Two ten
Senior Member
- Aug 26, 2013
- 169
- 131
INSIDER MAN njoo basi na ww...si ulisema mwanaume hasusiii....mbona sa unasusaaa? Au unataka tukubembelezeje....🤔🤔🤔🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
braza angu pia ashawahi enda sauz akaishi kwenye kanisa sio uongo no vile wewe mshamba labda.Kwa Jf hatusubirigi mwisho kuna jamaa humu ndani alishawahi kuja na story ya kwenda afrika kusini bila ndugu akapokelewa na kanisa halfu wakapata safari ya kwenda Eswatin bila chochote na mzamiaji aliacha kusimulia.
Muulize mpwayungu village
Ulimuonya kama nani?Mtunzi anahariri hadithi yaje ili asije akaleta story za uongo, nilishampa onyo nadhani anatekeleza matakwa yangu ya kuedit story yake, akimaliza atawaletea.
True. Mwendo ni uleule. "Ignore "Ni simple sana,
Kwenye nyuzi kama hii kwa wale wote unaoona mnapishana mawazo, fungua profile yake afu pale juu ya vidoti vitatu bonyeza ignore, hautawahi kuona chochote anachopost sehemu yoyote ile. Tulifanya hili kwenye uzi wa kula tunda kimasihara kwa watu kadhaa na mwishoni kabisa wao wenyewe wali surrender. Tupitie humo naamini itakua msaada zaidi
Insider kazi hiyo imekuelewa changamkia fursa hiyoINSIDER MAN tulikuomba usiwasikilize wapuuz lkn kutokutuwekea muendelezo maama yake umetusharau na sisi.
Binafs naona kama ulivyoamua kuja na story hii nzuri bila kuomba asaante...ulipashwa kuendellea nasi. Lkn umehamia kea mjinga 2025DG na maaluni wenzie baasi tunaacha kuinhiaakila mara kuona kama umetuwekea. Binafsi sissomi comment ya mjinga yyt.
Mytake. Nimepata maarifa nkwako
1 nimejifunza kwenda na kanuni katika KAZI zangu.
2. Nimejifuza kutokuwa na tamaa ili kujenga uaminifu na kuilinda ofsi yangu.
3. Nimejifunza kuipenda kazzi yangu na kutengeneza connection.
4. Wewe ni kijana mtanashati na muaminifu na huongozwi na hitaji la mwili. Mm kama Binti nimebaki kuwa na tabia kama Yako ya kutoshoboka na mtu.
5. Kubwa zaidi heshima. Unamheshim mama wa2, na watoto. Umemheshm saana ilyin
6. Wewe INSIDER MAN ni mjasiliamali nimependa pale ulivyoanza biashara na wakati unafanyakazi Kwa mchina ulikuwa focussed.
7. Na mwisho japo si kwa umuhimu ni unatumia elim na akili Yako vzr
EPISODE 18
Baada ya kusoma ile text ya Iryn na ilikua imetumwa muda mrefu nilisema kuna kitu kibaya kimeshampata Iryn. Na muda ule nilijikuta nikijilaumu sana kwa kulala kwangu kwenye gari na muda uleule nilitoka kwenye gari haraka na kuelekea Reception.
Na hapo nilikua nikimpigia simu Iryn lakini ilikua haipokelewi kabisa. Nilifika pale reception nikamkuta dada na nikamsalimia.
MIMI: “Dada mambo, Bossy wangu amenitumia message yuko in danger na amenitumia Room No.222, ni muda mrefu toka ametuma hii text, naomba twende tukaangalie anashida gani maana kwa sasa hata simu hapokei.”
RECEPTION: “Yule dada alikuja hapa nakumbuka si mweupe? na alisema anakwenda Room hio na alijiandikisha hapa ni iryn eeh.” (Baada ya kuangalia kwenye visitors register)
MIMI: “Ndio dada ndo huyo naona unachelewa twende haraka.”
Na muda huo dada alimwita mlinzi na tukaelekea usawa wa hiyo room ilipo, na muda huo alitumia kuwasiliana na manager. Room ilikua floor ya 2 na tulivyofika pale mlangoni tulisikia kama purukushani ni kama kuna ugomvi ulikua unaendelea pale.
Upande mwingine kuna dada oppositie na chumba hicho alikua katoka kama mtu mwenye mishe zake, lakini alivyomwona mlinzi na tuko pale mlangoni alisogea karibu ili ajue kinachoendelea pale.
Na tukiwa pale mlangoni tulikua tukisikia sauti ya Iryn,
“Leave me alone, I said leave me alone”
“You want to rape me?”
Na muda uleule Mlinzi aligonga mlango, lakini ulikuwa haufunguliwi, ilibidi mlinzi atumie vitisho ndo jamaa kufungua mlango.
Baada ya kufungua ilibidi tuingie wote ndani na wakati huo alionekana Iryn akiwa anahema sana, alionekana ni mtu aliyekuwa amechoka sana kama alikua jogging.
Kwa upande mwingine ni kama alikua haamini macho yake kama sisi tuko pale, na pant yake ya jeans ilionekana imefunguliwa nzipu na chupi yake ya pink ilionekana kwa mbali, pia upande wa juu alikua na brass kama ungeendelea kumwangalia ungeishia kudindisha tu kwa ule uzuri wake na alivyokuwa vile.
Iryn alikuja haraka kwangu na akanikumbatia na alianza kulia palepale, na dada Manager alikua kafika eneo la tukio tayari, na akaanza kuhoji ni nini kinaendelea pale.
MANAGER: “Ni nini kinaendelea hapa, maana matukio yanayoonekana hapa ni kama ubakaji, kaka shida ni nini?”
Jamaa alikua kimya na ikabidi dada ahamie Upande wa Iryn.
IRYN: “Dada mimi najishughulisha na masuala ya body therapy hii ndo kazi yangu, na ninafanya kwa wateja wengi sana. Huyu mteja tuliwasiliana toka juzi hata chats zetu hizi hapa (muda huu Iryn alikuwa ameshika simu yake Iphone 13 Pro Max ambayo ilionekana kuweka crack kubwa kwenye kioo na akamwonesha zile chats manager).
MANAGER: “Haya ndo makubalino yenu, endelea nakusikiliza”
IRYN: “Tulikubaliana ninafanya massage na sio zaidi na alikubali, nimemaliza kazi yangu naomba malipo akasema hawezi…..”
Dada Manager alimkatisha Iryn na alimwuliza swali,
MANAGER: “Malipo mlikubaliana kiasi gani?”
IRYN: “Tulikubaliana $1500”
MANAGER: “Okay Endelea”
IRYN: “Nilivyomaliza kazi yangu niliomba malipo yangu lakini alianza kuomba sex, nilimwambia I can’t do sex ni nje na makubaliano yetu na nilimkumbusha we had a deal, akanambia ataniongezea $1000, lakini nilimkatalia na nilimwambia hata apandishe dau kiasi gani siwez fanya sex. Na yeye akasema bila sex hanilipi na mimi sikutaka kubishana naye nilivyotaka kuondoka nilishindwa fungua mlango sababu ya card, na yeye akagoma kufungua mlango, nikaomba card ili nifungue mlango lakini hakutaka kunipa wala kunifungulia.”
SHAHIDI: “Pole sana dada huu ni ubakaji.”
IRYN: “Muda huo akanivuta kwa nguvu na akanisukumia kitandani akanambia siwezi kutoka mpaka tusex. Muda huu nilikua sijui cha kufanya maana nilipiga kelele lakini hakuna msaada wowote niliopata. Ilibidi nimwambie atafute condom bila hivyo sitoweza na alikwenda kuchukua kwenye bag. Mimi muda huo ndo nikapata nafasi ya kutuma text kwa dereva wangu huyu hapa. Alivyorudi akanambia nivue nguo zangu lakini nilimgomea sababu nilikua najua dereva wangu atakuja haraka kunisaidia. Alinishika kwa nguvu akanivua brauz yangu na tukaanz purukushani kwa zaidi ya dk 20 sasa, inamaana msingekuja leo ningekua raped.”
Maneno ya Iryn yalifanya tusijikie vibaya wote muda ule na kila mtu alikua anashangaa kwa lile tukio. Jamaa alikua anaforce kula mzigo tena kwa kutaka kubaka.
Kiukweli hata mimi ningeforce muda ule yaani uwe na mrembo kama yule umwache aende ni inataka moyo sana. Jamaa kimuonekano alikua ni lightskin na alikua ni mtu wa Uingereza.
Muda ule jamaa alianza kuomba msamaha kwa kile kilichotokea na alikiri alikosea sana, upwiru ndo ulimplekea kufanya vile.
SHAHIDI: “Kaka nadhani mpaka sasa ushahidi upo na wewe umekiri nafikiri sheria zinaweza kuchukuliwa.”
Jamaa alimfata Iryn na alimwomba sana msamaha maana nadhani alikua anajua kwa UK raping na harassment ni kesi kubwa sana.
Kwa upande mwingine Manager naye hakutaka mambo yafike mbali na alikua akijaribu kutafuta solution na Mlinzi, maana wao ile ni biashara isingeleta picha nzuri kama kesi ingefika mbali.
MANAGER: “Dada naomba haya mambo yaishe hapahapa please nakuomba sana.”
IRYN: “Dada hivi unavyoomba haya mambo yaishe kirahisi hivi ningebakwa je? Ungesema hivi?”
SHAHIDI: “Dada mimi nimerecord maongezi yake akiwa ameconfess alichofanya nafikiri nenda kashitaki huu ni unyanyasaji.”
Kwa upande mwingine jamaa alikuwa haamini macho yake na alionekana kuwa na wasiwasi sana. Na pia alikua akijutia kwa alichofanya muda ule na aliendelea kuomba yale mambo yaishe kwa namna yoyote. Kilichoniuma sana kuona jamaa kapiga magoti akiomba msamaha, kama mwanaume nilijiskia vibaya sana kuona baharia anapiga magoti.
Mimi niliteta na Iryn pembeni nikamwambia amsamehe Jamaa, sababu hajamfanya kitu chochote zaidi ya kumharras afanye kusamehe tuendelee na mambo mengine maana kwa Tanzania kesi kama hizi ni kupoteza muda. Iryn alinambia anaweza mpigia simu Mama Janeth na akaisimamia kesi na sheria ikachukua mkondo wake. Mimi nikamwambia cha muhimu jamaa amlipe simu yake, pesa ya simu mpya na usumbufu, mengine amwachie Mungu tu, na Iryn alikubali kufanya hivo.
“Insider nasamehe kwa sababu yako, ila alichonifanya siwezi kusahau ni udhalilishaji na unyanyasaji.”
IRYN: “Manager kutokana na masuala yenu ya kibiashara nitajali hili maana kuna siku nitarudi tena hapa ila ninauwezo wa kuiendesha hii kesi vizuri kabisa. Naomba nilipwe pesa ya simu mpya, hii imecrack sababu yake, anilipe pesa yangu $1500 na ninataka $4000 za usumbufu, simu ni kama $1800 kama yuko tayari kutoa $7500 mimi nitasamehe.
SHAHIDI: “Dada kwanini unamsamehe kirahisi hivyo wakati ushahidi upo na atakulipa pesa kibao, usiwe na haraka naweza kukusaidia Mwanasheria.”
IRYN: “Dada ni kweli unachosema ila sisi sote ni Binadamu kuna kesho, nina Mama yangu yuko Organization X ningempa taarifa hii kesi ingeisha haraka, ila nimeamua kusamehe tu.”
Jamaa ni kama hakuamini Iryn ameamua kumsamehe na jamaa aliomba alipe $6500 maana yuko Tanzania kikazi. Iryn aliamua kukubali na jamaa akafanya kutransfer hiko kiasi kwenda kwenye account ya Iryn
RAPIST: “You have an account in french bank?”
IRYN: “Yeah, transfer that amount to my account number.”
Pale wote tulibaki tunashangaa hata jamaa kama hakuamini kuona Iryn anamiliki Account kwenye moja ya bank za kifaransa, hata mimi nilishangaa maana Iryn hakuwai nambia hili, lakini pia sikuwaza sana maana nilikuambuka Iryn kasoma kule Ufaransa asingekosa kuwa na bank account kule.
Baada ya kutransfer Iryn alipata ujumbe kwenye email kuonesha pesa imeingizwa na akaaga tuondoke maana hakutaka tuendelee kukaa pale.
Na muda ule Manager alifurahi sana kuona jambo limeisha na alitusindikiza mpaka parking na muda huu walikua wakiongea na Iryn, mimi niliingia kwenye gari na nikatoa 50,000 nikampa mlinzi na alishukuru sana.
“Kaka Ahsante sana ila Bossy wako ni pini asee ni ngumu sana kuwa na mrembo kama huyu Getto afu umwache, ni balaa sana hii Dunia ina warembo wengine tunaishia kula kwa macho.”
Niliishia kucheka pale na tukaagana na jamaa pale. Manager aliendelea kuongea na Iryn na baada ya dakika 5 Iryn aliingia kwenye gari.
IRYN: “Insider lets go, twende home tu nikalale sina mood now.”
Tulianza kuondoka na muda ule kutoka eneo lile.
MIMI: “Iryn am so sorry for being late, nilikua nimelala yaani kitendo cha kupiga simu ndo nilishtuka”
IRYN: “I thought umelala that time hata hivyo thank you so much Insider ungechelewa kidogo ningebakwa.”
MIMI: “Nisingejisamehe maisha yangu yote kama jambo baya lingetokea, It was my fault”
IRYN: “It wasn’t your fault Insider, don’t be”
MIMI: “Yule ni nani na mlikutana wapi?”
IRYN: “Isabella ndo kani connect na huyu mtu, na mimi namuamini sana Isabella hata wateja anaonipaga sinaga shida nao.”
MIMI: “Pole sana Mummy unaonekana kupoteza so much energy”
IRYN: “Insider nimepambana sana usiione hivi kumbuka yule mwanaume ananguvu kuliko mimi.”
MIMI: “Ilishawai kukutokea kama hii before?”
IRYN: “Hii ya leo ni too much, ilishawai nitokea ila sio kama ya leo, wengi nilokutana nao walikua hawanilipi.”
MIMI: “Pole sana najiskia vibaya ujue.”
IRYN: “Ni moja ya changamoto za kazi.”
MIMI: “Pole sana Mummy.”
IRYN: “Hii weekend sitotoka usiku maybe next week.”
Sikutaka kabisa kuleta utani hii siku maana Iryn alikua kabadilika sana na hakuwa mtu wakuongea. Na muda huu yule jamaa alikua anampigia simu Iryn, lakini Iryn hakutaka kupokea simu yake.
Tulipitia pale Mikocheni kwa Osama na nikamnunulia Iryn chips yai “zege” nilijua lazima ana njaa, tukaendelea na safari yetu ya kwenda kijitonyama.
