Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
Zaidi ya dharauHapo kwenye kuwa na shushushu nimepapenda 🤣 mama mjengo alitakiwa awe na shushu wake yaani mume anapuyanga town ye katulia tu anajua yupo Dom ni dharau. Mbaya zaidi sio mnyonge kivile pesa anayo
sasa we umeumia nn hapo au ultaka weweUnamsifu Mary ana akili ila naona ni bint mpumbavu hana akili kwa sababu kwanza mwanaume wa mdogo wake yaani X unaombwa vipi kuzaa na mwanaume ambae ana mwanamke kama mkewe wana mtoto bado ana mwingine ana mimba yake na wote hajaoa anaomba uzae ina maana atakuwa single mama malezi ya mama tu sio na baba kwa pamoja 😂ilitakiwa akatae hapo hapo ibaki anadinywa basi ila kwa alivyo mpumbavu atabeba mimba.
Insider ni kama wanaume wengi walivyo malaya sijui Mrangi sio kwa kupenda papa huko halafu roho mbaya ubinafsi kutaka kumzalisha bint wa watu unaharibu future yake huna mpango wa kuowa gonga tu upite sio uzalishe halafu hujifunzi kutokana na makosa.
Huwez jua labda wanamuona 📥 inboxWatu Kama INSIDER MAN wanapaswa kupokea malipo kutoka jamiiforum.
Mods , Maxence Melo inakuaje hapa mtu kakamata hadhira zaidi ya mwaka na halipwi chochote kutoka kwenu?
Wengi tu hum tunaingia Jf mara Kwa mara Kwa ajili ya kuona Kama kuna mwendelezo.
Mtengeneza maudhui Kama huyu inafaa apewe chochote.
Kua na shushushu unatakiwa kua na pesa; mama Jr ana pesa za kuwalipa? Ile paragraph uliomalizia pale ju ndio muhimu, "mwanaume kuchepuka haiepukiki..."Zaidi ya dharau
Hii ni story tu ..kama story yoyote ki uhalisia haiwezekani kutokea ..japo mwandishi anajua kupanga maandishi na kuwe ladha..Hii stori ipo interesting inafundisha na inafikirisha!!🤔😊
-Mwanamke una gubu,kitandanai hujitumi,kitu kidogo unafungasha kwenda kwenu,una safari kusalimia kwenu unamuachia mumeo week tatu nne na hamu zake,akichwpuka unalalamika unafungasha kwenu!!
-Tangu lini kukawa na ubest friend kati ya mwanaume rijali na mdada unaona kabisa pisi Kali hata bibi yako aanakuonya kabisa we hutilii maana I,boss gani anaipenda familia yako hivo?sawa upendo ila shtuka
-washkaji na maarafiiki wote wanajua na kumpa Hongera mumeo Kwa kumpa hawara mimba,we huna habari,huna hata shushushu wako,wanakuzoom tu.
Umelala unafua kibarazani unacheza na mtoto unatoka mtaani siku zinaenda unajua mumeo Yuko mkoani kikazi kumbe kaja Yuko mtaa wa pili tu hapo na hawara ake Kwa raha zao na watu wanajua.we hujui maskini.ndugu wa mume wanajua we hujui.
-dada wa kitasha anaumia sanaaa akiona mwanaume ana mwanamke mwingine akisahau ye pia ni mchepuko anamuumoza mwenzie mwenye mume.hafikirii hisia za wengine,zake ndo anajali bila kuwaza hata yeye anakosea Kwa mwingine.peisca anapambania kumtukana iryn bit*ch kumbe nae anatoka na mwanaume wa mtu🤣
-binti unamtamani ex wa mdogoako,unajua ni mume wa mtu,ana mchepuko una mimba yake nawe unataka kuwa mchepuko unakubali kumzalia..wadada wakishua wakipenda🤣
Mwisho wa siku nimejifunza wanaume kuchepuka haiepukiki pia.hata asipopenda bado atapendwa.ni yeye tu kukosa msimamo
Bado naendelea kujifunza
Acha kumuonea wivu Mary.Unamsifu Mary ana akili ila naona ni bint mpumbavu hana akili kwa sababu kwanza mwanaume wa mdogo wake yaani X unaombwa vipi kuzaa na mwanaume ambae ana mwanamke kama mkewe wana mtoto bado ana mwingine ana mimba yake na wote hajaoa anaomba uzae ina maana atakuwa single mama malezi ya mama tu sio na baba kwa pamoja 😂ilitakiwa akatae hapo hapo ibaki anadinywa basi ila kwa alivyo mpumbavu atabeba mimba.
