Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Nilimuonya huyu member ushamba wake wa kuleta mambo ya private humu jukwaani, alijifanya anamjua sana mwenzie kisa sijui walikutana wapi akataka kumdhalilisha kwa kuweka mawasiliano na picha zake hapa, matokeo yake kala ban takatifu. Kumjua mtu humu sio fimbo ya kumfunga mawazo yake asitoe maoni yake kwa uhuru, tujifunze tuliobaki.
EPISODE 18

Baada ya kusoma ile text ya Iryn na ilikua imetumwa muda mrefu nilisema kuna kitu kibaya kimeshampata Iryn. Na muda ule nilijikuta nikijilaumu sana kwa kulala kwangu kwenye gari na muda uleule nilitoka kwenye gari haraka na kuelekea Reception.

Na hapo nilikua nikimpigia simu Iryn lakini ilikua haipokelewi kabisa. Nilifika pale reception nikamkuta dada na nikamsalimia.

MIMI: “Dada mambo, Bossy wangu amenitumia message yuko in danger na amenitumia Room No.222, ni muda mrefu toka ametuma hii text, naomba twende tukaangalie anashida gani maana kwa sasa hata simu hapokei.”

RECEPTION: “Yule dada alikuja hapa nakumbuka si mweupe? na alisema anakwenda Room hio na alijiandikisha hapa ni iryn eeh.” (Baada ya kuangalia kwenye visitors register)

MIMI: “Ndio dada ndo huyo naona unachelewa twende haraka.”

Na muda huo dada alimwita mlinzi na tukaelekea usawa wa hiyo room ilipo, na muda huo alitumia kuwasiliana na manager. Room ilikua floor ya 2 na tulivyofika pale mlangoni tulisikia kama purukushani ni kama kuna ugomvi ulikua unaendelea pale.

Upande mwingine kuna dada oppositie na chumba hicho alikua katoka kama mtu mwenye mishe zake, lakini alivyomwona mlinzi na tuko pale mlangoni alisogea karibu ili ajue kinachoendelea pale.

Na tukiwa pale mlangoni tulikua tukisikia sauti ya Iryn,

“Leave me alone, I said leave me alone”

“You want to rape me?”

Na muda uleule Mlinzi aligonga mlango, lakini ulikuwa haufunguliwi, ilibidi mlinzi atumie vitisho ndo jamaa kufungua mlango.

Baada ya kufungua ilibidi tuingie wote ndani na wakati huo alionekana Iryn akiwa anahema sana, alionekana ni mtu aliyekuwa amechoka sana kama alikua jogging.

Kwa upande mwingine ni kama alikua haamini macho yake kama sisi tuko pale, na pant yake ya jeans ilionekana imefunguliwa nzipu na chupi yake ya pink ilionekana kwa mbali, pia upande wa juu alikua na brass kama ungeendelea kumwangalia ungeishia kudindisha tu kwa ule uzuri wake na alivyokuwa vile.

Iryn alikuja haraka kwangu na akanikumbatia na alianza kulia palepale, na dada Manager alikua kafika eneo la tukio tayari, na akaanza kuhoji ni nini kinaendelea pale.

MANAGER: “Ni nini kinaendelea hapa, maana matukio yanayoonekana hapa ni kama ubakaji, kaka shida ni nini?”

Jamaa alikua kimya na ikabidi dada ahamie Upande wa Iryn.

IRYN: “Dada mimi najishughulisha na masuala ya body therapy hii ndo kazi yangu, na ninafanya kwa wateja wengi sana. Huyu mteja tuliwasiliana toka juzi hata chats zetu hizi hapa (muda huu Iryn alikuwa ameshika simu yake Iphone 13 Pro Max ambayo ilionekana kuweka crack kubwa kwenye kioo na akamwonesha zile chats manager).

MANAGER: “Haya ndo makubalino yenu, endelea nakusikiliza”

IRYN: “Tulikubaliana ninafanya massage na sio zaidi na alikubali, nimemaliza kazi yangu naomba malipo akasema hawezi…..”

Dada Manager alimkatisha Iryn na alimwuliza swali,

MANAGER: “Malipo mlikubaliana kiasi gani?”

IRYN: “Tulikubaliana $1500”

MANAGER: “Okay Endelea”

IRYN: “Nilivyomaliza kazi yangu niliomba malipo yangu lakini alianza kuomba sex, nilimwambia I can’t do sex ni nje na makubaliano yetu na nilimkumbusha we had a deal, akanambia ataniongezea $1000, lakini nilimkatalia na nilimwambia hata apandishe dau kiasi gani siwez fanya sex. Na yeye akasema bila sex hanilipi na mimi sikutaka kubishana naye nilivyotaka kuondoka nilishindwa fungua mlango sababu ya card, na yeye akagoma kufungua mlango, nikaomba card ili nifungue mlango lakini hakutaka kunipa wala kunifungulia.”

SHAHIDI: “Pole sana dada huu ni ubakaji.”

IRYN: “Muda huo akanivuta kwa nguvu na akanisukumia kitandani akanambia siwezi kutoka mpaka tusex. Muda huu nilikua sijui cha kufanya maana nilipiga kelele lakini hakuna msaada wowote niliopata. Ilibidi nimwambie atafute condom bila hivyo sitoweza na alikwenda kuchukua kwenye bag. Mimi muda huo ndo nikapata nafasi ya kutuma text kwa dereva wangu huyu hapa. Alivyorudi akanambia nivue nguo zangu lakini nilimgomea sababu nilikua najua dereva wangu atakuja haraka kunisaidia. Alinishika kwa nguvu akanivua brauz yangu na tukaanz purukushani kwa zaidi ya dk 20 sasa, inamaana msingekuja leo ningekua raped.”

Maneno ya Iryn yalifanya tusijikie vibaya wote muda ule na kila mtu alikua anashangaa kwa lile tukio. Jamaa alikua anaforce kula mzigo tena kwa kutaka kubaka.

Kiukweli hata mimi ningeforce muda ule yaani uwe na mrembo kama yule umwache aende ni inataka moyo sana. Jamaa kimuonekano alikua ni lightskin na alikua ni mtu wa Uingereza.

Muda ule jamaa alianza kuomba msamaha kwa kile kilichotokea na alikiri alikosea sana, upwiru ndo ulimplekea kufanya vile.

SHAHIDI: “Kaka nadhani mpaka sasa ushahidi upo na wewe umekiri nafikiri sheria zinaweza kuchukuliwa.”

Jamaa alimfata Iryn na alimwomba sana msamaha maana nadhani alikua anajua kwa UK raping na harassment ni kesi kubwa sana.

Kwa upande mwingine Manager naye hakutaka mambo yafike mbali na alikua akijaribu kutafuta solution na Mlinzi, maana wao ile ni biashara isingeleta picha nzuri kama kesi ingefika mbali.

MANAGER: “Dada naomba haya mambo yaishe hapahapa please nakuomba sana.”

IRYN: “Dada hivi unavyoomba haya mambo yaishe kirahisi hivi ningebakwa je? Ungesema hivi?”

SHAHIDI: “Dada mimi nimerecord maongezi yake akiwa ameconfess alichofanya nafikiri nenda kashitaki huu ni unyanyasaji.”

Kwa upande mwingine jamaa alikuwa haamini macho yake na alionekana kuwa na wasiwasi sana. Na pia alikua akijutia kwa alichofanya muda ule na aliendelea kuomba yale mambo yaishe kwa namna yoyote. Kilichoniuma sana kuona jamaa kapiga magoti akiomba msamaha, kama mwanaume nilijiskia vibaya sana kuona baharia anapiga magoti.

Mimi niliteta na Iryn pembeni nikamwambia amsamehe Jamaa, sababu hajamfanya kitu chochote zaidi ya kumharras afanye kusamehe tuendelee na mambo mengine maana kwa Tanzania kesi kama hizi ni kupoteza muda. Iryn alinambia anaweza mpigia simu Mama Janeth na akaisimamia kesi na sheria ikachukua mkondo wake. Mimi nikamwambia cha muhimu jamaa amlipe simu yake, pesa ya simu mpya na usumbufu, mengine amwachie Mungu tu, na Iryn alikubali kufanya hivo.

“Insider nasamehe kwa sababu yako, ila alichonifanya siwezi kusahau ni udhalilishaji na unyanyasaji.”

IRYN: “Manager kutokana na masuala yenu ya kibiashara nitajali hili maana kuna siku nitarudi tena hapa ila ninauwezo wa kuiendesha hii kesi vizuri kabisa. Naomba nilipwe pesa ya simu mpya, hii imecrack sababu yake, anilipe pesa yangu $1500 na ninataka $4000 za usumbufu, simu ni kama $1800 kama yuko tayari kutoa $7500 mimi nitasamehe.

SHAHIDI: “Dada kwanini unamsamehe kirahisi hivyo wakati ushahidi upo na atakulipa pesa kibao, usiwe na haraka naweza kukusaidia Mwanasheria.”

IRYN: “Dada ni kweli unachosema ila sisi sote ni Binadamu kuna kesho, nina Mama yangu yuko Organization X ningempa taarifa hii kesi ingeisha haraka, ila nimeamua kusamehe tu.”

Jamaa ni kama hakuamini Iryn ameamua kumsamehe na jamaa aliomba alipe $6500 maana yuko Tanzania kikazi. Iryn aliamua kukubali na jamaa akafanya kutransfer hiko kiasi kwenda kwenye account ya Iryn

RAPIST: “You have an account in french bank?”

IRYN: “Yeah, transfer that amount to my account number.”

Pale wote tulibaki tunashangaa hata jamaa kama hakuamini kuona Iryn anamiliki Account kwenye moja ya bank za kifaransa, hata mimi nilishangaa maana Iryn hakuwai nambia hili, lakini pia sikuwaza sana maana nilikuambuka Iryn kasoma kule Ufaransa asingekosa kuwa na bank account kule.

Baada ya kutransfer Iryn alipata ujumbe kwenye email kuonesha pesa imeingizwa na akaaga tuondoke maana hakutaka tuendelee kukaa pale.

Na muda ule Manager alifurahi sana kuona jambo limeisha na alitusindikiza mpaka parking na muda huu walikua wakiongea na Iryn, mimi niliingia kwenye gari na nikatoa 50,000 nikampa mlinzi na alishukuru sana.

“Kaka Ahsante sana ila Bossy wako ni pini asee ni ngumu sana kuwa na mrembo kama huyu Getto afu umwache, ni balaa sana hii Dunia ina warembo wengine tunaishia kula kwa macho.”

Niliishia kucheka pale na tukaagana na jamaa pale. Manager aliendelea kuongea na Iryn na baada ya dakika 5 Iryn aliingia kwenye gari.

IRYN: “Insider lets go, twende home tu nikalale sina mood now.”

Tulianza kuondoka na muda ule kutoka eneo lile.

MIMI: “Iryn am so sorry for being late, nilikua nimelala yaani kitendo cha kupiga simu ndo nilishtuka”

IRYN: “I thought umelala that time hata hivyo thank you so much Insider ungechelewa kidogo ningebakwa. Kitendo cha kupiga simu ndo kilipelekea simu kuvunjika nilipambana sana.”

MIMI: “Nisingejisamehe maisha yangu yote kama jambo baya lingetokea, It was my fault”

IRYN: “It wasn’t your fault Insider, don’t be”

MIMI: “Yule ni nani na mlikutana wapi?”

IRYN: “Isabella ndo kani connect na huyu mtu, na mimi namuamini sana Isabella hata wateja anaonipaga sinaga shida nao.”

MIMI: “Pole sana Mummy unaonekana kupoteza so much energy”

IRYN: “Insider nimepambana sana usiione hivi kumbuka yule mwanaume ananguvu kuliko mimi.”

MIMI: “Ilishawai kukutokea kama hii before?”

IRYN: “Hii ya leo ni too much, ilishawai nitokea ila sio kama ya leo, wengi nilokutana nao walikua hawanilipi.”

MIMI: “Pole sana najiskia vibaya ujue.”

IRYN: “Ni moja ya changamoto za kazi.”

MIMI: “Pole sana Mummy.”

IRYN: “Hii weekend sitotoka usiku maybe next week.”

Sikutaka kabisa kuleta utani hii siku maana Iryn alikua kabadilika sana na hakuwa mtu wakuongea. Na muda huu yule jamaa alikua anampigia simu Iryn, lakini Iryn hakutaka kupokea simu yake.

Tulipitia pale Mikocheni kwa Osama na nikamnunulia Iryn chips yai “zege” nilijua lazima ana njaa, tukaendelea na safari yetu ya kwenda kijitonyama.

Tulifika pale kwake na muda huo saa 6 usiku ilikua tayari, na nikampeleka mpaka ndani na nikamwaga naondoka nitamcheki .

IRYN: “Insider…”

MIMI: “Naam Mummy”

IRYN: “Thank you for today bila wewe ningeweza pata jambo baya sana.”

MIMI: “Usijali Iryn sisi ni Familia tayari.”

IRYN: “Naomba nipe account yako ni transfer Pesa, sina cash ya kukupa.”

MIMI: “No usifanye hivo.”

IRYN: “Why? you saved me today.” Iryn alikua mkali kidogo.

MIMI: “Have you forgotten our agreement?”

IRYN: “I remember”

MIMI: “So don’t, byee”

Muda huo Iryn hakujua aseme nini aliishia kuniangalia nikipotea machoni pake, na mimi nilitoka hapo nikarudi home kulala.

###########

Jumamosi ndo siku ambayo nilikua na miadi na Mama wa2 kama tulivyokuwa tumekubaliana mwanzoni mwa week. Nilifika kwake saa4 kasoro asubuhi na baada ya kufika pale, nilimpigia simu niko nje akasema sawa.

Hapa alipokuwa anakaa Mama wa2 ni apartment ambayo ina nyumba 2 tu, tena za kujitegemea kwenye compound moja.

Baada ya dakika chache alikuja dada wa kazi na akanifungulia geti akanambia amesema dada uingie ndani. Niliingiza gari nje kwake parking na nikaingia ndani seblen, sikuwa na wasiwasi sababu nilikua najua hana mme.

Upande mwingine alionekana dada akiandaa chai dining, na muda mfupi mama wa2 alikua katoka na amependeza sana.

MAMA WA2: “Insider mambo!”

MIMI: “Salama Mama mkwe , umependeza sana.”

