Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

SEASON 02:
CHAPTER 10

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

Mimi nilikwenda kuoga na baada ya kutoka washroom nilikuta Iryn hayupo na mimi nilijua ameondoka kurudi kwao, ni wivu wake ulikuwa una msumbua. Pale kitandani kulikuwa na karatasi nyeupe ameiandika na niliichukua ili nisome alichoniandikia.

CONTINUE

Baada ya kusoma ile karatasi alikuwa kaandika hivi,

"Congratulations, my love! Argentina's victory in the World Cup is a testament to their incredible teamwork and skill. I'm so proud of you and your team for achieving this remarkable milestone. Let's celebrate this historic moment together! Vamos Argentina.[emoji3590]”

Niliishia kusonya tu pale maana alikuwa kasha-niharibia usiku wangu na muda huu Jimmy alinipigia simu kupitia whatsapp na nikapokea pale kwa haraka sana,

JIMMY: “Hey bro where the f*ck are you?”

MIMI: “I’m at the hotel, she didn't want me to stay there, so we went back to the hotel."

JIMMY: “I'm sorry brother, Iryn isn't feeling well today. She's struggling with jealousy towards you, but please be patient with her, her pregnancy is causing some confusion."

MIMI: “Hahahahaa! You can't believe we got back to the hotel and then she left me alone.”

JIMMY: “Like I said, bear with her, her mind is not right at the moment."

MIMI: “Thank you brother let me sleep, I’ll see you tomorrow if God wish.”

JIMMY: “Goodnight brother.”

Baada ya kuongea na Jimmy nilijisemea kama shemeji ninae hana noma na hii ni bahati maana alikuwa ananijali sana na alionesha kunikubali since tunakutana pale Tripple 7 Mikocheni. Niliwaza kuhusu Iryn na nilijua ni mimba inamchanganya kwasasa na sio kingine, ila mimi wasiwasi wangu wasije wakamshtukia tu! pale kwao.

Kwa upande mwingine nilifanya mawasiliano na Sumaiya na alinipa taarifa kuwa ameshachukua gari yake tayari, lakini hajui kuendesha na ameishia kuipark tu. Nilimwambia aanze kwenda driving school ili aongeze ujuzi na nilimtumia namba ya mtu ambaye ataweza kumfundisha kwa haraka, ni kule alikojifunzia Jane.

Kwa upande mwingine wife alikuwa kanicheki pia kuulizia maendeleo na siku ambayo nitarudi. Ukweli sikuwa najua muda wa kurudi Tanzania na niliishia kumwambia mpaka kufikia jumanne nitakuwa nimerudi.

****
Kesho yake ambayo ni jumatatu nilichelewa kuamka na ile baada ya kuamka, kucheki muda ilikuwa ni saa 4 asubuhi. Kwa upande mwingine hakukuwa na taarifa yoyote kutoka kwa Iryn wala Jimmy. Niliingia bafuni kuoga na baada ya kutoka nilikutana na missed call 2 za Jimmy na nika-mcall back, akanipa taarifa kuwa wako njiani wanakuja ili twende tukatalii lake Tana.

Baada ya kuwasili na kuni-pick tuliondoka kuelekea upande mwingine wa ziwa ambako ndo tulipata boat ya kukodi na kututembeza ziwani. Tangu wawasili pale hotelini kunibeba mimi na Iryn hatukuwa na maongezi yoyote zaidi ya salamu tu na mimi niliamua kuvunja ukimya. Nilianza kuongea naye na kubwa nilitaka kujua maendeleo yake kwa ujumla kwani alionekana kutokuwa sawa kabisa. Iryn kwa upande wake alisema yuko sawa na niliendelea kumtania kama bado kanuna kutokana na jambo la siku ile.

Ndani ya muda mfupi tulikuwa tuko sawa na story zilikuwa zimekolea na Jimmy alianza kumzingua Iryn,

JIMMY: “Kwanini jana umemtoa Insider bila ridhaa yangu?”

IRYN: “Kwanini ulitoka naye bila ridhaa yangu?”

JIMMY: “Ulitakiwa unishukuru mimi kwa uwepo wangu otherwise Insider angekuwa lonely sana.”

IRYN: “Umemwacha mama mtoto wako kule home umekimbilia kula bata na b*tch zako.”

JIMMY: “Sikumpigia simu aje home ni mama aliyefanya huu ujinga wa kumpigia simu.”

IRYN: “Jimmy you’re my brother sometimes behave like my brother, kumbuka yule mwanamke analea damu yako, jaribu kumpa thamani bhasi. Kila siku nakwambia katika wanawake ulionao hakuna hata mmoja anaemzidi akili Amara.”

JIMMY: “Kuzaa na mimi sio ticket ya kumuoa endeleeni kumdanganya na mama.”

IRYN: “Yaani Jimmy Mungu akusaidie bro, na wale mama watoto zako wengine wanaendeleaje?”

JIMMY: “Wako salama natuma pocket money kwa wakati ndomana unaona hakuna kelele.”

Iryn aliishia kusikitika na akaniangalia maana mimi muda wote nilikuwa kimya kama mpenzi msikilizaji.

Tulikwenda upande wa pili wa ziwa na tulitulia beach na muda huu niliendelea kufanya mazungumzo na Iryn maana ilibidi nimuulize yeye anaondoka lini huku. Kwa upande wake alisema yupo mpaka mwisho wa week hii sababu ana msubiri baba yake na watarudi wote south Africa. Kwa upande wangu niliomba niondoke kesho ambayo ni jumanne lakini aliniomba niondoke jumatano ili tukatembelee kaburi la mama yake tena.

Ofcourse tulikuwa kwenye mahaba mazito sana pale beach na Jimmy akaanza matani kwa Iryn, ni kama walikuwa wanatupiana mpira. Nisema naipenda sana life style yao, wanapendana sana hawa watu balaa,

“Insider dada yangu sijui umempa nini maana unajua kumpagawisha.”

Na tulishia kucheka wote maana Jimmy ni mtu wa matani sana na ni talkative. Ni aina ya mtu ambaye ana story sana na haboi kuwa naye ni mtu mmoja poa sana asee.

Saa 11 za jioni tuliondoka kule ziwani kurudi home na walinunua samaki wa kutosha wa kupeleka home. Baada ya kuwasili home tulimkuta bibi amekaa garden na sisi tulimfuata pale tukaungana na tukaanza story,

IRYN: “Momo! huyu anaitwa Insider mwanaume tunayeongea kuhusu yeye kila siku, ndo huyu sasa.”

Lugha iliyokuwa inatumika ni ki-oromo lakini Iryn alikuwa ananitafsiria.

BIBI: “Juzi nikasema yule mwarabu ametokea wapi tena kumbe ndo mme mwenzangu.”

Na bibi akaanza kucheka, na tukasalimiana kwa kushikana mikono,

MIMI: “Isin attam?” (unaendeleaje?)

BIBI: “Nagaa, maqaan ke eenyu?” (Salama, unaitwa nani?”)

MIMI: “Maqaaan ko Insider.” (Naitwa Insider).

Iryn alishangaa sana kuona nimeweza kuongea na bibi kwa kilugha hata bibi naye alionesha kunifurahia sana. Iryn aliendelea kuongea na bibi pale kwa kilugha na baadae alinambia kuwa bibi anajua kila kitu kuhusu ujauzito wake. Nilishangaa maana niliona Iryn ameanza kuleta masihara,

IRYN: “Baby don’t worry bibi hana shida kabisa na anajua kinachoendelea na leo ndo amekujua ni baba wa hii mimba. Maswala mengine hatujaongea, ila nilimwambia tangu mimba ikiwa changa so usiwe na wasiwasi, sisi ni wake zako.”

MIMI: “Sawa no problem kama unayosema ni ya kweli.”

IRYN: “Huoni pia bibi kakupenda? I know her na amefurahi kukuona.”

Wakati tukiendelea kupiga story kwa upande mwingine Jimmy alionekana kuja usawa wetu huku amebeba bia kwenye trey na tukaanza kunywa pale taratibu. Baada ya dakika 10 hivi ilikuja nyama choma kwenye sinia kubwa na hapa bia zilikuwa zinashuka vizuri sasa. Bibi kwa upande wake alikuwa anakunywa wine, lakini ilikuwa tofauti kwa Iryn alikuwa anakunywa juice.

Walikuja wadogo zake kujumuika na sisi na Iryn alinionesha mdogo wake mmoja ambae anaishi nae South Africa. Baada ya kunitambulisha nikajisemea ndomana alikuwa ananiangalia sana, kumbe ananijua. Baadae mama mkubwa alikuja, tukasalimiana na niseme alikuwa ananiangalia sana, alianza maongezi na Iryn;

MAMA: “Wewe toka jana nakuona unakunywa juice? Una matatizo gani?” Lilikuwa ni swali kwenda kwa Iryn na alitumia kilugha.

IRYN: “Sijisikii vizuri ndomana.”

BIBI: “Tangu mjukuu wangu arudi analalamika hajisikii vizuri.”

JIMMY: “Dada kesho itabidi tukafanye check-up.”

MAMA: “Iryn nifuate ndani.”

Na mimi nilijisemea kimoyomoyo kimenuka nini? Na Iryn alinyanyuka akamfuata mama,

(Iryn alinambia kilichokuwa kinaendelea na maongezi yao baada ya mama yake mkubwa kuja pale garden).

Mida ya saa 3 usiku alikuja mdogo wake akanipa kikaratasi kwa siri sana yaani hakuna mtu aliyejua. Baada ya kukifungua kulikuwa na ujumbe kwamba niende parking ananisubiri na nilijua huyu ni Iryn, ilibidi nitoke pale kwa mahesabu maana palikuwa na ndugu kibao.

Baada ya kufika parking kulikuwa na gari kama sita hivi, nikawa simwoni na nilisikia sauti kwa chini ikiniita “Insider”. Nilizunguka upande wa nyuma nikamwona amesimama huku ameegemea gari, nikamsogelea na baada ya kufika usawa wake akanivuta akaanza kunipiga makiss kwa fujo.

MIMI: “Baby stop mazingira sio rafiki.”

Wasiwasi wangu ulikuwa ni camera wala sio kingine maana nilikuwa makini sana kama vile Rambo anavyo-move kwenye traps.

IRYN: “Nimeizima camera ya huku nyuma ndomana nimekuita. Nimekumiss baby na sahivi siwezi kutoka na wewe, unajua hapa home wana ni treat kama mtoto baby.”

MIMI: “Why? sijakuelewa.”

IRYN: “Nikiwa hivi home kama natoka kwenda sehemu lazima niage na mamkubwa ni mkali hataki ujinga tukiwa hapa kwake.”

Na alinivuta tena akaanza kunipa makisi motomoto sasa Kutoka na ule ukaribu nilianza kuli-feel joto lake na mnara ulikuwa ushaanza kudaka mawimbi kwa kasi. Nilianza kumpa ushirikiano pale na alianza kuikoki gun kwa mbali na nikajisemea huyu anataka vita wala sio kingine.

Na muda huu alionekana kabisa anataka nimuweke, lakini mazingira hayakuwa rafiki na alikuwa kashanza kunifungua mkanda,

MIMI: “Baby listen njoo kesho hotelini mapema but not here, utafanya wanione wa ajabu sana.”

IRYN: “No one will come here please! I need d*ck right now”.

Sikuwa na jinsi ilibidi nilimpe anachotaka muda huu palepale parking na baada ya risasi kufyatuka ndo kuachana pale. Kurudi garden niliona soo! hivyo nikamwambia ampigie simu Jimmy ili anipe kampani niondoke. Jimmy alikuja chap ili tuondoke na Iryn aliendelea kunikumbatia pale akawa hataki kuniachia,

JIMMY: “Kama bado una hamu naye twende na wewe ukalale hotelini.”

Nilimuaga kwa kumkiss shavuni na aliniachia tukaondoka na Jimmy kurudi hotelini. Njiani Jimmy alikuwa akiniambia kuwa mdogo wake ananipenda sana tena ni mapenzi yale real. Baada ya kufika hotelini tuliagana na mimi nilikwenda room kulala maana nilikuwa hoi sana.

****
Asubuhi na mapema niliamka kujiandaa kwaajili ya safari nyingine tena ya kwenda makaburini. Mida ya saa 3 asubuhi Jimmy na Iryn walikuwa wamewasili kunichukua na hao tukaanza safari ya kwenda huko.

Jimmy ndo mtoto wa kwanza kwa upande wa mama mkubwa ndomana Iryn anamuita kaka. Sasa kipindi tuko njiani Jimmy alikuwa ameweka ngoma za reggae na kibao kilichokuwa kinasikika ni cha Bob Marley “I'm just a Buffalo Soldier, In the heart of America, Stolen from Africa, brought to America.”

Jimmy alikuwa anaonesha kuimba kwa hisia kali sana muda huu maana alionesha utulivu wa hali ya juu sana, na Iryn alianza kumzingua Jimmy,

IRYN: “Mhh! Kwa jinsi unavyoimba kwa hisia utafikiri kweli unahisia kumbe ni mshenzi mmoja tu.”

JIMMY: “Umeamua uanze kunichokoza dada, namuheshimu Insider shem wangu hapa.”

IRYN: “Jimmy umenikera sana kwanini kila rafiki yangu naye kutambulisha lazima umtongoze? Hio sio heshima kabisa.”

Jimmy alinyamaza kimya kwa sekunde afu akacheka,

JIMMY: “Sifa ya mwanaume ni pamoja na kutongoza au ulitaka wanitongoze?”

IRYN: “Huoni aibu umekataliwa sasa na nimejua, una mwanamke wako amekuzalia na mtoto kaja hadi home kukupa kampani lakini bado unahangaika ni lini utatulia?”

JIMMY: “Naona unamtumia Amara kama jiwe la kunibondea dada yangu sawa bhana.”

IRYN: “Jimmy kaka yangu embu badilika natamani kuwa na wifi wangu wa uhakika, ndomana sikuhizi hunitambulishi wanawake zako.”

JIMMY: “Yaishe haya namuheshimu shem wangu hapa. Soon nakutambulisha wifi yako wa uhakika.”

IRYN: “Awe Amara na sio nje na huyu, sisi tumemchagua Amara ndo wifi yetu.”

Niliingilia maongezi yao,

MIMI: “Sasa uyo Amara ikitokea Jimmy kaoa mwanamke mwingine itakuaje?”

IRYN: “Anaanzaje? Amara ndo kipenzi chetu pale home na ukweli yule dada anampenda Jimmy sema ndo hivo.”

MIMI: “Yule dada ni mzuri kwakweli, niseme ukweli.”

IRYN: “Jimmy hawezi kukuelewa kabisa.”

(Mimi na Iryn tulikuwa tunatumia kiswahili, Jimmy alikuwa haelewi kitu)

Tuliwasili pale makaburini na tulianza kwanza kaburi la mama yake then tukamalizia la babu yake. Makaburi yote yaliyokuwa yanaonekana ni ya ukoo na ni eneo lao special kwa mazishi ya wana ukoo.

IRYN: “Baby hapa ndo alikolazwa mama yangu am sorry jumamosi sikuweza kuongea lolote na wewe.”

MIMI: “Usijali kwa yale mazingira ya siku ile isingewezekana na nilikuona ukilia sana.”

IRYN: “Nam-miss sana mama yangu baada ya kifo chake everything changed.”

Jimmy aliondoka ni kama alikuwa anatupa nafasi ya kuongea.

MIMI: “What do you mean? Everything changed how?”

IRYN: “Baby njoo kaa hapa close.”

