Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Jumamosi-jumapili tutaendelea kwa episodes za kutosha, jumamosi mapema sana [emoji1544]
Tengeneza ka kitabu upige pesa..
Ila usiweke tamaa..
Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Ningekuwa mimi ndio wewe ningeachana na biashara ya Uber na kuhamia kwa lyrin.
Napika nakula na kulala,, au ni UJINGA
Sasa unatoka uende wapi mwenyew nasubiri bolt iniunganishe na watu 😂😂Sitoki hapa
Sawa tajirii..Jumamosi-jumapili tutaendelea kwa episodes za kutosha, jumamosi mapema sana [emoji1544]
Analyse huyu nae ni balaa tena Insider na Lwanda hawajamfikiaHivi wakuu mpaka hapa tulipofikia kila moja list yako ya GREATEST Story tellers wa JF ni ipi?. Mimi japo sijasoma nyingi lakini hawa jamaa wafuatao nawaheshim
1. leadermoe R.I.P
2. UMUGHAKA
3. INSIDER MAN
4. LwandaMagere
5. Bado Sijasoma nyingine ila kuna room ya kupatikana wa nafasi hii km nikikuta story matata 😀
Inatakiwa iwepo list ya zile story za kunyegeshaHivi wakuu mpaka hapa tulipofikia kila moja list yako ya GREATEST Story tellers wa JF ni ipi?. Mimi japo sijasoma nyingi lakini hawa jamaa wafuatao nawaheshim
1. leadermoe R.I.P
2. UMUGHAKA
3. INSIDER MAN
4. LwandaMagere
5. Bado Sijasoma nyingine ila kuna room ya kupatikana wa nafasi hii km nikikuta story matata 😀
Muongo Muongo Huyu mama.Inatakiwa iwepo list ya zile story za kunyegesha
Money Penny na story yake ya mwalimu kuanza uchepukaji uzeeni
Sure brother usije shawishika na maneno yao maana nahakika ukisema utengeneze hata yeye hatakusupport kununua! So fanya kama ulivyopanga kufanya hapo awaliTanzania wanapenda vya bure unaweza tumia gharama kutengeneza kitabu afu ukapata hasara.
Wala usijethubutu kufanya hiyo laana kaka, stick with your family hiyo ndiyo baraka pekee kwako hayo mengine ni mapito tuu kakaWanaume wengi tunafeli hapa,
Asante sasa ♥️
“Insider naomba uje hotelin ndani haraka
I’m in danger, please. Room No. 222”