Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Wakuu, hii story ni Bonge Moja la tamthilia....Nafikiria TU! ikiwa INSIDER MAN akiiuza, itafanya poa Sana, si Bongo TU, hata nje.

Wakuu, mnadhani nchi gani, wakipewa dhamana wanaweza itendea haki Kati ya Waturuki, Waphilipino, Korean, Chinese, au USA?
Story ya kimla mhabeshi au kuendesha UBA?
 
Friction kivipi si tulikubaliana ni fiction. Sasa utasemaje fictitious events?
Mpira niwafundishe hadi tahajia pia?
Nilikuwa naenda sawa na bwana mdogo mmoja mkorofi halafu hawezi kutofautisha kati ya fiction na friction mkuu..... owise nashukuru kunifundisha mpira mpaka lahaja Obrigado!
 
Back
Top Bottom