SawaMa J ✔️
Mtetezi wa mama J umeamua upande juu ya batiHa ha haaaaaaaaa
Kuna wanawake wengi.. Waliandika kabla alikuwaje.. Ni tabia chafu anafanya kuwazunguka wanawake wanao fahamiana bado awebwana huruma kwa Jane naye siku moja na mdogo wake Jane.
Hajiheshimu kabisa na hana heshima kwa wanawake haswa mke mtarajiwa Mama J na akifatiwa na Iryn nini kwenda kwa Asmah!!!!!
Shameful man
Umeona sipo online ndio umempost wifi yangu sawaMa J ✔️
Tuwekee hata insta akaunti yakeNiki mpost Iryn JF itatikisika asee
Sema kwel mana huwa tunafanya imagination af aij jins anavyompamba uyo manziTuwekee hata insta akaunti yake
umbea zambi kjanaTuwekee hata insta akaunti yake
PUNGUZA KUTOA USHAURI NA MALALAMIKO
Kuna kitu ulikuwa unatarajia kukipata kwa huyu bwana mdogo?Nawe kama yeye 🤮
Mimba ya tembo hiyo. Hadi sasa mimba imefikisha miezi 18E bana huyu mtoto na hiyo mimba ya Iryn hajazaliwa tu.
Mi nangoja hapa azaliwe tu.
mmmmmmhhh we jamaa unamlazmisha aau unamuomba aiseeeoya insider bado lisaa na dkk 40 ustuzingue mtu wangu.
Muda ushapita bow 10:08amKesho mapema sana.
Sisi wanaume wenzie tunamuelewa; wewe ni mwanamke huwezi kuelewa hili. Iryn alijilengesha mwenyewe kwa mwamba, yeye alimtongozaga Asmaa na wakapiga show na enzi hizo wala hakua mwajiriwa wa kampuni, alikua just dereva wa kukodi kwa boss lady; huyu angekua muhuni angewala wote; don't pretend kwamba hukumbuki yule domo kaya shombe shombe wa Kitanga, alichojoa hadi pichu na muhuni aliishia kukanyonya vifuu vya nazi akasepa, binti anamtaka mwamba hadi leo na jamaa hataki. Zambia kule kwa baba yake, angekua malaya angemla yule mpishi wa baba yake but hakufanya hivo. Mary huyu angeliwa siku nyingi sana but mwamba kajizuia hadi kashindwa, only men will understand his situation, what about Vicky mdogo wake na Jane? Kaenda nae hadi Club, mtoto anataka but dogo kakaza, one day wakiwa so excited baada ya Jane kujifungua, kampiga denda mtoto akalegea but still alijizuia kufanya chochote bado tunamlaumu kwamba malaya? No. Jamaa anastahili kupongezwaHa ha haaaaaaaaa
Kuna wanawake wengi.. Waliandika kabla alikuwaje.. Ni tabia chafu anafanya kuwazunguka wanawake wanao fahamiana bado awebwana huruma kwa Jane naye siku moja na mdogo wake Jane.
Hajiheshimu kabisa na hana heshima kwa wanawake haswa mke mtarajiwa Mama J na akifatiwa na Iryn nini kwenda kwa Asmah!!!!!
Shameful man