Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Habari zenu wakubwa, nawasalimu. Mambo ni mengi sana kwa sasa, na yananichanganya akili pamoja na masuala ya shule. Kuna baadhi yenu ambao tayari tushakutana humu, na bado ninaendelea kutimiza ahadi zangu taratibu kwa wale niliowaahidi.

Hata hivyo, siwezi kusaidia kila mtu jamani. Ukibahatika ni bahati yako, lakini ukweli ni kwamba wengi mnaniangusha kwenye interview πŸ’”.

Somebody Joseph, umesoma COICT UDSM, naomba unicheki haraka iwezekanavyo. Namba zako hazipatikani, na email hujibu πŸ’”.
 
Mshua hupo! Ningekuja pm japo mimi sio Joseph! Ila pm yako umeifunga!
 
utakuta anashinda tik tok hata email hafungui.....vijana wa hovyo!
 
Nilikuwepo ukumbi wa mwl Nyerere kwenye issues zile za madini but nilihisi utakua unatafutwa na wengi and hence I opted not even to call. Tunasubiri season 3 kwa hamu kubwa.
 
INSIDER MAN niliku PM mkuu. chek please
 
Vipi mustakabali wa wa Mama J baada ya kugundua Iryne kakuzalia watoto 3? Vipi iryne ulishamtabulisha kwenu?
Vipi bado wake zako (mama j na iryne wote umefunga nao ndoa?)
 
Umenena vya kutosha sana mwenye masikio asikie!!!!amejaa ubeijing wa kutosha ,ukisikia MWANAMKE hadi anapasua simu yako eti kisa anaweza kununua nyingine ni ishara mbaya kua anaweza kujifanyia jambo zito zaidi ya hapo,pamoja na utajiri alionao ila ihope moyo wa muandishi pamoja na baraka nautulivu kwa ujumla uko kwa mamaj.
 
Una ukili sana sana ,uzidi kubarikiwa mkuu,wasipokuelewa niwao,tu,watu wanamsifia sana iryin nadhani kutokana na utajiri wake ila kwa jinsi inavyoelezea hapa mambo unajaribu kuweka picha halisi huko mbeleni kwa aina ya wanawake kama iryni.(feminist),?aliwahi kumfungia mmuandishi mlango hadi akatafuta musuluhishi naye hakusikilizwa ,aina hiyo ni dhahiri shahiri kua hana adabu wala UTULIVU wa kutosha kupitia changamoto za ndoa hadi uzee.hivyo asijaribu kumuacha mamaj mwenye maadili ya kiafrika kisa karanga za kuonjeshwa(iryni)
 
Maono..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…