Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Watu wanaamini hii ni true story ya kweli yaani,

hakuna kitu kama icho....sema jamaa anajua kutunga hadithi....leta hadithi mkuu unajua kutunga sana.

Hivi true story nyie mnazijua kweli yaani muajemi akanipa milioni 5 alafu akaniongeza na milioni 2 [emoji28][emoji28][emoji38][emoji28][emoji28] you guys na nyie mnaamini kabisa.....

hivi mnakumbuka jamaa alipewa milioni 3 mwanzo kabisa na muajemi.[emoji16][emoji1787][emoji23] afu muajemi ampe demu vitu vya thamani ya 40milions hapo bado mashine za kisasa zilizopo dubai zinakuja...... demu naye hataki iphone 13 kamuachia msela, na msela naye hataki iphone 13 pro [emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16]muajemi mwenyewe hata papuchi hataki kweli....

mama alianza kazi mwaka 91 na alikuja kulipwa milioni 45 kwa mwezi na organization X nchi hii hii ya walala hoi.....too much salt....too much sugar..... too much alcohol.....stori za kutunga hizi.....

Hakuna true stori ya hivi ila unajua kutunga sana....mbotswana pia alilala appartment za milioni 3 per month mswana mwenyewe ni black melanin afu jamaa kamezea hakula [emoji16][emoji16][emoji16]

Wewe hunaga gundu kabisa yaani.

Mkuu unajua kuna watu wanalipwa zaidi ya $300,000/= kwa mwaka na hizi international Organization?? Kwa mtu ambaye ubongo wake uko vizuri bila shaka alishajua Mama yake na Iryn alikua anafanyia kazi Organization gani.

Unashangaa Muajemi kuhonga hizo necklace za almost 30m wakati kuna wabongo wanahonga hadi nyumba? na magari ya kifahari. Unajua wewe unaona ni kama haiwezekani sababu huna hela ila kwa wenye pesa ni vitu vya kawaida sana. Muajemi account zake zilikua zinasoma dollar $2Billions na mapoint kazaa huko, ashindwe kuhonga 30m?, wakati Harmonize anahonga hadi Range 2 [emoji23][emoji23]

Kwa mara ya kwanza nakutana na Muajemi alinipa 1million hio 3m umeitoa wapi mkuu?

Nilijifunza kitu kimoja kwenye hii Dunia, hakuna Mwanaume asiyehonga ila tumetofautina level za kuhonga tu. Kama unaweza kumuhonga demu savanna 5 kuna mtu anahonga gari au nyumba. Ukiwa huna hela unaweza ona haya mambo hayawezekani ila ukipata hela utaona ya kawaida sana.

Iryn alikua mwanamke mzuri sana aisee, tuseme Alibarikiwa tu. Endelea kufuatilia story kuna mambo mengi sana yaliendelea huko mbele.
 
Chai chai hakuna mtu mwenye familia akawa anaendekeza starehe kama huyu msimuliaji.

Hata kama alikuwa anampa Mia 3 kila wikiend Mbona muda mwingi anatumia kwa iryn na kula bata kuliko kazi.
Wangapi tunawaona mtaani wana familia na bado wakawa wanakula bata bila kujali mahitaji ya home. Au hizi kesi tunazosikia ustawi wa jamii huku mitaani nayo ni maigizo?

Alafu ukisoma vizuri, mara nyingi out zake na iryn anayelipia bills ni iryn, kuna episode alionyesha hiko kitu.
 
Chai chai hakuna mtu mwenye familia akawa anaendekeza starehe kama huyu msimuliaji.

Hata kama alikuwa anampa Mia 3 kila wikiend Mbona muda mwingi anatumia kwa iryn na kula bata kuliko kazi.


Mpaka story ilikofika toka Mama J arudi kwao ni week tayari. Wewe unavyosoma unaona kama miezi hivi, fuatilia vizuri huwa nasema matukio yalitokea muda gani.
 
Watu wanaamini hii ni true story ya kweli yaani,

hakuna kitu kama icho....sema jamaa anajua kutunga hadithi....leta hadithi mkuu unajua kutunga sana.