Tulifika pale kwake na muda huo saa 6 usiku ilikua tayari, na nikampeleka mpaka ndani na nikamwaga naondoka nitamcheki .
IRYN: “Insider…”
MIMI: “Naam Mummy”
IRYN: “Thank you for today bila wewe ningeweza pata jambo baya sana.”
MIMI: “Usijali Iryn sisi ni Familia tayari.”
IRYN: “Naomba nipe account yako ni transfer Pesa, sina cash ya kukupa.”
MIMI: “No usifanye hivo.”
IRYN: “Why? you saved me today.” Iryn alikua mkali kidogo.
MIMI: “Have you forgotten our agreement?”
IRYN: “I remember”
MIMI: “So don’t, byee”
Muda huo Iryn hakujua aseme nini aliishia kuniangalia nikipotea machoni pake, na mimi nilitoka hapo nikarudi home kulala.
###########
Jumamosi ndo siku ambayo nilikua na miadi na Mama wa2 kama tulivyokuwa tumekubaliana mwanzoni mwa week. Nilifika kwake saa4 kasoro asubuhi na baada ya kufika pale, nilimpigia simu niko nje akasema sawa.
Hapa alipokuwa anakaa Mama wa2 ni apartment ambayo ina nyumba 2 tu, tena za kujitegemea kwenye compound moja.
Baada ya dakika chache alikuja dada wa kazi na akanifungulia geti akanambia amesema dada uingie ndani. Niliingiza gari nje kwake parking na nikaingia ndani seblen, sikuwa na wasiwasi sababu nilikua najua hana mme.
Upande mwingine alionekana dada akiandaa chai dining, na muda mfupi mama wa2 alikua katoka na amependeza sana.
MAMA WA2: “Insider mambo!”
MIMI: “Salama Mama mkwe , umependeza sana.”
(Alikua amevaa kipensi cha jeans na tishirt nyeupe zile za kubana)
MAMA WA2: “Eti eeh, karibu chai bhasi”
Na muda huu alikua akielekea dining na mimi nikamfuata kwa nyuma,
Mama wawili akaniandalia chai pale na tukaanza kunywa. Ilikua ni chai ya maziwa, chapati za maji, na maini ya roast.
MIMI: “Rachel yuko wapi? Simwoni”. (Rachel ni yule mtoto wake wa pili ambaye nampelekaga shule)
MAMA 2: “Rachel kalala bado.”
MIMI: “Muamshe mke wangu bhana.”
MAMA 2: “Yule akilalaga anamka mwenyewe.”
Baada ya ya kupata breakfast nilimshukuru Mama wa2 kwa chai na yeye alikwenda chumbani akatoka na mkoba, akasema yuko tayari kwa safari tuondoke.
Tukitoka pale kwake ilikua saa 4 na tukaanza safari ya kwenda Bagamoyo “The horizon”.
MAMA 2: “Insider itabidi tuingie ATM ya CRDB nitoe pesa sawa?”
MIMI: “Sawa bossy wangu, kuna ATM nitakupeleka.”
MAMA 2: “Nilishakwambia mimi sio Bossy wako.”
MIMI: “Sawa mama mkwe.”
MAMA 2: “Unakujua tunakokwenda?”
MIMI: “Ondoa hofu mimi ndo Insider.”
Tulitumia barabara ya Mwaikibaki ya Mbezi beach chini na tukaingia na ile barabara ya Mwamunyage, tukaja tokea kunduchi road hao tukaunga na Bahari beach.
Kabla hujafika Budget mbele kidogo ya Jambo supermarket kuna ATM za “NMB & CRDB upande wa kushoto wa barabara kama unakwenda Budget. Niliingia pale ili Mama wa2 aweze kutoa hela kama alivyokuwa ameomba.
MIMI: “Toa pesa nyingi bhasi tupate na hela ya mafuta.”
MAMA 2: “Leo nitakupa offa ya mafuta full tank”
MIMI: “Mvua itanyesha, unafanya kazi bank ila ni mbahili balaa.”
Muda huo alikua ameshuka kwenye gari ili aingie kutoa hela, lakini kulikua na foleni hivyo ilibidi asubiri mpaka ile foleni iishe na yeye ndo aingie. Si unajua mambo ya weekend tena, foleni ya kutoa pesa ilikua kubwa kubwa.
Mama wa2 alitumia kama dakika 5 mpaka anatoa hela na hao tukaondoka kuendelea na safari yetu.
MAMA 2: “Insider ukiona sheli ingia tuweke mafuta.”
MIMI: “Mama mkwe kumbe ulikua serious?”
MAMA 2: “Ulifikiri utani?, sasa subiri uone”
MIMI: “Leo unaonekana una vibe sana.”
MAMA 2: “Insider sijatoka muda mrefu sana, sijui ndo kuzeeka?”
MIMI: “Bado mbichi kabisa wewe, na unawazidi watoto wa 2000 mbali sana.”
MAMA 2: “Hahahaaa! Insider ningekua nimeolewa kama unayosema ni kweli, ona nimeishiwa kuzalishwa tu.”
Na muda huu tulikua tumeingia sheli ya ORYX pale Bahari Beach.
Na muda huu nilikua namsikiliza mama2 aseme tuweke mafuta ya shilling ngapi, na dada pale sheli alikua kaja upande wa dirishani kutusikiliza.
MAMA 2: “Dada weka full-tank”
Gari yangu ilikua na bar 2 tu za mafuta, sasa nilivyosikia full tank, nilifurahi sana.
Baada ya kujaza gari full tank, mama wa2 alilipia na nikaomba risiti kwa dada, nilikua siachi risiti baada ya kujaza mafuta.
MAMA 2: “Umeona eeh, leo nimekupa offa maana sjawai kukupa offa, japo wewe unanipaga offa sana.”
MIMI: “So unalipiza?”
MAMA 2: “Hamna narudisha fadhila tu.”
Ukweli ni kwamba licha ya kuingia mkataba na Mama wa2 ila bado nilikuaga nampa offa mfano, sometimes kama niko Posta nataka rudi home nilikuaga nina mpigia simu afu nampick nampeleka kwake for free, sababu tulikua tunakwenda njia moja.
Tulikwenda moja kwa moja na Bagamoyo road tulivyofika kijiji kinaitwa Zinga kuna sehemu tuliingia kulia, ilikua ndo njia ya kwenda “The Horizon”.
Muda tuliotumia kutoka Mbezi Beach mpaka tunafika Horizon ilikua ni kama saa 1 na nusu, na tulikwenda kuna sehemu moja ilikua imetulia na imejitenga.
Alikuja kaka ambaye ni mhudumu wa pale kutusikiliza na mama wa2 aliomba apewe mocktail na mimi niliagiza mocktail pia. Mocktail niliyoagiza mimi inatengenezewa ndani ya nanasi. (Nanasi linatobolewa afu mixers zinawekwa humo, ni nzuri sana)
Mama wa2 alinonekana kulipenda eneo hili jinsi ya utulivu wake na pia kulikuwa na watu wastaarabu sana maeneo haya.
Tulitoka hapo tukaenda sehemu ya Range (kupiga shabaha), mama wa2 akawa anapiga shabaha zake pale na mimi nilimwacha mimi nikarudi kukaa.
Muda huu Mary alinipigia simu na nikapokea simu yake haraka;
MIMI: “Hi Mary”
MARY: “Salama uko poa?”
MIMI: “Niko poa Mary, siku yako inakwendaje?”
MARY: “Leo ni weekend uliahidi tunatoka out.”
MIMI: “Yes nakumbuka ila niko Bagamoyo kuna mteja nimemleta huku namsubiri kama nitawai rudi nitakucheki sawa?”
MARY: “Sounds like today’s impossible.”
MIMI: “No I can’t break my promise.”
MARY: “Insider sema hutaki tu, hauko Bagamoyo wala nini.”
MIMI: “Mpaka nikutumie Location ndo uniamini?”
MARY: “I don’t trust you.”
Baada ya kumaliza kuongea naye nilimtumia palepale Location na Mary alionekana kukasirika sana. Sasa baada ya kumtumia Location kwa whatsapp na palepale alinipigia simu tena;
MARY: “Insider Horizon uko na nani?”
Hapo ndo nikakumbuka kumbe location niliyomtumia imeniumbua.
MIMI: “Nimemleta mteja Mary, si nimekwambia lakini?”
MARY: “Insider acha kuniona mimi mtoto, yaani umepeleke mteja Horizon na umsubirie tu, from nowhere?”
MIMI: “So you don’t trust me?”
MARY: “Insider mimi sio mtoto, huko upo na demu mnakula bata not more, anyway mimi sio mtu muhimu Kwako na nilishaliona hili.”
MIMI: “Mary huko unafika mbali sasa, nyie ni washikaji zangu sana.”
MARY: “Prisca akiomba date muda wowote unamkubalia ila mimi naomba kwa mara ya kwanza unani avoid.”
MIMI: “Mary si nimekwambia nikirudi nakucheki? Usinilaumu wakati siku haijaisha, kumbuka hii ni kazi yangu.”
MARY: “Insider bye have a good time there”
Na mary akakata simu.
Mary alionekana kuwa na hasira sana alikua kama mtu aliyepaniki na mimi nikampotezea sikutaka kujihangaisha naye kabisa.
Na baada ya saa mama wa2 alirudi kutoka range na alikuwa anahema sana;
MIMI: “Vipi kulikoni?
MAMA WA2: “Insider nimepatia shabaha 2, hahahaah” alikua akicheka
MIMI: “Muda wote huo ulotumia ndo umepata shabaha 2 tu?”
MAMA WA2: “Eeh Insider.”
MIMI: “Unachezea hela tu.”
MAMA WA2: “Afu kwanini umenikimbia?”
MIMI: “Niliona michezo ya kitoto ile.”
MAMA WA2: “Eeeh mimi nimeupenda mzuri kweli.”
MIMI: “Sawa bhana”
Na muda huo alikuja jamaa mmoja akasema kama tunataka kwenda kisiwani kuna boti inatoka beach sa10 na gharama zake ni 10,000 kwenda na kurudi kwa kichwa. Na mama wa2 alifurahi hizo taarifa na akalipa 20,000, alinilipia na mimi.
Na muda huo tuliagiza chakula maana ilikua ni mchana saa7 tayari imefika na njaa zilikua zikiuma sana. Tuliendelea kupiga story pale na tulikua tukizungumza sana mambo ya maisha, Mama wa2 alikua ni mtu ambaye alikuwa na mipango mingi sana.
Kupitia mazungumzo yetu niliweza kujua kwamba Mama wa2 anajenga nyumba Madale, pia anabiashara ya kutoa huduma za kifedha kwa simu na Bank. Hivyo akanambia anampango wa kufungua biashara ya mapazia na urembo wa nyumba.
Aliniuliza mipango yangu pia na sikusita kumwambia baadhi ya mipango yangu, nilimwambia kesho ambayo jumapili ninakwenda Dodoma kwaajili ya mambo ya ujenzi. Na alinipongeza sana akanambia kama nitahitaji mkopo kutoka bank nimwambie atanisaidia kupata kwa haraka na bila masharti mengi.
Tulizungumza mambo mengi sana na alikua pia akiniuliza sana kuhusu origin yangu na kuhusu familia yangu na maisha yangu kwa Ujumla.
MAMA WA2: “Hivi Insider unakaa wapi?”
MIMI: “Mbezi Massana kule juu.”
MAMA WA2: “Kumbe hutokei mbali.”
MIMI: “Sio sana ila kuna kaumbali.”
MAMA WA2: “Kidogo kule kumechangamka sana.”
MIMI: “Sababu ya Hospital naona pia ni kama kacentre flani hivi.”
MAMA WA2: “Chuo umesoma wapi?”
MIMI: “Chuo X “
MAMA WA2: “Mtoto wa mjini wewe, ndomana baada ya kumaliza chuo hukutaka kurudi home.”
MIMI: “Niliamua kuhustle hapahapa mjini. Hivi kwanini huna mpango wa kumiliki gari.?
MAMA WA2: “Nilikua na gari mbona, mwakajana nilipata ajali mbaya sana Insider na gari ilikua haifai. Nashukuru Mungu nilitoka salama kabisa, niliitengeneza ila gari na nikauza, sitak kusikia tena habari za gari, ila nikimaliza ujenzi nitanunua.”
MIMI: “Pole sana na ilikua gari gani?”
MAMA WA2: “Harrier, na nilichukuaga mkopo kisa gari.”
MIMI: “Pole sana Mama mkwe.”
MAMA WA2: “Ahsante, gari hata mwaka haikufikisha ikala mueleka.”
Na baada ya kumaliza kula tuliagiza wine na tukaendelea kunywa taratibu pale huku story zikiendelea.
Mida ya saa 10 jioni tulitoka na kwenda Beach kwaajili ya kwenda kisiwani, sasa kama unakwenda kupanda boti beach kuna kidaraja cha mbao kizuri sana na watu wanapendaga sana kupiga picha pale. Na pale Mama wawili alinipa simu yake nimpige picha na mimi sikuwa na hiyana nikampiga picha za kutosha.
(Kwa mtu anayekwenda Horizon lazima apige picha pale)
Tulipanda kwenye boat na kwenda kisiwani, Boat lilikua kubwa na tulikua kama watu 30 mle ndani. Kilikua ni kisafari cha kama dakika 20 mpaka kufika kisiwani. Muda huo kila mtu alikua na simu yake akichukua self wengine wakichukua video na wengine wakipigana picha, ilikua ni burudani kwakweli.
Tulifika kisiwani na tuliwakuta watu wengine kule, yaani kulikua na watu kibao pale kisiwani. Ni kisiwa kadogo sana wala sio kikubwa kihivyo. Na mle kisiwani kulikuwa na michezo kibao kama mpira wa miguu, na wanawake walikua wakicheza netball, ilikua ni burudani sana asee.
Tulikua watu wazima mle kisiwani na full vibe wanawake walionekana na vichupi, wengine taiti nknk, wanaume wapo waliokuwa na boxer na wengine bukta. Mimi nilikua nimevaa track nikavua nikabaki na boxer, kwa upande mwingine nilimwona mama wa2 kwa mbali akiwa na taiti alivua kile kipensi chake.
Tulitengeneza timu za watu sita (6) na zilikuwepo team 3 sasa ilikua ni mtoano. Tulilisakata kabumbu pale na kila mtu alikua na vibe sana mle kisiwani. Hakuna sehemu ngumu kusakata kabumbu kama Beach asee unatumia sana energy watu walikua wanaflop balaa.
Kuna muda tulipumzika na Mama wa2 akaomba twende upande wa2 wabahari na akaomba nimpige picha.
Tulikaa pale mpaka saa 12 ndio tukaanza kutoka pale kisiwani, wakati tumepanda kwenye Boat, Nahodha aliuliza kama wote tumefika kabla hatujaondoka na seat zote zilikuwa zimeenea.