Tulikaa pembeni ya kaburi la mama yake tukaendelea na mazungumzo,

MIMI: “Nakusikiliza.”

IRYN: “Kwanza sorry for what happened that day I was wrong, naomba utambue nakupenda sana na ninaamini unanipenda. Kwa muda mrefu tumekuwa pamoja kuna vitu ambavyo sikukuweka wazi lakini leo nitakuweza wazi uvijue. Baada ya mama kufariki nilikuwa mtu wa mawazo sana hata kaka Jimmy atakwambia ukimuuliza. Nilikata tamaa ya kuishi kabisa, you know mimi na mom tuliishi kwa furaha sana enzi za uhai wake na hakuna siku ambayo alishawahi kunikosea, always alikuwa anapenda kuniona nina furaha. Baada ya kifo chake nilimchukia sana baba niliona yeye ndo amesababisha haya yote na sikuwa na mpango naye tena.

Niliendelea kukaa na mamkubwa baadae nikaondoka kwenda Ufaransa na kule ndo nilikoanza kujiingiza kwenye biashara za massage ndo mpaka tunakutana. That time sikutaka kufanya kazi yoyote ile wala sikutaka kusikiliza ushauri wa mtu until I met mama Janeth. Mama ndo aliweza kunishawishi nirudi Tanzania ili nitulize akili, na uzuri mama Janeth namjua ni rafiki mkubwa wa mama nilikubali kurudi Tanzania. Lengo langu la kurudi Dar nifuatilie na mali alizoacha mama maana mali zake zote aliziandika kwa diary. Mimi nilikuwa najua mali zake zote alizoziacha kwa Tanzania na sikutaka kumwambia chochote mama Janeth na nilisubiri yeye aongee. Mama Janeth ana roho nzuri sana aliniambia mali zote za mama hapa Tanzania na hakuficha hata moja.


Since nimekutana na wewe maisha yangu yamebadilika sana na wewe ndo sababu ya mimi kuwa na furaha tena. Naomba usiwe na wasiwasi na lengo la kukuleta huku Ethiopia uwajue ndugu zangu ili hapo badae usione shida au tatizo kuja huku kwa mambo mengine. Na nikuahidi hakuna mtu yoyote atakayeingilia mahusiano yetu na hii mimba nitaitunza mpaka najifungua.”

MIMI: “Sasa wewe ni raia wa nchi gani maana mpaka sasa nashindwa kukuelewa, ni mtanzania, Muethiopia, Msouth, au mfaransa?”

IRYN: “That time sikutaka kuyazungumza haya in deep maana sikuona sababu ya wewe kujua kila kitu kutoka kwangu, lakini kwasasa nitakwambia ukweli. Mimi ni raia wa Ethiopia na Tanzania tuliishi sababu ya mama kuwa na legal rights za kuishi hapa Tanzania, sababu ya organization aliyokuwa anafanyia kazi.”

MIMI: “Vipi kuhusu mali? maana kwa Tanzania foreigner harusiwi kumiliki ardhi.”

IRYN: “Mhh baby unaniaibisha bhana, mali zote zipo chini ya kampuni nyingine ambayo kwasasa wamiliki ni mimi na mamkubwa na yeye ni kama mwangalizi tu. Hapo baadae Mungu akijalia naweza kuja kuwaweka hata wanangu.”

MIMI: “Na vipi kuhusu hiyo gun unayomiliki? Hukuwai kunipa maelekezo ya kueleweka mpaka sasa, ilikuaje mpaka ukamiliki.”

IRYN: “Hio niliachiwa urithi na mama kwaajili ya ulinzi wangu binafsi, so usiwe na wasiwasi baby.”

MIMI: “Nashukuru atleast leo umeniambia ukweli kuhusu wewe.”

IRYN: “Bado wewe kunipeleka kwenu na nina tamani sana tufunge ndoa hata leo baby.

Mimi nilinyamaza kimya kama sijasikia kitu maana niliona ameanza kuongea topic ambazo hata nikimjibu ataishia kununa, niliona ni heri nikanyamaza na nilichange mada.

Tuliongea mambo mengi sana na hii siku na aliweza kufunguka sana, ila mambo mengi yanabaki kuwa siri yangu. Habari nyingine kubwa alinambia wakati wa kurudi tutapitia kutembelea nyumba aliyoacha mama yake na alisema haipo mbali sana na pale kwa mama mkubwa.

Saa 8 za mchana tulitoka pale makaburini na safari yetu ilikuwa kwenda kuangalia hio nyumba yao. Tulitumia kama dakika 40 kufika eneo la tukio, nyumba iko hukohuko Bahir dar ila distance ya kutoka kwa mama yake mkubwa mpaka alikojenga mama yake ni kama km15.

Baada ya kuwasili eneo la tukio, tulifunguliwa gate na mlinzi tukaingia ndani. Mbele yangu ilionekana nyumba ya ghorofa 1 na ni nzuri sana kwakweli na baada ya kuridhika na mazingira ya pale tuliondoka. Kwa upande mwingine Iryn alinambia nyumba ilitaka kuleta shida hasa upande wa ndugu maana walitaka kumdhulumu, lakini mamkubwa wake ndo alikuwa makini sana. Baada ya kumaliza ukaguzi tuliondoka kurudi home na mimi nilitaka nikawaage ndugu zake kwaajili ya safari ya kesho.

Baada ya kuwasili pale home tulikaa kibarazani tukiendelea mazungumzo ya hapa na pale na kubwa ilikuwa kuhusu mimba yake. Muda ulikuwa unazidi kwenda na mimba huwa haifichiki, kuna siku mambo yatakuwa hadharani. Ulikuwa ni mjadala mrefu ambao ulikuwa unakosa majibu maana hata yeye alisema hajui siku ambayo atatoa taarifa home wataipokeaje.

“Bibi anajua hii ishu, unamuamini sana kwamba hawezi kumwambia mamkubwa?”

“Bibi hawezi kuropoka kwa mama na tunasiri nyingi sana na bibi. Insider jambo kama hili si la kuficha sana, ni Jimmy na bibi pekee ndo wanajua.”

“Mhh sawa mummy ila mimi naona siku ya kuweka hili jambo hadharani kila kitu kitabadikika.”

“Baby don’t worry about this.”

Baada ya dakika 20 Jimmy alikuja na mtoto wa kike wa miaka 3 ni kazuri balaa, akanitambulisha kuwa ni mwanae wa pili, na jumla ana watoto 3 wote amezaa na mama tofauti. Baadae alikuja mama mtoto “Amara”na akanitambulisha pale kuwa ndo mama mtoto na mimi nilimtania Jimmy kwanini asimuoe? Aliishia kucheka tu.

IRYN: “Jimmy kwa huyu mwanamke sidhani kama ataweza kuchomoa kwani anapendwa sana na mama, ndomana unaona amekuja ila wengine hawawezi thubutu kusogea hapa, ni suala la muda tu ataoa.”

MIMI: “Hivi Jimmy anakaa hapa home?”

Nilimuuliza Iryn kwa kiswahili maana nilijua Jimmy hajui,

IRYN: “Anaishi Addis, huku amekuja kwaajili ya haya masuala. Kesho tutaitembelea organization yetu uione, Jimmy anaisimamia unakumbuka nilikwambia about this?”

MIMI: “Yeah nakumbuka.”

JIMMY: “You guys, I need to learn Swahili. What are you talking about?.”

Na sisi tuliishia kucheka tu maana Jimmy anasemaga tukiongea kiswahili tunamteta.

Kwa mbali ilikuwa ikisikika ngoma ya Ruger-Girlfriend na Iryn alisimama akaanza kudance kwa madoido. Jimmy aliingia sebuleni kuongeza sauti na aliendelea kukata mauno pale kibarazani kwa ustadi wa hali ya juu sana.

Mimi na Jimmy tuliishia kuwa wapenzi watizimaji na baada ya ngoma kuisha Jimmy aka-irudia tena, kipindi hiki Girlfriend ndo ilikuwa inabamba sana mtaani. Jimmy naye alianza kudance pale, sasa baada ngoma kuchange ilisikika “Joha ya Asake”na hapa balaa ndo likaongezeka. Mimi nilikuwa nawachukua video pale na zoezi lilikatika baada ya gari ya mama mkubwa kuonekana ikiingia ndani.

Kuna kitu nilikibaini kati ya Iryn na Jimmy, yaani ni wale ndugu ambao wanapendana sana na kila mmoja ana-mjali mwenzake. Kuna muda wanazinguana sana kuna muda wanacheka na kucheza kama hivi na kuna muda wanakuwa serious.

Hii siku nilipata chakula cha usiku pale kwao na kwa upande mwingine mama yake mkubwa alikuwa akiniangalia sana mpaka nikaanza kujishtukia. Dizaini kama mama mkubwa alihisi something fishy kinaendelea kati yangu na Iryn ni vile alikuwa hana ushahidi tu. Katika watu ambao sikupiga nao story kabisa ni pamoja na mama mkubwa wa Iryn.

Baada ya kupata dinna niliwaga na kwa upande wao walishukuru sana kwa ujio wangu na nikaondoka na Jimmy kurudi hotelini. Nilivyoingia room niliendelea kujiandaa kwaajili ya safari ya kurudi Tanzania na nilianza kupanga nguo zangu. Baada ya kumaliza nilitulia nikaanza kuangalia zile video ambazo Iryn alikuwa anacheza pale kwao na niliishia kutabasam tu! na nikaenda kuoga ili nilale.

Mida ya saa 6 za usiku nilisikia mlango ukigongwa na nikajiuliza nani anagonga muda huu? niliwaza atakuwa ni mhudumu, hivyo nilitoka kufungua na nilishangaa sana kumuona Iryn amesimama akiniangalia, mimi nilijiuliza huyu anatafuta nini usiku huu?.

DONT PANIC
Thank u mwamba.

Nikisomaga hii story huwa inanitengeneza kujiamini sana. Naona chochote kinawezekana.

Ila kiukweli mkali ulikula maisha ya kuokota tu. Ni wachache wenye bahati kama hiyo. Mara nyingi wenye bahati kama hizo ni wale never mind. Yaani unakuwa hutaki upande huo. Unataka upande wako tu. Lakini upande huo unakuvuta tu kwa nguvu isiyo ya kawaida. Ni ile MUNGU amepanga hiyo njia kwa wote. Ndio maana nimesema ni nadra kutokea hivyo. Hiyo ni kama imeandaliwa iwe hivyo. Si kwako wala Iryn. Imepangwa iwe hivyo.

Maana yangu ni kwamba hili Jambo lingekuwa kwa kijana mwingine yoyote au hata mimi, tayari angeshavuruga. Either iwe kwa tamaa ya haraka ya mali au tamaa ya haraka ya ngono. Vijana wengi wa Kitanzania hawana uvumilivu na kujiamini kivyako kama huo wako.

Hongera. Oa tu Iryn pia
 
Hizi ni friction stories tu usijishushe heshima na utu wako kihivyo. Lengo la kusema ulienda kukojoa ni nini? Weka picha basi tuone unavyokojoa. Patheti

Thank u mwamba.

Nikisomaga hii story huwa inanitengeneza kujiamini sana. Naona chochote kinawezekana.

Ila kiukweli mkali ulikula maisha ya kuokota tu. Ni wachache wenye bahati kama hiyo. Mara nyingi wenye bahati kama hizo ni wale never mind. Yaani unakuwa hutaki upande huo. Unataka upande wako tu. Lakini upande huo unakuvuta tu kwa nguvu isiyo ya kawaida. Ni ile MUNGU amepanga hiyo njia kwa wote. Ndio maana nimesema ni nadra kutokea hivyo. Hiyo ni kama imeandaliwa iwe hivyo. Si kwako wala Iryn. Imepangwa iwe hivyo.

Maana yangu ni kwamba hili Jambo lingekuwa kwa kijana mwingine yoyote au hata mimi, tayari angeshavuruga. Either iwe kwa tamaa ya haraka ya mali au tamaa ya haraka ya ngono. Vijana wengi wa Kitanzania hawana uvumilivu na kujiamini kivyako kama huo wako.

Hongera. Oa tu Iryn pia
hakika,unajua kuna ramani Mungu ameishachora,haiwezi vurugwa,sasa kutokana na kutokuwa na mahusiano mazuri na Mungu huwa tunachora ramani zetu wenyewe,...Mungu fundi sana aisee,lake lazima litimie.Ningekuwa kwenye nafasi ya huyu mwamba nisingeweza muacha Iryn,japo mama J pia ni ngumu kumuacha
 
hakika,unajua kuna ramani Mungu ameishachora,haiwezi vurugwa,sasa kutokana na kutokuwa na mahusiano mazuri na Mungu huwa tunachora ramani zetu wenyewe,...Mungu fundi sana aisee,lake lazima litimie.Ningekuwa kwenye nafasi ya huyu mwamba nisingeweza muacha Iryn,japo mama J pia ni ngumu kumuacha
Kabisa
 
SEASON 02:
CHAPTER 10

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

Mimi nilikwenda kuoga na baada ya kutoka washroom nilikuta Iryn hayupo na mimi nilijua ameondoka kurudi kwao, ni wivu wake ulikuwa una msumbua. Pale kitandani kulikuwa na karatasi nyeupe ameiandika na niliichukua ili nisome alichoniandikia.

CONTINUE

Baada ya kusoma ile karatasi alikuwa kaandika hivi,

"Congratulations, my love! Argentina's victory in the World Cup is a testament to their incredible teamwork and skill. I'm so proud of you and your team for achieving this remarkable milestone. Let's celebrate this historic moment together! Vamos Argentina.❤️”

Niliishia kusonya tu pale maana alikuwa kasha-niharibia usiku wangu na muda huu Jimmy alinipigia simu kupitia whatsapp na nikapokea pale kwa haraka sana,

JIMMY: “Hey bro where the f*ck are you?”

MIMI: “I’m at the hotel, she didn't want me to stay there, so we went back to the hotel."

JIMMY: “I'm sorry brother, Iryn isn't feeling well today. She's struggling with jealousy towards you, but please be patient with her, her pregnancy is causing some confusion."

MIMI: “Hahahahaa! You can't believe we got back to the hotel and then she left me alone.”

JIMMY: “Like I said, bear with her, her mind is not right at the moment."

MIMI: “Thank you brother let me sleep, I’ll see you tomorrow if God wish.”

JIMMY: “Goodnight brother.”

Baada ya kuongea na Jimmy nilijisemea kama shemeji ninae hana noma na hii ni bahati maana alikuwa ananijali sana na alionesha kunikubali since tunakutana pale Tripple 7 Mikocheni. Niliwaza kuhusu Iryn na nilijua ni mimba inamchanganya kwasasa na sio kingine, ila mimi wasiwasi wangu wasije wakamshtukia tu! pale kwao.

Kwa upande mwingine nilifanya mawasiliano na Sumaiya na alinipa taarifa kuwa ameshachukua gari yake tayari, lakini hajui kuendesha na ameishia kuipark tu. Nilimwambia aanze kwenda driving school ili aongeze ujuzi na nilimtumia namba ya mtu ambaye ataweza kumfundisha kwa haraka, ni kule alikojifunzia Jane.

Kwa upande mwingine wife alikuwa kanicheki pia kuulizia maendeleo na siku ambayo nitarudi. Ukweli sikuwa najua muda wa kurudi Tanzania na niliishia kumwambia mpaka kufikia jumanne nitakuwa nimerudi.

