Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Unamsifu Mary ana akili ila naona ni bint mpumbavu hana akili kwa sababu kwanza mwanaume wa mdogo wake yaani X unaombwa vipi kuzaa na mwanaume ambae ana mwanamke kama mkewe wana mtoto bado ana mwingine ana mimba yake na wote hajaoa anaomba uzae ina maana atakuwa single mama malezi ya mama tu sio na baba kwa pamoja 😂ilitakiwa akatae hapo hapo ibaki anadinywa basi ila kwa alivyo mpumbavu atabeba mimba.

Insider ni kama wanaume wengi walivyo malaya sijui Mrangi sio kwa kupenda papa huko halafu roho mbaya ubinafsi kutaka kumzalisha bint wa watu unaharibu future yake huna mpango wa kuowa gonga tu upite sio uzalishe halafu hujifunzi kutokana na makosa.
sasa we umeumia nn hapo au ultaka wewe
 
Watu Kama INSIDER MAN wanapaswa kupokea malipo kutoka jamiiforum.

Mods , Maxence Melo inakuaje hapa mtu kakamata hadhira zaidi ya mwaka na halipwi chochote kutoka kwenu?

Wengi tu hum tunaingia Jf mara Kwa mara Kwa ajili ya kuona Kama kuna mwendelezo.

Mtengeneza maudhui Kama huyu inafaa apewe chochote.
Huwez jua labda wanamuona 📥 inbox
 
Zaidi ya dharau
Kua na shushushu unatakiwa kua na pesa; mama Jr ana pesa za kuwalipa? Ile paragraph uliomalizia pale ju ndio muhimu, "mwanaume kuchepuka haiepukiki..."
Tofauti na nyie wanawake, sie wanaume hata tukichepuka bado kuna mwanamke huaga yupo moyoni mwako. Bado mama Jr kajenga kibanda kwenye moyo wa mwandishi, wengine watapata penzi but moyo wake upo na mkewe always and this is how we are
 
Hii stori ipo interesting inafundisha na inafikirisha!!🤔😊

-Mwanamke una gubu,kitandanai hujitumi,kitu kidogo unafungasha kwenda kwenu,una safari kusalimia kwenu unamuachia mumeo week tatu nne na hamu zake,akichwpuka unalalamika unafungasha kwenu!!

-Tangu lini kukawa na ubest friend kati ya mwanaume rijali na mdada unaona kabisa pisi Kali hata bibi yako aanakuonya kabisa we hutilii maana I,boss gani anaipenda familia yako hivo?sawa upendo ila shtuka

-washkaji na maarafiiki wote wanajua na kumpa Hongera mumeo Kwa kumpa hawara mimba,we huna habari,huna hata shushushu wako,wanakuzoom tu.
Umelala unafua kibarazani unacheza na mtoto unatoka mtaani siku zinaenda unajua mumeo Yuko mkoani kikazi kumbe kaja Yuko mtaa wa pili tu hapo na hawara ake Kwa raha zao na watu wanajua.we hujui maskini.ndugu wa mume wanajua we hujui.

-dada wa kitasha anaumia sanaaa akiona mwanaume ana mwanamke mwingine akisahau ye pia ni mchepuko anamuumoza mwenzie mwenye mume.hafikirii hisia za wengine,zake ndo anajali bila kuwaza hata yeye anakosea Kwa mwingine.peisca anapambania kumtukana iryn bit*ch kumbe nae anatoka na mwanaume wa mtu🤣
-binti unamtamani ex wa mdogoako,unajua ni mume wa mtu,ana mchepuko una mimba yake nawe unataka kuwa mchepuko unakubali kumzalia..wadada wakishua wakipenda🤣

Mwisho wa siku nimejifunza wanaume kuchepuka haiepukiki pia.hata asipopenda bado atapendwa.ni yeye tu kukosa msimamo

Bado naendelea kujifunza
Hii ni story tu ..kama story yoyote ki uhalisia haiwezekani kutokea ..japo mwandishi anajua kupanga maandishi na kuwe ladha..
 
Unamsifu Mary ana akili ila naona ni bint mpumbavu hana akili kwa sababu kwanza mwanaume wa mdogo wake yaani X unaombwa vipi kuzaa na mwanaume ambae ana mwanamke kama mkewe wana mtoto bado ana mwingine ana mimba yake na wote hajaoa anaomba uzae ina maana atakuwa single mama malezi ya mama tu sio na baba kwa pamoja 😂ilitakiwa akatae hapo hapo ibaki anadinywa basi ila kwa alivyo mpumbavu atabeba mimba.

Insider ni kama wanaume wengi walivyo malaya sijui Mrangi sio kwa kupenda papa huko halafu roho mbaya ubinafsi kutaka kumzalisha bint wa watu unaharibu future yake huna mpango wa kuowa gonga tu upite sio uzalishe halafu hujifunzi kutokana na makosa.
Acha kumuonea wivu Mary.
 
Hii stori ipo interesting inafundisha na inafikirisha!!🤔😊

-Mwanamke una gubu,kitandanai hujitumi,kitu kidogo unafungasha kwenda kwenu,una safari kusalimia kwenu unamuachia mumeo week tatu nne na hamu zake,akichwpuka unalalamika unafungasha kwenu!!

-Tangu lini kukawa na ubest friend kati ya mwanaume rijali na mdada unaona kabisa pisi Kali hata bibi yako aanakuonya kabisa we hutilii maana I,boss gani anaipenda familia yako hivo?sawa upendo ila shtuka

-washkaji na maarafiiki wote wanajua na kumpa Hongera mumeo Kwa kumpa hawara mimba,we huna habari,huna hata shushushu wako,wanakuzoom tu.
Umelala unafua kibarazani unacheza na mtoto unatoka mtaani siku zinaenda unajua mumeo Yuko mkoani kikazi kumbe kaja Yuko mtaa wa pili tu hapo na hawara ake Kwa raha zao na watu wanajua.we hujui maskini.ndugu wa mume wanajua we hujui.

-dada wa kitasha anaumia sanaaa akiona mwanaume ana mwanamke mwingine akisahau ye pia ni mchepuko anamuumoza mwenzie mwenye mume.hafikirii hisia za wengine,zake ndo anajali bila kuwaza hata yeye anakosea Kwa mwingine.peisca anapambania kumtukana iryn bit*ch kumbe nae anatoka na mwanaume wa mtu🤣
-binti unamtamani ex wa mdogoako,unajua ni mume wa mtu,ana mchepuko una mimba yake nawe unataka kuwa mchepuko unakubali kumzalia..wadada wakishua wakipenda🤣

Mwisho wa siku nimejifunza wanaume kuchepuka haiepukiki pia.hata asipopenda bado atapendwa.ni yeye tu kukosa msimamo

Bado naendelea kujifunza
Umechambua kama nyambari nyangwine 🤣🤣🤣🤣
 
-dada wa kitasha anaumia sanaaa akiona mwanaume ana mwanamke mwingine akisahau ye pia ni mchepuko anamuumoza mwenzie mwenye mume.hafikirii hisia za wengine,zake ndo anajali bila kuwaza hata yeye anakosea Kwa mwingine.peisca anapambania kumtukana iryn bit*ch kumbe nae anatoka na mwanaume wa mtu🤣
-binti unamtamani ex wa mdogoako,unajua ni mume wa mtu,ana mchepuko una mimba yake nawe unataka kuwa mchepuko unakubali kumzalia..wadada wakishua wakipenda🤣
cacutee soma tena hii paragraph 😅😅
 
Back
Top Bottom