Hivi true story nyie mnazijua kweli yaani muajemi akanipa milioni 5 alafu akaniongeza na milioni 2 [emoji28][emoji28][emoji38][emoji28][emoji28] you guys na nyie mnaamini kabisa.....

hivi mnakumbuka jamaa alipewa milioni 3 mwanzo kabisa na muajemi.[emoji16][emoji1787][emoji23] afu muajemi ampe demu vitu vya thamani ya 40milions hapo bado mashine za kisasa zilizopo dubai zinakuja...... demu naye hataki iphone 13 kamuachia msela, na msela naye hataki iphone 13 pro [emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16]muajemi mwenyewe hata papuchi hataki kweli....

mama alianza kazi mwaka 91 na alikuja kulipwa milioni 45 kwa mwezi na organization X nchi hii hii ya walala hoi.....too much salt....too much sugar..... too much alcohol.....stori za kutunga hizi.....

Hakuna true stori ya hivi ila unajua kutunga sana....mbotswana pia alilala appartment za milioni 3 per month mswana mwenyewe ni black melanin afu jamaa kamezea hakula [emoji16][emoji16][emoji16]

Wewe hunaga gundu kabisa yaani.

Hii ndo siku niliyokwenda kwa Mama J na pembeni utaona kuna karatasi tulikuwa tunaset password. Na hii siku nilikwend kwao ilikua jumatatu baada ya kutoka Dodoma nilikwenda kwao, nikampa simu kama zawadi
IMG_2015.jpg
 
Kwa Jf hatusubirigi mwisho kuna jamaa humu ndani alishawahi kuja na story ya kwenda afrika kusini bila ndugu akapokelewa na kanisa halfu wakapata safari ya kwenda Eswatin bila chochote na mzamiaji aliacha kusimulia.

Muulize mpwayungu village
Hivi hii stori haikuisha..maana ilikuwa nzuri ila baadae sikuona muendelezo nikawa sina muda sijaingia JF

Ilikuwa nzuri saana na yule demu sijui Kumaro...alivyokuwa anampenda
 
Lazima vibwagizo viwepo mkuu.
Watu wanaamini hii ni true story ya kweli yaani,

hakuna kitu kama icho....sema jamaa anajua kutunga hadithi....leta hadithi mkuu unajua kutunga sana.

Hivi true story nyie mnazijua kweli yaani muajemi akanipa milioni 5 alafu akaniongeza na milioni 2 [emoji28][emoji28][emoji38][emoji28][emoji28] you guys na nyie mnaamini kabisa.....

hivi mnakumbuka jamaa alipewa milioni 3 mwanzo kabisa na muajemi.[emoji16][emoji1787][emoji23] afu muajemi ampe demu vitu vya thamani ya 40milions hapo bado mashine za kisasa zilizopo dubai zinakuja...... demu naye hataki iphone 13 kamuachia msela, na msela naye hataki iphone 13 pro [emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16]muajemi mwenyewe hata papuchi hataki kweli....

mama alianza kazi mwaka 91 na alikuja kulipwa milioni 45 kwa mwezi na organization X nchi hii hii ya walala hoi.....too much salt....too much sugar..... too much alcohol.....stori za kutunga hizi.....

Hakuna true stori ya hivi ila unajua kutunga sana....mbotswana pia alilala appartment za milioni 3 per month mswana mwenyewe ni black melanin afu jamaa kamezea hakula [emoji16][emoji16][emoji16]

Wewe hunaga gundu kabisa yaani.
 
Mkuu unajua kuna watu wanalipwa zaidi ya $300,000/= kwa mwaka na hizi international Organization?? Kwa mtu ambaye ubongo wake uko vizuri bila shaka alishajua Mama yake na Iryn alikua anafanyia kazi Organization gani.

Unashangaa Muajemi kuhonga hizo necklace za almost 30m wakati kuna wabongo wanahonga hadi nyumba? na magari ya kifahari. Unajua wewe unaona ni kama haiwezekani sababu huna hela ila kwa wenye pesa ni vitu vya kawaida sana. Muajemi account zake zilikua zinasoma dollar $2Billions na mapoint kazaa huko, ashindwe kuhonga 30m?, wakati Harmonize anahonga hadi Range 2 [emoji23][emoji23]

Kwa mara ya kwanza nakutana na Muajemi alinipa 1million hio 3m umeitoa wapi mkuu?

Nilijifunza kitu kimoja kwenye hii Dunia, hakuna Mwanaume asiyehonga ila tumetofautina level za kuhonga tu. Kama unaweza kumuhonga demu savanna 5 kuna mtu anahonga gari au nyumba. Ukiwa huna hela unaweza ona haya mambo hayawezekani ila ukipata hela utaona ya kawaida sana.

