ndo kipenzi chetu pale home na ukweli yule dada anampenda Jimmy sema ndo hivo.”

MIMI: “Yule dada ni mzuri kwakweli, niseme ukweli.”

IRYN: “Jimmy hawezi kukuelewa kabisa.”

(Mimi na Iryn tulikuwa tunatumia kiswahili, Jimmy alikuwa haelewi kitu)

Tuliwasili pale makaburini na tulianza kwanza kaburi la mama yake then tukamalizia la babu yake. Makaburi yote yaliyokuwa yanaonekana ni ya ukoo na ni eneo lao special kwa mazishi ya wana ukoo.

IRYN: “Baby hapa ndo alikolazwa mama yangu am sorry jumamosi sikuweza kuongea lolote na wewe.”

MIMI: “Usijali kwa yale mazingira ya siku ile isingewezekana na nilikuona ukilia sana.”

IRYN: “Nam-miss sana mama yangu baada ya kifo chake everything changed.”

Jimmy aliondoka ni kama alikuwa anatupa nafasi ya kuongea.

MIMI: “What do you mean? Everything changed how?”

IRYN: “Baby njoo kaa hapa close.”

Tulikaa pembeni ya kaburi la mama yake tukaendelea na mazungumzo,

MIMI: “Nakusikiliza.”

IRYN: “Kwanza sorry for what happened that day I was wrong, naomba utambue nakupenda sana na ninaamini unanipenda. Kwa muda mrefu tumekuwa pamoja kuna vitu ambavyo sikukuweka wazi lakini leo nitakuweza wazi uvijue. Baada ya mama kufariki nilikuwa mtu wa mawazo sana hata kaka Jimmy atakwambia ukimuuliza. Nilikata tamaa ya kuishi kabisa, you know mimi na mom tuliishi kwa furaha sana enzi za uhai wake na hakuna siku ambayo alishawahi kunikosea, always alikuwa anapenda kuniona nina furaha. Baada ya kifo chake nilimchukia sana baba niliona yeye ndo amesababisha haya yote na sikuwa na mpango naye tena.

Niliendelea kukaa na mamkubwa baadae nikaondoka kwenda Ufaransa na kule ndo nilikoanza kujiingiza kwenye biashara za massage ndo mpaka tunakutana. That time sikutaka kufanya kazi yoyote ile wala sikutaka kusikiliza ushauri wa mtu until I met mama Janeth. Mama ndo aliweza kunishawishi nirudi Tanzania ili nitulize akili, na uzuri mama Janeth namjua ni rafiki mkubwa wa mama nilikubali kurudi Tanzania. Lengo langu la kurudi Dar nifuatilie na mali alizoacha mama maana mali zake zote aliziandika kwa diary. Mimi nilikuwa najua mali zake zote alizoziacha kwa Tanzania na sikutaka kumwambia chochote mama Janeth na nilisubiri yeye aongee. Mama Janeth ana roho nzuri sana aliniambia mali zote za mama hapa Tanzania na hakuficha hata moja.


Since nimekutana na wewe maisha yangu yamebadilika sana na wewe ndo sababu ya mimi kuwa na furaha tena. Naomba usiwe na wasiwasi na lengo la kukuleta huku Ethiopia uwajue ndugu zangu ili hapo badae usione shida au tatizo kuja huku kwa mambo mengine. Na nikuahidi hakuna mtu yoyote atakayeingilia mahusiano yetu na hii mimba nitaitunza mpaka najifungua.”

MIMI: “Sasa wewe ni raia wa nchi gani maana mpaka sasa nashindwa kukuelewa, ni mtanzania, Muethiopia, Msouth, au mfaransa?”

IRYN: “That time sikutaka kuyazungumza haya in deep maana sikuona sababu ya wewe kujua kila kitu kutoka kwangu, lakini kwasasa nitakwambia ukweli. Mimi ni raia wa Ethiopia na Tanzania tuliishi sababu ya mama kuwa na legal rights za kuishi hapa Tanzania, sababu ya organization aliyokuwa anafanyia kazi.”

MIMI: “Vipi kuhusu mali? maana kwa Tanzania foreigner harusiwi kumiliki ardhi.”

IRYN: “Mhh baby unaniaibisha bhana, mali zote zipo chini ya kampuni nyingine ambayo kwasasa wamiliki ni mimi na mamkubwa na yeye ni kama mwangalizi tu. Hapo baadae Mungu akijalia naweza kuja kuwaweka hata wanangu.”

MIMI: “Na vipi kuhusu hiyo gun unayomiliki? Hukuwai kunipa maelekezo ya kueleweka mpaka sasa, ilikuaje mpaka ukamiliki.”

IRYN: “Hio niliachiwa urithi na mama kwaajili ya ulinzi wangu binafsi, so usiwe na wasiwasi baby.”

MIMI: “Nashukuru atleast leo umeniambia ukweli kuhusu wewe.”

IRYN: “Bado wewe kunipeleka kwenu na nina tamani sana tufunge ndoa hata leo baby.

Mimi nilinyamaza kimya kama sijasikia kitu maana niliona ameanza kuongea topic ambazo hata nikimjibu ataishia kununa, niliona ni heri nikanyamaza na nilichange mada.

Tuliongea mambo mengi sana na hii siku na aliweza kufunguka sana, ila mambo mengi yanabaki kuwa siri yangu. Habari nyingine kubwa alinambia wakati wa kurudi tutapitia kutembelea nyumba aliyoacha mama yake na alisema haipo mbali sana na pale kwa mama mkubwa.

Saa 8 za mchana tulitoka pale makaburini na safari yetu ilikuwa kwenda kuangalia hio nyumba yao. Tulitumia kama dakika 40 kufika eneo la tukio, nyumba iko hukohuko Bahir dar ila distance ya kutoka kwa mama yake mkubwa mpaka alikojenga mama yake ni kama km15.

Baada ya kuwasili eneo la tukio, tulifunguliwa gate na mlinzi tukaingia ndani. Mbele yangu ilionekana nyumba ya ghorofa 1 na ni nzuri sana kwakweli na baada ya kuridhika na mazingira ya pale tuliondoka. Kwa upande mwingine Iryn alinambia nyumba ilitaka kuleta shida hasa upande wa ndugu maana walitaka kumdhulumu, lakini mamkubwa wake ndo alikuwa makini sana. Baada ya kumaliza ukaguzi tuliondoka kurudi home na mimi nilitaka nikawaage ndugu zake kwaajili ya safari ya kesho.

Baada ya kuwasili pale home tulikaa kibarazani tukiendelea mazungumzo ya hapa na pale na kubwa ilikuwa kuhusu mimba yake. Muda ulikuwa unazidi kwenda na mimba huwa haifichiki, kuna siku mambo yatakuwa hadharani. Ulikuwa ni mjadala mrefu ambao ulikuwa unakosa majibu maana hata yeye alisema hajui siku ambayo atatoa taarifa home wataipokeaje.

“Bibi anajua hii ishu, unamuamini sana kwamba hawezi kumwambia mamkubwa?”

“Bibi hawezi kuropoka kwa mama na tunasiri nyingi sana na bibi. Insider jambo kama hili si la kuficha sana, ni Jimmy na bibi pekee ndo wanajua.”

“Mhh sawa mummy ila mimi naona siku ya kuweka hili jambo hadharani kila kitu kitabadikika.”

“Baby don’t worry about this.”

Baada ya dakika 20 Jimmy alikuja na mtoto wa kike wa miaka 3 ni kazuri balaa, akanitambulisha kuwa ni mwanae wa pili, na jumla ana watoto 3 wote amezaa na mama tofauti. Baadae alikuja mama mtoto “Amara”na akanitambulisha pale kuwa ndo mama mtoto na mimi nilimtania Jimmy kwanini asimuoe? Aliishia kucheka tu.

IRYN: “Jimmy kwa huyu mwanamke sidhani kama ataweza kuchomoa kwani anapendwa sana na mama, ndomana unaona amekuja ila wengine hawawezi thubutu kusogea hapa, ni suala la muda tu ataoa.”

MIMI: “Hivi Jimmy anakaa hapa home?”

Nilimuuliza Iryn kwa kiswahili maana nilijua Jimmy hajui,

IRYN: “Anaishi Addis, huku amekuja kwaajili ya haya masuala. Kesho tutaitembelea organization yetu uione, Jimmy anaisimamia unakumbuka nilikwambia about this?”

MIMI: “Yeah nakumbuka.”

JIMMY: “You guys, I need to learn Swahili. What are you talking about?.”

Na sisi tuliishia kucheka tu maana Jimmy anasemaga tukiongea kiswahili tunamteta.

Kwa mbali ilikuwa ikisikika ngoma ya Ruger-Girlfriend na Iryn alisimama akaanza kudance kwa madoido. Jimmy aliingia sebuleni kuongeza sauti na aliendelea kukata mauno pale kibarazani kwa ustadi wa hali ya juu sana.

Mimi na Jimmy tuliishia kuwa wapenzi watizimaji na baada ya ngoma kuisha Jimmy aka-irudia tena, kipindi hiki Girlfriend ndo ilikuwa inabamba sana mtaani. Jimmy naye alianza kudance pale, sasa baada ngoma kuchange ilisikika “Joha ya Asake”na hapa balaa ndo likaongezeka. Mimi nilikuwa nawachukua video pale na zoezi lilikatika baada ya gari ya mama mkubwa kuonekana ikiingia ndani.

Kuna kitu nilikibaini kati ya Iryn na Jimmy, yaani ni wale ndugu ambao wanapendana sana na kila mmoja ana-mjali mwenzake. Kuna muda wanazinguana sana kuna muda wanacheka na kucheza kama hivi na kuna muda wanakuwa serious.

Hii siku nilipata chakula cha usiku pale kwao na kwa upande mwingine mama yake mkubwa alikuwa akiniangalia sana mpaka nikaanza kujishtukia. Dizaini kama mama mkubwa alihisi something fishy kinaendelea kati yangu na Iryn ni vile alikuwa hana ushahidi tu. Katika watu ambao sikupiga nao story kabisa ni pamoja na mama mkubwa wa Iryn.

Baada ya kupata dinna niliwaga na kwa upande wao walishukuru sana kwa ujio wangu na nikaondoka na Jimmy kurudi hotelini. Nilivyoingia room niliendelea kujiandaa kwaajili ya safari ya kurudi Tanzania na nilianza kupanga nguo zangu. Baada ya kumaliza nilitulia nikaanza kuangalia zile video ambazo Iryn alikuwa anacheza pale kwao na niliishia kutabasam tu! na nikaenda kuoga ili nilale.

Mida ya saa 6 za usiku nilisikia mlango ukigongwa na nikajiuliza nani anagonga muda huu? niliwaza atakuwa ni mhudumu, hivyo nilitoka kufungua na nilishangaa sana kumuona Iryn amesimama akiniangalia, mimi nilijiuliza huyu anatafuta nini usiku huu?.

