Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

EPISODE 65
“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

TULIKOISHIA
Na mimi niliondoka pale nimemuacha amekaa kwenye coach na nilisikia akiniita na mimi hata sikuwa na habari naye. Baada ya kufika parking sikutaka kupoteza muda niliwasha gari na wakati natoka pale getini kwa upande mwingine nilimwona ametoka pale nje lakini alikuwa kachelewa tayari na niliondoka kwa kasi sana.

ENDELEA….

Niliwaza kwenda kuonana na Lucy muda huu maana alikuwa ameomba sana tuonane lakini sikuweza kwenda, sababu nilikuwa nakwenda Mlimani city kwaajili ya kununua mahitaji ya nyumbani niliona nipitie pale ofisini ili tuonane. Kwa upande mwingine Iryn alikuwa akinipigia sana simu na mimi sikutaka kupokea simu zake kabisa.

Baada ya kuwasili pale ofisini nilimkuta Lucy bado hajatoka na alikuwa anaweka mambo sawa, hivyo alivyoniona alifunga ofisi na tukaanza safari. Wakati na drive gari macho yote yalikuwa kwangu afu nikimtizama alikuwa anatabasamu,

MIMI: “Lucy vipi mama naona unafuraha sana, leo deal zimetema nini? na mimi unipe mgao wangu.?”

LUCY: “Insider mimi nakuangalia afu nawaza the way unavyowateka warembo wakali, leo nimeshinda na Bossy ofisini ana furaha sana, japo hutaki kunambia ukweli lakini naamini umemt*mba ile siku.”

MIMI: “Hahahaa Lucy unanifurahisha sana kwanza unajua nilimtongoza afu akanitolea nje?”

LUCY: “Safi sana umefanya jambo la maana sana hata kama amekataa kwasasa utakuwa huru na umeweka green light ya yeye kujileta kwako maana wewe ushamwambia ukweli.”

MIMI: “Eti anasema mimi na mke hawezi kukubali kuwa mchepuko kwani ameachana na Grizz kwa sababu hii.”

LUCY: “Insider Iryn anakupenda sana ni vile hataki kujirahisisha kwako na mimi nilikushauri ufanye hivi ili maamuzi yabaki kwake. Mimi nakushauri kwa sasa mind your business ikiwezekana acha hata mazoea na mademu wa ofisi zote.”

Kwa upande mwingine simu ya Lucy ilianza kuita na baada ya kuitoa kwenye mkoba wake alinambia ni Iryn anapiga

“Insider Iryn anapiga simu”

Kwa upande wangu nilijua lazima anampigia simu Lucy sababu ya lile sakata la muda mfupi uliopita wala sio kingine, na mimi nilimwambia Lucy aweke loudspeaker,

LUCY: “Hi Bossy.”

IRYN: “Lucy upo wapi?”

LUCY: “Niko hapa Mwenge mataa ndo naelekea home.”

IRYN: “Okay unaweza kuja hapa kwangu now? please nitakurudishia gharama za usafiri.”

Ilibidi nimuoneshe ishara Lucy ya kukataa maana nilijua anachomuitia,

LUCY: “Bossy umepata matatizo? maana huu muda ni wa kwenda kuonana na mama kabla hajalala.”

IRYN: “Am not in trouble but kama unawahi kwa mama it’s okay.”

LUCY: “Shida ni nini?”

IRYN: “Insider amefound out nilikuwa namspy kule Masaki kupitia Rebby hata sijui amejuaje na nimempigia simu Rebby anasema Insider aliomba simu yake ndo akaona chats zetu. Insider amekuja kwangu sio muda mrefu amegomba sana na sijawahi kumuona akiwa na hasira kama leo, mpaka nimeogopa.”

LUCY: “Pole sana lazima angemind, mimi nitakuja kesho tuongee mapema sana ili tuyamalize ila muombe msamaha kwa hili hata mimi ningejisikia vibaya..”

IRYN: “Hapokei simu zangu naomba umwambie apokee niongee naye.”

Baada ya Iryn kukata simu kwa upande mwingine Lucy ilibidi aanze kuniuliza maswali kuhusu kilichotokea. Kwa upande wangu nilimwambia mkanda wote kuhusu kilichokuwa kinaendelea, hata Lucy naye alishangaa kusikia haya.

LUCY: “Insider unaonaa, nikikwambia Iryn anakupenda wewe mbishi, tena this time kapagawa kabisa.”

MIMI: “Lucy nakudrop hapa, mimi naingia ndani Mlimani city kununua mahitaji ya nyumbani.”

LUCY: “Usije ukawa una mchepuko huko unakwenda onana naye, subiri nikupe mgao wako”

MIMI: “Wow thank you umejuaje sina hela leo?”

LUCY: “Laki 3 hizo na kesho lile deal linaweza kutiki hivyo nitakujulisha.”

MIMI: “Sawa mummy.”

Tuliagana na Lucy pale na mimi niliingia ndani Mlimani city kununua mahitaji maana toka tuhamie makazi mapya sikuwai kununua mahitaji yoyote wife alikuwa hayupo, nilijikuta mpaka dawa ya meno imeisha ndani.

Nilitumia kama nusu saa pale Mlimani city na niliondoka maeneo haya kurudi home. Baada ya kurudi home kwa Upande mwingine niliwasiliana na mama wa2 na alikuwa ananikumbusha kuwa kesho anahamia kwenye kibanda chake hivyo niandae usafiri mapema na pia niwahi kwenda kumkampani. Kwa upande mwingine Iryn alikuwa akipiga simu sana lakini sikuwa napokea wala kureply text zake na nikaamua kumtia block kama yeye alivyonifanyia.

Tangu mama wa2 achukue emergence ofisini kwaajili ya kukamilisha zoezi la uhamiaji katika nyumba yake mpya, na mimi kwa upande wangu ratiba za asubuhi zilibadilika. Nilikuwa naamka saa 12 asubuhi nakwenda jogging maana ratiba za kumchukua mama wa2 ile asubuhi zilikuwa zimekufa hivyo sasa nilikuwa huru kufanya jogging na mazoezi.

Baada ya kutoka jogging nilijiandaa nikapata breakfast na nikaanza safari ya kwenda mzigoni kufanya majukumu yangu ya kila siku. Baada ya kuwasili Masaki nilipark gari nikaingia ndani na niliwakuta dada wakifanya usafi pale reception na mimi niliwasalimia nikaenda moja kwa moja ofisini kwenda kuangalia ripoti kama Asmah alituma.

Wakati naendelea kukagua ripoti kwa upande mwingine Asmah naye aliwasili hivyo alikuja ofisini kwangu na kwa upande wake alionekana kuwa na furaha sana.

MIMI: “Nambie dear wangu nakuona unafuraha sana.”

ASMAH: “Insider nilikuwa nina wasiwasi juu yako kumbe hamna mahusiano yoyote ya ki mapenzi na Iryn.”

MIMI: “Wewe nani kakwambia haya?”

ASMAH: “Rebby jana kaniomba msamaha ndo akanambia haya.”

MIMI: “Ni Kweli hatuna mahusiano yoyote dear.”

ASMAH: “Sasa mbona Bossy anakuwa na wivu juu yako.?”

MIMI: “Tuachane na haya Asmah, ndomana unafuraha sana?”

ASMAH: “Sasa mbona hukuwahi nambia kipindi chote hiki.?”

MIMI: “Sababu hukuwahi kuuliza, tuachane na haya nipe Slip kama hujaingiza bado nipe pesa nikaweke bank.”

ASMAH: “Nimeshaingiza uwe unaangalia whatsapp zako maana hata ukitafutwa hureply.”

MIMI: “Sorry jana ilikuwa busy day.”

Niliondoka pale Masaki na nilikwenda moja kwa moja mpaka Mikocheni na baada ya kuwasili pale sikumkuta Lucy na mimi nilijua lazima atakuwa kwa Iryn na sikutaka kumpigia simu. Nilikwenda ofisini na nilikuta pesa za mauzo zipo kwa droo na mimi baada ya kujiridhisha na mazingira ya pale niliamua kuondoka kwenda kuweka pesa then niende kwa mama wa2

Saa 6 mchana nilikuwa tayari nimewasili kwa mama wa2 kwa upande mwingine alikuwa ameshapanga vitu tayari kwaajili ya kuhama na alikuwa na rafiki yake pale wakisaidiana. Baada ya kuniona aliishia kufurahi na tulianza maongezi pale,

MAMA WA2: “Insider nataka uanze kupeleka baadhi ya vitu kule Madale na vitu vingine vidogo kwaajili ya usalama.”

MIMI: “Usijali ndomana nimekuja mapema sana afu navyotoka huko nitapitia pale shule kutafuta mtu wa canter nafikiri litatosha.”

MAMA WA2: “Na wewe utanichaji kiasi gani? Si unaona vitu vingi? utakuwa na root nyingi sana leo.”

MIMI: “Wewe nijazie mafuta full tank na nihakikishie lunch ya uhakika kuhusu malipo potezea.”

MAMA WA2: “Mhh Ahsante mkwe.”

Nilianza kazi ya kubeba vitu na kupeleka Madale na wakati narudi nilipitia Mbezi shule kutafuta usafiri na nilipata Canter kubwa ambayo ingebeba vitu vyote kwa wakati mmoja. Mpaka saa 12 jioni tulikuwa tumekamilisha kila kitu. Kwa upande wangu sikutaka kuendelea kubaki pale na nilimuaga mama wa2 naondoka. Kwa upande wake alinishukuru sana kwa kumpa kampani na nilimtakia kila la kheri kwenye maisha mapya ya nyumba yake.