Iryn alikua mwanamke mzuri sana aisee, tuseme Alibarikiwa tu. Endelea kufuatilia story kuna mambo mengi sana yaliendelea huko mbele.
Achana kubishana na watu ambao hawako exposed na maisha
 
Mkuu unajua kuna watu wanalipwa zaidi ya $300,000/= kwa mwaka na hizi international Organization?? Kwa mtu ambaye ubongo wake uko vizuri bila shaka alishajua Mama yake na Iryn alikua anafanyia kazi Organization gani.

Unashangaa Muajemi kuhonga hizo necklace za almost 30m wakati kuna wabongo wanahonga hadi nyumba? na magari ya kifahari. Unajua wewe unaona ni kama haiwezekani sababu huna hela ila kwa wenye pesa ni vitu vya kawaida sana. Muajemi account zake zilikua zinasoma dollar $2Billions na mapoint kazaa huko, ashindwe kuhonga 30m?, wakati Harmonize anahonga hadi Range 2 [emoji23][emoji23]

Kwa mara ya kwanza nakutana na Muajemi alinipa 1million hio 3m umeitoa wapi mkuu?

Nilijifunza kitu kimoja kwenye hii Dunia, hakuna Mwanaume asiyehonga ila tumetofautina level za kuhonga tu. Kama unaweza kumuhonga demu savanna 5 kuna mtu anahonga gari au nyumba. Ukiwa huna hela unaweza ona haya mambo hayawezekani ila ukipata hela utaona ya kawaida sana.

Iryn alikua mwanamke mzuri sana aisee, tuseme Alibarikiwa tu. Endelea kufuatilia story kuna mambo mengi sana yaliendelea huko mbele.
Hao ndio wabongo. Kila kitu wanaona chai.

Kuna siku nimekaa sehemu naangalia mpira kuna jamaa alibet kwa 2M. Nikawa nashangaa kwa nini mtu urisk 2M kwenye kamali? Daktari mmoja mtu mzima arround 50 yrs of age alikuwa na familia yake pembeni anapata chakula aliniambia huna pesa ndio maana unasema hivyo. Akasema yeye huwa anaweka 10M na kuna wakati inapotea. Mwisho wa siku nilikubaliana na maneno.


Haya mambo yanaendana na levels . Na ukitaka kujipima uwezo wako wa kuhonga angalia aset unazomiliki. Kuna watu wana gari za milioni 100-800 hawaoni shida kuhonga 20m-50m. Mtu ana flat screen ya 25M ndani kuhonga 20M mtu haoni shida. Na kama unamiliki IST huwezi honga 2M mwisho wako utakuwa 100K. Mtu unamiliki flat screen TV singsung au Star X ya 350,000 automatically huwezi honga 500K utakuwa mwehu.

Hivi ile gari Diamond alimhonga Tanasha inaghalimu kiasi gani? Mbona mambo ya kawaida yapo tu.

Pia kuna mzee namfahamu ana magali ila yeye hapendi kuwa na gali ya kutembelea na hajui kuendesha mpaka leo amestaafu. Kuna dogo anaingiza pesa ndefu kwa kupitia professional yake huwezi amini kama hizo pesa anazipata hapa Tz.

