Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Mzee kujiuza kujiuza tu iwe kiclassic au kilocal bado ni unajiuza.

Na hao wanaojiuza kiclassic wako njema financially sasa kwanini anajiuza??
Huyo dem kwa maelezo ya jamaa, mzee wake ana ukwasi wa kwenda, maza ake ndo huyo kamuachia kampuni.

Kwanini ujiuze? Unataka nini zaidi?? Au labda ni mtu wa kitengo wa nchi fulqni kwamba anachukua taarifa kwa walengwa??
Inategemea kama mali za mzee hapati na labda anataka maisha ya juu zaid huenda wewe ukaridhika na vichache yy labda anataka anunue ndege
Tunatofautiana mawazo na maamuz ndugu yang
 
EXTRA EPISODE 02

Wakati nimeondoka pale home kwa Uncle sio kwamba niliwakataa mazima hapana bali nilikua nakwenda wasalimia. Sikua na kinyongo nao kabisa sababu hata watoto zao ni marafiki zangu sana. Mnakumbuka niliwaambia wakati natoka pale home niliwaaga nakwenda safari ya kikazi.

Baada ya kupita miezi 3 nilirudi kuwasalimia nilikwenda na mazaga ya kutosha kama zawadi. Sasa siku hiyo sikumkuta Uncle ila alikwepo Aunt tu. Bhasi tuliongea pale ila sikukaa sana na nikamwachia 100,000, mimi nikaondoka.

Mimi nilikua napiga simu kuwasalimia wote, sasa baada ya kwenda na kumpa ile pesa, Aunt alikua ananitafuta ananinasalimia. Japo mimi sikutaka kuweka mazoea sana maana niliona mwisho wa siku nitakua ATM.

Wakati Uncle wangu mambo yake yameanza kuwa mabaya alikua hashindi home na sometimes haachi pesa ya matumizi. Aunt alikua ananitafuta mimi nitamtumia pesa na sometimes alikua anamtumia yule mtoto wake wa mwisho wa kike (huyu dogo tulikua tunapatana sana mpaka sasa). Alikua ananipigia simu ananambia Kaka Insider sina hela ya kutumia shule, bhasi mimi nilikua najua, kama nina 20,30,50k nitatuma.

Jambo lingine ambalo sikulipenda kwa hawa ndugu ni hili, kipindi nimemtia mimba Mama J nilikwenda kwa Uncle ili niongee naye suala la kwenda Ukweni. Lengo langu ilikua nimwambie nataka niishi naye kama mke wangu, lakini huwezi amini nilifika pale kwa Uncle na nilimkuta Aunt seblen. Tuliongea pale nikamwuliza kama Uncle yupo aksema yuko ndani anachezea simu. Nikaomba aniitie kwani nina jambo nataka kuongea naye. Aunt alikwenda kumuita ila hakuweza kutoka, nilikaa karibu 45 mins mtu hatoki, nikaamua kuondoka zangu.

Wakati wa kwenda kupeleka mahali nilikwenda kuwapa taarifa ili kama ndugu zangu wanipe kampani. Nilifika pale kutoa taarifa na uncle alikwepo lakini hakutoka tena chumbani. Hata Aunt sikumwambia kilichonipeleka pale, nikaamua kuondoka na nilihapa sitokanyaga tena pale.

Nilitoka pale nikampigia simu mama kuhusu jambo lililotokea, mama akanambia mwanangu usiwe na wasiwasi, kama umefanya kila jambo na hawataki wewe fanya mambo yako. Mama akanambia hata hivyo huyo sio Uncle yako halisi, angekua ni kaka yangu halisi asingekufanyia hivo.

Ipo hivi Mama yangu mzazi amekua hamjui Mama wala Baba. Mama yake mama (Bibi) alikufa wakati mama ana miezi 3 tu, wakati anakufa alimwachia mtoto (ambaye ni mama yangu) dada yake, ambaye mama yangu alikua anamuita “Mama mkubwa”. Sasa huyo Mama mkubwa ndo aliye mlea mama na alikua na watoto pamoja na huyo Uncle. Uncle alikua kama kaka kwa mama yangu na walikua wote na wamepishana miaka 5.

Sasa upande wa Baba yake Mama ambaye ndio Baba yangu ni kwamba alimtelekeza mtoto tangu mama yake mama afariki (Bibi). Na huyu Babu ni moja ya wanajeshi ambao walikua na vyeo vikubwa jeshini na mama anamjua yule ni Baba yake, lakini mama alisema kama Baba yake anajua alikua na mtoto lakini hakuwai mtafuta bhasi na yeye hawezi mtafuta. Mama alikua ni mtoto pekee kwa mama yake mzazi so hakuwai kuwa na dada wala kaka.