Niliondoka Madale na kurudi home ukweli nilikuwa niko hoi sana hivyo baada ya kuwasili home niliingia bafuni kuoga. Baada ya kuoga muda huu niliingia jikoni kupika, kwa upande mwingine Lucy alinipigia simu na baada ya kupokea tulianza mazungumzo,

MIMI: “Mambo Lucy.”

LUCY: “Freshy Insider upo wapi?”

MIMI: “Niko home tu, nilipita asubuhi hukuwepo sijui ulikuwa wapi.”

LUCY: “Nilitoka kidogo, sasa nahitaji kuonana na wewe please.”

MIMI: “Lucy mimi napika hapa sidhani kama itawezekana kwa leo, kwanza nimechoka tufanye kesho asubuhi.”

LUCY: “Nielekeze unakokaa nije kama umebanwa ni muhimu sana ndomana.”

MIMI: “Huwezi kuongea kwa simu?”

LUCY: “Ndomana nikaomba tuonane Insider kama hutojali nitumie location nije chap.”

MIMI: “Sitaki uje maana utanitia nyege tu huku.”

LUCY: “ Insider acha utani niko serious ujue.”

MIMI: “Ok nakutumia kwa Whatsapp soon.”

Baada ya kukata simu nilimtumia location kwa whatsapp na mimi niliendelea kupika pale jikoni.

Baada ya nusu saa simu yangu ilianza kuita tena na alikuwa ni Lucy na nikapokea,

LUCY: “Insider nimeshaingia mtaa wenu nitajie house namba.”

MIMI: “Ok house No.09 gate la kijivu.”

LUCY: “Ok soon niko hapo.”

Baada ya dakika 3 alinipiga simu tena na kunipa taarifa kuwa amefika yuko nje getini hivyo nitoke.

Na mimi nilitoka kwenda kufungua geti na baada ya kucheki niliiona gari Audi ikiwa imesimama pembeni getini na mimi nikajua Lucy kaamua kuja na Iryn. Kwa upande wangu nilislide gate ili waingie ndani na gari iliingia ikapark pale uwanjani lakini nilishangaa kuona Iryn akishuka pake yake na alikuwa amewaka sana. Iryn nguo zake nyingi ni pensi za kombati zenye mifuko pembeni na long sleeve tops.

Tulisalimiana na mimi nilimkaribisha ndani kwa upande mwingine jirani yangu wa pembeni alikuwa ametoka nje na dem wake tukawasalimia pale,

JIRANI: “Kaka habari nyie ndo mmeingia hapa?”

MIMI: “Ndio Brother nina mwezi tayari sema hatuonani majirani.”

JIRANI: “Karibuni sana majirani hata sisi hatuna muda sana hapa na tumepishana kidogo tu.”

MIMI: “Ahsante sana kaka itabidi tubadilishane namba just incase of anything.”

JIRANI: “Yeah sure nipe yako.”

Baada ya kubadilishana namba tuliingia ndani kwa upande mwingine walikuwa wanamshanga sana Iryn.

Ukweli kuwa karibu na Iryn kumenipa sana heshima hasa hapa mjini Dar kwa wanawake na wanaume. Wahuni kibao huwa wananifuata wananisifia kuwa na pisi kali mpaka mademu nao huwa wananipa sifa. Kuna stage mpaka wanauliza nimempataje maana ni kama zali la mentali. Nikiingia maeneo ni heshima, niliamini hapa mjini ili uheshimike kuwa na kitu cha utofauti na wengine kama pisi kali na Pesa bhasi utaheshimika sana.

Tuendelee na story, muda huu Iryn alikuwa anashangaa sana mazingira ya pale seblen na alianza kuzishangaa picha za Junior, zilikuwa ni mpya nzuri ambazo mama yake alizitengeneza zenye ukubwa tofauti wa A4 na A3 na alikuwa amezipanga vizuri sana.

IRYN: “Insider Hii picha ya Junior nimeipenda sana can I have it?”

MIMI: “Achana na picha za Junior niambie kilichokuleta hapa kwangu ni nini?, si unaona mama J hayupo kuendelea kukaa na wewe hapa muda mrefu kutaleta picha mbaya.”

IRYN: “Okay Insider I’m really sorry for what happened.”

MIMI: “Alright kilicho nikera mimi ni wewe kunispy afu umejazwa maneno ya uongo na wewe unaamini, nataka leo niprove kwako mimi sijafanya chochote na Sumaiya.”

IRYN: “Insider kwamba nothing happened? haimake sense.”

MIMI: “Angalia chats zake za jana hizi”

Na muda huu nilimuonesha chats zangu na Sumaiya baada ya kutoka kwa mama Janeth, Sumaiya alikuwa anataka anitunuku pussy kama ahsante lakini mimi nilikuwa namtolea nje.

Na texy yake ilisomeka hivi,

SUMAIYA: “Insider thank you, shida yako kila nikitaka nikupe coochie unakuwa unaringa, wewe mwanaume unanipaga maswali sana, hii jeuri unaitolea wapi.?”

“Hapo sasa umeamini mimi na Sumaiya hakuna tulichofanya zaidi ya utani, na kama hujui vingi alikuwa anafanya mbele yako kwa makusudi maana anajua unanipenda.”

Kwa upande wa Iryn alikuwa kimya sana na hakuwa na cha kuongea kabisa na aliishia kuniangalia tu pale na mimi niliendelea kuongea.

“Mimi nimekusamehe, wanaume huwa hatuweki vitu moyoni nakuchana yanaisha. Twende jikoni ukanisaidie kutengeneza juice.”

Tulikwenda jikoni na yeye kwa upande wake alinisaidia kutengeneza juice ya nanasi na tulipata dinna ya pamoja. Baada ya dinna tuliendelea kuongea pale seblen na kubwa alisema october anakwenda South Africa kuendelea na masomo na mimi nilimwambia ijumaa nitakwenda Dodoma.

IRYN: “Insider huko Dodoma kuna nini eti?, tutakwenda wote this time ili nikaijue Dodoma sijawahi fika.”

MIMI: “Mummy mimi nakwenda na gari hii safari ndefu sana wewe pumzika jiandae na shule.”

IRYN: “Nikiangalia hapa nauli ya Dodoma kwa flight ni 230,000/= ukitumia gari cost zinakuwa kubwa na unachosha gari, tutakwenda na flight.”

MIMI: “Mimi sina nauli ya ndege na ninakwenda na gari najua sitakosa vichwa njiani na pia nataka kuipima perfomance ya gari barabarani haijakwenda masafa marefu.”

IRYN: “Nauli nitalipa mimi mpaka hotel, wewe nisaidie hotel gani nzuri kwa kule.”

MIMI: “Hotel nzuri kwa Dodoma ni Morena Hotel ni ya level zako.”

IRYN: “Ok niachie mimi nitafanya booking mapema.”

Kwa upande mwingine sikutaka kumkatalia niliona busara kwenda naye ili akaijue na Dodoma. Tuliendelea kukaa na Iryn mpaka saa4 usiku ndo aliondoka lakini wakati anaondoka aliiomba picha ya Junior ambayo ilikuwa seblen na mimi nilimpa ili aridhike.

Baada ya Iryn kuondoka nilimpigia simu Lucy na ilibidi nimuulize ilikuwaje wakatengeneza ile movie?. Kwa uaonde wake Lucy alicheka sana na alinambia alitaka kunikutanisha na Iryn ili tuyamalize sasa baada ya kumwambia siwezi bhasi Iryn akamwambia aseme anakuja kwangu ndo yeye akaja. Tuliishia kucheka na mimi nilimwambia tumeyamaliza kwasasa na pia nimeweka heshima tayari na tukaagana. Actually nilitaka Iryn aingie kwenye mfumo wangu hata kumvimbia nilikuwa na pretend nione reaction yake.

Alhamis mchana nilikwenda kwa Jane ili kujua afya yake kabla sijaondoka na pia kuzungumza jambo lake alilotaka kunambia ile siku. Kwa upande mwingine nilikuwa namuangalia Jane kwa jicho la pekee sana maana nilikuwa nakazi kubwa sana ya kuhakikisha usalama wake.

Baada ya kuwasili pale Mbweni niliingia seblen moja kwa moja maana pale mimi ni kama home, kwa upande mwingine Jane alikuwa jikoni anapika na mimi niliamua kwenda hukohuko.

Kwa upande wangu nilishangaa kumuona akipika peke yake pale Jikoni na ilibidi nimuulize kwanini anapika na hali yake ilivyo?. Jane alinambia akina Vicky wamekwenda sokoni kununua chakula cha mbwa maana wanakula sana kama mchwa.

Muda huu na mimi niliendelea kumsaidia baadhi ya kazi huku tunapiga story na kubwa nilimwambia lengo la kwenda kwake ni kumuaga sababu nina safari ya kwenda Dodoma ijumaa. Kwa upande wake alisema hakuna jambo lolote kama Mbwa Vicky yuko vizuri na amewa-masta na mimi nilimshauri na yey awe anacheza nao ili wamzoee.

Tuliendelea kuongea mambo mengi na pia nilimpa gharama za ku import Ist kutoka Japan maana sikutaka kwenda showroom. Nilimwambia gharama za kuimport Ist ni 15 million na gharama za kupimp gari pamoja na Bima ni 2million hivyo jumla ni 17million. Kwa upande wake hakuwa na tatizo na alisema atanikabidhi pesa nikirudi kutoka Dodoma.