CHAPTER 11
 
SEASON 02:
CHAPTER 10

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

Mimi nilikwenda kuoga na baada ya kutoka washroom nilikuta Iryn hayupo na mimi nilijua ameondoka kurudi kwao, ni wivu wake ulikuwa una msumbua. Pale kitandani kulikuwa na karatasi nyeupe ameiandika na niliichukua ili nisome alichoniandikia.

CONTINUE

Baada ya kusoma ile karatasi alikuwa kaandika hivi,

"Congratulations, my love! Argentina's victory in the World Cup is a testament to their incredible teamwork and skill. I'm so proud of you and your team for achieving this remarkable milestone. Let's celebrate this historic moment together! Vamos Argentina.❤️”

Niliishia kusonya tu pale maana alikuwa kasha-niharibia usiku wangu na muda huu Jimmy alinipigia simu kupitia whatsapp na nikapokea pale kwa haraka sana,

JIMMY: “Hey bro where the f*ck are you?”

MIMI: “I’m at the hotel, she didn't want me to stay there, so we went back to the hotel."

JIMMY: “I'm sorry brother, Iryn isn't feeling well today. She's struggling with jealousy towards you, but please be patient with her, her pregnancy is causing some confusion."

MIMI: “Hahahahaa! You can't believe we got back to the hotel and then she left me alone.”

JIMMY: “Like I said, bear with her, her mind is not right at the moment."

MIMI: “Thank you brother let me sleep, I’ll see you tomorrow if God wish.”

JIMMY: “Goodnight brother.”

Baada ya kuongea na Jimmy nilijisemea kama shemeji ninae hana noma na hii ni bahati maana alikuwa ananijali sana na alionesha kunikubali since tunakutana pale Tripple 7 Mikocheni. Niliwaza kuhusu Iryn na nilijua ni mimba inamchanganya kwasasa na sio kingine, ila mimi wasiwasi wangu wasije wakamshtukia tu! pale kwao.

Kwa upande mwingine nilifanya mawasiliano na Sumaiya na alinipa taarifa kuwa ameshachukua gari yake tayari, lakini hajui kuendesha na ameishia kuipark tu. Nilimwambia aanze kwenda driving school ili aongeze ujuzi na nilimtumia namba ya mtu ambaye ataweza kumfundisha kwa haraka, ni kule alikojifunzia Jane.

Kwa upande mwingine wife alikuwa kanicheki pia kuulizia maendeleo na siku ambayo nitarudi. Ukweli sikuwa najua muda wa kurudi Tanzania na niliishia kumwambia mpaka kufikia jumanne nitakuwa nimerudi.

****
Kesho yake ambayo ni jumatatu nilichelewa kuamka na ile baada ya kuamka, kucheki muda ilikuwa ni saa 4 asubuhi. Kwa upande mwingine hakukuwa na taarifa yoyote kutoka kwa Iryn wala Jimmy. Niliingia bafuni kuoga na baada ya kutoka nilikutana na missed call 2 za Jimmy na nika-mcall back, akanipa taarifa kuwa wako njiani wanakuja ili twende tukatalii lake Tana.

Baada ya kuwasili na kuni-pick tuliondoka kuelekea upande mwingine wa ziwa ambako ndo tulipata boat ya kukodi na kututembeza ziwani. Tangu wawasili pale hotelini kunibeba mimi na Iryn hatukuwa na maongezi yoyote zaidi ya salamu tu na mimi niliamua kuvunja ukimya. Nilianza kuongea naye na kubwa nilitaka kujua maendeleo yake kwa ujumla kwani alionekana kutokuwa sawa kabisa. Iryn kwa upande wake alisema yuko sawa na niliendelea kumtania kama bado kanuna kutokana na jambo la siku ile.

Ndani ya muda mfupi tulikuwa tuko sawa na story zilikuwa zimekolea na Jimmy alianza kumzingua Iryn,

JIMMY: “Kwanini jana umemtoa Insider bila ridhaa yangu?”

IRYN: “Kwanini ulitoka naye bila ridhaa yangu?”

JIMMY: “Ulitakiwa unishukuru mimi kwa uwepo wangu otherwise Insider angekuwa lonely sana.”

IRYN: “Umemwacha mama mtoto wako kule home umekimbilia kula bata na b*tch zako.”

JIMMY: “Sikumpigia simu aje home ni mama aliyefanya huu ujinga wa kumpigia simu.”

IRYN: “Jimmy you’re my brother sometimes behave like my brother, kumbuka yule mwanamke analea damu yako, jaribu kumpa thamani bhasi. Kila siku nakwambia katika wanawake ulionao hakuna hata mmoja anaemzidi akili Amara.”

JIMMY: “Kuzaa na mimi sio ticket ya kumuoa endeleeni kumdanganya na mama.”

IRYN: “Yaani Jimmy Mungu akusaidie bro, na wale mama watoto zako wengine wanaendeleaje?”

JIMMY: “Wako salama natuma pocket money kwa wakati ndomana unaona hakuna kelele.”

Iryn aliishia kusikitika na akaniangalia maana mimi muda wote nilikuwa kimya kama mpenzi msikilizaji.

Tulikwenda upande wa pili wa ziwa na tulitulia beach na muda huu niliendelea kufanya mazungumzo na Iryn maana ilibidi nimuulize yeye anaondoka lini huku. Kwa upande wake alisema yupo mpaka mwisho wa week hii sababu ana msubiri baba yake na watarudi wote south Africa. Kwa upande wangu niliomba niondoke kesho ambayo ni jumanne lakini aliniomba niondoke jumatano ili tukatembelee kaburi la mama yake tena.

Ofcourse tulikuwa kwenye mahaba mazito sana pale beach na Jimmy akaanza matani kwa Iryn, ni kama walikuwa wanatupiana mpira. Nisema naipenda sana life style yao, wanapendana sana hawa watu balaa,

“Insider dada yangu sijui umempa nini maana unajua kumpagawisha.”

Na tulishia kucheka wote maana Jimmy ni mtu wa matani sana na ni talkative. Ni aina ya mtu ambaye ana story sana na haboi kuwa naye ni mtu mmoja poa sana asee.

Saa 11 za jioni tuliondoka kule ziwani kurudi home na walinunua samaki wa kutosha wa kupeleka home. Baada ya kuwasili home tulimkuta bibi amekaa garden na sisi tulimfuata pale tukaungana na tukaanza story,

IRYN: “Momo! huyu anaitwa Insider mwanaume tunayeongea kuhusu yeye kila siku, ndo huyu sasa.”

Lugha iliyokuwa inatumika ni ki-oromo lakini Iryn alikuwa ananitafsiria.

BIBI: “Juzi nikasema yule mwarabu ametokea wapi tena kumbe ndo mme mwenzangu.”

Na bibi akaanza kucheka, na tukasalimiana kwa kushikana mikono,

MIMI: “Isin attam?” (unaendeleaje?)

BIBI: “Nagaa, maqaan ke eenyu?” (Salama, unaitwa nani?”)

MIMI: “Maqaaan ko Insider.” (Naitwa Insider).

Iryn alishangaa sana kuona nimeweza kuongea na bibi kwa kilugha hata bibi naye alionesha kunifurahia sana. Iryn aliendelea kuongea na bibi pale kwa kilugha na baadae alinambia kuwa bibi anajua kila kitu kuhusu ujauzito wake. Nilishangaa maana niliona Iryn ameanza kuleta masihara,

IRYN: “Baby don’t worry bibi hana shida kabisa na anajua kinachoendelea na leo ndo amekujua ni baba wa hii mimba. Maswala mengine hatujaongea, ila nilimwambia tangu mimba ikiwa changa so usiwe na wasiwasi, sisi ni wake zako.”

MIMI: “Sawa no problem kama unayosema ni ya kweli.”

IRYN: “Huoni pia bibi kakupenda? I know her na amefurahi kukuona.”

Wakati tukiendelea kupiga story kwa upande mwingine Jimmy alionekana kuja usawa wetu huku amebeba bia kwenye trey na tukaanza kunywa pale taratibu. Baada ya dakika 10 hivi ilikuja nyama choma kwenye sinia kubwa na hapa bia zilikuwa zinashuka vizuri sasa. Bibi kwa upande wake alikuwa anakunywa wine, lakini ilikuwa tofauti kwa Iryn alikuwa anakunywa juice.

Walikuja wadogo zake kujumuika na sisi na Iryn alinionesha mdogo wake mmoja ambae anaishi nae South Africa. Baada ya kunitambulisha nikajisemea ndomana alikuwa ananiangalia sana, kumbe ananijua. Baadae mama mkubwa alikuja, tukasalimiana na niseme alikuwa ananiangalia sana, alianza maongezi na Iryn;

MAMA: “Wewe toka jana nakuona unakunywa juice? Una matatizo gani?” Lilikuwa ni swali kwenda kwa Iryn na alitumia kilugha.

IRYN: “Sijisikii vizuri ndomana.”

BIBI: “Tangu mjukuu wangu arudi analalamika hajisikii vizuri.”

JIMMY: “Dada kesho itabidi tukafanye check-up.”

MAMA: “Iryn nifuate ndani.”

Na mimi nilijisemea kimoyomoyo kimenuka nini? Na Iryn alinyanyuka akamfuata mama,

(Iryn alinambia kilichokuwa kinaendelea na maongezi yao baada ya mama yake mkubwa kuja pale garden).

Mida ya saa 3 usiku alikuja mdogo wake akanipa kikaratasi kwa siri sana yaani hakuna mtu aliyejua. Baada ya kukifungua kulikuwa na ujumbe kwamba niende parking ananisubiri na nilijua huyu ni Iryn, ilibidi nitoke pale kwa mahesabu maana palikuwa na ndugu kibao.

Baada ya kufika parking kulikuwa na gari kama sita hivi, nikawa simwoni na nilisikia sauti kwa chini ikiniita “Insider”. Nilizunguka upande wa nyuma nikamwona amesimama huku ameegemea gari, nikamsogelea na baada ya kufika usawa wake akanivuta akaanza kunipiga makiss kwa fujo.

MIMI: “Baby stop mazingira sio rafiki.”

Wasiwasi wangu ulikuwa ni camera wala sio kingine maana nilikuwa makini sana kama vile Rambo anavyo-move kwenye traps.

IRYN: “Nimeizima camera ya huku nyuma ndomana nimekuita. Nimekumiss baby na sahivi siwezi kutoka na wewe, unajua hapa home wana ni treat kama mtoto baby.”

MIMI: “Why? sijakuelewa.”

IRYN: “Nikiwa hivi home kama natoka kwenda sehemu lazima niage na mamkubwa ni mkali hataki ujinga tukiwa hapa kwake.”

Na alinivuta tena akaanza kunipa makisi motomoto sasa Kutoka na ule ukaribu nilianza kuli-feel joto lake na mnara ulikuwa ushaanza kudaka mawimbi kwa kasi. Nilianza kumpa ushirikiano pale na alianza kuikoki gun kwa mbali na nikajisemea huyu anataka vita wala sio kingine.

Na muda huu alionekana kabisa anataka nimuweke, lakini mazingira hayakuwa rafiki na alikuwa kashanza kunifungua mkanda,

MIMI: “Baby listen njoo kesho hotelini mapema but not here, utafanya wanione wa ajabu sana.”