Mama alisoma mpaka darasa la saba na alifaulu kwenda Sekondari lakini hakua na mtu wa kumshika mkono. Baada ya hapo akapata kazi za ndani kwa Mhindi, yule Mhindi akamjaza Mimba mama yangu na huyo mhindi alikua na mke.

Sasa Mama mhindi baada ya kujua ile mimba ni ya mme wake aliamua kumlea na hakua na kinyongo naye. Kwa upande mwingine yule Mhindi alikua anataka kumfanya mama awe kama mke mdogo. Lakini kutokana na mama kuwa na ukaribu sana yule mama Mhindi alikataa katakata. Mzee Mhindi baada ya kuona Mama amemgomea akasema ile mimba hata ilea mpaka amkubalie.

Mama Mhindi akaamua kumtoa mama pale kwake na kumpangia chumba sehemu nyingine ambapo mama alimtafuta dada yake wa kijijini wakawa wanaishi. Mama mhindi ndo alikua analipa kodi pamoja na pesa za kula alikua anatoa. Mama anasema huyu mama Mhindi alikua na roho nzuri sana, mpaka sasa amekua ni Bibi ila mama huwa anakwenda msalimia.

Mama alijifungua mtoto ambaye ndo dada yangu (Rafiku yake na Tyna, alonisaidia Airport). Mama mhindi aliendelea kumuhudumia kwa kila kitu yeye pamoja na mtoto, Mzee mhindi dizaini kama aliwatelekeza.

Wakati mama anakutana na Mzee wangu ambaye ndo Baba yangu mzazi (Mzee Insider). Mzee wangu alimwambia mama atamlea mtoto ila amuhakikishie hata wasiliana tena na wale wahindi. Mama alikubali ndo baba akachukua hayo majukumu so dada alikua akijua Mzee wangu ndo baba yake ila uhalisia ni Mhindi.

Hata mimi nilikuja kujua haya mambo wakati nimemaliza Form 6. Siku ya kujua nilishangaa sana the way mzee alivyokua anamlea kama binti yake. Kweli kabisa ukiangalia mzee na dada walikua hawaendani kabisa maana dada alikua anauhindi flan wa mbali, kuanzia nywele, weupe.

Baada ya dada kukua na kuanza kujitegemea kimaisha ndo alipewa hio taarifa na mzee akamwambia ana haki ya kumjua Baba yake na kudai urithi. Mzee alimwambia kazi ya kumlea na kumsomesha ameikamilisha kilichobaki sasa ni kujua ukweli na aamue mwenyewe kama atamtafuta baba yake au laah ni juu yake.

Licha ya mama kuolewa na mzee wangu lakini Mama mhindi aliendelea kumtafuta mama yangu na aliwaambia watoto zake kwamba wana mdogo wao. Baada ya dada kujua ukweli ndo mama kuwakutanisha na ndugu zake hao Wahindi. Dada yangu alikwenda na kumwona mzee wake ni wamefanana hatari asee, mpaka na ndugu zake ni copyright. Kuna ile kauli inasema damu ni nzito kuliko maji.

Mzee mhindi kwakweli ni tajiri kama Pesa anazo na anamali nyingi sana kuanzia viwanja, nyumba , biashara nknk. Dada yangu mwezi March tulikua tunaongea akanmbia mama amesema nikapambanie nipate sehemu ya Urithi wangu. Japo dada yangu licha ya kutambua yule ni Baba yake lakini anajua alimtelekeza, yeye bado anatambua Mzee wangu ndo Baba yake mlezi aliye mkuza na kumsomesha.

Kuna kaka yake mmoja upande wa mhindi ndo wanapatana na dada ndo amempa ushauri pia apambanie apate urithi maana ni mtoto halali wa mzee. Japo kuna baadhi ya ndugu zake hawampendi dada sababu wanajua dada anataka urithi.

Ndugu zangu mnatoa ushauri upi juu ya hili, dada yangu apambanie urithi wake au apotezee? Mimi binafsi nimemshauri apambanie urithi wake maana Mzee akifa ndo asahau.

Nyie kama wana Jf mnatoa ushauri gani kwa hili suala.

