Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

sasa we umeumia nn hapo au ultaka wewe
 
Huwez jua labda wanamuona 📥 inbox
 
Zaidi ya dharau
Kua na shushushu unatakiwa kua na pesa; mama Jr ana pesa za kuwalipa? Ile paragraph uliomalizia pale ju ndio muhimu, "mwanaume kuchepuka haiepukiki..."
Tofauti na nyie wanawake, sie wanaume hata tukichepuka bado kuna mwanamke huaga yupo moyoni mwako. Bado mama Jr kajenga kibanda kwenye moyo wa mwandishi, wengine watapata penzi but moyo wake upo na mkewe always and this is how we are
 
Hii ni story tu ..kama story yoyote ki uhalisia haiwezekani kutokea ..japo mwandishi anajua kupanga maandishi na kuwe ladha..
 
Acha kumuonea wivu Mary.
 
Umechambua kama nyambari nyangwine 🤣🤣🤣🤣
 
cacutee soma tena hii paragraph 😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…