Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Upo sahihi hata mimi nililifikiria before sijaamua kutoa fursa kwa wana JF, humu JF sio kwamba hawapo watu wema wapo wengi sana, wajinga wachache wasifanye wengine wakose fursa. Mimi ni mtoaji na sinaga kinyongo hii ndo nature yangu na wenye shida humu JF ni wanaume na sio wanawake.

Na position ipo kwenye kampuni nyingine kabisa sio ya Iryn ni vile mama Janeth anamsaidia rafiki yake kupata huyu mtu. Atafanyiwa interview na ataunganishwa na huyo mtu, mimi nimefanya kwa nia njema.

Kingine hapa JF nafahamiana na watu wengi sana na wengi wananijua na wanaisoma hii story. Hakuna nilichoandika cha uongo hapo wala kutunga so hii ni kama LIFE STORY YANGU, kama wengine wanavyoandika za kwao. Acheni uoga vijana naona mna ioverrate sana JF, mimi kama mtu anajitambua naonana naye vizuri kabisa niogope nini?

Mwisho hakuna wa kunitisha hapa JF.
Usitukane mamba kabla hujavuka mto.......na una ushahidi upi kuwa wanaume Wana shida sana huku JF kuliko wanawake??

Ila ushauri wake ni mzuri mfanyakazi asijekuwa Sumaiya pro max
 
Upo sahihi hata mimi nililifikiria before sijaamua kutoa fursa kwa wana JF, humu JF sio kwamba hawapo watu wema wapo wengi sana, wajinga wachache wasifanye wengine wakose fursa. Mimi ni mtoaji na sinaga kinyongo hii ndo nature yangu na wenye shida humu JF ni wanaume na sio wanawake.

Na position ipo kwenye kampuni nyingine kabisa sio ya Iryn ni vile mama Janeth anamsaidia rafiki yake kupata huyu mtu. Atafanyiwa interview na ataunganishwa na huyo mtu, mimi nimefanya kwa nia njema.

Kingine hapa JF nafahamiana na watu wengi sana na wengi wananijua na wanaisoma hii story. Hakuna nilichoandika cha uongo hapo wala kutunga so hii ni kama LIFE STORY YANGU, kama wengine wanavyoandika za kwao. Acheni uoga vijana naona mna ioverrate sana JF, mimi kama mtu anajitambua naonana naye vizuri kabisa niogope nini?

Mwisho hakuna wa kunitisha hapa JF.
Ndg, hawajakutisha ila wamekupa tahadhari kulingana na hulka na tabia za walimwengu unaweza kuwa na nia njema lakini mwenzio hajuwazi mema hata kidogo, kumbuka wengi humu wana wivu na hasira na aina ya maisha na bahati ulizo nazo hivyo siyo vibaya kuchukua tahadhari mku ni maoni tuu una haki ya kuyafanyia kazi au kuyapuuzia ndg, uamuzi ni wako
 
For the future reference jamaa anajiharibia na anaondoa trust kwa wale waliomwamini na kumweshimu, maana mwisho wa siku usije shangaa watu wanamtafuta hata mjane wa mzee Pama na hata camila na baba yake hivyo kuwa makini sana, utajiharibia mwenyewe ukihisi unasaidia walimwengu, kumbe unaandaa anguko lako mwenyewe

Hivi mfano mtu anamtafuta Jane kwanza anampataje? Kila kitu hapo kipo kwa Code mimi ndo nazijua taarifa vizuri.
 
dada punguza makasiriko hz ni burudani tu, dont take it too serious my love. pressure itapanda, utaanguka, utakufa, tutakuzika na kukusahau.
Ipande kisa!!!
Wewe ni mmoja wa wasio fahamu kuburudika humu JF.. umejiandika wewe.
 
Usitukane mamba kabla hujavuka mto.......na una ushahidi upi kuwa wanaume Wana shida sana huku JF kuliko wanawake??

Ila ushauri wake ni mzuri mfanyakazi asijekuwa Sumaiya pro max
Itakua kuna msururu waliomfata pm na wengine walikua wanakoment humuhumu kuhusu kukutana nae awasaidie kwa namna moja ama nyingine kuhusu magari yao n.k !

Just guessing lakini!!!!

Acha nisubirie store!
Akitupia msinisahau wapendwa!!

Kesho nayo siku ✌️!
 
Sio
Upo sahihi hata mimi nililifikiria before sijaamua kutoa fursa kwa wana JF, humu JF sio kwamba hawapo watu wema wapo wengi sana, wajinga wachache wasifanye wengine wakose fursa. Mimi ni mtoaji na sinaga kinyongo hii ndo nature yangu na wenye shida humu JF ni wanaume na sio wanawake.

Na position ipo kwenye kampuni nyingine kabisa sio ya Iryn ni vile mama Janeth anamsaidia rafiki yake kupata huyu mtu. Atafanyiwa interview na ataunganishwa na huyo mtu, mimi nimefanya kwa nia njema.

Kingine hapa JF nafahamiana na watu wengi sana na wengi wananijua na wanaisoma hii story. Hakuna nilichoandika cha uongo hapo wala kutunga so hii ni kama LIFE STORY YANGU, kama wengine wanavyoandika za kwao. Acheni uoga vijana naona mna ioverrate sana JF, mimi kama mtu anajitambua naonana naye vizuri kabisa niogope nini?