Tulitumia kama nusu saa hivi kuwasili pale Beach na tulirudi tukakaa na tuka order vinywaji, muda huu palionekana kupendeza sana maana kulikuwa na watu wengi wakinywa, wakienjoy maisha.
Mama wa2 aliagiza Savannah na mimi niliagiza Heineken kinywaji changu pendwa. Muda ule hata mimi nilikua nahamu ya kuvibe, maana sikuwa na miadi na Iryn. Nilichungulia simu yangu na nikakuta, Prisca, Mary na Mama J wamenipigia simu.
Nilishangaa sana kuona Mama J kanipigia simu na alikua kanitumia text ambayo ilisomeka
“Naona nimekupa chance ya kuwa na Malaya wako ndomana hunitafuti.”
Palepale nilitabasamu nikasema Mama J tayari hasira zimeisha. (Mama J ni mtu ambaye hapendagi kufosiwa huwa anataka maamuzi afanye mwenyewe ndomana mimi na yeye tukigombana, huwa namuacha atulie kwanza au anitafute mwenyewe hapo ndo tunayajenga).
Nilimuaga Mama wa2 naenda kwenye gari maramoja ili nimpigie simu, na nilitumia muda huo kumpigia Mama Junior lakini hakupokea simu, nilipiga mara3 lakini hakupokea simu zangu.
Muda huo nikampigia simu Prisca na alipokea muda uleule ni kama mtu ambaye alikua akisubiri simu yangu kwa hamu sana.
PRISCA: “Hi Insider”
MIMI: “Safi tu, now uko sawa?”
PRISCA: “Yeah, ulisema tuonane tuongee”
MIMI: “Ndio nafikiri tufanye J3 Prisca maana kwa leo itakua ngumu si unajua leo ni weeknd kazi ni nyingi?”
PRISCA: “Jumatatu ni mbali sana why not tomorrow?”
MIMI: “Kesho nasafari ya Dodoma ndomana nikasema nitakuona Jumatatu.”
PRISCA: “Insider unaondoka hata hunambii are you serious?”
MIMI: “Sorry hata hivyo safari imetokea haraka tu, haikuwa kwenye mipango yangu.”
PRISCA: “Unakwenda kufanya nini Dodoma?”
MIMI: “kuna kazi mzee amenituma nikaifanye.”
PRISCA: “Kazi gani.?”
MIMI: “Prisca sijajua bado ila nikienda ndo nitajua maana kuna mtu nitaonana naye nikifika.”
PRISCA: “Na unarudi lini?”
MIMI: “Prisca si nilikwambia narudi jumatatu na tutaonana? Nitatumia ndege ili niwai.”
PRISCA: “Okay nilisahau na unaondoka muda gani?”
MIMI: “Natakiwa kuchek-in saa 2 asubuhi naondoka saa4”
PRISCA: “See you later, byee.”
Kuhusu Mary sikutaka kuhangaika naye hata kumpigia maana nilikua sina cha kumwambia muda ule, zaidi ningemdanganya tu.
Muda ule nilirudi kwa Mama wawili na tukaendelea kunywa pale, Mama wa2 akaanzisha maongezi,
MAMA WA2: “Vipi ulienda kuomba ruhusua nini?”
MIMI: “Hahaahaa nilikwenda chukua chaji ya simu na muda huu nilikua nimeishika mkononi.”
MAMA WA2: “Kama wamekupigia simu sema bhana tuondoke.”
MIMI: “Wewe ukisema tuondoke ni sawa mimi sina shida kabisa. Nikalale mapema kesho nasafari asubuhi.”
Nilikaa pale tukaendelea na story na muda ule Mama wawili alinonekana na furaha sana,
MIMI: “Mama mkwe naona leo unafuraha sana kuliko siku zote.”
MAMA WA2: “Leo nimeinjoy sana kule Beach honestly huku nitakuja tena, nilikuona unasakata kabumbu upo vizuri sana.”
MIMI: “Mpira ni kipaji changu sana, nimechezea team ya shule wakati niko form4 na 6.”
MAMA WA2: “Nilikuona asee unakimbiza balaa.”
MIMI: “Si unajua life is too short, If you get a chance celebrate.”
MAMA WA2: “You only live once”
MIMI: “Vipi lakini kuhusu mwanao Pili anaendeleaje na masomo?
(yule mtoto wake wa kwanza ambaye yuko Advance).
MAMA WA2: “Yuko salama kabisa na jana nimeongea na Matron wao yuko vizuri.”
MIMI: “Anasoma wapi?
MAMA WA2: “Yuko hapo Kerege Marian Girls.”
MIMI: “Sasa mbona hukusema tupitie kumsalimia?”
MAMA WA2: “Insider kuna tarehe special za visiting, pia watapewa likizo kwaajili ya Easter.”
MIMI: “Hongera sana kwa kuwa na bint mkubwa, soon utaanza kula matunda yake.”
MAMA WA2: “Insider sipendi bint zangu waje kuwa kama mimi mama yao.”
Na muda huu tuliongeza vinywaji vingine na mama wa2 alikua akitawala mchezo katika maongezi.
MIMI: “Kwanini? Maana mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.”
MAMA WA2: “Insider you know sometimes sisi wanawake tunapitia vipindi vigumu sana, kuna mwanaume kukuoa na mtoto ni ngumu sana. Mimi siwezi kuwa na mume tena mpaka kufa kwangu.”
MIMI: “You never know, sometimes Mungu anakua na mipango yake huwezi jua kakupangia nini na amekuepusha na nini.”
MAMA WA2: “Unajua sometimes tunamwonea Mungu, kwamba alipanga mimi kuwa single mother?. Unajua Mwanamke bila mume hajakamilika, hakuna mwanamke asiyependa kuolewa Insider. Mwanaume ni kama kiongozi kwenye mahusiano au familia, unafikir najiskiaje kuona wanangu hawawaoni baba zao? Mwanaume mpaka ajiskie ndo anakuja kumwona mtoto atlist rachel anamwona Baba yake mara kwa mara ila Pili anaenda mwaka hajamwona Baba yake.”
MIMI: “Aisee pole sana, unakidonda kikubwa sana Mama mkwe.”
MAMA WA2: “Usione tunavaa tunapendeza tunacheka lakini nakidonda kikubwa sana moyoni. Nashukuru Mungu na kazi ambayo inanipa kipato napata pesa ya kuishi na Familia yangu.”
MIMI: “Kwani Baba yake na Pili yuko wapi?”
MAMA WA2: “Yuko Mwanza ni moja ya wanaume ambao wamesababisha mimi leo kuwa hivi.”
MIMI: “Kwanini unasema hivyo?”
Kwa kifupi kutokana na maelezo ya Mama wa2 alisema alikutana na Baba Pili mwaka 2003 mwanza wakati anafanyia kazi kampuni moja huko. Baada ya hapo wakaanza mahusiano na Baba yake Pili ni mfanyabiashara, hatimaye akapata mimba ya Pili ila baadae alikuja kujua jamaa ana mke na watoto wa2. Na kipindi hicho alianza kupata vitisho kutoka kwa mke wa jamaa, na pia kutokana na kuwa na mimba kampuni ikamwachisha kazi ikabidi afanye mchakato wa kurudi kwao Moshi kwa Mama yake.
Baada ya kuzaa alikaa kama miaka 2 kwao akimlea mtoto na hicho kipindi chote Baba mtoto hakuwai mtafuta wala kujua hali yake. Baada ya hapo alianza kutafuta kazi na akapata moja ya shirika pale Moshi na alifanya kazi mpaka 2012 ndo akapata connection na moja ya wateja wake. Anasema kwenye lile shirika alikuwa akilipwa mshahara kidogo sana na kipindi hicho alikua anakaa kwao. Huyo mtu alimuunganisha Mama wa2 na huyu mtu ambaye ndo Baba yake Rachel kwa sasa.
Baada ya kupewa namba za Baba Rachel aliwasiliana naye na akamtumia CV yake, Baada ya Mwezi alimpigia simu aende Dar es salaam kwaajili ya training. Mama wa2 anasema alishangaa sana maana hata hakufanya Interview yoyote, jamaa alifanya kumsaidia tu. Alifika Dsm na alikutana na Jamaa ambaye alimpokea na baada ya kumaliza training alipangiwa kazi hapahapa Dar es Salaam. (Baba yake Rachel ni moja ya watu wakubwa sana kwenye hiyo Bank hapa nchini na ni moja ya Directors anaonekana sana kwenye TV).
Baada ya hapo Jamaa alimtongoza kutokana na jamaa kumsaidia hakusita kumkatalia sababu ndo aliyemsaidia kupata kazi. Lakini Jamaa alimwambia kuwa ana mke tayari na wakakubaliana akipata mtu sahihi awe huru kuolewa naye. Waliendelea kuwa na mahusiano ya siri mwisho wa siku akapata mimba ya Rachel, hakutaka kutoa mimba ikabidi azae tu ndo kupata mtoto wa pili.
MIMI: “Aisee yule ndo Baba yake Rachel?”
MAMA WA2: “Ndio yule ni Baba yake Rachel, Nashukuru anampenda sana mwanaye huwa anatafuta muda sana wa kukaa ba Bint yake japo ndo siri mke wake hajui lolote.”
MIMI: “Kama anajali mtoto sio mbaya, vipi kuhusu Baba Pili ndo alitelekeza mtoto.?”
MAMA WA2: “Baba Pili alikuja kunitafuta wakati Pili ana miaka 2 ndo kidogo akaanza kutuma Pesa za matumizi na kumwona.”
MIMI: “Mama mkwe ulipitia kipindi kigumu sana, pole sana.”
MAMA WA2: “Ahsante kipindi niko pale Moshi na lile shirika nilipata mwanaume ambaye alinipenda sana na alikua tayri kunioa ila nilivyomwambia nina mtoto alikimbia nduki na hakuwai nitafuta tena, kwa ujumla nilipata wanaume 3 lakini wakisikia habari ya mtoto ndo inakua tiketi ya kuondoka.”
MIMI: “Muda bado Mama Mkwe utapata tu wa kukuoa usiwe na wasi wasi umri bado unaruhusu.”
MAMA WA2: “Insider Mwanaume kamili aliyekamilika ambaye hatumii hisia kwenye maamuzi hawezi kukubali kuoa mwanamke aliyezalishwa na Mwanaume mwingine. Insider wewe uko tayari kuoa mwanamke ambaye amezalishwa na mwanaume mwingine?”
MIMI: “Hapana kwakweli siwezi.”
MAMA WA2: “Sasa unaona! Mimi huwa nawashangaa sana vijana wanaoa single mothers hata kama ni kupenda ila ni Risk sana.”
MIMI: “Aisee kwamba hutaki Single mothers waolewe?
MAMA WA2: “Hapana ila kwa Mwanaume hakikisha Baba mtoto amekufa na akuonyeshe kaburi otherwise hesabu maumivu. Ila wapo wanawake single mothers wanajitambua ila ni wachache sana.”
MIMI: “Unachosema ni kweli na upande wa Single fathers?”
MAMA WA2: “Tofauti wanaume anaweza kuzaa na mwanamke yoyote yule, wanaume wana tamaa tofauti na mwanamke anazaa na mwanaume anayempenda regardless kama anapendwa au laah!”
MIMI: “Naona leo umenipa lecture ya Mapenzi.”
Na muda huu tulikua tunaendlea kunywa bia kwa wingi sana kama ratiba za kurudi home zilipotea hivi,
TUTAENDELEA!
EPISODE 18
Baada ya kusoma ile text ya Iryn na ilikua imetumwa muda mrefu nilisema kuna kitu kibaya kimeshampata Iryn. Na muda ule nilijikuta nikijilaumu sana kwa kulala kwangu kwenye gari na muda uleule nilitoka kwenye gari haraka na kuelekea Reception.
Na hapo nilikua nikimpigia simu Iryn lakini ilikua haipokelewi kabisa. Nilifika pale reception nikamkuta dada na nikamsalimia.
MIMI: “Dada mambo, Bossy wangu amenitumia message yuko in danger na amenitumia Room No.222, ni muda mrefu toka ametuma hii text, naomba twende tukaangalie anashida gani maana kwa sasa hata simu hapokei.”
RECEPTION: “Yule dada alikuja hapa nakumbuka si mweupe? na alisema anakwenda Room hio na alijiandikisha hapa ni iryn eeh.” (Baada ya kuangalia kwenye visitors register)
MIMI: “Ndio dada ndo huyo naona unachelewa twende haraka.”
Na muda huo dada alimwita mlinzi na tukaelekea usawa wa hiyo room ilipo, na muda huo alitumia kuwasiliana na manager. Room ilikua floor ya 2 na tulivyofika pale mlangoni tulisikia kama purukushani ni kama kuna ugomvi ulikua unaendelea pale.
Upande mwingine kuna dada oppositie na chumba hicho alikua katoka kama mtu mwenye mishe zake, lakini alivyomwona mlinzi na tuko pale mlangoni alisogea karibu ili ajue kinachoendelea pale.
Na tukiwa pale mlangoni tulikua tukisikia sauti ya Iryn,
“Leave me alone, I said leave me alone”
“You want to rape me?”
Na muda uleule Mlinzi aligonga mlango, lakini ulikuwa haufunguliwi, ilibidi mlinzi atumie vitisho ndo jamaa kufungua mlango.
Baada ya kufungua ilibidi tuingie wote ndani na wakati huo alionekana Iryn akiwa anahema sana, alionekana ni mtu aliyekuwa amechoka sana kama alikua jogging.
Kwa upande mwingine ni kama alikua haamini macho yake kama sisi tuko pale, na pant yake ya jeans ilionekana imefunguliwa nzipu na chupi yake ya pink ilionekana kwa mbali, pia upande wa juu alikua na brass kama ungeendelea kumwangalia ungeishia kudindisha tu kwa ule uzuri wake na alivyokuwa vile.
Iryn alikuja haraka kwangu na akanikumbatia na alianza kulia palepale, na dada Manager alikua kafika eneo la tukio tayari, na akaanza kuhoji ni nini kinaendelea pale.
MANAGER: “Ni nini kinaendelea hapa, maana matukio yanayoonekana hapa ni kama ubakaji, kaka shida ni nini?”
Jamaa alikua kimya na ikabidi dada ahamie Upande wa Iryn.
IRYN: “Dada mimi najishughulisha na masuala ya body therapy hii ndo kazi yangu, na ninafanya kwa wateja wengi sana. Huyu mteja tuliwasiliana toka juzi hata chats zetu hizi hapa (muda huu Iryn alikuwa ameshika simu yake Iphone 13 Pro Max ambayo ilionekana kuweka crack kubwa kwenye kioo na akamwonesha zile chats manager).
MANAGER: “Haya ndo makubalino yenu, endelea nakusikiliza”
IRYN: “Tulikubaliana ninafanya massage na sio zaidi na alikubali, nimemaliza kazi yangu naomba malipo akasema hawezi…..”