****
Kesho yake ambayo ni jumatatu nilichelewa kuamka na ile baada ya kuamka, kucheki muda ilikuwa ni saa 4 asubuhi. Kwa upande mwingine hakukuwa na taarifa yoyote kutoka kwa Iryn wala Jimmy. Niliingia bafuni kuoga na baada ya kutoka nilikutana na missed call 2 za Jimmy na nika-mcall back, akanipa taarifa kuwa wako njiani wanakuja ili twende tukatalii lake Tana.

Baada ya kuwasili na kuni-pick tuliondoka kuelekea upande mwingine wa ziwa ambako ndo tulipata boat ya kukodi na kututembeza ziwani. Tangu wawasili pale hotelini kunibeba mimi na Iryn hatukuwa na maongezi yoyote zaidi ya salamu tu na mimi niliamua kuvunja ukimya. Nilianza kuongea naye na kubwa nilitaka kujua maendeleo yake kwa ujumla kwani alionekana kutokuwa sawa kabisa. Iryn kwa upande wake alisema yuko sawa na niliendelea kumtania kama bado kanuna kutokana na jambo la siku ile.

Ndani ya muda mfupi tulikuwa tuko sawa na story zilikuwa zimekolea na Jimmy alianza kumzingua Iryn,

JIMMY: “Kwanini jana umemtoa Insider bila ridhaa yangu?”

IRYN: “Kwanini ulitoka naye bila ridhaa yangu?”

JIMMY: “Ulitakiwa unishukuru mimi kwa uwepo wangu otherwise Insider angekuwa lonely sana.”

IRYN: “Umemwacha mama mtoto wako kule home umekimbilia kula bata na b*tch zako.”

JIMMY: “Sikumpigia simu aje home ni mama aliyefanya huu ujinga wa kumpigia simu.”

IRYN: “Jimmy you’re my brother sometimes behave like my brother, kumbuka yule mwanamke analea damu yako, jaribu kumpa thamani bhasi. Kila siku nakwambia katika wanawake ulionao hakuna hata mmoja anaemzidi akili Amara.”

JIMMY: “Kuzaa na mimi sio ticket ya kumuoa endeleeni kumdanganya na mama.”

IRYN: “Yaani Jimmy Mungu akusaidie bro, na wale mama watoto zako wengine wanaendeleaje?”

JIMMY: “Wako salama natuma pocket money kwa wakati ndomana unaona hakuna kelele.”

Iryn aliishia kusikitika na akaniangalia maana mimi muda wote nilikuwa kimya kama mpenzi msikilizaji.

Tulikwenda upande wa pili wa ziwa na tulitulia beach na muda huu niliendelea kufanya mazungumzo na Iryn maana ilibidi nimuulize yeye anaondoka lini huku. Kwa upande wake alisema yupo mpaka mwisho wa week hii sababu ana msubiri baba yake na watarudi wote south Africa. Kwa upande wangu niliomba niondoke kesho ambayo ni jumanne lakini aliniomba niondoke jumatano ili tukatembelee kaburi la mama yake tena.

Ofcourse tulikuwa kwenye mahaba mazito sana pale beach na Jimmy akaanza matani kwa Iryn, ni kama walikuwa wanatupiana mpira. Nisema naipenda sana life style yao, wanapendana sana hawa watu balaa,

“Insider dada yangu sijui umempa nini maana unajua kumpagawisha.”

Na tulishia kucheka wote maana Jimmy ni mtu wa matani sana na ni talkative. Ni aina ya mtu ambaye ana story sana na haboi kuwa naye ni mtu mmoja poa sana asee.

Saa 11 za jioni tuliondoka kule ziwani kurudi home na walinunua samaki wa kutosha wa kupeleka home. Baada ya kuwasili home tulimkuta bibi amekaa garden na sisi tulimfuata pale tukaungana na tukaanza story,

IRYN: “Momo! huyu anaitwa Insider mwanaume tunayeongea kuhusu yeye kila siku, ndo huyu sasa.”

Lugha iliyokuwa inatumika ni ki-oromo lakini Iryn alikuwa ananitafsiria.

BIBI: “Juzi nikasema yule mwarabu ametokea wapi tena kumbe ndo mme mwenzangu.”

Na bibi akaanza kucheka, na tukasalimiana kwa kushikana mikono,

MIMI: “Isin attam?” (unaendeleaje?)

BIBI: “Nagaa, maqaan ke eenyu?” (Salama, unaitwa nani?”)

MIMI: “Maqaaan ko Insider.” (Naitwa Insider).

Iryn alishangaa sana kuona nimeweza kuongea na bibi kwa kilugha hata bibi naye alionesha kunifurahia sana. Iryn aliendelea kuongea na bibi pale kwa kilugha na baadae alinambia kuwa bibi anajua kila kitu kuhusu ujauzito wake. Nilishangaa maana niliona Iryn ameanza kuleta masihara,

IRYN: “Baby don’t worry bibi hana shida kabisa na anajua kinachoendelea na leo ndo amekujua ni baba wa hii mimba. Maswala mengine hatujaongea, ila nilimwambia tangu mimba ikiwa changa so usiwe na wasiwasi, sisi ni wake zako.”

MIMI: “Sawa no problem kama unayosema ni ya kweli.”

IRYN: “Huoni pia bibi kakupenda? I know her na amefurahi kukuona.”

Wakati tukiendelea kupiga story kwa upande mwingine Jimmy alionekana kuja usawa wetu huku amebeba bia kwenye trey na tukaanza kunywa pale taratibu. Baada ya dakika 10 hivi ilikuja nyama choma kwenye sinia kubwa na hapa bia zilikuwa zinashuka vizuri sasa. Bibi kwa upande wake alikuwa anakunywa wine, lakini ilikuwa tofauti kwa Iryn alikuwa anakunywa juice.

Walikuja wadogo zake kujumuika na sisi na Iryn alinionesha mdogo wake mmoja ambae anaishi nae South Africa. Baada ya kunitambulisha nikajisemea ndomana alikuwa ananiangalia sana, kumbe ananijua. Baadae mama mkubwa alikuja, tukasalimiana na niseme alikuwa ananiangalia sana, alianza maongezi na Iryn;

MAMA: “Wewe toka jana nakuona unakunywa juice? Una matatizo gani?” Lilikuwa ni swali kwenda kwa Iryn na alitumia kilugha.

IRYN: “Sijisikii vizuri ndomana.”

BIBI: “Tangu mjukuu wangu arudi analalamika hajisikii vizuri.”

JIMMY: “Dada kesho itabidi tukafanye check-up.”

MAMA: “Iryn nifuate ndani.”

Na mimi nilijisemea kimoyomoyo kimenuka nini? Na Iryn alinyanyuka akamfuata mama,

(Iryn alinambia kilichokuwa kinaendelea na maongezi yao baada ya mama yake mkubwa kuja pale garden).

Mida ya saa 3 usiku alikuja mdogo wake akanipa kikaratasi kwa siri sana yaani hakuna mtu aliyejua. Baada ya kukifungua kulikuwa na ujumbe kwamba niende parking ananisubiri na nilijua huyu ni Iryn, ilibidi nitoke pale kwa mahesabu maana palikuwa na ndugu kibao.

Baada ya kufika parking kulikuwa na gari kama sita hivi, nikawa simwoni na nilisikia sauti kwa chini ikiniita “Insider”. Nilizunguka upande wa nyuma nikamwona amesimama huku ameegemea gari, nikamsogelea na baada ya kufika usawa wake akanivuta akaanza kunipiga makiss kwa fujo.

MIMI: “Baby stop mazingira sio rafiki.”

Wasiwasi wangu ulikuwa ni camera wala sio kingine maana nilikuwa makini sana kama vile Rambo anavyo-move kwenye traps.

IRYN: “Nimeizima camera ya huku nyuma ndomana nimekuita. Nimekumiss baby na sahivi siwezi kutoka na wewe, unajua hapa home wana ni treat kama mtoto baby.”

MIMI: “Why? sijakuelewa.”

IRYN: “Nikiwa hivi home kama natoka kwenda sehemu lazima niage na mamkubwa ni mkali hataki ujinga tukiwa hapa kwake.”

Na alinivuta tena akaanza kunipa makisi motomoto sasa Kutoka na ule ukaribu nilianza kuli-feel joto lake na mnara ulikuwa ushaanza kudaka mawimbi kwa kasi. Nilianza kumpa ushirikiano pale na alianza kuikoki gun kwa mbali na nikajisemea huyu anataka vita wala sio kingine.

Na muda huu alionekana kabisa anataka nimuweke, lakini mazingira hayakuwa rafiki na alikuwa kashanza kunifungua mkanda,

MIMI: “Baby listen njoo kesho hotelini mapema but not here, utafanya wanione wa ajabu sana.”

IRYN: “No one will come here please! I need d*ck right now”.

Sikuwa na jinsi ilibidi nilimpe anachotaka muda huu palepale parking na baada ya risasi kufyatuka ndo kuachana pale. Kurudi garden niliona soo! hivyo nikamwambia ampigie simu Jimmy ili anipe kampani niondoke. Jimmy alikuja chap ili tuondoke na Iryn aliendelea kunikumbatia pale akawa hataki kuniachia,

JIMMY: “Kama bado una hamu naye twende na wewe ukalale hotelini.”

Nilimuaga kwa kumkiss shavuni na aliniachia tukaondoka na Jimmy kurudi hotelini. Njiani Jimmy alikuwa akiniambia kuwa mdogo wake ananipenda sana tena ni mapenzi yale real. Baada ya kufika hotelini tuliagana na mimi nilikwenda room kulala maana nilikuwa hoi sana.

****
Asubuhi na mapema niliamka kujiandaa kwaajili ya safari nyingine tena ya kwenda makaburini. Mida ya saa 3 asubuhi Jimmy na Iryn walikuwa wamewasili kunichukua na hao tukaanza safari ya kwenda huko.

Jimmy ndo mtoto wa kwanza kwa upande wa mama mkubwa ndomana Iryn anamuita kaka. Sasa kipindi tuko njiani Jimmy alikuwa ameweka ngoma za reggae na kibao kilichokuwa kinasikika ni cha Bob Marley “I'm just a Buffalo Soldier, In the heart of America, Stolen from Africa, brought to America.”

Jimmy alikuwa anaonesha kuimba kwa hisia kali sana muda huu maana alionesha utulivu wa hali ya juu sana, na Iryn alianza kumzingua Jimmy,

IRYN: “Mhh! Kwa jinsi unavyoimba kwa hisia utafikiri kweli unahisia kumbe ni mshenzi mmoja tu.”

JIMMY: “Umeamua uanze kunichokoza dada, namuheshimu Insider shem wangu hapa.”

IRYN: “Jimmy umenikera sana kwanini kila rafiki yangu naye kutambulisha lazima umtongoze? Hio sio heshima kabisa.”

Jimmy alinyamaza kimya kwa sekunde afu akacheka,

JIMMY: “Sifa ya mwanaume ni pamoja na kutongoza au ulitaka wanitongoze?”

IRYN: “Huoni aibu umekataliwa sasa na nimejua, una mwanamke wako amekuzalia na mtoto kaja hadi home kukupa kampani lakini bado unahangaika ni lini utatulia?”

JIMMY: “Naona unamtumia Amara kama jiwe la kunibondea dada yangu sawa bhana.”

IRYN: “Jimmy kaka yangu embu badilika natamani kuwa na wifi wangu wa uhakika, ndomana sikuhizi hunitambulishi wanawake zako.”

JIMMY: “Yaishe haya namuheshimu shem wangu hapa. Soon nakutambulisha wifi yako wa uhakika.”

IRYN: “Awe Amara na sio nje na huyu, sisi tumemchagua Amara ndo wifi yetu.”

Niliingilia maongezi yao,

MIMI: “Sasa uyo Amara ikitokea Jimmy kaoa mwanamke mwingine itakuaje?”

IRYN: “Anaanzaje? Amara ndo kipenzi chetu pale home na ukweli yule dada anampenda Jimmy sema ndo hivo.”

MIMI: “Yule dada ni mzuri kwakweli, niseme ukweli.”

IRYN: “Jimmy hawezi kukuelewa kabisa.”

(Mimi na Iryn tulikuwa tunatumia kiswahili, Jimmy alikuwa haelewi kitu)

Tuliwasili pale makaburini na tulianza kwanza kaburi la mama yake then tukamalizia la babu yake. Makaburi yote yaliyokuwa yanaonekana ni ya ukoo na ni eneo lao special kwa mazishi ya wana ukoo.

IRYN: “Baby hapa ndo alikolazwa mama yangu am sorry jumamosi sikuweza kuongea lolote na wewe.”

MIMI: “Usijali kwa yale mazingira ya siku ile isingewezekana na nilikuona ukilia sana.”

IRYN: “Nam-miss sana mama yangu baada ya kifo chake everything changed.”

Jimmy aliondoka ni kama alikuwa anatupa nafasi ya kuongea.

MIMI: “What do you mean? Everything changed how?”

IRYN: “Baby njoo kaa hapa close.”

Tulikaa pembeni ya kaburi la mama yake tukaendelea na mazungumzo,

MIMI: “Nakusikiliza.”

IRYN: “Kwanza sorry for what happened that day I was wrong, naomba utambue nakupenda sana na ninaamini unanipenda. Kwa muda mrefu tumekuwa pamoja kuna vitu ambavyo sikukuweka wazi lakini leo nitakuweza wazi uvijue. Baada ya mama kufariki nilikuwa mtu wa mawazo sana hata kaka Jimmy atakwambia ukimuuliza. Nilikata tamaa ya kuishi kabisa, you know mimi na mom tuliishi kwa furaha sana enzi za uhai wake na hakuna siku ambayo alishawahi kunikosea, always alikuwa anapenda kuniona nina furaha. Baada ya kifo chake nilimchukia sana baba niliona yeye ndo amesababisha haya yote na sikuwa na mpango naye tena.

Niliendelea kukaa na mamkubwa baadae nikaondoka kwenda Ufaransa na kule ndo nilikoanza kujiingiza kwenye biashara za massage ndo mpaka tunakutana. That time sikutaka kufanya kazi yoyote ile wala sikutaka kusikiliza ushauri wa mtu until I met mama Janeth. Mama ndo aliweza kunishawishi nirudi Tanzania ili nitulize akili, na uzuri mama Janeth namjua ni rafiki mkubwa wa mama nilikubali kurudi Tanzania. Lengo langu la kurudi Dar nifuatilie na mali alizoacha mama maana mali zake zote aliziandika kwa diary. Mimi nilikuwa najua mali zake zote alizoziacha kwa Tanzania na sikutaka kumwambia chochote mama Janeth na nilisubiri yeye aongee. Mama Janeth ana roho nzuri sana aliniambia mali zote za mama hapa Tanzania na hakuficha hata moja.


Since nimekutana na wewe maisha yangu yamebadilika sana na wewe ndo sababu ya mimi kuwa na furaha tena. Naomba usiwe na wasiwasi na lengo la kukuleta huku Ethiopia uwajue ndugu zangu ili hapo badae usione shida au tatizo kuja huku kwa mambo mengine. Na nikuahidi hakuna mtu yoyote atakayeingilia mahusiano yetu na hii mimba nitaitunza mpaka najifungua.”

MIMI: “Sasa wewe ni raia wa nchi gani maana mpaka sasa nashindwa kukuelewa, ni mtanzania, Muethiopia, Msouth, au mfaransa?”

IRYN: “That time sikutaka kuyazungumza haya in deep maana sikuona sababu ya wewe kujua kila kitu kutoka kwangu, lakini kwasasa nitakwambia ukweli. Mimi ni raia wa Ethiopia na Tanzania tuliishi sababu ya mama kuwa na legal rights za kuishi hapa Tanzania, sababu ya organization aliyokuwa anafanyia kazi.”