(Alikua amevaa kipensi cha jeans na tishirt nyeupe zile za kubana)

MAMA WA2: “Eti eeh, karibu chai bhasi”

Na muda huu alikua akielekea dining na mimi nikamfuata kwa nyuma,

Mama wawili akaniandalia chai pale na tukaanza kunywa. Ilikua ni chai ya maziwa, chapati za maji, na maini ya roast.

MIMI: “Rachel yuko wapi? Simwoni”. (Rachel ni yule mtoto wake wa pili ambaye nampelekaga shule)

MAMA 2: “Rachel kalala bado.”

MIMI: “Muamshe mke wangu bhana.”

MAMA 2: “Yule akilalaga anamka mwenyewe.”

Baada ya ya kupata breakfast nilimshukuru Mama wa2 kwa chai na yeye alikwenda chumbani akatoka na mkoba, akasema yuko tayari kwa safari tuondoke.

Tukitoka pale kwake ilikua saa 4 na tukaanza safari ya kwenda Bagamoyo “The horizon”.

MAMA 2: “Insider itabidi tuingie ATM ya CRDB nitoe pesa sawa?”

MIMI: “Sawa bossy wangu, kuna ATM nitakupeleka.”

MAMA 2: “Nilishakwambia mimi sio Bossy wako.”

MIMI: “Sawa mama mkwe.”

MAMA 2: “Unakujua tunakokwenda?”

MIMI: “Ondoa hofu mimi ndo Insider.”

Tulitumia barabara ya Mwaikibaki ya Mbezi beach chini na tukaingia na ile barabara ya Mwamunyage, tukaja tokea kunduchi road hao tukaunga na Bahari beach.

Kabla hujafika Budget mbele kidogo ya Jambo supermarket kuna ATM za “NMB & CRDB upande wa kushoto wa barabara kama unakwenda Budget. Niliingia pale ili Mama wa2 aweze kutoa hela kama alivyokuwa ameomba.

MIMI: “Toa pesa nyingi bhasi tupate na hela ya mafuta.”

MAMA 2: “Leo nitakupa offa ya mafuta full tank”

MIMI: “Mvua itanyesha, unafanya kazi bank ila ni mbahili balaa.”

Muda huo alikua ameshuka kwenye gari ili aingie kutoa hela, lakini kulikua na foleni hivyo ilibidi asubiri mpaka ile foleni iishe na yeye ndo aingie. Si unajua mambo ya weekend tena, foleni ya kutoa pesa ilikua kubwa kubwa.

Mama wa2 alitumia kama dakika 5 mpaka anatoa hela na hao tukaondoka kuendelea na safari yetu.

MAMA 2: “Insider ukiona sheli ingia tuweke mafuta.”

MIMI: “Mama mkwe kumbe ulikua serious?”

MAMA 2: “Ulifikiri utani?, sasa subiri uone”

MIMI: “Leo unaonekana una vibe sana.”

MAMA 2: “Insider sijatoka muda mrefu sana, sijui ndo kuzeeka?”

MIMI: “Bado mbichi kabisa wewe, na unawazidi watoto wa 2000 mbali sana.”

MAMA 2: “Hahahaaa! Insider ningekua nimeolewa kama unayosema ni kweli, ona nimeishiwa kuzalishwa tu.”

Na muda huu tulikua tumeingia sheli ya ORYX pale Bahari Beach.

Na muda huu nilikua namsikiliza mama2 aseme tuweke mafuta ya shilling ngapi, na dada pale sheli alikua kaja upande wa dirishani kutusikiliza.

MAMA 2: “Dada weka full-tank”

Gari yangu ilikua na bar 2 tu za mafuta, sasa nilivyosikia full tank, nilifurahi sana.

Baada ya kujaza gari full tank, mama wa2 alilipia na nikaomba risiti kwa dada, nilikua siachi risiti baada ya kujaza mafuta.

MAMA 2: “Umeona eeh, leo nimekupa offa maana sjawai kukupa offa, japo wewe unanipaga offa sana.”

MIMI: “So unalipiza?”

MAMA 2: “Hamna narudisha fadhila tu.”

Ukweli ni kwamba licha ya kuingia mkataba na Mama wa2 ila bado nilikuaga nampa offa mfano, sometimes kama niko Posta nataka rudi home nilikuaga nina mpigia simu afu nampick nampeleka kwake for free, sababu tulikua tunakwenda njia moja.

Tulikwenda moja kwa moja na Bagamoyo road tulivyofika kijiji kinaitwa Zinga kuna sehemu tuliingia kulia, ilikua ndo njia ya kwenda “The Horizon”.

Muda tuliotumia kutoka Mbezi Beach mpaka tunafika Horizon ilikua ni kama saa 1 na nusu, na tulikwenda kuna sehemu moja ilikua imetulia na imejitenga.

Alikuja kaka ambaye ni mhudumu wa pale kutusikiliza na mama wa2 aliomba apewe mocktail na mimi niliagiza mocktail pia. Mocktail niliyoagiza mimi inatengenezewa ndani ya nanasi. (Nanasi linatobolewa afu mixers zinawekwa humo, ni nzuri sana)

Mama wa2 alinonekana kulipenda eneo hili jinsi ya utulivu wake na pia kulikuwa na watu wastaarabu sana maeneo haya.

Tulitoka hapo tukaenda sehemu ya Range (kupiga shabaha), mama wa2 akawa anapiga shabaha zake pale na mimi nilimwacha mimi nikarudi kukaa.

Muda huu Mary alinipigia simu na nikapokea simu yake haraka;

MIMI: “Hi Mary”

MARY: “Salama uko poa?”

MIMI: “Niko poa Mary, siku yako inakwendaje?”

MARY: “Leo ni weekend uliahidi tunatoka out.”

MIMI: “Yes nakumbuka ila niko Bagamoyo kuna mteja nimemleta huku namsubiri kama nitawai rudi nitakucheki sawa?”

MARY: “Sounds like today’s impossible.”

MIMI: “No I can’t break my promise.”

MARY: “Insider sema hutaki tu, hauko Bagamoyo wala nini.”

MIMI: “Mpaka nikutumie Location ndo uniamini?”

MARY: “I don’t trust you.”

Baada ya kumaliza kuongea naye nilimtumia palepale Location na Mary alionekana kukasirika sana. Sasa baada ya kumtumia Location kwa whatsapp na palepale alinipigia simu tena;

MARY: “Insider Horizon uko na nani?”

Hapo ndo nikakumbuka kumbe location niliyomtumia imeniumbua.

MIMI: “Nimemleta mteja Mary, si nimekwambia lakini?”

MARY: “Insider acha kuniona mimi mtoto, yaani umepeleke mteja Horizon na umsubirie tu, from nowhere?”

MIMI: “So you don’t trust me?”

MARY: “Insider mimi sio mtoto, huko upo na demu mnakula bata not more, anyway mimi sio mtu muhimu Kwako na nilishaliona hili.”

MIMI: “Mary huko unafika mbali sasa, nyie ni washikaji zangu sana.”

MARY: “Prisca akiomba date muda wowote unamkubalia ila mimi naomba kwa mara ya kwanza unani avoid.”

MIMI: “Mary si nimekwambia nikirudi nakucheki? Usinilaumu wakati siku haijaisha, kumbuka hii ni kazi yangu.”

MARY: “Insider bye have a good time there”
Na mary akakata simu.

Mary alionekana kuwa na hasira sana alikua kama mtu aliyepaniki na mimi nikampotezea sikutaka kujihangaisha naye kabisa.

Na baada ya saa mama wa2 alirudi kutoka range na alikuwa anahema sana;

MIMI: “Vipi kulikoni?

MAMA WA2: “Insider nimepatia shabaha 2, hahahaah” alikua akicheka

MIMI: “Muda wote huo ulotumia ndo umepata shabaha 2 tu?”

MAMA WA2: “Eeh Insider.”

MIMI: “Unachezea hela tu.”

MAMA WA2: “Afu kwanini umenikimbia?”

MIMI: “Niliona michezo ya kitoto ile.”

MAMA WA2: “Eeeh mimi nimeupenda mzuri kweli.”

MIMI: “Sawa bhana”

Na muda huo alikuja jamaa mmoja akasema kama tunataka kwenda kisiwani kuna boti inatoka beach sa10 na gharama zake ni 10,000 kwenda na kurudi kwa kichwa. Na mama wa2 alifurahi hizo taarifa na akalipa 20,000, alinilipia na mimi.

Na muda huo tuliagiza chakula maana ilikua ni mchana saa7 tayari imefika na njaa zilikua zikiuma sana. Tuliendelea kupiga story pale na tulikua tukizungumza sana mambo ya maisha, Mama wa2 alikua ni mtu ambaye alikuwa na mipango mingi sana.

Kupitia mazungumzo yetu niliweza kujua kwamba Mama wa2 anajenga nyumba Madale, pia anabiashara ya kutoa huduma za kifedha kwa simu na Bank. Hivyo akanambia anampango wa kufungua biashara ya mapazia na urembo wa nyumba.

Aliniuliza mipango yangu pia na sikusita kumwambia baadhi ya mipango yangu, nilimwambia kesho ambayo jumapili ninakwenda Dodoma kwaajili ya mambo ya ujenzi. Na alinipongeza sana akanambia kama nitahitaji mkopo kutoka bank nimwambie atanisaidia kupata kwa haraka na bila masharti mengi.

Tulizungumza mambo mengi sana na alikua pia akiniuliza sana kuhusu origin yangu na kuhusu familia yangu na maisha yangu kwa Ujumla.

MAMA WA2: “Hivi Insider unakaa wapi?”

MIMI: “Mbezi Massana kule juu.”

MAMA WA2: “Kumbe hutokei mbali.”

MIMI: “Sio sana ila kuna kaumbali.”

MAMA WA2: “Kidogo kule kumechangamka sana.”

MIMI: “Sababu ya Hospital naona pia ni kama kacentre flani hivi.”

MAMA WA2: “Chuo umesoma wapi?”

MIMI: “Chuo X “

MAMA WA2: “Mtoto wa mjini wewe, ndomana baada ya kumaliza chuo hukutaka kurudi home.”

MIMI: “Niliamua kuhustle hapahapa mjini. Hivi kwanini huna mpango wa kumiliki gari.?

MAMA WA2: “Nilikua na gari mbona, mwakajana nilipata ajali mbaya sana Insider na gari ilikua haifai. Nashukuru Mungu nilitoka salama kabisa, niliitengeneza ila gari na nikauza, sitak kusikia tena habari za gari, ila nikimaliza ujenzi nitanunua.”

MIMI: “Pole sana na ilikua gari gani?”

MAMA WA2: “Harrier, na nilichukuaga mkopo kisa gari.”

MIMI: “Pole sana Mama mkwe.”

MAMA WA2: “Ahsante, gari hata mwaka haikufikisha ikala mueleka.”

Na baada ya kumaliza kula tuliagiza wine na tukaendelea kunywa taratibu pale huku story zikiendelea.

Mida ya saa 10 jioni tulitoka na kwenda Beach kwaajili ya kwenda kisiwani, sasa kama unakwenda kupanda boti beach kuna kidaraja cha mbao kizuri sana na watu wanapendaga sana kupiga picha pale. Na pale Mama wawili alinipa simu yake nimpige picha na mimi sikuwa na hiyana nikampiga picha za kutosha.
(Kwa mtu anayekwenda Horizon lazima apige picha pale)

Tulipanda kwenye boat na kwenda kisiwani, Boat lilikua kubwa na tulikua kama watu 30 mle ndani. Kilikua ni kisafari cha kama dakika 20 mpaka kufika kisiwani. Muda huo kila mtu alikua na simu yake akichukua self wengine wakichukua video na wengine wakipigana picha, ilikua ni burudani kwakweli.

Tulifika kisiwani na tuliwakuta watu wengine kule, yaani kulikua na watu kibao pale kisiwani. Ni kisiwa kadogo sana wala sio kikubwa kihivyo. Na mle kisiwani kulikuwa na michezo kibao kama mpira wa miguu, na wanawake walikua wakicheza netball, ilikua ni burudani sana asee.

Tulikua watu wazima mle kisiwani na full vibe wanawake walionekana na vichupi, wengine taiti nknk, wanaume wapo waliokuwa na boxer na wengine bukta. Mimi nilikua nimevaa track nikavua nikabaki na boxer, kwa upande mwingine nilimwona mama wa2 kwa mbali akiwa na taiti alivua kile kipensi chake.

Tulitengeneza timu za watu sita (6) na zilikuwepo team 3 sasa ilikua ni mtoano. Tulilisakata kabumbu pale na kila mtu alikua na vibe sana mle kisiwani. Hakuna sehemu ngumu kusakata kabumbu kama Beach asee unatumia sana energy watu walikua wanaflop balaa.

Kuna muda tulipumzika na Mama wa2 akaomba twende upande wa2 wabahari na akaomba nimpige picha.

Tulikaa pale mpaka saa 12 ndio tukaanza kutoka pale kisiwani, wakati tumepanda kwenye Boat, Nahodha aliuliza kama wote tumefika kabla hatujaondoka na seat zote zilikuwa zimeenea.

Tulitumia kama nusu saa hivi kuwasili pale Beach na tulirudi tukakaa na tuka order vinywaji, muda huu palionekana kupendeza sana maana kulikuwa na watu wengi wakinywa, wakienjoy maisha.

Mama wa2 aliagiza Savannah na mimi niliagiza Heineken kinywaji changu pendwa. Muda ule hata mimi nilikua nahamu ya kuvibe, maana sikuwa na miadi na Iryn. Nilichungulia simu yangu na nikakuta, Prisca, Mary na Mama J wamenipigia simu.

Nilishangaa sana kuona Mama J kanipigia simu na alikua kanitumia text ambayo ilisomeka

“Naona nimekupa chance ya kuwa na Malaya wako ndomana hunitafuti.”

Palepale nilitabasamu nikasema Mama J tayari hasira zimeisha. (Mama J ni mtu ambaye hapendagi kufosiwa huwa anataka maamuzi afanye mwenyewe ndomana mimi na yeye tukigombana, huwa namuacha atulie kwanza au anitafute mwenyewe hapo ndo tunayajenga).

Nilimuaga Mama wa2 naenda kwenye gari maramoja ili nimpigie simu, na nilitumia muda huo kumpigia Mama Junior lakini hakupokea simu, nilipiga mara3 lakini hakupokea simu zangu.