Kwa upande mwingine ilibidi nimkumbushie lile jambo alilotaka kunambia ile siku,

MIMI: “Shem ulikuwa na jambo gani ile siku?”

JANE: “It’s crazy but kuna jambo unatakiwa ulifahamu kuhusu best yako Mary.”

MIMI: “Nambie Mary kafanyaje tena.”

JANE: “Unajua Mary kwangu ni kama mdogo wangu na ni rafiki yangu kwasasa na anakuja sana hapa home hata jana tulikuwa wote ananifundisha kuendesha gari.”

MIMI: “Mary anajua kudrive kumbe? Sijawai fahamu hili kwakweli. Umepata best mzuri.”

JANE: “Nisikilize sasa Insider, Mary anakupenda sana hujui tu. Mpe mtoto wa watu anachotaka, sitaki kuona mdogo wangu anakosa raha kwaajili yako.”

MIMI: “Ndo amekutuma uyaseme haya kwangu.?”

JANE: “No hajanituma ila katika maongezi yetu nimejua anakupenda japo hataki kufunguka direct, na nilimwambia una mke.”

MIMI: “Hahahaa sawa bhana ila kuna kitu bado hajakwambia, mimi nimetoka na mdogo wake na tumeachana juzi hapa. Nimetoka na mdogo wake then nidate na yeye haitakuwa sawa hata yeye sidhani kama yuko tayari kwa hili.”

JANE: “Insider wewe ni hatari kumbe umelamba mpaka mdogo wake aisee hii hatari, wewe mle tu aridhike sio lazima mdate…., naona anakitu moyoni juu yako.”

MIMI: “Mmhh wewe endelea kubashiri tu ila Mary anajielewa sana.”

JANE: “Mwanamke akikupenda hata awe smart kiasi gani anakuwa fala tu, afu yule nyege zinamsumbua namwona anakiu sana ya kusuguliwa, kanambia ana mwaka hayuko kwa mahusiano.”

MIMI: “Hajataka tu ila kwa uzuri alionao hawezi kosa mtu wa kuwa naye.”

Kwa upande mwingine akina Vicky walikuwa wamerudi kutoka sokoni sasa vicky alivyoniona jikoni alinipiga na teke la kichokozi na akaondoka. Nafikiri Vicky hakujua kama dada yake yuko jikoni na Jane alinipiga jicho akaishia kutikisa kichwa cha kusikitika na akacheka.

JANE: “Dogo langu naye ameshazama mazima nazionaga movement zake Kwako.”

MIMI: “Hahahaa Vicky ni charming tu anapendaga matani tu.”

JANE: “Kwamba wewe unamjua Vicky kuliko mimi.?”

MIMI: “Pia kuna vitu kwako anahide kuliko akiwa na mimi, niseme namjua kiasi chake.”

Nilishinda na Jane pale mpaka jioni na pia niliwaogesha mbwa na nikawaaga naondoka, kwa upande mwingine Jane alisema akijifungua anategemea kuanza kufanya biashara.

*******
Ijumaa ilikuwa safari ya kwenda Dodoma na tulikuwa tunatarajia kuondoka na ndege ya saa 10 jioni. Kwa upande mwingine nilifanya mawasiliano na wife ili kumpa taarifa ya kwenda Dodoma na kwa upande wake alinisisitiza sana niangalie maendeleo ya maua yake.

Saa 6 mchana mapema nilimpitia Iryn pale kwake na alikuwa amejiandaa tayari na tukaanza safari ya kwenda JNIA na tulirequest bolt ya kutupeleka. Ofcourse tulifika mapema sana Terminal 2, hivyo tulikaa pale BAO cafe tukiendelea kupoteza muda huku tunakula bites na tulikuwa tunapiga sana story,

IRYN: “Hivi Insider mpaka sasa umefanya jambo gani la maendeleo?”

MIMI: “Kitendo cha kukuvua chupi kwangu mimi ni maendeleo makubwa sana.”

Iryn alicheka kwa nguvu sana mpaka akapaliwa na juice aliyokuwa anakunywa mpaka watu ilibidi wageuke maana kicheko kilikuwa kikubwa na sauti yake nzuri.

IRYN: “Insider wewe ni mshenzi sana hilo kwako ndo maendeleo?”

MIMI: “Sasa nitakuja kupata mwanamke mzuri kama wewe lini? maana wewe ulinipa bure lakini wengine watataka pesa.”

IRYN: “Be serious umefanya jambo gani?”

MIMI: “Utaona kesho kwa macho yako mwenyewe ndo linalo tupeleka huku Dodoma.”

IRYN: “Sawa Baba Junior afu babe wangu anarudi lini? nime mmiss sana kwakweli.”

MIMI: “Yuko uchagani huko atarudi tu, nafikiri by next week. Umepata room? maana ukikosa mimi nitakulaza vichochoroni.”

IRYN: “Haina shida hata huko tunalala wote.”

Muda ulivyowadia tulikwenda kucheck-in kwaajili ya kuanza safari ya kwenda Dodoma na tuliwasili Dodoma saa 12 jioni. Baada ya kuwasili pale Airport ilibidi tutafute usafiri wa kutupeleka hotelini,

IRYN: “Insider request usafiri wa kutupeleka Nashera Hotel, Morena nilikosa rooms.”

MIMI: “Na hii hotel umeijuaje?”

IRYN: “Booking.com.”

Baada ya dakika chache bolt alikuwa amefika na alitupeleka mpaka hotelini, kwa upande mwingine tulipokelewa vizuri sana na Iryn alijitambulisha pale reception na baada dakika kadhaa tuliongozana na mhudumu mpaka room.

DADA: “Rooms zote ni sawa sasa sijui maamuzi yenu.”

Iryn alimkatisha dada na maongezi yake, na mimi muda huu nilikuwa bado nashangaa kuona Iryn amebook rooms mbili za kulala, yaani kila mtu na yake.

IRYN: “Dada wewe nenda sisi tumefika tayari.”

Na dada aliondoka pale na alionesha tabasamu kubwa sana kwa Iryn, kwa upande wangu nilikuwa nimemind sana.

MIMI: “Kwanini umebook rooms mbili?, si unachezea hela tu.”

IRYN: “Yeah kwani kuna shida gani kila mtu kulala room yake. Why are you mad?”

MIMI: “Sawa bossy lady mimi sina neno.”

IRYN: “Kuwa na amani, weka bag tupumzike badae tukale dinna, ndomana nilikwambia hili suala niachie mimi.”

Kwa upande wangu nilimind sana maana nilikuwa nawaza kuila coochie yake ofcourse nilikuwa frustrated sana, tangu niko kwenye ndege nilikuwa naiwaza coochie yake na nilikuwa nimempania sana, lakini alinipiga na kitu kizito sana.

Baada ya kuingia ndani niliwasiliana na Mzee Mollel maana alisema nikiwasili Dodoma nimpe taarifa na lengo lake kubwa ni kunikabidhi nyumba, baada ya kuongea na Mzee Mollel tulikubaliana tuonane Jumapili. Niliwasiliana pia na Aggy na yeye nilimpa taarifa niko Dodoma na kwa upande wake alitaka kuniachia gari yake lakini nilimkatalia.

Saa 2 usiku Iryn alinipigia simu nitoke ili tukapate dinna na tulikwenda restaurant ya palepale hotelin kupata msosi. Mhudumu alikuja kutusikiliza na kila mtu aliagiza chakula anachotaka na tukaendelea na maongezi pale,

IRYN: “Insider kumbe Dodoma kuna baridi hivi?”

MIMI: “Sorry nilisahau kukwambia ubebe hata sweta, nitakupa prova yangu uvae.”

MIMI: “Na wewe utavaa nini?, hakuna duka jirani tukanunue?.”

MIMI: “Hali ya hewa ya huku nimeizoea usiwe na wasiwasi, kesho tunanunua.”

IRYN: “Kesho tunaondoka sangapi?”

MIMI: “Saa 4 asubuhi mummy.”

Baada ya kupata dinna nilijaribu kumshawishi Iryn tunywe wine na lengo langu impe nyege lakini alinigomea kabisa na alisema hajisikii kunywa na mpango wangu ukawa umefeli.

Baada ya kupata dinna tuliongozana mpaka chumbani kwake na tulikuwa tumekaa kwenye coach na muda huu alikuwa ananionesha picha zake za simu. Ofcourse picha zake zilikuwa zinasimumua sana ukiziangalia maana kuna ambazo alikuwa anapiga yuko swimming pamoja na video, zingine alikuwa anajichukua akiwa anacheza.

Muda huu mimi mawazo yangu kichwani yalikuwa yanawaza kumla tu wala sio kingine hata mnara ulikuwa upo active muda sana. Nilianza kumfanyia kashikashi pale kama kumchezea kiuno chake lakini kila nikipandisha mkono kumshika boobs zake alikuwa anakaza.

IRYN: “Insider stop this, It's not going to happen again". What happened that day was an accident.”

MIMI: “I don’t trust you, Ingekua accident usingetoa kelele za mahaba kama zile.”

IRYN: “Remember I told you, mama Junior ni rafiki yangu wa karibu na nina muheshimu sana ile siku hata sijui ilikuwaje tukasex.”

MIMI: “Acha unafiki wako hapa, umeshatembea na mme wake afu unaanza kuleta habari za heshima sahivi?, bado itabaki mimi na wewe tume-sex iwe mara moja au mara 100 ukweli ndo huu. Acha mimi niwahi nikalale kesho saa 4 asubuhi tutakwenda huko Makulu then tutamalizia na Iyumbu.