IRYN: “No one will come here please! I need d*ck right now”.

Sikuwa na jinsi ilibidi nilimpe anachotaka muda huu palepale parking na baada ya risasi kufyatuka ndo kuachana pale. Kurudi garden niliona soo! hivyo nikamwambia ampigie simu Jimmy ili anipe kampani niondoke. Jimmy alikuja chap ili tuondoke na Iryn aliendelea kunikumbatia pale akawa hataki kuniachia,

JIMMY: “Kama bado una hamu naye twende na wewe ukalale hotelini.”

Nilimuaga kwa kumkiss shavuni na aliniachia tukaondoka na Jimmy kurudi hotelini. Njiani Jimmy alikuwa akiniambia kuwa mdogo wake ananipenda sana tena ni mapenzi yale real. Baada ya kufika hotelini tuliagana na mimi nilikwenda room kulala maana nilikuwa hoi sana.

****
Asubuhi na mapema niliamka kujiandaa kwaajili ya safari nyingine tena ya kwenda makaburini. Mida ya saa 3 asubuhi Jimmy na Iryn walikuwa wamewasili kunichukua na hao tukaanza safari ya kwenda huko.

Jimmy ndo mtoto wa kwanza kwa upande wa mama mkubwa ndomana Iryn anamuita kaka. Sasa kipindi tuko njiani Jimmy alikuwa ameweka ngoma za reggae na kibao kilichokuwa kinasikika ni cha Bob Marley “I'm just a Buffalo Soldier, In the heart of America, Stolen from Africa, brought to America.”

Jimmy alikuwa anaonesha kuimba kwa hisia kali sana muda huu maana alionesha utulivu wa hali ya juu sana, na Iryn alianza kumzingua Jimmy,

IRYN: “Mhh! Kwa jinsi unavyoimba kwa hisia utafikiri kweli unahisia kumbe ni mshenzi mmoja tu.”

JIMMY: “Umeamua uanze kunichokoza dada, namuheshimu Insider shem wangu hapa.”

IRYN: “Jimmy umenikera sana kwanini kila rafiki yangu naye kutambulisha lazima umtongoze? Hio sio heshima kabisa.”

Jimmy alinyamaza kimya kwa sekunde afu akacheka,

JIMMY: “Sifa ya mwanaume ni pamoja na kutongoza au ulitaka wanitongoze?”

IRYN: “Huoni aibu umekataliwa sasa na nimejua, una mwanamke wako amekuzalia na mtoto kaja hadi home kukupa kampani lakini bado unahangaika ni lini utatulia?”

JIMMY: “Naona unamtumia Amara kama jiwe la kunibondea dada yangu sawa bhana.”

IRYN: “Jimmy kaka yangu embu badilika natamani kuwa na wifi wangu wa uhakika, ndomana sikuhizi hunitambulishi wanawake zako.”

JIMMY: “Yaishe haya namuheshimu shem wangu hapa. Soon nakutambulisha wifi yako wa uhakika.”

IRYN: “Awe Amara na sio nje na huyu, sisi tumemchagua Amara ndo wifi yetu.”

Niliingilia maongezi yao,

MIMI: “Sasa uyo Amara ikitokea Jimmy kaoa mwanamke mwingine itakuaje?”

IRYN: “Anaanzaje? Amara ndo kipenzi chetu pale home na ukweli yule dada anampenda Jimmy sema ndo hivo.”

MIMI: “Yule dada ni mzuri kwakweli, niseme ukweli.”

IRYN: “Jimmy hawezi kukuelewa kabisa.”

(Mimi na Iryn tulikuwa tunatumia kiswahili, Jimmy alikuwa haelewi kitu)

Tuliwasili pale makaburini na tulianza kwanza kaburi la mama yake then tukamalizia la babu yake. Makaburi yote yaliyokuwa yanaonekana ni ya ukoo na ni eneo lao special kwa mazishi ya wana ukoo.

IRYN: “Baby hapa ndo alikolazwa mama yangu am sorry jumamosi sikuweza kuongea lolote na wewe.”

MIMI: “Usijali kwa yale mazingira ya siku ile isingewezekana na nilikuona ukilia sana.”

IRYN: “Nam-miss sana mama yangu baada ya kifo chake everything changed.”

Jimmy aliondoka ni kama alikuwa anatupa nafasi ya kuongea.

MIMI: “What do you mean? Everything changed how?”

IRYN: “Baby njoo kaa hapa close.”

Tulikaa pembeni ya kaburi la mama yake tukaendelea na mazungumzo,

MIMI: “Nakusikiliza.”

IRYN: “Kwanza sorry for that happened I was wrong, naomba utambue nakupenda sana na ninaamini unanipenda. Kwa muda mrefu tumekuwa pamoja kuna vitu ambavyo sikukuweka wazi lakini leo nitakuweza wazi uvijue. Baada ya mama kufariki nilikuwa mtu wa mawazo sana hata kaka Jimmy atakwambia ukimuuliza. Nilikata tamaa ya kuishi kabisa, you know mimi na mom tuliishi kwa furaha sana enzi za uhai wake na hakuna siku ambayo alishawahi kunikosea, always alikuwa anapenda kuniona nina furaha. Baada ya kifo chake nilimchukia sana baba niliona yeye ndo amesababisha haya yote na sikuwa na mpango naye tena.

Niliendelea kukaa na mamkubwa baadae nikaondoka kwenda Ufaransa na kule ndo nilikoanza kujiingiza kwenye biashara za massage ndo mpaka tunakutana. That time sikutaka kufanya kazi yoyote ile wala sikutaka kusikiliza ushauri wa mtu until I met mama Janeth. Mama ndo aliweza kunishawishi nirudi Tanzania ili nitulize akili, na uzuri mama Janeth namjua ni rafiki mkubwa wa mama nilikubali kurudi Tanzania. Lengo langu la kurudi Dar nifuatilie na mali alizoacha mama maana mali zake zote aliziandika kwa diary. Mimi nilikuwa najua mali zake zote alizoziacha kwa Tanzania na sikutaka kumwambia chochote mama Janeth na nilisubiri yeye aongee. Mama Janeth ana roho nzuri sana aliniambia mali zote za mama hapa Tanzania na hakuficha hata moja.


Since nimekutana na wewe maisha yangu yamebadilika sana na wewe ndo sababu ya mimi kuwa na furaha tena. Naomba usiwe na wasiwasi na lengo la kukuleta huku Ethiopia uwajue ndugu zangu ili hapo badae usione shida au tatizo kuja huku kwa mambo mengine. Na nikuahidi hakuna mtu yoyote atakayeingilia mahusiano yetu na hii mimba nitaitunza mpaka najifungua.”

MIMI: “Sasa wewe ni raia wa nchi gani maana mpaka sasa nashindwa kukuelewa, ni mtanzania, Muethiopia, Msouth, au mfaransa?”

IRYN: “That time sikutaka kuyazungumza haya in deep maana sikuona sababu ya wewe kujua kila kitu kutoka kwangu, lakini kwasasa nitakwambia ukweli. Mimi ni raia wa Ethiopia na Tanzania tuliishi sababu ya mama kuwa na legal rights za kuishi hapa Tanzania, sababu ya organization aliyokuwa anafanyia kazi.”

MIMI: “Vipi kuhusu mali? maana kwa Tanzania foreigner harusiwi kumiliki ardhi.”

IRYN: “Mhh baby unaniaibisha bhana, mali zote zipo chini ya kampuni nyingine ambayo kwasasa wamiliki ni mimi na mamkubwa na yeye ni kama mwangalizi tu. Hapo baadae Mungu akijalia naweza kuja kuwaweka hata wanangu.”

MIMI: “Na vipi kuhusu hiyo gun unayomiliki? Hukuwai kunipa maelekezo ya kueleweka mpaka sasa, ilikuaje mpaka ukamiliki.”

IRYN: “Hio niliachiwa urithi na mama kwaajili ya ulinzi wangu binafsi, so usiwe na wasiwasi baby.”

MIMI: “Nashukuru atleast leo umeniambia ukweli kuhusu wewe.”

IRYN: “Bado wewe kunipeleka kwenu na nina tamani sana tufunge ndoa hata leo baby.

Mimi nilinyamaza kimya kama sijasikia kitu maana niliona ameanza kuongea topic ambazo hata nikimjibu ataishia kununa, niliona ni heri nikanyamaza na nilichange mada.

Tuliongea mambo mengi sana na hii siku na aliweza kufunguka sana, ila mambo mengi yanabaki kuwa siri yangu. Habari nyingine kubwa alinambia wakati wa kurudi tutapitia kutembelea nyumba aliyoacha mama yake na alisema haipo mbali sana na pale kwa mama mkubwa.

Saa 8 za mchana tulitoka pale makaburini na safari yetu ilikuwa kwenda kuangalia hio nyumba yao. Tulitumia kama dakika 40 kufika eneo la tukio, nyumba iko hukohuko Bahir dar ila distance ya kutoka kwa mama yake mkubwa mpaka alikojenga mama yake ni kama km15.

Baada ya kuwasili eneo la tukio, tulifunguliwa gate na mlinzi tukaingia ndani. Mbele yangu ilionekana nyumba ya ghorofa 1 na ni nzuri sana kwakweli na baada ya kuridhika na mazingira ya pale tuliondoka. Kwa upande mwingine Iryn alinambia nyumba ilitaka kuleta shida hasa upande wa ndugu maana walitaka kumdhulumu, lakini mamkubwa wake ndo alikuwa makini sana. Baada ya kumaliza ukaguzi tuliondoka kurudi home na mimi nilitaka nikawaage ndugu zake kwaajili ya safari ya kesho.

Baada ya kuwasili pale home tulikaa kibarazani tukiendelea mazungumzo ya hapa na pale na kubwa ilikuwa kuhusu mimba yake. Muda ulikuwa unazidi kwenda na mimba huwa haifichiki, kuna siku mambo yatakuwa hadharani. Ulikuwa ni mjadala mrefu ambao ulikuwa unakosa majibu maana hata yeye alisema hajui siku ambayo atatoa taarifa home wataipokeaje.

“Bibi anajua hii ishu, unamuamini sana kwamba hawezi kumwambia mamkubwa?”

“Bibi hawezi kuropoka kwa mama na tunasiri nyingi sana na bibi. Insider jambo kama hili si la kuficha sana, ni Jimmy na bibi pekee ndo wanajua.”

“Mhh sawa mummy ila mimi naona siku ya kuweka hili jambo hadharani kila kitu kitabadikika.”

“Baby don’t worry about this.”

Baada ya dakika 20 Jimmy alikuja na mtoto wa kike wa miaka 3 ni kazuri balaa, akanitambulisha kuwa ni mwanae wa pili, na jumla ana watoto 3 wote amezaa na mama tofauti. Baadae alikuja mama mtoto “Amara”na akanitambulisha pale kuwa ndo mama mtoto na mimi nilimtania Jimmy kwanini asimuoe? Aliishia kucheka tu.