MIMI: “Vipi kuhusu mali? maana kwa Tanzania foreigner harusiwi kumiliki ardhi.”

IRYN: “Mhh baby unaniaibisha bhana, mali zote zipo chini ya kampuni nyingine ambayo kwasasa wamiliki ni mimi na mamkubwa na yeye ni kama mwangalizi tu. Hapo baadae Mungu akijalia naweza kuja kuwaweka hata wanangu.”

MIMI: “Na vipi kuhusu hiyo gun unayomiliki? Hukuwai kunipa maelekezo ya kueleweka mpaka sasa, ilikuaje mpaka ukamiliki.”

IRYN: “Hio niliachiwa urithi na mama kwaajili ya ulinzi wangu binafsi, so usiwe na wasiwasi baby.”

MIMI: “Nashukuru atleast leo umeniambia ukweli kuhusu wewe.”

IRYN: “Bado wewe kunipeleka kwenu na nina tamani sana tufunge ndoa hata leo baby.

Mimi nilinyamaza kimya kama sijasikia kitu maana niliona ameanza kuongea topic ambazo hata nikimjibu ataishia kununa, niliona ni heri nikanyamaza na nilichange mada.

Tuliongea mambo mengi sana na hii siku na aliweza kufunguka sana, ila mambo mengi yanabaki kuwa siri yangu. Habari nyingine kubwa alinambia wakati wa kurudi tutapitia kutembelea nyumba aliyoacha mama yake na alisema haipo mbali sana na pale kwa mama mkubwa.

Saa 8 za mchana tulitoka pale makaburini na safari yetu ilikuwa kwenda kuangalia hio nyumba yao. Tulitumia kama dakika 40 kufika eneo la tukio, nyumba iko hukohuko Bahir dar ila distance ya kutoka kwa mama yake mkubwa mpaka alikojenga mama yake ni kama km15.

Baada ya kuwasili eneo la tukio, tulifunguliwa gate na mlinzi tukaingia ndani. Mbele yangu ilionekana nyumba ya ghorofa 1 na ni nzuri sana kwakweli na baada ya kuridhika na mazingira ya pale tuliondoka. Kwa upande mwingine Iryn alinambia nyumba ilitaka kuleta shida hasa upande wa ndugu maana walitaka kumdhulumu, lakini mamkubwa wake ndo alikuwa makini sana. Baada ya kumaliza ukaguzi tuliondoka kurudi home na mimi nilitaka nikawaage ndugu zake kwaajili ya safari ya kesho.

Baada ya kuwasili pale home tulikaa kibarazani tukiendelea mazungumzo ya hapa na pale na kubwa ilikuwa kuhusu mimba yake. Muda ulikuwa unazidi kwenda na mimba huwa haifichiki, kuna siku mambo yatakuwa hadharani. Ulikuwa ni mjadala mrefu ambao ulikuwa unakosa majibu maana hata yeye alisema hajui siku ambayo atatoa taarifa home wataipokeaje.

“Bibi anajua hii ishu, unamuamini sana kwamba hawezi kumwambia mamkubwa?”

“Bibi hawezi kuropoka kwa mama na tunasiri nyingi sana na bibi. Insider jambo kama hili si la kuficha sana, ni Jimmy na bibi pekee ndo wanajua.”

“Mhh sawa mummy ila mimi naona siku ya kuweka hili jambo hadharani kila kitu kitabadikika.”

“Baby don’t worry about this.”

Baada ya dakika 20 Jimmy alikuja na mtoto wa kike wa miaka 3 ni kazuri balaa, akanitambulisha kuwa ni mwanae wa pili, na jumla ana watoto 3 wote amezaa na mama tofauti. Baadae alikuja mama mtoto “Amara”na akanitambulisha pale kuwa ndo mama mtoto na mimi nilimtania Jimmy kwanini asimuoe? Aliishia kucheka tu.

IRYN: “Jimmy kwa huyu mwanamke sidhani kama ataweza kuchomoa kwani anapendwa sana na mama, ndomana unaona amekuja ila wengine hawawezi thubutu kusogea hapa, ni suala la muda tu ataoa.”

MIMI: “Hivi Jimmy anakaa hapa home?”

Nilimuuliza Iryn kwa kiswahili maana nilijua Jimmy hajui,

IRYN: “Anaishi Addis, huku amekuja kwaajili ya haya masuala. Kesho tutaitembelea organization yetu uione, Jimmy anaisimamia unakumbuka nilikwambia about this?”

MIMI: “Yeah nakumbuka.”

JIMMY: “You guys, I need to learn Swahili. What are you talking about?.”

Na sisi tuliishia kucheka tu maana Jimmy anasemaga tukiongea kiswahili tunamteta.

Kwa mbali ilikuwa ikisikika ngoma ya Ruger-Girlfriend na Iryn alisimama akaanza kudance kwa madoido. Jimmy aliingia sebuleni kuongeza sauti na aliendelea kukata mauno pale kibarazani kwa ustadi wa hali ya juu sana.

Mimi na Jimmy tuliishia kuwa wapenzi watizimaji na baada ya ngoma kuisha Jimmy aka-irudia tena, kipindi hiki Girlfriend ndo ilikuwa inabamba sana mtaani. Jimmy naye alianza kudance pale, sasa baada ngoma kuchange ilisikika “Joha ya Asake”na hapa balaa ndo likaongezeka. Mimi nilikuwa nawachukua video pale na zoezi lilikatika baada ya gari ya mama mkubwa kuonekana ikiingia ndani.

Kuna kitu nilikibaini kati ya Iryn na Jimmy, yaani ni wale ndugu ambao wanapendana sana na kila mmoja ana-mjali mwenzake. Kuna muda wanazinguana sana kuna muda wanacheka na kucheza kama hivi na kuna muda wanakuwa serious.

Hii siku nilipata chakula cha usiku pale kwao na kwa upande mwingine mama yake mkubwa alikuwa akiniangalia sana mpaka nikaanza kujishtukia. Dizaini kama mama mkubwa alihisi something fishy kinaendelea kati yangu na Iryn ni vile alikuwa hana ushahidi tu. Katika watu ambao sikupiga nao story kabisa ni pamoja na mama mkubwa wa Iryn.

Baada ya kupata dinna niliwaga na kwa upande wao walishukuru sana kwa ujio wangu na nikaondoka na Jimmy kurudi hotelini. Nilivyoingia room niliendelea kujiandaa kwaajili ya safari ya kurudi Tanzania na nilianza kupanga nguo zangu. Baada ya kumaliza nilitulia nikaanza kuangalia zile video ambazo Iryn alikuwa anacheza pale kwao na niliishia kutabasam tu! na nikaenda kuoga ili nilale.

Mida ya saa 6 za usiku nilisikia mlango ukigongwa na nikajiuliza nani anagonga muda huu? niliwaza atakuwa ni mhudumu, hivyo nilitoka kufungua na nilishangaa sana kumuona Iryn amesimama akiniangalia, mimi nilijiuliza huyu anatafuta nini usiku huu?.

DONT PANIC
Hatimaye imekuwa. cacutee, Joanna na Funzadume MostAdmired; mkuje kuona jambo jipya hukuuuuu.
 
SEASON 02:
CHAPTER 10

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

Mimi nilikwenda kuoga na baada ya kutoka washroom nilikuta Iryn hayupo na mimi nilijua ameondoka kurudi kwao, ni wivu wake ulikuwa una msumbua. Pale kitandani kulikuwa na karatasi nyeupe ameiandika na niliichukua ili nisome alichoniandikia.

CONTINUE

Baada ya kusoma ile karatasi alikuwa kaandika hivi,

"Congratulations, my love! Argentina's victory in the World Cup is a testament to their incredible teamwork and skill. I'm so proud of you and your team for achieving this remarkable milestone. Let's celebrate this historic moment together! Vamos Argentina.❤️”

Niliishia kusonya tu pale maana alikuwa kasha-niharibia usiku wangu na muda huu Jimmy alinipigia simu kupitia whatsapp na nikapokea pale kwa haraka sana,

JIMMY: “Hey bro where the f*ck are you?”

MIMI: “I’m at the hotel, she didn't want me to stay there, so we went back to the hotel."

JIMMY: “I'm sorry brother, Iryn isn't feeling well today. She's struggling with jealousy towards you, but please be patient with her, her pregnancy is causing some confusion."

MIMI: “Hahahahaa! You can't believe we got back to the hotel and then she left me alone.”

JIMMY: “Like I said, bear with her, her mind is not right at the moment."

MIMI: “Thank you brother let me sleep, I’ll see you tomorrow if God wish.”

JIMMY: “Goodnight brother.”

Baada ya kuongea na Jimmy nilijisemea kama shemeji ninae hana noma na hii ni bahati maana alikuwa ananijali sana na alionesha kunikubali since tunakutana pale Tripple 7 Mikocheni. Niliwaza kuhusu Iryn na nilijua ni mimba inamchanganya kwasasa na sio kingine, ila mimi wasiwasi wangu wasije wakamshtukia tu! pale kwao.

Kwa upande mwingine nilifanya mawasiliano na Sumaiya na alinipa taarifa kuwa ameshachukua gari yake tayari, lakini hajui kuendesha na ameishia kuipark tu. Nilimwambia aanze kwenda driving school ili aongeze ujuzi na nilimtumia namba ya mtu ambaye ataweza kumfundisha kwa haraka, ni kule alikojifunzia Jane.

Kwa upande mwingine wife alikuwa kanicheki pia kuulizia maendeleo na siku ambayo nitarudi. Ukweli sikuwa najua muda wa kurudi Tanzania na niliishia kumwambia mpaka kufikia jumanne nitakuwa nimerudi.

****
Kesho yake ambayo ni jumatatu nilichelewa kuamka na ile baada ya kuamka, kucheki muda ilikuwa ni saa 4 asubuhi. Kwa upande mwingine hakukuwa na taarifa yoyote kutoka kwa Iryn wala Jimmy. Niliingia bafuni kuoga na baada ya kutoka nilikutana na missed call 2 za Jimmy na nika-mcall back, akanipa taarifa kuwa wako njiani wanakuja ili twende tukatalii lake Tana.

Baada ya kuwasili na kuni-pick tuliondoka kuelekea upande mwingine wa ziwa ambako ndo tulipata boat ya kukodi na kututembeza ziwani. Tangu wawasili pale hotelini kunibeba mimi na Iryn hatukuwa na maongezi yoyote zaidi ya salamu tu na mimi niliamua kuvunja ukimya. Nilianza kuongea naye na kubwa nilitaka kujua maendeleo yake kwa ujumla kwani alionekana kutokuwa sawa kabisa. Iryn kwa upande wake alisema yuko sawa na niliendelea kumtania kama bado kanuna kutokana na jambo la siku ile.

Ndani ya muda mfupi tulikuwa tuko sawa na story zilikuwa zimekolea na Jimmy alianza kumzingua Iryn,

JIMMY: “Kwanini jana umemtoa Insider bila ridhaa yangu?”

IRYN: “Kwanini ulitoka naye bila ridhaa yangu?”

JIMMY: “Ulitakiwa unishukuru mimi kwa uwepo wangu otherwise Insider angekuwa lonely sana.”

IRYN: “Umemwacha mama mtoto wako kule home umekimbilia kula bata na b*tch zako.”

JIMMY: “Sikumpigia simu aje home ni mama aliyefanya huu ujinga wa kumpigia simu.”

IRYN: “Jimmy you’re my brother sometimes behave like my brother, kumbuka yule mwanamke analea damu yako, jaribu kumpa thamani bhasi. Kila siku nakwambia katika wanawake ulionao hakuna hata mmoja anaemzidi akili Amara.”

JIMMY: “Kuzaa na mimi sio ticket ya kumuoa endeleeni kumdanganya na mama.”

IRYN: “Yaani Jimmy Mungu akusaidie bro, na wale mama watoto zako wengine wanaendeleaje?”

JIMMY: “Wako salama natuma pocket money kwa wakati ndomana unaona hakuna kelele.”

Iryn aliishia kusikitika na akaniangalia maana mimi muda wote nilikuwa kimya kama mpenzi msikilizaji.

Tulikwenda upande wa pili wa ziwa na tulitulia beach na muda huu niliendelea kufanya mazungumzo na Iryn maana ilibidi nimuulize yeye anaondoka lini huku. Kwa upande wake alisema yupo mpaka mwisho wa week hii sababu ana msubiri baba yake na watarudi wote south Africa. Kwa upande wangu niliomba niondoke kesho ambayo ni jumanne lakini aliniomba niondoke jumatano ili tukatembelee kaburi la mama yake tena.

Ofcourse tulikuwa kwenye mahaba mazito sana pale beach na Jimmy akaanza matani kwa Iryn, ni kama walikuwa wanatupiana mpira. Nisema naipenda sana life style yao, wanapendana sana hawa watu balaa,

“Insider dada yangu sijui umempa nini maana unajua kumpagawisha.”

Na tulishia kucheka wote maana Jimmy ni mtu wa matani sana na ni talkative. Ni aina ya mtu ambaye ana story sana na haboi kuwa naye ni mtu mmoja poa sana asee.

Saa 11 za jioni tuliondoka kule ziwani kurudi home na walinunua samaki wa kutosha wa kupeleka home. Baada ya kuwasili home tulimkuta bibi amekaa garden na sisi tulimfuata pale tukaungana na tukaanza story,

IRYN: “Momo! huyu anaitwa Insider mwanaume tunayeongea kuhusu yeye kila siku, ndo huyu sasa.”

Lugha iliyokuwa inatumika ni ki-oromo lakini Iryn alikuwa ananitafsiria.

BIBI: “Juzi nikasema yule mwarabu ametokea wapi tena kumbe ndo mme mwenzangu.”

Na bibi akaanza kucheka, na tukasalimiana kwa kushikana mikono,

MIMI: “Isin attam?” (unaendeleaje?)

BIBI: “Nagaa, maqaan ke eenyu?” (Salama, unaitwa nani?”)

MIMI: “Maqaaan ko Insider.” (Naitwa Insider).

Iryn alishangaa sana kuona nimeweza kuongea na bibi kwa kilugha hata bibi naye alionesha kunifurahia sana. Iryn aliendelea kuongea na bibi pale kwa kilugha na baadae alinambia kuwa bibi anajua kila kitu kuhusu ujauzito wake. Nilishangaa maana niliona Iryn ameanza kuleta masihara,

IRYN: “Baby don’t worry bibi hana shida kabisa na anajua kinachoendelea na leo ndo amekujua ni baba wa hii mimba. Maswala mengine hatujaongea, ila nilimwambia tangu mimba ikiwa changa so usiwe na wasiwasi, sisi ni wake zako.”

MIMI: “Sawa no problem kama unayosema ni ya kweli.”

IRYN: “Huoni pia bibi kakupenda? I know her na amefurahi kukuona.”

Wakati tukiendelea kupiga story kwa upande mwingine Jimmy alionekana kuja usawa wetu huku amebeba bia kwenye trey na tukaanza kunywa pale taratibu. Baada ya dakika 10 hivi ilikuja nyama choma kwenye sinia kubwa na hapa bia zilikuwa zinashuka vizuri sasa. Bibi kwa upande wake alikuwa anakunywa wine, lakini ilikuwa tofauti kwa Iryn alikuwa anakunywa juice.