ENDELEA EPISODE 12[emoji116]

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
 
Sababu kubwa nini? And she is African girl anabagua wenzake

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app

Anasema Waafrica sio wastaarabu tofauti na wazungu. Mzungu kama mmekubaliana Massaji hawezi kukusumbua kuhusu sex ila wabongo/ Waafrica hawawezi kukuelewa.

Kwa Waafrica anaofanya nao kazi ni wale ambao wapo kwenye web hata wakimsumbua ni rahisi kuwarecommend. Na wanaotumia ile web ni wastaarabu utafanya ambacho mmekubaliana not more.
 
Hivi hao wote hawakuweza kununua ndinga? Miaka hii hao kina mama wawili wapo maofisi makubwa town wanashindwaje kuvuta hata forester.
Huyu irryn nae kwanini hana gari mpaka muda huo la kumsogeza au kujisogeza kwenye mishe zake yeye mwenyewe?


Najiuliza tu....
 
ADDITIONAL

Wakati nimeondoka pale home kwa Uncle sio kwamba niliwakataa mazima hapana bali nilikua nakwenda wasalimia. Sikua na kinyongo nao kabisa sababu hata watoto zao ni marafiki zangu sana. Mnakumbuka niliwaambia wakati natoka pale home niliwaaga nakwenda safari ya kikazi.

Baada ya kupita miezi 3 nilirudi kuwasalimia nilikwenda na mazaga ya kutosha kama zawadi. Sasa siku hiyo sikumkuta Uncle ila alikwepo Aunt tu. Bhasi tuliongea pale ila sikukaa sana na nikamwachia 100,000, mimi nikaondoka.

Mimi nilikua napiga simu kuwasalimia wote, sasa baada ya kwenda na kumpa ile pesa, Aunt alikua ananitafuta ananinasalimia. Japo mimi sikutaka kuweka mazoea sana maana niliona mwisho wa siku nitakua ATM.

Wakati Uncle wangu mambo yake yameanza kuwa mabaya alikua hashindi home na sometimes haachi pesa ya matumizi. Aunt alikua ananitafuta mimi nitamtumia pesa na sometimes alikua anamtumia yule mtoto wake wa mwisho wa kike (huyu dogo tulikua tunapatana sana mpaka sasa). Alikua ananipigia simu ananambia Kaka Insider sina hela ya kutumia shule, bhasi mimi nilikua najua, kama nina 20,30,50k nitatuma.

Jambo lingine ambalo sikulipenda kwa hawa ndugu ni hili, kipindi nimemtia mimba Mama J nilikwenda kwa Uncle ili niongee naye suala la kwenda Ukweni. Lengo langu ilikua nimwambie nataka niishi naye kama mke wangu, lakini huwezi amini nilifika pale kwa Uncle na nilimkuta Aunt seblen. Tuliongea pale nikamwuliza kama Uncle yupo aksema yuko ndani anachezea simu. Nikaomba aniitie kwani nina jambo nataka kuongea naye. Aunt alikwenda kumuita ila hakuweza kutoka, nilikaa karibu 45 mins mtu hatoki, nikaamua kuondoka zangu.

Wakati wa kwenda kupeleka mahali nilikwenda kuwapa taarifa ili kama ndugu zangu wanipe kampani. Nilifika pale kutoa taarifa na uncle alikwepo lakini hakutoka tena chumbani. Hata Aunt sikumwambia kilichonipeleka pale, nikaamua kuondoka na nilihapa sitokanyaga tena pale.

Nilitoka pale nikampigia simu mama kuhusu jambo lililotokea, mama akanambia mwanangu usiwe na wasiwasi, kama umefanya kila jambo na hawataki wewe fanya mambo yako. Mama akanambia hata hivyo huyo sio Uncle yako halisi, angekua ni kaka yangu halisi asingekufanyia hivo.

Ipo hivi Mama yangu mzazi amekua hamjui Mama wala Baba. Mama yake mama (Bibi) alikufa wakati mama ana miezi 3 tu, wakati anakufa alimwachia mtoto (ambaye ni mama yangu) dada yake, ambaye mama yangu alikua anamuita “Mama mkubwa”. Sasa huyo Mama mkubwa ndo aliye mlea mama na alikua na watoto pamoja na huyo Uncle. Uncle alikua kama kaka kwa mama yangu na walikua wote na wamepishana miaka 5.