Muda huo nikampigia simu Prisca na alipokea muda uleule ni kama mtu ambaye alikua akisubiri simu yangu kwa hamu sana.

PRISCA: “Hi Insider”

MIMI: “Safi tu, now uko sawa?”

PRISCA: “Yeah, ulisema tuonane tuongee”

MIMI: “Ndio nafikiri tufanye J3 Prisca maana kwa leo itakua ngumu si unajua leo ni weeknd kazi ni nyingi?”

PRISCA: “Jumatatu ni mbali sana why not tomorrow?”

MIMI: “Kesho nasafari ya Dodoma ndomana nikasema nitakuona Jumatatu.”

PRISCA: “Insider unaondoka hata hunambii are you serious?”

MIMI: “Sorry hata hivyo safari imetokea haraka tu, haikuwa kwenye mipango yangu.”

PRISCA: “Unakwenda kufanya nini Dodoma?”

MIMI: “kuna kazi mzee amenituma nikaifanye.”

PRISCA: “Kazi gani.?”

MIMI: “Prisca sijajua bado ila nikienda ndo nitajua maana kuna mtu nitaonana naye nikifika.”

PRISCA: “Na unarudi lini?”

MIMI: “Prisca si nilikwambia narudi jumatatu na tutaonana? Nitatumia ndege ili niwai.”

PRISCA: “Okay nilisahau na unaondoka muda gani?”

MIMI: “Natakiwa kuchek-in saa 2 asubuhi naondoka saa4”

PRISCA: “See you later, byee.”

Kuhusu Mary sikutaka kuhangaika naye hata kumpigia maana nilikua sina cha kumwambia muda ule, zaidi ningemdanganya tu.

Muda ule nilirudi kwa Mama wawili na tukaendelea kunywa pale, Mama wa2 akaanzisha maongezi,

MAMA WA2: “Vipi ulienda kuomba ruhusua nini?”

MIMI: “Hahaahaa nilikwenda chukua chaji ya simu na muda huu nilikua nimeishika mkononi.”

MAMA WA2: “Kama wamekupigia simu sema bhana tuondoke.”

MIMI: “Wewe ukisema tuondoke ni sawa mimi sina shida kabisa. Nikalale mapema kesho nasafari asubuhi.”

Nilikaa pale tukaendelea na story na muda ule Mama wawili alinonekana na furaha sana,

MIMI: “Mama mkwe naona leo unafuraha sana kuliko siku zote.”

MAMA WA2: “Leo nimeinjoy sana kule Beach honestly huku nitakuja tena, nilikuona unasakata kabumbu upo vizuri sana.”

MIMI: “Mpira ni kipaji changu sana, nimechezea team ya shule wakati niko form4 na 6.”

MAMA WA2: “Nilikuona asee unakimbiza balaa.”

MIMI: “Si unajua life is too short, If you get a chance celebrate.”

MAMA WA2: “You only live once”

MIMI: “Vipi lakini kuhusu mwanao Pili anaendeleaje na masomo?

(yule mtoto wake wa kwanza ambaye yuko Advance).

MAMA WA2: “Yuko salama kabisa na jana nimeongea na Matron wao yuko vizuri.”

MIMI: “Anasoma wapi?

MAMA WA2: “Yuko hapo Kerege Marian Girls.”

MIMI: “Sasa mbona hukusema tupitie kumsalimia?”

MAMA WA2: “Insider kuna tarehe special za visiting, pia watapewa likizo kwaajili ya Easter.”

MIMI: “Hongera sana kwa kuwa na bint mkubwa, soon utaanza kula matunda yake.”

MAMA WA2: “Insider sipendi bint zangu waje kuwa kama mimi mama yao.”

Na muda huu tuliongeza vinywaji vingine na mama wa2 alikua akitawala mchezo katika maongezi.

MIMI: “Kwanini? Maana mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.”

MAMA WA2: “Insider you know sometimes sisi wanawake tunapitia vipindi vigumu sana, kuna mwanaume kukuoa na mtoto ni ngumu sana. Mimi siwezi kuwa na mume tena mpaka kufa kwangu.”

MIMI: “You never know, sometimes Mungu anakua na mipango yake huwezi jua kakupangia nini na amekuepusha na nini.”

MAMA WA2: “Unajua sometimes tunamwonea Mungu, kwamba alipanga mimi kuwa single mother?. Unajua Mwanamke bila mume hajakamilika, hakuna mwanamke asiyependa kuolewa Insider. Mwanaume ni kama kiongozi kwenye mahusiano au familia, unafikir najiskiaje kuona wanangu hawawaoni baba zao? Mwanaume mpaka ajiskie ndo anakuja kumwona mtoto atlist rachel anamwona Baba yake mara kwa mara ila Pili anaenda mwaka hajamwona Baba yake.”

MIMI: “Aisee pole sana, unakidonda kikubwa sana Mama mkwe.”

MAMA WA2: “Usione tunavaa tunapendeza tunacheka lakini nakidonda kikubwa sana moyoni. Nashukuru Mungu na kazi ambayo inanipa kipato napata pesa ya kuishi na Familia yangu.”

MIMI: “Kwani Baba yake na Pili yuko wapi?”

MAMA WA2: “Yuko Mwanza ni moja ya wanaume ambao wamesababisha mimi leo kuwa hivi.”

MIMI: “Kwanini unasema hivyo?”

Kwa kifupi kutokana na maelezo ya Mama wa2 alisema alikutana na Baba Pili mwaka 2003 mwanza wakati anafanyia kazi kampuni moja huko. Baada ya hapo wakaanza mahusiano na Baba yake Pili ni mfanyabiashara, hatimaye akapata mimba ya Pili ila baadae alikuja kujua jamaa ana mke na watoto wa2. Na kipindi hicho alianza kupata vitisho kutoka kwa mke wa jamaa, na pia kutokana na kuwa na mimba kampuni ikamwachisha kazi ikabidi afanye mchakato wa kurudi kwao Moshi kwa Mama yake.

Baada ya kuzaa alikaa kama miaka 2 kwao akimlea mtoto na hicho kipindi chote Baba mtoto hakuwai mtafuta wala kujua hali yake. Baada ya hapo alianza kutafuta kazi na akapata moja ya shirika pale Moshi na alifanya kazi mpaka 2012 ndo akapata connection na moja ya wateja wake. Anasema kwenye lile shirika alikuwa akilipwa mshahara kidogo sana na kipindi hicho alikua anakaa kwao. Huyo mtu alimuunganisha Mama wa2 na huyu mtu ambaye ndo Baba yake Rachel kwa sasa.

Baada ya kupewa namba za Baba Rachel aliwasiliana naye na akamtumia CV yake, Baada ya Mwezi alimpigia simu aende Dar es salaam kwaajili ya training. Mama wa2 anasema alishangaa sana maana hata hakufanya Interview yoyote, jamaa alifanya kumsaidia tu. Alifika Dsm na alikutana na Jamaa ambaye alimpokea na baada ya kumaliza training alipangiwa kazi hapahapa Dar es Salaam. (Baba yake Rachel ni moja ya watu wakubwa sana kwenye hiyo Bank hapa nchini na ni moja ya Directors anaonekana sana kwenye TV).

Baada ya hapo Jamaa alimtongoza kutokana na jamaa kumsaidia hakusita kumkatalia sababu ndo aliyemsaidia kupata kazi. Lakini Jamaa alimwambia kuwa ana mke tayari na wakakubaliana akipata mtu sahihi awe huru kuolewa naye. Waliendelea kuwa na mahusiano ya siri mwisho wa siku akapata mimba ya Rachel, hakutaka kutoa mimba ikabidi azae tu ndo kupata mtoto wa pili.

MIMI: “Aisee yule ndo Baba yake Rachel?”

MAMA WA2: “Ndio yule ni Baba yake Rachel, Nashukuru anampenda sana mwanaye huwa anatafuta muda sana wa kukaa ba Bint yake japo ndo siri mke wake hajui lolote.”

MIMI: “Kama anajali mtoto sio mbaya, vipi kuhusu Baba Pili ndo alitelekeza mtoto.?”

MAMA WA2: “Baba Pili alikuja kunitafuta wakati Pili ana miaka 2 ndo kidogo akaanza kutuma Pesa za matumizi na kumwona.”

MIMI: “Mama mkwe ulipitia kipindi kigumu sana, pole sana.”

MAMA WA2: “Ahsante kipindi niko pale Moshi na lile shirika nilipata mwanaume ambaye alinipenda sana na alikua tayri kunioa ila nilivyomwambia nina mtoto alikimbia nduki na hakuwai nitafuta tena, kwa ujumla nilipata wanaume 3 lakini wakisikia habari ya mtoto ndo inakua tiketi ya kuondoka.”

MIMI: “Muda bado Mama Mkwe utapata tu wa kukuoa usiwe na wasi wasi umri bado unaruhusu.”

MAMA WA2: “Insider Mwanaume kamili aliyekamilika ambaye hatumii hisia kwenye maamuzi hawezi kukubali kuoa mwanamke aliyezalishwa na Mwanaume mwingine. Insider wewe uko tayari kuoa mwanamke ambaye amezalishwa na mwanaume mwingine?”

MIMI: “Hapana kwakweli siwezi.”

MAMA WA2: “Sasa unaona! Mimi huwa nawashangaa sana vijana wanaoa single mothers hata kama ni kupenda ila ni Risk sana.”

MIMI: “Aisee kwamba hutaki Single mothers waolewe?

MAMA WA2: “Hapana ila kwa Mwanaume hakikisha Baba mtoto amekufa na akuonyeshe kaburi otherwise hesabu maumivu. Ila wapo wanawake single mothers wanajitambua ila ni wachache sana.”

MIMI: “Unachosema ni kweli na upande wa Single fathers?”

MAMA WA2: “Tofauti wanaume anaweza kuzaa na mwanamke yoyote yule, wanaume wana tamaa tofauti na mwanamke anazaa na mwanaume anayempenda regardless kama anapendwa au laah!”

MIMI: “Naona leo umenipa lecture ya Mapenzi.”

Na muda huu tulikua tunaendlea kunywa bia kwa wingi sana kama ratiba za kurudi home zilipotea hivi,

TUTAENDELEA!
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Nimemaloza aise nimesoma kwa muda wa masaa 24 mfulilizo kuanzia saa 2 aaubui mpaka saa 10 usiku nikaanza tena toka saa 2 asubui mpaka saa 6 mchana.

INSIDER MAN Mimi Naomba Connection kwa TYNER ya kupata kazi hapo uwanja wa ndege (JNIA) hata ya kuburuza mizigo ya wateja naamini kazi za hapo zitakuwa na posho na Tips kimtindo.

Nipe Connection nduguyangu INSIDER MAN hali tete mtaani.
 
Am I missing some parts?

Nakumbuka kuna kipande cha mdada alichukuliwa wapi sijui, akapanda na kumuamuru Insider afate ramani.

Insider akaenda akarudi akakuta bumubda lipo nje. Akachukua mkono na kulishika, hivi iliishia pale pale pasipo muendelezo? Au iliishia pale pale.

Naomba mtu ani-tag muendelezo tafashali. Natanguliza Shukrani.
Nimechekaaa kulikuta bumunda liko nje. Japo umechanganya mafail mkuu. Bumunda la kushikwa shikwa lilikuwa la Prisca alikuwa na strees zake,akalewa akapandwa na genye,akataka zimalizwe na insider na fail ulilounganisha ni la yule malaya aliechukua Uber kumbe hana hela,akataka amgawie kitumbua insider
 
Ni DM na picha yako bhasi[emoji3]
Kila jambo Lina wakati wake....

Ukifeli muda huu kutafuna pisi za humu.... kipindi story bado iko hot...... huko mbele usahau!!!

Mabinti wa humu wanalika kiulaini saana...../mnoo kwa story za hivi.... they feel like telemundo love!!!

But chunga usitoke njia kuu....
Diversion Huwa ni za muda tu.
 
Kwa kuitaja Oryx ina maana mzee baba haya matukio sio ya muda mrefu sana (miaka kidogo tu nyuma)...

Mtu mzima hii ni series ya moto kabisa haijapoa. Nafikiri Kuna matukio mengine ni ya mwaka huu.

Ile segment ya INSIDER MAN kumwambia Iryn I know what you want, akamvuta na akatoa ushirikiano ulishaanza kushangilia kwamba maandiko yametimia Mara graph ikashuka.

Uko salama lakini Kaka?
 
Mkuu INSIDER MAN siku moja moja uwe unatustukiza na ka episode walau kamoja nje ya utaratibu pindi nafasi inapopatikana,sio lazima isubiri wikiend.
Halafu unavyopenda mikataba,unaweza kuwa haya makubaliano yetu pia umeyaandika kwenye notebook.
Halafu kweli, tutulie tu, nadhani hapa tushawekwa kwenye mkataba ndani ya notebook [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Mkuu INSIDER MAN siku moja moja uwe unatustukiza na ka episode walau kamoja nje ya utaratibu pindi nafasi inapopatikana,sio lazima isubiri wikiend.
Halafu unavyopenda mikataba,unaweza kuwa haya makubaliano yetu pia umeyaandika kwenye notebook.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ile segment ya @INSIDER MAN kumwambia Iryn I know what you want, akamvuta na akatoa ushirikiano ulishaanza kushangilia kwamba maandiko yametimia Mara graph ikashuka.

Hiki kipande kitaendelea tu mkuu, pale iliandikwa dibaji tu 😁, muda si mrefu chapter 1 itaanza...

Uko salama lakini Kaka?

Mungu ni mwema mkuu, natumai upo fresh pia...
 
EPISODE 30

Baada ya kufika home nilipark gari na ile naingia ndani namkuta Iryn yuko seblen akiwa amemshika mwanangu Junior. Na muda huo alikuwepo na wife, nilishtuka sana kumwona Iryn muda ule na sikujua kwanini Iryn alikuja home bila kutoa taarifa.

CONTINUE…..

Muda huu niliwaza huenda aliwasiliana na Mama Junior ndomana akaja home. Wote walikuwa wakinitizama ikabidi nimsalimie pale,

“Iryn habari yako karibu sana, hii saprize ya leo kiboko.”

“Ahsante nilim-miss mme wangu Junior nikasema nije nimsalimie na mama yake.”

Na pembeni ilionekana gari ya mtoto zile za kuendesha ambazo zinatumia remote na mtoto anaweza kuingia ndani akashikilia steering. Nikajua hii itakuwa ni zawadi ya Junior ameletewa na Iryn.