Niliondoka kwenda room yangu, ukweli nilikuwa nimefura sana muda huu hata sikuelewa kwanini Iryn anakaza coochie yake namna hii, nilishangaa sana.

Mary alinipigia simu muda huu na alinilalamikia sana kwanini nimekwenda Dodoma bila kumpa taarifa? na mimi nikaelewa Jane atakuwa kampasha habari. Kwa upande mwingine alilamika nimemchunia sana kipindi hiki tangu niachane na Prisca nimekuwa sina time naye na mimi nilimwomba msamaha nikamuahidi kumtafuta nikirudi Dar.

Saa 4 asubuhi baada ya kupata breakfast tulindoka kwenda Makulu mpaka site, kwa upande wake Iryn alikuwa na shauku sana ya kujua ni jambo gani ambalo lilinileta huku. Baada ya kuwasili pale site nilifungua geti tukaingia ndani na ukweli nyumba ilionekana kung’aa sana na ilipendeza balaa,

MIMI: “Bossy hii ndo project yangu na niliianza muda sana hata kabla hatujafahamiana.”

IRYN: “Really? Is this your house?”

MIMI: “Ndio mummy ila na madeni balaa, mshahara wote naopata nalipa mikopo.”

IRYN: “Congratulations umenifurahisha sana kwahili, I’m really proud of you.”

MIMI: “Thank you so much.”

Kwa upande wake alifurahi sana na tuliingia ndani kukagua kwakweli Mzee Mollel alikuwa amefanya kazi kubwa sana afu nzuri hata Iryn alisifia kwakweli. Tulitumia kama lisaa pale na tukaondoka kwenda Iyumbu kwenda kuangalia kiwanja.

Baada ya kuwasili pale pia nilimwambia Iryn hii nayo ni project yangu na yeye aliishia kushangaa sana. Na pia nilipanga kupanda miti kuzunguka mipaka ya kiwanja,

MIMI: “Mummy leo utanisaidia kupanda miti.”

IRYN: “Miti yenyewe iko wapi?”

MIMI: “Tunakwenda kununua barabarani hapo.”

Nilitafuta mtu wa kuchimba mashimo na sisi tulikwenda kununua miti na palepale tulikonunua miti tulipata na mbolea. Baada ya kurudi kwa upande mwingine tulikuta jamaa ameshamaliza kuchimba mashimo na tulianza kupanda miti.

Wakati zoezi likiendelea kwa upande wa Iryn alianza kupiga kelele kama mtoto na mimi ilibidi nisogee,

IRYN: “Insider nimejichoma na mwiba.” Na alikuwa akitoa sauti ya kudeka,

MIMI: “Pole mummy mpaka turudi Dar utakuwa umefubaa sana hii ndo Dodoma hakunaga warembo huku kabisa, hali ya hewa ya huku haipatani na warembo.”

Ilibidi na jamaa aanze kucheka muda huu,

MIMI: “Kaka uongo? na mfundisha mama maisha hapa si unaona mtoto laini bado ngozi yake haijazoea shida kama sisi.”

JAMAA: “Kweli kabisa hata hivyo una mke mzuri sana.”

MIMI: “Ahaste sana kwa kulitambua hili ndugu yangu, si unaona amefurahi mwenyewe kusifiwa.”

IRYN: “Insider stop this.” Na aliishia kunipiga na ngumi ya mgongo.

Muda tuliotumia Iyumbu ni kama masaa 4 mpaka tuna maliza kupanda mitu na pia nilimpa kazi jamaa ya kumwagilia maji ile miti.

IRYN: “Kaka hakikisha hii miti haikauki sawa?”

JAMAA: “Msijali mabosi zangu kila kitu kitakuwa sawa.”

Na sisi tuliondoka maeneo haya na tulirudi hotelini, kwa upande wa Iryn alionekana kuchoka sana hata tulivyofika hotelini alikwenda moja kwa moja room yake hata hamu ya kula hakuwa nayo.

Saa 2 usiku nilimpigia simu tukapate dinna pale Golden fork lakini alisema amechoka sana hawezi kwenda ila tutatoka kesho, hivyo tuliamua kwenda kula palepale hotelini. Wakati tunakula Pale kwa upande mwingine Bossy lady alionekana kuchoka sana, si mnajua jua la Dodoma linavyochosha,

“Mummy umechoka sana.”

Aliniangalia na akatikisha kichwa kukubaliana na kauli yangu, ukweli alipiga sana kazi hii siku kwa mwanamke ambaye hajazoea hii mikiki lazima apoteane. Ukweli Iryn anabadilika kutokana na mazingira na hanaga ile ya kujionesha kwamba yeye anapesa au ni mzuri hanaga hizi tabia.

“Pole sana, niagize wine?”

“No hata sijisikii kunywa, nipeleke nikalale.”

“Ok lets go.”

Tuliachana pale na mimi niliingia room yangu na muda huu niliwaza nitoke hata out nikapoteze muda kama usingizi nilikuwa sina. Saa yangu ilikuwa inasoma saa 3 usiku hivyo nilibadilika chap sana na nikaondoka kwenda Bambalaga.

Sikutaka kumwaga Iryn maana nilijua atakuwa amelala tu hivyo niliondoka kimya kimya mpaka Bambalaga. Kwa upande mwingine niliwaza kumpandia Maggy lakini niliona itakuwa ni bad idea maana sikumpa taarifa kama niko mjini. Na baada ya kuwasili pale Bambalaga nilikuta kuna watu wengi tu, hivyo nilipiga jicho angle zote nikapata sehemu nzuri ya kukaa lakini kulikuwa na dada yuko peke yake.

Nilisogea mpaka kwenye ile meza nikamsalimia yule dada na mimi nikakaa na niliagiza heineken kama kawaida yangu. Niliendelea kumjasusi dada ili story ziwe zinaendelea na alikuwa anatoa ushirikiano sana na story ziliendelea kukolea pale.

Baada ya lisaa kupita simu yangu ilianza kuita na Iryn ndo alikuwa akipiga muda huu lakini sikupokea simu yake sababu ya kelele. Na palepale nilimtumia ujumbe kwa haraka,

“Mummy niko kwenye kelele unasemaje?”

Alipiga tena simu ikabidi nipokee hivyo hivyo kibishi lakini tukawa hatuelewani vizuri na palepale akanitumia ujumbe,

IRYN: “Insider sikuelewi kwani uko wapi?.”

MIMI: “Nimetoka out mummy sikutaka kukusumbua kwasababu ya uchovu.”

IRYN: “Upo na nani?”

MIMI: “Niko peke yangu hapa.”

IRYN: “Nitumie location ulipo I am coming.”

MIMI: “No, wewe pumzika mimi narudi sio muda.”

IRYN: “Sikuelewi ujue mimi niko sawa send me the exact location.”

MIMI: “Okay request bolt ikulete BAMBALAGA, ndo niko hapa.”

Baada ya dakika 20 Iryn aliwasili pale na mimi nilimtuma mhudumu anisaidie kumfuata na amlete nilipo, baada ya dakika chache alikuwa amemleta na kwa upande wake aliagiza wine. Kwa upande mwingine yule dada aliishia kumtazama Iryn kwa macho ya kiwizi wizi sana maana hakuamini kama ninamiliki mrembo mkali kama yule. Kama mnavyojua Dodoma hakuna warembo kabisa, mtu kama Iryn akionekana anakuwa kivutio sana machoni pa watu.

Kwa upande wa Iryn alikuwa bado haelewi kinachoendelea pale na alihisi yule dada nimekuja naye maana tuliendelea kupiga story na yule dada kama kawaida, lakini nilimwambia IRYN tumekutana palepale.

IRYN: “Insider huyu dada ni nani? ndo umekuja naye.?”

MIMI: “Hapana mimi ndo nimemkuta hapa ndo nikajoin”

IRYN: “Mara hii mmezoena tayari kwa muda mfupi?”

MIMI: “si unajua Bar ndo sehemu ambayo inawakutanisha watu mbalimbali tofauti na mnavibe?”

IRYN: “Bila mimi kuja najua ungeondoka naye tu.”

MIMI: “Acha kunichukulia cheap sana, wewe unaona huyu dada wa kulala na mimi?”

Kwa upande mwingine pale Bambalaga niliweka heshima maana kila mtu aliyekuwa around alikuwa anamuangalia Iryn, japo yeye alikuwa ameshazoea hii hali na alikuwa anaona kawaida tu, hata mimi kwa upande wangu nilikuwa namwona Iryn wa kawaida tu maana nilikuwa nishazoea kuwa naye.

Saa 6 usiku nilimwambia Iryn tuondoke na yeye kwa upande wake alikuwa amekunywa wine nusu tu. Nilifanya malipo na kabla hatujaondoka nilimwaga dada na nilimshukuru kwa kampani yake na sisi tukaondoka kurudi hotelini.

Baada ya kuwasili hotelini kila mtu alikwenda room yake na mimi kwa upande wangu sikutaka kumlazimisha alale na mimi maana niliwaza mpaka amebook vyumba 2 ni kweli amemaanisha hivyo sitakiwi kutumia nguvu kwenye hili jambo na niwe mpole tu.

Muda huu nilichukua laptop yangu na nikaanza kuandika mkataba wa kupangisha nyumba na plan zangu zilikuwa navyoondoka Dom niwe nishapata hata wateja wa kuingia pale nianze kupata hela.

