Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Mungu huyo huyo anasema zaman zile za ujinga alijifanya kama hazioni lakin sasa anamuamuru kila mtu atubu maana ameiweka siku ya hukumu.
kuna role model wengi kwenye bible wenye mitala. Binafsi sioni shida ya mitala ilimradi uwe mwaminifu kwenye mahusiano hayo.
 
Sababu ya swali langu mkuu nilikuwa nasoma ikafika sehemu nikapotea kabisa yaani umeandika kiswahili lakini kile kigumu chenyewe. Sijauliza kwa negative perspective ilikuwa ni compliment
Oooh! Pole sana mkuu, usipoelewa uliza tu mkuu, jukwa la watu wengi , natumai utapata majibu
 
Insider Man, Chukua hii itakusaidia sana huko mbeleni. Kuna wakati hizi ndoa za kanisani zinachangamoto nying kutokana mfumo wa maisha yetu. Hawa wanawake hawatabiriki huwa wanakuwa a jeuri sana wakifunga ndoa ya kanisani na wanaendeshwa na ndugu zao utadhani ndoa ni ya familia nzima.
 
Hakuna ushauri wa maana kama uliopata Kwa Allen

Pale ulipo fika mwisho wa kufikiria kuhusu wake wawili ukamkuta mtu yupo na hyo experience akakutia moyo ndyo maana hukuona tabu kwenda Dom.

Pama angekuwepo Hilo jambo lingeisha ndani ya siku 1 na ndoa Kwa mama junior ingefungwa siku inayo fuata na Wala usinge sikia kama Kuna shida mahali zaidi ya kulea watoto ambayo wakikua waseme nilipendwa sana na wazazi wangu.
 
Ume eleza mambo mengi sana na ni vigumu kumshauri mtu katika nyanja zote maana Kila mtu ana anaiona Dunia kwa namna yake ndyo mana wengi wataona haipo katika uhalisia.

Lakini Kuna basic ambazo ulizifuata katika kutafuta connection na watu mana naona hapo elimu Yako imeplay part kidogo sana.

Ikikupendeza zitaje mapema baada ya next episode tujue mapema
 
Thank you
 
kuna role model wengi kwenye bible wenye mitala. Binafsi sioni shida ya mitala ilimradi uwe mwaminifu kwenye mahusiano hayo.
Ndio maana wa huo mstari. Kuwa nyakati zile alijifanya kama hazion lakin sasa anatoa amri. Pili. Yesu anasema kondoo wangu wananijua nao wanaisikia sauti yangu. Kama uko na Yesu halafu bado kipaumbele chako ni tamaa za mwili wako kajitafakari. Yesu aliposema mtu akimpenda ni lazima aichukie nafsi yake ajikane mwenyewe na auchukue msalaba wake unajua alikuwa anamaanisha nini chief.
 
Mama J kwasasa hayuko chini ya wazazi ni above 18. Ana maamuzi yake kama mtu mzima, kuhusu ukristo naweza kuswitch nakuwa muslim. Akina Seleman walioa wake 700 sembuse mimi wake wawili tu?
Karibu sana kwenye Uislamu ndugu, hapo umeongea point usizini oa kihalali kabisa tena utapata na fursa ya kumuongeza na Asmah na Mery hapo wakawa 4 no problem 😊
 
bado sijaona tatizo la mitala as long as wahusika wamekubaliana. anayekiuka makubaliano hayo ndo mwenye makosa kama ambavyo yaweza kutoke kwenye mahusiano ya mke mmoja.
 
bado sijaona tatizo la mitala as long as wahusika wamekubaliana. anayekiuka makubaliano hayo ndo mwenye makosa kama ambavyo yaweza kutoke kwenye mahusiano ya mke mmoja.
Shida sio wahusika kaka. By nature ndoa za wake wengi zinazalisha kizazi chenye magomvi zaid kuliko ndoa ya mke mmoja. Katika maisha tujitahd tusiwe wabinafs tukasahau tunajukumu la kuiacha dunia na aman.
 
Shida sio wahusika kaka. By nature ndoa za wake wengi zinazalisha kizazi chenye magomvi zaid kuliko ndoa ya mke mmoja. Katika maisha tujitahd tusiwe wabinafs tukasahau tunajukumu la kuiacha dunia na aman.
Hivi Hali ilikuwaje ktk jamii kabila ya ujio wa ukristo?, na Hali ikoje pia ktk jamii zinazo embrace mitala kwa sasa?
 
Hivi Hali ilikuwaje ktk jamii kabila ya ujio wa ukristo?, na Hali ikoje pia ktk jamii zinazo embrace mitala kwa sasa?
Sio ilikuwaje mzee. Wewe umeshaamua kuishi hivyo ruksa. Hutaki andika Biblia yako ujiwekee uhalali wa kila jambo. Tunamfuata Yesu sio wewe mkuu. Yeye ndie mwanzilishi wa imani yetu.
 
Sio ilikuwaje mzee. Wewe umeshaamua kuishi hivyo ruksa. Hutaki andika Biblia yako ujiwekee uhalali wa kila jambo. Tunamfuata Yesu sio wewe mkuu. Yeye ndie mwanzilishi wa imani yetu.
........hoja yangu mkuu ni uaminifu ktk mahusiano unayochaguwa kuingia.
 
Justice for mama Jr
 
Hata uwe na wanawake kumi bado utatamani tu na utazini nje tu. Mi niko na watu wana wake wanne lakin ndio wazinzi wakubwa. Kikubwa uwe na kiasi na kuridhika
Naam, sasa tuko pamoja. ....uridhike na aina ya mahusiano uliyo chaguwa.
 
Nimepita Njia ya madale nkakuta Duka limeandikwa PAMA Shop nkakumbuka hii story nmeisoma hatimae nmemalza!! Kiufupi ni kwamba Haya maisha ni Kamari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…