IRYN: “Jimmy kwa huyu mwanamke sidhani kama ataweza kuchomoa kwani anapendwa sana na mama, ndomana unaona amekuja ila wengine hawawezi thubutu kusogea hapa, ni suala la muda tu ataoa.”

MIMI: “Hivi Jimmy anakaa hapa home?”

Nilimuuliza Iryn kwa kiswahili maana nilijua Jimmy hajui,

IRYN: “Anaishi Addis, huku amekuja kwaajili ya haya masuala. Kesho tutaitembelea organization yetu uione, Jimmy anaisimamia unakumbuka nilikwambia about this?”

MIMI: “Yeah nakumbuka.”

JIMMY: “You guys, I need to learn Swahili. What are you talking about?.”

Na sisi tuliishia kucheka tu maana Jimmy anasemaga tukiongea kiswahili tunamteta.

Kwa mbali ilikuwa ikisikika ngoma ya Ruger-Girlfriend na Iryn alisimama akaanza kudance kwa madoido. Jimmy aliingia sebuleni kuongeza sauti na aliendelea kukata mauno pale kibarazani kwa ustadi wa hali ya juu sana.

Mimi na Jimmy tuliishia kuwa wapenzi watizimaji na baada ya ngoma kuisha Jimmy aka-irudia tena, kipindi hiki Girlfriend ndo ilikuwa inabamba sana mtaani. Jimmy naye alianza kudance pale, sasa baada ngoma kuchange ilisikika “Joha ya Asake”na hapa balaa ndo likaongezeka. Mimi nilikuwa nawachukua video pale na zoezi lilikatika baada ya gari ya mama mkubwa kuonekana ikiingia ndani.

Kuna kitu nilikibaini kati ya Iryn na Jimmy, yaani ni wale ndugu ambao wanapendana sana na kila mmoja ana-mjali mwenzake. Kuna muda wanazinguana sana kuna muda wanacheka na kucheza kama hivi na kuna muda wanakuwa serious.

Hii siku nilipata chakula cha usiku pale kwao na kwa upande mwingine mama yake mkubwa alikuwa akiniangalia sana mpaka nikaanza kujishtukia. Dizaini kama mama mkubwa alihisi something fishy kinaendelea kati yangu na Iryn ni vile alikuwa hana ushahidi tu. Katika watu ambao sikupiga nao story kabisa ni pamoja na mama mkubwa wa Iryn.

Baada ya kupata dinna niliwaga na kwa upande wao walishukuru sana kwa ujio wangu na nikaondoka na Jimmy kurudi hotelini. Nilivyoingia room niliendelea kujiandaa kwaajili ya safari ya kurudi Tanzania na nilianza kupanga nguo zangu. Baada ya kumaliza nilitulia nikaanza kuangalia zile video ambazo Iryn alikuwa anacheza pale kwao na niliishia kutabasam tu! na nikaenda kuoga ili nilale.

Mida ya saa 6 za usiku nilisikia mlango ukigongwa na nikajiuliza nani anagonga muda huu? niliwaza atakuwa ni mhudumu, hivyo nilitoka kufungua na nilishangaa sana kumuona Iryn amesimama akiniangalia, mimi nilijiuliza huyu anatafuta nini usiku huu?.

DONT PANIC
Slowly, but surely...blessed
 
SEASON 02:
CHAPTER 10

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

Mimi nilikwenda kuoga na baada ya kutoka washroom nilikuta Iryn hayupo na mimi nilijua ameondoka kurudi kwao, ni wivu wake ulikuwa una msumbua. Pale kitandani kulikuwa na karatasi nyeupe ameiandika na niliichukua ili nisome alichoniandikia.

CONTINUE

Baada ya kusoma ile karatasi alikuwa kaandika hivi,

"Congratulations, my love! Argentina's victory in the World Cup is a testament to their incredible teamwork and skill. I'm so proud of you and your team for achieving this remarkable milestone. Let's celebrate this historic moment together! Vamos Argentina.❤️”

Niliishia kusonya tu pale maana alikuwa kasha-niharibia usiku wangu na muda huu Jimmy alinipigia simu kupitia whatsapp na nikapokea pale kwa haraka sana,

JIMMY: “Hey bro where the f*ck are you?”

MIMI: “I’m at the hotel, she didn't want me to stay there, so we went back to the hotel."

JIMMY: “I'm sorry brother, Iryn isn't feeling well today. She's struggling with jealousy towards you, but please be patient with her, her pregnancy is causing some confusion."

MIMI: “Hahahahaa! You can't believe we got back to the hotel and then she left me alone.”

JIMMY: “Like I said, bear with her, her mind is not right at the moment."

MIMI: “Thank you brother let me sleep, I’ll see you tomorrow if God wish.”

JIMMY: “Goodnight brother.”

Baada ya kuongea na Jimmy nilijisemea kama shemeji ninae hana noma na hii ni bahati maana alikuwa ananijali sana na alionesha kunikubali since tunakutana pale Tripple 7 Mikocheni. Niliwaza kuhusu Iryn na nilijua ni mimba inamchanganya kwasasa na sio kingine, ila mimi wasiwasi wangu wasije wakamshtukia tu! pale kwao.

Kwa upande mwingine nilifanya mawasiliano na Sumaiya na alinipa taarifa kuwa ameshachukua gari yake tayari, lakini hajui kuendesha na ameishia kuipark tu. Nilimwambia aanze kwenda driving school ili aongeze ujuzi na nilimtumia namba ya mtu ambaye ataweza kumfundisha kwa haraka, ni kule alikojifunzia Jane.

Kwa upande mwingine wife alikuwa kanicheki pia kuulizia maendeleo na siku ambayo nitarudi. Ukweli sikuwa najua muda wa kurudi Tanzania na niliishia kumwambia mpaka kufikia jumanne nitakuwa nimerudi.

****
Kesho yake ambayo ni jumatatu nilichelewa kuamka na ile baada ya kuamka, kucheki muda ilikuwa ni saa 4 asubuhi. Kwa upande mwingine hakukuwa na taarifa yoyote kutoka kwa Iryn wala Jimmy. Niliingia bafuni kuoga na baada ya kutoka nilikutana na missed call 2 za Jimmy na nika-mcall back, akanipa taarifa kuwa wako njiani wanakuja ili twende tukatalii lake Tana.

Baada ya kuwasili na kuni-pick tuliondoka kuelekea upande mwingine wa ziwa ambako ndo tulipata boat ya kukodi na kututembeza ziwani. Tangu wawasili pale hotelini kunibeba mimi na Iryn hatukuwa na maongezi yoyote zaidi ya salamu tu na mimi niliamua kuvunja ukimya. Nilianza kuongea naye na kubwa nilitaka kujua maendeleo yake kwa ujumla kwani alionekana kutokuwa sawa kabisa. Iryn kwa upande wake alisema yuko sawa na niliendelea kumtania kama bado kanuna kutokana na jambo la siku ile.

Ndani ya muda mfupi tulikuwa tuko sawa na story zilikuwa zimekolea na Jimmy alianza kumzingua Iryn,

JIMMY: “Kwanini jana umemtoa Insider bila ridhaa yangu?”

IRYN: “Kwanini ulitoka naye bila ridhaa yangu?”

JIMMY: “Ulitakiwa unishukuru mimi kwa uwepo wangu otherwise Insider angekuwa lonely sana.”

IRYN: “Umemwacha mama mtoto wako kule home umekimbilia kula bata na b*tch zako.”

JIMMY: “Sikumpigia simu aje home ni mama aliyefanya huu ujinga wa kumpigia simu.”

IRYN: “Jimmy you’re my brother sometimes behave like my brother, kumbuka yule mwanamke analea damu yako, jaribu kumpa thamani bhasi. Kila siku nakwambia katika wanawake ulionao hakuna hata mmoja anaemzidi akili Amara.”

JIMMY: “Kuzaa na mimi sio ticket ya kumuoa endeleeni kumdanganya na mama.”

IRYN: “Yaani Jimmy Mungu akusaidie bro, na wale mama watoto zako wengine wanaendeleaje?”

JIMMY: “Wako salama natuma pocket money kwa wakati ndomana unaona hakuna kelele.”

Iryn aliishia kusikitika na akaniangalia maana mimi muda wote nilikuwa kimya kama mpenzi msikilizaji.

Tulikwenda upande wa pili wa ziwa na tulitulia beach na muda huu niliendelea kufanya mazungumzo na Iryn maana ilibidi nimuulize yeye anaondoka lini huku. Kwa upande wake alisema yupo mpaka mwisho wa week hii sababu ana msubiri baba yake na watarudi wote south Africa. Kwa upande wangu niliomba niondoke kesho ambayo ni jumanne lakini aliniomba niondoke jumatano ili tukatembelee kaburi la mama yake tena.

Ofcourse tulikuwa kwenye mahaba mazito sana pale beach na Jimmy akaanza matani kwa Iryn, ni kama walikuwa wanatupiana mpira. Nisema naipenda sana life style yao, wanapendana sana hawa watu balaa,

“Insider dada yangu sijui umempa nini maana unajua kumpagawisha.”

Na tulishia kucheka wote maana Jimmy ni mtu wa matani sana na ni talkative. Ni aina ya mtu ambaye ana story sana na haboi kuwa naye ni mtu mmoja poa sana asee.

Saa 11 za jioni tuliondoka kule ziwani kurudi home na walinunua samaki wa kutosha wa kupeleka home. Baada ya kuwasili home tulimkuta bibi amekaa garden na sisi tulimfuata pale tukaungana na tukaanza story,

IRYN: “Momo! huyu anaitwa Insider mwanaume tunayeongea kuhusu yeye kila siku, ndo huyu sasa.”

Lugha iliyokuwa inatumika ni ki-oromo lakini Iryn alikuwa ananitafsiria.

BIBI: “Juzi nikasema yule mwarabu ametokea wapi tena kumbe ndo mme mwenzangu.”

Na bibi akaanza kucheka, na tukasalimiana kwa kushikana mikono,

MIMI: “Isin attam?” (unaendeleaje?)

BIBI: “Nagaa, maqaan ke eenyu?” (Salama, unaitwa nani?”)

MIMI: “Maqaaan ko Insider.” (Naitwa Insider).

Iryn alishangaa sana kuona nimeweza kuongea na bibi kwa kilugha hata bibi naye alionesha kunifurahia sana. Iryn aliendelea kuongea na bibi pale kwa kilugha na baadae alinambia kuwa bibi anajua kila kitu kuhusu ujauzito wake. Nilishangaa maana niliona Iryn ameanza kuleta masihara,

IRYN: “Baby don’t worry bibi hana shida kabisa na anajua kinachoendelea na leo ndo amekujua ni baba wa hii mimba. Maswala mengine hatujaongea, ila nilimwambia tangu mimba ikiwa changa so usiwe na wasiwasi, sisi ni wake zako.”

MIMI: “Sawa no problem kama unayosema ni ya kweli.”

IRYN: “Huoni pia bibi kakupenda? I know her na amefurahi kukuona.”