“Karibu sana naona hata Junior leo atalala vizuri”

Na mimi niliondoka nikaelekea chumbani sikutaka kubaki pale. Na muda ule chumbani nilikuwa nawaza ni nini ambacho kimemleta Iryn home. Niliwaza huenda wife ana mawasiliano ya siri na Iryn, na wakati nikiwa bado kitandani Mama J alikuja chumbani.

“Baba J mgeni wake anakusubiri unamwachaje bossy wako seblen?”

“Mimi niliwaacha ili muwe huru kuongea.”

“Sio vizuri hivyo.”

Muda huo nilitoka nakwenda seblen kuonana na Iryn.

MIMI: “Iryn ulikuja kwaajili yangu au Junior? Kama mimi ungenijulisha najua.”

IRYN: “Nilikuja kwaajili ya Junior ila kurudi kwako mapema imekuwa jambo jema maana pia nahitaji kuongea na wewe.”

MIMI: “Ulipaswa unipe taarifa kama usingekuta watu ingekuwaje?”

IRYN: “Niliamua kuja bila taarifa sababu nilijua lazima nitawakuta watu. Insider wewe ushakuwa Familia tayari sina haja ya kutoa taarifa navyokuja kwako hapa ni kama nyumbani tu, au hujapenda ujio wangu?”

Niliona Iryn anaongea point hivyo nilijikuta nakosa cha kuongea muda huu maana hata mimi huwa nakwenda kwake bila taarifa.

IRYN: “Insider najua nimekukose…….”

Ilibidi nimkatishe maongezi yake muda ule maana niliona nyumbani sio sehemu sahihi ya kuzungumza. Sikutaka wife ajue kinachoendelea.

MIMI: “Iryn hii sio sehemu sahihi ya kuzungumza nadhani mazingira unayaona, naomba tuondoke tutafute sehemu tukae chini tuzungumze.”

IRYN: “Sawa haina shida.”

Niliingia ndani nikachukua funguo ya gari Dualis ili tuondoke na muda huu Iryn aliagana na wife na akampa Junior laki moja. Na muda huu Junior alianza kumlilia Iryn wakati tukiondoka.

MIMI: “Twende tukale kitimoto leo”

Muda huu Iryn alikuwa akiniangalia sana na mimi nikimuangalia alikuwa anatabasamu.

IRYN: “Insider umenunua gari mpya?”

MIMI: “Napata wapi mimi hela za kununua gari wakati umenifukuza kazi.”

IRYN: “Insider wewe ni hustler hushindwi kununua gari kama hii, kwanini hujikubali?”

MIMI: “Mimi kama nanunua gari chaguo langu ni Audi Q5, lakini hii gari sio yangu.”

IRYN: “Hayo ndo maneno sasa, kama sio yako ni ya nani?”

MIMI: “Kuna Mzee mmoja nafahamiana naye ameniachia nimuangalizie kwa muda.”

IRYN: “Insider watu wanakuamini sana you’re very lucky.”

MIMI: “Yeah uaminifu tu ndo kitu muhimu kwenye hii Dunia.”

Tuliwasili pale Juliana na mimi nikaacha gari pale car wash ili lioshwe na nilimuachia jamaa yangu wa siku zote.

“Tajir naona una chuma mpya kabisa, hongera sana.”

“Kaka hizo jeuri sina mimi level zangu ni Ist tu.”

Baada ya kushuka muda huu macho yote yalikuwa kwa Iryn.

“Kaka acha kutolea macho mali za wakubwa.”

“Bro Msalimie shemeji bhasi.”

Iryn ilibidi atabasamu tu na aliniangalia kama akisubiri nitatoa jibu gani kwa jamaa. Na mimi nilinyamaza tu, sikusema kitu.

Tuliingia ndani na tukatafuta sehemu nzuri ya kukaa, muda huu mhudumu alikuwa amefika tayari na nikaagiza kitimoto nusu ya ku-roast na ugali wa donna.

Na muda huu tukisubiri odda yetu story ziliendelea,

MIMI: “Nambie Ex bossy wangu.”

IRYN: “Insider first of all I’m really sorry nilitumia hasira katika kufanya maamuzi that day.”

MIMI: “Iryn naomba niambie ukweli ni nini kilipelekea vile maana toka uje home that day ndo ulifanya yale maamuzi.”

IRYN: “Insider nilikuwa na hasira sana, sikuamini mtu ambaye nimekuamini na kukwambia siri zangu nyingi ukaamua kunificha suala la wewe kuwa na mke na mtoto.”

MIMI: “Iryn mbona nilikwambia nitakwambia siri zangu zote na nilikuahidi au umesahau?, afu naomba utambue jambo moja sisi Wanaume hatuna tabia ya kutoa siri zetu mapema huwa tuna buy kwanza time.”

IRYN: “Insider kuna vitu vya kuhide ila sio mtoto.”

MIMI: “Sasa Iryn ningekuwa na nia mbaya si ninge hide usione status zangu? anyway naomba nisamehe kwa hili kweli nilikukosea. Maendeleo yako kwa ujumla yakoje lakini?.”

IRYN: “Salama tu Grizmann alikuja ila aliondoka alikaa siku 2, anakusalimia sana.”

MIMI: “Grizmann ulimwambiaje kuhusu mimi?”

IRYN: “Nilimwambia umeenda kusalimia wazazi.”

MIMI: “Sounds great.”

Dada alituletea kitimoto na donna na tukaanza kula pale.

IRYN: “Insider mimi nakula sababu ya kitimoto niliki-miss nimeshiba hapa.”

MIMI: “Umeona kitimoto ilivyo tamu?”

IRYN: “Ni kitamu balaa”

MIMI: “Iryn unaonekana wa kizungu ila mambo yako ni ya kiswahili sana.”

IRYN: “Binadamu anatakiwa kuishi kutokana na mazingira.”

Na muda huu nilimwita dada na nikamwambia afunge takeaway ya kitimoto kingine kwaajili yangu na Iryn.

Tuliondoka Juliana na muda huu ilikuwa saa 12 jioni tayari. Nilimpeleka Iryn Kijitonyama na baada ya kuwasili pale tulishuka na kwenda ndani lakini gari niliiacha nje getini.

Baada ya kuingia ndani kulikuwa na bahasha mezani seblen, aliifungua na kutoa karatasi zilizokuwepo mle ndani na alinikabidhi. Na mimi muda uleule nikaanza kuzikagua ili nijue ni nini.

IRYN: “Insider nataka tusign deal mpya na hiyo ni Mikataba ya kazi, kwasasa utakuwa kama Operation Manager wa kampuni, kazi yako itakuwa ni kuchukua mizigo kule bandarini na kusupply kwenye saloon kama unavyofanyaga siku zote. Saloon zote kwa sasa nimeamua ziwe chini ya kampuni moja ile ya Masaki ili usimamizi uwe rahisi.”

MIMI: “Umefanya jambo zuri sana.”

IRYN: “Insider truly, I need you back, uendeleze ulikoishia please.”

MIMI: “Iryn mimi kama umenipa mkataba wa kurudi kazini siwezi kukataa kazi, nashukuru kwa kukuona umuhimu wangu na kuamua kunirudisha.”

IRYN: “Thank you Insider, ondoka na huo mkataba kausome vizuri afu utaurudisha ukija tena huku.”

MIMI: “Sawa haina shida Bossy wangu, hata kesho tutaonana.”

Ukweli baada ya Iryn kunipa mkataba wa kurudi mzigoni nilifurahi sana maana Biashara ya Uber ilikuwa ngumu sana kipindi hiki mambo yalikuwa ni magumu sana. Sikuwa na jeuri ya kukataa ule mkataba kwakweli.

Nilitumia dakika 45 kukaa pale kwa Iryn na niliondoka kurudi nyumbani moja kwa moja. Ndani ya dakika 20 nilikuwa niko home tayari nilipark gari vizuri na nikaingia ndani.

WIFE: “Ndo umetoka kumsindikiza Bossy wako?” Huku akionesha tabasamu la kinafiki.

MIMI: “Kuna sehemu nilipitia.”

WIFE: “Iryn ni mtu mzuri nimeshinda naye hapa toka asubuhi, tulikwenda sokoni na nikamfundisha kupika majani ya maboga.”

MIMI: “Leo umeamua kusema ni mtu mzuri wakati unasemaga humwamini.”

WIFE: “She is a nice person.”

MIMI: “Aya bwana.” Na mimi nikaingia ndani kuoga.”

Baada ya kuoga na kujiandaa niliamua kuupitia ule mkataba vizuri. Kwa ufupi mkataba ulikuwa mzuri na uli onesha mimi kuwa “Operation manager” na majukumu yangu ni pamoja na kuchukua mizigo bandarini na kupeleka kwenye saloon zote, jukumu lingine ni pamoja na kurecord mizigo yote inayoingia na kutoka.

Mkataba pia ulionesha ratiba za usiku zingeendelea kama kawaida na suala la mshahara ilikuwa ni 2,000,000/= kwa mwezi. Nikapiga hesabu nikitoa na cost za mafuta na mambo mengine siwezi kosa 1,500,000/= kama faida. Niiliona hili ni deal zuri sana na nikajisemea mwenyewe kwasasa hata nisipopiga bolt na uhakika wa maisha na deni la Mama wa2 nitalilipa haraka.

Baada ya kuupitia ule mkataba vizuri nili u-sign na nikaurudisha kwenye bahasha.

Kesho yake ambayo ni Jumapili nilikwenda kanisani asubuhi misa ya saa1 na baada ya kurudi niliamua kumpigia Prisca lakini bado alikuwa kaniblock. Na muda huu niliamua kumpigia kwa namba nyingine, na ndani ya muda mfupi alipokea simu.

MIMI: “Nambie bae, naona umeamua kuniblock. Kama umeniacha nambie bhana.”

PRISCA: “Insider I need to stay away from you.”

MIMI: “Naona unafanya maamuzi kwa kutumia hasira ila unaonekana unanipenda. Acha kuumiza hisia zako bwana, kesho nitaaa…..”

Prisca alikata simu wakati nikiendelea kuongea na mimi nikaamua kuachana naye lakini nikawaza kesho ambayo ni Jumatatu nitakwenda chuo kumcheki.

Mchana nilitoka home na nilimwaga wife kuwa natoka na moja kwa moja nilikwenda kwa Iryn. Baada ya kufika nilifungua geti na nikaingiza gari ndani. Nilikuwa bado navimba na Dualis gari ya Mzee maana alinambia niendelee kuitumia huku napima performance yake barabarani.

Wakati nimeshuka kwenye gari nilimwona yule jamaa jirani na nikamsalimia nikafungua mlango nikaingia ndani. Huyu mwamba alikuwaga ananiangalia sana kila nikija pale kwa Iryn, ni kama alikuwaga anajua mimi ndo nakula mrembo Iryn.

Baada ya kuingia ndani nilimkuta Iryn chumbani na nilisikia akiniita.

“Insider…… njoo huku ndani.”

Na mimi nilikwenda moja kwa moja mpaka chumbani kwake na nikaingia ndani. Nilimkuta akipanga nguo zake muda huu,

MIMI: “Nambie mummy, nakuona upo busy.”

IRYN: “Ndomana nimekuita huku tuendelee na mazungumzo wakati napanga nguo.”

MIMI: “Hujatoka leo?”

IRYN: “Nilitoka na Mama Janeth alikuja leo hapa home.”

MIMI: “Anasemaje ni kitambo sijamwona.”

IRYN: “Alikuwa anakuulizia pia, Insider mwezi huu nahama hapa itabidi unisaidie kutafuta apartment nyingine. Nataka sehem iliyotulia.”

MIMI: “Maeneo yaliyotulia ni Masaki, Oysterbay labda huko.”

IRYN: “Insider huko hapana, unajua huko kuna wafanyakazi wengi sana wa Organization X ambao wananifahamu hiki ndo najaribu ku-avoid.”

MIMI: “Ok hapo nimekuelewa, maeneo mengine ni Mbezi Beach, Mikocheni na Msasani.”

IRYN: “Atleast maeneo hayo, nataka tukitoka hapa twende saloon kule Mikocheni, niwapelekee na simu wale dada zangu.”

MIMI: “Sawa haina shida na mimi nilitoka kwenda seblen.”

Baada ya masaa 2 tulitoka pale kwake na uelekeo ulikuwa ni Mikocheni, na muda huu alikuwa kazishika simu mbili mkononi “Iphone 12 Pro Max”.

MIMI: “Sasa unawapa watu wa2 tu huoni kama wengine watajisikia vibaya?”

IRYN: “Insider hata maofisini kuna kuwaga na best worker na anapata zawadi mbele ya wenzake. Hiki nachofanya kitapelekea na wengine wafanye kazi kwa bidii, kila unayemwona pale ana target yake ya kila mwezi na pia nje na mshahara huwa nawapa bonus kulingana na kazi.”

MIMI: “Hapo sawa so umepanga kuwapa akina nani?”

IRYN: “Nitampa Lucy na Jacky”
(Lucy ni yule dada ambaye huwa anakuja na kuondoka na gari ya mzigo.)

MIMI: “Nilijua Lucy hawezi kukosa hapa.”

IRYN: “She is working too hard, anan-inspire kwakweli. Hizi simu pia zitawasaidia kwenye kupiga picha na kupost kwenye mitandao.”

MIMI: “Ni kweli kabisa.”

Tuliwasili pale Mikocheni na Iryn alitoka akaingia ndani akiwa amezishika simu mkononi na baada ya dakika 10 alirudi na akaingia kwenye gari.

MIMI: “Vipi ushawapa simu best worker wako?”

IRYN: “Nimewapa tayari na wamefurahi kweli. Hata wewe nilikupa lakini ulimpa mke wako, Insider kuna kitu nimekigundua kutoka kwako unaipenda sana familia yako.”

MIMI: “Unajua kwanini nilimpa simu wife? Niliona simu ya thamani kama ile kwa mimi kutembea nayo barabarani ingeweza hata ibiwa, ni risk kubwa sana kuifanyia Uber, niliona bora atumie wife tu kwa usalama zaidi.”

IRYN: “Hayo ni wewe mimi nilikupa na siwezi kuingilia matumizi yako, tunakwenda wapi now?.”

MIMI: “Nakusikiliza Bossy wangu.”

