Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Matusi ya mtt wa chekechea ,wewe umetoka Koo yenye matusi na unamiliki digrii ya matusi. Weka matusi Basi mazito. Unaiabisha mbona mkuu. Weka ambayo huwa nasikia wengine wanayaongea. Hutopata tenda msimu ujao. Demand Ni kubwa supply ndogo
Wewe unajua ni.mjinga Sana .

Maswali yote niliyomuuliza msimuliaji kanjjibu .

Lakini wewe umeanza kuleta masuala sijui ya mkataba.

Ndo maana nikaanza kukutukana na ukiendelea nitakutukana maana mada.haelewi unachokitaka

Sent from my SO-01L using JamiiForums mobile app
 
Wakuu tuseme umepata abiria masak Kwenda sehemu flan, ukifika malipo sianakuoa cash?? Sasa hao Uber pesa Yao wanaipata vp??
 
Wakuu tuseme umepata abiria masak Kwenda sehemu flan, ukifika malipo sianakuoa cash?? Sasa hao Uber pesa Yao wanaipata vp??

Ipo hivi kama mteja analipa kwa card huwa wanakata pesa yao palepale.

Kama unapokea cash tu, kamisheni ikifika 20,000 Hujalipa wanakufungia hupati request, mpaka ulipie.
 
Ipo hivi kama mteja analipa kwa card huwa wanakata pesa yao palepale.

Kama unapokea cash tu, kamisheni ikifika 20,000 Hujalipa wanakufungia hupati request, mpaka ulipie.
Aloooooooooo
INSIDER MAN tupe ratiba.
tumechoka kuwa walinzi wa thread kila mda tunavizia kama umeachia episode.
kama ni kila siku jioni au usiku tujue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…