Wakati nikiendelea kuwa busy na laptop yangu kwa upande mwingine nilisikia mlango unagongwa kwa mbali hivyo ilibidi nisogee nikafungue, na kabla sijafungua ilibidi niulize nani, na kwa mbali nilisikia sauti ya Iryn.

ITAENDELEA
Duh, Iyrn anakuja kwako, usipaishe mpira sasa tena mkuu [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Iryn nguo zake nyingi ni pensi za kombati zenye mifuko pembeni na long sleeve tops.
IMG_3190.jpg


Hapa umefungua code
 
You can Ignore, lakini sio kunipangia maana hunilipi hata cent. Nishindwe kutafuta hela ili nikuandikie wewe story?, au hauna mambo ya msingi ya kufanya kwenye maisha yako.??

Niliandika humu ndani story itakuwa inakuja weekend, kuna weekend ilipita sijapost??.
Achana nae, sisi tunataka kuona utuandikia upatapo muda hata sisi muda wa kusoma ni usiku au weekend maana tunarudi kutoka makazini tushachoka, raha ya story ya maisha yako usome ukiwa na nguvu sio unasinziasinzia,. Huyo atakuwa hana majukumu au kazi, so wewe tuandikie upatapo muda, haya week days tuandikie ila ukipata mudaa, tutasoma hata episod zikifika miaaaa
 
Kuandika story so shida kuipitia inahitaji utulivu wa hali juu sana, mimi mwenyewe kwa upande wangu nimechoka na huu uzi natamani hata leo nimalize hizi episode 6 tatizo nakosa muda wa kutulia na mambo mengi sana.

Nikimaliza kupitia episode moja nitakuwa na post siku yoyote na muda wowote kuanzia sasa.

Hata zikiisha hizo episode 70 kuna watu humu ndani watataka mwendelezo.
Uendeleage basi maisha utakavyoanza shule tuone unawezaje manage shule na kazi, one[emoji3590]
 
EPISODE 65
“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

TULIKOISHIA
Na mimi niliondoka pale nimemuacha amekaa kwenye coach na nilisikia akiniita na mimi hata sikuwa na habari naye. Baada ya kufika parking sikutaka kupoteza muda niliwasha gari na wakati natoka pale getini kwa upande mwingine nilimwona ametoka pale nje lakini alikuwa kachelewa tayari na niliondoka kwa kasi sana.

ENDELEA….

Niliwaza kwenda kuonana na Lucy muda huu maana alikuwa ameomba sana tuonane lakini sikuweza kwenda, sababu nilikuwa nakwenda Mlimani city kwaajili ya kununua mahitaji ya nyumbani niliona nipitie pale ofisini ili tuonane. Kwa upande mwingine Iryn alikuwa akinipigia sana simu na mimi sikutaka kupokea simu zake kabisa.

Baada ya kuwasili pale ofisini nilimkuta Lucy bado hajatoka na alikuwa anaweka mambo sawa, hivyo alivyoniona alifunga ofisi na tukaanza safari. Wakati na drive gari macho yote yalikuwa kwangu afu nikimtizama alikuwa anatabasamu,

MIMI: “Lucy vipi mama naona unafuraha sana, leo deal zimetema nini? na mimi unipe mgao wangu.?”

LUCY: “Insider mimi nakuangalia afu nawaza the way unavyowateka warembo wakali, leo nimeshinda na Bossy ofisini ana furaha sana, japo hutaki kunambia ukweli lakini naamini umemt*mba ile siku.”

MIMI: “Hahahaa Lucy unanifurahisha sana kwanza unajua nilimtongoza afu akanitolea nje?”

LUCY: “Safi sana umefanya jambo la maana sana hata kama amekataa kwasasa utakuwa huru na umeweka green light ya yeye kujileta kwako maana wewe ushamwambia ukweli.”

MIMI: “Eti anasema mimi na mke hawezi kukubali kuwa mchepuko kwani ameachana na Grizz kwa sababu hii.”

LUCY: “Insider Iryn anakupenda sana ni vile hataki kujirahisisha kwako na mimi nilikushauri ufanye hivi ili maamuzi yabaki kwake. Mimi nakushauri kwa sasa mind your business ikiwezekana acha hata mazoea na mademu wa ofisi zote.”

Kwa upande mwingine simu ya Lucy ilianza kuita na baada ya kuitoa kwenye mkoba wake alinambia ni Iryn anapiga

“Insider Iryn anapiga simu”

Kwa upande wangu nilijua lazima anampigia simu Lucy sababu ya lile sakata la muda mfupi uliopita wala sio kingine, na mimi nilimwambia Lucy aweke loudspeaker,

LUCY: “Hi Bossy.”

IRYN: “Lucy upo wapi?”

LUCY: “Niko hapa Mwenge mataa ndo naelekea home.”

IRYN: “Okay unaweza kuja hapa kwangu now? please nitakurudishia gharama za usafiri.”

Ilibidi nimuoneshe ishara Lucy ya kukataa maana nilijua anachomuitia,

LUCY: “Bossy umepata matatizo? maana huu muda ni wa kwenda kuonana na mama kabla hajalala.”

IRYN: “Am not in trouble but kama unawahi kwa mama it’s okay.”

LUCY: “Shida ni nini?”

IRYN: “Insider amefound out nilikuwa namspy kule Masaki kupitia Rebby hata sijui amejuaje na nimempigia simu Rebby anasema Insider aliomba simu yake ndo akaona chats zetu. Insider amekuja kwangu sio muda mrefu amegomba sana na sijawahi kumuona akiwa na hasira kama leo, mpaka nimeogopa.”

LUCY: “Pole sana lazima angemind, mimi nitakuja kesho tuongee mapema sana ili tuyamalize ila muombe msamaha kwa hili hata mimi ningejisikia vibaya..”

IRYN: “Hapokei simu zangu naomba umwambie apokee niongee naye.”

Baada ya Iryn kukata simu kwa upande mwingine Lucy ilibidi aanze kuniuliza maswali kuhusu kilichotokea. Kwa upande wangu nilimwambia mkanda wote kuhusu kilichokuwa kinaendelea, hata Lucy naye alishangaa kusikia haya.

LUCY: “Insider unaonaa, nikikwambia Iryn anakupenda wewe mbishi, tena this time kapagawa kabisa.”

MIMI: “Lucy nakudrop hapa, mimi naingia ndani Mlimani city kununua mahitaji ya nyumbani.”

LUCY: “Usije ukawa una mchepuko huko unakwenda onana naye, subiri nikupe mgao wako”

MIMI: “Wow thank you umejuaje sina hela leo?”

LUCY: “Laki 3 hizo na kesho lile deal linaweza kutiki hivyo nitakujulisha.”

MIMI: “Sawa mummy.”

Tuliagana na Lucy pale na mimi niliingia ndani Mlimani city kununua mahitaji maana toka tuhamie makazi mapya sikuwai kununua mahitaji yoyote wife alikuwa hayupo, nilijikuta mpaka dawa ya meno imeisha ndani.

Nilitumia kama nusu saa pale Mlimani city na niliondoka maeneo haya kurudi home. Baada ya kurudi home kwa Upande mwingine niliwasiliana na mama wa2 na alikuwa ananikumbusha kuwa kesho anahamia kwenye kibanda chake hivyo niandae usafiri mapema na pia niwahi kwenda kumkampani. Kwa upande mwingine Iryn alikuwa akipiga simu sana lakini sikuwa napokea wala kureply text zake na nikaamua kumtia block kama yeye alivyonifanyia.

Tangu mama wa2 achukue emergence ofisini kwaajili ya kukamilisha zoezi la uhamiaji katika nyumba yake mpya, na mimi kwa upande wangu ratiba za asubuhi zilibadilika. Nilikuwa naamka saa 12 asubuhi nakwenda jogging maana ratiba za kumchukua mama wa2 ile asubuhi zilikuwa zimekufa hivyo sasa nilikuwa huru kufanya jogging na mazoezi.

Baada ya kutoka jogging nilijiandaa nikapata breakfast na nikaanza safari ya kwenda mzigoni kufanya majukumu yangu ya kila siku. Baada ya kuwasili Masaki nilipark gari nikaingia ndani na niliwakuta dada wakifanya usafi pale reception na mimi niliwasalimia nikaenda moja kwa moja ofisini kwenda kuangalia ripoti kama Asmah alituma.

Wakati naendelea kukagua ripoti kwa upande mwingine Asmah naye aliwasili hivyo alikuja ofisini kwangu na kwa upande wake alionekana kuwa na furaha sana.

MIMI: “Nambie dear wangu nakuona unafuraha sana.”

ASMAH: “Insider nilikuwa nina wasiwasi juu yako kumbe hamna mahusiano yoyote ya ki mapenzi na Iryn.”

MIMI: “Wewe nani kakwambia haya?”

ASMAH: “Rebby jana kaniomba msamaha ndo akanambia haya.”

MIMI: “Ni Kweli hatuna mahusiano yoyote dear.”

ASMAH: “Sasa mbona Bossy anakuwa na wivu juu yako.?”

MIMI: “Tuachane na haya Asmah, ndomana unafuraha sana?”

ASMAH: “Sasa mbona hukuwahi nambia kipindi chote hiki.?”

MIMI: “Sababu hukuwahi kuuliza, tuachane na haya nipe Slip kama hujaingiza bado nipe pesa nikaweke bank.”

ASMAH: “Nimeshaingiza uwe unaangalia whatsapp zako maana hata ukitafutwa hureply.”