Dada Manager alimkatisha Iryn na alimwuliza swali,
MANAGER: “Malipo mlikubaliana kiasi gani?”
IRYN: “Tulikubaliana $1500”
MANAGER: “Okay Endelea”
IRYN: “Nilivyomaliza kazi yangu niliomba malipo yangu lakini alianza kuomba sex, nilimwambia I can’t do sex ni nje na makubaliano yetu na nilimkumbusha we had a deal, akanambia ataniongezea $1000, lakini nilimkatalia na nilimwambia hata apandishe dau kiasi gani siwez fanya sex. Na yeye akasema bila sex hanilipi na mimi sikutaka kubishana naye nilivyotaka kuondoka nilishindwa fungua mlango sababu ya card, na yeye akagoma kufungua mlango, nikaomba card ili nifungue mlango lakini hakutaka kunipa wala kunifungulia.”
SHAHIDI: “Pole sana dada huu ni ubakaji.”
IRYN: “Muda huo akanivuta kwa nguvu na akanisukumia kitandani akanambia siwezi kutoka mpaka tusex. Muda huu nilikua sijui cha kufanya maana nilipiga kelele lakini hakuna msaada wowote niliopata. Ilibidi nimwambie atafute condom bila hivyo sitoweza na alikwenda kuchukua kwenye bag. Mimi muda huo ndo nikapata nafasi ya kutuma text kwa dereva wangu huyu hapa. Alivyorudi akanambia nivue nguo zangu lakini nilimgomea sababu nilikua najua dereva wangu atakuja haraka kunisaidia. Alinishika kwa nguvu akanivua brauz yangu na tukaanz purukushani kwa zaidi ya dk 20 sasa, inamaana msingekuja leo ningekua raped.”
Maneno ya Iryn yalifanya tusijikie vibaya wote muda ule na kila mtu alikua anashangaa kwa lile tukio. Jamaa alikua anaforce kula mzigo tena kwa kutaka kubaka.
Kiukweli hata mimi ningeforce muda ule yaani uwe na mrembo kama yule umwache aende ni inataka moyo sana. Jamaa kimuonekano alikua ni lightskin na alikua ni mtu wa Uingereza.
Muda ule jamaa alianza kuomba msamaha kwa kile kilichotokea na alikiri alikosea sana, upwiru ndo ulimplekea kufanya vile.
SHAHIDI: “Kaka nadhani mpaka sasa ushahidi upo na wewe umekiri nafikiri sheria zinaweza kuchukuliwa.”
Jamaa alimfata Iryn na alimwomba sana msamaha maana nadhani alikua anajua kwa UK raping na harassment ni kesi kubwa sana.
Kwa upande mwingine Manager naye hakutaka mambo yafike mbali na alikua akijaribu kutafuta solution na Mlinzi, maana wao ile ni biashara isingeleta picha nzuri kama kesi ingefika mbali.
MANAGER: “Dada naomba haya mambo yaishe hapahapa please nakuomba sana.”
IRYN: “Dada hivi unavyoomba haya mambo yaishe kirahisi hivi ningebakwa je? Ungesema hivi?”
SHAHIDI: “Dada mimi nimerecord maongezi yake akiwa ameconfess alichofanya nafikiri nenda kashitaki huu ni unyanyasaji.”
Kwa upande mwingine jamaa alikuwa haamini macho yake na alionekana kuwa na wasiwasi sana. Na pia alikua akijutia kwa alichofanya muda ule na aliendelea kuomba yale mambo yaishe kwa namna yoyote. Kilichoniuma sana kuona jamaa kapiga magoti akiomba msamaha, kama mwanaume nilijiskia vibaya sana kuona baharia anapiga magoti.
Mimi niliteta na Iryn pembeni nikamwambia amsamehe Jamaa, sababu hajamfanya kitu chochote zaidi ya kumharras afanye kusamehe tuendelee na mambo mengine maana kwa Tanzania kesi kama hizi ni kupoteza muda. Iryn alinambia anaweza mpigia simu Mama Janeth na akaisimamia kesi na sheria ikachukua mkondo wake. Mimi nikamwambia cha muhimu jamaa amlipe simu yake, pesa ya simu mpya na usumbufu, mengine amwachie Mungu tu, na Iryn alikubali kufanya hivo.
“Insider nasamehe kwa sababu yako, ila alichonifanya siwezi kusahau ni udhalilishaji na unyanyasaji.”
IRYN: “Manager kutokana na masuala yenu ya kibiashara nitajali hili maana kuna siku nitarudi tena hapa ila ninauwezo wa kuiendesha hii kesi vizuri kabisa. Naomba nilipwe pesa ya simu mpya, hii imecrack sababu yake, anilipe pesa yangu $1500 na ninataka $4000 za usumbufu, simu ni kama $1800 kama yuko tayari kutoa $7500 mimi nitasamehe.
SHAHIDI: “Dada kwanini unamsamehe kirahisi hivyo wakati ushahidi upo na atakulipa pesa kibao, usiwe na haraka naweza kukusaidia Mwanasheria.”
IRYN: “Dada ni kweli unachosema ila sisi sote ni Binadamu kuna kesho, nina Mama yangu yuko Organization X ningempa taarifa hii kesi ingeisha haraka, ila nimeamua kusamehe tu.”
Jamaa ni kama hakuamini Iryn ameamua kumsamehe na jamaa aliomba alipe $6500 maana yuko Tanzania kikazi. Iryn aliamua kukubali na jamaa akafanya kutransfer hiko kiasi kwenda kwenye account ya Iryn
RAPIST: “You have an account in french bank?”
IRYN: “Yeah, transfer that amount to my account number.”
Pale wote tulibaki tunashangaa hata jamaa kama hakuamini kuona Iryn anamiliki Account kwenye moja ya bank za kifaransa, hata mimi nilishangaa maana Iryn hakuwai nambia hili, lakini pia sikuwaza sana maana nilikuambuka Iryn kasoma kule Ufaransa asingekosa kuwa na bank account kule.
Baada ya kutransfer Iryn alipata ujumbe kwenye email kuonesha pesa imeingizwa na akaaga tuondoke maana hakutaka tuendelee kukaa pale.
Na muda ule Manager alifurahi sana kuona jambo limeisha na alitusindikiza mpaka parking na muda huu walikua wakiongea na Iryn, mimi niliingia kwenye gari na nikatoa 50,000 nikampa mlinzi na alishukuru sana.
“Kaka Ahsante sana ila Bossy wako ni pini asee ni ngumu sana kuwa na mrembo kama huyu Getto afu umwache, ni balaa sana hii Dunia ina warembo wengine tunaishia kula kwa macho.”
Niliishia kucheka pale na tukaagana na jamaa pale. Manager aliendelea kuongea na Iryn na baada ya dakika 5 Iryn aliingia kwenye gari.
IRYN: “Insider lets go, twende home tu nikalale sina mood now.”
Tulianza kuondoka na muda ule kutoka eneo lile.
MIMI: “Iryn am so sorry for being late, nilikua nimelala yaani kitendo cha kupiga simu ndo nilishtuka”
IRYN: “I thought umelala that time hata hivyo thank you so much Insider ungechelewa kidogo ningebakwa.”
MIMI: “Nisingejisamehe maisha yangu yote kama jambo baya lingetokea, It was my fault”
IRYN: “It wasn’t your fault Insider, don’t be”
MIMI: “Yule ni nani na mlikutana wapi?”
IRYN: “Isabella ndo kani connect na huyu mtu, na mimi namuamini sana Isabella hata wateja anaonipaga sinaga shida nao.”
MIMI: “Pole sana Mummy unaonekana kupoteza so much energy”
IRYN: “Insider nimepambana sana usiione hivi kumbuka yule mwanaume ananguvu kuliko mimi.”
MIMI: “Ilishawai kukutokea kama hii before?”
IRYN: “Hii ya leo ni too much, ilishawai nitokea ila sio kama ya leo, wengi nilokutana nao walikua hawanilipi.”
MIMI: “Pole sana najiskia vibaya ujue.”
IRYN: “Ni moja ya changamoto za kazi.”
MIMI: “Pole sana Mummy.”
IRYN: “Hii weekend sitotoka usiku maybe next week.”
Sikutaka kabisa kuleta utani hii siku maana Iryn alikua kabadilika sana na hakuwa mtu wakuongea. Na muda huu yule jamaa alikua anampigia simu Iryn, lakini Iryn hakutaka kupokea simu yake.
Tulipitia pale Mikocheni kwa Osama na nikamnunulia Iryn chips yai “zege” nilijua lazima ana njaa, tukaendelea na safari yetu ya kwenda kijitonyama.
Tulifika pale kwake na muda huo saa 6 usiku ilikua tayari, na nikampeleka mpaka ndani na nikamwaga naondoka nitamcheki .
IRYN: “Insider…”
MIMI: “Naam Mummy”
IRYN: “Thank you for today bila wewe ningeweza pata jambo baya sana.”
MIMI: “Usijali Iryn sisi ni Familia tayari.”
IRYN: “Naomba nipe account yako ni transfer Pesa, sina cash ya kukupa.”
MIMI: “No usifanye hivo.”
IRYN: “Why? you saved me today.” Iryn alikua mkali kidogo.
MIMI: “Have you forgotten our agreement?”
IRYN: “I remember”
MIMI: “So don’t, byee”
Muda huo Iryn hakujua aseme nini aliishia kuniangalia nikipotea machoni pake, na mimi nilitoka hapo nikarudi home kulala.
###########
Jumamosi ndo siku ambayo nilikua na miadi na Mama wa2 kama tulivyokuwa tumekubaliana mwanzoni mwa week. Nilifika kwake saa4 kasoro asubuhi na baada ya kufika pale, nilimpigia simu niko nje akasema sawa.
Hapa alipokuwa anakaa Mama wa2 ni apartment ambayo ina nyumba 2 tu, tena za kujitegemea kwenye compound moja.
Baada ya dakika chache alikuja dada wa kazi na akanifungulia geti akanambia amesema dada uingie ndani. Niliingiza gari nje kwake parking na nikaingia ndani seblen, sikuwa na wasiwasi sababu nilikua najua hana mme.
Upande mwingine alionekana dada akiandaa chai dining, na muda mfupi mama wa2 alikua katoka na amependeza sana.
MAMA WA2: “Insider mambo!”
MIMI: “Salama Mama mkwe , umependeza sana.”
(Alikua amevaa kipensi cha jeans na tishirt nyeupe zile za kubana)
MAMA WA2: “Eti eeh, karibu chai bhasi”
Na muda huu alikua akielekea dining na mimi nikamfuata kwa nyuma,
Mama wawili akaniandalia chai pale na tukaanza kunywa. Ilikua ni chai ya maziwa, chapati za maji, na maini ya roast.
MIMI: “Rachel yuko wapi? Simwoni”. (Rachel ni yule mtoto wake wa pili ambaye nampelekaga shule)
MAMA 2: “Rachel kalala bado.”
MIMI: “Muamshe mke wangu bhana.”
MAMA 2: “Yule akilalaga anamka mwenyewe.”
Baada ya ya kupata breakfast nilimshukuru Mama wa2 kwa chai na yeye alikwenda chumbani akatoka na mkoba, akasema yuko tayari kwa safari tuondoke.
Tukitoka pale kwake ilikua saa 4 na tukaanza safari ya kwenda Bagamoyo “The horizon”.
MAMA 2: “Insider itabidi tuingie ATM ya CRDB nitoe pesa sawa?”
MIMI: “Sawa bossy wangu, kuna ATM nitakupeleka.”
MAMA 2: “Nilishakwambia mimi sio Bossy wako.”
MIMI: “Sawa mama mkwe.”
MAMA 2: “Unakujua tunakokwenda?”
MIMI: “Ondoa hofu mimi ndo Insider.”
Tulitumia barabara ya Mwaikibaki ya Mbezi beach chini na tukaingia na ile barabara ya Mwamunyage, tukaja tokea kunduchi road hao tukaunga na Bahari beach.
Kabla hujafika Budget mbele kidogo ya Jambo supermarket kuna ATM za “NMB & CRDB upande wa kushoto wa barabara kama unakwenda Budget. Niliingia pale ili Mama wa2 aweze kutoa hela kama alivyokuwa ameomba.
MIMI: “Toa pesa nyingi bhasi tupate na hela ya mafuta.”
MAMA 2: “Leo nitakupa offa ya mafuta full tank”
MIMI: “Mvua itanyesha, unafanya kazi bank ila ni mbahili balaa.”
Muda huo alikua ameshuka kwenye gari ili aingie kutoa hela, lakini kulikua na foleni hivyo ilibidi asubiri mpaka ile foleni iishe na yeye ndo aingie. Si unajua mambo ya weekend tena, foleni ya kutoa pesa ilikua kubwa kubwa.
Mama wa2 alitumia kama dakika 5 mpaka anatoa hela na hao tukaondoka kuendelea na safari yetu.
MAMA 2: “Insider ukiona sheli ingia tuweke mafuta.”
MIMI: “Mama mkwe kumbe ulikua serious?”
MAMA 2: “Ulifikiri utani?, sasa subiri uone”
MIMI: “Leo unaonekana una vibe sana.”
MAMA 2: “Insider sijatoka muda mrefu sana, sijui ndo kuzeeka?”
MIMI: “Bado mbichi kabisa wewe, na unawazidi watoto wa 2000 mbali sana.”
MAMA 2: “Hahahaaa! Insider ningekua nimeolewa kama unayosema ni kweli, ona nimeishiwa kuzalishwa tu.”
Na muda huu tulikua tumeingia sheli ya ORYX pale Bahari Beach.
Na muda huu nilikua namsikiliza mama2 aseme tuweke mafuta ya shilling ngapi, na dada pale sheli alikua kaja upande wa dirishani kutusikiliza.
MAMA 2: “Dada weka full-tank”
Gari yangu ilikua na bar 2 tu za mafuta, sasa nilivyosikia full tank, nilifurahi sana.
Baada ya kujaza gari full tank, mama wa2 alilipia na nikaomba risiti kwa dada, nilikua siachi risiti baada ya kujaza mafuta.
MAMA 2: “Umeona eeh, leo nimekupa offa maana sjawai kukupa offa, japo wewe unanipaga offa sana.”
MIMI: “So unalipiza?”
MAMA 2: “Hamna narudisha fadhila tu.”
Ukweli ni kwamba licha ya kuingia mkataba na Mama wa2 ila bado nilikuaga nampa offa mfano, sometimes kama niko Posta nataka rudi home nilikuaga nina mpigia simu afu nampick nampeleka kwake for free, sababu tulikua tunakwenda njia moja.
Tulikwenda moja kwa moja na Bagamoyo road tulivyofika kijiji kinaitwa Zinga kuna sehemu tuliingia kulia, ilikua ndo njia ya kwenda “The Horizon”.