IRYN: “Natamani sana twende Beach”

MIMI: “Ok ngoja nikupeleke sehemu moja hivi ukainjoy but don’t ask me where to.”

IRYN: “No problem lets go.”

Tuliondoka pale Mikocheni na break ilikuwa Upepo garden, niliamua kumpeleka huku nilijua lazima angepakubali tu.

Baada ya kupark gari tuliingia ndani na tulikwenda kukaa sehemu nzuri ambayo ipo karibu na bahari, na muda huu ilikuwa jioni tayari na kulikuwa na kaupepo kazuri ka bahari kakipuliza.

IRYN: “Insider this place is amazing, I’m starting to like this place.”

MIMI: “Pametulia sana ila si unaona watu wamekaa ki-couples?”

IRYN: “Hahahahaaa so unataka kusema this area is special for couples?”

MIMI: “Indeed”

Muda huu mhudumu alifika kutusikiliza na alikuwa ni pini na wote tuliishia kuagiza wine na seafood. Sasa wakati dada anatoka eneo letu mimi niliishia kumwangalia akiondoka.

IRYN: “Insider umeshampenda dada wa watu.”

MIMI: “Hamna bhana namfananisha kama nilishawahi kumwona sehemu.”

IRYN: “Mmh acha uongo bhana, sema umemtamani dada wa watu.”

MIMI: “Nishindwe kukutamani wewe nimtamani yule dada?, kwanza kwako hata theluthi hafikii.”

Na muda huu Iryn aliishia kunipiga na kibao cha kichokozi.

Tulikaa sana na kadri muda unavyozidi kwenda ndo watu walizidi kumiminika kwa wingi. Kwa Jumapili Upepo garden panakuwaga na watu sana. Na sisi hatukutaka kukaa sana eneo hili hivyo tuliamua kuondoka.

Saa 3 ndo muda tuliotoka pale na nilimpeleka Iryn kwake na mimi nikarudi home kulala ili niwai kujipanga na majukumu ya jumatatu.

Kwa upande mwingine Iryn alifurahi sana baada ya kumrudishia mkataba na ku-sign na tulikubaliana jumanne ningeanza kufata mizigo bandarini.

Baada ya kurudi home nilikaa chini na nikapanga mipango mipya, sikutaka kufanya makosa tena kipindi hiki. Suala la Bajaji ya wife nilikuwa nimekamilisha nikapata wazo nimfungulie Junior account ya bank na iwe fixed account. Niliwaza nikipata pesa niwe namuwekea dogo hata kama kidogo.

TO BE CONTINUED.
 
EPISODE 29

Baada ya kufika home nilipark gari na ile naingia ndani namkuta Iryn yuko seblen akiwa amemshika mwanangu Junior. Na muda huo alikuwepo na wife, nilishtuka sana kumwona Iryn muda ule na sikujua kwanini Iryn alikuja home bila kutoa taarifa.

CONTINUE…..

Muda huu niliwaza huenda aliwasiliana na Mama Junior ndomana akaja home. Wote walikuwa wakinitizama ikabidi nimsalimie pale,

“Iryn habari yako karibu sana, hii saprize ya leo kiboko.”

“Ahsante nilim-miss mme wangu Junior nikasema nije nimsalimie na mama yake.”

Na pembeni ilionekana gari ya mtoto zile za kuendesha ambazo zinatumia remote na mtoto anaweza kuingia ndani akashikilia steering. Nikajua hii itakuwa ni zawadi ya Junior ameletewa na Iryn.

“Karibu sana naona hata Junior leo atalala vizuri”

Na mimi niliondoka nikaelekea chumbani sikutaka kubaki pale. Na muda ule chumbani nilikuwa nawaza ni nini ambacho kimemleta Iryn home. Niliwaza huenda wife ana mawasiliano ya siri na Iryn, na wakati nikiwa bado kitandani Mama J alikuja chumbani.

“Baba J mgeni wake anakusubiri unamwachaje bossy wako seblen?”

“Mimi niliwaacha ili muwe huru kuongea.”

“Sio vizuri hivyo.”

Muda huo nilitoka nakwenda seblen kuonana na Iryn.

MIMI: “Iryn ulikuja kwaajili yangu au Junior? Kama mimi ungenijulisha najua.”

IRYN: “Nilikuja kwaajili ya Junior ila kurudi kwako mapema imekuwa jambo jema maana pia nahitaji kuongea na wewe.”

MIMI: “Ulipaswa unipe taarifa kama usingekuta watu ingekuwaje?”

IRYN: “Niliamua kuja bila taarifa sababu nilijua lazima nitawakuta watu. Insider wewe ushakuwa Familia tayari sina haja ya kutoa taarifa navyokuja kwako hapa ni kama nyumbani tu, au hujapenda ujio wangu?”

Niliona Iryn anaongea point hivyo nilijikuta nakosa cha kuongea muda huu maana hata mimi huwa nakwenda kwake bila taarifa.

IRYN: “Insider najua nimekukose…….”

Ilibidi nimkatishe maongezi yake muda ule maana niliona nyumbani sio sehemu sahihi ya kuzungumza. Sikutaka wife ajue kinachoendelea.

MIMI: “Iryn hii sio sehemu sahihi ya kuzungumza nadhani mazingira unayaona, naomba tuondoke tutafute sehemu tukae chini tuzungumze.”

IRYN: “Sawa haina shida.”

Niliingia ndani nikachukua funguo ya gari Dualis ili tuondoke na muda huu Iryn aliagana na wife na akampa Junior laki moja. Na muda huu Junior alianza kumlilia Iryn wakati tukiondoka.

MIMI: “Twende tukale kitimoto leo”

Muda huu Iryn alikuwa akiniangalia sana na mimi nikimuangalia alikuwa anatabasamu.

IRYN: “Insider umenunua gari mpya?”

MIMI: “Napata wapi mimi hela za kununua gari wakati umenifukuza kazi.”

IRYN: “Insider wewe ni hustler hushindwi kununua gari kama hii, kwanini hujikubali?”

MIMI: “Mimi kama nanunua gari chaguo langu ni Audi Q5, lakini hii gari sio yangu.”

IRYN: “Hayo ndo maneno sasa, kama sio yako ni ya nani?”

MIMI: “Kuna Mzee mmoja nafahamiana naye ameniachia nimuangalizie kwa muda.”

IRYN: “Insider watu wanakuamini sana you’re very lucky.”

MIMI: “Yeah uaminifu tu ndo kitu muhimu kwenye hii Dunia.”

Tuliwasili pale Juliana na mimi nikaacha gari pale car wash ili lioshwe na nilimuachia jamaa yangu wa siku zote.

“Tajir naona una chuma mpya kabisa, hongera sana.”

“Kaka hizo jeuri sina mimi level zangu ni Ist tu.”

Baada ya kushuka muda huu macho yote yalikuwa kwa Iryn.

“Kaka acha kutolea macho mali za wakubwa.”

“Bro Msalimie shemeji bhasi.”

Iryn ilibidi atabasamu tu na aliniangalia kama akisubiri nitatoa jibu gani kwa jamaa. Na mimi nilinyamaza tu, sikusema kitu.

Tuliingia ndani na tukatafuta sehemu nzuri ya kukaa, muda huu mhudumu alikuwa amefika tayari na nikaagiza kitimoto nusu ya ku-roast na ugali wa donna.

Na muda huu tukisubiri odda yetu story ziliendelea,

MIMI: “Nambie Ex bossy wangu.”

IRYN: “Insider first of all I’m really sorry nilitumia hasira katika kufanya maamuzi that day.”

MIMI: “Iryn naomba niambie ukweli ni nini kilipelekea vile maana toka uje home that day ndo ulifanya yale maamuzi.”

IRYN: “Insider nilikuwa na hasira sana, sikuamini mtu ambaye nimekuamini na kukwambia siri zangu nyingi ukaamua kunificha suala la wewe kuwa na mke na mtoto.”

MIMI: “Iryn mbona nilikwambia nitakwambia siri zangu zote na nilikuahidi au umesahau?, afu naomba utambue jambo moja sisi Wanaume hatuna tabia ya kutoa siri zetu mapema huwa tuna buy kwanza time.”

IRYN: “Insider kuna vitu vya kuhide ila sio mtoto.”

MIMI: “Sasa Iryn ningekuwa na nia mbaya si ninge hide usione status zangu? anyway naomba nisamehe kwa hili kweli nilikukosea. Maendeleo yako kwa ujumla yakoje lakini?.”

IRYN: “Salama tu Grizmann alikuja ila aliondoka alikaa siku 2, anakusalimia sana.”

MIMI: “Grizmann ulimwambiaje kuhusu mimi?”

IRYN: “Nilimwambia umeenda kusalimia wazazi.”

MIMI: “Sounds great.”

Dada alituletea kitimoto na donna na tukaanza kula pale.

IRYN: “Insider mimi nakula sababu ya kitimoto niliki-miss nimeshiba hapa.”

MIMI: “Umeona kitimoto ilivyo tamu?”

IRYN: “Ni kitamu balaa”

MIMI: “Iryn unaonekana wa kizungu ila mambo yako ni ya kiswahili sana.”

IRYN: “Binadamu anatakiwa kuishi kutokana na mazingira.”

Na muda huu nilimwita dada na nikamwambia afunge takeaway ya kitimoto kingine kwaajili yangu na Iryn.

Tuliondoka Juliana na muda huu ilikuwa saa 12 jioni tayari. Nilimpeleka Iryn Kijitonyama na baada ya kuwasili pale tulishuka na kwenda ndani lakini gari niliiacha nje getini.

Baada ya kuingia ndani kulikuwa na bahasha mezani seblen, aliifungua na kutoa karatasi zilizokuwepo mle ndani na alinikabidhi. Na mimi muda uleule nikaanza kuzikagua ili nijue ni nini.

IRYN: “Insider nataka tusign deal mpya na hiyo ni Mikataba ya kazi, kwasasa utakuwa kama Operation Manager wa kampuni, kazi yako itakuwa ni kuchukua mizigo kule bandarini na kusupply kwenye saloon kama unavyofanyaga siku zote. Saloon zote kwa sasa nimeamua ziwe chini ya kampuni moja ile ya Masaki ili usimamizi uwe rahisi.”

MIMI: “Umefanya jambo zuri sana.”

IRYN: “Insider truly, I need you back, uendeleze ulikoishia please.”

MIMI: “Iryn mimi kama umenipa mkataba wa kurudi kazini siwezi kukataa kazi, nashukuru kwa kukuona umuhimu wangu na kuamua kunirudisha.”

IRYN: “Thank you Insider, ondoka na huo mkataba kausome vizuri afu utaurudisha ukija tena huku.”

MIMI: “Sawa haina shida Bossy wangu, hata kesho tutaonana.”

Ukweli baada ya Iryn kunipa mkataba wa kurudi mzigoni nilifurahi sana maana Biashara ya Uber ilikuwa ngumu sana kipindi hiki mambo yalikuwa ni magumu sana. Sikuwa na jeuri ya kukataa ule mkataba kwakweli.

Nilitumia dakika 45 kukaa pale kwa Iryn na niliondoka kurudi nyumbani moja kwa moja. Ndani ya dakika 20 nilikuwa niko home tayari nilipark gari vizuri na nikaingia ndani.

WIFE: “Ndo umetoka kumsindikiza Bossy wako?” Huku akionesha tabasamu la kinafiki.

MIMI: “Kuna sehemu nilipitia.”

WIFE: “Iryn ni mtu mzuri nimeshinda naye hapa toka asubuhi, tulikwenda sokoni na nikamfundisha kupika majani ya maboga.”

MIMI: “Leo umeamua kusema ni mtu mzuri wakati unasemaga humwamini.”

WIFE: “She is a nice person.”

MIMI: “Aya bwana.” Na mimi nikaingia ndani kuoga.”

Baada ya kuoga na kujiandaa niliamua kuupitia ule mkataba vizuri. Kwa ufupi mkataba ulikuwa mzuri na uli onesha mimi kuwa “Operation manager” na majukumu yangu ni pamoja na kuchukua mizigo bandarini na kupeleka kwenye saloon zote, jukumu lingine ni pamoja na kurecord mizigo yote inayoingia na kutoka.

Mkataba pia ulionesha ratiba za usiku zingeendelea kama kawaida na suala la mshahara ilikuwa ni 2,000,000/= kwa mwezi. Nikapiga hesabu nikitoa na cost za mafuta na mambo mengine siwezi kosa 1,500,000/= kama faida. Niiliona hili ni deal zuri sana na nikajisemea mwenyewe kwasasa hata nisipopiga bolt na uhakika wa maisha na deni la Mama wa2 nitalilipa haraka.

Baada ya kuupitia ule mkataba vizuri nili u-sign na nikaurudisha kwenye bahasha.

Kesho yake ambayo ni Jumapili nilikwenda kanisani asubuhi misa ya saa1 na baada ya kurudi niliamua kumpigia Prisca lakini bado alikuwa kaniblock. Na muda huu niliamua kumpigia kwa namba nyingine, na ndani ya muda mfupi alipokea simu.

MIMI: “Nambie bae, naona umeamua kuniblock. Kama umeniacha nambie bhana.”

PRISCA: “Insider I need to stay away from you.”

MIMI: “Naona unafanya maamuzi kwa kutumia hasira ila unaonekana unanipenda. Acha kuumiza hisia zako bwana, kesho nitaaa…..”

Prisca alikata simu wakati nikiendelea kuongea na mimi nikaamua kuachana naye lakini nikawaza kesho ambayo ni Jumatatu nitakwenda chuo kumcheki.

Mchana nilitoka home na nilimwaga wife kuwa natoka na moja kwa moja nilikwenda kwa Iryn. Baada ya kufika nilifungua geti na nikaingiza gari ndani. Nilikuwa bado navimba na Dualis gari ya Mzee maana alinambia niendelee kuitumia huku napima performance yake barabarani.

Wakati nimeshuka kwenye gari nilimwona yule jamaa jirani na nikamsalimia nikafungua mlango nikaingia ndani. Huyu mwamba alikuwaga ananiangalia sana kila nikija pale kwa Iryn, ni kama alikuwaga anajua mimi ndo nakula mrembo Iryn.

Baada ya kuingia ndani nilimkuta Iryn chumbani na nilisikia akiniita.

“Insider…… njoo huku ndani.”