Haya ni mambo ya kawaida kwenye maisha hatufanani songa mbele na story yako
 
Tutaaminije kama ulinunua wewe mwenyewe je?
Mkuu Mimi wakati nimemaliza chuo nasoma CPA, nilikuwa naendesha Uber. Nimeendesha Uber kwa miaka 2. Dereva Uber ukiwa msomi, unajua kiingereza, una gari Kali, halafu dizaini ukionekana unafanana nao kwa maana ya elimu, sio maskini kivile (nilikuwa naishi goba kinzudi maghorofani), na una exposure ( Mimi nilisoma IFM) utakula sana maisha. Maana wateja wa kishua kwanza watakuheshimu na watakuamini sana.
Mimi nilipewa mpaka madili ya kwenda china na wateja.
Nimealikwa kwenye events za kifamilia na wateja wakike kama harusi, birthday party na nimewahi kupewa mwaliko na mbunge mmoja niende kwenye vikao vya bunge nikitaka kwenda bungeni baada ya kuongea naye na kuniona Nina interest na mambo ya siasa, na huyo mbunge nilimpakia kwenda airport, ndio tukafahamiana.
Nimewahi kuingia nyumba ya tajiri mmoja mkubwa sana tena sana kwasababu tu mtoto wake wa kike alikuwa mteja wangu.
Nimewahi kualikwa kwenye kutoa sadaka ya shukrani kanisa la UCC upanga na mke wa mkurugenzi mkuu wa shirika Moja kubwa la serikali, na kutambulishwa dereva wangu, jioni nikajumuika mbezi beach kwenye chakula Cha jioni, huyo mke wake tulijuana kwenye Uber.
Niliwahi kumpakia dada wa TBS anayeishi kota za TBS mikocheni pale karibu na kwa Mwinyi, yule dada ni mhasibu tukaja kutengeneza bond kubwa sana mpaka Leo, sasa wakati nakaribia kufanya mitihani ya CPA akaniambia njoo tukae wote mikocheni ili nimsaidie maana alinikubali sana, ndani tukawa tunaishi watu watatu tu, Mimi, yeye na mdogo wake, angekuwa tuna umri sawa ungenikuta ni shemeji Yako now, sema amenizidi kama Miaka 8 hivi, nimeishia kumfanya dada, ila mpaka Leo nikitaka kulala pale kota za TBS nalala.

Na kwasababu nilikuwa naishi Goba kinzudi maghorofani request zangu za asubuhi ilikuwa lazima ziwe goba, mbezi makonde, mbezi afrikana etc

Kuhusu kupeleka wanawake kugongwa hilo nimelifanya sana, nimewapeleka sana hotel za hapa bongo, nje ya mji bagamoyo, morogoro na kuwasubiria na kurudi now, anakupigia gharama za kwako kwa siku, mzungu analipa. Ni kawaida sana.

Kuhusiana na tenda za kupeleka watoto shule nilipataga hiyo tenda kupeleka watoto Kila siku pale Liberman, kuhusiana na kupeleka mtu kazini nilipataga ya kumpeleka mdada kazini asubuhi daily. Huyu dada ni mfanyabiashara wa kariakoo aliwahi ku-process mkopo bank ya access mil 80, ili aende kufuata spare za magari china, na siku hiyo alichomoa mil 20 alitaka kuongeza working capital dukani mil 10, na mil 10 akaenda kumalizia installment ya mwisho ya kiwanja hukohuko goba ili apate hati, na pesa hiyo mil 10 nilikuwa nayo Mimi kwenye gari, na kwenye kukabidhi Mimi ndio nilikabidhi na nikasaini mkataba wa mwisho wa kumalizia installment, ( Leo hii Mimi ndio namwandalia financial statements za biashara zake ) Huyo dada alikuwa ananishirikisha utadhani Mimi ndio mume wake, kumbuka ameolewa na ana watoto wawili. Kila safari ya china akienda airport na akirudi Mimi ndio nilikuwa nampeleka, ndio huyu akataka nijipange nianze kwenda china.

Hapo sijazungumzia connection za foreigner wakikujua wewe ni msomi na unajua vizuri kiingereza. Nimewahi kwenda mbuga za wanyama na foreigners wawili.

Narudia tena, dereva wa Uber ukiwa
[emoji3581] Unajua kiingereza
[emoji3581] Una elimu nzuri
[emoji3581] Ukionekana sio mswahili , ila ni lower-middle class economy.
Hayo mambo aliyoyasema INSIDER MAN utayaamini
 
Watu wanaamini hii ni true story ya kweli yaani,

hakuna kitu kama icho....sema jamaa anajua kutunga hadithi....leta hadithi mkuu unajua kutunga sana.

Hivi true story nyie mnazijua kweli yaani muajemi akanipa milioni 5 alafu akaniongeza na milioni 2 😅😅😆😅😅 you guys na nyie mnaamini kabisa.....

hivi mnakumbuka jamaa alipewa milioni 3 mwanzo kabisa na muajemi.😁🤣😂 afu muajemi ampe demu vitu vya thamani ya 40milions hapo bado mashine za kisasa zilizopo dubai zinakuja...... demu naye hataki iphone 13 kamuachia msela, na msela naye hataki iphone 13 pro 😆😅😅😅😅😁😁muajemi mwenyewe hata papuchi hataki kweli....

mama alianza kazi mwaka 91 na alikuja kulipwa milioni 45 kwa mwezi na organization X nchi hii hii ya walala hoi.....too much salt....too much sugar..... too much alcohol.....stori za kutunga hizi.....