Muda tuliotumia kutoka Mbezi Beach mpaka tunafika Horizon ilikua ni kama saa 1 na nusu, na tulikwenda kuna sehemu moja ilikua imetulia na imejitenga.
Alikuja kaka ambaye ni mhudumu wa pale kutusikiliza na mama wa2 aliomba apewe mocktail na mimi niliagiza mocktail pia. Mocktail niliyoagiza mimi inatengenezewa ndani ya nanasi. (Nanasi linatobolewa afu mixers zinawekwa humo, ni nzuri sana)
Mama wa2 alinonekana kulipenda eneo hili jinsi ya utulivu wake na pia kulikuwa na watu wastaarabu sana maeneo haya.
Tulitoka hapo tukaenda sehemu ya Range (kupiga shabaha), mama wa2 akawa anapiga shabaha zake pale na mimi nilimwacha mimi nikarudi kukaa.
Muda huu Mary alinipigia simu na nikapokea simu yake haraka;
MIMI: “Hi Mary”
MARY: “Salama uko poa?”
MIMI: “Niko poa Mary, siku yako inakwendaje?”
MARY: “Leo ni weekend uliahidi tunatoka out.”
MIMI: “Yes nakumbuka ila niko Bagamoyo kuna mteja nimemleta huku namsubiri kama nitawai rudi nitakucheki sawa?”
MARY: “Sounds like today’s impossible.”
MIMI: “No I can’t break my promise.”
MARY: “Insider sema hutaki tu, hauko Bagamoyo wala nini.”
MIMI: “Mpaka nikutumie Location ndo uniamini?”
MARY: “I don’t trust you.”
Baada ya kumaliza kuongea naye nilimtumia palepale Location na Mary alionekana kukasirika sana. Sasa baada ya kumtumia Location kwa whatsapp na palepale alinipigia simu tena;
MARY: “Insider Horizon uko na nani?”
Hapo ndo nikakumbuka kumbe location niliyomtumia imeniumbua.
MIMI: “Nimemleta mteja Mary, si nimekwambia lakini?”
MARY: “Insider acha kuniona mimi mtoto, yaani umepeleke mteja Horizon na umsubirie tu, from nowhere?”
MIMI: “So you don’t trust me?”
MARY: “Insider mimi sio mtoto, huko upo na demu mnakula bata not more, anyway mimi sio mtu muhimu Kwako na nilishaliona hili.”
MIMI: “Mary huko unafika mbali sasa, nyie ni washikaji zangu sana.”
MARY: “Prisca akiomba date muda wowote unamkubalia ila mimi naomba kwa mara ya kwanza unani avoid.”
MIMI: “Mary si nimekwambia nikirudi nakucheki? Usinilaumu wakati siku haijaisha, kumbuka hii ni kazi yangu.”
MARY: “Insider bye have a good time there”
Na mary akakata simu.
Mary alionekana kuwa na hasira sana alikua kama mtu aliyepaniki na mimi nikampotezea sikutaka kujihangaisha naye kabisa.
Na baada ya saa mama wa2 alirudi kutoka range na alikuwa anahema sana;
MIMI: “Vipi kulikoni?
MAMA WA2: “Insider nimepatia shabaha 2, hahahaah” alikua akicheka
MIMI: “Muda wote huo ulotumia ndo umepata shabaha 2 tu?”
MAMA WA2: “Eeh Insider.”
MIMI: “Unachezea hela tu.”
MAMA WA2: “Afu kwanini umenikimbia?”
MIMI: “Niliona michezo ya kitoto ile.”
MAMA WA2: “Eeeh mimi nimeupenda mzuri kweli.”
MIMI: “Sawa bhana”
Na muda huo alikuja jamaa mmoja akasema kama tunataka kwenda kisiwani kuna boti inatoka beach sa10 na gharama zake ni 10,000 kwenda na kurudi kwa kichwa. Na mama wa2 alifurahi hizo taarifa na akalipa 20,000, alinilipia na mimi.
Na muda huo tuliagiza chakula maana ilikua ni mchana saa7 tayari imefika na njaa zilikua zikiuma sana. Tuliendelea kupiga story pale na tulikua tukizungumza sana mambo ya maisha, Mama wa2 alikua ni mtu ambaye alikuwa na mipango mingi sana.
Kupitia mazungumzo yetu niliweza kujua kwamba Mama wa2 anajenga nyumba Madale, pia anabiashara ya kutoa huduma za kifedha kwa simu na Bank. Hivyo akanambia anampango wa kufungua biashara ya mapazia na urembo wa nyumba.
Aliniuliza mipango yangu pia na sikusita kumwambia baadhi ya mipango yangu, nilimwambia kesho ambayo jumapili ninakwenda Dodoma kwaajili ya mambo ya ujenzi. Na alinipongeza sana akanambia kama nitahitaji mkopo kutoka bank nimwambie atanisaidia kupata kwa haraka na bila masharti mengi.
Tulizungumza mambo mengi sana na alikua pia akiniuliza sana kuhusu origin yangu na kuhusu familia yangu na maisha yangu kwa Ujumla.
MAMA WA2: “Hivi Insider unakaa wapi?”
MIMI: “Mbezi Massana kule juu.”
MAMA WA2: “Kumbe hutokei mbali.”
MIMI: “Sio sana ila kuna kaumbali.”
MAMA WA2: “Kidogo kule kumechangamka sana.”
MIMI: “Sababu ya Hospital naona pia ni kama kacentre flani hivi.”
MAMA WA2: “Chuo umesoma wapi?”
MIMI: “Chuo X “
MAMA WA2: “Mtoto wa mjini wewe, ndomana baada ya kumaliza chuo hukutaka kurudi home.”
MIMI: “Niliamua kuhustle hapahapa mjini. Hivi kwanini huna mpango wa kumiliki gari.?
MAMA WA2: “Nilikua na gari mbona, mwakajana nilipata ajali mbaya sana Insider na gari ilikua haifai. Nashukuru Mungu nilitoka salama kabisa, niliitengeneza ila gari na nikauza, sitak kusikia tena habari za gari, ila nikimaliza ujenzi nitanunua.”
MIMI: “Pole sana na ilikua gari gani?”
MAMA WA2: “Harrier, na nilichukuaga mkopo kisa gari.”
MIMI: “Pole sana Mama mkwe.”
MAMA WA2: “Ahsante, gari hata mwaka haikufikisha ikala mueleka.”
Na baada ya kumaliza kula tuliagiza wine na tukaendelea kunywa taratibu pale huku story zikiendelea.
Mida ya saa 10 jioni tulitoka na kwenda Beach kwaajili ya kwenda kisiwani, sasa kama unakwenda kupanda boti beach kuna kidaraja cha mbao kizuri sana na watu wanapendaga sana kupiga picha pale. Na pale Mama wawili alinipa simu yake nimpige picha na mimi sikuwa na hiyana nikampiga picha za kutosha.
(Kwa mtu anayekwenda Horizon lazima apige picha pale)
Tulipanda kwenye boat na kwenda kisiwani, Boat lilikua kubwa na tulikua kama watu 30 mle ndani. Kilikua ni kisafari cha kama dakika 20 mpaka kufika kisiwani. Muda huo kila mtu alikua na simu yake akichukua self wengine wakichukua video na wengine wakipigana picha, ilikua ni burudani kwakweli.
Tulifika kisiwani na tuliwakuta watu wengine kule, yaani kulikua na watu kibao pale kisiwani. Ni kisiwa kadogo sana wala sio kikubwa kihivyo. Na mle kisiwani kulikuwa na michezo kibao kama mpira wa miguu, na wanawake walikua wakicheza netball, ilikua ni burudani sana asee.
Tulikua watu wazima mle kisiwani na full vibe wanawake walionekana na vichupi, wengine taiti nknk, wanaume wapo waliokuwa na boxer na wengine bukta. Mimi nilikua nimevaa track nikavua nikabaki na boxer, kwa upande mwingine nilimwona mama wa2 kwa mbali akiwa na taiti alivua kile kipensi chake.
Tulitengeneza timu za watu sita (6) na zilikuwepo team 3 sasa ilikua ni mtoano. Tulilisakata kabumbu pale na kila mtu alikua na vibe sana mle kisiwani. Hakuna sehemu ngumu kusakata kabumbu kama Beach asee unatumia sana energy watu walikua wanaflop balaa.
Kuna muda tulipumzika na Mama wa2 akaomba twende upande wa2 wabahari na akaomba nimpige picha.
Tulikaa pale mpaka saa 12 ndio tukaanza kutoka pale kisiwani, wakati tumepanda kwenye Boat, Nahodha aliuliza kama wote tumefika kabla hatujaondoka na seat zote zilikuwa zimeenea.
Tulitumia kama nusu saa hivi kuwasili pale Beach na tulirudi tukakaa na tuka order vinywaji, muda huu palionekana kupendeza sana maana kulikuwa na watu wengi wakinywa, wakienjoy maisha.
Mama wa2 aliagiza Savannah na mimi niliagiza Heineken kinywaji changu pendwa. Muda ule hata mimi nilikua nahamu ya kuvibe, maana sikuwa na miadi na Iryn. Nilichungulia simu yangu na nikakuta, Prisca, Mary na Mama J wamenipigia simu.
Nilishangaa sana kuona Mama J kanipigia simu na alikua kanitumia text ambayo ilisomeka
“Naona nimekupa chance ya kuwa na Malaya wako ndomana hunitafuti.”
Palepale nilitabasamu nikasema Mama J tayari hasira zimeisha. (Mama J ni mtu ambaye hapendagi kufosiwa huwa anataka maamuzi afanye mwenyewe ndomana mimi na yeye tukigombana, huwa namuacha atulie kwanza au anitafute mwenyewe hapo ndo tunayajenga).
Nilimuaga Mama wa2 naenda kwenye gari maramoja ili nimpigie simu, na nilitumia muda huo kumpigia Mama Junior lakini hakupokea simu, nilipiga mara3 lakini hakupokea simu zangu.
Muda huo nikampigia simu Prisca na alipokea muda uleule ni kama mtu ambaye alikua akisubiri simu yangu kwa hamu sana.
PRISCA: “Hi Insider”
MIMI: “Safi tu, now uko sawa?”
PRISCA: “Yeah, ulisema tuonane tuongee”
MIMI: “Ndio nafikiri tufanye J3 Prisca maana kwa leo itakua ngumu si unajua leo ni weeknd kazi ni nyingi?”
PRISCA: “Jumatatu ni mbali sana why not tomorrow?”
MIMI: “Kesho nasafari ya Dodoma ndomana nikasema nitakuona Jumatatu.”
PRISCA: “Insider unaondoka hata hunambii are you serious?”
MIMI: “Sorry hata hivyo safari imetokea haraka tu, haikuwa kwenye mipango yangu.”
PRISCA: “Unakwenda kufanya nini Dodoma?”
MIMI: “kuna kazi mzee amenituma nikaifanye.”
PRISCA: “Kazi gani.?”
MIMI: “Prisca sijajua bado ila nikienda ndo nitajua maana kuna mtu nitaonana naye nikifika.”
PRISCA: “Na unarudi lini?”
MIMI: “Prisca si nilikwambia narudi jumatatu na tutaonana? Nitatumia ndege ili niwai.”
PRISCA: “Okay nilisahau na unaondoka muda gani?”
MIMI: “Natakiwa kuchek-in saa 2 asubuhi naondoka saa4”
PRISCA: “See you later, byee.”
Kuhusu Mary sikutaka kuhangaika naye hata kumpigia maana nilikua sina cha kumwambia muda ule, zaidi ningemdanganya tu.
Muda ule nilirudi kwa Mama wawili na tukaendelea kunywa pale, Mama wa2 akaanzisha maongezi,
MAMA WA2: “Vipi ulienda kuomba ruhusua nini?”
MIMI: “Hahaahaa nilikwenda chukua chaji ya simu na muda huu nilikua nimeishika mkononi.”
MAMA WA2: “Kama wamekupigia simu sema bhana tuondoke.”
MIMI: “Wewe ukisema tuondoke ni sawa mimi sina shida kabisa. Nikalale mapema kesho nasafari asubuhi.”
Nilikaa pale tukaendelea na story na muda ule Mama wawili alinonekana na furaha sana,
MIMI: “Mama mkwe naona leo unafuraha sana kuliko siku zote.”
MAMA WA2: “Leo nimeinjoy sana kule Beach honestly huku nitakuja tena, nilikuona unasakata kabumbu upo vizuri sana.”
MIMI: “Mpira ni kipaji changu sana, nimechezea team ya shule wakati niko form4 na 6.”
MAMA WA2: “Nilikuona asee unakimbiza balaa.”
MIMI: “Si unajua life is too short, If you get a chance celebrate.”
MAMA WA2: “You only live once”
MIMI: “Vipi lakini kuhusu mwanao Pili anaendeleaje na masomo?
(yule mtoto wake wa kwanza ambaye yuko Advance).
MAMA WA2: “Yuko salama kabisa na jana nimeongea na Matron wao yuko vizuri.”
MIMI: “Anasoma wapi?
MAMA WA2: “Yuko hapo Kerege Marian Girls.”
MIMI: “Sasa mbona hukusema tupitie kumsalimia?”
MAMA WA2: “Insider kuna tarehe special za visiting, pia watapewa likizo kwaajili ya Easter.”
MIMI: “Hongera sana kwa kuwa na bint mkubwa, soon utaanza kula matunda yake.”
MAMA WA2: “Insider sipendi bint zangu waje kuwa kama mimi mama yao.”
Na muda huu tuliongeza vinywaji vingine na mama wa2 alikua akitawala mchezo katika maongezi.
MIMI: “Kwanini? Maana mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.”
MAMA WA2: “Insider you know sometimes sisi wanawake tunapitia vipindi vigumu sana, kuna mwanaume kukuoa na mtoto ni ngumu sana. Mimi siwezi kuwa na mume tena mpaka kufa kwangu.”
MIMI: “You never know, sometimes Mungu anakua na mipango yake huwezi jua kakupangia nini na amekuepusha na nini.”
MAMA WA2: “Unajua sometimes tunamwonea Mungu, kwamba alipanga mimi kuwa single mother?. Unajua Mwanamke bila mume hajakamilika, hakuna mwanamke asiyependa kuolewa Insider. Mwanaume ni kama kiongozi kwenye mahusiano au familia, unafikir najiskiaje kuona wanangu hawawaoni baba zao? Mwanaume mpaka ajiskie ndo anakuja kumwona mtoto atlist rachel anamwona Baba yake mara kwa mara ila Pili anaenda mwaka hajamwona Baba yake.”
MIMI: “Aisee pole sana, unakidonda kikubwa sana Mama mkwe.”
MAMA WA2: “Usione tunavaa tunapendeza tunacheka lakini nakidonda kikubwa sana moyoni. Nashukuru Mungu na kazi ambayo inanipa kipato napata pesa ya kuishi na Familia yangu.”
MIMI: “Kwani Baba yake na Pili yuko wapi?”
