Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

we jamaa ulikuwa unazingua kitu flan, unavyoandika sijui kama ndo unavyoongea na matendo yako yalivyo, unaonekana ni mtu wa shari shari sana, kama ulivyokuwa unamjua prisca kwa sababu unajua anakupenda, ujinga mwingne ni kama hapo ulivyomvuta mkono kwao hadi mama akashuhudia, hiyo ni kumkosea heshima, yan unaonekana we ndo wale wa vitasa nje nje, hao wengine ulikuwa huwi mkorofi kwao kwa sababu wamekuzidi kila kitu, ila unaonekana sana mkorofi na una ujinga flani
 
INSIDER MAN nadhani Sawa hivi upo CAPE TOWN Kwa ajili ya mkeo kujifungua mtoto WA pili, uwe mwangalifu Kwa kuwa kuna maandamano huko ya kupinga mauaji ya wapalestina, bado tunakupenda kijana wetu.
 
INSIDER MAN is an opportunist. Taking advantage of Iryn for his own personal benefit.
 
Watakufanya mboga🤣
 
 
Wewe hujaisoma story yote; mwamba hakuwahi kumtongoza Iryn; Iryn katumia sana wafanyakazi wake, Sumaiya na hasa Lucy; mwamba alivompotezea, ni Iryn ndio kamtafuta dogo akiwa zake mafichoni Dodoma, tena this time alikwenda na kaka yake. Is Iryn ndio anataka hadi bibi na babu yake Aria wamjue; unasemaje kama INSIDER MAN ni opportunitist? Unamuonea. Jamaa ni mpambanaji na baadhi ya fursa zinamfata alipo kwasababu ya mbegu ya uaminifu alioipanda, refer mzee Jumaa, Jane na marafiki wa hayati mzee Pama
 
Anachokifanya Jimmy kwa dada yake ni sawa?. Insider kazalisha dada yake, lakini bado anamsupport jamaa kula madem wa club.
 
Mmmh oooh sawa weee

Ila je, Mama J haswa akikwambia nae anataka wake wa pembeni atakupenda 50 na mme mwenza 50 utakubali? Kaswali tu 😊

Bado unamdanganya unajazia tu.. Bila was.

Kila la kheri wazazi wa baby mwingine.
Wewe hua unaandika kama unaongea ili mtu akuelewe inabidi akusome kwa utulivu.
 
Asante sana.
 
Hii ya kumficha sio sawa ushajiuliza ikitokea kafahamu nini kitatokea... Wangu nilimwambia mtoto akiwa na three years na pia nilisubiri nifunge nae ndoa ndio nikamwambia.

Yako mambo unapaswa kuyaweka wazi just in case, na hii ya kutomwambia nachukulia uoga unless uwe na sababu ingine. Tafuta namna ya kumwambia hautokua wa kwanza wala wa mwisho man up yourself dude.
 
Asante sana mwamba kwa muda wako. Nikupongeze sana sana kwa muda wako,hasa pia na uvumilivu wako. Hakika unastahiri nafasi uliyopo kimaisha. Hongera sana. Kifupi umetufunza mengi sana kwenye story yako. Asante sana mwamba
 
Uaminifu ni mtaji no moja kwa sisi tunaoanza maisha. Ila nakuhakikishia fanya utafiti utagundua hii dunia kwa asili kuna watu wamepewa neema tu na Mungu. Na hakuna namna unaweza kuhadithia ukaeleweka maana unakuta sio kwamba anajituma sana ila tu kila anachogusa ni baraka na kila anaekutana nae anamkubali. Hii ni natural mzee huwez kuielezea. Jamaa kwa maelezo yake ni watu wa aina hiyo. So Biblia inasema usimlaan anaekula maana kakubaliwa ndio wakati wake. Hata kwenye familia kuna mtu mmoja yeye kila akigusa ni baraka na sio kwamba wengine ni wazembe hapana huyo ndie Bwana kamkubali. Ndie mlango wa wengine kutoka. Tahadhar moja Biblia inatuambia kuwa aliyepewa vingi kwake yeye vitatakwa vingi zaid. Na kilicho muhim kila mtu atatoka kwa namna yake fainali ni uzeen. Utoke leo mwenzio atoke kesho majibu yapo uzeen. Kumbuka jukumu la nyakat ukaokoe muda na ukafanye maamuzi sahihi leo.
 
Thanks na sina cha kuongeza hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…