Wakati tukiendelea kupiga story kwa upande mwingine Jimmy alionekana kuja usawa wetu huku amebeba bia kwenye trey na tukaanza kunywa pale taratibu. Baada ya dakika 10 hivi ilikuja nyama choma kwenye sinia kubwa na hapa bia zilikuwa zinashuka vizuri sasa. Bibi kwa upande wake alikuwa anakunywa wine, lakini ilikuwa tofauti kwa Iryn alikuwa anakunywa juice.

Walikuja wadogo zake kujumuika na sisi na Iryn alinionesha mdogo wake mmoja ambae anaishi nae South Africa. Baada ya kunitambulisha nikajisemea ndomana alikuwa ananiangalia sana, kumbe ananijua. Baadae mama mkubwa alikuja, tukasalimiana na niseme alikuwa ananiangalia sana, alianza maongezi na Iryn;

MAMA: “Wewe toka jana nakuona unakunywa juice? Una matatizo gani?” Lilikuwa ni swali kwenda kwa Iryn na alitumia kilugha.

IRYN: “Sijisikii vizuri ndomana.”

BIBI: “Tangu mjukuu wangu arudi analalamika hajisikii vizuri.”

JIMMY: “Dada kesho itabidi tukafanye check-up.”

MAMA: “Iryn nifuate ndani.”

Na mimi nilijisemea kimoyomoyo kimenuka nini? Na Iryn alinyanyuka akamfuata mama,

(Iryn alinambia kilichokuwa kinaendelea na maongezi yao baada ya mama yake mkubwa kuja pale garden).

Mida ya saa 3 usiku alikuja mdogo wake akanipa kikaratasi kwa siri sana yaani hakuna mtu aliyejua. Baada ya kukifungua kulikuwa na ujumbe kwamba niende parking ananisubiri na nilijua huyu ni Iryn, ilibidi nitoke pale kwa mahesabu maana palikuwa na ndugu kibao.

Baada ya kufika parking kulikuwa na gari kama sita hivi, nikawa simwoni na nilisikia sauti kwa chini ikiniita “Insider”. Nilizunguka upande wa nyuma nikamwona amesimama huku ameegemea gari, nikamsogelea na baada ya kufika usawa wake akanivuta akaanza kunipiga makiss kwa fujo.

MIMI: “Baby stop mazingira sio rafiki.”

Wasiwasi wangu ulikuwa ni camera wala sio kingine maana nilikuwa makini sana kama vile Rambo anavyo-move kwenye traps.

IRYN: “Nimeizima camera ya huku nyuma ndomana nimekuita. Nimekumiss baby na sahivi siwezi kutoka na wewe, unajua hapa home wana ni treat kama mtoto baby.”

MIMI: “Why? sijakuelewa.”

IRYN: “Nikiwa hivi home kama natoka kwenda sehemu lazima niage na mamkubwa ni mkali hataki ujinga tukiwa hapa kwake.”

Na alinivuta tena akaanza kunipa makisi motomoto sasa Kutoka na ule ukaribu nilianza kuli-feel joto lake na mnara ulikuwa ushaanza kudaka mawimbi kwa kasi. Nilianza kumpa ushirikiano pale na alianza kuikoki gun kwa mbali na nikajisemea huyu anataka vita wala sio kingine.

Na muda huu alionekana kabisa anataka nimuweke, lakini mazingira hayakuwa rafiki na alikuwa kashanza kunifungua mkanda,

MIMI: “Baby listen njoo kesho hotelini mapema but not here, utafanya wanione wa ajabu sana.”

IRYN: “No one will come here please! I need d*ck right now”.

Sikuwa na jinsi ilibidi nilimpe anachotaka muda huu palepale parking na baada ya risasi kufyatuka ndo kuachana pale. Kurudi garden niliona soo! hivyo nikamwambia ampigie simu Jimmy ili anipe kampani niondoke. Jimmy alikuja chap ili tuondoke na Iryn aliendelea kunikumbatia pale akawa hataki kuniachia,

JIMMY: “Kama bado una hamu naye twende na wewe ukalale hotelini.”

Nilimuaga kwa kumkiss shavuni na aliniachia tukaondoka na Jimmy kurudi hotelini. Njiani Jimmy alikuwa akiniambia kuwa mdogo wake ananipenda sana tena ni mapenzi yale real. Baada ya kufika hotelini tuliagana na mimi nilikwenda room kulala maana nilikuwa hoi sana.

****
Asubuhi na mapema niliamka kujiandaa kwaajili ya safari nyingine tena ya kwenda makaburini. Mida ya saa 3 asubuhi Jimmy na Iryn walikuwa wamewasili kunichukua na hao tukaanza safari ya kwenda huko.

Jimmy ndo mtoto wa kwanza kwa upande wa mama mkubwa ndomana Iryn anamuita kaka. Sasa kipindi tuko njiani Jimmy alikuwa ameweka ngoma za reggae na kibao kilichokuwa kinasikika ni cha Bob Marley “I'm just a Buffalo Soldier, In the heart of America, Stolen from Africa, brought to America.”

Jimmy alikuwa anaonesha kuimba kwa hisia kali sana muda huu maana alionesha utulivu wa hali ya juu sana, na Iryn alianza kumzingua Jimmy,

IRYN: “Mhh! Kwa jinsi unavyoimba kwa hisia utafikiri kweli unahisia kumbe ni mshenzi mmoja tu.”

JIMMY: “Umeamua uanze kunichokoza dada, namuheshimu Insider shem wangu hapa.”

IRYN: “Jimmy umenikera sana kwanini kila rafiki yangu naye kutambulisha lazima umtongoze? Hio sio heshima kabisa.”

Jimmy alinyamaza kimya kwa sekunde afu akacheka,

JIMMY: “Sifa ya mwanaume ni pamoja na kutongoza au ulitaka wanitongoze?”

IRYN: “Huoni aibu umekataliwa sasa na nimejua, una mwanamke wako amekuzalia na mtoto kaja hadi home kukupa kampani lakini bado unahangaika ni lini utatulia?”

JIMMY: “Naona unamtumia Amara kama jiwe la kunibondea dada yangu sawa bhana.”

IRYN: “Jimmy kaka yangu embu badilika natamani kuwa na wifi wangu wa uhakika, ndomana sikuhizi hunitambulishi wanawake zako.”

JIMMY: “Yaishe haya namuheshimu shem wangu hapa. Soon nakutambulisha wifi yako wa uhakika.”

IRYN: “Awe Amara na sio nje na huyu, sisi tumemchagua Amara ndo wifi yetu.”

Niliingilia maongezi yao,

MIMI: “Sasa uyo Amara ikitokea Jimmy kaoa mwanamke mwingine itakuaje?”

IRYN: “Anaanzaje? Amara ndo kipenzi chetu pale home na ukweli yule dada anampenda Jimmy sema ndo hivo.”

MIMI: “Yule dada ni mzuri kwakweli, niseme ukweli.”

IRYN: “Jimmy hawezi kukuelewa kabisa.”

(Mimi na Iryn tulikuwa tunatumia kiswahili, Jimmy alikuwa haelewi kitu)

Tuliwasili pale makaburini na tulianza kwanza kaburi la mama yake then tukamalizia la babu yake. Makaburi yote yaliyokuwa yanaonekana ni ya ukoo na ni eneo lao special kwa mazishi ya wana ukoo.

IRYN: “Baby hapa ndo alikolazwa mama yangu am sorry jumamosi sikuweza kuongea lolote na wewe.”

MIMI: “Usijali kwa yale mazingira ya siku ile isingewezekana na nilikuona ukilia sana.”

IRYN: “Nam-miss sana mama yangu baada ya kifo chake everything changed.”

Jimmy aliondoka ni kama alikuwa anatupa nafasi ya kuongea.

MIMI: “What do you mean? Everything changed how?”

IRYN: “Baby njoo kaa hapa close.”

Tulikaa pembeni ya kaburi la mama yake tukaendelea na mazungumzo,

MIMI: “Nakusikiliza.”

IRYN: “Kwanza sorry for what happened that day I was wrong, naomba utambue nakupenda sana na ninaamini unanipenda. Kwa muda mrefu tumekuwa pamoja kuna vitu ambavyo sikukuweka wazi lakini leo nitakuweza wazi uvijue. Baada ya mama kufariki nilikuwa mtu wa mawazo sana hata kaka Jimmy atakwambia ukimuuliza. Nilikata tamaa ya kuishi kabisa, you know mimi na mom tuliishi kwa furaha sana enzi za uhai wake na hakuna siku ambayo alishawahi kunikosea, always alikuwa anapenda kuniona nina furaha. Baada ya kifo chake nilimchukia sana baba niliona yeye ndo amesababisha haya yote na sikuwa na mpango naye tena.

Niliendelea kukaa na mamkubwa baadae nikaondoka kwenda Ufaransa na kule ndo nilikoanza kujiingiza kwenye biashara za massage ndo mpaka tunakutana. That time sikutaka kufanya kazi yoyote ile wala sikutaka kusikiliza ushauri wa mtu until I met mama Janeth. Mama ndo aliweza kunishawishi nirudi Tanzania ili nitulize akili, na uzuri mama Janeth namjua ni rafiki mkubwa wa mama nilikubali kurudi Tanzania. Lengo langu la kurudi Dar nifuatilie na mali alizoacha mama maana mali zake zote aliziandika kwa diary. Mimi nilikuwa najua mali zake zote alizoziacha kwa Tanzania na sikutaka kumwambia chochote mama Janeth na nilisubiri yeye aongee. Mama Janeth ana roho nzuri sana aliniambia mali zote za mama hapa Tanzania na hakuficha hata moja.


Since nimekutana na wewe maisha yangu yamebadilika sana na wewe ndo sababu ya mimi kuwa na furaha tena. Naomba usiwe na wasiwasi na lengo la kukuleta huku Ethiopia uwajue ndugu zangu ili hapo badae usione shida au tatizo kuja huku kwa mambo mengine. Na nikuahidi hakuna mtu yoyote atakayeingilia mahusiano yetu na hii mimba nitaitunza mpaka najifungua.”

MIMI: “Sasa wewe ni raia wa nchi gani maana mpaka sasa nashindwa kukuelewa, ni mtanzania, Muethiopia, Msouth, au mfaransa?”

IRYN: “That time sikutaka kuyazungumza haya in deep maana sikuona sababu ya wewe kujua kila kitu kutoka kwangu, lakini kwasasa nitakwambia ukweli. Mimi ni raia wa Ethiopia na Tanzania tuliishi sababu ya mama kuwa na legal rights za kuishi hapa Tanzania, sababu ya organization aliyokuwa anafanyia kazi.”

MIMI: “Vipi kuhusu mali? maana kwa Tanzania foreigner harusiwi kumiliki ardhi.”

IRYN: “Mhh baby unaniaibisha bhana, mali zote zipo chini ya kampuni nyingine ambayo kwasasa wamiliki ni mimi na mamkubwa na yeye ni kama mwangalizi tu. Hapo baadae Mungu akijalia naweza kuja kuwaweka hata wanangu.”

MIMI: “Na vipi kuhusu hiyo gun unayomiliki? Hukuwai kunipa maelekezo ya kueleweka mpaka sasa, ilikuaje mpaka ukamiliki.”