Sasa upande wa Baba yake Mama ambaye ndio Baba yangu ni kwamba alimtelekeza mtoto tangu mama yake mama afariki (Bibi). Na huyu Babu ni moja ya wanajeshi ambao walikua na vyeo vikubwa jeshini na mama anamjua yule ni Baba yake, lakini mama alisema kama Baba yake anajua alikua na mtoto lakini hakuwai mtafuta bhasi na yeye hawezi mtafuta. Mama alikua ni mtoto pekee kwa mama yake mzazi so hakuwai kuwa na dada wala kaka.

Mama alisoma mpaka darasa la saba na alifaulu kwenda Sekondari lakini hakua na mtu wa kumshika mkono. Baada ya hapo akapata kazi za ndani kwa Mhindi, yule Mhindi akamjaza Mimba mama yangu na huyo mhindi alikua na mke.

Sasa Mama mhindi baada ya kujua ile mimba ni ya mme wake aliamua kumlea na hakua na kinyongo naye. Kwa upande mwingine yule Mhindi alikua anataka kumfanya mama awe kama mke mdogo. Lakini kutokana na mama kuwa na ukaribu sana yule mama Mhindi alikataa katakata. Mzee Mhindi baada ya kuona Mama amemgomea akasema ile mimba hata ilea mpaka amkubalie.

Mama Mhindi akaamua kumtoa mama pale kwake na kumpangia chumba sehemu nyingine ambapo mama alimtafuta dada yake wa kijijini wakawa wanaishi. Mama mhindi ndo alikua analipa kodi pamoja na pesa za kula alikua anatoa. Mama anasema huyu mama Mhindi alikua na roho nzuri sana, mpaka sasa amekua ni Bibi ila mama huwa anakwenda msalimia.

Mama alijifungua mtoto ambaye ndo dada yangu (Rafiku yake na Tyna, alonisaidia Airport). Mama mhindi aliendelea kumuhudumia kwa kila kitu yeye pamoja na mtoto, Mzee mhindi dizaini kama aliwatelekeza.

Wakati mama anakutana na Mzee wangu ambaye ndo Baba yangu mzazi (Mzee Insider). Mzee wangu alimwambia mama atamlea mtoto ila amuhakikishie hata wasiliana tena na wale wahindi. Mama alikubali ndo baba akachukua hayo majukumu so dada alikua akijua Mzee wangu ndo baba yake ila uhalisia ni Mhindi.

Hata mimi nilikuja kujua haya mambo wakati nimemaliza Form 6. Siku ya kujua nilishangaa sana the way mzee alivyokua anamlea kama binti yake. Kweli kabisa ukiangalia mzee na dada walikua hawaendani kabisa maana dada alikua anauhindi flan wa mbali, kuanzia nywele, weupe.

Baada ya dada kukua na kuanza kujitegemea kimaisha ndo alipewa hio taarifa na mzee akamwambia ana haki ya kumjua Baba yake na kudai urithi. Mzee alimwambia kazi ya kumlea na kumsomesha ameikamilisha kilichobaki sasa ni kujua ukweli na aamue mwenyewe kama atamtafuta baba yake au laah ni juu yake.

Licha ya mama kuolewa na mzee wangu lakini Mama mhindi aliendelea kumtafuta mama yangu na aliwaambia watoto zake kwamba wana mdogo wao. Baada ya dada kujua ukweli ndo mama kuwakutanisha na ndugu zake hao Wahindi. Dada yangu alikwenda na kumwona mzee wake ni wamefanana hatari asee, mpaka na ndugu zake ni copyright. Kuna ile kauli inasema damu ni nzito kuliko maji.

Mzee mhindi kwakweli ni tajiri kama Pesa anazo na anamali nyingi sana kuanzia viwanja, nyumba , biashara nknk. Dada yangu mwezi March tulikua tunaongea akanmbia mama amesema nikapambanie nipate sehemu ya Urithi wangu. Japo dada yangu licha ya kutambua yule ni Baba yake lakini anajua alimtelekeza, yeye bado anatambua Mzee wangu ndo Baba yake mlezi aliye mkuza na kumsomesha.

Kuna kaka yake mmoja upande wa mhindi ndo wanapatana na dada ndo amempa ushauri pia apambanie apate urithi maana ni mtoto halali wa mzee. Japo kuna baadhi ya ndugu zake hawampendi dada sababu wanajua dada anataka urithi.

Ndugu zangu mnatoa ushauri upi juu ya hili, dada yangu apambanie urithi wake au apotezee? Mimi binafsi nimemshauri apambanie urithi wake maana Mzee akifa ndo asahau.