Na mimi nilikwenda moja kwa moja mpaka chumbani kwake na nikaingia ndani. Nilimkuta akipanga nguo zake muda huu,

MIMI: “Nambie mummy, nakuona upo busy.”

IRYN: “Ndomana nimekuita huku tuendelee na mazungumzo wakati napanga nguo.”

MIMI: “Hujatoka leo?”

IRYN: “Nilitoka na Mama Janeth alikuja leo hapa home.”

MIMI: “Anasemaje ni kitambo sijamwona.”

IRYN: “Alikuwa anakuulizia pia, Insider mwezi huu nahama hapa itabidi unisaidie kutafuta apartment nyingine. Nataka sehem iliyotulia.”

MIMI: “Maeneo yaliyotulia ni Masaki, Oysterbay labda huko.”

IRYN: “Insider huko hapana, unajua huko kuna wafanyakazi wengi sana wa Organization X ambao wananifahamu hiki ndo najaribu ku-avoid.”

MIMI: “Ok hapo nimekuelewa, maeneo mengine ni Mbezi Beach, Mikocheni na Msasani.”

IRYN: “Atleast maeneo hayo, nataka tukitoka hapa twende saloon kule Mikocheni, niwapelekee na simu wale dada zangu.”

MIMI: “Sawa haina shida na mimi nilitoka kwenda seblen.”

Baada ya masaa 2 tulitoka pale kwake na uelekeo ulikuwa ni Mikocheni, na muda huu alikuwa kazishika simu mbili mkononi “Iphone 12 Pro Max”.

MIMI: “Sasa unawapa watu wa2 tu huoni kama wengine watajisikia vibaya?”

IRYN: “Insider hata maofisini kuna kuwaga na best worker na anapata zawadi mbele ya wenzake. Hiki nachofanya kitapelekea na wengine wafanye kazi kwa bidii, kila unayemwona pale ana target yake ya kila mwezi na pia nje na mshahara huwa nawapa bonus kulingana na kazi.”

MIMI: “Hapo sawa so umepanga kuwapa akina nani?”

IRYN: “Nitampa Lucy na Jacky”
(Lucy ni yule dada ambaye huwa anakuja na kuondoka na gari ya mzigo.)

MIMI: “Nilijua Lucy hawezi kukosa hapa.”

IRYN: “She is working too hard, anan-inspire kwakweli. Hizi simu pia zitawasaidia kwenye kupiga picha na kupost kwenye mitandao.”

MIMI: “Ni kweli kabisa.”

Tuliwasili pale Mikocheni na Iryn alitoka akaingia ndani akiwa amezishika simu mkononi na baada ya dakika 10 alirudi na akaingia kwenye gari.

MIMI: “Vipi ushawapa simu best worker wako?”

IRYN: “Nimewapa tayari na wamefurahi kweli. Hata wewe nilikupa lakini ulimpa mke wako, Insider kuna kitu nimekigundua kutoka kwako unaipenda sana familia yako.”

MIMI: “Unajua kwanini nilimpa simu wife? Niliona simu ya thamani kama ile kwa mimi kutembea nayo barabarani ingeweza hata ibiwa, ni risk kubwa sana kuifanyia Uber, niliona bora atumie wife tu kwa usalama zaidi.”

IRYN: “Hayo ni wewe mimi nilikupa na siwezi kuingilia matumizi yako, tunakwenda wapi now?.”

MIMI: “Nakusikiliza Bossy wangu.”

IRYN: “Natamani sana twende Beach”

MIMI: “Ok ngoja nikupeleke sehemu moja hivi ukainjoy but don’t ask me where to.”

IRYN: “No problem lets go.”

Tuliondoka pale Mikocheni na break ilikuwa Upepo garden, niliamua kumpeleka huku nilijua lazima angepakubali tu.

Baada ya kupark gari tuliingia ndani na tulikwenda kukaa sehemu nzuri ambayo ipo karibu na bahari, na muda huu ilikuwa jioni tayari na kulikuwa na kaupepo kazuri ka bahari kakipuliza.

IRYN: “Insider this place is amazing, I’m starting to like this place.”

MIMI: “Pametulia sana ila si unaona watu wamekaa ki-couples?”

IRYN: “Hahahahaaa so unataka kusema this area is special for couples?”

MIMI: “Indeed”

Muda huu mhudumu alifika kutusikiliza na alikuwa ni pini na wote tuliishia kuagiza wine na seafood. Sasa wakati dada anatoka eneo letu mimi niliishia kumwangalia akiondoka.

IRYN: “Insider umeshampenda dada wa watu.”

MIMI: “Hamna bhana namfananisha kama nilishawahi kumwona sehemu.”

IRYN: “Mmh acha uongo bhana, sema umemtamani dada wa watu.”

MIMI: “Nishindwe kukutamani wewe nimtamani yule dada?, kwanza kwako hata theluthi hafikii.”

Na muda huu Iryn aliishia kunipiga na kibao cha kichokozi.

Tulikaa sana na kadri muda unavyozidi kwenda ndo watu walizidi kumiminika kwa wingi. Kwa Jumapili Upepo garden panakuwaga na watu sana. Na sisi hatukutaka kukaa sana eneo hili hivyo tuliamua kuondoka.

Saa 3 ndo muda tuliotoka pale na nilimpeleka Iryn kwake na mimi nikarudi home kulala ili niwai kujipanga na majukumu ya jumatatu.

Kwa upande mwingine Iryn alifurahi sana baada ya kumrudishia mkataba na ku-sign na tulikubaliana jumanne ningeanza kufata mizigo bandarini.

Baada ya kurudi home nilikaa chini na nikapanga mipango mipya, sikutaka kufanya makosa tena kipindi hiki. Suala la Bajaji ya wife nilikuwa nimekamilisha nikapata wazo nimfungulie Junior account ya bank na iwe fixed account. Niliwaza nikipata pesa niwe namuwekea dogo hata kama kidogo.

TO BE CONTINUED.
Naam shusha nondo mkuu
 
EPISODE 29

Baada ya kufika home nilipark gari na ile naingia ndani namkuta Iryn yuko seblen akiwa amemshika mwanangu Junior. Na muda huo alikuwepo na wife, nilishtuka sana kumwona Iryn muda ule na sikujua kwanini Iryn alikuja home bila kutoa taarifa.

CONTINUE…..

Muda huu niliwaza huenda aliwasiliana na Mama Junior ndomana akaja home. Wote walikuwa wakinitizama ikabidi nimsalimie pale,

“Iryn habari yako karibu sana, hii saprize ya leo kiboko.”

“Ahsante nilim-miss mme wangu Junior nikasema nije nimsalimie na mama yake.”

Na pembeni ilionekana gari ya mtoto zile za kuendesha ambazo zinatumia remote na mtoto anaweza kuingia ndani akashikilia steering. Nikajua hii itakuwa ni zawadi ya Junior ameletewa na Iryn.

“Karibu sana naona hata Junior leo atalala vizuri”

Na mimi niliondoka nikaelekea chumbani sikutaka kubaki pale. Na muda ule chumbani nilikuwa nawaza ni nini ambacho kimemleta Iryn home. Niliwaza huenda wife ana mawasiliano ya siri na Iryn, na wakati nikiwa bado kitandani Mama J alikuja chumbani.

“Baba J mgeni wake anakusubiri unamwachaje bossy wako seblen?”

“Mimi niliwaacha ili muwe huru kuongea.”

“Sio vizuri hivyo.”

Muda huo nilitoka nakwenda seblen kuonana na Iryn.

MIMI: “Iryn ulikuja kwaajili yangu au Junior? Kama mimi ungenijulisha najua.”

IRYN: “Nilikuja kwaajili ya Junior ila kurudi kwako mapema imekuwa jambo jema maana pia nahitaji kuongea na wewe.”

MIMI: “Ulipaswa unipe taarifa kama usingekuta watu ingekuwaje?”

IRYN: “Niliamua kuja bila taarifa sababu nilijua lazima nitawakuta watu. Insider wewe ushakuwa Familia tayari sina haja ya kutoa taarifa navyokuja kwako hapa ni kama nyumbani tu, au hujapenda ujio wangu?”

Niliona Iryn anaongea point hivyo nilijikuta nakosa cha kuongea muda huu maana hata mimi huwa nakwenda kwake bila taarifa.

IRYN: “Insider najua nimekukose…….”

Ilibidi nimkatishe maongezi yake muda ule maana niliona nyumbani sio sehemu sahihi ya kuzungumza. Sikutaka wife ajue kinachoendelea.

MIMI: “Iryn hii sio sehemu sahihi ya kuzungumza nadhani mazingira unayaona, naomba tuondoke tutafute sehemu tukae chini tuzungumze.”

IRYN: “Sawa haina shida.”

Niliingia ndani nikachukua funguo ya gari Dualis ili tuondoke na muda huu Iryn aliagana na wife na akampa Junior laki moja. Na muda huu Junior alianza kumlilia Iryn wakati tukiondoka.

MIMI: “Twende tukale kitimoto leo”

Muda huu Iryn alikuwa akiniangalia sana na mimi nikimuangalia alikuwa anatabasamu.

IRYN: “Insider umenunua gari mpya?”

MIMI: “Napata wapi mimi hela za kununua gari wakati umenifukuza kazi.”

IRYN: “Insider wewe ni hustler hushindwi kununua gari kama hii, kwanini hujikubali?”

MIMI: “Mimi kama nanunua gari chaguo langu ni Audi Q5, lakini hii gari sio yangu.”

IRYN: “Hayo ndo maneno sasa, kama sio yako ni ya nani?”

MIMI: “Kuna Mzee mmoja nafahamiana naye ameniachia nimuangalizie kwa muda.”

IRYN: “Insider watu wanakuamini sana you’re very lucky.”

MIMI: “Yeah uaminifu tu ndo kitu muhimu kwenye hii Dunia.”

Tuliwasili pale Juliana na mimi nikaacha gari pale car wash ili lioshwe na nilimuachia jamaa yangu wa siku zote.

“Tajir naona una chuma mpya kabisa, hongera sana.”

“Kaka hizo jeuri sina mimi level zangu ni Ist tu.”

Baada ya kushuka muda huu macho yote yalikuwa kwa Iryn.

“Kaka acha kutolea macho mali za wakubwa.”

“Bro Msalimie shemeji bhasi.”

Iryn ilibidi atabasamu tu na aliniangalia kama akisubiri nitatoa jibu gani kwa jamaa. Na mimi nilinyamaza tu, sikusema kitu.

Tuliingia ndani na tukatafuta sehemu nzuri ya kukaa, muda huu mhudumu alikuwa amefika tayari na nikaagiza kitimoto nusu ya ku-roast na ugali wa donna.

Na muda huu tukisubiri odda yetu story ziliendelea,

MIMI: “Nambie Ex bossy wangu.”

IRYN: “Insider first of all I’m really sorry nilitumia hasira katika kufanya maamuzi that day.”

MIMI: “Iryn naomba niambie ukweli ni nini kilipelekea vile maana toka uje home that day ndo ulifanya yale maamuzi.”

IRYN: “Insider nilikuwa na hasira sana, sikuamini mtu ambaye nimekuamini na kukwambia siri zangu nyingi ukaamua kunificha suala la wewe kuwa na mke na mtoto.”

MIMI: “Iryn mbona nilikwambia nitakwambia siri zangu zote na nilikuahidi au umesahau?, afu naomba utambue jambo moja sisi Wanaume hatuna tabia ya kutoa siri zetu mapema huwa tuna buy kwanza time.”

IRYN: “Insider kuna vitu vya kuhide ila sio mtoto.”

MIMI: “Sasa Iryn ningekuwa na nia mbaya si ninge hide usione status zangu? anyway naomba nisamehe kwa hili kweli nilikukosea. Maendeleo yako kwa ujumla yakoje lakini?.”

IRYN: “Salama tu Grizmann alikuja ila aliondoka alikaa siku 2, anakusalimia sana.”

MIMI: “Grizmann ulimwambiaje kuhusu mimi?”

IRYN: “Nilimwambia umeenda kusalimia wazazi.”

MIMI: “Sounds great.”

Dada alituletea kitimoto na donna na tukaanza kula pale.

IRYN: “Insider mimi nakula sababu ya kitimoto niliki-miss nimeshiba hapa.”

MIMI: “Umeona kitimoto ilivyo tamu?”

IRYN: “Ni kitamu balaa”

MIMI: “Iryn unaonekana wa kizungu ila mambo yako ni ya kiswahili sana.”

IRYN: “Binadamu anatakiwa kuishi kutokana na mazingira.”

Na muda huu nilimwita dada na nikamwambia afunge takeaway ya kitimoto kingine kwaajili yangu na Iryn.

Tuliondoka Juliana na muda huu ilikuwa saa 12 jioni tayari. Nilimpeleka Iryn Kijitonyama na baada ya kuwasili pale tulishuka na kwenda ndani lakini gari niliiacha nje getini.

Baada ya kuingia ndani kulikuwa na bahasha mezani seblen, aliifungua na kutoa karatasi zilizokuwepo mle ndani na alinikabidhi. Na mimi muda uleule nikaanza kuzikagua ili nijue ni nini.

IRYN: “Insider nataka tusign deal mpya na hiyo ni Mikataba ya kazi, kwasasa utakuwa kama Operation Manager wa kampuni, kazi yako itakuwa ni kuchukua mizigo kule bandarini na kusupply kwenye saloon kama unavyofanyaga siku zote. Saloon zote kwa sasa nimeamua ziwe chini ya kampuni moja ile ya Masaki ili usimamizi uwe rahisi.”

MIMI: “Umefanya jambo zuri sana.”

IRYN: “Insider truly, I need you back, uendeleze ulikoishia please.”

MIMI: “Iryn mimi kama umenipa mkataba wa kurudi kazini siwezi kukataa kazi, nashukuru kwa kukuona umuhimu wangu na kuamua kunirudisha.”

IRYN: “Thank you Insider, ondoka na huo mkataba kausome vizuri afu utaurudisha ukija tena huku.”

MIMI: “Sawa haina shida Bossy wangu, hata kesho tutaonana.”

Ukweli baada ya Iryn kunipa mkataba wa kurudi mzigoni nilifurahi sana maana Biashara ya Uber ilikuwa ngumu sana kipindi hiki mambo yalikuwa ni magumu sana. Sikuwa na jeuri ya kukataa ule mkataba kwakweli.

