Acha mambo yakiwaki Wew me namjua jamaa Ni accountant TPA Kabsa na analipwa Si chini ya 1.8m lakini kapanga gheto na choo cha kushare so usijudge kila mtu na fikra zakooDemu Ana mabiashara ya million kadhaa anashindwa kununua ist ya million 15.
Anaenda kupanga kwenye flat ya kusalimiana na majirani kama tandale au tandika.
Yaani chai imezidi sukari
Kubali kataaa
Au sio mkuuView attachment 2702395Acha upotoshaji hakuna aliyepigwa ban eti kwa sababu ya kuongea ukweli kuwa hii chai haina sukari.
Sitetei kuwa story ya ukweli,,Story inaanza ndani.ya miaka miwili kazini ametengeneza million 24 .
Halfu alikuwa intern wale wataesa wanaolipwa laki 4 .halfu muda huohuo akafungua biashara ya hardware kama sijakosea.
Hata kama ni upigaji Ila kwa million 24 alitupiga
Wanaoa mabibi bana wakifika kule wanaona chombo binti chuchu imesimama anajiona anajitInatokea pia kwa wale tour guide wanaoendesha magari mbugani kama mikumi au serengeti, wengi wameoa wazungu na waliondoka kwenda kuishi nje.
Lile body hanaHuyo jamaa ni Uber ila inaonekana kama ana wivu kwa Insider yeye hizi bahati hapati inawezekana akawa hana mvuto pia. Maana madem sikuzote wanapenda kufanya kazi na wanaume wenye mvuto.
Hizi Ni hobby za watu,Kuna mtu hapendi zile purukushani za kuendesha gari. Kuna mtu anamiliki nyumba Ila anapenda kuishi mahala fulani so anapangisha.Demu Ana mabiashara ya million kadhaa anashindwa kununua ist ya million 15.
Anaenda kupanga kwenye flat ya kusalimiana na majirani kama tandale au tandika.
Yaani chai imezidi sukari
Kubali kataaa
Mawazo ya kimasikiniWatu wanaamini hii ni true story ya kweli yaani,
hakuna kitu kama icho....sema jamaa anajua kutunga hadithi....leta hadithi mkuu unajua kutunga sana.
Hivi true story nyie mnazijua kweli yaani muajemi akanipa milioni 5 alafu akaniongeza na milioni 2 [emoji28][emoji28][emoji38][emoji28][emoji28] you guys na nyie mnaamini kabisa.....
hivi mnakumbuka jamaa alipewa milioni 3 mwanzo kabisa na muajemi.[emoji16][emoji1787][emoji23] afu muajemi ampe demu vitu vya thamani ya 40milions hapo bado mashine za kisasa zilizopo dubai zinakuja...... demu naye hataki iphone 13 kamuachia msela, na msela naye hataki iphone 13 pro [emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16]muajemi mwenyewe hata papuchi hataki kweli....
mama alianza kazi mwaka 91 na alikuja kulipwa milioni 45 kwa mwezi na organization X nchi hii hii ya walala hoi.....too much salt....too much sugar..... too much alcohol.....stori za kutunga hizi.....
Hakuna true stori ya hivi ila unajua kutunga sana....mbotswana pia alilala appartment za milioni 3 per month mswana mwenyewe ni black melanin afu jamaa kamezea hakula [emoji16][emoji16][emoji16]
Wewe hunaga gundu kabisa yaani.
Nimegundua watu wana mawazo ya kimasikiniMkuu unajua kuna watu wanalipwa zaidi ya $300,000/= kwa mwaka na hizi international Organization?? Kwa mtu ambaye ubongo wake uko vizuri bila shaka alishajua Mama yake na Iryn alikua anafanyia kazi Organization gani.
Unashangaa Muajemi kuhonga hizo necklace za almost 30m wakati kuna wabongo wanahonga hadi nyumba? na magari ya kifahari. Unajua wewe unaona ni kama haiwezekani sababu huna hela ila kwa wenye pesa ni vitu vya kawaida sana. Muajemi account zake zilikua zinasoma dollar $2Billions na mapoint kazaa huko, ashindwe kuhonga 30m?, wakati Harmonize anahonga hadi Range 2 [emoji23][emoji23]
Kwa mara ya kwanza nakutana na Muajemi alinipa 1million hio 3m umeitoa wapi mkuu?
Nilijifunza kitu kimoja kwenye hii Dunia, hakuna Mwanaume asiyehonga ila tumetofautina level za kuhonga tu. Kama unaweza kumuhonga demu savanna 5 kuna mtu anahonga gari au nyumba. Ukiwa huna hela unaweza ona haya mambo hayawezekani ila ukipata hela utaona ya kawaida sana.
Iryn alikua mwanamke mzuri sana aisee, tuseme Alibarikiwa tu. Endelea kufuatilia story kuna mambo mengi sana yaliendelea huko mbele.
Kichwa maji kweli au kukosa exposure, mbona unakaza fuvu kwa mambo ya kawaiday hivi?Off course hata mm nimegundua hilo funika kombe mwanaharamu apite.
Vitu vingi sio uhalisia .
Yaani.mtu Ana mabiashara ya mabilion kutwa yupo kwenye Ka ist ka mshikaji.
Hakuna aliyepigwa ban we dada acha uongo, mtu apigwe ban kwa sababu ya kutoa maoni yake?
Mtoa story alete story ila aache uongo la sivyo spana zipo palepale.
sasa kama troublers wameshapigwa bann ye sijui anasubiri nini...Mpaka sasa wapingaji wazee wa Upinde 1 vs INSIDER MAN 0
Mkuu njoo uchomoe unawapa credit wapingaji