Nyie kama wana Jf mnatoa ushauri gani kwa hili suala.
Aachane na kuhangaika ambapo hawamtambui, aangalie mbele tu kuanzia hapo alipo, kama kuna sehemu yake kwenye urithi ataitiwa apewe lakini asiutegemee wala kuuwazia.
 
ADDITIONAL

Wakati nimeondoka pale home kwa Uncle sio kwamba niliwakataa mazima hapana bali nilikua nakwenda wasalimia. Sikua na kinyongo nao kabisa sababu hata watoto zao ni marafiki zangu sana. Mnakumbuka niliwaambia wakati natoka pale home niliwaaga nakwenda safari ya kikazi.

Baada ya kupita miezi 3 nilirudi kuwasalimia nilikwenda na mazaga ya kutosha kama zawadi. Sasa siku hiyo sikumkuta Uncle ila alikwepo Aunt tu. Bhasi tuliongea pale ila sikukaa sana na nikamwachia 100,000, mimi nikaondoka.

Mimi nilikua napiga simu kuwasalimia wote, sasa baada ya kwenda na kumpa ile pesa, Aunt alikua ananitafuta ananinasalimia. Japo mimi sikutaka kuweka mazoea sana maana niliona mwisho wa siku nitakua ATM.

Wakati Uncle wangu mambo yake yameanza kuwa mabaya alikua hashindi home na sometimes haachi pesa ya matumizi. Aunt alikua ananitafuta mimi nitamtumia pesa na sometimes alikua anamtumia yule mtoto wake wa mwisho wa kike (huyu dogo tulikua tunapatana sana mpaka sasa). Alikua ananipigia simu ananambia Kaka Insider sina hela ya kutumia shule, bhasi mimi nilikua najua, kama nina 20,30,50k nitatuma.

Jambo lingine ambalo sikulipenda kwa hawa ndugu ni hili, kipindi nimemtia mimba Mama J nilikwenda kwa Uncle ili niongee naye suala la kwenda Ukweni. Lengo langu ilikua nimwambie nataka niishi naye kama mke wangu, lakini huwezi amini nilifika pale kwa Uncle na nilimkuta Aunt seblen. Tuliongea pale nikamwuliza kama Uncle yupo aksema yuko ndani anachezea simu. Nikaomba aniitie kwani nina jambo nataka kuongea naye. Aunt alikwenda kumuita ila hakuweza kutoka, nilikaa karibu 45 mins mtu hatoki, nikaamua kuondoka zangu.

Wakati wa kwenda kupeleka mahali nilikwenda kuwapa taarifa ili kama ndugu zangu wanipe kampani. Nilifika pale kutoa taarifa na uncle alikwepo lakini hakutoka tena chumbani. Hata Aunt sikumwambia kilichonipeleka pale, nikaamua kuondoka na nilihapa sitokanyaga tena pale.

Nilitoka pale nikampigia simu mama kuhusu jambo lililotokea, mama akanambia mwanangu usiwe na wasiwasi, kama umefanya kila jambo na hawataki wewe fanya mambo yako. Mama akanambia hata hivyo huyo sio Uncle yako halisi, angekua ni kaka yangu halisi asingekufanyia hivo.

Ipo hivi Mama yangu mzazi amekua hamjui Mama wala Baba. Mama yake mama (Bibi) alikufa wakati mama ana miezi 3 tu, wakati anakufa alimwachia mtoto (ambaye ni mama yangu) dada yake, ambaye mama yangu alikua anamuita “Mama mkubwa”. Sasa huyo Mama mkubwa ndo aliye mlea mama na alikua na watoto pamoja na huyo Uncle. Uncle alikua kama kaka kwa mama yangu na walikua wote na wamepishana miaka 5.

Sasa upande wa Baba yake Mama ambaye ndio Baba yangu ni kwamba alimtelekeza mtoto tangu mama yake mama afariki (Bibi). Na huyu Babu ni moja ya wanajeshi ambao walikua na vyeo vikubwa jeshini na mama anamjua yule ni Baba yake, lakini mama alisema kama Baba yake anajua alikua na mtoto lakini hakuwai mtafuta bhasi na yeye hawezi mtafuta. Mama alikua ni mtoto pekee kwa mama yake mzazi so hakuwai kuwa na dada wala kaka.

Mama alisoma mpaka darasa la saba na alifaulu kwenda Sekondari lakini hakua na mtu wa kumshika mkono. Baada ya hapo akapata kazi za ndani kwa Mhindi, yule Mhindi akamjaza Mimba mama yangu na huyo mhindi alikua na mke.