MAMA WA2: “Yuko Mwanza ni moja ya wanaume ambao wamesababisha mimi leo kuwa hivi.”
MIMI: “Kwanini unasema hivyo?”
Kwa kifupi kutokana na maelezo ya Mama wa2 alisema alikutana na Baba Pili mwaka 2003 mwanza wakati anafanyia kazi kampuni moja huko. Baada ya hapo wakaanza mahusiano na Baba yake Pili ni mfanyabiashara, hatimaye akapata mimba ya Pili ila baadae alikuja kujua jamaa ana mke na watoto wa2. Na kipindi hicho alianza kupata vitisho kutoka kwa mke wa jamaa, na pia kutokana na kuwa na mimba kampuni ikamwachisha kazi ikabidi afanye mchakato wa kurudi kwao Moshi kwa Mama yake.
Baada ya kuzaa alikaa kama miaka 2 kwao akimlea mtoto na hicho kipindi chote Baba mtoto hakuwai mtafuta wala kujua hali yake. Baada ya hapo alianza kutafuta kazi na akapata moja ya shirika pale Moshi na alifanya kazi mpaka 2012 ndo akapata connection na moja ya wateja wake. Anasema kwenye lile shirika alikuwa akilipwa mshahara kidogo sana na kipindi hicho alikua anakaa kwao. Huyo mtu alimuunganisha Mama wa2 na huyu mtu ambaye ndo Baba yake Rachel kwa sasa.
Baada ya kupewa namba za Baba Rachel aliwasiliana naye na akamtumia CV yake, Baada ya Mwezi alimpigia simu aende Dar es salaam kwaajili ya training. Mama wa2 anasema alishangaa sana maana hata hakufanya Interview yoyote, jamaa alifanya kumsaidia tu. Alifika Dsm na alikutana na Jamaa ambaye alimpokea na baada ya kumaliza training alipangiwa kazi hapahapa Dar es Salaam. (Baba yake Rachel ni moja ya watu wakubwa sana kwenye hiyo Bank hapa nchini na ni moja ya Directors anaonekana sana kwenye TV).
Baada ya hapo Jamaa alimtongoza kutokana na jamaa kumsaidia hakusita kumkatalia sababu ndo aliyemsaidia kupata kazi. Lakini Jamaa alimwambia kuwa ana mke tayari na wakakubaliana akipata mtu sahihi awe huru kuolewa naye. Waliendelea kuwa na mahusiano ya siri mwisho wa siku akapata mimba ya Rachel, hakutaka kutoa mimba ikabidi azae tu ndo kupata mtoto wa pili.
MIMI: “Aisee yule ndo Baba yake Rachel?”
MAMA WA2: “Ndio yule ni Baba yake Rachel, Nashukuru anampenda sana mwanaye huwa anatafuta muda sana wa kukaa ba Bint yake japo ndo siri mke wake hajui lolote.”
MIMI: “Kama anajali mtoto sio mbaya, vipi kuhusu Baba Pili ndo alitelekeza mtoto.?”
MAMA WA2: “Baba Pili alikuja kunitafuta wakati Pili ana miaka 2 ndo kidogo akaanza kutuma Pesa za matumizi na kumwona.”
MIMI: “Mama mkwe ulipitia kipindi kigumu sana, pole sana.”
MAMA WA2: “Ahsante kipindi niko pale Moshi na lile shirika nilipata mwanaume ambaye alinipenda sana na alikua tayri kunioa ila nilivyomwambia nina mtoto alikimbia nduki na hakuwai nitafuta tena, kwa ujumla nilipata wanaume 3 lakini wakisikia habari ya mtoto ndo inakua tiketi ya kuondoka.”
MIMI: “Muda bado Mama Mkwe utapata tu wa kukuoa usiwe na wasi wasi umri bado unaruhusu.”
MAMA WA2: “Insider Mwanaume kamili aliyekamilika ambaye hatumii hisia kwenye maamuzi hawezi kukubali kuoa mwanamke aliyezalishwa na Mwanaume mwingine. Insider wewe uko tayari kuoa mwanamke ambaye amezalishwa na mwanaume mwingine?”
MIMI: “Hapana kwakweli siwezi.”
MAMA WA2: “Sasa unaona! Mimi huwa nawashangaa sana vijana wanaoa single mothers hata kama ni kupenda ila ni Risk sana.”
MIMI: “Aisee kwamba hutaki Single mothers waolewe?
MAMA WA2: “Hapana ila kwa Mwanaume hakikisha Baba mtoto amekufa na akuonyeshe kaburi otherwise hesabu maumivu. Ila wapo wanawake single mothers wanajitambua ila ni wachache sana.”
MIMI: “Unachosema ni kweli na upande wa Single fathers?”
MAMA WA2: “Tofauti wanaume anaweza kuzaa na mwanamke yoyote yule, wanaume wana tamaa tofauti na mwanamke anazaa na mwanaume anayempenda regardless kama anapendwa au laah!”
MIMI: “Naona leo umenipa lecture ya Mapenzi.”
Na muda huu tulikua tunaendlea kunywa bia kwa wingi sana kama ratiba za kurudi home zilipotea hivi,
TUTAENDELEA!
Umeamua kukomesha sasa. Ngoja niendelee na kazi zingine kwanzaEPISODE 18
Baada ya kusoma ile text ya Iryn na ilikua imetumwa muda mrefu nilisema kuna kitu kibaya kimeshampata Iryn. Na muda ule nilijikuta nikijilaumu sana kwa kulala kwangu kwenye gari na muda uleule nilitoka kwenye gari haraka na kuelekea Reception.
Na hapo nilikua nikimpigia simu Iryn lakini ilikua haipokelewi kabisa. Nilifika pale reception nikamkuta dada na nikamsalimia.
MIMI: “Dada mambo, Bossy wangu amenitumia message yuko in danger na amenitumia Room No.222, ni muda mrefu toka ametuma hii text, naomba twende tukaangalie anashida gani maana kwa sasa hata simu hapokei.”
RECEPTION: “Yule dada alikuja hapa nakumbuka si mweupe? na alisema anakwenda Room hio na alijiandikisha hapa ni iryn eeh.” (Baada ya kuangalia kwenye visitors register)
MIMI: “Ndio dada ndo huyo naona unachelewa twende haraka.”
Na muda huo dada alimwita mlinzi na tukaelekea usawa wa hiyo room ilipo, na muda huo alitumia kuwasiliana na manager. Room ilikua floor ya 2 na tulivyofika pale mlangoni tulisikia kama purukushani ni kama kuna ugomvi ulikua unaendelea pale.
Upande mwingine kuna dada oppositie na chumba hicho alikua katoka kama mtu mwenye mishe zake, lakini alivyomwona mlinzi na tuko pale mlangoni alisogea karibu ili ajue kinachoendelea pale.
Na tukiwa pale mlangoni tulikua tukisikia sauti ya Iryn,
“Leave me alone, I said leave me alone”
“You want to rape me?”
Na muda uleule Mlinzi aligonga mlango, lakini ulikuwa haufunguliwi, ilibidi mlinzi atumie vitisho ndo jamaa kufungua mlango.
Baada ya kufungua ilibidi tuingie wote ndani na wakati huo alionekana Iryn akiwa anahema sana, alionekana ni mtu aliyekuwa amechoka sana kama alikua jogging.
Kwa upande mwingine ni kama alikua haamini macho yake kama sisi tuko pale, na pant yake ya jeans ilionekana imefunguliwa nzipu na chupi yake ya pink ilionekana kwa mbali, pia upande wa juu alikua na brass kama ungeendelea kumwangalia ungeishia kudindisha tu kwa ule uzuri wake na alivyokuwa vile.
Iryn alikuja haraka kwangu na akanikumbatia na alianza kulia palepale, na dada Manager alikua kafika eneo la tukio tayari, na akaanza kuhoji ni nini kinaendelea pale.
MANAGER: “Ni nini kinaendelea hapa, maana matukio yanayoonekana hapa ni kama ubakaji, kaka shida ni nini?”
Jamaa alikua kimya na ikabidi dada ahamie Upande wa Iryn.
IRYN: “Dada mimi najishughulisha na masuala ya body therapy hii ndo kazi yangu, na ninafanya kwa wateja wengi sana. Huyu mteja tuliwasiliana toka juzi hata chats zetu hizi hapa (muda huu Iryn alikuwa ameshika simu yake Iphone 13 Pro Max ambayo ilionekana kuweka crack kubwa kwenye kioo na akamwonesha zile chats manager).
MANAGER: “Haya ndo makubalino yenu, endelea nakusikiliza”
IRYN: “Tulikubaliana ninafanya massage na sio zaidi na alikubali, nimemaliza kazi yangu naomba malipo akasema hawezi…..”
Dada Manager alimkatisha Iryn na alimwuliza swali,
MANAGER: “Malipo mlikubaliana kiasi gani?”
IRYN: “Tulikubaliana $1500”
MANAGER: “Okay Endelea”
IRYN: “Nilivyomaliza kazi yangu niliomba malipo yangu lakini alianza kuomba sex, nilimwambia I can’t do sex ni nje na makubaliano yetu na nilimkumbusha we had a deal, akanambia ataniongezea $1000, lakini nilimkatalia na nilimwambia hata apandishe dau kiasi gani siwez fanya sex. Na yeye akasema bila sex hanilipi na mimi sikutaka kubishana naye nilivyotaka kuondoka nilishindwa fungua mlango sababu ya card, na yeye akagoma kufungua mlango, nikaomba card ili nifungue mlango lakini hakutaka kunipa wala kunifungulia.”
SHAHIDI: “Pole sana dada huu ni ubakaji.”
IRYN: “Muda huo akanivuta kwa nguvu na akanisukumia kitandani akanambia siwezi kutoka mpaka tusex. Muda huu nilikua sijui cha kufanya maana nilipiga kelele lakini hakuna msaada wowote niliopata. Ilibidi nimwambie atafute condom bila hivyo sitoweza na alikwenda kuchukua kwenye bag. Mimi muda huo ndo nikapata nafasi ya kutuma text kwa dereva wangu huyu hapa. Alivyorudi akanambia nivue nguo zangu lakini nilimgomea sababu nilikua najua dereva wangu atakuja haraka kunisaidia. Alinishika kwa nguvu akanivua brauz yangu na tukaanz purukushani kwa zaidi ya dk 20 sasa, inamaana msingekuja leo ningekua raped.”
Maneno ya Iryn yalifanya tusijikie vibaya wote muda ule na kila mtu alikua anashangaa kwa lile tukio. Jamaa alikua anaforce kula mzigo tena kwa kutaka kubaka.
Kiukweli hata mimi ningeforce muda ule yaani uwe na mrembo kama yule umwache aende ni inataka moyo sana. Jamaa kimuonekano alikua ni lightskin na alikua ni mtu wa Uingereza.
Muda ule jamaa alianza kuomba msamaha kwa kile kilichotokea na alikiri alikosea sana, upwiru ndo ulimplekea kufanya vile.
SHAHIDI: “Kaka nadhani mpaka sasa ushahidi upo na wewe umekiri nafikiri sheria zinaweza kuchukuliwa.”
Jamaa alimfata Iryn na alimwomba sana msamaha maana nadhani alikua anajua kwa UK raping na harassment ni kesi kubwa sana.
Kwa upande mwingine Manager naye hakutaka mambo yafike mbali na alikua akijaribu kutafuta solution na Mlinzi, maana wao ile ni biashara isingeleta picha nzuri kama kesi ingefika mbali.
MANAGER: “Dada naomba haya mambo yaishe hapahapa please nakuomba sana.”
IRYN: “Dada hivi unavyoomba haya mambo yaishe kirahisi hivi ningebakwa je? Ungesema hivi?”
SHAHIDI: “Dada mimi nimerecord maongezi yake akiwa ameconfess alichofanya nafikiri nenda kashitaki huu ni unyanyasaji.”
Kwa upande mwingine jamaa alikuwa haamini macho yake na alionekana kuwa na wasiwasi sana. Na pia alikua akijutia kwa alichofanya muda ule na aliendelea kuomba yale mambo yaishe kwa namna yoyote. Kilichoniuma sana kuona jamaa kapiga magoti akiomba msamaha, kama mwanaume nilijiskia vibaya sana kuona baharia anapiga magoti.
Mimi niliteta na Iryn pembeni nikamwambia amsamehe Jamaa, sababu hajamfanya kitu chochote zaidi ya kumharras afanye kusamehe tuendelee na mambo mengine maana kwa Tanzania kesi kama hizi ni kupoteza muda. Iryn alinambia anaweza mpigia simu Mama Janeth na akaisimamia kesi na sheria ikachukua mkondo wake. Mimi nikamwambia cha muhimu jamaa amlipe simu yake, pesa ya simu mpya na usumbufu, mengine amwachie Mungu tu, na Iryn alikubali kufanya hivo.
“Insider nasamehe kwa sababu yako, ila alichonifanya siwezi kusahau ni udhalilishaji na unyanyasaji.”
IRYN: “Manager kutokana na masuala yenu ya kibiashara nitajali hili maana kuna siku nitarudi tena hapa ila ninauwezo wa kuiendesha hii kesi vizuri kabisa. Naomba nilipwe pesa ya simu mpya, hii imecrack sababu yake, anilipe pesa yangu $1500 na ninataka $4000 za usumbufu, simu ni kama $1800 kama yuko tayari kutoa $7500 mimi nitasamehe.
SHAHIDI: “Dada kwanini unamsamehe kirahisi hivyo wakati ushahidi upo na atakulipa pesa kibao, usiwe na haraka naweza kukusaidia Mwanasheria.”
IRYN: “Dada ni kweli unachosema ila sisi sote ni Binadamu kuna kesho, nina Mama yangu yuko Organization X ningempa taarifa hii kesi ingeisha haraka, ila nimeamua kusamehe tu.”
Jamaa ni kama hakuamini Iryn ameamua kumsamehe na jamaa aliomba alipe $6500 maana yuko Tanzania kikazi. Iryn aliamua kukubali na jamaa akafanya kutransfer hiko kiasi kwenda kwenye account ya Iryn
RAPIST: “You have an account in french bank?”
IRYN: “Yeah, transfer that amount to my account number.”
Pale wote tulibaki tunashangaa hata jamaa kama hakuamini kuona Iryn anamiliki Account kwenye moja ya bank za kifaransa, hata mimi nilishangaa maana Iryn hakuwai nambia hili, lakini pia sikuwaza sana maana nilikuambuka Iryn kasoma kule Ufaransa asingekosa kuwa na bank account kule.
Baada ya kutransfer Iryn alipata ujumbe kwenye email kuonesha pesa imeingizwa na akaaga tuondoke maana hakutaka tuendelee kukaa pale.
Na muda ule Manager alifurahi sana kuona jambo limeisha na alitusindikiza mpaka parking na muda huu walikua wakiongea na Iryn, mimi niliingia kwenye gari na nikatoa 50,000 nikampa mlinzi na alishukuru sana.