MIMI: “Sorry jana ilikuwa busy day.”

Niliondoka pale Masaki na nilikwenda moja kwa moja mpaka Mikocheni na baada ya kuwasili pale sikumkuta Lucy na mimi nilijua lazima atakuwa kwa Iryn na sikutaka kumpigia simu. Nilikwenda ofisini na nilikuta pesa za mauzo zipo kwa droo na mimi baada ya kujiridhisha na mazingira ya pale niliamua kuondoka kwenda kuweka pesa then niende kwa mama wa2

Saa 6 mchana nilikuwa tayari nimewasili kwa mama wa2 kwa upande mwingine alikuwa ameshapanga vitu tayari kwaajili ya kuhama na alikuwa na rafiki yake pale wakisaidiana. Baada ya kuniona aliishia kufurahi na tulianza maongezi pale,

MAMA WA2: “Insider nataka uanze kupeleka baadhi ya vitu kule Madale na vitu vingine vidogo kwaajili ya usalama.”

MIMI: “Usijali ndomana nimekuja mapema sana afu navyotoka huko nitapitia pale shule kutafuta mtu wa canter nafikiri litatosha.”

MAMA WA2: “Na wewe utanichaji kiasi gani? Si unaona vitu vingi? utakuwa na root nyingi sana leo.”

MIMI: “Wewe nijazie mafuta full tank na nihakikishie lunch ya uhakika kuhusu malipo potezea.”

MAMA WA2: “Mhh Ahsante mkwe.”

Nilianza kazi ya kubeba vitu na kupeleka Madale na wakati narudi nilipitia Mbezi shule kutafuta usafiri na nilipata Canter kubwa ambayo ingebeba vitu vyote kwa wakati mmoja. Mpaka saa 12 jioni tulikuwa tumekamilisha kila kitu. Kwa upande wangu sikutaka kuendelea kubaki pale na nilimuaga mama wa2 naondoka. Kwa upande wake alinishukuru sana kwa kumpa kampani na nilimtakia kila la kheri kwenye maisha mapya ya nyumba yake.

Niliondoka Madale na kurudi home ukweli nilikuwa niko hoi sana hivyo baada ya kuwasili home niliingia bafuni kuoga. Baada ya kuoga muda huu niliingia jikoni kupika, kwa upande mwingine Lucy alinipigia simu na baada ya kupokea tulianza mazungumzo,

MIMI: “Mambo Lucy.”

LUCY: “Freshy Insider upo wapi?”

MIMI: “Niko home tu, nilipita asubuhi hukuwepo sijui ulikuwa wapi.”

LUCY: “Nilitoka kidogo, sasa nahitaji kuonana na wewe please.”

MIMI: “Lucy mimi napika hapa sidhani kama itawezekana kwa leo, kwanza nimechoka tufanye kesho asubuhi.”

LUCY: “Nielekeze unakokaa nije kama umebanwa ni muhimu sana ndomana.”

MIMI: “Huwezi kuongea kwa simu?”

LUCY: “Ndomana nikaomba tuonane Insider kama hutojali nitumie location nije chap.”

MIMI: “Sitaki uje maana utanitia nyege tu huku.”

LUCY: “ Insider acha utani niko serious ujue.”

MIMI: “Ok nakutumia kwa Whatsapp soon.”

Baada ya kukata simu nilimtumia location kwa whatsapp na mimi niliendelea kupika pale jikoni.

Baada ya nusu saa simu yangu ilianza kuita tena na alikuwa ni Lucy na nikapokea,

LUCY: “Insider nimeshaingia mtaa wenu nitajie house namba.”

MIMI: “Ok house No.09 gate la kijivu.”

LUCY: “Ok soon niko hapo.”

Baada ya dakika 3 alinipiga simu tena na kunipa taarifa kuwa amefika yuko nje getini hivyo nitoke.

Na mimi nilitoka kwenda kufungua geti na baada ya kucheki niliiona gari Audi ikiwa imesimama pembeni getini na mimi nikajua Lucy kaamua kuja na Iryn. Kwa upande wangu nilislide gate ili waingie ndani na gari iliingia ikapark pale uwanjani lakini nilishangaa kuona Iryn akishuka pake yake na alikuwa amewaka sana. Iryn nguo zake nyingi ni pensi za kombati zenye mifuko pembeni na long sleeve tops.

Tulisalimiana na mimi nilimkaribisha ndani kwa upande mwingine jirani yangu wa pembeni alikuwa ametoka nje na dem wake tukawasalimia pale,

JIRANI: “Kaka habari nyie ndo mmeingia hapa?”

MIMI: “Ndio Brother nina mwezi tayari sema hatuonani majirani.”

JIRANI: “Karibuni sana majirani hata sisi hatuna muda sana hapa na tumepishana kidogo tu.”

MIMI: “Ahsante sana kaka itabidi tubadilishane namba just incase of anything.”

JIRANI: “Yeah sure nipe yako.”

Baada ya kubadilishana namba tuliingia ndani kwa upande mwingine walikuwa wanamshanga sana Iryn.

Ukweli kuwa karibu na Iryn kumenipa sana heshima hasa hapa mjini Dar kwa wanawake na wanaume. Wahuni kibao huwa wananifuata wananisifia kuwa na pisi kali mpaka mademu nao huwa wananipa sifa. Kuna stage mpaka wanauliza nimempataje maana ni kama zali la mentali. Nikiingia maeneo ni heshima, niliamini hapa mjini ili uheshimike kuwa na kitu cha utofauti na wengine kama pisi kali na Pesa bhasi utaheshimika sana.

Tuendelee na story, muda huu Iryn alikuwa anashangaa sana mazingira ya pale seblen na alianza kuzishangaa picha za Junior, zilikuwa ni mpya nzuri ambazo mama yake alizitengeneza zenye ukubwa tofauti wa A4 na A3 na alikuwa amezipanga vizuri sana.

IRYN: “Insider Hii picha ya Junior nimeipenda sana can I have it?”

MIMI: “Achana na picha za Junior niambie kilichokuleta hapa kwangu ni nini?, si unaona mama J hayupo kuendelea kukaa na wewe hapa muda mrefu kutaleta picha mbaya.”

IRYN: “Okay Insider I’m really sorry for what happened.”

MIMI: “Alright kilicho nikera mimi ni wewe kunispy afu umejazwa maneno ya uongo na wewe unaamini, nataka leo niprove kwako mimi sijafanya chochote na Sumaiya.”

IRYN: “Insider kwamba nothing happened? haimake sense.”

MIMI: “Angalia chats zake za jana hizi”

Na muda huu nilimuonesha chats zangu na Sumaiya baada ya kutoka kwa mama Janeth, Sumaiya alikuwa anataka anitunuku pussy kama ahsante lakini mimi nilikuwa namtolea nje.

Na texy yake ilisomeka hivi,

SUMAIYA: “Insider thank you, shida yako kila nikitaka nikupe coochie unakuwa unaringa, wewe mwanaume unanipaga maswali sana, hii jeuri unaitolea wapi.?”

“Hapo sasa umeamini mimi na Sumaiya hakuna tulichofanya zaidi ya utani, na kama hujui vingi alikuwa anafanya mbele yako kwa makusudi maana anajua unanipenda.”

Kwa upande wa Iryn alikuwa kimya sana na hakuwa na cha kuongea kabisa na aliishia kuniangalia tu pale na mimi niliendelea kuongea.

“Mimi nimekusamehe, wanaume huwa hatuweki vitu moyoni nakuchana yanaisha. Twende jikoni ukanisaidie kutengeneza juice.”

Tulikwenda jikoni na yeye kwa upande wake alinisaidia kutengeneza juice ya nanasi na tulipata dinna ya pamoja. Baada ya dinna tuliendelea kuongea pale seblen na kubwa alisema october anakwenda South Africa kuendelea na masomo na mimi nilimwambia ijumaa nitakwenda Dodoma.

IRYN: “Insider huko Dodoma kuna nini eti?, tutakwenda wote this time ili nikaijue Dodoma sijawahi fika.”

MIMI: “Mummy mimi nakwenda na gari hii safari ndefu sana wewe pumzika jiandae na shule.”

IRYN: “Nikiangalia hapa nauli ya Dodoma kwa flight ni 230,000/= ukitumia gari cost zinakuwa kubwa na unachosha gari, tutakwenda na flight.”

MIMI: “Mimi sina nauli ya ndege na ninakwenda na gari najua sitakosa vichwa njiani na pia nataka kuipima perfomance ya gari barabarani haijakwenda masafa marefu.”

IRYN: “Nauli nitalipa mimi mpaka hotel, wewe nisaidie hotel gani nzuri kwa kule.”

MIMI: “Hotel nzuri kwa Dodoma ni Morena Hotel ni ya level zako.”

IRYN: “Ok niachie mimi nitafanya booking mapema.”

Kwa upande mwingine sikutaka kumkatalia niliona busara kwenda naye ili akaijue na Dodoma. Tuliendelea kukaa na Iryn mpaka saa4 usiku ndo aliondoka lakini wakati anaondoka aliiomba picha ya Junior ambayo ilikuwa seblen na mimi nilimpa ili aridhike.

Baada ya Iryn kuondoka nilimpigia simu Lucy na ilibidi nimuulize ilikuwaje wakatengeneza ile movie?. Kwa uaonde wake Lucy alicheka sana na alinambia alitaka kunikutanisha na Iryn ili tuyamalize sasa baada ya kumwambia siwezi bhasi Iryn akamwambia aseme anakuja kwangu ndo yeye akaja. Tuliishia kucheka na mimi nilimwambia tumeyamaliza kwasasa na pia nimeweka heshima tayari na tukaagana. Actually nilitaka Iryn aingie kwenye mfumo wangu hata kumvimbia nilikuwa na pretend nione reaction yake.