Sasa Mama mhindi baada ya kujua ile mimba ni ya mme wake aliamua kumlea na hakua na kinyongo naye. Kwa upande mwingine yule Mhindi alikua anataka kumfanya mama awe kama mke mdogo. Lakini kutokana na mama kuwa na ukaribu sana yule mama Mhindi alikataa katakata. Mzee Mhindi baada ya kuona Mama amemgomea akasema ile mimba hata ilea mpaka amkubalie.

Mama Mhindi akaamua kumtoa mama pale kwake na kumpangia chumba sehemu nyingine ambapo mama alimtafuta dada yake wa kijijini wakawa wanaishi. Mama mhindi ndo alikua analipa kodi pamoja na pesa za kula alikua anatoa. Mama anasema huyu mama Mhindi alikua na roho nzuri sana, mpaka sasa amekua ni Bibi ila mama huwa anakwenda msalimia.

Mama alijifungua mtoto ambaye ndo dada yangu (Rafiku yake na Tyna, alonisaidia Airport). Mama mhindi aliendelea kumuhudumia kwa kila kitu yeye pamoja na mtoto, Mzee mhindi dizaini kama aliwatelekeza.

Wakati mama anakutana na Mzee wangu ambaye ndo Baba yangu mzazi (Mzee Insider). Mzee wangu alimwambia mama atamlea mtoto ila amuhakikishie hata wasiliana tena na wale wahindi. Mama alikubali ndo baba akachukua hayo majukumu so dada alikua akijua Mzee wangu ndo baba yake ila uhalisia ni Mhindi.

Hata mimi nilikuja kujua haya mambo wakati nimemaliza Form 6. Siku ya kujua nilishangaa sana the way mzee alivyokua anamlea kama binti yake. Kweli kabisa ukiangalia mzee na dada walikua hawaendani kabisa maana dada alikua anauhindi flan wa mbali, kuanzia nywele, weupe.

Baada ya dada kukua na kuanza kujitegemea kimaisha ndo alipewa hio taarifa na mzee akamwambia ana haki ya kumjua Baba yake na kudai urithi. Mzee alimwambia kazi ya kumlea na kumsomesha ameikamilisha kilichobaki sasa ni kujua ukweli na aamue mwenyewe kama atamtafuta baba yake au laah ni juu yake.

Licha ya mama kuolewa na mzee wangu lakini Mama mhindi aliendelea kumtafuta mama yangu na aliwaambia watoto zake kwamba wana mdogo wao. Baada ya dada kujua ukweli ndo mama kuwakutanisha na ndugu zake hao Wahindi. Dada yangu alikwenda na kumwona mzee wake ni wamefanana hatari asee, mpaka na ndugu zake ni copyright. Kuna ile kauli inasema damu ni nzito kuliko maji.

Mzee mhindi kwakweli ni tajiri kama Pesa anazo na anamali nyingi sana kuanzia viwanja, nyumba , biashara nknk. Dada yangu mwezi March tulikua tunaongea akanmbia mama amesema nikapambanie nipate sehemu ya Urithi wangu. Japo dada yangu licha ya kutambua yule ni Baba yake lakini anajua alimtelekeza, yeye bado anatambua Mzee wangu ndo Baba yake mlezi aliye mkuza na kumsomesha.

Kuna kaka yake mmoja upande wa mhindi ndo wanapatana na dada ndo amempa ushauri pia apambanie apate urithi maana ni mtoto halali wa mzee. Japo kuna baadhi ya ndugu zake hawampendi dada sababu wanajua dada anataka urithi.

Ndugu zangu mnatoa ushauri upi juu ya hili, dada yangu apambanie urithi wake au apotezee? Mimi binafsi nimemshauri apambanie urithi wake maana Mzee akifa ndo asahau.

Nyie kama wana Jf mnatoa ushauri gani kwa hili suala.
Apambanie haki yake lakini asitumie nguvu nyingi pale kutakapokuwa na vikwazo hasa wenye chuki wasijemtumia maharamia yampoteze,migogoro ya mali huwa ina risk sana.

Hivyo awe mwangalifu.
 
Hivi hao wote hawakuweza kununua ndiga? Miaka hii hao kina mama wawili wapo maofisi makubwa town wanashindwaje kuvuta hata forester.
Huyu irryn nae kwanini hana gari mpaka muda huo la kumsogeza au kujisogeza kwenye mishe zake yeye mwenyewe?