“Kaka Ahsante sana ila Bossy wako ni pini asee ni ngumu sana kuwa na mrembo kama huyu Getto afu umwache, ni balaa sana hii Dunia ina warembo wengine tunaishia kula kwa macho.”
Niliishia kucheka pale na tukaagana na jamaa pale. Manager aliendelea kuongea na Iryn na baada ya dakika 5 Iryn aliingia kwenye gari.
IRYN: “Insider lets go, twende home tu nikalale sina mood now.”
Tulianza kuondoka na muda ule kutoka eneo lile.
MIMI: “Iryn am so sorry for being late, nilikua nimelala yaani kitendo cha kupiga simu ndo nilishtuka”
IRYN: “I thought umelala that time hata hivyo thank you so much Insider ungechelewa kidogo ningebakwa. Kitendo cha kupiga simu ndo kilipelekea simu kuvunjika nilipambana sana.”
MIMI: “Nisingejisamehe maisha yangu yote kama jambo baya lingetokea, It was my fault”
IRYN: “It wasn’t your fault Insider, don’t be”
MIMI: “Yule ni nani na mlikutana wapi?”
IRYN: “Isabella ndo kani connect na huyu mtu, na mimi namuamini sana Isabella hata wateja anaonipaga sinaga shida nao.”
MIMI: “Pole sana Mummy unaonekana kupoteza so much energy”
IRYN: “Insider nimepambana sana usiione hivi kumbuka yule mwanaume ananguvu kuliko mimi.”
MIMI: “Ilishawai kukutokea kama hii before?”
IRYN: “Hii ya leo ni too much, ilishawai nitokea ila sio kama ya leo, wengi nilokutana nao walikua hawanilipi.”
MIMI: “Pole sana najiskia vibaya ujue.”
IRYN: “Ni moja ya changamoto za kazi.”
MIMI: “Pole sana Mummy.”
IRYN: “Hii weekend sitotoka usiku maybe next week.”
Sikutaka kabisa kuleta utani hii siku maana Iryn alikua kabadilika sana na hakuwa mtu wakuongea. Na muda huu yule jamaa alikua anampigia simu Iryn, lakini Iryn hakutaka kupokea simu yake.
Tulipitia pale Mikocheni kwa Osama na nikamnunulia Iryn chips yai “zege” nilijua lazima ana njaa, tukaendelea na safari yetu ya kwenda kijitonyama.
Tulifika pale kwake na muda huo saa 6 usiku ilikua tayari, na nikampeleka mpaka ndani na nikamwaga naondoka nitamcheki .
IRYN: “Insider…”
MIMI: “Naam Mummy”
IRYN: “Thank you for today bila wewe ningeweza pata jambo baya sana.”
MIMI: “Usijali Iryn sisi ni Familia tayari.”
IRYN: “Naomba nipe account yako ni transfer Pesa, sina cash ya kukupa.”
MIMI: “No usifanye hivo.”
IRYN: “Why? you saved me today.” Iryn alikua mkali kidogo.
MIMI: “Have you forgotten our agreement?”
IRYN: “I remember”
MIMI: “So don’t, byee”
Muda huo Iryn hakujua aseme nini aliishia kuniangalia nikipotea machoni pake, na mimi nilitoka hapo nikarudi home kulala.
###########
Jumamosi ndo siku ambayo nilikua na miadi na Mama wa2 kama tulivyokuwa tumekubaliana mwanzoni mwa week. Nilifika kwake saa4 kasoro asubuhi na baada ya kufika pale, nilimpigia simu niko nje akasema sawa.
Hapa alipokuwa anakaa Mama wa2 ni apartment ambayo ina nyumba 2 tu, tena za kujitegemea kwenye compound moja.
Baada ya dakika chache alikuja dada wa kazi na akanifungulia geti akanambia amesema dada uingie ndani. Niliingiza gari nje kwake parking na nikaingia ndani seblen, sikuwa na wasiwasi sababu nilikua najua hana mme.
Upande mwingine alionekana dada akiandaa chai dining, na muda mfupi mama wa2 alikua katoka na amependeza sana.
MAMA WA2: “Insider mambo!”
MIMI: “Salama Mama mkwe , umependeza sana.”
(Alikua amevaa kipensi cha jeans na tishirt nyeupe zile za kubana)
MAMA WA2: “Eti eeh, karibu chai bhasi”
Na muda huu alikua akielekea dining na mimi nikamfuata kwa nyuma,
Mama wawili akaniandalia chai pale na tukaanza kunywa. Ilikua ni chai ya maziwa, chapati za maji, na maini ya roast.
MIMI: “Rachel yuko wapi? Simwoni”. (Rachel ni yule mtoto wake wa pili ambaye nampelekaga shule)
MAMA 2: “Rachel kalala bado.”
MIMI: “Muamshe mke wangu bhana.”
MAMA 2: “Yule akilalaga anamka mwenyewe.”
Baada ya ya kupata breakfast nilimshukuru Mama wa2 kwa chai na yeye alikwenda chumbani akatoka na mkoba, akasema yuko tayari kwa safari tuondoke.
Tukitoka pale kwake ilikua saa 4 na tukaanza safari ya kwenda Bagamoyo “The horizon”.
MAMA 2: “Insider itabidi tuingie ATM ya CRDB nitoe pesa sawa?”
MIMI: “Sawa bossy wangu, kuna ATM nitakupeleka.”
MAMA 2: “Nilishakwambia mimi sio Bossy wako.”
MIMI: “Sawa mama mkwe.”
MAMA 2: “Unakujua tunakokwenda?”
MIMI: “Ondoa hofu mimi ndo Insider.”
Tulitumia barabara ya Mwaikibaki ya Mbezi beach chini na tukaingia na ile barabara ya Mwamunyage, tukaja tokea kunduchi road hao tukaunga na Bahari beach.
Kabla hujafika Budget mbele kidogo ya Jambo supermarket kuna ATM za “NMB & CRDB upande wa kushoto wa barabara kama unakwenda Budget. Niliingia pale ili Mama wa2 aweze kutoa hela kama alivyokuwa ameomba.
MIMI: “Toa pesa nyingi bhasi tupate na hela ya mafuta.”
MAMA 2: “Leo nitakupa offa ya mafuta full tank”
MIMI: “Mvua itanyesha, unafanya kazi bank ila ni mbahili balaa.”
Muda huo alikua ameshuka kwenye gari ili aingie kutoa hela, lakini kulikua na foleni hivyo ilibidi asubiri mpaka ile foleni iishe na yeye ndo aingie. Si unajua mambo ya weekend tena, foleni ya kutoa pesa ilikua kubwa kubwa.
Mama wa2 alitumia kama dakika 5 mpaka anatoa hela na hao tukaondoka kuendelea na safari yetu.
MAMA 2: “Insider ukiona sheli ingia tuweke mafuta.”
MIMI: “Mama mkwe kumbe ulikua serious?”
MAMA 2: “Ulifikiri utani?, sasa subiri uone”
MIMI: “Leo unaonekana una vibe sana.”
MAMA 2: “Insider sijatoka muda mrefu sana, sijui ndo kuzeeka?”
MIMI: “Bado mbichi kabisa wewe, na unawazidi watoto wa 2000 mbali sana.”
MAMA 2: “Hahahaaa! Insider ningekua nimeolewa kama unayosema ni kweli, ona nimeishiwa kuzalishwa tu.”
Na muda huu tulikua tumeingia sheli ya ORYX pale Bahari Beach.
Na muda huu nilikua namsikiliza mama2 aseme tuweke mafuta ya shilling ngapi, na dada pale sheli alikua kaja upande wa dirishani kutusikiliza.
MAMA 2: “Dada weka full-tank”
Gari yangu ilikua na bar 2 tu za mafuta, sasa nilivyosikia full tank, nilifurahi sana.
Baada ya kujaza gari full tank, mama wa2 alilipia na nikaomba risiti kwa dada, nilikua siachi risiti baada ya kujaza mafuta.
MAMA 2: “Umeona eeh, leo nimekupa offa maana sjawai kukupa offa, japo wewe unanipaga offa sana.”
MIMI: “So unalipiza?”
MAMA 2: “Hamna narudisha fadhila tu.”
Ukweli ni kwamba licha ya kuingia mkataba na Mama wa2 ila bado nilikuaga nampa offa mfano, sometimes kama niko Posta nataka rudi home nilikuaga nina mpigia simu afu nampick nampeleka kwake for free, sababu tulikua tunakwenda njia moja.
Tulikwenda moja kwa moja na Bagamoyo road tulivyofika kijiji kinaitwa Zinga kuna sehemu tuliingia kulia, ilikua ndo njia ya kwenda “The Horizon”.
Muda tuliotumia kutoka Mbezi Beach mpaka tunafika Horizon ilikua ni kama saa 1 na nusu, na tulikwenda kuna sehemu moja ilikua imetulia na imejitenga.
Alikuja kaka ambaye ni mhudumu wa pale kutusikiliza na mama wa2 aliomba apewe mocktail na mimi niliagiza mocktail pia. Mocktail niliyoagiza mimi inatengenezewa ndani ya nanasi. (Nanasi linatobolewa afu mixers zinawekwa humo, ni nzuri sana)
Mama wa2 alinonekana kulipenda eneo hili jinsi ya utulivu wake na pia kulikuwa na watu wastaarabu sana maeneo haya.
Tulitoka hapo tukaenda sehemu ya Range (kupiga shabaha), mama wa2 akawa anapiga shabaha zake pale na mimi nilimwacha mimi nikarudi kukaa.
Muda huu Mary alinipigia simu na nikapokea simu yake haraka;
MIMI: “Hi Mary”
MARY: “Salama uko poa?”
MIMI: “Niko poa Mary, siku yako inakwendaje?”
MARY: “Leo ni weekend uliahidi tunatoka out.”
MIMI: “Yes nakumbuka ila niko Bagamoyo kuna mteja nimemleta huku namsubiri kama nitawai rudi nitakucheki sawa?”
MARY: “Sounds like today’s impossible.”
MIMI: “No I can’t break my promise.”
MARY: “Insider sema hutaki tu, hauko Bagamoyo wala nini.”
MIMI: “Mpaka nikutumie Location ndo uniamini?”
MARY: “I don’t trust you.”
Baada ya kumaliza kuongea naye nilimtumia palepale Location na Mary alionekana kukasirika sana. Sasa baada ya kumtumia Location kwa whatsapp na palepale alinipigia simu tena;
MARY: “Insider Horizon uko na nani?”
Hapo ndo nikakumbuka kumbe location niliyomtumia imeniumbua.
MIMI: “Nimemleta mteja Mary, si nimekwambia lakini?”
MARY: “Insider acha kuniona mimi mtoto, yaani umepeleke mteja Horizon na umsubirie tu, from nowhere?”
MIMI: “So you don’t trust me?”
MARY: “Insider mimi sio mtoto, huko upo na demu mnakula bata not more, anyway mimi sio mtu muhimu Kwako na nilishaliona hili.”
MIMI: “Mary huko unafika mbali sasa, nyie ni washikaji zangu sana.”
MARY: “Prisca akiomba date muda wowote unamkubalia ila mimi naomba kwa mara ya kwanza unani avoid.”
MIMI: “Mary si nimekwambia nikirudi nakucheki? Usinilaumu wakati siku haijaisha, kumbuka hii ni kazi yangu.”
MARY: “Insider bye have a good time there”
Na mary akakata simu.
Mary alionekana kuwa na hasira sana alikua kama mtu aliyepaniki na mimi nikampotezea sikutaka kujihangaisha naye kabisa.
Na baada ya saa mama wa2 alirudi kutoka range na alikuwa anahema sana;
MIMI: “Vipi kulikoni?
MAMA WA2: “Insider nimepatia shabaha 2, hahahaah” alikua akicheka
MIMI: “Muda wote huo ulotumia ndo umepata shabaha 2 tu?”
MAMA WA2: “Eeh Insider.”
MIMI: “Unachezea hela tu.”
MAMA WA2: “Afu kwanini umenikimbia?”
MIMI: “Niliona michezo ya kitoto ile.”
MAMA WA2: “Eeeh mimi nimeupenda mzuri kweli.”
MIMI: “Sawa bhana”
Na muda huo alikuja jamaa mmoja akasema kama tunataka kwenda kisiwani kuna boti inatoka beach sa10 na gharama zake ni 10,000 kwenda na kurudi kwa kichwa. Na mama wa2 alifurahi hizo taarifa na akalipa 20,000, alinilipia na mimi.
Na muda huo tuliagiza chakula maana ilikua ni mchana saa7 tayari imefika na njaa zilikua zikiuma sana. Tuliendelea kupiga story pale na tulikua tukizungumza sana mambo ya maisha, Mama wa2 alikua ni mtu ambaye alikuwa na mipango mingi sana.
Kupitia mazungumzo yetu niliweza kujua kwamba Mama wa2 anajenga nyumba Madale, pia anabiashara ya kutoa huduma za kifedha kwa simu na Bank. Hivyo akanambia anampango wa kufungua biashara ya mapazia na urembo wa nyumba.
Aliniuliza mipango yangu pia na sikusita kumwambia baadhi ya mipango yangu, nilimwambia kesho ambayo jumapili ninakwenda Dodoma kwaajili ya mambo ya ujenzi. Na alinipongeza sana akanambia kama nitahitaji mkopo kutoka bank nimwambie atanisaidia kupata kwa haraka na bila masharti mengi.
Tulizungumza mambo mengi sana na alikua pia akiniuliza sana kuhusu origin yangu na kuhusu familia yangu na maisha yangu kwa Ujumla.
MAMA WA2: “Hivi Insider unakaa wapi?”
MIMI: “Mbezi Massana kule juu.”
MAMA WA2: “Kumbe hutokei mbali.”
MIMI: “Sio sana ila kuna kaumbali.”
MAMA WA2: “Kidogo kule kumechangamka sana.”
MIMI: “Sababu ya Hospital naona pia ni kama kacentre flani hivi.”
MAMA WA2: “Chuo umesoma wapi?”
MIMI: “Chuo X “
MAMA WA2: “Mtoto wa mjini wewe, ndomana baada ya kumaliza chuo hukutaka kurudi home.”
MIMI: “Niliamua kuhustle hapahapa mjini. Hivi kwanini huna mpango wa kumiliki gari.?
MAMA WA2: “Nilikua na gari mbona, mwakajana nilipata ajali mbaya sana Insider na gari ilikua haifai. Nashukuru Mungu nilitoka salama kabisa, niliitengeneza ila gari na nikauza, sitak kusikia tena habari za gari, ila nikimaliza ujenzi nitanunua.”
MIMI: “Pole sana na ilikua gari gani?”
MAMA WA2: “Harrier, na nilichukuaga mkopo kisa gari.”
MIMI: “Pole sana Mama mkwe.”
