Dadii
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 749
- 1,158
usisahau kunitag ukitagiwaUkitagiwa na mimi unitag mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usisahau kunitag ukitagiwaUkitagiwa na mimi unitag mkuu
tunajua kama tunapaswa kuvumilia kwakua nawewe ni hustler ka sisi,lakini unapaswa kujua kua usumbufu wetu hutoisha MPAKA pale story itakapofika mwisho,,Kesho tukutane jioni 19:00
Ole wako upite kwa priscaNdugu zangu habari, saa4 nitapost Episode niko njian narudi home kuna vitu kidogo vya kubadilisha kwenye story, nikipost ndo mtaelewa kwanini nimeamua kuedit.
Bila shaka unatoka kwa irynNdugu zangu habari, saa4 nitapost Episode niko njian narudi home kuna vitu kidogo vya kubadilisha kwenye story, nikipost ndo mtaelewa kwanini nimeamua kuedit.
Tunakusubiri mkuu we ukifika oga na kuoga na mama j mpe hi zetu.Ndugu zangu habari, saa4 nitapost Episode niko njian narudi home kuna vitu kidogo vya kubadilisha kwenye story, nikipost ndo mtaelewa kwanini nimeamua kuedit.
Na wanazingua kwelikweli. Nimeshangaa ulivyowasifia uber..Madereva wa Uber mnazingua sana, una request mtu ana accept unaamua kumpigia simu anakwmbia huko mimi siendi, sasa uli accept ili iweje?
Leo tulikua posta tukaamua kurequest kwenda Chamanzi kuna dada yangu amejenga kule, sasa lengo letu ilikua twende na kurudi. Kila uber tunaye request anagoma ndo mmoja akaja tukaenda naye na kurudi.
Kama umeamua kuwa Uber ukianza kuchagua request nakwambia utapata tabu sana. Ukianza kutopata request mnaanza makasiriko kumbe tatizo ni wewe.
Uber wanavyokupa request afu unazikataa unazidi kujiweka kwenye nafasi mbaya, kama unakataa request bhasi uwe na sababu maalumu mfano labda usiku umepata request mteja anakwenda Mbagala Rangi 3 ndani ndani huko sasa hutaki kwenda huko.
Unaweza kucancel ile request afu ukaandika “Nimewasiliana na mteja, nikamwambia nitamuacha Rangi 3 stand sababu ya usalama wangu, lakini amegoma”. Hapo hata Uber watakuelewa sio una cancel afu unanyamaza tu itawacost sana.
Wengi mnataka request za kwenda Posta, Masaki, Mikocheni, Mbezi Beach, Kariakoo, Mliman city, Sinza nknk.
Jitahidi sana uwe na rating za juu pamoja na recommendation nzuri kutoka kwa wateja kitakufanya upate request nyingi.
Hajakupatako bhn[emoji3]INSIDER MAN ukiingiako jf utupiamo ata kimoja umenipatako?
Ndugu zangu habari, saa4 nitapost Episode niko njian narudi home kuna vitu kidogo vya kubadilisha kwenye story, nikipost ndo mtaelewa kwanini nimeamua kuedit.
[emoji1666] poa Poa kingoziIpo hivi kama mteja analipa kwa card huwa wanakata pesa yao palepale.
Kama unapokea cash tu, kamisheni ikifika 20,000 Hujalipa wanakufungia hupati request, mpaka ulipie.
Dah!He died of heart problems na ni nje?
Aendelee kupumzika kwa amani
Ngoja kidogo , anaweka vituKuna dharula. Uenda insider man kapata dharula, tusubirie kesho mapema