Najiuliza tu....
Ingekuwa mimi
Ningeacha tu huyo baba muhindi akiona Kuna umuhimu wa kunipa chochote basi nipewe...tofauti na hapo ni kutafuta visivyo na ulazima
Naamini dada ameshakua amejitambua Ana uwezo wa kujitafutia vilivyo vyake
 
Mimi namshauri aachane kuhangaikia urithi ajitafute mwenyew tu kama wakitaka kumpa sawa asipopata awapotezee kama baba yako kamlea vizuri amesoma aridhike na alichopata kwa baba yako. Kwa sababu watu wanauana kisa kurithi mali achague amani kuliko migogoro
 
ADDITIONAL

Wakati nimeondoka pale home kwa Uncle sio kwamba niliwakataa mazima hapana bali nilikua nakwenda wasalimia. Sikua na kinyongo nao kabisa sababu hata watoto zao ni marafiki zangu sana. Mnakumbuka niliwaambia wakati natoka pale home niliwaaga nakwenda safari ya kikazi.

Baada ya kupita miezi 3 nilirudi kuwasalimia nilikwenda na mazaga ya kutosha kama zawadi. Sasa siku hiyo sikumkuta Uncle ila alikwepo Aunt tu. Bhasi tuliongea pale ila sikukaa sana na nikamwachia 100,000, mimi nikaondoka.

Mimi nilikua napiga simu kuwasalimia wote, sasa baada ya kwenda na kumpa ile pesa, Aunt alikua ananitafuta ananinasalimia. Japo mimi sikutaka kuweka mazoea sana maana niliona mwisho wa siku nitakua ATM.

Wakati Uncle wangu mambo yake yameanza kuwa mabaya alikua hashindi home na sometimes haachi pesa ya matumizi. Aunt alikua ananitafuta mimi nitamtumia pesa na sometimes alikua anamtumia yule mtoto wake wa mwisho wa kike (huyu dogo tulikua tunapatana sana mpaka sasa). Alikua ananipigia simu ananambia Kaka Insider sina hela ya kutumia shule, bhasi mimi nilikua najua, kama nina 20,30,50k nitatuma.

Jambo lingine ambalo sikulipenda kwa hawa ndugu ni hili, kipindi nimemtia mimba Mama J nilikwenda kwa Uncle ili niongee naye suala la kwenda Ukweni. Lengo langu ilikua nimwambie nataka niishi naye kama mke wangu, lakini huwezi amini nilifika pale kwa Uncle na nilimkuta Aunt seblen. Tuliongea pale nikamwuliza kama Uncle yupo aksema yuko ndani anachezea simu. Nikaomba aniitie kwani nina jambo nataka kuongea naye. Aunt alikwenda kumuita ila hakuweza kutoka, nilikaa karibu 45 mins mtu hatoki, nikaamua kuondoka zangu.

Wakati wa kwenda kupeleka mahali nilikwenda kuwapa taarifa ili kama ndugu zangu wanipe kampani. Nilifika pale kutoa taarifa na uncle alikwepo lakini hakutoka tena chumbani. Hata Aunt sikumwambia kilichonipeleka pale, nikaamua kuondoka na nilihapa sitokanyaga tena pale.

Nilitoka pale nikampigia simu mama kuhusu jambo lililotokea, mama akanambia mwanangu usiwe na wasiwasi, kama umefanya kila jambo na hawataki wewe fanya mambo yako. Mama akanambia hata hivyo huyo sio Uncle yako halisi, angekua ni kaka yangu halisi asingekufanyia hivo.

Ipo hivi Mama yangu mzazi amekua hamjui Mama wala Baba. Mama yake mama (Bibi) alikufa wakati mama ana miezi 3 tu, wakati anakufa alimwachia mtoto (ambaye ni mama yangu) dada yake, ambaye mama yangu alikua anamuita “Mama mkubwa”. Sasa huyo Mama mkubwa ndo aliye mlea mama na alikua na watoto pamoja na huyo Uncle. Uncle alikua kama kaka kwa mama yangu na walikua wote na wamepishana miaka 5.

Sasa upande wa Baba yake Mama ambaye ndio Baba yangu ni kwamba alimtelekeza mtoto tangu mama yake mama afariki (Bibi). Na huyu Babu ni moja ya wanajeshi ambao walikua na vyeo vikubwa jeshini na mama anamjua yule ni Baba yake, lakini mama alisema kama Baba yake anajua alikua na mtoto lakini hakuwai mtafuta bhasi na yeye hawezi mtafuta. Mama alikua ni mtoto pekee kwa mama yake mzazi so hakuwai kuwa na dada wala kaka.