Alhamis mchana nilikwenda kwa Jane ili kujua afya yake kabla sijaondoka na pia kuzungumza jambo lake alilotaka kunambia ile siku. Kwa upande mwingine nilikuwa namuangalia Jane kwa jicho la pekee sana maana nilikuwa nakazi kubwa sana ya kuhakikisha usalama wake.

Baada ya kuwasili pale Mbweni niliingia seblen moja kwa moja maana pale mimi ni kama home, kwa upande mwingine Jane alikuwa jikoni anapika na mimi niliamua kwenda hukohuko.

Kwa upande wangu nilishangaa kumuona akipika peke yake pale Jikoni na ilibidi nimuulize kwanini anapika na hali yake ilivyo?. Jane alinambia akina Vicky wamekwenda sokoni kununua chakula cha mbwa maana wanakula sana kama mchwa.

Muda huu na mimi niliendelea kumsaidia baadhi ya kazi huku tunapiga story na kubwa nilimwambia lengo la kwenda kwake ni kumuaga sababu nina safari ya kwenda Dodoma ijumaa. Kwa upande wake alisema hakuna jambo lolote kama Mbwa Vicky yuko vizuri na amewa-masta na mimi nilimshauri na yey awe anacheza nao ili wamzoee.

Tuliendelea kuongea mambo mengi na pia nilimpa gharama za ku import Ist kutoka Japan maana sikutaka kwenda showroom. Nilimwambia gharama za kuimport Ist ni 15 million na gharama za kupimp gari pamoja na Bima ni 2million hivyo jumla ni 17million. Kwa upande wake hakuwa na tatizo na alisema atanikabidhi pesa nikirudi kutoka Dodoma.

Kwa upande mwingine ilibidi nimkumbushie lile jambo alilotaka kunambia ile siku,

MIMI: “Shem ulikuwa na jambo gani ile siku?”

JANE: “It’s crazy but kuna jambo unatakiwa ulifahamu kuhusu best yako Mary.”

MIMI: “Nambie Mary kafanyaje tena.”

JANE: “Unajua Mary kwangu ni kama mdogo wangu na ni rafiki yangu kwasasa na anakuja sana hapa home hata jana tulikuwa wote ananifundisha kuendesha gari.”

MIMI: “Mary anajua kudrive kumbe? Sijawai fahamu hili kwakweli. Umepata best mzuri.”

JANE: “Nisikilize sasa Insider, Mary anakupenda sana hujui tu. Mpe mtoto wa watu anachotaka, sitaki kuona mdogo wangu anakosa raha kwaajili yako.”

MIMI: “Ndo amekutuma uyaseme haya kwangu.?”

JANE: “No hajanituma ila katika maongezi yetu nimejua anakupenda japo hataki kufunguka direct, na nilimwambia una mke.”

MIMI: “Hahahaa sawa bhana ila kuna kitu bado hajakwambia, mimi nimetoka na mdogo wake na tumeachana juzi hapa. Nimetoka na mdogo wake then nidate na yeye haitakuwa sawa hata yeye sidhani kama yuko tayari kwa hili.”

JANE: “Insider wewe ni hatari kumbe umelamba mpaka mdogo wake aisee hii hatari, wewe mle tu aridhike sio lazima mdate…., naona anakitu moyoni juu yako.”

MIMI: “Mmhh wewe endelea kubashiri tu ila Mary anajielewa sana.”

JANE: “Mwanamke akikupenda hata awe smart kiasi gani anakuwa fala tu, afu yule nyege zinamsumbua namwona anakiu sana ya kusuguliwa, kanambia ana mwaka hayuko kwa mahusiano.”

MIMI: “Hajataka tu ila kwa uzuri alionao hawezi kosa mtu wa kuwa naye.”

Kwa upande mwingine akina Vicky walikuwa wamerudi kutoka sokoni sasa vicky alivyoniona jikoni alinipiga na teke la kichokozi na akaondoka. Nafikiri Vicky hakujua kama dada yake yuko jikoni na Jane alinipiga jicho akaishia kutikisa kichwa cha kusikitika na akacheka.

JANE: “Dogo langu naye ameshazama mazima nazionaga movement zake Kwako.”

MIMI: “Hahahaa Vicky ni charming tu anapendaga matani tu.”

JANE: “Kwamba wewe unamjua Vicky kuliko mimi.?”

MIMI: “Pia kuna vitu kwako anahide kuliko akiwa na mimi, niseme namjua kiasi chake.”

Nilishinda na Jane pale mpaka jioni na pia niliwaogesha mbwa na nikawaaga naondoka, kwa upande mwingine Jane alisema akijifungua anategemea kuanza kufanya biashara.

*******
Ijumaa ilikuwa safari ya kwenda Dodoma na tulikuwa tunatarajia kuondoka na ndege ya saa 10 jioni. Kwa upande mwingine nilifanya mawasiliano na wife ili kumpa taarifa ya kwenda Dodoma na kwa upande wake alinisisitiza sana niangalie maendeleo ya maua yake.

Saa 6 mchana mapema nilimpitia Iryn pale kwake na alikuwa amejiandaa tayari na tukaanza safari ya kwenda JNIA na tulirequest bolt ya kutupeleka. Ofcourse tulifika mapema sana Terminal 2, hivyo tulikaa pale BAO cafe tukiendelea kupoteza muda huku tunakula bites na tulikuwa tunapiga sana story,

IRYN: “Hivi Insider mpaka sasa umefanya jambo gani la maendeleo?”

MIMI: “Kitendo cha kukuvua chupi kwangu mimi ni maendeleo makubwa sana.”

Iryn alicheka kwa nguvu sana mpaka akapaliwa na juice aliyokuwa anakunywa mpaka watu ilibidi wageuke maana kicheko kilikuwa kikubwa na sauti yake nzuri.

IRYN: “Insider wewe ni mshenzi sana hilo kwako ndo maendeleo?”

MIMI: “Sasa nitakuja kupata mwanamke mzuri kama wewe lini? maana wewe ulinipa bure lakini wengine watataka pesa.”

IRYN: “Be serious umefanya jambo gani?”

MIMI: “Utaona kesho kwa macho yako mwenyewe ndo linalo tupeleka huku Dodoma.”

IRYN: “Sawa Baba Junior afu babe wangu anarudi lini? nime mmiss sana kwakweli.”

MIMI: “Yuko uchagani huko atarudi tu, nafikiri by next week. Umepata room? maana ukikosa mimi nitakulaza vichochoroni.”

IRYN: “Haina shida hata huko tunalala wote.”

Muda ulivyowadia tulikwenda kucheck-in kwaajili ya kuanza safari ya kwenda Dodoma na tuliwasili Dodoma saa 12 jioni. Baada ya kuwasili pale Airport ilibidi tutafute usafiri wa kutupeleka hotelini,

IRYN: “Insider request usafiri wa kutupeleka Nashera Hotel, Morena nilikosa rooms.”

MIMI: “Na hii hotel umeijuaje?”

IRYN: “Booking.com.”

Baada ya dakika chache bolt alikuwa amefika na alitupeleka mpaka hotelini, kwa upande mwingine tulipokelewa vizuri sana na Iryn alijitambulisha pale reception na baada dakika kadhaa tuliongozana na mhudumu mpaka room.

DADA: “Rooms zote ni sawa sasa sijui maamuzi yenu.”

Iryn alimkatisha dada na maongezi yake, na mimi muda huu nilikuwa bado nashangaa kuona Iryn amebook rooms mbili za kulala, yaani kila mtu na yake.

IRYN: “Dada wewe nenda sisi tumefika tayari.”

Na dada aliondoka pale na alionesha tabasamu kubwa sana kwa Iryn, kwa upande wangu nilikuwa nimemind sana.

MIMI: “Kwanini umebook rooms mbili?, si unachezea hela tu.”

IRYN: “Yeah kwani kuna shida gani kila mtu kulala room yake. Why are you mad?”

MIMI: “Sawa bossy lady mimi sina neno.”

IRYN: “Kuwa na amani, weka bag tupumzike badae tukale dinna, ndomana nilikwambia hili suala niachie mimi.”

Kwa upande wangu nilimind sana maana nilikuwa nawaza kuila coochie yake ofcourse nilikuwa frustrated sana, tangu niko kwenye ndege nilikuwa naiwaza coochie yake na nilikuwa nimempania sana, lakini alinipiga na kitu kizito sana.

Baada ya kuingia ndani niliwasiliana na Mzee Mollel maana alisema nikiwasili Dodoma nimpe taarifa na lengo lake kubwa ni kunikabidhi nyumba, baada ya kuongea na Mzee Mollel tulikubaliana tuonane Jumapili. Niliwasiliana pia na Aggy na yeye nilimpa taarifa niko Dodoma na kwa upande wake alitaka kuniachia gari yake lakini nilimkatalia.

Saa 2 usiku Iryn alinipigia simu nitoke ili tukapate dinna na tulikwenda restaurant ya palepale hotelin kupata msosi. Mhudumu alikuja kutusikiliza na kila mtu aliagiza chakula anachotaka na tukaendelea na maongezi pale,

IRYN: “Insider kumbe Dodoma kuna baridi hivi?”