IRYN: “Hio niliachiwa urithi na mama kwaajili ya ulinzi wangu binafsi, so usiwe na wasiwasi baby.”

MIMI: “Nashukuru atleast leo umeniambia ukweli kuhusu wewe.”

IRYN: “Bado wewe kunipeleka kwenu na nina tamani sana tufunge ndoa hata leo baby.

Mimi nilinyamaza kimya kama sijasikia kitu maana niliona ameanza kuongea topic ambazo hata nikimjibu ataishia kununa, niliona ni heri nikanyamaza na nilichange mada.

Tuliongea mambo mengi sana na hii siku na aliweza kufunguka sana, ila mambo mengi yanabaki kuwa siri yangu. Habari nyingine kubwa alinambia wakati wa kurudi tutapitia kutembelea nyumba aliyoacha mama yake na alisema haipo mbali sana na pale kwa mama mkubwa.

Saa 8 za mchana tulitoka pale makaburini na safari yetu ilikuwa kwenda kuangalia hio nyumba yao. Tulitumia kama dakika 40 kufika eneo la tukio, nyumba iko hukohuko Bahir dar ila distance ya kutoka kwa mama yake mkubwa mpaka alikojenga mama yake ni kama km15.

Baada ya kuwasili eneo la tukio, tulifunguliwa gate na mlinzi tukaingia ndani. Mbele yangu ilionekana nyumba ya ghorofa 1 na ni nzuri sana kwakweli na baada ya kuridhika na mazingira ya pale tuliondoka. Kwa upande mwingine Iryn alinambia nyumba ilitaka kuleta shida hasa upande wa ndugu maana walitaka kumdhulumu, lakini mamkubwa wake ndo alikuwa makini sana. Baada ya kumaliza ukaguzi tuliondoka kurudi home na mimi nilitaka nikawaage ndugu zake kwaajili ya safari ya kesho.

Baada ya kuwasili pale home tulikaa kibarazani tukiendelea mazungumzo ya hapa na pale na kubwa ilikuwa kuhusu mimba yake. Muda ulikuwa unazidi kwenda na mimba huwa haifichiki, kuna siku mambo yatakuwa hadharani. Ulikuwa ni mjadala mrefu ambao ulikuwa unakosa majibu maana hata yeye alisema hajui siku ambayo atatoa taarifa home wataipokeaje.

“Bibi anajua hii ishu, unamuamini sana kwamba hawezi kumwambia mamkubwa?”

“Bibi hawezi kuropoka kwa mama na tunasiri nyingi sana na bibi. Insider jambo kama hili si la kuficha sana, ni Jimmy na bibi pekee ndo wanajua.”

“Mhh sawa mummy ila mimi naona siku ya kuweka hili jambo hadharani kila kitu kitabadikika.”

“Baby don’t worry about this.”

Baada ya dakika 20 Jimmy alikuja na mtoto wa kike wa miaka 3 ni kazuri balaa, akanitambulisha kuwa ni mwanae wa pili, na jumla ana watoto 3 wote amezaa na mama tofauti. Baadae alikuja mama mtoto “Amara”na akanitambulisha pale kuwa ndo mama mtoto na mimi nilimtania Jimmy kwanini asimuoe? Aliishia kucheka tu.

IRYN: “Jimmy kwa huyu mwanamke sidhani kama ataweza kuchomoa kwani anapendwa sana na mama, ndomana unaona amekuja ila wengine hawawezi thubutu kusogea hapa, ni suala la muda tu ataoa.”

MIMI: “Hivi Jimmy anakaa hapa home?”

Nilimuuliza Iryn kwa kiswahili maana nilijua Jimmy hajui,

IRYN: “Anaishi Addis, huku amekuja kwaajili ya haya masuala. Kesho tutaitembelea organization yetu uione, Jimmy anaisimamia unakumbuka nilikwambia about this?”

MIMI: “Yeah nakumbuka.”

JIMMY: “You guys, I need to learn Swahili. What are you talking about?.”

Na sisi tuliishia kucheka tu maana Jimmy anasemaga tukiongea kiswahili tunamteta.

Kwa mbali ilikuwa ikisikika ngoma ya Ruger-Girlfriend na Iryn alisimama akaanza kudance kwa madoido. Jimmy aliingia sebuleni kuongeza sauti na aliendelea kukata mauno pale kibarazani kwa ustadi wa hali ya juu sana.

Mimi na Jimmy tuliishia kuwa wapenzi watizimaji na baada ya ngoma kuisha Jimmy aka-irudia tena, kipindi hiki Girlfriend ndo ilikuwa inabamba sana mtaani. Jimmy naye alianza kudance pale, sasa baada ngoma kuchange ilisikika “Joha ya Asake”na hapa balaa ndo likaongezeka. Mimi nilikuwa nawachukua video pale na zoezi lilikatika baada ya gari ya mama mkubwa kuonekana ikiingia ndani.

Kuna kitu nilikibaini kati ya Iryn na Jimmy, yaani ni wale ndugu ambao wanapendana sana na kila mmoja ana-mjali mwenzake. Kuna muda wanazinguana sana kuna muda wanacheka na kucheza kama hivi na kuna muda wanakuwa serious.

Hii siku nilipata chakula cha usiku pale kwao na kwa upande mwingine mama yake mkubwa alikuwa akiniangalia sana mpaka nikaanza kujishtukia. Dizaini kama mama mkubwa alihisi something fishy kinaendelea kati yangu na Iryn ni vile alikuwa hana ushahidi tu. Katika watu ambao sikupiga nao story kabisa ni pamoja na mama mkubwa wa Iryn.

Baada ya kupata dinna niliwaga na kwa upande wao walishukuru sana kwa ujio wangu na nikaondoka na Jimmy kurudi hotelini. Nilivyoingia room niliendelea kujiandaa kwaajili ya safari ya kurudi Tanzania na nilianza kupanga nguo zangu. Baada ya kumaliza nilitulia nikaanza kuangalia zile video ambazo Iryn alikuwa anacheza pale kwao na niliishia kutabasam tu! na nikaenda kuoga ili nilale.

Mida ya saa 6 za usiku nilisikia mlango ukigongwa na nikajiuliza nani anagonga muda huu? niliwaza atakuwa ni mhudumu, hivyo nilitoka kufungua na nilishangaa sana kumuona Iryn amesimama akiniangalia, mimi nilijiuliza huyu anatafuta nini usiku huu?.

DONT PANIC
Thanks for another episode.
 
Hizi ni friction stories tu usijishushe heshima na utu wako kihivyo. Lengo la kusema ulienda kukojoa ni nini? Weka picha basi tuone unavyokojoa. Pathetic
yaaaah mkubwa umeongea point sana huyu dada sjui kalogwa daaa yan anavua had utu wake
yan wanawake bana sjui wana nn yan inapoelekea anaweza bua ata samaki katik bwawa na miti ilochongwa huyu sista akatwangwa na mchi na kuvmba juuu kama pulzo daaaaah mpeni mawazo atauvua utu
sema.pia hapo n fictipn sio friction hakuna fizkia kjana
 
SEASON 02:
CHAPTER 10

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

Mimi nilikwenda kuoga na baada ya kutoka washroom nilikuta Iryn hayupo na mimi nilijua ameondoka kurudi kwao, ni wivu wake ulikuwa una msumbua. Pale kitandani kulikuwa na karatasi nyeupe ameiandika na niliichukua ili nisome alichoniandikia.

CONTINUE

Baada ya kusoma ile karatasi alikuwa kaandika hivi,

"Congratulations, my love! Argentina's victory in the World Cup is a testament to their incredible teamwork and skill. I'm so proud of you and your team for achieving this remarkable milestone. Let's celebrate this historic moment together! Vamos Argentina.❤️”

Niliishia kusonya tu pale maana alikuwa kasha-niharibia usiku wangu na muda huu Jimmy alinipigia simu kupitia whatsapp na nikapokea pale kwa haraka sana,

JIMMY: “Hey bro where the f*ck are you?”

MIMI: “I’m at the hotel, she didn't want me to stay there, so we went back to the hotel."

JIMMY: “I'm sorry brother, Iryn isn't feeling well today. She's struggling with jealousy towards you, but please be patient with her, her pregnancy is causing some confusion."

MIMI: “Hahahahaa! You can't believe we got back to the hotel and then she left me alone.”

JIMMY: “Like I said, bear with her, her mind is not right at the moment."

MIMI: “Thank you brother let me sleep, I’ll see you tomorrow if God wish.”

JIMMY: “Goodnight brother.”

Baada ya kuongea na Jimmy nilijisemea kama shemeji ninae hana noma na hii ni bahati maana alikuwa ananijali sana na alionesha kunikubali since tunakutana pale Tripple 7 Mikocheni. Niliwaza kuhusu Iryn na nilijua ni mimba inamchanganya kwasasa na sio kingine, ila mimi wasiwasi wangu wasije wakamshtukia tu! pale kwao.

Kwa upande mwingine nilifanya mawasiliano na Sumaiya na alinipa taarifa kuwa ameshachukua gari yake tayari, lakini hajui kuendesha na ameishia kuipark tu. Nilimwambia aanze kwenda driving school ili aongeze ujuzi na nilimtumia namba ya mtu ambaye ataweza kumfundisha kwa haraka, ni kule alikojifunzia Jane.

Kwa upande mwingine wife alikuwa kanicheki pia kuulizia maendeleo na siku ambayo nitarudi. Ukweli sikuwa najua muda wa kurudi Tanzania na niliishia kumwambia mpaka kufikia jumanne nitakuwa nimerudi.

****
Kesho yake ambayo ni jumatatu nilichelewa kuamka na ile baada ya kuamka, kucheki muda ilikuwa ni saa 4 asubuhi. Kwa upande mwingine hakukuwa na taarifa yoyote kutoka kwa Iryn wala Jimmy. Niliingia bafuni kuoga na baada ya kutoka nilikutana na missed call 2 za Jimmy na nika-mcall back, akanipa taarifa kuwa wako njiani wanakuja ili twende tukatalii lake Tana.

Baada ya kuwasili na kuni-pick tuliondoka kuelekea upande mwingine wa ziwa ambako ndo tulipata boat ya kukodi na kututembeza ziwani. Tangu wawasili pale hotelini kunibeba mimi na Iryn hatukuwa na maongezi yoyote zaidi ya salamu tu na mimi niliamua kuvunja ukimya. Nilianza kuongea naye na kubwa nilitaka kujua maendeleo yake kwa ujumla kwani alionekana kutokuwa sawa kabisa. Iryn kwa upande wake alisema yuko sawa na niliendelea kumtania kama bado kanuna kutokana na jambo la siku ile.

Ndani ya muda mfupi tulikuwa tuko sawa na story zilikuwa zimekolea na Jimmy alianza kumzingua Iryn,

JIMMY: “Kwanini jana umemtoa Insider bila ridhaa yangu?”

IRYN: “Kwanini ulitoka naye bila ridhaa yangu?”