Mama alisoma mpaka darasa la saba na alifaulu kwenda Sekondari lakini hakua na mtu wa kumshika mkono. Baada ya hapo akapata kazi za ndani kwa Mhindi, yule Mhindi akamjaza Mimba mama yangu na huyo mhindi alikua na mke.

Sasa Mama mhindi baada ya kujua ile mimba ni ya mme wake aliamua kumlea na hakua na kinyongo naye. Kwa upande mwingine yule Mhindi alikua anataka kumfanya mama awe kama mke mdogo. Lakini kutokana na mama kuwa na ukaribu sana yule mama Mhindi alikataa katakata. Mzee Mhindi baada ya kuona Mama amemgomea akasema ile mimba hata ilea mpaka amkubalie.

Mama Mhindi akaamua kumtoa mama pale kwake na kumpangia chumba sehemu nyingine ambapo mama alimtafuta dada yake wa kijijini wakawa wanaishi. Mama mhindi ndo alikua analipa kodi pamoja na pesa za kula alikua anatoa. Mama anasema huyu mama Mhindi alikua na roho nzuri sana, mpaka sasa amekua ni Bibi ila mama huwa anakwenda msalimia.

Mama alijifungua mtoto ambaye ndo dada yangu (Rafiku yake na Tyna, alonisaidia Airport). Mama mhindi aliendelea kumuhudumia kwa kila kitu yeye pamoja na mtoto, Mzee mhindi dizaini kama aliwatelekeza.

Wakati mama anakutana na Mzee wangu ambaye ndo Baba yangu mzazi (Mzee Insider). Mzee wangu alimwambia mama atamlea mtoto ila amuhakikishie hata wasiliana tena na wale wahindi. Mama alikubali ndo baba akachukua hayo majukumu so dada alikua akijua Mzee wangu ndo baba yake ila uhalisia ni Mhindi.

Hata mimi nilikuja kujua haya mambo wakati nimemaliza Form 6. Siku ya kujua nilishangaa sana the way mzee alivyokua anamlea kama binti yake. Kweli kabisa ukiangalia mzee na dada walikua hawaendani kabisa maana dada alikua anauhindi flan wa mbali, kuanzia nywele, weupe.

Baada ya dada kukua na kuanza kujitegemea kimaisha ndo alipewa hio taarifa na mzee akamwambia ana haki ya kumjua Baba yake na kudai urithi. Mzee alimwambia kazi ya kumlea na kumsomesha ameikamilisha kilichobaki sasa ni kujua ukweli na aamue mwenyewe kama atamtafuta baba yake au laah ni juu yake.

Licha ya mama kuolewa na mzee wangu lakini Mama mhindi aliendelea kumtafuta mama yangu na aliwaambia watoto zake kwamba wana mdogo wao. Baada ya dada kujua ukweli ndo mama kuwakutanisha na ndugu zake hao Wahindi. Dada yangu alikwenda na kumwona mzee wake ni wamefanana hatari asee, mpaka na ndugu zake ni copyright. Kuna ile kauli inasema damu ni nzito kuliko maji.

Mzee mhindi kwakweli ni tajiri kama Pesa anazo na anamali nyingi sana kuanzia viwanja, nyumba , biashara nknk. Dada yangu mwezi March tulikua tunaongea akanmbia mama amesema nikapambanie nipate sehemu ya Urithi wangu. Japo dada yangu licha ya kutambua yule ni Baba yake lakini anajua alimtelekeza, yeye bado anatambua Mzee wangu ndo Baba yake mlezi aliye mkuza na kumsomesha.

Kuna kaka yake mmoja upande wa mhindi ndo wanapatana na dada ndo amempa ushauri pia apambanie apate urithi maana ni mtoto halali wa mzee. Japo kuna baadhi ya ndugu zake hawampendi dada sababu wanajua dada anataka urithi.

Ndugu zangu mnatoa ushauri upi juu ya hili, dada yangu apambanie urithi wake au apotezee? Mimi binafsi nimemshauri apambanie urithi wake maana Mzee akifa ndo asahau.

Nyie kama wana Jf mnatoa ushauri gani kwa hili suala.
Atakuja uliwa mtu ooh ,, period
 
Back
Top Bottom