Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu


1.Episode 14
2.Utaenda alone
 
50k nitaitoa kama ifuatavyo, anitabirie nini kiliendelea na Asmah. Episode ya 14 nishaandika tayari na nitaipost kesho, nasubiri watabiri.
Asmah anatumia dawa za mvuto huyoo,ila tu mungu anakulinda Insider na hakuna kitakachoendelea kati yenu 😀
 
kizoka atapewa gar ep 15, zanzibar na asma,
 
Hii wiki nitakuwa na thanks giving. Kwa wale mnaotumia Vodacom, Tigo na Airtel nitakuwa napost vocha. Mwenye bahati atabahatika.

Pia nitatoa zawadi ya 50k kwa atakae tabili vizuri next episode.
nex ep mama j atagundua mapenzi yako na iryn moto utawaka wakuzima na fire
 
2. Why mzigo Zanzibar?....yamkini NI surprise, mzigo ukawa mchumba wa S.A. yamkini ulijiuliza hili swali, hivyo ukaenda peke yako

1. Hili wadau wameshajibu Sana....mmoja kapatia hapo
 
Utaongozana na hilda zanzibar
 
Utaongozana na IRENE
 
1.Kizoka utampa gari episode ya 16
2.Zanzibar utaenda na Lucy
3.Asmah utaghairi kumla
 

1. Kizoka utampa gari episode inayofuata
2. Utakwenda zanzibar na asmah
 
Kizoka hautampa gari

Na Zanzibar hautaenda
 
1. Asmah utamshughulikia bila Hiyana mkuu bila Hiyana, pasipo kujali kuna mama J home na huwa anakupatia yote bila mipaka, wala hutokumbuka kuna Irene mama Kijacho na mwanamke unaye mhusudu.
2. Kizoka atarejea kama alivyo ahidi na utampatia gari ndani ya chapter 14 ijayo, na ataanza kazi.
3. Safari zako ni kama haziaminiki mbele ya mama J, hivyo ataomba safari ya Zanzibar mwende wote na itakuwa hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…