Insider ni kama wanaume wengi walivyo malaya sijui Mrangi sio kwa kupenda papa huko halafu roho mbaya ubinafsi kutaka kumzalisha bint wa watu unaharibu future yake huna mpango wa kuowa gonga tu upite sio uzalishe halafu hujifunzi kutokana na makosa.
Unawasingizia mods wawatu hawafanyagi tabia mbaya wameokoka😂Hao mods ndio wanaongoza kupenda hiyo michezo
Umechambua kama nyambari nyangwine 🤣🤣🤣🤣Hii stori ipo interesting inafundisha na inafikirisha!!🤔😊
-Mwanamke una gubu,kitandanai hujitumi,kitu kidogo unafungasha kwenda kwenu,una safari kusalimia kwenu unamuachia mumeo week tatu nne na hamu zake,akichwpuka unalalamika unafungasha kwenu!!
-Tangu lini kukawa na ubest friend kati ya mwanaume rijali na mdada unaona kabisa pisi Kali hata bibi yako aanakuonya kabisa we hutilii maana I,boss gani anaipenda familia yako hivo?sawa upendo ila shtuka
-washkaji na maarafiiki wote wanajua na kumpa Hongera mumeo Kwa kumpa hawara mimba,we huna habari,huna hata shushushu wako,wanakuzoom tu.
Umelala unafua kibarazani unacheza na mtoto unatoka mtaani siku zinaenda unajua mumeo Yuko mkoani kikazi kumbe kaja Yuko mtaa wa pili tu hapo na hawara ake Kwa raha zao na watu wanajua.we hujui maskini.ndugu wa mume wanajua we hujui.
-dada wa kitasha anaumia sanaaa akiona mwanaume ana mwanamke mwingine akisahau ye pia ni mchepuko anamuumoza mwenzie mwenye mume.hafikirii hisia za wengine,zake ndo anajali bila kuwaza hata yeye anakosea Kwa mwingine.peisca anapambania kumtukana iryn bit*ch kumbe nae anatoka na mwanaume wa mtu🤣
-binti unamtamani ex wa mdogoako,unajua ni mume wa mtu,ana mchepuko una mimba yake nawe unataka kuwa mchepuko unakubali kumzalia..wadada wakishua wakipenda🤣
Mwisho wa siku nimejifunza wanaume kuchepuka haiepukiki pia.hata asipopenda bado atapendwa.ni yeye tu kukosa msimamo
Bado naendelea kujifunza
Nimejikuta nacheka..Umechambua kama nyambari nyangwine 🤣🤣🤣🤣
Daaaaaaaah 😂😂😂😂Habari yako bwana mdogo Insider, Marry anaweza akakubali tukamchapa mtungo?
cacutee soma tena hii paragraph 😅😅-dada wa kitasha anaumia sanaaa akiona mwanaume ana mwanamke mwingine akisahau ye pia ni mchepuko anamuumoza mwenzie mwenye mume.hafikirii hisia za wengine,zake ndo anajali bila kuwaza hata yeye anakosea Kwa mwingine.peisca anapambania kumtukana iryn bit*ch kumbe nae anatoka na mwanaume wa mtu🤣
-binti unamtamani ex wa mdogoako,unajua ni mume wa mtu,ana mchepuko una mimba yake nawe unataka kuwa mchepuko unakubali kumzalia..wadada wakishua wakipenda🤣
hana njaa kama wewKufungua episode moja tulipe 300sh n.k(mfano) muandishi naye afaidike
unachekesha kwel we kjanaNi wazo sijasema ndio iwe...
Ndio ningelipa Kama kiwango kilichowekwa naridhika nacho
Mapenzi ukichaa,,, Muulizeni Marry awaambie-binti unamtamani ex wa mdogoako,unajua ni mume wa mtu,ana mchepuko una mimba yake nawe unataka kuwa mchepuko unakubali kumzalia..wadada wakishua wakipenda🤣