Walikuja wadogo zake kujumuika na sisi na Iryn alinionesha mdogo wake mmoja ambae anaishi nae South Africa. Baada ya kunitambulisha nikajisemea ndomana alikuwa ananiangalia sana, kumbe ananijua. Baadae mama mkubwa alikuja, tukasalimiana na niseme alikuwa ananiangalia sana, alianza maongezi na Iryn;

MAMA: “Wewe toka jana nakuona unakunywa juice? Una matatizo gani?” Lilikuwa ni swali kwenda kwa Iryn na alitumia kilugha.

IRYN: “Sijisikii vizuri ndomana.”

BIBI: “Tangu mjukuu wangu arudi analalamika hajisikii vizuri.”

JIMMY: “Dada kesho itabidi tukafanye check-up.”

MAMA: “Iryn nifuate ndani.”

Na mimi nilijisemea kimoyomoyo kimenuka nini? Na Iryn alinyanyuka akamfuata mama,

(Iryn alinambia kilichokuwa kinaendelea na maongezi yao baada ya mama yake mkubwa kuja pale garden).

Mida ya saa 3 usiku alikuja mdogo wake akanipa kikaratasi kwa siri sana yaani hakuna mtu aliyejua. Baada ya kukifungua kulikuwa na ujumbe kwamba niende parking ananisubiri na nilijua huyu ni Iryn, ilibidi nitoke pale kwa mahesabu maana palikuwa na ndugu kibao.

Baada ya kufika parking kulikuwa na gari kama sita hivi, nikawa simwoni na nilisikia sauti kwa chini ikiniita “Insider”. Nilizunguka upande wa nyuma nikamwona amesimama huku ameegemea gari, nikamsogelea na baada ya kufika usawa wake akanivuta akaanza kunipiga makiss kwa fujo.

MIMI: “Baby stop mazingira sio rafiki.”

Wasiwasi wangu ulikuwa ni camera wala sio kingine maana nilikuwa makini sana kama vile Rambo anavyo-move kwenye traps.

IRYN: “Nimeizima camera ya huku nyuma ndomana nimekuita. Nimekumiss baby na sahivi siwezi kutoka na wewe, unajua hapa home wana ni treat kama mtoto baby.”

MIMI: “Why? sijakuelewa.”

IRYN: “Nikiwa hivi home kama natoka kwenda sehemu lazima niage na mamkubwa ni mkali hataki ujinga tukiwa hapa kwake.”

Na alinivuta tena akaanza kunipa makisi motomoto sasa Kutoka na ule ukaribu nilianza kuli-feel joto lake na mnara ulikuwa ushaanza kudaka mawimbi kwa kasi. Nilianza kumpa ushirikiano pale na alianza kuikoki gun kwa mbali na nikajisemea huyu anataka vita wala sio kingine.

Na muda huu alionekana kabisa anataka nimuweke, lakini mazingira hayakuwa rafiki na alikuwa kashanza kunifungua mkanda,

MIMI: “Baby listen njoo kesho hotelini mapema but not here, utafanya wanione wa ajabu sana.”

IRYN: “No one will come here please! I need d*ck right now”.

Sikuwa na jinsi ilibidi nilimpe anachotaka muda huu palepale parking na baada ya risasi kufyatuka ndo kuachana pale. Kurudi garden niliona soo! hivyo nikamwambia ampigie simu Jimmy ili anipe kampani niondoke. Jimmy alikuja chap ili tuondoke na Iryn aliendelea kunikumbatia pale akawa hataki kuniachia,

JIMMY: “Kama bado una hamu naye twende na wewe ukalale hotelini.”

Nilimuaga kwa kumkiss shavuni na aliniachia tukaondoka na Jimmy kurudi hotelini. Njiani Jimmy alikuwa akiniambia kuwa mdogo wake ananipenda sana tena ni mapenzi yale real. Baada ya kufika hotelini tuliagana na mimi nilikwenda room kulala maana nilikuwa hoi sana.

****
Asubuhi na mapema niliamka kujiandaa kwaajili ya safari nyingine tena ya kwenda makaburini. Mida ya saa 3 asubuhi Jimmy na Iryn walikuwa wamewasili kunichukua na hao tukaanza safari ya kwenda huko.

Jimmy ndo mtoto wa kwanza kwa upande wa mama mkubwa ndomana Iryn anamuita kaka. Sasa kipindi tuko njiani Jimmy alikuwa ameweka ngoma za reggae na kibao kilichokuwa kinasikika ni cha Bob Marley “I'm just a Buffalo Soldier, In the heart of America, Stolen from Africa, brought to America.”

Jimmy alikuwa anaonesha kuimba kwa hisia kali sana muda huu maana alionesha utulivu wa hali ya juu sana, na Iryn alianza kumzingua Jimmy,

IRYN: “Mhh! Kwa jinsi unavyoimba kwa hisia utafikiri kweli unahisia kumbe ni mshenzi mmoja tu.”

JIMMY: “Umeamua uanze kunichokoza dada, namuheshimu Insider shem wangu hapa.”

IRYN: “Jimmy umenikera sana kwanini kila rafiki yangu naye kutambulisha lazima umtongoze? Hio sio heshima kabisa.”

Jimmy alinyamaza kimya kwa sekunde afu akacheka,

JIMMY: “Sifa ya mwanaume ni pamoja na kutongoza au ulitaka wanitongoze?”

IRYN: “Huoni aibu umekataliwa sasa na nimejua, una mwanamke wako amekuzalia na mtoto kaja hadi home kukupa kampani lakini bado unahangaika ni lini utatulia?”

JIMMY: “Naona unamtumia Amara kama jiwe la kunibondea dada yangu sawa bhana.”

IRYN: “Jimmy kaka yangu embu badilika natamani kuwa na wifi wangu wa uhakika, ndomana sikuhizi hunitambulishi wanawake zako.”

JIMMY: “Yaishe haya namuheshimu shem wangu hapa. Soon nakutambulisha wifi yako wa uhakika.”

IRYN: “Awe Amara na sio nje na huyu, sisi tumemchagua Amara ndo wifi yetu.”

Niliingilia maongezi yao,

MIMI: “Sasa uyo Amara ikitokea Jimmy kaoa mwanamke mwingine itakuaje?”

IRYN: “Anaanzaje? Amara ndo kipenzi chetu pale home na ukweli yule dada anampenda Jimmy sema ndo hivo.”

MIMI: “Yule dada ni mzuri kwakweli, niseme ukweli.”

IRYN: “Jimmy hawezi kukuelewa kabisa.”

(Mimi na Iryn tulikuwa tunatumia kiswahili, Jimmy alikuwa haelewi kitu)

Tuliwasili pale makaburini na tulianza kwanza kaburi la mama yake then tukamalizia la babu yake. Makaburi yote yaliyokuwa yanaonekana ni ya ukoo na ni eneo lao special kwa mazishi ya wana ukoo.

IRYN: “Baby hapa ndo alikolazwa mama yangu am sorry jumamosi sikuweza kuongea lolote na wewe.”

MIMI: “Usijali kwa yale mazingira ya siku ile isingewezekana na nilikuona ukilia sana.”

IRYN: “Nam-miss sana mama yangu baada ya kifo chake everything changed.”

Jimmy aliondoka ni kama alikuwa anatupa nafasi ya kuongea.

MIMI: “What do you mean? Everything changed how?”

IRYN: “Baby njoo kaa hapa close.”

Tulikaa pembeni ya kaburi la mama yake tukaendelea na mazungumzo,

MIMI: “Nakusikiliza.”

IRYN: “Kwanza sorry for what happened that day I was wrong, naomba utambue nakupenda sana na ninaamini unanipenda. Kwa muda mrefu tumekuwa pamoja kuna vitu ambavyo sikukuweka wazi lakini leo nitakuweza wazi uvijue. Baada ya mama kufariki nilikuwa mtu wa mawazo sana hata kaka Jimmy atakwambia ukimuuliza. Nilikata tamaa ya kuishi kabisa, you know mimi na mom tuliishi kwa furaha sana enzi za uhai wake na hakuna siku ambayo alishawahi kunikosea, always alikuwa anapenda kuniona nina furaha. Baada ya kifo chake nilimchukia sana baba niliona yeye ndo amesababisha haya yote na sikuwa na mpango naye tena.

Niliendelea kukaa na mamkubwa baadae nikaondoka kwenda Ufaransa na kule ndo nilikoanza kujiingiza kwenye biashara za massage ndo mpaka tunakutana. That time sikutaka kufanya kazi yoyote ile wala sikutaka kusikiliza ushauri wa mtu until I met mama Janeth. Mama ndo aliweza kunishawishi nirudi Tanzania ili nitulize akili, na uzuri mama Janeth namjua ni rafiki mkubwa wa mama nilikubali kurudi Tanzania. Lengo langu la kurudi Dar nifuatilie na mali alizoacha mama maana mali zake zote aliziandika kwa diary. Mimi nilikuwa najua mali zake zote alizoziacha kwa Tanzania na sikutaka kumwambia chochote mama Janeth na nilisubiri yeye aongee. Mama Janeth ana roho nzuri sana aliniambia mali zote za mama hapa Tanzania na hakuficha hata moja.


Since nimekutana na wewe maisha yangu yamebadilika sana na wewe ndo sababu ya mimi kuwa na furaha tena. Naomba usiwe na wasiwasi na lengo la kukuleta huku Ethiopia uwajue ndugu zangu ili hapo badae usione shida au tatizo kuja huku kwa mambo mengine. Na nikuahidi hakuna mtu yoyote atakayeingilia mahusiano yetu na hii mimba nitaitunza mpaka najifungua.”

MIMI: “Sasa wewe ni raia wa nchi gani maana mpaka sasa nashindwa kukuelewa, ni mtanzania, Muethiopia, Msouth, au mfaransa?”

IRYN: “That time sikutaka kuyazungumza haya in deep maana sikuona sababu ya wewe kujua kila kitu kutoka kwangu, lakini kwasasa nitakwambia ukweli. Mimi ni raia wa Ethiopia na Tanzania tuliishi sababu ya mama kuwa na legal rights za kuishi hapa Tanzania, sababu ya organization aliyokuwa anafanyia kazi.”

MIMI: “Vipi kuhusu mali? maana kwa Tanzania foreigner harusiwi kumiliki ardhi.”

IRYN: “Mhh baby unaniaibisha bhana, mali zote zipo chini ya kampuni nyingine ambayo kwasasa wamiliki ni mimi na mamkubwa na yeye ni kama mwangalizi tu. Hapo baadae Mungu akijalia naweza kuja kuwaweka hata wanangu.”

MIMI: “Na vipi kuhusu hiyo gun unayomiliki? Hukuwai kunipa maelekezo ya kueleweka mpaka sasa, ilikuaje mpaka ukamiliki.”

IRYN: “Hio niliachiwa urithi na mama kwaajili ya ulinzi wangu binafsi, so usiwe na wasiwasi baby.”

MIMI: “Nashukuru atleast leo umeniambia ukweli kuhusu wewe.”

IRYN: “Bado wewe kunipeleka kwenu na nina tamani sana tufunge ndoa hata leo baby.

Mimi nilinyamaza kimya kama sijasikia kitu maana niliona ameanza kuongea topic ambazo hata nikimjibu ataishia kununa, niliona ni heri nikanyamaza na nilichange mada.

Tuliongea mambo mengi sana na hii siku na aliweza kufunguka sana, ila mambo mengi yanabaki kuwa siri yangu. Habari nyingine kubwa alinambia wakati wa kurudi tutapitia kutembelea nyumba aliyoacha mama yake na alisema haipo mbali sana na pale kwa mama mkubwa.

Saa 8 za mchana tulitoka pale makaburini na safari yetu ilikuwa kwenda kuangalia hio nyumba yao. Tulitumia kama dakika 40 kufika eneo la tukio, nyumba iko hukohuko Bahir dar ila distance ya kutoka kwa mama yake mkubwa mpaka alikojenga mama yake ni kama km15.

Baada ya kuwasili eneo la tukio, tulifunguliwa gate na mlinzi tukaingia ndani. Mbele yangu ilionekana nyumba ya ghorofa 1 na ni nzuri sana kwakweli na baada ya kuridhika na mazingira ya pale tuliondoka. Kwa upande mwingine Iryn alinambia nyumba ilitaka kuleta shida hasa upande wa ndugu maana walitaka kumdhulumu, lakini mamkubwa wake ndo alikuwa makini sana. Baada ya kumaliza ukaguzi tuliondoka kurudi home na mimi nilitaka nikawaage ndugu zake kwaajili ya safari ya kesho.

Baada ya kuwasili pale home tulikaa kibarazani tukiendelea mazungumzo ya hapa na pale na kubwa ilikuwa kuhusu mimba yake. Muda ulikuwa unazidi kwenda na mimba huwa haifichiki, kuna siku mambo yatakuwa hadharani. Ulikuwa ni mjadala mrefu ambao ulikuwa unakosa majibu maana hata yeye alisema hajui siku ambayo atatoa taarifa home wataipokeaje.

“Bibi anajua hii ishu, unamuamini sana kwamba hawezi kumwambia mamkubwa?”

“Bibi hawezi kuropoka kwa mama na tunasiri nyingi sana na bibi. Insider jambo kama hili si la kuficha sana, ni Jimmy na bibi pekee ndo wanajua.”

“Mhh sawa mummy ila mimi naona siku ya kuweka hili jambo hadharani kila kitu kitabadikika.”

“Baby don’t worry about this.”

Baada ya dakika 20 Jimmy alikuja na mtoto wa kike wa miaka 3 ni kazuri balaa, akanitambulisha kuwa ni mwanae wa pili, na jumla ana watoto 3 wote amezaa na mama tofauti. Baadae alikuja mama mtoto “Amara”na akanitambulisha pale kuwa ndo mama mtoto na mimi nilimtania Jimmy kwanini asimuoe? Aliishia kucheka tu.

IRYN: “Jimmy kwa huyu mwanamke sidhani kama ataweza kuchomoa kwani anapendwa sana na mama, ndomana unaona amekuja ila wengine hawawezi thubutu kusogea hapa, ni suala la muda tu ataoa.”

MIMI: “Hivi Jimmy anakaa hapa home?”

Nilimuuliza Iryn kwa kiswahili maana nilijua Jimmy hajui,

IRYN: “Anaishi Addis, huku amekuja kwaajili ya haya masuala. Kesho tutaitembelea organization yetu uione, Jimmy anaisimamia unakumbuka nilikwambia about this?”

MIMI: “Yeah nakumbuka.”

JIMMY: “You guys, I need to learn Swahili. What are you talking about?.”

Na sisi tuliishia kucheka tu maana Jimmy anasemaga tukiongea kiswahili tunamteta.

Kwa mbali ilikuwa ikisikika ngoma ya Ruger-Girlfriend na Iryn alisimama akaanza kudance kwa madoido. Jimmy aliingia sebuleni kuongeza sauti na aliendelea kukata mauno pale kibarazani kwa ustadi wa hali ya juu sana.

Mimi na Jimmy tuliishia kuwa wapenzi watizimaji na baada ya ngoma kuisha Jimmy aka-irudia tena, kipindi hiki Girlfriend ndo ilikuwa inabamba sana mtaani. Jimmy naye alianza kudance pale, sasa baada ngoma kuchange ilisikika “Joha ya Asake”na hapa balaa ndo likaongezeka. Mimi nilikuwa nawachukua video pale na zoezi lilikatika baada ya gari ya mama mkubwa kuonekana ikiingia ndani.

Kuna kitu nilikibaini kati ya Iryn na Jimmy, yaani ni wale ndugu ambao wanapendana sana na kila mmoja ana-mjali mwenzake. Kuna muda wanazinguana sana kuna muda wanacheka na kucheza kama hivi na kuna muda wanakuwa serious.

