Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Labda tunasoma story tofauti jombaa binafsi sitetei ujinga anaoufanya kwa kigezo "wanaume ndio tuko hivyo" huo upuuzi unapaswa kukemewa ni kujiendekeza na kuendekeza tamaa zinazoongoza akili kuzidi kuharibu..

Yaani hiyo kuchepuka tu ni dharau, unachepuka na mtu ambae anakuja kumsalimia daily, unakula madem hovyo huku mkeo upwiru nani anamtoa??

Pamoja na inshu zote jamaa akawaza namna ya kumuacha kwa kumchomekea kesi yoyote tu, anakagua sim akiexpect apate kosa ili amtumbue waachane.

Kama hujaona mahali akimsifu boss lady basi husomi simulizi jombaa.
 
Yote umesema kweli; nime doubt hapo uliposema "anamdharau mkewe na kuongeza sifa kwa Iryn"
Since day 1 kamfahamu Iryn, jamaa ka maintain sifa zile zile, hajaongeza; kama kutoka nje ya ndoa ni kumdharau mkewe then Iryn utakua unamuonea, jamaa alianza na msichana waliefanya nae field, it sound like alimpiga mimba though hakutaka kuendeleza story yake, akapita na Prisca then akaweka kwa Asmaa, baadae ndio kaja kwa boss lady then Ghati Mary kafata, so kama kigezo cha kumdharau mama Jr kwa case ya kutoka nje ya ndoa, then mlaumu kwa kuwala wanawake hao wote, sio Mhabeshi pekee yake.
 
Jombaa labda kuna kitu hujanielewa.
Nimeandika kutoka tu nje ya ndoa ni kumdharau mkewe regardless anatoka na nani..

Na hilo la boss lady ni dharau kiwango cha sgr kwakua anamzunguka hapohapo na kumchezea kadensee, yaani unampanga mchepuko ukamsalimie wife kuua so ili muendelee kuchepuka na vitu kama hizo..
Na hilo ndo linafanya azidi kumchulia poa mkewe.

Jiweke nafasi ya mama jr, mzee inauma afu ukizingatia mlikotoka inakua sio poa.
Kwa jamaa angefanyiwa visa na mkewe kesho tu wanaachana ila kwa Ke ni tofauti anajua ila anaishia kuvumilia tu.

Hata mimi ningekua nafasi yake ni ngumu kuchomoa kwa boss lady ila kumtemea shit wife na kumfanya apitie wakati mgumu hilo kwakweli siafiki.
 
Tuendelee na kuisoma story kaka; tu enjoy. Huenda mwamba kaandika story hi akiwa anatubia makosa yake but all in all, zaidi ya mapenzi, usariti bado kuna mengi sana ya kujifunza kwenye hi story. Bidii, ubunifu, kutokukataa tamaa, uaminifu, "kazi na dawa, kuupa pole mwili" kusamehe waliokukosea etc ni mambo yanayo nivutia kusoma story; halafu pia jamaa kazungukwa na baadhi ya watu wazuri sana na wanao mpa ushauri mzuri, Auditor Allen ndiye aliyemshauri kufanya CPA na wamepeana madini sana though urafiki wao ulianzia kwenye match za world cup, mshkaji wake aliyemuingiza kwenye ulimwengu wa uber Dulla yaani, full burudani
 
Tunaweza kua na mitazamo tofauti jombaa, labda hafeel guilty kwa lolote na sitamlaumu kwa hilo, tunaishi mara moja usipojijali na kuweka mipango yako vyema, utasaidiwa na ulimwengu.

Cycle ya watu makini inatafutwa kama alivyoitafuta kwa mleta uzi kwenye story yake.
Unakunywa visungura kwa mangi manzese halafu utegemee kukutana na watu makini "SAHAU".

Sometimes ego inatuponza wengi sana, hivi videgree vinadondosha wengi kwa ego zisizo za msingi.
 
Benz ni class, kama zilivyo kina Escalade. Ndomaana. Si ujue kuna gari kama luxury, kuna gari kama mtu kazi, kuna gari mkataba, af kuna gari za watu flani ivi... ofcourse japo sio mercedes zote.
 
Sure
 
 
Insider ananiharibia boss wangu huku....Anasema kijana yan Mungu kanipa maisha mapema at early 20s lakini sikufaidi kabisa ujana kama huyu kijana....Sasa nakupa kazi ukipata muda niandikie viwanja vyote kila week utakuwa uninipeleka mpk viishe. Hahahha
 
Atakufa mwambie hizo nguvu azitunze kwa ajili ya maisha yalibaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…