Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Nimesoma story nyingi Sana.

Kiukweli mwanzo ilikuwa ni stori ya ukweli Ila baada ya kuona Ina mashabiki wengi akaanza kuongeza chumvi.

Yaani haina uhalisia wa maisha ya kawaida .

Kupewa million kwake ni kitu cha kawaida.

Wateja wake wote wazuri hajawahi kupakia demu mbovu.

Yaani yeye kupewa iPhone 13 kawaida ,Mara kapewa kwenye bahasha laki 3 Mara .


Tips kwenye Hii stori zimekuwa nyingi Sana kuliko hata kazi.


Kiukweli hii fiction acha tuone mwisho unakuaje.
Alishatolea ufafanuzi mbona, mademu wabovu anapakia ila alisema anaeleza wale character main ili stori isiwe na mambo mengi
 
He is tell lies to us, kazi nazo akifanya hakosi doo lakini ukweli ni kuwa amewahi au anafanya biashara ya uber ila stori katunga.
Yaani watu kama hawa hatukatai kusimulia story.

Ila mazingira ya madereva wa bolt au.uber hayako kama yeye anavyotaka kutuaminisha.

Uber yake amepanda waziri halfu akaanza kupiga nae story Sana na alisema sio mpenzi wakuongea na wateja.

Uber yake haijawahi kupata hasara siku zote mafanikio tu.

Madereva maisha yanavyowapiga na hela ya mafuta Ila yeye anaweza kwenda kiwanja akatumbua hata laki moja ikawa kawaida.

Stori now imefika kiasi kwamba hapati hata muda wa kazi Anaweza kushinda kwa iryn au prisca akasahau kupiga kazi...sasa sijui hela ya mafuta alikuwa Anapata wapi ?
 
Yaani watu kama hawa hatukatai kusimulia story.

Ila mazingira ya madereva wa bolt au.uber hayako kama yeye anavyotaka kutuaminisha.

Uber yake amepanda waziri halfu akaanza kupiga nae story Sana na alisema sio mpenzi wakuongea na wateja.

Uber yake haijawahi kupata hasara siku zote mafanikio tu.

Madereva maisha yanavyowapiga na hela ya mafuta Ila yeye anaweza kwenda kiwanja akatumbua hata laki moja ikawa kawaida.

Stori now imefika kiasi kwamba hapati hata muda wa kazi Anaweza kushinda kwa iryn au prisca akasahau kupiga kazi...sasa sijui hela ya mafuta alikuwa Anapata wapi ?
Story ya uongo hii, mwanamke anayefanya masaji kwa dola elfu 10 anashindwa kuwa na gari kali inayoendana nae au kuwa na dereva wa kudumu.

Story imekosa uhalisia.
 
Eti huyo iryn ana pesa lakini siku wamegongwa akashindwa kumpa laki 7 akanyooshe gari mpaka wakamkaba mlevi aliyewagonga akaweka bond iphone.

Bata kwa siku wanapiga mpaka la laki 7 lakini kunyoosha gari mziki.
 
Tangu amemuacha mke wake walivyogombana hajawahi kwenda kumuomba msamaha wala kupokea simu yake akipiga yeye na mademu mademu na yeye, hii story jamaa anatupanga haina uhalisia. Huwezi kuwa mke tena ana mtoto mdogo then ukawasahau kabisa kisa mmegombana akarudi kwao halafu uwe na amani kabisa hata kwenda kuwaona ni no lakini upande wa pili kila siku yeye kwa iryn tena mpaka anapika pilau, kwa mtu mwenye familia tena changa anajua huu ni uongo.
 
He is tell lies to us, kazi nazo akifanya hakosi doo lakini ukweli ni kuwa amewahi au anafanya biashara ya uber ila stori katunga.
Vingine acheni vipite ni story mwisho wa siku tunapata burudani huu ujuaji wenu ndo hua una wafanya wengine waache story hewani bila kumaliza kwa sababu ya wajuaji kama nyie vitoto vya (1998 - 2003) si ajab wakt tunasoma story za shigongo kweny magazeti yake mlikua bado mnanyonya 😏😏
 
Vingine acheni vipite ni story mwisho wa siku tunapata burudani huu ujuaji wenu ndo hua una wafanya wengine waache story hewani bila kumaliza kwa sababu ya wajuaji kama nyie vitoto vya (1998 - 2003) si ajab wakt tunasoma story za shigongo kweny magazeti yake mlikua bado mnanyonya [emoji57][emoji57]
Hapana mtu anaposema story ya kweli lazima tuone uhalisia ila story ya huyu jamaa mwanzoni uhalisia 80% Ila kwa sasa uhalisia 20%
 
Eti huyo iryn ana pesa lakini siku wamegongwa akashindwa kumpa laki 7 akanyooshe gari mpaka wakamkaba mlevi aliyewagonga akaweka bond iphone.

Bata kwa siku wanapiga mpaka la laki 7 lakini kunyoosha gari mziki.
Story inaanza ndani.ya miaka miwili kazini ametengeneza million 24 .

