Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Madereva wa Uber mnazingua sana, una request mtu ana accept unaamua kumpigia simu anakwmbia huko mimi siendi, sasa uli accept ili iweje?

Leo tulikua posta tukaamua kurequest kwenda Chamanzi kuna dada yangu amejenga kule, sasa lengo letu ilikua twende na kurudi. Kila uber tunaye request anagoma ndo mmoja akaja tukaenda naye na kurudi.

Kama umeamua kuwa Uber ukianza kuchagua request nakwambia utapata tabu sana. Ukianza kutopata request mnaanza makasiriko kumbe tatizo ni wewe.

Uber wanavyokupa request afu unazikataa unazidi kujiweka kwenye nafasi mbaya, kama unakataa request bhasi uwe na sababu maalumu mfano labda usiku umepata request mteja anakwenda Mbagala Rangi 3 ndani ndani huko sasa hutaki kwenda huko.

Unaweza kucancel ile request afu ukaandika “Nimewasiliana na mteja, nikamwambia nitamuacha Rangi 3 stand sababu ya usalama wangu, lakini amegoma”. Hapo hata Uber watakuelewa sio una cancel afu unanyamaza tu itawacost sana.

Wengi mnataka request za kwenda Posta, Masaki, Mikocheni, Mbezi Beach, Kariakoo, Mliman city, Sinza nknk.

Jitahidi sana uwe na rating za juu pamoja na recommendation nzuri kutoka kwa wateja kitakufanya upate request nyingi.
Na wanazingua kwelikweli. Nimeshangaa ulivyowasifia uber..
Nili uninstall hao mbweha zamani huko, sababu na visingizio kibao. Nikawapenda sana bolt.. Aisee siku hizi sijui wamepatwa na nini, kila gari utakayoita ni chafu, ni wachafu, hayo ya kuulizana unaenda wapi sijui boss niongezee elfu 2, ujinga mtupu.
Uber na bolt walivyositisha huduma nilikuwa natumia inDrive, atleast hawa sikukutana na changamoto.

Tuna shida sana kwenye kutoa huduma. Kuanzia taasisi za serikali hadi private.
 
Back
Top Bottom