Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Jumamosi-jumapili tutaendelea kwa episodes za kutosha, jumamosi mapema sana [emoji1544]
Kama kawa kamanda...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jumamosi-jumapili tutaendelea kwa episodes za kutosha, jumamosi mapema sana [emoji1544]
Muongo Muongo Huyu mama.
Sema kinacho Muokoa akipiga hela anapiga ndefu kwa mfano kuwakutanisha tu muajem analamba kama milion tatu kwa hiyo hata akishinda na irene wiki nzima wanalala tu hakuna kinacho haribika. Alafu ana zile ruti mbili kila asubuhi ambazo mwisho wa mwezi zinampa zaidi ya milioni mbili so jamaa hata akiamua kulala tu baada ya kupeleka wanafunzi shule bado ni uhakikaSiku ya pili mfululizo ujafanya kazi una zurura tu na iryn [emoji41]
Ila nimependa jins ulivyo lihandle swala la muajemi ,kila saa unamkumbusha kuhusu mtu huyo design Kama asisahau kuwa Kuna ratiba hyo ya kumuona siku hyo
Hahahahaha na jamaa yaani angetaka mzigo Angepiga safi kabisa bila kuhonga.Dunia inamambo ya ajabu sana wengine hadi wahonge hereni na cheni za dhahabu zenye mathamani makubwa makumbwa ya hela wengine wana mfurahisha irene kwa ofa ya kitimoto tu na wanakula na hug [emoji16][emoji16][emoji16]
hahahahahaha!! yote 9, kumi ni kwamba wanapewa hata ulivyohonga wewe, utasikia eti ."hiyo simu wewe ichukue tu",,na bado mwanaume umeagizwa mashine za saluni za mamilion (pumbavu kabisa).....Dunia inamambo ya ajabu sana wengine hadi wahonge hereni na cheni za dhahabu zenye mathamani makubwa makumbwa ya hela wengine wana mfurahisha irene kwa ofa ya kitimoto tu na wanakula na hug [emoji16][emoji16][emoji16]
Tatizo moja tu kwa Insider anamsahau sana mke wake anakuwa taken by events hela kweli anapiga na anakuwa busy sana imagine hata kumpigia simu mama Junior anajikuta amesahau.Natamani hapo mbeleni nijue kama ndoa hiyo iliendelea.Sema kinacho Muokoa akipiga hela anapiga ndefu kwa mfano kuwakutanisha tu muajem analamba kama milion tatu kwa hiyo hata akishinda na irene wiki nzima wanalala tu hakuna kinacho haribika. Alafu ana zile ruti mbili kila asubuhi ambazo mwisho wa mwezi zinampa zaidi ya milioni mbili so jamaa hata akiamua kulala tu baada ya kupeleka wanafunzi shule bado ni uhakika
Hata Mimi nilipenda Uzi wako. Kama vipi niforwadie pm nitajua jinsi wa kuupresent humu.[emoji23] [emoji1787] nishatoboa maisha na sijali
Walimerge ule uzi asa nikashindwa muendelezo na kejeli za watu hapo nikachoka
anamsahau kumweka kwenye story tu. Ila siyo kwenye real lifeTatizo moja tu kwa Insider anamsahau sana mke wake anakuwa taken by events hela kweli anapiga na anakuwa busy sana imagine hata kumpigia simu mama Junior anajikuta amesahau.Natamani hapo mbeleni nijue kama ndoa hiyo iliendelea.
Dunia haipo fair kabisa, mwingine anatafuta kazi alipwe hata laki mbili mwingine anapewa milioni 5 kama asante😅😅😅Hahahahaha na jamaa yaani angetaka mzigo Angepiga safi kabisa bila kuhonga.
Kitimoto ya buku 20 pale Juliana basiiii mtu analiwa.
Wewe unakuja na mivitu ya milioni 40 [emoji1787][emoji1787]
My friend Lightone, kacheki uzi wangu mpya SoC[emoji4]Dunia haipo fair kabisa, mwingine anatafuta kazi alipwe hata laki mbili mwingine anapewa milioni 5 kama asante[emoji28][emoji28][emoji28]
Hayo mawazo unayo wewe coz huna hela broo, mtu na hela zako unasubiri vip nyama mpaka wachome sijui. Tafuta hela mkuu.Watu wanaagiza mishikaki ishirini badala wanunue nyama kilo mbili wachome wale washibe ,,
Hela ama akili zetu tunaongea kulingana na Hali zetu.Hayo mawazo unayo wewe coz huna hela broo, mtu na hela zako unasubiri vip nyama mpaka wachome sijui. Tafuta hela mkuu.
Dunia inamambo ya ajabu sana wengine hadi wahonge hereni na cheni za dhahabu zenye mathamani makubwa makumbwa ya hela wengine wana mfurahisha irene kwa ofa ya kitimoto tu na wanakula na hug [emoji16][emoji16][emoji16]
Maisha hayajui huyu anapata nn na yule anakosa nn. Yanachojali ni kwamba kama hauko kwenye channels za pesa utaendelea kuzisikia kwenye bomba tuDunia haipo fair kabisa, mwingine anatafuta kazi alipwe hata laki mbili mwingine anapewa milioni 5 kama asante😅😅😅