MAMA WA2: “Ahsante, gari hata mwaka haikufikisha ikala mueleka.”
Na baada ya kumaliza kula tuliagiza wine na tukaendelea kunywa taratibu pale huku story zikiendelea.
Mida ya saa 10 jioni tulitoka na kwenda Beach kwaajili ya kwenda kisiwani, sasa kama unakwenda kupanda boti beach kuna kidaraja cha mbao kizuri sana na watu wanapendaga sana kupiga picha pale. Na pale Mama wawili alinipa simu yake nimpige picha na mimi sikuwa na hiyana nikampiga picha za kutosha.
(Kwa mtu anayekwenda Horizon lazima apige picha pale)
Tulipanda kwenye boat na kwenda kisiwani, Boat lilikua kubwa na tulikua kama watu 30 mle ndani. Kilikua ni kisafari cha kama dakika 20 mpaka kufika kisiwani. Muda huo kila mtu alikua na simu yake akichukua self wengine wakichukua video na wengine wakipigana picha, ilikua ni burudani kwakweli.
Tulifika kisiwani na tuliwakuta watu wengine kule, yaani kulikua na watu kibao pale kisiwani. Ni kisiwa kadogo sana wala sio kikubwa kihivyo. Na mle kisiwani kulikuwa na michezo kibao kama mpira wa miguu, na wanawake walikua wakicheza netball, ilikua ni burudani sana asee.
Tulikua watu wazima mle kisiwani na full vibe wanawake walionekana na vichupi, wengine taiti nknk, wanaume wapo waliokuwa na boxer na wengine bukta. Mimi nilikua nimevaa track nikavua nikabaki na boxer, kwa upande mwingine nilimwona mama wa2 kwa mbali akiwa na taiti alivua kile kipensi chake.
Tulitengeneza timu za watu sita (6) na zilikuwepo team 3 sasa ilikua ni mtoano. Tulilisakata kabumbu pale na kila mtu alikua na vibe sana mle kisiwani. Hakuna sehemu ngumu kusakata kabumbu kama Beach asee unatumia sana energy watu walikua wanaflop balaa.
Kuna muda tulipumzika na Mama wa2 akaomba twende upande wa2 wabahari na akaomba nimpige picha.
Tulikaa pale mpaka saa 12 ndio tukaanza kutoka pale kisiwani, wakati tumepanda kwenye Boat, Nahodha aliuliza kama wote tumefika kabla hatujaondoka na seat zote zilikuwa zimeenea.
Tulitumia kama nusu saa hivi kuwasili pale Beach na tulirudi tukakaa na tuka order vinywaji, muda huu palionekana kupendeza sana maana kulikuwa na watu wengi wakinywa, wakienjoy maisha.
Mama wa2 aliagiza Savannah na mimi niliagiza Heineken kinywaji changu pendwa. Muda ule hata mimi nilikua nahamu ya kuvibe, maana sikuwa na miadi na Iryn. Nilichungulia simu yangu na nikakuta, Prisca, Mary na Mama J wamenipigia simu.
Nilishangaa sana kuona Mama J kanipigia simu na alikua kanitumia text ambayo ilisomeka
“Naona nimekupa chance ya kuwa na Malaya wako ndomana hunitafuti.”
Palepale nilitabasamu nikasema Mama J tayari hasira zimeisha. (Mama J ni mtu ambaye hapendagi kufosiwa huwa anataka maamuzi afanye mwenyewe ndomana mimi na yeye tukigombana, huwa namuacha atulie kwanza au anitafute mwenyewe hapo ndo tunayajenga).
Nilimuaga Mama wa2 naenda kwenye gari maramoja ili nimpigie simu, na nilitumia muda huo kumpigia Mama Junior lakini hakupokea simu, nilipiga mara3 lakini hakupokea simu zangu.
Muda huo nikampigia simu Prisca na alipokea muda uleule ni kama mtu ambaye alikua akisubiri simu yangu kwa hamu sana.
PRISCA: “Hi Insider”
MIMI: “Safi tu, now uko sawa?”
PRISCA: “Yeah, ulisema tuonane tuongee”
MIMI: “Ndio nafikiri tufanye J3 Prisca maana kwa leo itakua ngumu si unajua leo ni weeknd kazi ni nyingi?”
PRISCA: “Jumatatu ni mbali sana why not tomorrow?”
MIMI: “Kesho nasafari ya Dodoma ndomana nikasema nitakuona Jumatatu.”
PRISCA: “Insider unaondoka hata hunambii are you serious?”
MIMI: “Sorry hata hivyo safari imetokea haraka tu, haikuwa kwenye mipango yangu.”
PRISCA: “Unakwenda kufanya nini Dodoma?”
MIMI: “kuna kazi mzee amenituma nikaifanye.”
PRISCA: “Kazi gani.?”
MIMI: “Prisca sijajua bado ila nikienda ndo nitajua maana kuna mtu nitaonana naye nikifika.”
PRISCA: “Na unarudi lini?”
MIMI: “Prisca si nilikwambia narudi jumatatu na tutaonana? Nitatumia ndege ili niwai.”
PRISCA: “Okay nilisahau na unaondoka muda gani?”
MIMI: “Natakiwa kuchek-in saa 2 asubuhi naondoka saa4”
PRISCA: “See you later, byee.”
Kuhusu Mary sikutaka kuhangaika naye hata kumpigia maana nilikua sina cha kumwambia muda ule, zaidi ningemdanganya tu.
Muda ule nilirudi kwa Mama wawili na tukaendelea kunywa pale, Mama wa2 akaanzisha maongezi,
MAMA WA2: “Vipi ulienda kuomba ruhusua nini?”
MIMI: “Hahaahaa nilikwenda chukua chaji ya simu na muda huu nilikua nimeishika mkononi.”
MAMA WA2: “Kama wamekupigia simu sema bhana tuondoke.”
MIMI: “Wewe ukisema tuondoke ni sawa mimi sina shida kabisa. Nikalale mapema kesho nasafari asubuhi.”
Nilikaa pale tukaendelea na story na muda ule Mama wawili alinonekana na furaha sana,
MIMI: “Mama mkwe naona leo unafuraha sana kuliko siku zote.”
MAMA WA2: “Leo nimeinjoy sana kule Beach honestly huku nitakuja tena, nilikuona unasakata kabumbu upo vizuri sana.”
MIMI: “Mpira ni kipaji changu sana, nimechezea team ya shule wakati niko form4 na 6.”
MAMA WA2: “Nilikuona asee unakimbiza balaa.”
MIMI: “Si unajua life is too short, If you get a chance celebrate.”
MAMA WA2: “You only live once”
MIMI: “Vipi lakini kuhusu mwanao Pili anaendeleaje na masomo?
(yule mtoto wake wa kwanza ambaye yuko Advance).
MAMA WA2: “Yuko salama kabisa na jana nimeongea na Matron wao yuko vizuri.”
MIMI: “Anasoma wapi?
MAMA WA2: “Yuko hapo Kerege Marian Girls.”
MIMI: “Sasa mbona hukusema tupitie kumsalimia?”
MAMA WA2: “Insider kuna tarehe special za visiting, pia watapewa likizo kwaajili ya Easter.”
MIMI: “Hongera sana kwa kuwa na bint mkubwa, soon utaanza kula matunda yake.”
MAMA WA2: “Insider sipendi bint zangu waje kuwa kama mimi mama yao.”
Na muda huu tuliongeza vinywaji vingine na mama wa2 alikua akitawala mchezo katika maongezi.
MIMI: “Kwanini? Maana mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.”
MAMA WA2: “Insider you know sometimes sisi wanawake tunapitia vipindi vigumu sana, kuna mwanaume kukuoa na mtoto ni ngumu sana. Mimi siwezi kuwa na mume tena mpaka kufa kwangu.”
MIMI: “You never know, sometimes Mungu anakua na mipango yake huwezi jua kakupangia nini na amekuepusha na nini.”
MAMA WA2: “Unajua sometimes tunamwonea Mungu, kwamba alipanga mimi kuwa single mother?. Unajua Mwanamke bila mume hajakamilika, hakuna mwanamke asiyependa kuolewa Insider. Mwanaume ni kama kiongozi kwenye mahusiano au familia, unafikir najiskiaje kuona wanangu hawawaoni baba zao? Mwanaume mpaka ajiskie ndo anakuja kumwona mtoto atlist rachel anamwona Baba yake mara kwa mara ila Pili anaenda mwaka hajamwona Baba yake.”
MIMI: “Aisee pole sana, unakidonda kikubwa sana Mama mkwe.”
MAMA WA2: “Usione tunavaa tunapendeza tunacheka lakini nakidonda kikubwa sana moyoni. Nashukuru Mungu na kazi ambayo inanipa kipato napata pesa ya kuishi na Familia yangu.”
MIMI: “Kwani Baba yake na Pili yuko wapi?”
MAMA WA2: “Yuko Mwanza ni moja ya wanaume ambao wamesababisha mimi leo kuwa hivi.”
MIMI: “Kwanini unasema hivyo?”
Kwa kifupi kutokana na maelezo ya Mama wa2 alisema alikutana na Baba Pili mwaka 2003 mwanza wakati anafanyia kazi kampuni moja huko. Baada ya hapo wakaanza mahusiano na Baba yake Pili ni mfanyabiashara, hatimaye akapata mimba ya Pili ila baadae alikuja kujua jamaa ana mke na watoto wa2. Na kipindi hicho alianza kupata vitisho kutoka kwa mke wa jamaa, na pia kutokana na kuwa na mimba kampuni ikamwachisha kazi ikabidi afanye mchakato wa kurudi kwao Moshi kwa Mama yake.
Baada ya kuzaa alikaa kama miaka 2 kwao akimlea mtoto na hicho kipindi chote Baba mtoto hakuwai mtafuta wala kujua hali yake. Baada ya hapo alianza kutafuta kazi na akapata moja ya shirika pale Moshi na alifanya kazi mpaka 2012 ndo akapata connection na moja ya wateja wake. Anasema kwenye lile shirika alikuwa akilipwa mshahara kidogo sana na kipindi hicho alikua anakaa kwao. Huyo mtu alimuunganisha Mama wa2 na huyu mtu ambaye ndo Baba yake Rachel kwa sasa.
Baada ya kupewa namba za Baba Rachel aliwasiliana naye na akamtumia CV yake, Baada ya Mwezi alimpigia simu aende Dar es salaam kwaajili ya training. Mama wa2 anasema alishangaa sana maana hata hakufanya Interview yoyote, jamaa alifanya kumsaidia tu. Alifika Dsm na alikutana na Jamaa ambaye alimpokea na baada ya kumaliza training alipangiwa kazi hapahapa Dar es Salaam. (Baba yake Rachel ni moja ya watu wakubwa sana kwenye hiyo Bank hapa nchini na ni moja ya Directors anaonekana sana kwenye TV).
Baada ya hapo Jamaa alimtongoza kutokana na jamaa kumsaidia hakusita kumkatalia sababu ndo aliyemsaidia kupata kazi. Lakini Jamaa alimwambia kuwa ana mke tayari na wakakubaliana akipata mtu sahihi awe huru kuolewa naye. Waliendelea kuwa na mahusiano ya siri mwisho wa siku akapata mimba ya Rachel, hakutaka kutoa mimba ikabidi azae tu ndo kupata mtoto wa pili.
MIMI: “Aisee yule ndo Baba yake Rachel?”
MAMA WA2: “Ndio yule ni Baba yake Rachel, Nashukuru anampenda sana mwanaye huwa anatafuta muda sana wa kukaa ba Bint yake japo ndo siri mke wake hajui lolote.”
MIMI: “Kama anajali mtoto sio mbaya, vipi kuhusu Baba Pili ndo alitelekeza mtoto.?”
MAMA WA2: “Baba Pili alikuja kunitafuta wakati Pili ana miaka 2 ndo kidogo akaanza kutuma Pesa za matumizi na kumwona.”
MIMI: “Mama mkwe ulipitia kipindi kigumu sana, pole sana.”
MAMA WA2: “Ahsante kipindi niko pale Moshi na lile shirika nilipata mwanaume ambaye alinipenda sana na alikua tayri kunioa ila nilivyomwambia nina mtoto alikimbia nduki na hakuwai nitafuta tena, kwa ujumla nilipata wanaume 3 lakini wakisikia habari ya mtoto ndo inakua tiketi ya kuondoka.”
MIMI: “Muda bado Mama Mkwe utapata tu wa kukuoa usiwe na wasi wasi umri bado unaruhusu.”
MAMA WA2: “Insider Mwanaume kamili aliyekamilika ambaye hatumii hisia kwenye maamuzi hawezi kukubali kuoa mwanamke aliyezalishwa na Mwanaume mwingine. Insider wewe uko tayari kuoa mwanamke ambaye amezalishwa na mwanaume mwingine?”
MIMI: “Hapana kwakweli siwezi.”
MAMA WA2: “Sasa unaona! Mimi huwa nawashangaa sana vijana wanaoa single mothers hata kama ni kupenda ila ni Risk sana.”
MIMI: “Aisee kwamba hutaki Single mothers waolewe?
MAMA WA2: “Hapana ila kwa Mwanaume hakikisha Baba mtoto amekufa na akuonyeshe kaburi otherwise hesabu maumivu. Ila wapo wanawake single mothers wanajitambua ila ni wachache sana.”
MIMI: “Unachosema ni kweli na upande wa Single fathers?”
MAMA WA2: “Tofauti wanaume anaweza kuzaa na mwanamke yoyote yule, wanaume wana tamaa tofauti na mwanamke anazaa na mwanaume anayempenda regardless kama anapendwa au laah!”
MIMI: “Naona leo umenipa lecture ya Mapenzi.”
Na muda huu tulikua tunaendlea kunywa bia kwa wingi sana kama ratiba za kurudi home zilipotea hivi,
TUTAENDELEA!
Kwani unamlipa mzee?? Akiwwka chai ww shida yako nini?? Si usome vingine tu?punguza chai zisizo na maana kama story imeisha sema ukweli sio kuongezea Hadith zisizo na maana za kufikirika....ulianza vizuibut mwishoni sifa zikakujaa kama kawaida yenu madereva..
Mnapenda kujisifia Kwa mamb yasiyo na maana!!refer madereva wenzako tabia zenu.
Hiyo 45M ndio ulikuwa mshahara wa Geofrey Kirenga yule Mkurugenzi wa SAGCOT kwa mwezi huku Per diem yake ni 1.2MHalafu wewe ni mshamba wa mwisho mishahara ta 45mil mbona kawaida tu kuna kipindi magu alilalamika mtu kulipwa 90milion kwa mwezi....mzee watu wanapesa Luna watu tz account zao zilikua zinaingiza laki Saba kwa dakika unazani huyu atahonga kiasi gani.
Alafu nilicho gundua kingine hujawahi kuwa rafiki na mademu wazuri umezoea kushinda na wakina mwajuma.