Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,302
- 7,815
Kusema kweli wewe ni kitom......
Maana sio kwa rafu hizo
Kupitia huu Uzi nimejifunza mengi sana
Maana sio kwa rafu hizo
Kupitia huu Uzi nimejifunza mengi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujapata genye wakati unasoma hii story?Kusema kweli wewe ni kitom......
Maana sio kwa rafu hizo
Kupitia huu Uzi nimejifunza mengi sana
Mshua hupo! Ningekuja pm japo mimi sio Joseph! Ila pm yako umeifunga!Habari zenu wakubwa, nawasalimu. Mambo ni mengi sana kwa sasa, na yananichanganya akili pamoja na masuala ya shule. Kuna baadhi yenu ambao tayari tushakutana humu, na bado ninaendelea kutimiza ahadi zangu taratibu kwa wale niliowaahidi.
Hata hivyo, siwezi kusaidia kila mtu jamani. Ukibahatika ni bahati yako, lakini ukweli ni kwamba wengi mnaniangusha kwenye interview 💔.
Somebody Joseph, umesoma COICT UDSM, naomba unicheki haraka iwezekanavyo. Namba zako hazipatikani, na email hujibu 💔.
utakuta anashinda tik tok hata email hafungui.....vijana wa hovyo!Habari zenu wakubwa, nawasalimu. Mambo ni mengi sana kwa sasa, na yananichanganya akili pamoja na masuala ya shule. Kuna baadhi yenu ambao tayari tushakutana humu, na bado ninaendelea kutimiza ahadi zangu taratibu kwa wale niliowaahidi.
Hata hivyo, siwezi kusaidia kila mtu jamani. Ukibahatika ni bahati yako, lakini ukweli ni kwamba wengi mnaniangusha kwenye interview 💔.
Somebody Joseph, umesoma COICT UDSM, naomba unicheki haraka iwezekanavyo. Namba zako hazipatikani, na email hujibu 💔.
Email muhimu aisee, binafsi nipo sensitive sana na jumbe za emailsutakuta anashinda tik tok hata email hafungui.....vijana wa hovyo!
Nilikuwepo ukumbi wa mwl Nyerere kwenye issues zile za madini but nilihisi utakua unatafutwa na wengi and hence I opted not even to call. Tunasubiri season 3 kwa hamu kubwa.Habari zenu wakubwa, nawasalimu. Mambo ni mengi sana kwa sasa, na yananichanganya akili pamoja na masuala ya shule. Kuna baadhi yenu ambao tayari tushakutana humu, na bado ninaendelea kutimiza ahadi zangu taratibu kwa wale niliowaahidi.
Hata hivyo, siwezi kusaidia kila mtu jamani. Ukibahatika ni bahati yako, lakini ukweli ni kwamba wengi mnaniangusha kwenye interview 💔.
Somebody Joseph, umesoma COICT UDSM, naomba unicheki haraka iwezekanavyo. Namba zako hazipatikani, na email hujibu 💔.
INSIDER MAN niliku PM mkuu. chek pleaseHabari zenu wakubwa, nawasalimu. Mambo ni mengi sana kwa sasa, na yananichanganya akili pamoja na masuala ya shule. Kuna baadhi yenu ambao tayari tushakutana humu, na bado ninaendelea kutimiza ahadi zangu taratibu kwa wale niliowaahidi.
Hata hivyo, siwezi kusaidia kila mtu jamani. Ukibahatika ni bahati yako, lakini ukweli ni kwamba wengi mnaniangusha kwenye interview 💔.
Somebody Joseph, umesoma COICT UDSM, naomba unicheki haraka iwezekanavyo. Namba zako hazipatikani, na email hujibu 💔.
Umenena vya kutosha sana mwenye masikio asikie!!!!amejaa ubeijing wa kutosha ,ukisikia MWANAMKE hadi anapasua simu yako eti kisa anaweza kununua nyingine ni ishara mbaya kua anaweza kujifanyia jambo zito zaidi ya hapo,pamoja na utajiri alionao ila ihope moyo wa muandishi pamoja na baraka nautulivu kwa ujumla uko kwa mamaj.Kuna kitu kinanitatiza namna tunavyomtambua Mama J na kulinganisha Maandiko matakatifu.
Kimsingi, Mama J hatambulikinkama Mke kwa Mujibu wa Biblia tinayoifanyia rejea kwa sababu Ndoa ya Kanisani bado haijafumgwa. Insider Man, kwa Mujibu wa maelezo yake, amelipa mahali tuu kwa Mama J. Hivyo, Mama J anatambulika kama Mke wa Insider, kimila.
Kwa maelezo haya, sidhani kama ni sahihi kutumia Maandiko kumshauri Insider kuhusu kumuacha Mama J kama Mkewe wa Ujana ilhali Maandiko hayamtambui Mama J kama Mke wa Ujana wa Insider.
Nadhani, tujikite kwenye asili inayomtambua Mama J kama Mke wa Insider ili kuepuka Karma.
Kipekee, pamoja na sifai nzuri za Ireen zilizoelezwa hapa, lakini, Ireen kwa mtazamo wangu, ni Mbinafsi sana. Yeye kushare na Mama J, anaona sawa. Ila, Mwanamke mwingine kushare naye, ni Big No! Kingine, Ireen anaonekana hayupo tayari kuwa chini ya Insider. Utiifu wake una mashaka sana. Ukishaona Mwanamke anakupa masharti kila siku kuhusu kutowaona Watoto kisha uchepukaji, ni changamoto. Beijing imemkaa kichwani na anaona naye ana Haki ya kumuamrisha Mwanaume. Na katika hili, Insider anapaswa kujiandaa nalo mapema ipasavyo. Siku Ireen atakapofikisha Idadi ya Watoto awatakao na wakawa Wakubwa kiasi cha kuendesha Biashara zake, kuna hati hati Insider kunyanyasika. Kwa kweli, Insider asithubutu kumruhusu Ireen kumvuruga na kumwachanisha na Mama J. Maana yake, siku Ireen akiwa ndiyo Mke pekee, sidhani kama Insider atafurahia mahusiano/ndoa husika na Karma itamtesa.
