π’π’ Nimesikitika sana, it's so heartbreakingMaskini Asmah
Iryn analinda chake kwenye kila angle
Sio chake ni cha Mama J ila nashangaa Irene anavyofanya kama yeye ndio mmiliki halali.Maskini Asmah
Iryn analinda chake kwenye kila angle
Amekariri kwamba akibeba mimba basi anammiliki jumla baba kijachoSio chake ni cha Mama J ila nashangaa Irene anavyofanya kama yeye ndio mmiliki halali.
Irene Ana maamuzi magumu sana.... si angemfukuza na Insider sasaπ’π’ Nimesikitika sana, it's so heartbreaking
Huyo amemkuta mama j amemkuta ila hataki namba iongezeke, tena iwe kazini ni dharau bora aende mbali.Sio chake ni cha Mama J ila nashangaa Irene anavyofanya kama yeye ndio mmiliki halali.
Mumeo ashindwe mwenyewe tu. Anakula vitamu halafu anakula Tena vitamu sisi huku mgodini hayo maisha kwetu ni kama tamthilia.Kabul Pulao Pilau Pendwa La Pakistan.
Ilikuwa Ijumaa Order ya wateja wangu wapo walotaka Biryani wengine Kabul Pulao pembeni ikisindikizwa na Bisbas Chachandu ya Yemen na Sambharo
Gily Gru mwambie wifi soon nakuja tuipike Kabul Pulao nampa na Secret Ingredients ambayo simpi yoyote kila Chef ana secret yake ya chakula kitamu.
Halafu sisi wanaume tukishakojoa akili inarudi kwa unayempenda huyo demi asitumie nguvu nyingi na uzuri wore anaosifiwa nao bado hajiamin??Smart move ya Iryn ni kuwapa zawadi wafanya kazi wake ya IPhone akiwemo Insider na mke wake. Anaona mawasiliano yao na location alipo.
Insider alimpeleka Asmah akapumzika kidogo hapo lakini akajikuta amelala hadi saa 10 alfajiri. Hapa Iryn aliona simu zikisoma location moja masaa zaidi ya 4 lazima ahisi kuna jambo linaendelea. Halafu Insider huyohuyo alichukua simu ya Asmah na kuindoa scam spy app za Iryn. Hii ilikuwa kengele kuwa mali Italiwa badly na Iryn hatakuwa na chake. Simu alizogawa Iryn kama zawadi kwa wafanyakazi ndio ulinzi wake kibiashara na kwa mtu anayempenda. Gari aliyokuwa anatumia ni ya Iryn je aliikagua kujua kama kuna Camera zile za usalama ambazo mara nyingi ni ngumu kugundua kama sio mtaalamu wa hayo mambo. Pia vipi hiyo gari kama ina GPRS nayo inaonyesha location alipo hata kama kwenye simu ameondoa spy programs?
Kuna mifumo ipo sasa hivi mtu akitaka kujua mliyokuwa mnaongea anawapa pesa vijana wa taasisi fulani wana download maongezi yenu yote wanamtumia.
Bado Hilda na Sumaiya anawatafutia angle ya kuwatimua
Gari ya Iryn n audi sio jeep
Iko hivyo siku zote lazima asijiaminiHalafu sisi wanaume tukishakojoa akili inarudi kwa unayempenda huyo demi asitumie nguvu nyingi na uzuri wore anaosifiwa nao bado hajiamin??
Nipo hapa mkuuKuna mtu anataka kuonana na dada yetu? Natoa offa ya biryani kwa ambae yuko karibu na dada yetu. Sahani 10 zinatosha sana.
Oooh pole sana ila wanasema mchumia juani hula kimvuliniMumeo ashindwe mwenyewe tu. Anakula vitamu halafu anakula Tena vitamu sisi huku mgodini hayo maisha kwetu ni kama tamthilia.
Anavyofanya INSIDER MAN ni kidogo mno imagine mwanaume anaweza akaenda kulala na changed oasis baadae akutane na mwanamke mwingine na baadae mkewe.Ubaya au uzuri ni kuwa tunajifunza kutokana na makosa
Aliyofanya insider tunafanya wanaume wengi sana
Kutoka na asmah ilikuwa terrible mistake bora hata angemla hilda than asmah sababu uhakika ni kuwa boss macho yake yako kwa asmah tu
Kambi popoteRoho iliniuma pale karudi safari anaenda kupumzika kwa Hilda badala ya kwa mkewe jamani
Changed oasis??Anavyofanya INSIDER MAN ni kidogo mno imagine mwanaume anaweza akaenda kulala na changed oasis baadae akutane na mwanamke mwingine na baadae mkewe.
Au alale na house girls il hali mkewe yuko another room by the mid night π..
Naona INSIDER MAN anapokosea ni aina ya watu anaoharibia.