Hakuna true stori ya hivi ila unajua kutunga sana....mbotswana pia alilala appartment za milioni 3 per month mswana mwenyewe ni black melanin afu jamaa kamezea hakula 😁😁😁

Wewe hunaga gundu kabisa yaani.
Broda pole kwa kuwa na mawazo ya kimasikini. Hiv unajua hapo Kenya kuna mzungu mmoja alimtumia demu wake KSHS million mia serikali akazizuia?
 
Watu wanaamini hii ni true story ya kweli yaani,

hakuna kitu kama icho....sema jamaa anajua kutunga hadithi....leta hadithi mkuu unajua kutunga sana.

Hivi true story nyie mnazijua kweli yaani muajemi akanipa milioni 5 alafu akaniongeza na milioni 2 😅😅😆😅😅 you guys na nyie mnaamini kabisa.....

hivi mnakumbuka jamaa alipewa milioni 3 mwanzo kabisa na muajemi.😁🤣😂 afu muajemi ampe demu vitu vya thamani ya 40milions hapo bado mashine za kisasa zilizopo dubai zinakuja...... demu naye hataki iphone 13 kamuachia msela, na msela naye hataki iphone 13 pro 😆😅😅😅😅😁😁muajemi mwenyewe hata papuchi hataki kweli....

mama alianza kazi mwaka 91 na alikuja kulipwa milioni 45 kwa mwezi na organization X nchi hii hii ya walala hoi.....too much salt....too much sugar..... too much alcohol.....stori za kutunga hizi.....

Hakuna true stori ya hivi ila unajua kutunga sana....mbotswana pia alilala appartment za milioni 3 per month mswana mwenyewe ni black melanin afu jamaa kamezea hakula 😁😁😁

Wewe hunaga gundu kabisa yaani.
Your mental block beliefs inventory unazo za kutosha. Yaani kumbadilisha mtu anachoamini utamuua. Ni sawa kumbadilisha paroko aka bishop awe shekhe,unadhani Ni kazi rahisi.
Yaani unaposema nchi ya walalahoi hakuna anayelipwa iyo hela ,hivi una akili kweli.hujasikia kuwa Kuna manager sijui CEO wa bank fulani alikuwa akalipwa 52M,
Manager wa voda aliyekataliwa na jpm unajua alikuwa analipwaje,

Sema wewe ndiye mlalahoi usidhani wote wako ivyo. Kiufupi Kuna wenzako hapa hapa bongo iyo milioni yako wanaiona Kama buku unavyoiona kwa taarifa yako.


Yaani unadhani kuwa you're the universal standard unit to set the reference or benchmark kwa wengine
 
Watu wanaamini hii ni true story ya kweli yaani,

hakuna kitu kama icho....sema jamaa anajua kutunga hadithi....leta hadithi mkuu unajua kutunga sana.

Hivi true story nyie mnazijua kweli yaani muajemi akanipa milioni 5 alafu akaniongeza na milioni 2 😅😅😆😅😅 you guys na nyie mnaamini kabisa.....

hivi mnakumbuka jamaa alipewa milioni 3 mwanzo kabisa na muajemi.😁🤣😂 afu muajemi ampe demu vitu vya thamani ya 40milions hapo bado mashine za kisasa zilizopo dubai zinakuja...... demu naye hataki iphone 13 kamuachia msela, na msela naye hataki iphone 13 pro 😆😅😅😅😅😁😁muajemi mwenyewe hata papuchi hataki kweli....

mama alianza kazi mwaka 91 na alikuja kulipwa milioni 45 kwa mwezi na organization X nchi hii hii ya walala hoi.....too much salt....too much sugar..... too much alcohol.....stori za kutunga hizi.....

Hakuna true stori ya hivi ila unajua kutunga sana....mbotswana pia alilala appartment za milioni 3 per month mswana mwenyewe ni black melanin afu jamaa kamezea hakula 😁😁😁

Wewe hunaga gundu kabisa yaani.
Kiufupi envy emotion has already kicked in and is working right now in your limbic brain
 
Back
Top Bottom