Mwisho hakuna wa kunitisha hapa JF.
Ndio mana nikakwambia una utoto kwa kiasi fulani. Hata maongezi yako yanaonyesha wewe bado hujagonga 30 au uko early 30s. Anyway mimi niliangalia future yako na hao mabosi zako na haya uliyoyatangaza humu. Siku ukikua mkubwa utayakumbuka haya niliyokwambia. All the best
 
Ila hilo wazo lako la kuajiri msichana kupitia hapa JF na huku ukiwa umeiweka hii story hapa itakuharibia. Kwa vyovyote vile huyo mfanyakazi atakujaga kusema kwa wafanyakazi wengine kuhusu hii story ya JF na watasoma huu uzi namna ulivyo waanika au ulivyo muanika boss wao Iryn. This is not good for your reputation especially kama bado mko in good terms.
To my opinion tafuta mfanyakazi ambaye hajui habari za JF na story yako itabaki kuwa anonymous. Inaonyesha bado una utoto fulani hivi na sometimes ni kama vile hujakomaa hasa katika maamuzi yako. Kuna vimistake vingi unavifanya ambavyo ukiangalia inaonekana age inachangia. Just Take care and don't trust people you meet online watakuharibia tu.
Asipo kuelewa hapa ndio basi tena
 
Mkuu INSIDER MAN kupitia hii story yako imenifunza vitu vingi sana na Kila jambo huwa linatokea kwa sababu zake. Lakini ujinga wa watu wengi wanao comment humu ni kwamba wana roho mbaya na walitamani ndio wangekuwa wao hasa hawa wanao comment na kureply matusi. Kinachotusumbua Watanzania wengi ni msongo wa mawazo na kuwa na matarajio yasiyotekelezeka. Sipendi ku reply kwa huu uzi lakini usikate tamaa endelea kushusha story ili kuwa inspire wale wanao waza kwamba hakuna lisilowezekana.
 
ANNOUNCEMENT

Nitarudi kwenu kumalizia hii story pindi nitakapo maliza kuzipitia Episode zote. Hapa sasa nitaanza kuzipost na story itaishia na Episode ya 70, tuna Episode 8 tu zimebaki.

Niko busy na kuweka mambo sawa maana mwezi huu natarajia kuanza Masomo yangu ya masters Mungu akijalia uzima.

Kwa wale ambao mna ni-Pm nashindwa kureply mtanisamehe maana nakutana na message nyingi sana ila nitazijibu. Nikimaliza hii story wale wenye maswali nitawajibu, wale ambao mnataka kufanya biashara lakini hujui location tutapeana connection.

Kwa wale ndugu zangu “Ladies” kama mpo humu ndani mliomba ile nafasi ya kazi kuanzia kesho mtapigiwa simu kama utakuwa una qualifications nzuri, na Interview itakuwa Jumamosi na ukibahatika kuitwa utaweza kuonana na Mama Janeth na Lucy LIVE.

Naomba muwe na subira mambo mazuri yako njiani, mpaka sasa aliyepatia kuotea mwisho wa hii story ni mmoja tu na aliotea mwanzoni kabisa wakati mambo hayajaanza kukolea. Huyu nitaitafuta comment yake na nitampa zawadi sijui kama bado yuko online.

JIONI NJEMA.
Yaani ndugu INSIDER MAN ukitaka kuiona dunia hii chungu ni kumwajiri mtu yoyote anaeijua hii story na ajue sehemu ya ofisi zenu. Hilo litakuwa kosa la mwaka. Kuna mambo huwezi kuyatengeneza yakakaa sawa yakiharibika.
.
Kitendo cha mtu kuajiriwa hapo anaeijua hii story ujue tu utaanikwa nje ndani. Fikiria mara mbili hata kama hujali kuhusu Iryn unamjali mama J tu basi nina uhakika hata mama J utamkosa jumla,kuna uwezekano na mambo yako mengi yakaharibika.

Iryn akiujua umemuanika humu hakika litakuwa kosa lisilosameheka milele. Kuna uwezekano na kukuharibia future yako yote. Fikiria kwa upya hata kama dhamira yako ni njema,wasaidie kwa njia nyingine sio mtu aijue hii story halafu umuweke kwenye ofisi ambayo ni sehemu ya story. Unataka kujiumiza wewe
 
Yaani ndugu INSIDER MAN ukitaka kuiona dunia hii chungu ni kumwajiri mtu yoyote anaeijua hii story na ajue sehemu ya ofisi zenu. Hilo litakuwa kosa la mwaka. Kuna mambo huwezi kuyatengeneza yakakaa sawa yakiharibika.
.
Kitendo cha mtu kuajiriwa hapo anaeijua hii story ujue tu utaanikwa nje ndani. Fikiria mara mbili hata kama hujali kuhusu Iryn unamjali mama J tu basi nina uhakika hata mama J utamkosa jumla,kuna uwezekano na mambo yako mengi yakaharibika.

Iryn akiujua umemuanika humu hakika litakuwa kosa lisilosameheka milele. Kuna uwezekano na kukuharibia future yako yote. Fikiria kwa upya hata kama dhamira yako ni njema,wasaidie kwa njia nyingine sio mtu aijue hii story halafu umuweke kwenye ofisi ambayo ni sehemu ya story. Unataka kujiumiza wewe

Ahsante kwa ushauri bro but huyu mtu anakwenda ofisi zingine kabisa sio kampuni hii, but nitayafanyia kazi mawazo yenu.
 
Insider mwenyew anajua stori hii ni chai na hakuna matukio halisi zaidi ya kutupanga kutokana na kipaji chake cha uandishi ndo maana hahofii.
Nyinyi viswanswadu mliotekwa na kuamini ni ukweli ndo nafsi zinawapapatuka.
Hakuna mtu mwenye akili timamu zinacharge fresh akajaribu kufanya risk game kama hiyo.
 
Back
Top Bottom