Hii siku nilipata chakula cha usiku pale kwao na kwa upande mwingine mama yake mkubwa alikuwa akiniangalia sana mpaka nikaanza kujishtukia. Dizaini kama mama mkubwa alihisi something fishy kinaendelea kati yangu na Iryn ni vile alikuwa hana ushahidi tu. Katika watu ambao sikupiga nao story kabisa ni pamoja na mama mkubwa wa Iryn.

Baada ya kupata dinna niliwaga na kwa upande wao walishukuru sana kwa ujio wangu na nikaondoka na Jimmy kurudi hotelini. Nilivyoingia room niliendelea kujiandaa kwaajili ya safari ya kurudi Tanzania na nilianza kupanga nguo zangu. Baada ya kumaliza nilitulia nikaanza kuangalia zile video ambazo Iryn alikuwa anacheza pale kwao na niliishia kutabasam tu! na nikaenda kuoga ili nilale.

Mida ya saa 6 za usiku nilisikia mlango ukigongwa na nikajiuliza nani anagonga muda huu? niliwaza atakuwa ni mhudumu, hivyo nilitoka kufungua na nilishangaa sana kumuona Iryn amesimama akiniangalia, mimi nilijiuliza huyu anatafuta nini usiku huu?.

DONT PANIC
cacutee come this way🤒
 
SEASON 2
CHAPTER 02:

TRUE STORY BY INSIDER MAN

CONTINUE……
Baada ya kufungua mlango nilipigwa na butwaa kubwa sana na sikuamini nayemuona mbele yangu muda huu ni Elena (Dada yake Junior).

Nilifungua geti na nikamkumbatia maana bado nilikuwa siamini kama kweli ni yeye yaani tumetoka kumwongelea afu ghafla anarudi ilikuwa ni miujiza kwakweli na mimi niliishia kumuita mama J.

“Mama J….. njoo uone kuna muujiza huku.”

“Wewe baba J mimi nanyoosha nguo bhana acha kunisumbua.”

“Njoo uone kuna bonge la suprize.”

Baada ya wife kuja na kumwona Elena aliishia kupiga kelele za furaha na walikumbatiana pale kwa bashasha zote na tukaanza kuongea naye maana ilikuwa ni ghafla na suprise.

MAMA J: “Elena leo umetusuprise sana, mimi na Baba J tumetoka kukujadili sio muda hapa. Tumekumiss sana, sipati picha kesho Junior akiamka akakuona.”

ELENA: “Niliwamiss pia nimefanya kutoroka tu nirudi maana kule sioni future yoyote.”

MAMA J: “Ulikuwa hupatikani kwanini?”

ELENA: “Simu yangu iko na mamdogo na alikwenda mjini hajarudi mpaka naondoka.”

Elena akaanza kulia na wife hakuwa mbali kumnyamazisha pale…

MIMI: “Seems una mengi ya kuongea kuwa huru sisi ni kama familia tayari.”

ELENA: “Ukweli naishi na nyinyi kama zaidi ya familia hakuna hata siku mlishawai kunigombeza, dada umenifundisha kazi mpaka nimejua ukweli sitamani kuishi mbali na nyinyi.”

MIMI: “Usijali na shule tutakupeleka mwakani cha muhimu andaa namba yako ya mtihani na shule uliyosoma, haya tutaongea hata kesho.”

Niliondoka pale seblen na nikawaacha seblen wakiendelea na mazungumzo maana nilijua kuna vitu Elena hataweza kuongea mbele yangu hivyo atakuwa free akiwa wife.

Baada yakuingia chumbani nilianza kuziangalia zile picha za Mary kwa mara nyingine tena ukweli alionekana kuwa mzuri sana na alionekana kung’aa zaidi na nilipata sana hamu ya kuonana naye.

Baada ya nusu saa wife alikuja chumbani na akanipa mkanda mzima kuhusu Elena kutoroka na kuja huku na aliyefanikisha hili ni bibi yake. Kwa upande wangu nilimshauri mama J afanye mawasiliano na familia yake ili yasije kutokea matatizo makubwa huko mbeleni. Kwa upande wetu tulifurahi sana maana ni kama alijua shida yetu ni dada wa kukaa na Junior.
***

Usiku nilishtuka baada ya kusikia simu ikiita na ile kushuka kitandani kucheki alikuwa ni Vicky akipiga, nilijiuliza Vicky anataka nini usiku huu?lakini roho nyingine ikawa inanambia pokea. Simu ikawa imekata ile nikiendelea kujiweka sawa na maluweluwe ya usingizi simu ilianza kuita tena na nikaipokea.

“Insider…… dada Jane hali yake mbaya sana amelazwa hapa Rabinisia hospital ndo tuko….”

Niliamua kukata simu maana niliona kama ananipotezea muda, kwanza kitendo cha Jane kuanza kuumwa na bila kunipa taarifa niliona ni dharau kubwa sana kwangu ukitegemea nafasi yangu na mchango wangu kwa Jane. Nilibadilika kwa haraka na nilivaa track na juu nilivaa jazz ya Barcelona na nilifungua drow nikachukua funguo ya gari Dualis, wakati natoka wife naye alikuwa kaamka tayari na alianza kuniita pale,

“Baba J kuna nini unakwenda wapi usiku huu?”

Kucheki saa ilikuwa ni saa 8 na madakika,

“Baby nakwenda hospital Jane anaumwa so ngoja niende chap tutaongea asubuhi vizuri.”

“Subiri twende wote.”

“No time wewe utakuja kesho asubuhi.” Na mimi nikatoka spidi mle chumbani.

Nilidrive kwa spidi sana na ndani ya muda mfupi nilikuwa nimewasili pale hospital na nilimpigia simu Vicky ili anipe location.

Niliwakuta Vicky na dada wako katika hali ya huzuni sana na mimi nilikaa pembeni ya Vicky na nikauzungusha mkono wangu nyuma yake nikawa kama nambembeleza.

“Vicky hali ya Jane ikoje? Na why hujanambia mapema.”

“Insider tusamehe tu hata sisi tumechanganyikiwa hapa.” Vicky akaanza kulia………

“Ukianza kulia utafanya tulie wote hapa, then tutajaza watu, mimi niko hapa hakuna kitakacho haribika. Niambie ilikuwaje na Jane yuko wapi?”

“Ameanza kuumwa usiku huu huu hata hapa hatuna muda mrefu sana, yuko na mama wodini ila hakuna anayeruhusiwa kuingia mwingine.”

Niliendelea kumbembeleza pale mapokezi mpaka akalala kwenye paja zangu na mimi niliendelea kupiga story na dada.

“Ukinionaga unatabasamu sana nipe siri iliyojificha dada.”

“Hamna nyumbani wanakupenda sana usipoonekana hata siku 2 wanaanzaga kukuongelea.”

“Ishi vizuri na Jane ni mtu mzuri utakula matunda hapo baadae.”

“Ni kweli kabisa nitajitahidi kwa hili.”

Tuliendelea kukaa pale kwenye bench na baada ya lisaa mama yake Jane alikuja na tulisalimiana na akaanza kunipa story kuhusu maendeleo ya Jane na kubwa mama alisema muda wa kuzaa bado ila anasumbuliwa na homa pamoja na pressure. Ilibidi nishangae Jane anasumbuliwa na pressure toka lini? Sikutaka kumwuuliza mama kuhusu hili na nikavunga kimya.

Nilimuomba mama twende wote kwa doctor ili na mimi nijue kinachoendelea na baada ya kuonana na daktari alituelezea pale tuendelee kuwa na subira waendelee kufanya kazi yao na kuhusu mtoto watachukua vipimo vya Ultra sound. Kwa upande wangu sikuwa naridhika sana na majibu ambayo doctor alikuwa anayatoa nikaamua kutulia tuone maendeleo mpaka asubuhi yatakuaje.

Mama alikwenda wodini na mimi nilirudi kukaa kwenye bench kwa upande mwingine Vicky na dada walikuwa wamelala. Baada ya Vicky kuamka nilimwambia warudi home wakaandae soup kwaajili ya mgonjwa na mimi nilikwenda kwenye gari kulala.

Asubuhi niliweza kupata nafasi ya kumwona jane na alionekana kuchoka na kuwa hoi sana mpaka nikaanza kupata wasiwasi na mimi. Baada ya kumwona nilimshika mkono na alionesha kufurahi na nilimwambia atakuwa sawa asiwe na wasiwasi mimi nipo kwaajili yake.

Asubuhi hii pia nilifanya mawasiliano na Mzee Juma na nilimpa taarifa juu ya kuumwa kwa Jane na yeye alisisitiza niwe makini sana kwenye hili suala. Kwa upande mwingine kulikuwa na mahitaji ambayo Jane alikuwa anahitaji hivyo ilinibidi nitoke na akina Vicky kwenda sokoni kununua hayo mahitaji. Mama J hakuwa mbali kunipigia simu kuulizia maendeleo ya Jane na kama kuna umuhimu wa yeye kuja bhasi afanye hivyo, nilimwambia hakuna umuhimu labda badae nikirudi home ndo tutakwenda wote.

Tulitoka na akina Vicky kwenda sokoni kununua matunda na baadhi ya mahitaji na tulirudi home Mbweni kwenda kuweka mambo sawa. Vicky alitengeneza uji na soup ya samaki bila kusahau chakula cha mama na mchana tukaondoka kurudi hospital. This time dada alibaki home kwaajili ya kuangalia usalama wa nyumba sikuona busara ya kuiacha nyumba peke yake na pia awe kama mtu wa backup kwa pale home.

Baada ya kuwasili pale hospital hali ya Jane bado ilionekana bado vilevile na mama alionekana kuwa na wasiwasi sana. Mama alikuwa anasema Jane haoneshi dalili zozote za kujifungua lakini analalamika tumbo kuuma na hili ndo linampa mashaka zaidi, lakini doctor anadai bado muda wa kuzaa.

Kwa upande mwingine kulikuwa na rafiki zake 3 wamekuja kumwona ambao nilikuwa nawafahamu na mimi niliamua kwenda kukaa kwenye gari. Muda si mrefu nilipata simu kutoka kwa Vicky na alikuwa anauliza nilipo na baada ya dakika 10 alikuja parking akakaa seat ya pembeni yangu.

Tulikuwa tunapiga story na Vicky na saa 10 jioni Mary alinipigia simu na alikuwa anakumbushia appointment yetu kama tulivyokubaliana jana. Ilibidi nimwambie Mary kuhusu hali ya Jane na hospital tulipo, hizi taarifa zilimshtua sana Mary na alisema anakuja haraka sana kunipa kampani na kumwona Jane.

Baada ya lisaa Mary aliwasili pale hospital na sisi tulikuwa bado kwenye gari na nilimuelekeza niliko, Mary alionekana kwa mbali akija upande wetu na ukweli alikuwa kawaka sana, anang’aa plus kuvutia na mimi niliishia kumtizama mpaka anafika pale kwenye gari. Kwa upande wa Vicky anamfaham vizuri Mary hivyo hakuwa mgeni kwake na Mary baada ya kukaa siti za nyuma tulisaliamiana pale na alianza kuongea,

MARY: “Insider shida nini maana dada Jane nimechat naye juzi tu na alisema yuko sawa.”

VICKY: “Ameanza kuumwa jana usiku.”

MARY: “Naweza kwenda kumwona?”

MIMI: “Labda badae sahivi sidhani kama watakuruhusu.”

MARY: “Twende tukamnunulie vitu vya mtoto bhasi tukirudi utakuwa muda umefika wa kumwona.”

VICKY: “Yeye alikataa kununua vitu vya mtoto mapema, alisema mpaka ajifungue kwanza ndo atanunua eti.”

MIMI: “Acha tukamnunulie mimi nachojua atajifungua mtoto wa kiume.”

MARY: “Lets go, lets do something sisi tunaimani ata deliver salama.”

MIMI: “Vicky wewe baki na mama incase of anything sisi tunarudi sio muda mrefu sawa?”

VICKY: “Hata hivyo nisingeweza kuondoka na nyinyi, siwezi kumwacha mama peke yake.”

MIMI: “Best zake pia si wapo?”

VICKY: “Nafikiri kabaki mmoja mwingine amekwenda home kumsaidia dada.”

Tuliondoka na Mary pale hospital na safari yetu ilikuwa tuanze kwanza na Sinza then tumalizie na Mlimani city. Baada ya kununua baadhi ya vitu pale Sinza tulielekea kumalizia Mlimani city na baada ya kumaliza kufanya shopping ya mtoto tuliamua kwenda kutulia kwenye mgahawa ambao upo next na Kukukuku.

Baada ya kuwasili tulitafuta angle ya pembeni kabisa tukaagiza chakula na story zikawa zinaendelea.

MIMI: “Mary umekuwa mrembo sana nipe siri ya mafanikio.”

MARY: “Sema ni kama mwezi hatujaonana hata wewe pia naona unanawiri.”

MIMI: “Safari yako ya Kenya ilikuwa ya haraka sana sema tu ukweli ulikuwa na nani? seems pia ulikuwa Ulaya.”

MARY: “Hahahahaa hamna bhana kuna organization nilipata connection ya kuvoluntia ndo baada ya kwenda Kenya nikabahatika kwenda Belgium.”

MIMI: “Oooh imekaa poa sana na zawadi yangu iko wapi sasa?”

MARY: “Camon nisingeweza kuja nayo hospital, Insider be patient utaipata. Kwanini ulikuwa hupokei simu zangu hata text hujibu?.”

MIMI: “Kwanza Mary am sorry toka uondoke nimekuwa busy sana then nilikuwa nasahau kukurudia.”

MARY: “No one is too busy in this world, we all have the same 24 hours. It's all about priorities.”

Ilibidi niwe mpole tu maana nilikuwa sina cha kujitetea ukweli nilikuwa nimezingua, hata Mary kwa upande wake alionekana kumind sema ndo hivyo hakutaka kuonesha waziwazi. Ilibidi nitumie ujasusi nilionao kumweka sawa tena, sababu tulikuwa tumekaa kwa kuangaliana ilibidi nimshike kidevu chake na nikaanza kumsifia pale

MIMI: “Mary you know I do care about you, wewe ni moja ya watu muhimu sana kwangu and I really appreciate for everything you have done. Sikuwa nafanya kusudi kutopokea simu zako au kujibu texts zako nilikuwa na mambo mengi sana ndomana hata kuonana kipindi kile ilikuwa inashindikana.”

MARY: “Siwezi kulaumu kwa hili lakini nilikuwa naajisikia vibaya sana mpaka nawaza kama kuna something wrong I did to you.”

MIMI: “No you did nothing, unajua sometimes huwa ninahisi kama nina deni kubwa sana kwako na sijui hata nitalipaje hili deni.”

MARY: “Time will tell stop complaining yourself. Bossy wako mrembo mzima?”

MIMI: “Yuko poa, but hayupo kwasasa kaenda masomoni.”

MARY: “Hivi wazazi wake wako wapi?”

Niliona Mary kaanza maswali na mimi sikuwa tayari kumwambia chochote kuhusu Iryn.

MIMI: “Sijawahi kukaa naye tukaongea haya but najua ni mtu wa Ethiopia.”

MARY: “Ooh seems she is inlove with you.”

MIMI: “I don’t think so, sina uwezo wa kudate na mwanamke kama yule na sidhani kama anaweza kudate na mtu kama mimi. Mary mimi hata hadhi ya kudate na wewe sina ujue.”