JIMMY: “Ulitakiwa unishukuru mimi kwa uwepo wangu otherwise Insider angekuwa lonely sana.”

IRYN: “Umemwacha mama mtoto wako kule home umekimbilia kula bata na b*tch zako.”

JIMMY: “Sikumpigia simu aje home ni mama aliyefanya huu ujinga wa kumpigia simu.”

IRYN: “Jimmy you’re my brother sometimes behave like my brother, kumbuka yule mwanamke analea damu yako, jaribu kumpa thamani bhasi. Kila siku nakwambia katika wanawake ulionao hakuna hata mmoja anaemzidi akili Amara.”

JIMMY: “Kuzaa na mimi sio ticket ya kumuoa endeleeni kumdanganya na mama.”

IRYN: “Yaani Jimmy Mungu akusaidie bro, na wale mama watoto zako wengine wanaendeleaje?”

JIMMY: “Wako salama natuma pocket money kwa wakati ndomana unaona hakuna kelele.”

Iryn aliishia kusikitika na akaniangalia maana mimi muda wote nilikuwa kimya kama mpenzi msikilizaji.

Tulikwenda upande wa pili wa ziwa na tulitulia beach na muda huu niliendelea kufanya mazungumzo na Iryn maana ilibidi nimuulize yeye anaondoka lini huku. Kwa upande wake alisema yupo mpaka mwisho wa week hii sababu ana msubiri baba yake na watarudi wote south Africa. Kwa upande wangu niliomba niondoke kesho ambayo ni jumanne lakini aliniomba niondoke jumatano ili tukatembelee kaburi la mama yake tena.

Ofcourse tulikuwa kwenye mahaba mazito sana pale beach na Jimmy akaanza matani kwa Iryn, ni kama walikuwa wanatupiana mpira. Nisema naipenda sana life style yao, wanapendana sana hawa watu balaa,

“Insider dada yangu sijui umempa nini maana unajua kumpagawisha.”

Na tulishia kucheka wote maana Jimmy ni mtu wa matani sana na ni talkative. Ni aina ya mtu ambaye ana story sana na haboi kuwa naye ni mtu mmoja poa sana asee.

Saa 11 za jioni tuliondoka kule ziwani kurudi home na walinunua samaki wa kutosha wa kupeleka home. Baada ya kuwasili home tulimkuta bibi amekaa garden na sisi tulimfuata pale tukaungana na tukaanza story,

IRYN: “Momo! huyu anaitwa Insider mwanaume tunayeongea kuhusu yeye kila siku, ndo huyu sasa.”

Lugha iliyokuwa inatumika ni ki-oromo lakini Iryn alikuwa ananitafsiria.

BIBI: “Juzi nikasema yule mwarabu ametokea wapi tena kumbe ndo mme mwenzangu.”

Na bibi akaanza kucheka, na tukasalimiana kwa kushikana mikono,

MIMI: “Isin attam?” (unaendeleaje?)

BIBI: “Nagaa, maqaan ke eenyu?” (Salama, unaitwa nani?”)

MIMI: “Maqaaan ko Insider.” (Naitwa Insider).

Iryn alishangaa sana kuona nimeweza kuongea na bibi kwa kilugha hata bibi naye alionesha kunifurahia sana. Iryn aliendelea kuongea na bibi pale kwa kilugha na baadae alinambia kuwa bibi anajua kila kitu kuhusu ujauzito wake. Nilishangaa maana niliona Iryn ameanza kuleta masihara,

IRYN: “Baby don’t worry bibi hana shida kabisa na anajua kinachoendelea na leo ndo amekujua ni baba wa hii mimba. Maswala mengine hatujaongea, ila nilimwambia tangu mimba ikiwa changa so usiwe na wasiwasi, sisi ni wake zako.”

MIMI: “Sawa no problem kama unayosema ni ya kweli.”

IRYN: “Huoni pia bibi kakupenda? I know her na amefurahi kukuona.”

Wakati tukiendelea kupiga story kwa upande mwingine Jimmy alionekana kuja usawa wetu huku amebeba bia kwenye trey na tukaanza kunywa pale taratibu. Baada ya dakika 10 hivi ilikuja nyama choma kwenye sinia kubwa na hapa bia zilikuwa zinashuka vizuri sasa. Bibi kwa upande wake alikuwa anakunywa wine, lakini ilikuwa tofauti kwa Iryn alikuwa anakunywa juice.

Walikuja wadogo zake kujumuika na sisi na Iryn alinionesha mdogo wake mmoja ambae anaishi nae South Africa. Baada ya kunitambulisha nikajisemea ndomana alikuwa ananiangalia sana, kumbe ananijua. Baadae mama mkubwa alikuja, tukasalimiana na niseme alikuwa ananiangalia sana, alianza maongezi na Iryn;

MAMA: “Wewe toka jana nakuona unakunywa juice? Una matatizo gani?” Lilikuwa ni swali kwenda kwa Iryn na alitumia kilugha.

IRYN: “Sijisikii vizuri ndomana.”

BIBI: “Tangu mjukuu wangu arudi analalamika hajisikii vizuri.”

JIMMY: “Dada kesho itabidi tukafanye check-up.”

MAMA: “Iryn nifuate ndani.”

Na mimi nilijisemea kimoyomoyo kimenuka nini? Na Iryn alinyanyuka akamfuata mama,

(Iryn alinambia kilichokuwa kinaendelea na maongezi yao baada ya mama yake mkubwa kuja pale garden).

Mida ya saa 3 usiku alikuja mdogo wake akanipa kikaratasi kwa siri sana yaani hakuna mtu aliyejua. Baada ya kukifungua kulikuwa na ujumbe kwamba niende parking ananisubiri na nilijua huyu ni Iryn, ilibidi nitoke pale kwa mahesabu maana palikuwa na ndugu kibao.

Baada ya kufika parking kulikuwa na gari kama sita hivi, nikawa simwoni na nilisikia sauti kwa chini ikiniita “Insider”. Nilizunguka upande wa nyuma nikamwona amesimama huku ameegemea gari, nikamsogelea na baada ya kufika usawa wake akanivuta akaanza kunipiga makiss kwa fujo.

MIMI: “Baby stop mazingira sio rafiki.”

Wasiwasi wangu ulikuwa ni camera wala sio kingine maana nilikuwa makini sana kama vile Rambo anavyo-move kwenye traps.

IRYN: “Nimeizima camera ya huku nyuma ndomana nimekuita. Nimekumiss baby na sahivi siwezi kutoka na wewe, unajua hapa home wana ni treat kama mtoto baby.”

MIMI: “Why? sijakuelewa.”

IRYN: “Nikiwa hivi home kama natoka kwenda sehemu lazima niage na mamkubwa ni mkali hataki ujinga tukiwa hapa kwake.”

Na alinivuta tena akaanza kunipa makisi motomoto sasa Kutoka na ule ukaribu nilianza kuli-feel joto lake na mnara ulikuwa ushaanza kudaka mawimbi kwa kasi. Nilianza kumpa ushirikiano pale na alianza kuikoki gun kwa mbali na nikajisemea huyu anataka vita wala sio kingine.

Na muda huu alionekana kabisa anataka nimuweke, lakini mazingira hayakuwa rafiki na alikuwa kashanza kunifungua mkanda,

MIMI: “Baby listen njoo kesho hotelini mapema but not here, utafanya wanione wa ajabu sana.”

IRYN: “No one will come here please! I need d*ck right now”.

Sikuwa na jinsi ilibidi nilimpe anachotaka muda huu palepale parking na baada ya risasi kufyatuka ndo kuachana pale. Kurudi garden niliona soo! hivyo nikamwambia ampigie simu Jimmy ili anipe kampani niondoke. Jimmy alikuja chap ili tuondoke na Iryn aliendelea kunikumbatia pale akawa hataki kuniachia,

JIMMY: “Kama bado una hamu naye twende na wewe ukalale hotelini.”

Nilimuaga kwa kumkiss shavuni na aliniachia tukaondoka na Jimmy kurudi hotelini. Njiani Jimmy alikuwa akiniambia kuwa mdogo wake ananipenda sana tena ni mapenzi yale real. Baada ya kufika hotelini tuliagana na mimi nilikwenda room kulala maana nilikuwa hoi sana.

****
Asubuhi na mapema niliamka kujiandaa kwaajili ya safari nyingine tena ya kwenda makaburini. Mida ya saa 3 asubuhi Jimmy na Iryn walikuwa wamewasili kunichukua na hao tukaanza safari ya kwenda huko.

Jimmy ndo mtoto wa kwanza kwa upande wa mama mkubwa ndomana Iryn anamuita kaka. Sasa kipindi tuko njiani Jimmy alikuwa ameweka ngoma za reggae na kibao kilichokuwa kinasikika ni cha Bob Marley “I'm just a Buffalo Soldier, In the heart of America, Stolen from Africa, brought to America.”

Jimmy alikuwa anaonesha kuimba kwa hisia kali sana muda huu maana alionesha utulivu wa hali ya juu sana, na Iryn alianza kumzingua Jimmy,

IRYN: “Mhh! Kwa jinsi unavyoimba kwa hisia utafikiri kweli unahisia kumbe ni mshenzi mmoja tu.”

JIMMY: “Umeamua uanze kunichokoza dada, namuheshimu Insider shem wangu hapa.”

IRYN: “Jimmy umenikera sana kwanini kila rafiki yangu naye kutambulisha lazima umtongoze? Hio sio heshima kabisa.”

Jimmy alinyamaza kimya kwa sekunde afu akacheka,

JIMMY: “Sifa ya mwanaume ni pamoja na kutongoza au ulitaka wanitongoze?”

IRYN: “Huoni aibu umekataliwa sasa na nimejua, una mwanamke wako amekuzalia na mtoto kaja hadi home kukupa kampani lakini bado unahangaika ni lini utatulia?”

JIMMY: “Naona unamtumia Amara kama jiwe la kunibondea dada yangu sawa bhana.”

IRYN: “Jimmy kaka yangu embu badilika natamani kuwa na wifi wangu wa uhakika, ndomana sikuhizi hunitambulishi wanawake zako.”

JIMMY: “Yaishe haya namuheshimu shem wangu hapa. Soon nakutambulisha wifi yako wa uhakika.”

IRYN: “Awe Amara na sio nje na huyu, sisi tumemchagua Amara ndo wifi yetu.”

Niliingilia maongezi yao,

MIMI: “Sasa uyo Amara ikitokea Jimmy kaoa mwanamke mwingine itakuaje?”

IRYN: “Anaanzaje? Amara ndo kipenzi chetu pale home na ukweli yule dada anampenda Jimmy sema ndo hivo.”

MIMI: “Yule dada ni mzuri kwakweli, niseme ukweli.”

IRYN: “Jimmy hawezi kukuelewa kabisa.”

(Mimi na Iryn tulikuwa tunatumia kiswahili, Jimmy alikuwa haelewi kitu)

Tuliwasili pale makaburini na tulianza kwanza kaburi la mama yake then tukamalizia la babu yake. Makaburi yote yaliyokuwa yanaonekana ni ya ukoo na ni eneo lao special kwa mazishi ya wana ukoo.