Halfu alikuwa intern wale wataesa wanaolipwa laki 4 .halfu muda huohuo akafungua biashara ya hardware kama sijakosea.

Hata kama ni upigaji Ila kwa million 24 alitupiga
 
Hapana mtu anaposema story ya kweli lazima tuone uhalisia ila story ya huyu jamaa mwanzoni uhalisia 80% Ila kwa sasa uhalisia 20%
Subiri story itakapo fika mwishoni ndio uweke criticism sasa hata katikati mwandishi haja fika mmesha anza kulalama hamuoni kama mnataka mmumkatishe tamaa mnakosa SUBRA kama bao la kwanza namna gani nyie vijana wa siku hizi??
 
Tangu amemuacha mke wake walivyogombana hajawahi kwenda kumuomba msamaha wala kupokea simu yake akipiga yeye na mademu mademu na yeye, hii story jamaa anatupanga haina uhalisia. Huwezi kuwa mke tena ana mtoto mdogo then ukawasahau kabisa kisa mmegombana akarudi kwao halafu uwe na amani kabisa hata kwenda kuwaona ni no lakini upande wa pili kila siku yeye kwa iryn tena mpaka anapika pilau, kwa mtu mwenye familia tena changa anajua huu ni uongo.
Madereva wa uber wanavyoongoza Ku lala kwenye magari mwezetu analala kwa iryn kutwa nzima ..

Nauliza hela ya mafuta alikuwa anapata wapi ?
 
Subiri story itakapo fika mwishoni ndio uweke criticism sasa hata katikati mwandishi haja fika mmesha anza kulalama hamuoni kama mnataka mmumkatishe tamaa mnakosa SUBRA kama bao la kwanza namna gani nyie vijana wa siku hizi??
Kwa Jf hatusubirigi mwisho kuna jamaa humu ndani alishawahi kuja na story ya kwenda afrika kusini bila ndugu akapokelewa na kanisa halfu wakapata safari ya kwenda Eswatin bila chochote na mzamiaji aliacha kusimulia.

Muulize mpwayungu village
 
Story ya uongo hii, mwanamke anayefanya masaji kwa dola elfu 10 anashindwa kuwa na gari kali inayoendana nae au kuwa na dereva wa kudumu.

Story imekosa uhalisia.
Yaani ulipwe dola Elfu 10 kwa lisaa ushindwe kuwa na gari uongo uongo.

Namjua Demu nafanya nae kazi analipwa million 3.5 na bado Ana ka IST ..
 
Madereva wa uber wanavyoongoza Ku lala kwenye magari mwezetu analala kwa iryn kutwa nzima ..

Nauliza hela ya mafuta alikuwa anapata wapi ?
Hela ya mafuta anapata wapi? Jamaa alishasema iryn anampa laki 3 wikiend,, bado ana abiria mmoja mmoja anaowapakiza,, bado wale watoto wa shule anao mama wawili na maggy. Mbona stori iko simple inaeleweka hakuna haja ya kukaza kichwa
 
Tangu amemuacha mke wake walivyogombana hajawahi kwenda kumuomba msamaha wala kupokea simu yake akipiga yeye na mademu mademu na yeye, hii story jamaa anatupanga haina uhalisia. Huwezi kuwa mke tena ana mtoto mdogo then ukawasahau kabisa kisa mmegombana akarudi kwao halafu uwe na amani kabisa hata kwenda kuwaona ni no lakini upande wa pili kila siku yeye kwa iryn tena mpaka anapika pilau, kwa mtu mwenye familia tena changa anajua huu ni uongo.
Mbona tunasikia case nyingi wanaume wanatelekeza watoto bila ugomvi wowote wa familia au wanakimbia familia na wanaenda kula bata wakiwa na amani,, ila wewe unaona kwa insider haiwezekani
 
Hela ya mafuta anapata wapi? Jamaa alishasema iryn anampa laki 3 wikiend,, bado ana abiria mmoja mmoja anaowapakiza,, bado wale watoto wa shule anao mama wawili na maggy. Mbona stori iko simple inaeleweka hakuna haja ya kukaza kichwa
Chai chai hakuna mtu mwenye familia akawa anaendekeza starehe kama huyu msimuliaji.

Hata kama alikuwa anampa Mia 3 kila wikiend Mbona muda mwingi anatumia kwa iryn na kula bata kuliko kazi.
 
Eti huyo iryn ana pesa lakini siku wamegongwa akashindwa kumpa laki 7 akanyooshe gari mpaka wakamkaba mlevi aliyewagonga akaweka bond iphone.

Bata kwa siku wanapiga mpaka la laki 7 lakini kunyoosha gari mziki.
Kwahiyo wewe ukiwa na pesa, gari yako ikigongwa utakuwa unaenda kunyoosha bila kudai chochote. Yani unamwambia aliyekusababishia ajali awe na amani tu yani fresh
 
Back
Top Bottom