Una ukili sana sana ,uzidi kubarikiwa mkuu,wasipokuelewa niwao,tu,watu wanamsifia sana iryin nadhani kutokana na utajiri wake ila kwa jinsi inavyoelezea hapa mambo unajaribu kuweka picha halisi huko mbeleni kwa aina ya wanawake kama iryni.(feminist),?aliwahi kumfungia mmuandishi mlango hadi akatafuta musuluhishi naye hakusikilizwa ,aina hiyo ni dhahiri shahiri kua hana adabu wala UTULIVU wa kutosha kupitia changamoto za ndoa hadi uzee.hivyo asijaribu kumuacha mamaj mwenye maadili ya kiafrika kisa karanga za kuonjeshwa(iryni)Mkuu, hakuna anayemuonea wivu Insider bali tunajaribu kukumbusha awe achukue tahadhari kutokana kile alichotusimulia.
Wanawake ni wajanja sana. Na hata Maandiko yaliposema tuishi nao kwa akili, hayakukosea. Naomba nikupe Mfano. Mwanamke anaweza kukuambia anataka kuzaa nawe na matunzo ya Mtoto ni juu yake. Wewe ukajiona ndiye Kidume mwenye mbegu nzuri!!! Kumbe mwenzako, hesabu zake ziko mbali sana, kuwa Mkeo au mrithi wa Mali kupitia Watoto atakaozaa. Baada ya kuzaa, ndiyo utajua jinsi atakavyofanya jitihada za kutambulika na kuwa karibu yako zaidi.
Haya pia, tunayaona kwa Iryn. Kutoka mchepuko na sasa ni Mke mtarajiwa kama ilivyo kwa Mama J, kwa jitihada anazofanya za kuwa karibu na kutambulika na Insider keshaingia kibla, kwamba wote ni wake zake na anawapenda kwa usawa!!! Na kwa masharti anayompa Insider, unaona wazi kabisa Iryn hayupo tayari kushare penzi la Insider. Ni suala la muda tuu, anamtoa Mama J kwenye nafasi.
Zaidi, Insider hakuwa tayari kuzaa na Iryn. Na pengine, ni kwa sababu aliona tayari ni mume wa Mtu na anafamilia na Mama J na Iryn ni mchepuko. Ni Iryn ndiye alibeba mimba kwa makusudi bila kumshirikisha Insider na wakati huo Insider hakujua sababu hasa za utayari wa Iryn kuzaa naye zaidi ya kuambiwa na kuona ni upendo. Badaye, ndiyo inakuja kufahamika kwamba sababu halisi ni wanatafutwa Warithi na Wasimamizi wa Biashara!!
Mpaka hapo, nadhani ushaona jinsi Iryn alivyo hatua moja mbele ya Insider. Na ndiyo maana, tunamkumbusha tuu kuchukua tahadhari mapema - kuishi na Iryn kwa akili.
Maono..Kuna kitu kinanitatiza namna tunavyomtambua Mama J na kulinganisha Maandiko matakatifu.
Kimsingi, Mama J hatambulikinkama Mke kwa Mujibu wa Biblia tinayoifanyia rejea kwa sababu Ndoa ya Kanisani bado haijafumgwa. Insider Man, kwa Mujibu wa maelezo yake, amelipa mahali tuu kwa Mama J. Hivyo, Mama J anatambulika kama Mke wa Insider, kimila.
Kwa maelezo haya, sidhani kama ni sahihi kutumia Maandiko kumshauri Insider kuhusu kumuacha Mama J kama Mkewe wa Ujana ilhali Maandiko hayamtambui Mama J kama Mke wa Ujana wa Insider.
Nadhani, tujikite kwenye asili inayomtambua Mama J kama Mke wa Insider ili kuepuka Karma.
Kipekee, pamoja na sifai nzuri za Ireen zilizoelezwa hapa, lakini, Ireen kwa mtazamo wangu, ni Mbinafsi sana. Yeye kushare na Mama J, anaona sawa. Ila, Mwanamke mwingine kushare naye, ni Big No! Kingine, Ireen anaonekana hayupo tayari kuwa chini ya Insider. Utiifu wake una mashaka sana. Ukishaona Mwanamke anakupa masharti kila siku kuhusu kutowaona Watoto kisha uchepukaji, ni changamoto. Beijing imemkaa kichwani na anaona naye ana Haki ya kumuamrisha Mwanaume. Na katika hili, Insider anapaswa kujiandaa nalo mapema ipasavyo. Siku Ireen atakapofikisha Idadi ya Watoto awatakao na wakawa Wakubwa kiasi cha kuendesha Biashara zake, kuna hati hati Insider kunyanyasika. Kwa kweli, Insider asithubutu kumruhusu Ireen kumvuruga na kumwachanisha na Mama J. Maana yake, siku Ireen akiwa ndiyo Mke pekee, sidhani kama Insider atafurahia mahusiano/ndoa husika na Karma itamtesa.
Yaani Tumeshindwa Kupata Picha Ya Iryn humu ndani!! Au Sisi wote ni Wa Mikoani.Weee INSIDER MAN huko wapi? Tupia basi kapicha hata ka mguu wa iryne tuuone