Nilitumia dakika 45 kukaa pale kwa Iryn na niliondoka kurudi nyumbani moja kwa moja. Ndani ya dakika 20 nilikuwa niko home tayari nilipark gari vizuri na nikaingia ndani.

WIFE: “Ndo umetoka kumsindikiza Bossy wako?” Huku akionesha tabasamu la kinafiki.

MIMI: “Kuna sehemu nilipitia.”

WIFE: “Iryn ni mtu mzuri nimeshinda naye hapa toka asubuhi, tulikwenda sokoni na nikamfundisha kupika majani ya maboga.”

MIMI: “Leo umeamua kusema ni mtu mzuri wakati unasemaga humwamini.”

WIFE: “She is a nice person.”

MIMI: “Aya bwana.” Na mimi nikaingia ndani kuoga.”

Baada ya kuoga na kujiandaa niliamua kuupitia ule mkataba vizuri. Kwa ufupi mkataba ulikuwa mzuri na uli onesha mimi kuwa “Operation manager” na majukumu yangu ni pamoja na kuchukua mizigo bandarini na kupeleka kwenye saloon zote, jukumu lingine ni pamoja na kurecord mizigo yote inayoingia na kutoka.

Mkataba pia ulionesha ratiba za usiku zingeendelea kama kawaida na suala la mshahara ilikuwa ni 2,000,000/= kwa mwezi. Nikapiga hesabu nikitoa na cost za mafuta na mambo mengine siwezi kosa 1,500,000/= kama faida. Niiliona hili ni deal zuri sana na nikajisemea mwenyewe kwasasa hata nisipopiga bolt na uhakika wa maisha na deni la Mama wa2 nitalilipa haraka.

Baada ya kuupitia ule mkataba vizuri nili u-sign na nikaurudisha kwenye bahasha.

Kesho yake ambayo ni Jumapili nilikwenda kanisani asubuhi misa ya saa1 na baada ya kurudi niliamua kumpigia Prisca lakini bado alikuwa kaniblock. Na muda huu niliamua kumpigia kwa namba nyingine, na ndani ya muda mfupi alipokea simu.

MIMI: “Nambie bae, naona umeamua kuniblock. Kama umeniacha nambie bhana.”

PRISCA: “Insider I need to stay away from you.”

MIMI: “Naona unafanya maamuzi kwa kutumia hasira ila unaonekana unanipenda. Acha kuumiza hisia zako bwana, kesho nitaaa…..”

Prisca alikata simu wakati nikiendelea kuongea na mimi nikaamua kuachana naye lakini nikawaza kesho ambayo ni Jumatatu nitakwenda chuo kumcheki.

Mchana nilitoka home na nilimwaga wife kuwa natoka na moja kwa moja nilikwenda kwa Iryn. Baada ya kufika nilifungua geti na nikaingiza gari ndani. Nilikuwa bado navimba na Dualis gari ya Mzee maana alinambia niendelee kuitumia huku napima performance yake barabarani.

Wakati nimeshuka kwenye gari nilimwona yule jamaa jirani na nikamsalimia nikafungua mlango nikaingia ndani. Huyu mwamba alikuwaga ananiangalia sana kila nikija pale kwa Iryn, ni kama alikuwaga anajua mimi ndo nakula mrembo Iryn.

Baada ya kuingia ndani nilimkuta Iryn chumbani na nilisikia akiniita.

“Insider…… njoo huku ndani.”

Na mimi nilikwenda moja kwa moja mpaka chumbani kwake na nikaingia ndani. Nilimkuta akipanga nguo zake muda huu,

MIMI: “Nambie mummy, nakuona upo busy.”

IRYN: “Ndomana nimekuita huku tuendelee na mazungumzo wakati napanga nguo.”

MIMI: “Hujatoka leo?”

IRYN: “Nilitoka na Mama Janeth alikuja leo hapa home.”

MIMI: “Anasemaje ni kitambo sijamwona.”

IRYN: “Alikuwa anakuulizia pia, Insider mwezi huu nahama hapa itabidi unisaidie kutafuta apartment nyingine. Nataka sehem iliyotulia.”

MIMI: “Maeneo yaliyotulia ni Masaki, Oysterbay labda huko.”

IRYN: “Insider huko hapana, unajua huko kuna wafanyakazi wengi sana wa Organization X ambao wananifahamu hiki ndo najaribu ku-avoid.”

MIMI: “Ok hapo nimekuelewa, maeneo mengine ni Mbezi Beach, Mikocheni na Msasani.”

IRYN: “Atleast maeneo hayo, nataka tukitoka hapa twende saloon kule Mikocheni, niwapelekee na simu wale dada zangu.”

MIMI: “Sawa haina shida na mimi nilitoka kwenda seblen.”

Baada ya masaa 2 tulitoka pale kwake na uelekeo ulikuwa ni Mikocheni, na muda huu alikuwa kazishika simu mbili mkononi “Iphone 12 Pro Max”.

MIMI: “Sasa unawapa watu wa2 tu huoni kama wengine watajisikia vibaya?”

IRYN: “Insider hata maofisini kuna kuwaga na best worker na anapata zawadi mbele ya wenzake. Hiki nachofanya kitapelekea na wengine wafanye kazi kwa bidii, kila unayemwona pale ana target yake ya kila mwezi na pia nje na mshahara huwa nawapa bonus kulingana na kazi.”

MIMI: “Hapo sawa so umepanga kuwapa akina nani?”

IRYN: “Nitampa Lucy na Jacky”
(Lucy ni yule dada ambaye huwa anakuja na kuondoka na gari ya mzigo.)

MIMI: “Nilijua Lucy hawezi kukosa hapa.”

IRYN: “She is working too hard, anan-inspire kwakweli. Hizi simu pia zitawasaidia kwenye kupiga picha na kupost kwenye mitandao.”

MIMI: “Ni kweli kabisa.”

Tuliwasili pale Mikocheni na Iryn alitoka akaingia ndani akiwa amezishika simu mkononi na baada ya dakika 10 alirudi na akaingia kwenye gari.

MIMI: “Vipi ushawapa simu best worker wako?”

IRYN: “Nimewapa tayari na wamefurahi kweli. Hata wewe nilikupa lakini ulimpa mke wako, Insider kuna kitu nimekigundua kutoka kwako unaipenda sana familia yako.”

MIMI: “Unajua kwanini nilimpa simu wife? Niliona simu ya thamani kama ile kwa mimi kutembea nayo barabarani ingeweza hata ibiwa, ni risk kubwa sana kuifanyia Uber, niliona bora atumie wife tu kwa usalama zaidi.”

IRYN: “Hayo ni wewe mimi nilikupa na siwezi kuingilia matumizi yako, tunakwenda wapi now?.”

MIMI: “Nakusikiliza Bossy wangu.”

IRYN: “Natamani sana twende Beach”

MIMI: “Ok ngoja nikupeleke sehemu moja hivi ukainjoy but don’t ask me where to.”

IRYN: “No problem lets go.”

Tuliondoka pale Mikocheni na break ilikuwa Upepo garden, niliamua kumpeleka huku nilijua lazima angepakubali tu.

Baada ya kupark gari tuliingia ndani na tulikwenda kukaa sehemu nzuri ambayo ipo karibu na bahari, na muda huu ilikuwa jioni tayari na kulikuwa na kaupepo kazuri ka bahari kakipuliza.

IRYN: “Insider this place is amazing, I’m starting to like this place.”

MIMI: “Pametulia sana ila si unaona watu wamekaa ki-couples?”

IRYN: “Hahahahaaa so unataka kusema this area is special for couples?”

MIMI: “Indeed”

Muda huu mhudumu alifika kutusikiliza na alikuwa ni pini na wote tuliishia kuagiza wine na seafood. Sasa wakati dada anatoka eneo letu mimi niliishia kumwangalia akiondoka.

IRYN: “Insider umeshampenda dada wa watu.”

MIMI: “Hamna bhana namfananisha kama nilishawahi kumwona sehemu.”

IRYN: “Mmh acha uongo bhana, sema umemtamani dada wa watu.”

MIMI: “Nishindwe kukutamani wewe nimtamani yule dada?, kwanza kwako hata theluthi hafikii.”

Na muda huu Iryn aliishia kunipiga na kibao cha kichokozi.

Tulikaa sana na kadri muda unavyozidi kwenda ndo watu walizidi kumiminika kwa wingi. Kwa Jumapili Upepo garden panakuwaga na watu sana. Na sisi hatukutaka kukaa sana eneo hili hivyo tuliamua kuondoka.

Saa 3 ndo muda tuliotoka pale na nilimpeleka Iryn kwake na mimi nikarudi home kulala ili niwai kujipanga na majukumu ya jumatatu.

Kwa upande mwingine Iryn alifurahi sana baada ya kumrudishia mkataba na ku-sign na tulikubaliana jumanne ningeanza kufata mizigo bandarini.

Baada ya kurudi home nilikaa chini na nikapanga mipango mipya, sikutaka kufanya makosa tena kipindi hiki. Suala la Bajaji ya wife nilikuwa nimekamilisha nikapata wazo nimfungulie Junior account ya bank na iwe fixed account. Niliwaza nikipata pesa niwe namuwekea dogo hata kama kidogo.

TO BE CONTINUED.
Wakwanza kuimaliza [emoji23][emoji23]
 
EPISODE 30

“A TRUE STORY BY INSIDER”

Jumatatu majukumu yangu yaliendelea kama kawaida ile asubuhi na baada ya kuwadrop Maggy niliamua kwenda kupata breakfast.

Wakati nikipata chai niliweza kuwasiliana na Mzee, aliulizia kuhusu ubora wa gari na akasema jumanne jioni kama atapata nafasi bhasi atanipigia simu ili tuonane.

Saa 6 mchana niliwafata madogo wa kule Masaki na nikawapeleka makwao, sasa wakati namshusha mtoto wa mwisho (Carol) mama yake ndo alikuja kufungua geti. Na mimi nilihisi ni Mama yake Carol, na alikuja moja kwa moja mpaka dirishani.

MAMA CAROL: “Habari yako Insider pole na kazi.”

CAROL: “Good afternoon mom.”

MAMA CAROL: “Nenda ndani kabadilishe nguo afu ukale, nakuja.”

CAROL: “Uncle Insider byee.” Wakati anaondoka tukagonga tano.

MIMI: “Salama mama, leo ndo nakuona kwa mara ya kwanza.”

MAMA CAROL: “Napataga taarifa zako kutoka kwa Carol, I know you takecare about her. Thank you so much for your kind.”

MIMI: “Usijali dada yangu ni kazi yangu lazima nimjali.”

MAMA CAROL: “Sasa utanipa namba yako maana nakuwaga na kazi nyingi za kufanya.”

MIMI: “Haina shida.”

Nilimpa namba yangu na akanipigia simu ili nisave yake na baada ya hapo niliaga na kundoka eneo hili.

Na muda huu nilipata mteja alikuwa anakwenda Landmark hotel ya pale external Ubungo, tulitumia dakika 40 kuwasili pale hotelini.

baada ya kumshusha mteja, muda huu niliwaza kuonana na Prisca maana nilikuwa nimem-miss afu nilikuwa na upwiru. Nikampigia simu hakupokea kama kawaida yake, nilijua Prisca anataka nimbembeleze tu, na mimi suala la kubembeleza kama mtihani ningepata zero.

Baada ya kuona hataki kupokea simu nilimtumia text,
“Nakuja hapo chuo kuonana na wewe kama hutaki nije nambie nisije, nafikiri hii ndo itakuwa text yangu ya mwisho kukutumia.”

Nilikuwa bado niko pale hotelin kwenye parking za nje, nilisubiri majibu kwa dakika 10 lakini sikupata mrejesho wowote, nikaamua kuondoka nikatege request pale Mlimani city.

Wakati niko kwenye fly-over Prisca alinipigia simu na nikapokea simu yake,

“Insider am sorry nilikuwa class upo wapi now?”

“Niko Ubungo hapa”

“Bhasi njoo utanikuta hapa utawala.”

Ndani ya dakika 5 nilikuwa nimefika pale Utawala na alikuwa na best yake ambaye nilikuwa namwona kwa mara ya kwanza machoni mwangu. Nili wabeba na lengo langu tukapate lunch pamoja maana nilikuwa na njaa sana.

“Insider mambo, unatupeleka wapi?”

“Nataka twende UDASSA tukale mshakula?”

“No twende tukale.”

Ndani ya dakika kadhaa tulikuwa tuko pale Udassa na tuliagiza chakula kwa pamoja.

Muda huu nilianza kumshushia mabomu mbele ya rafiki yake hata sikujali.

MIMI: “Kwanini unaniblock? Huoni kama unafanya utoto?”

Na muda huu best yake alitoa kicheko cha kinafiki.

PRISCA: “Insider mimi nafikiri tutaongea badae, kwanza ulinikera ujue.”

MIMI: “Badae kwani unamwogopa rafiki yako? nataka aelewe utoto unaoufanya, unajiumiza mwenyewe ujue shauri yako.”

Prisca hakutaka kusema jambo lolote muda ila alikuwa mdogo kama priton.

MIMI: “Umemaliza classes?”

PRISCA: “Na kipindi cha saa 9 mpaka 11 jioni.”

BEST: “Hiki kipindi kina kera sana Prisca natamani kudoji.”

PRISCA: “Eva twende Ticha hatabiriki yule anaweza toa quiz.”

MIMI: “Hujanitambulisha best yako.”

PRISCA: “Insider huyu anaitwa Eva ni best yangu sana. Eve huyu anaitwa Insider ni Mpenzi wangu.”

EVA: “Nimefurahi kukufahamu Insider shemela wangu, nilikuwa nakusikia tu.”

MIMI: “Ahsante sana Eva best yako alinikera sana.”

EVA: “Anakupenda ndomana sisi wanawake tukimpenda mtu tunakuwa na wivu naye.”

MIMI: “Na wewe unawivu kwa boyfriend wako?”

EVA: “Mimi niko single maisha yangu ya mahusiano ni complicated sana.”

MIMI: “Sema wewe umeamua kuwa complicated na sio mahusiano.”

EVA: “Kweli Insider”

PRISCA: “Insider tupeleke class tunaelekea thieta”

MIMI: “Sawa mimi nitakuwa around nakusubiri.”

Nilifanya malipo na tukaondoka kuelekea venue za thieta nikawadrop na mimi nilikwenda kuonana na Lecturer ambaye ni rafiki yangu sana toka nikiwa chuo enzi hizo.