MARY: “Insider are you serious? uliwezaje kudate na Prisca na umempagawisha sana mdogo wangu.”

MIMI: “Prisca alinipenda mwenyewe ndomana, na vipi anaendeleaje kwasasa?”

MARY: “Yuko poa, kafungua biashara yake ya cosmetics ni mwezi sasa. Don’t tell me hamuwasiliani na Prisca.”

MIMI: “Trust me, kumbe alikuwa serious na biashara hongera zake. Hivi bado anaendelea kukaa palepale Changanyikeni?”

MARY: “Yeah, Insider nataka kuhama home na mimi.”

MIMI: “Mhhh! why? mbona home pako free sana, do you really think mama atakukubalia?”

MARY: “Nishakuwa mkubwa pia nataka nitafute kazi ya kufanya maana chuo imebaki research tu.”

MIMI: “Hatakama utapata kazi usiondoke home unakimbilia maisha ya nini? subiri uolewe ndo utoke home, Prisca naweza mtetea sababu anasoma bado, sijui kwa upande wako ila kama wazazi watakuruhusu ni sawa unaweza kwenda kupanga.”

MARY: “Sawa nitaongea na wazazi kuhusu hili. Insider mimi nimefurahi sana kukuona leo, niseme wewe ni moja ya mtu muhimu sana kwetu.”

MIMI: “Nina umuhimu gani kwenu wakati nimeachana na mdogo wako acha unafiki Mary.”

MARY: “Nilikuja kujua Prisca ndo mwenye makosa na pia simlaumu kwa maamuzi aliyoyachukua that time, Insider una vitu unique sana.”

MIMI: “Vitu gani hivyo niambie na mimi nivijue.”

MARY: “Insider tuishie hapa, naona pia muda umekwenda tuondoke ili niwahi kumwona na dada Jane.”

Ilikuwa ni saa 12 jioni tayari na kabla ya kuondoka nilipitia pale Pizza hut nikanunua pizza kubwa ya chicken kwaajili ya Vicky na tukaondoka kurudi hospital.

Baada ya kuwasili tulikwenda moja moja mpaka wodini na tuliweza kumwona Jane na kidogo hali yake ilikuwa imebadilika. Jane baada ya kumwona Mary alifurahi sana na wakaendelea kuongea pale na mimi nilikuwa naongea na mama. Nilimwuliza mama Doctor anasemaje kuhusu hali ya Jane na uwezekano wa kujifungua ni lini?. Mama alinambia muda wa kujifungua ni bado ila dalili zake kidogo zinatia moyo na kuna uwezekano mkubwa wa kujifungua kwa njia ya kawaida na pia hali ya mtoto tumboni ni salama hakuna shida.

Wakati nikiendelea kuongea na mama nilipigiwa simu kutoka kwa Mzee Juma na ilibidi nitoke nje ili niweze kuongea naye, kwa upande wake alikuwa akiulizia maendeleo ya Jane na alisema kufikia Jumatano atakuwa karudi.

Mary alitoka pale nje na alinikuta kwenye bench nimekaa na aliniaga anataka kuondoka maana muda ulikuwa umekwenda na tuliongozana mpaka nje parking na tulikuwa tunasubir uber pale ije kumfata. Mary alinisema kuanzia kesho ambayo ni jumatatu atakuwa anakuja kushinda kwa Jane mpaka atakavyo jifungua. Baada ya uber kuwasili pale tuliagana kwa kukumbatiana na mimi macho yangu yote yaliendelea kumsindikiza mpaka anafungua mlango wa gari na akakaa seat za nyuma na gari ikaondoka.

Nilirudi pale kwenye bench na tuliendelea kupiga story na Vicky na ilivyofika saa 4 usiku mama alinipa baraka niondoke nikapumzike maana kila kitu kilikuwa kinakwenda sawa. Niliwaaga pale na nikawaahidi asubuhi mapema nitakwenda kuwaona na mimi niliongozana na Vicky nikampa pizza yake nikaondoka.

Wakati niko njiani kurudi home nilipata wazo la kumpigia simu Asmah na kumwomba anisaidie kwenda kwa mama Janeth ile asubuhi pamoja na kuweka mambo sawa. Baada ya kuwasiliana na Asmah kama kawaida hanaga noma na mimi na alikubali mapema kwenda kwa mama Janeth, na pia wakati nakaribia home nilipata ujumbe kutoka kwa Mary na ulisomeka

“Insider I really happy to see you again, moyo wangu umepata amani leo.”

Huu ujumbe uliniachia maswali na nilitamani kumwuliza kwanini anasema hivyo? lakini nikavunga maana nilikuwa nishafika home tayari.

Baada ya kuingia home nilikwenda kuoga kwanza na wife naye hakuwa mbali kuja kuulizia maendeleo ya mgonjwa na baada ya maongezi kadhaa aliondoka kuendelea na mambo yake. Nilifungua simu kwa upande wa whatsapp na nilikuta missed call 3 za Iryn pamoja na text juu, niliweka simu kwenye silence mode nikalala.

**********
Asubuhi niliamshwa na mama J na alikuwa akijiandaa kwenda chuo na baada ya kucheki simu ilikuwa saa 3 asubuhi nilikutana na missed call 5 za Vicky, missed call 3 za Asmah na 2 za mama Janeth na nyingine nyingi tu.

Missed call za Vicky ndo zilinipa wasiwasi na ndo nilianza kumpigia lakini hakupokea simu zangu, niliwaza pale kutakuwa na shida. Niliingia bath kuoga na nilitumia muda mfupi sana kujiandaa, wife ilibidi ashangae yaani nimetumia dakika 5 tu za kuoga pamoja na kujiandaa,

“Baba J mbona una spidi sana? kuna tatizo?”

“Sijajua ngoja niende chap hospital nikaangalie maana napiga simu hazipokelewi.”

“One more thing, vitu store vimeisha naomba hela navyotoka chuo nipitie sokoni.”

“Makubaliano yetu yalikuwaje?”

“Naelewa lakini nimelipa ada za chuo na mambo mengine now sina hela.”

“Ok! sina cash hapa nitakutumia kwa simu.”

Niliondoka kwa speed na niliwakuta dada na Junior wako seblen wamekaa, niliwasalimia na wakati naondoka Junior alianza kunililia ili toondoke wote lakini sikuwa na jinsi ilibidi niwe bandidu nikaondoka.

Ndani ya dakika 15 nilikuwa nishawasili pale Rabininsia na nilisogea karibu na room aliyolazwa Jane na nilimwomba nurse anisaidie kumwita mama maana Vicky hakuwa anapokea simu. Mama alitumia dakika 5 kutoka na tulisalimiana pale ndo kujua Vicky kaenda home mara moja, kuhusu Jane hakukuwa na taarifa yoyote.

Baada ya mazungumzo machache na mama aliaga anarudi ndani kumpa chakula mgonjwa na mimi nilikwenda kukaa kwenye bench, nikatoa simu mfukoni nikampigia simu Asmah ili kujua maendeleo na mafunzo kama yameanza.

MIMI: “Dear mambo? sorry nimechelewa kukurudia.”

ASMAH: “Insider sometimes huwa unazingua sana, sasa nakupigia simu nikuulize ulikoweka vifaa tulivyonunua kwaajili ya leo hupokei na sijui hata nimewaza nini baada ya kwenda ofisini nikavikuta kwenye kabati.”

MIMI: “Ndomana nakuaminia sana mamaa.”

ASMAH: “Mafunzo yamechelewa kuanza kwaajili ya hili, unajua mama amekasirika sana Insider, pia anakupigia simu hupokei.”

MIMI: “Aisee simu ilikuwa silence jana nimechelewa kulala unajua nauguza ndomana, sema sikukwambia but naamini kila kitu kwasasa kinaenda sawa.”

ASMAH: “Everything is going as planned, pole sana unauguza nani?”

MIMI: “Tutaongea nikija huko dear.”

ASMAH: “Poa, I gotta go Insider, takecare.”

Baada ya kuongea na Asmah niliamua kumpigia simu mama Janeth lakini hakupokea simu yangu na mimi sikutaka kumpigia tena nikavunga.

Niliwasha data na kwa upande wa whatsapp ilikuwa imechafuka sana maana nilikutana na calls zingine kutoka kwa Iryn pamoja na text juu.

“Darling, how do you feel about making me hungry with your baby?.”

“Why don’t you even pick up my calls? What’s wrong with you?”

“Mom calls you, but you don't pick up, and you know that training starts today”

Nilianza kureply texts zake lakini nikaona najielezea sana nikaona bora nimpigie tu ili nimwambie na suala la Jane. Baada ya kupiga mara 2 hakupokea simu zangu na mimi nikahisi atakuwa class hivyo nikapotezea.

Wakati nikiendelea kufikiri next move nilipigiwa simu na Mzee Juma kupitia whatsapp call na baada ya mazungumzo ya dakika kadhaa alinambia niende Airport kuna mzigo wake nikauchukue pale DHL na alinitumia contact za mtu wa kuwasiliana naye. Nilifanya mawasiliano na ile namba na nilielekezwa nikifika pale kwenye ofisi zao nimjulishe. Saa yangu ilikuwa inasoma saa 5 asubuhi hivyo niliona muda huu ni bora nikaenda kufuata huo mzigo kabla ya mambo kuwa mengi.

Baada ya kuwasili pale Airport nilifanya mawasiliano na jamaa na baada ya kuonana alinambia nisubiri kwa dakika kadhaa. Wakati nikiendelea kusubiri pale kwa upande mwingine simu yangu ilianza kuita na alikuwa ni Prisca akipiga na nilipokea tukaanza mazungumzo. Prisca hakuwa na habari nyingine zaidi ya kutaka tuonane na mimi nilimwambia awe na subira nitamcheki, pia nilitumia nafasi hii kumjasusi kama bado anakaa Changanyikeni na yeye alisema bado yuko palepale na hana mpango wa kuhama leo wala kesho.

Jamaa wa pale DHL alitumia kama dakika 40 kutoka na mzigo na lilikuwa ni box kubwa tu la wastani na tulisaidia kuliweka kwenye buti. Muda huu nilikumbuka hatujaongea na mzee kuhusu mzigo kama naupeleka home au laah. Nilimpigia simu mzee lakini hakupokea na ikabidi nimtumie ujumbe mfupi maana niliwaza nisije peleka home kumbe ulitakiwa kwenda sehemu nyingine.

Nilisubiri kwa almost dakika 10 nikisubiri majibu lakini ilikuwa kimya hivyo niliamua kumcheki dada Tyna ili nikamsalimie maana ilikuwa ni kitambo kidogo hatujawa intouched. Nilifanya kumpigia simu Tyna na alikuwepo ofisini na alinambia niende Terminal 2 tutakutana pale, ndani ya muda mfupi niliwasili pale na nikakaa pale Bao cafe nikimsubiri.

Baada ya dakika 5 dada Tyna alikuja na tulisalimiana kwa kukumbatiana na tukaendelea na mazungumzo mengine kuhusu familia yangu, na maisha kwa ujumla. Niliongea mambo mengi sana na Tyna na tulitumia kama lisaa pale cafe lakini kwa upande wangu mzee Juma hakuwa kanicheki hivyo niliamua kumuaga Tyna na mimi nikaondoka maeneo yale.

Wakati nimefika parking nilipata ujumbe kutoka kwa mzee Juma na alisema niupeleke home ule mzigo hakuna tatizo. Nilimpigia simu Cami bint yake na nilimpa taarifa kuna mzigo nauleta hapo home lakini yeye alisema hayupo, lakini niupeleke tu home. Baada ya dakika 5 Camila alipiga simu kuniuliza nimefikia wapi na mimi nilimwambia niko Buguruni, akasema anachukua bodaboda nitamkuta home.

Ndani ya nusu saa nilikuwa nimewasili pale home kwa kwa mzee Juma na nilifunguliwa gate nikaingia ndani, kwa upande mwingine alionekana Camila amesimama kibarazani akinitizama navyoingia na gari ndani. Nahisi alikuwa akishangaa gari nayoendesha (Audi) japo hakusema kitu ila alikuwa surprised.

Cami alinikaribisha ndani na kijana wa pale home alisaidia kutoa ule mzigo kwenye buti na akaupeleka ndani. Muda huu nilikuwa nasalimiana na Cami

MIMI: “Wewe si ulisema haupo?”

CAMI: “Yeah nilikuwa chuo lakini niliona sio busara wewe kuja na mzigo afu wa kuupokea hayupo.”

MIMI: “Kaka si yupo angeupokea? Sema ulikuwa umenimiss tu huna lolote.”

CAMI: “Insider karibu ndani ule na chakula.”

Baada ya kuingia ndani tuliongoza moja kwa moja mpaka dining room na chakula kilikuwa tayari pale mezani. Camila alianza kupakua chakula chake na akaanza kula lakini kwa upande wangu hata sikuwa na habari na chakula.

CAMI: “Insider karibu chakula.”

MIMI: “Nipakulie.”

CAMI: “Sawa hakuna shida.” Na alivuta sahani akanipakulia chakula.

MIMI: “Hapa sasa umetisha na akiwepo mzee wako uwe unafanya hivihivi” na nikaanza kula kwa speed huku macho yake yote yalikuwa kwangu.

Kwanza tulikuwa peke yetu wahusika wakuu hawapo maeneo yale hivyo sikuwa na wasiwasi kabisa.

“Hiki chakula kitamu sana, umepika wewe?”

CAMI: “Hahahaa hapana kapika dada.”

MiIMI: “Next time usinikaribishe kama hujapika wewe.”

CAMI: “Au unafikiri sijui kupika?”

MIMI: “Mbona umeanza kujishtukia? hujiamini.”

CAMI: “Niko sawa nishakuzoea wewe.”

MIMI: “Toka lini umenizoea? Wakati bado una aibu na mimi.”

CAMI: “Insider kula kwanza chakula then tutaongea.”

MIMI: “Unajua Jane anaumwa na amelazwa toka jumamosi?”

CAMI: “Jane anaumwa? Hapana sina hizi taarifa, kama unakwenda hospital twende wote nikamwone.”

MIMI: “Sawa nafikiri tuondoke sahivi itapendeza.”

Baada ya kula nilimtumia ujumbe mzee kuwa mzigo umefika home salama na tukaondoka kuelekea hospital. Ndani ya nusu saa tulikuwa tumewasili maeneo yale na tulikwenda moja kwa moja mpaka wodini, tulikutana na Vicky wakaongozana na Camila kwenda ndani.

Vicky alitoka akarudi kwenye bench tukaanza story pale, baada ya dakika 3 hivi ghafla mtu alinifumba macho kwa nyuma na mimi akili yangu ilihisi huyu ni Camila tu wala sio mtu mwingine.

MIMI: “Camila acha utoto bhana.”

Ile kuniachia ndo naona ni Mary, sikutegemea kama angekuwa maeneo yale.

MARY: “Who’s Camila?”

Vicky alianza kucheka pale kwa kinafiki..

MIMI: “Kuna dada kaingia ndani hapo sio muda mrefu nimekuja naye. Ulikuwepo muda mrefu sana hapa?”

MARY: “Since saa 7 niko hapa.”

Baada ya nusu saa Camila alitoka nje na akaja akakaa pale kwenye bench na story zikaendelea lakini Mary na Camila walikuwa wakiangaliana sana.

CAMI: “You look familiar dear.”

MARY: “You too kama nakuonaga chuo.”

Mimi sikutaka kuwaingilia maongezi yao hivyo mimi niliendelea kupiga story na Vicky wangu,

MIMI: “Mummy you look tired pole.”