IRYN: “Baby hapa ndo alikolazwa mama yangu am sorry jumamosi sikuweza kuongea lolote na wewe.”

MIMI: “Usijali kwa yale mazingira ya siku ile isingewezekana na nilikuona ukilia sana.”

IRYN: “Nam-miss sana mama yangu baada ya kifo chake everything changed.”

Jimmy aliondoka ni kama alikuwa anatupa nafasi ya kuongea.

MIMI: “What do you mean? Everything changed how?”

IRYN: “Baby njoo kaa hapa close.”

Tulikaa pembeni ya kaburi la mama yake tukaendelea na mazungumzo,

MIMI: “Nakusikiliza.”

IRYN: “Kwanza sorry for what happened that day I was wrong, naomba utambue nakupenda sana na ninaamini unanipenda. Kwa muda mrefu tumekuwa pamoja kuna vitu ambavyo sikukuweka wazi lakini leo nitakuweza wazi uvijue. Baada ya mama kufariki nilikuwa mtu wa mawazo sana hata kaka Jimmy atakwambia ukimuuliza. Nilikata tamaa ya kuishi kabisa, you know mimi na mom tuliishi kwa furaha sana enzi za uhai wake na hakuna siku ambayo alishawahi kunikosea, always alikuwa anapenda kuniona nina furaha. Baada ya kifo chake nilimchukia sana baba niliona yeye ndo amesababisha haya yote na sikuwa na mpango naye tena.

Niliendelea kukaa na mamkubwa baadae nikaondoka kwenda Ufaransa na kule ndo nilikoanza kujiingiza kwenye biashara za massage ndo mpaka tunakutana. That time sikutaka kufanya kazi yoyote ile wala sikutaka kusikiliza ushauri wa mtu until I met mama Janeth. Mama ndo aliweza kunishawishi nirudi Tanzania ili nitulize akili, na uzuri mama Janeth namjua ni rafiki mkubwa wa mama nilikubali kurudi Tanzania. Lengo langu la kurudi Dar nifuatilie na mali alizoacha mama maana mali zake zote aliziandika kwa diary. Mimi nilikuwa najua mali zake zote alizoziacha kwa Tanzania na sikutaka kumwambia chochote mama Janeth na nilisubiri yeye aongee. Mama Janeth ana roho nzuri sana aliniambia mali zote za mama hapa Tanzania na hakuficha hata moja.


Since nimekutana na wewe maisha yangu yamebadilika sana na wewe ndo sababu ya mimi kuwa na furaha tena. Naomba usiwe na wasiwasi na lengo la kukuleta huku Ethiopia uwajue ndugu zangu ili hapo badae usione shida au tatizo kuja huku kwa mambo mengine. Na nikuahidi hakuna mtu yoyote atakayeingilia mahusiano yetu na hii mimba nitaitunza mpaka najifungua.”

MIMI: “Sasa wewe ni raia wa nchi gani maana mpaka sasa nashindwa kukuelewa, ni mtanzania, Muethiopia, Msouth, au mfaransa?”

IRYN: “That time sikutaka kuyazungumza haya in deep maana sikuona sababu ya wewe kujua kila kitu kutoka kwangu, lakini kwasasa nitakwambia ukweli. Mimi ni raia wa Ethiopia na Tanzania tuliishi sababu ya mama kuwa na legal rights za kuishi hapa Tanzania, sababu ya organization aliyokuwa anafanyia kazi.”

MIMI: “Vipi kuhusu mali? maana kwa Tanzania foreigner harusiwi kumiliki ardhi.”

IRYN: “Mhh baby unaniaibisha bhana, mali zote zipo chini ya kampuni nyingine ambayo kwasasa wamiliki ni mimi na mamkubwa na yeye ni kama mwangalizi tu. Hapo baadae Mungu akijalia naweza kuja kuwaweka hata wanangu.”

MIMI: “Na vipi kuhusu hiyo gun unayomiliki? Hukuwai kunipa maelekezo ya kueleweka mpaka sasa, ilikuaje mpaka ukamiliki.”

IRYN: “Hio niliachiwa urithi na mama kwaajili ya ulinzi wangu binafsi, so usiwe na wasiwasi baby.”

MIMI: “Nashukuru atleast leo umeniambia ukweli kuhusu wewe.”

IRYN: “Bado wewe kunipeleka kwenu na nina tamani sana tufunge ndoa hata leo baby.

Mimi nilinyamaza kimya kama sijasikia kitu maana niliona ameanza kuongea topic ambazo hata nikimjibu ataishia kununa, niliona ni heri nikanyamaza na nilichange mada.

Tuliongea mambo mengi sana na hii siku na aliweza kufunguka sana, ila mambo mengi yanabaki kuwa siri yangu. Habari nyingine kubwa alinambia wakati wa kurudi tutapitia kutembelea nyumba aliyoacha mama yake na alisema haipo mbali sana na pale kwa mama mkubwa.

Saa 8 za mchana tulitoka pale makaburini na safari yetu ilikuwa kwenda kuangalia hio nyumba yao. Tulitumia kama dakika 40 kufika eneo la tukio, nyumba iko hukohuko Bahir dar ila distance ya kutoka kwa mama yake mkubwa mpaka alikojenga mama yake ni kama km15.

Baada ya kuwasili eneo la tukio, tulifunguliwa gate na mlinzi tukaingia ndani. Mbele yangu ilionekana nyumba ya ghorofa 1 na ni nzuri sana kwakweli na baada ya kuridhika na mazingira ya pale tuliondoka. Kwa upande mwingine Iryn alinambia nyumba ilitaka kuleta shida hasa upande wa ndugu maana walitaka kumdhulumu, lakini mamkubwa wake ndo alikuwa makini sana. Baada ya kumaliza ukaguzi tuliondoka kurudi home na mimi nilitaka nikawaage ndugu zake kwaajili ya safari ya kesho.

Baada ya kuwasili pale home tulikaa kibarazani tukiendelea mazungumzo ya hapa na pale na kubwa ilikuwa kuhusu mimba yake. Muda ulikuwa unazidi kwenda na mimba huwa haifichiki, kuna siku mambo yatakuwa hadharani. Ulikuwa ni mjadala mrefu ambao ulikuwa unakosa majibu maana hata yeye alisema hajui siku ambayo atatoa taarifa home wataipokeaje.

“Bibi anajua hii ishu, unamuamini sana kwamba hawezi kumwambia mamkubwa?”

“Bibi hawezi kuropoka kwa mama na tunasiri nyingi sana na bibi. Insider jambo kama hili si la kuficha sana, ni Jimmy na bibi pekee ndo wanajua.”

“Mhh sawa mummy ila mimi naona siku ya kuweka hili jambo hadharani kila kitu kitabadikika.”

“Baby don’t worry about this.”

Baada ya dakika 20 Jimmy alikuja na mtoto wa kike wa miaka 3 ni kazuri balaa, akanitambulisha kuwa ni mwanae wa pili, na jumla ana watoto 3 wote amezaa na mama tofauti. Baadae alikuja mama mtoto “Amara”na akanitambulisha pale kuwa ndo mama mtoto na mimi nilimtania Jimmy kwanini asimuoe? Aliishia kucheka tu.

IRYN: “Jimmy kwa huyu mwanamke sidhani kama ataweza kuchomoa kwani anapendwa sana na mama, ndomana unaona amekuja ila wengine hawawezi thubutu kusogea hapa, ni suala la muda tu ataoa.”

MIMI: “Hivi Jimmy anakaa hapa home?”

Nilimuuliza Iryn kwa kiswahili maana nilijua Jimmy hajui,

IRYN: “Anaishi Addis, huku amekuja kwaajili ya haya masuala. Kesho tutaitembelea organization yetu uione, Jimmy anaisimamia unakumbuka nilikwambia about this?”

MIMI: “Yeah nakumbuka.”

JIMMY: “You guys, I need to learn Swahili. What are you talking about?.”

Na sisi tuliishia kucheka tu maana Jimmy anasemaga tukiongea kiswahili tunamteta.

Kwa mbali ilikuwa ikisikika ngoma ya Ruger-Girlfriend na Iryn alisimama akaanza kudance kwa madoido. Jimmy aliingia sebuleni kuongeza sauti na aliendelea kukata mauno pale kibarazani kwa ustadi wa hali ya juu sana.

Mimi na Jimmy tuliishia kuwa wapenzi watizimaji na baada ya ngoma kuisha Jimmy aka-irudia tena, kipindi hiki Girlfriend ndo ilikuwa inabamba sana mtaani. Jimmy naye alianza kudance pale, sasa baada ngoma kuchange ilisikika “Joha ya Asake”na hapa balaa ndo likaongezeka. Mimi nilikuwa nawachukua video pale na zoezi lilikatika baada ya gari ya mama mkubwa kuonekana ikiingia ndani.

Kuna kitu nilikibaini kati ya Iryn na Jimmy, yaani ni wale ndugu ambao wanapendana sana na kila mmoja ana-mjali mwenzake. Kuna muda wanazinguana sana kuna muda wanacheka na kucheza kama hivi na kuna muda wanakuwa serious.

Hii siku nilipata chakula cha usiku pale kwao na kwa upande mwingine mama yake mkubwa alikuwa akiniangalia sana mpaka nikaanza kujishtukia. Dizaini kama mama mkubwa alihisi something fishy kinaendelea kati yangu na Iryn ni vile alikuwa hana ushahidi tu. Katika watu ambao sikupiga nao story kabisa ni pamoja na mama mkubwa wa Iryn.

Baada ya kupata dinna niliwaga na kwa upande wao walishukuru sana kwa ujio wangu na nikaondoka na Jimmy kurudi hotelini. Nilivyoingia room niliendelea kujiandaa kwaajili ya safari ya kurudi Tanzania na nilianza kupanga nguo zangu. Baada ya kumaliza nilitulia nikaanza kuangalia zile video ambazo Iryn alikuwa anacheza pale kwao na niliishia kutabasam tu! na nikaenda kuoga ili nilale.

Mida ya saa 6 za usiku nilisikia mlango ukigongwa na nikajiuliza nani anagonga muda huu? niliwaza atakuwa ni mhudumu, hivyo nilitoka kufungua na nilishangaa sana kumuona Iryn amesimama akiniangalia, mimi nilijiuliza huyu anatafuta nini usiku huu?.

DONT PANIC
Umetuwahi but thank again mzee we appreciate.............
 
yaaaah mkubwa umeongea point sana huyu dada sjui kalogwa daaa yan anavua had utu wake
yan wanawake bana sjui wana nn yan inapoelekea anaweza bua ata samaki katik bwawa na miti ilochongwa huyu sista akatwangwa na mchi na kuvmba juuu kama pulzo daaaaah mpeni mawazo atauvua utu
sema.pia hapo n fictipn sio friction hakuna fizkia kjana
Punguzeni kukaza shingo
Kujivua utu kwa kusoma story tuu
Haya enjoy moment maana huwa sipendi kupoteza muda kujibu negativity maana how u perceive me is non of my business
 
Back
Top Bottom