Nilikaa pale na Lecturer tukipiga story mbalimbali na yeye alikuwa akinishauri sana niendelee na Masters.

Saa 11 Prisca alinipigia simu kuwa ametoka class hivyo nikamchukue ili tuondoke. Nilimwaga Lecturer na mimi nikaondoka kumchukua Prisca na alikuwa na rafiki yake Eva.

“Insider, Eva tutamwacha hapo Mlimani city.”

Tuliondoka pale na baada ya kumdrop Eva pale Mlimani city sisi tuliendelea na safari ya kwenda Mbezi Beach. Sasa muda huu njiani nilikuwa nawaza namna ya kumla Prisca nikaona bila kumywesha wine itakuwa ngumu maana nilikuwa namwekea mikono mapajani lakini anaitoa. Na Prisca alionekana kuwa serious sana muda huu.

Nilikata kona pale Rainbow kuelekea beach.

PRISCA: “Insider tunakwenda wapi huku?”

MIMI: “Beach au hutaki?”

PRISCA: “No Insider nataka niwahi home leo, na assigment za kufanya.”

MIMI: “Leo ndo una assignment sindio?”

Na mimi sikutaka kumsikiliza niliendelea kukanyaga mafuta mpaka tukafika pale kwenye ile beach. Ukweli hii beach sikumbuki jina lake inaitwaje kwakweli.

Tuliagiza wine na tuliendelea na story pale,

PRISCA: “Hivi Insider ulikuwa na maana gani kuanza kuongea yale maneno mbele ya Eva?”

MIMI: “Mbona unaogopa au kuna siri anakufichia?

PRISCA: “Siri gani? What are you talking about?”

MIMI: “Why are you afraid? you look so nervous.”

PRISCA: “Siwezi kuwa na wanaume wawili kwa wakati mmoja, ila wewe unaweza kuwa na wanawake wa2 kwa wakati mmoja.”

MIMI: “Prisca naomba nikwambie Ukweli waziwazi hata kama nina Wanawake 2 ila tambua wote nawapenda na nina wivu kote. Sasa nikuone au nijue una mwanaume mwingine hutaamini nitakacho kufanya.”

PRISCA: “Insider I’m not a prostitute please.”

MIMI: “I didn’t call you that.”

PRISCA: “So what do you mean?”

MIMI: “I mean I don’t want to see you with another Man.”

PRISCA: “I can’t have another Man.”

MIMI: “Baada ya hapa si tunaondoka wote?”

PRISCA: “No I have assignments to do”

MIMI: “Prisca 1 hour inatosha sana kwangu please”

PRISCA: “I can’t do sex today maybe next time.”

MIMI: “It’s alright.”

PRISCA: “Let’s go muda unakwenda ujue then kazi zinanisubiri.”

Nilihisi Prisca ananibania tu ila sio kama alikuwa hataki ila alikuwa anataka kunikomoa. Tuliamua kuondoka muda ule maana giza lilikuwa lishaingia tayari.

Tulitoka pale nje na kwenda Parking na eneo hili lilionekana kutulia sana na mimi nilikuwa nimepark gari karibu na ukuta.

Wakati tumefika kwenye gari Prisca alizunguka upande wa kushoto ambako kulikuwa na ukuta na mimi nikamfata hukohuko upande wake kabla hata hajaingia kwenye gari.

Baada ya kumsogelea nilimbana kwenye gari vizuri kwa mikono

“Insiderrr unatak…kufanya nini….”

Mimi muda huu hata sikuwa nikimsikia bali nilianza kuzitomasa nazi zake, japo alikuwa akitoa upinzani ila alianza kuelewa mapigo taratibu na hapo bila kuchelewa nikampa ulimi. Baada ya mkono kufika ikulu ndo alipata akili akawa ananitoa dizaini kama hataki niendelee na lile jambo.

Nilimbana tena vizuri, mtoto laini kama yule asingeweza kunizidi nguvu. Na uzuri alikuwa amevaa gauni hivyo kwangu ilikuwa ni ushindi tayari. Na muda huu niliendelea kutalii ikulu yake vizuri kabisa na yeye alianza kutoa chem chem kwa mbali na nikasema hapa inatosha kuweka mti wangu ndani.

Muda huu nilikuwa niko sayari nyingine kabisa nilikuwa sielewi na mnara wa voda ulikuwa umesimama wima. Palepale niliibetua gauni yake kwa juu na nikamuinamisha chini kwa shuleni tulikuwaga tunaita shika buti.

“Insider please don’t do…..”

Na muda huu nilikuwa nishapenyeza mti wangu ndani muda sana na ulikuwa ukipata joto asili, na baada ya kumwagalia bustani yake nilijikuta akili ishaanza kurudi kwa kasi. Tulijiweka sawa kwa haraka sana muda ule na wakati narudi upande wangu ili niingie kwa gari kuna dada alikuwa anakuja upande wetu, yeye alikuwa amepark gari baada ya sisi. Dada alihisi kuna jambo lilikuwa likiendelea lakini mimi hata sikujali wala nini maana simjui.

Baada ya kuingia kwenye gari Prisca hakuonesha kumind hata kidogo.

PRISCA: “Hivi Insider ulikuwa unajiamini nini pale?”

MIMI: “Nimekwambia niko horny lakini huelewi hunionei hata huruma, naona ulikuwa unataka hicho nilichofanya.”

PRISCA: “Umeshindwa kuvumilia?”

Na muda huu Prisca alifungua zip ya surual yangu na kuendelea kuchezea bakora yangu, sikutaka kuuliza tena kama mwanaume nilitambua anachotaka hivyo niliendesha gari mpaka Lodge.

Naam, ni mtanange uliondelea kwa saa 1 na mechi ilikuwa ni ya kasi balaa, maana timu zote zilihitaji ushindi na mechi ilimalizika kwa sare. Muda huu ilikuwa saa 3 tayari, hivyo nilimrudisha Prisca kwao na yeye alionekana kubadilika sana hata furaha yake ilirudi kwa kasi sana muda huu.

Baada ya kurudi home kama kawaida niliingia bafuni kuoga na baada ya kutoka nilikuta missed call za Iryn, Mzee Pama na Mama yangu Mzazi na kwa upande wa Whatsapp nilikuta Muajemi kanipigia pia.

Na muda huu niliwaza nianze na nani lakini nilianza na mama yangu. Tuliongea na mama mambo mengi sana hasa ya kifamilia na mama alinisisitiza sana kumtanguliza Mungu kwa kila jambo.

Baada ya hapo nilimpigia simu Iryn na yeye alisema kesho kuna kazi natakiwa kwenda kuonana na Agent Posta kwaajili ya kuchukua mizigo.

Mzee Pama sikutaka kumpigia simu maana ulikuwa usiku, niliona sio heshima na busara hivyo nitampigia simu asubuhi.

Nilimpigia simu Muajemi na akasema Ijumaa mapema atakuwa Dar hivyo tutaonana akirudi. Nilipanga kumpiga kizinga cha pesa Muajemi ila niliwaza bila kumshawishi Iryn kwenda Zanzibar itakuwa ngumu na niliwaza siwezi ingilia maamuzi yake kwenye hili jambo.

********

Asubuhi nikiwa Posta niliwasiliana na Mzee Pama akanambia jumatano mchepuko wake anarudi hivyo nianze kuandaa mazingira mapema ya Driving school. Na mimi nikamwambia nitakwenda kufanya usajili leoleo akanambia kama kuna lolote nimjulishe.

Mchana Prisca alinipigia simu na baada ya kupokea tuliongea mengi tu na aliniuliza nina agenda gani na Mary.

MIMI: “Mary anataka nimpeleke Mikumi mwezi huu.”

PRISCA: “Honey naomba huo mpango ughairi atafute mtu mwingine wa kumpeleka sawa?”

MIMI: “Nilimuahidi lakini ujue, sitaenda usiwe na wasiwasi.”

PRISCA: “Sawa honey byee, see you later.”

Jioni mida ya saa 10 niliwasiliana na Iryn na akanipa namba za Agent maana alisema ni agent mwingine sio yule wa sikuzote.

Nilimpigia simu agent ni dada aliyepokea simu nikajitambulisha kwake na akasema niende ofisi zao zipo palepale Posta. Baada ya kufika pale alinipokea na nikaomba documents za mizigo.

MIMI: “Mzigo uko wapi?”

DADA: “Kuna store yetu ipo Kurasini nafikiri twende kule, mzigo ni mwingi inabidi utafute gari kubwa.”

MIMI: “Gari kubwa fuso au Canter?”

DADA: “Canter inatosha sana kuna Dereva nina kuunganisha naye muelewane.”

MIMI: “Kama Canter haina haja nina mtu wangu hapahapa Posta, acha niwasiliane naye nione namtumiaga siku zote.”

Niliwasiliana na Dereva wangu akanambia yuko around na leo hajapata kazi kabisa hivyo yuko tayari kufanya kazi. Na muda huu nilimpigia simu Iryn ili kumwuliza Mzigo unakwenda wapi na akasema wote unakwenda Masaki hivyo nitawasiliana na Mama Janeth.

Tulitoka pale Posta ofisini nikiwa na dada na tulikwenda moja kwa moja mpaka Kurasini uzuri store yao haikuwa mbali, ilikuwa Kurasini mwanzoni kabisa.

Dereva nilikuwa nishamwelekeza tayari hivyo tulimkuta pale na kazi ya upakiaji iliendelea, na wakati box zikipakiwa nilikuwa makini sana kuhesabu na baada ya kumaliza, hesabu ilikuwa sahihi kabisa.

Na muda huu Iryn alikuwa kashanitumia namba za Mama Janeth na baada ya kumpigia simu na kujitambulisha alinambia niende kwake moja kwa moja.

Ndani ya dakika 45 nilikuwa nimewasili pale Masaki na mzigo na tuliingia ndani kwa mama Janeth. Mzigo ndo ulikuwa unahifadhiwa hapa na palepale ushushaji uliendelea, kwa nje kulikuwa na chumba kikubwa kama store ndo mzigo ulikuwa unawekwa humo.

Na muda huu mimi nilikuwa nikiongea na Mama Janeth.

“Where have you been?, ni muda sijakuona.”

“Mama nilikuwa mkoani kusalimia wazazi mara moja.”

“Karibu sana, Iryn kashanambia masuala yote ya logistic na mizigo yatakuwa chini yako.”

“Ndiyo mama. Ahsante.”

Mama Janeth alikuwa ni mzungu ila alikuwa anakijua Kiswahili vizuri kabisa. Na muda huu Iryn alinipigia simu akanambia niende na box moja pale kwake.

Baada ya kumaliza kushusha mizigo nilifanya malipo kwa Dereva na mimi nikaaga kwa Mama Janeth. Nilitoka pale na break ilikuwa Kijitonyama kwa Iryn, nilitoa lile box na nikaliweka pale nje kibarazani.

Niliingia ndani na Iryn alikuwa jikoni akipika muda huu,

MIMI: “Ukiwa Jikoni unakuwa sexy sana.”

Na muda huu alikuwa akiimba wimbo wa Drake- “Don’t matter to me” ambao pia ulikuwa ukikika seblen kwenye speaker. Ni moja ya nyimbo ambayo alikuwa anapenda sana kuusikiliza kwenye playlist yake.

IRYN: “Insider pole na kazi, upo sharp sana mara hii usharudi Posta na kushusha mizigo.”

MIMI: “Mimi si Mjeshi? au umesahau tayari.”

IRYN: “Nakumbuka”

MIMI: “Unanipikia nini? Maana naskia njaa balaa.”

IRYN: “Napika makaroni ya nyama, hivi Insider una wasiliana na Muajemi?”

MIMI: “Last time kuzungumza naye alinambia yuko Saudia, vipi kuna nini?”

IRYN: “Anataka twende Zanzibar, mimi na wewe.”

MIMI: “Ohh wewe unaonaje?”

IRYN: “Nakusikiliza wewe twende au laah.”

MIMI: “Mimi nakusikiliza wewe Bossy wangu ukisema tunakwenda mimi siwezi kupinga ukisema No pia siwezi kubisha.”

IRYN: “Ngoja niangalie timetable zangu zikoje wewe unapenda kwenda?”

MIMI: “Mimi napenda maana sijawahi fika kabisa ndo itakuwa mara yangu ya kwanza.”

IRYN: “Mimi pia nilikwenda muda sana, afu nataka kuna jambo nilifanye ni ratiba yangu kila mwaka.”

MIMI: “Ni jambo gani?”

IRYN: “Itabidi twende kituo chochote cha watoto yatima chenye uhitaji sana. Naomba ufanye research Insider nakupa hii task.”

MIMI: “Haina shida nitafanya research na nitakutajia vituo wewe uchague.”

Nilikaa pale kwa Iryn mpaka saa 2 usiku na tulionekana kumisiana sana maana tulikuwa tukipiga sana story.

Nilirudi home muda huo na niliweza kuongea na Aggy na akanambia nijitahidi nimalizie finishing ile nyumba na yeye atakuwa mteja wangu.

Na muda huu mama J aliingia chumbani na alikuwa akiniangalia wakati naongea na simu.

WIFE: “Baba J unaongea na nani?”

MIMI: “Naongea na best yangu wa Dodoma ananisaidia kuangalia nyumba kule.”

WIFE: “Itabidi twende wote Dodoma namimi nikapajue.”

MIMI: “Sawa haina shida tutaangalia mwisho wa mwezi huu.”

WIFE: “Dogo anaendeleaje na bajaji?”

MIMI: “Amenambia anaendelea vizuri na weekend hii atatuma hela atakuwa anaingiza kwenye account yako. Naomba hizo Pesa uzitumie vizuri zikusaidie matumizi yako binafsi, mshahara wa dada, mtoto na masuala ya chakula hapa nyumbani. Mimi kwasasa nipambane na madeni.”

WIFE: “Sawa mmeingia mkataba wa kiasi gani kwa siku?”

MIMI: “25 kwasiku tumekubaliana hivyo”

Na muda huu niliandaa report ya kazi ya leo na kumtumia Iryn.

Usiku huu pia Iryn alipiga simu na akanambia nijiandae ijumaa tunakwenda Zanzibar wote.

Kumekucha, IRYN kakubali kwenda Zanzibar unafikiri nini kiliendelea kule?,

EPISODE 31[emoji116]
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
 
Back
Top Bottom