Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
😁😁🤠!uzuri kitrako unacho cha kutosha, kalia [emoji23]
Story tramu balaa.. Naendelea nilipoishia!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁🤠!uzuri kitrako unacho cha kutosha, kalia [emoji23]
Wewe ni n'gombe sana unamwambia ahakikishe wewe kama nani? Huo muda wa kuandika unamlipa? Kama hukuipenda ungepita hivi.. unatetea hadhira ... hadhira ipi? Tunga ya kwako acha uzuzu.. Huku hata username unayotumia ni fake alaf unazungumzia uhalisia kwani we ndo Mello?Nakusihi tena ndugu mwandishi utakaporudi na hizo episodes zako hakikisha unaandika vitu vya kweli usitufanye watu wajinga hapa, yaani tukae tusome story tukiamini tunajifunza kumbe wewe unatudanganya hilo halitakubalika.
ngoja nitoboe fuko langu la popcons sasa ,...AsanteAsantee kipenzi kumbe ni story yenye muendelezo!!!
Ngoja niikalie kitrako!
Advicer Bantu Lady Lovelovie Tayukwa huku pia kumekuchaaa wapendwa!
Malalamiko yako haya yameegemea wapi mbona hueleweki, unalalamika kulimitiwa, unalalamika waharibu uzi au unamlalamikia melo?Haya nyie mlio kua mnasema story ni ya uongo haya leteni hiyo ya ukweli sasa.
Ndio maana mm mnanionaga Sifai nina majibu mabovu kisa watu wa sampuli hii na kupitia watu wa sampuli hii wamefanya hadi account yangu iwe limited (but I don't care) kwa sababu ya moyoni nilisha yatoa.
Hata hii account ikiwa burned kabisa kisa nyie wapumbavu fresh tu. Maana kama ndio uhuru wa maoni huu sasa sio ni uharibifu.
Ona sasa thousands of good peoples wana katiliwa haki yao ya kupata kile wanacho kipenda kisa wapumbavu watano tu. I do hate them.
Now Mr mello ulisha ni limit baadhi ya features kwenye account yangu kisa watu wa sampuli hiyo. Kwa sasa naomba uni burn completely. Hadi hapa hakuna cha maana uzalendo umenishinda kupenda vya nyumbani ngoja nikamuunge tu mkono bwana meta,Twitter, tiktok na kubwa la maadui telegram .
Ni kujiaibisha na kujidhalilisha kubembelezq mwanaume mwenzako. Jambo limeshatokea mwache aamuae yeye kuendelea au la.INSIDEMAN Mungu anakuona kwa arosto hii uliyoamua kutufanyia.
ETI hadi ijumaa
Jameni
Vijana jobless wanapenda kusimuliwa story ili waburudike ukiwaambia ukweli wanakuona hater.Ni kujiaibisha na kujidhalilisha kubembelezq mwanaume mwenzako. Jambo limeshatokea mwache aamuae yeye kuendelea au la.
Vijana wa siku hizi ndio maana mnaolewa kirahisi. Mungu mwenyewe anakosolewa na Bado anatupa oxygen, sembuse INSIDER?
Kwan amesema atarudi Tena si amesha hitimisha story yakeNdugu INSIDER MAN hakikisha code unazipiga nati vizuri utakaporudi. Kuna watu wanakuchimba nahisi, ujikute umeregeza code katika kuwathibitishia hii story. As story fanatics were are not interested to know the real characters/actors. Mwaga vitu.
Anaendelea ijumaa,jumamosi na jpiliKwan amesema atarudi Tena si amesha hitimisha story yake
Wewe ni chiz tuNimekuwa msomaji wa hii story tangu imeanza ila kutokana na mambo kadhaa yaliyojitokeza nimeona nilog in nami nichangie.
Kiukweli story ilianza vizuri sana tena sana ila nadhani mleta story alizidiwa na misifa matokeo yake akaharibu kwa kuleta sifa za kijinga. Mimi naungana na wote wanaopinga hii story kuwa sio ya kweli na nitaleta sababu zangu kadhaa. Lakini pia nasubiri eposides zijazo ili nipime mizania kama anaendelea kutunga au atajirekebisha. Nitakuwa napita mara kwa mara kufanya uhariri wa hii story.
SAS mbna katoa vitisho kasema harudii Tena kwa vile wadau wanasema Ni chai ,mbna huyu bwan hana msimamo ????Anaendelea ijumaa,jumamosi na jpili
Hii hapa rejeaNdugu zangu nitakuwa nashusha Episode 3 kila week.
Ijumaa, Jumamosi & Jumapili
Tukutane ijumaa.
Soma na hii@dr namugariMdugu zangu nitamalizia hii story sababu ya heshima ya JF. Kuna watu wengi wamenitumia ujumbe na watu ambao nawaheshimu wameomba nimalizie story.
Nimegundua story inafuatiliwa na watu wengi sana mpaka sasa tuna views almost 400k ni watu wengi sana.
Nitawapa mwendelezo na huu mwezi 8 story yetu itakuwa imeisha yote.
Kitu kingine sitajibu swali lolote kwa mtu atakayeuliza, ila nitajibu maswali yote baada ya kumaliza kuandika story.
Naomba heshima iwepo kwenye uzi kusiwepo na watu kutukanana sio jambo jema sisi sote ni Watanzania japo kuna foreigners pia wanapitia huu uzi. Kwa mtu ambaye atakiuka na kuleta taharuki nitamreport kwa mods waangalie namna ya kudeal naye.
Kama unaona huwezi kwenda na hii story unaweza uka ignore huu uzi, ukaacha watu ambao wako tayari kusoma.
Nilikua naomba mfanye maamuzi nyinyi wenyewe;
1. Niandike Epsode zote then nizipost?
2. Ndani ya week niwe napost episode 3?
Option ipi kwenu itafaa?
BY INSIDER MAN