VICKY: “Mary akishakuwaga around hunaga time na mimi.”

MIMI: “Sio kweli bhana.”

VICKY: “She is inlove with you.”

MIMI: “Mary ni mshikaji sana hujui tu.”

VICKY: There is no friendship between men and women as we are meant to be more than that…”

MIMI: “Mimi na wewe ni washikaji nilishawahi kukutongoza?”

VICKY: “No.”

MIMI: “Kama ni hivyo hata wewe ningekuwa nilikutongoza kitambo sana. Una kila sifa ya kutongozwa lakini sijafanya hivyo sio kwamba sikutamani hapana ila as a Man sio kila mwanamke wa kulala naye kuna wengine wanakuwa marafiki.”

Vicky alinyamaza kimya na aliinamia chini, na muda huu simu yangu ilianza kuita na alikuwa ni mama J akipiga. Baada ya kupokea alikuwa anakumbishia nimtumie pesa niliyosema nitatuma anataka apitie sokoni anavyotoka chuo.

VICKY: “Insider natakiwa kurudi home kuna nguo za kufua na nirudi na nguo zingine, acha niwahi.”

MIMI: “Poa mimi nipo mpaka badae kidogo nitaondoka, request uber nitakulipia usafiri.”

VICKY: “Wow thank you.”

Kwa upande mwingine Mary na Camila walikuwa wakipiga sana story na mimi sikutaka kuwaingilia bali nilikwenda kumwona Jane maana muda ulikuwa unaruhusu kwa mtu yoyote kuingia, hasa kwa sisi wanaume. Baada ya kuingia ndani nilikuta yuko na rafiki yake pamoja na mama na nilimsalimia Jane pale na alionesha tabasamu, japo alikuwa mzito kuongea ila hali yake ilionesha kuwa nzuri.

Niliongea na mama kuhusu mrejesho wa doctor na alisema sio mbaya na haiwezi kuzidi siku mbili atakuwa kajifungua. Zilikuwa ni habari njema kwangu maana ndo jambo ambalo muda wote nilikuwa naliwazia ukitegema na hio ndo ilikuwa ni mission kubwa kutoka kwa marehemu Pama kuhakikisha Jane anajifungua salama. Niliongea na mama kama kuna vitu vya kununua na alinambia ninue zabibu za kutosha na matunda mengine, na niliaga nikatoka pale nje.

Camila naye alikuwa anataka kuondoka muda huu hivyo alifanya kurequest usafiri na akatuaga pake akaondoka, nikabaki na Mary.

MARY: “Insider huyu dada umemjulia wapi?”

MIMI: “Ni binti wa mzee Juma.”

MARY: “What? nilikuwa sifahamu kuwa ni binti yake, maana tunasoma chuo kimoja ujue but faculty tofauti, some course tulikuwa tunashare.”

MIMI: “Niliwaona mkiwa mko busy mnaongea na mimi sikutaka waingilia.”

MARY: “Insider unafahamiana na watu wengi na most wanahadhi, pia umenikutanisha na watu wengi sana, thank you.”

MIMI: “Nadhani wewe umekutana na watu wengi sana kushinda Prisca. Niseme shukrani kwa kampani unayonipa Mungu atakulipa.”

MARY: “Don’t be.”

Tulikaa pale mpaka saa 2 usiku ndo tukaaga na tukaondoka maeneo yale na kama kawaida nilianza kumdrop Mary pale kwa Zena, nikaendelea na safari ya kurudi home.

******
Kesho yake asubuhi mapema sana nilikwenda ofisini na nilianza kwa mama Janeth ili kuangalia mazingira ya mafunzo pamoja na kuweka sawa baadhi ya mambo. Saa mbili kasoro nilikuwa nimewasili pale na nilikuta gari ya ofisi ikimsubiri mama maana huwa anafatwa na gari ya ofisi. Baada ya kuridhika na mazingira ya mafunzo niliamua kutoka nje na haikuchukua muda mama alitoka ndani na baada ya kumwona nilisogea nikamsalimia japo nilimsoma hayuko sawa,

“Mama Goodmorning samahani jana….” Mama alinikatisha maongezi yangu.

“Insider don’t be I know mimi nawahi tutaonana badae.”

Mama aliondoka na mimi nilikwenda ndani tena na baada ya dakika 10 Hilda alikuwa kafika tayari na tukawa tunapiga story pale, haikuchukua muda team yote ikawa imewasili na mimi nilifanya kuwasalimia na niliwaambia mafunzo yakiisha nitawapa pesa zao. Niliwaaga na mimi niliondoka kwenda ofisini.

Kazi kubwa niliyokuwa nayo ni kuanza kupitia transactions zote zilizofanyika toka mwanzo mwa mwezi pamoja na kuandaa returns za kodi kwaajili ya kuzituma TRA. Nilianza kuzipitia zile taarifa taratibu na kwa umakini sana na nika update accounts zote hasa kwenye payables na receivables na ndani ya lisaa nilikuwa nimejiridhisha na taarifa zote kasoro stock tu.

Kwa upande wa Masaki sikuwa na tatizo tena ilikuwa bado kujiridhisha na taarifa za Mikocheni, niliamua kutoka ofisini na nilikaa pale reception nimetulia, hapo nilikuwa namsubiri Asmah anipe ripoti ya stock.

Baada ya nusu saa dada aliyepewa jukumu la kukaa pale reception alikuwa kafika na baada ya kuniona niko pale alishangaa..

“Bossy wewe hapa hapakufai bwana.”

“Sio kweli ukiwa kiongozi unatakiwa kuwa mfano, nambie Winnie za huko kwenu.”

“Safi tu, wifi yetu Iryn mzima? tume-miss sana.”

“Yuko poa atakuja kuwasalimia msiwe na wasiwasi.”

Nilitoka nje kibarazani na nilikuwa kwenye coach na geti lilifunguliwa na alikuwa ni Asmah aliingia na alikuwa kashushwa na bodaboda.

ASMAH: “Insider mambo.”

MIMI: “Usinambie hujakoma na bodaboda”

Asmah hakujibu na aliendelea kuingia ndani,

ASMAH: “Insider njoo ofisini bhasi.”

Nilikwenda ofisini na nilimkuta amekaa kwenye coach dizaini ya mtu alionekana kama alikuwa anakimbizwa.

MIMI: “Vipi mbona unaonekana kama ulikuwa unakimbizwa umelala wapi?”

ASMAH: “Nimechelewa kuamka afu sikujua kama utakuja ofisini leo, kwa mama kule umeenda?”

MIMI: “Ndo mimeanzia kule na kila kitu kiko sawa, kwanini unapanda bodaboda?.”

ASMAH: “Insider Uber ni gharama nauli za tax sometimes nashindwa ku afford, situmii boda wa mtaani zaidi ya Uber.”

MIMI: “Boda wa mtaani ndo haohao Uber.”

ASMAH: “Hapana kuna utofauti Insider.”

MIMI: “Sawa bhana wewe ni mtu mzima siwezi kukupangia cha kufanya naomba ripoti ya stock bhasi.”

ASMAH: “Report bado sijaiandaa vizuri maana kuna baadhi ya bidhaa zimetoka jana, nikiikamilisha nitakujulisha.”

MIMI: “Sawa haina shida.”

ASMAH: “Leo si napata offa ya lunch?”

MIMI: “Mimi nipo sana na wewe leo, najua umenimiss, nipe funguo za stock kwanza back soon.”

Mchana baada ya kupata lunch niliagana na Asmah na nilikwenda Mikocheni kupitia taarifa na transaction zote. Nilimkuta Lucy yuko busy na mteja na nilimsalimia kwa kumkonyeza na nilikwenda ofisini kuendelea na kilichonipeleka pale.

Baada ya kumaliza kufanya kazi yangu japo kuna report zilikuwa zina miss nikasema hizi Lucy atanipa majibu mpaka amalize kazi.

Nilishinda pale mpaka jioni na muda huu nilikuwa napiga story na Lucy,

MIMI: “Lucy hivi mama anaendeleaje?”

LUCY: “Yuko salama tu, sahivi umenitenga sana hushindi kabisa toka uletewe mtoto Hilda”

MIMI: “Lucy mimi wa kukutenga wewe? kwanza naanzaje kwa shem wangu kipenzi chake Iryn.”

LUCY: “Afu umenikumbusha, Iryn analalamika hupokei simu zake mpaka anaanza kuwa na wasiwasi na wewe.”

MIMI: “Mmeongea lini haya?”

LUCY: “Jana usiku amelalamika sana toka aondoke umechange simu hupokei wala hu return calls.”

MIMI: “Nikimrudia hapokei nahisi kachukia, badae nitamcheki tena kwa kumbembeleza mke wangu.”

LUCY: “Aah wacha wewe, Iryn kashakuwa mke tayari.”

MIMI: “Acha kujifanya hujui kinachoendelea, wewe si ndo ulikuwa unataka nimpe dudu?”

LUCY: “I’m glad kwa hili.”

MIMI: “Lucy mimi nakuacha shem wangu acha niwahi home kuna sehem nataka kwenda.”

Nilitoka pale ofisini na nilikwenda na barabara ya Mwaikibaki, sasa wakati niko mitaa ya Palm village simu ilianza kuita na alikuwa ni Vicky akipiga na niliipokea simu yake kwa haraka sana.

“Insider dada Jane hali yake imebadilika sana.”

“Imebadilikaje?.”

Vicky alikuwa kama kapanick na alikuwa haeleweki na ilibidi nimwulize kama Mary yuko around akanambia ndio. Pale pale nilikata simu nikampandia haraka Mary na uzuri alipokea simu yangu kwa wakati,

“Insider nilikuwa nawaza nikupigie hapa.”

“Nini kinaendelea huko?”

“Ishu inayoendelea hali ya Jane imechange na Doctor anasema afanyiwe operation.”

“What? Kwani hali yake imechange sana?”

“So sana ila doctor anasema njia bado kipengele solution ni op.”

“Okay thank you niko njian soon nitakuwa hapo.”

Muda ulikuwa ni saa 12 jioni hivyo niliongeza mwendo na barabarani nilikuwa nina overtake bila kujali anayekuja mbele, si mnajua ile barabara ya Mwaikibaki mpaka unafika mbezi beach ilivyo. Nilikwenda na ile road, nikaja tokea Kunduchi road, na nika divert na barabara inayotokea Tegeta Nyuki sokoni ndo kuelekea Rabinisia.

Nilikuwa na mawazo mengi kichwani actually na kubwa nilikuwa nataka kuona Jane akijifungua kwa njia salama.

Niliwaza pale kama mtu anasikia uchungu afu njia ndogo inamaana kuna possibility ya operation, nikaanza kukumbuka kipindi cha mama J akiwa anataka kujifungua naye yalianza mauza uza hayahaya. No hili siwezi ruhusu lazima nichukue maamuzi magumu maana suala la Jane liko chini yangu.”

Baada ya kuwasili pale hospital nilikuwa niko spidi sana kwakweli hata kulock gari nilisahau na nilielekea moja kwa moja mpaka wodin na niliweza kukutana na Mary na Vicky.

MIMI: “Mary afya ya Jane toka mjamzito iko sawa why leo ajifungue kwa OP?”

MARY: “Ndo sisi pia hatuelewi ila doctor ndo anajua kuliko sisi.”

MIMI: “Na vipi kachoka sana?”

MARY: “Yeah yuko hoi maana anasikia uchungu.”

MIMI: “Vicky naomba niitie mama haraka mwambie namwomba mara moja ni muhimu. Mary huyu mtoto ni kama baraka kujifungua kwa OP siwezi ruhusu maana kumekuwa na tabia za hizi private hospitals nyingi kuforce OP ili kupata hela.”

MARY: “Sasa unaplan gani Insider.”

Na muda huu mama alikuwa kafika na alionekana kuwa na mawazo sana na kuchoka juu.

MIMI: “Mama nimepata ripoti ya kinachoendelea ila Mary so wa kujifungua kwa OP au wewe unaona sawa?”

MAMA: “Ndo hivyo sasa tutafanyaje?”

MIMI: “Nisikilizeni tuna dakika 20 za kwenda Lugalo hospital na atajifungua salama kabisa, you have to trust me on this guys.”

Wote walishangaa maana hawakuamini kama naweza fanya maamuzi magumu kama yale ukitegemea ndo dakika za lala salama. Wote walionekana kunipinga na mtizamo wangu, waliona nazingua.

MAMA: “Mwanangu muda umekwenda tunaweza mpoteza mtoto au wote.”

MARY: “Insider hapana we don’t have time.”

MIMI: “Nisikilizeni hata OP nayo tunaweza poteza wote vivyo hivyo, yote ni mipango ya Mungu haitakiwi kuwa na wasiwasi. Nina Experience na hili lilishatokea kwa mama mtoto wangu na nilifanya haya maamuzi tukafanikiwa, kama Jane bado yuko sawa lets do this tusipoteze muda.” Nilikuwa mkali hapa.

“Vicky endelea kuclear kama kuna madeni na gharama zingine, uzuri bima yake ni premium sidhani kama kuna cash za kulipa. Mama twende kwa doctor tukamwambie tunaondoka na mgonjwa, Mary nenda wodini kaanze kuweka vitu sawa tuondoke.”

Ukweli hawakuwa na say yoyote ilibidi wawe wapole na kukubaliana na maamuzi yangu japo kwa shingo upande.

Baada ya kufika kwa Doctor aliyekuwa anamsimamia Jane mimi ndo niliyeongea maana mama alikuwa kama kachanganyikiwa.

MIMI: “Doctor nimekuja kukupa taarifa kuwa tunaondoka na mgonjwa wetu sababu hatutaki ajifungue kwa OP na tunakwenda hospital nyingine.”

Doctor aliniangalia na kama aliona kijana anazingua hayuko sawa kiakili.

DOC: “Haya maamuzi siwezi kuwaruhusu maana likitokea la kutokea sisi ndo tutakuwa kwenye matatizo.”

MIMI: “Matatizo? how? huyu ni mgonjwa wetu na sisi ndo wenye maamuzi wala sio nyinyi na kama kuna tatito litatokea ni juu yetu. Mmeshindwa kwenda na matakwa yetu, acha tujaribu hospital nyingine.”

Doctor alijaribu kuleta ugumu lakini nilikuwa mkali mpaka akawa mpole.

DOC: “Kabla ya kuondoka naomba mlipe bills zote.”

MIMI: “Bima yake ni premium inacava bills zote, kama kuna cash tutalipia no problem, namwacha dada anashughulikia hili sisi tunawahi na nakuhakikishia huyu anajifungua salama kama nyie mmeshindwa.”

Tulirudi pale wodin chap na Mary alikuwa kaweka kila kitu sawa na tuliomba kampani kwa mlinzi akatusaidia kumbeba Jane. Kwa upande mwingine rafiki zake Jane walikuwa walikuwa wawili nao walipigwa na butwaa kwa tukio linalofanyika kwanza walikuwa hawaamini machoni mwao.

“It’s too late mnampeleka wapi Jane?”

MIMI: “Tunakwenda Lugalo, hatuna muda wa kujadiliana now guys lets go, kama kuna lolote litatokea lawama mtanipa mimi.”

Mimi niliwaacha na nilikwenda kusogeza gari karibu na nilikuwa nawasubiri chini ground floor na baada ya dakika 1 walishuka kwa lift, tukamweka jane seat za nyuma akiwa na mama na Mary na dada mmoja akakaa mbele nikaondoa gari kwa speed.

ITAENDELEA….
07/04/2024
Kumbe inaendelea hamsemi
 
Back
Top Bottom