Story ya kimla mhabeshi au kuendesha UBA?Wakuu, hii story ni Bonge Moja la tamthilia....Nafikiria TU! ikiwa INSIDER MAN akiiuza, itafanya poa Sana, si Bongo TU, hata nje.
Wakuu, mnadhani nchi gani, wakipewa dhamana wanaweza itendea haki Kati ya Waturuki, Waphilipino, Korean, Chinese, au USA?
DATAZ, Mhabeshi naye ni sehemu ya story...hivyo naongelea story mzimaStory ya kimla mhabeshi au kuendesha UBA?
Wala hujakosea nami Wala sijapinga mkuu, yamkini hujanielewa......nazani bongo pia tunafaaa emb thamn chako babu
Hatujafa... ajali ndogo saaana ... We are coming for it next season πͺπͺ COYGTumekufa kiume[emoji123]
Kwann sasa wakati hii story ni friction tu πKama kimeumana itakuwa ngumu Sana kuletewa story
Pole INSIDER MAN
Take heart β€
(Nimeamua nijipendekeze kabla hamjaanza kutoa povu)
Friction kivipi si tulikubaliana ni fiction. Sasa utasemaje fictitious events?Kwann sasa wakati hii story ni friction tu π
Nilikuwa naenda sawa na bwana mdogo mmoja mkorofi halafu hawezi kutofautisha kati ya fiction na friction mkuu..... owise nashukuru kunifundisha mpira mpaka lahaja Obrigado!Friction kivipi si tulikubaliana ni fiction. Sasa utasemaje fictitious events?
Mpira niwafundishe hadi tahajia pia?
oky am sorry.Nilikuwa naenda sawa na bwana mdogo mmoja mkorofi halafu hawezi kutofautisha kati ya fiction na friction mkuu..... owise nashukuru kunifundisha mpira mpaka lahaja Obrigado!
Sasa boss wewe ukiwa na machungu una kuwa na mood kweli ya kusimulia?Kwann sasa wakati hii story ni friction tu π
Ndo maana tuna watoto wakali kama nyie ili insider awe anatiririka tu hata kama yupo ovesSasa boss wewe ukiwa na machungu una kuwa na mood kweli ya kusimulia?
Haha πNdo maana tuna watoto wakali kama nyie ili insider awe anatiririka tu hata kama yupo oves
Hamna mwanaume amewahi kuridhika na mademu wakaleee wewe, kwanza hao wamtaani wanakufikia?Haha π
Mtaan amewajaza
Kwel kabisaHamna mwanaume amewahi kuridhika na mademu wakaleee wewe, kwanza hao wamtaani wanakufikia?
πππHamna mwanaume amewahi kuridhika na mademu wakaleee wewe, kwanza hao wamtaani wanakufikia?
Lips nyonyo jiiicho... Aaah Prisca hagusi hapoπππ
Acha kunipamba wakat hunijui
Au nyonyo Hilo linakuzuzua?
πππππLips nyonyo jiiicho... Aaah Prisca hagusi hapo
shobo zambiKama kimeumana itakuwa ngumu Sana kuletewa story
Pole INSIDER MAN
Take heart β€
(Nimeamua nijipendekeze kabla hamjaanza kutoa povu)
always una makasiriko hnyshobo zambi
Kuna kitu ana miss maishani mwake hawez kuwa bitter hivoalways una makasiriko hny