MIMI: “Sorry nilisahau kukwambia ubebe hata sweta, nitakupa prova yangu uvae.”

MIMI: “Na wewe utavaa nini?, hakuna duka jirani tukanunue?.”

MIMI: “Hali ya hewa ya huku nimeizoea usiwe na wasiwasi, kesho tunanunua.”

IRYN: “Kesho tunaondoka sangapi?”

MIMI: “Saa 4 asubuhi mummy.”

Baada ya kupata dinna nilijaribu kumshawishi Iryn tunywe wine na lengo langu impe nyege lakini alinigomea kabisa na alisema hajisikii kunywa na mpango wangu ukawa umefeli.

Baada ya kupata dinna tuliongozana mpaka chumbani kwake na tulikuwa tumekaa kwenye coach na muda huu alikuwa ananionesha picha zake za simu. Ofcourse picha zake zilikuwa zinasimumua sana ukiziangalia maana kuna ambazo alikuwa anapiga yuko swimming pamoja na video, zingine alikuwa anajichukua akiwa anacheza.

Muda huu mimi mawazo yangu kichwani yalikuwa yanawaza kumla tu wala sio kingine hata mnara ulikuwa upo active muda sana. Nilianza kumfanyia kashikashi pale kama kumchezea kiuno chake lakini kila nikipandisha mkono kumshika boobs zake alikuwa anakaza.

IRYN: “Insider stop this, It's not going to happen again". What happened that day was an accident.”

MIMI: “I don’t trust you, Ingekua accident usingetoa kelele za mahaba kama zile.”

IRYN: “Remember I told you, mama Junior ni rafiki yangu wa karibu na nina muheshimu sana ile siku hata sijui ilikuwaje tukasex.”

MIMI: “Acha unafiki wako hapa, umeshatembea na mme wake afu unaanza kuleta habari za heshima sahivi?, bado itabaki mimi na wewe tume-sex iwe mara moja au mara 100 ukweli ndo huu. Acha mimi niwahi nikalale kesho saa 4 asubuhi tutakwenda huko Makulu then tutamalizia na Iyumbu.

Niliondoka kwenda room yangu, ukweli nilikuwa nimefura sana muda huu hata sikuelewa kwanini Iryn anakaza coochie yake namna hii, nilishangaa sana.

Mary alinipigia simu muda huu na alinilalamikia sana kwanini nimekwenda Dodoma bila kumpa taarifa? na mimi nikaelewa Jane atakuwa kampasha habari. Kwa upande mwingine alilamika nimemchunia sana kipindi hiki tangu niachane na Prisca nimekuwa sina time naye na mimi nilimwomba msamaha nikamuahidi kumtafuta nikirudi Dar.

Saa 4 asubuhi baada ya kupata breakfast tulindoka kwenda Makulu mpaka site, kwa upande wake Iryn alikuwa na shauku sana ya kujua ni jambo gani ambalo lilinileta huku. Baada ya kuwasili pale site nilifungua geti tukaingia ndani na ukweli nyumba ilionekana kung’aa sana na ilipendeza balaa,

MIMI: “Bossy hii ndo project yangu na niliianza muda sana hata kabla hatujafahamiana.”

IRYN: “Really? Is this your house?”

MIMI: “Ndio mummy ila na madeni balaa, mshahara wote naopata nalipa mikopo.”

IRYN: “Congratulations umenifurahisha sana kwahili, I’m really proud of you.”

MIMI: “Thank you so much.”

Kwa upande wake alifurahi sana na tuliingia ndani kukagua kwakweli Mzee Mollel alikuwa amefanya kazi kubwa sana afu nzuri hata Iryn alisifia kwakweli. Tulitumia kama lisaa pale na tukaondoka kwenda Iyumbu kwenda kuangalia kiwanja.

Baada ya kuwasili pale pia nilimwambia Iryn hii nayo ni project yangu na yeye aliishia kushangaa sana. Na pia nilipanga kupanda miti kuzunguka mipaka ya kiwanja,

MIMI: “Mummy leo utanisaidia kupanda miti.”

IRYN: “Miti yenyewe iko wapi?”

MIMI: “Tunakwenda kununua barabarani hapo.”

Nilitafuta mtu wa kuchimba mashimo na sisi tulikwenda kununua miti na palepale tulikonunua miti tulipata na mbolea. Baada ya kurudi kwa upande mwingine tulikuta jamaa ameshamaliza kuchimba mashimo na tulianza kupanda miti.

Wakati zoezi likiendelea kwa upande wa Iryn alianza kupiga kelele kama mtoto na mimi ilibidi nisogee,

IRYN: “Insider nimejichoma na mwiba.” Na alikuwa akitoa sauti ya kudeka,

MIMI: “Pole mummy mpaka turudi Dar utakuwa umefubaa sana hii ndo Dodoma hakunaga warembo huku kabisa, hali ya hewa ya huku haipatani na warembo.”

Ilibidi na jamaa aanze kucheka muda huu,

MIMI: “Kaka uongo? na mfundisha mama maisha hapa si unaona mtoto laini bado ngozi yake haijazoea shida kama sisi.”

JAMAA: “Kweli kabisa hata hivyo una mke mzuri sana.”

MIMI: “Ahaste sana kwa kulitambua hili ndugu yangu, si unaona amefurahi mwenyewe kusifiwa.”

IRYN: “Insider stop this.” Na aliishia kunipiga na ngumi ya mgongo.

Muda tuliotumia Iyumbu ni kama masaa 4 mpaka tuna maliza kupanda mitu na pia nilimpa kazi jamaa ya kumwagilia maji ile miti.

IRYN: “Kaka hakikisha hii miti haikauki sawa?”

JAMAA: “Msijali mabosi zangu kila kitu kitakuwa sawa.”

Na sisi tuliondoka maeneo haya na tulirudi hotelini, kwa upande wa Iryn alionekana kuchoka sana hata tulivyofika hotelini alikwenda moja kwa moja room yake hata hamu ya kula hakuwa nayo.

Saa 2 usiku nilimpigia simu tukapate dinna pale Golden fork lakini alisema amechoka sana hawezi kwenda ila tutatoka kesho, hivyo tuliamua kwenda kula palepale hotelini. Wakati tunakula Pale kwa upande mwingine Bossy lady alionekana kuchoka sana, si mnajua jua la Dodoma linavyochosha,

“Mummy umechoka sana.”

Aliniangalia na akatikisha kichwa kukubaliana na kauli yangu, ukweli alipiga sana kazi hii siku kwa mwanamke ambaye hajazoea hii mikiki lazima apoteane. Ukweli Iryn anabadilika kutokana na mazingira na hanaga ile ya kujionesha kwamba yeye anapesa au ni mzuri hanaga hizi tabia.

“Pole sana, niagize wine?”

“No hata sijisikii kunywa, nipeleke nikalale.”

“Ok lets go.”

Tuliachana pale na mimi niliingia room yangu na muda huu niliwaza nitoke hata out nikapoteze muda kama usingizi nilikuwa sina. Saa yangu ilikuwa inasoma saa 3 usiku hivyo nilibadilika chap sana na nikaondoka kwenda Bambalaga.

Sikutaka kumwaga Iryn maana nilijua atakuwa amelala tu hivyo niliondoka kimya kimya mpaka Bambalaga. Kwa upande mwingine niliwaza kumpandia Maggy lakini niliona itakuwa ni bad idea maana sikumpa taarifa kama niko mjini. Na baada ya kuwasili pale Bambalaga nilikuta kuna watu wengi tu, hivyo nilipiga jicho angle zote nikapata sehemu nzuri ya kukaa lakini kulikuwa na dada yuko peke yake.

Nilisogea mpaka kwenye ile meza nikamsalimia yule dada na mimi nikakaa na niliagiza heineken kama kawaida yangu. Niliendelea kumjasusi dada ili story ziwe zinaendelea na alikuwa anatoa ushirikiano sana na story ziliendelea kukolea pale.

Baada ya lisaa kupita simu yangu ilianza kuita na Iryn ndo alikuwa akipiga muda huu lakini sikupokea simu yake sababu ya kelele. Na palepale nilimtumia ujumbe kwa haraka,

“Mummy niko kwenye kelele unasemaje?”

Alipiga tena simu ikabidi nipokee hivyo hivyo kibishi lakini tukawa hatuelewani vizuri na palepale akanitumia ujumbe,

IRYN: “Insider sikuelewi kwani uko wapi?.”

MIMI: “Nimetoka out mummy sikutaka kukusumbua kwasababu ya uchovu.”

IRYN: “Upo na nani?”

MIMI: “Niko peke yangu hapa.”

IRYN: “Nitumie location ulipo I am coming.”

MIMI: “No, wewe pumzika mimi narudi sio muda.”

IRYN: “Sikuelewi ujue mimi niko sawa send me the exact location.”

MIMI: “Okay request bolt ikulete BAMBALAGA, ndo niko hapa.”

Baada ya dakika 20 Iryn aliwasili pale na mimi nilimtuma mhudumu anisaidie kumfuata na amlete nilipo, baada ya dakika chache alikuwa amemleta na kwa upande wake aliagiza wine. Kwa upande mwingine yule dada aliishia kumtazama Iryn kwa macho ya kiwizi wizi sana maana hakuamini kama ninamiliki mrembo mkali kama yule. Kama mnavyojua Dodoma hakuna warembo kabisa, mtu kama Iryn akionekana anakuwa kivutio sana machoni pa watu.

Kwa upande wa Iryn alikuwa bado haelewi kinachoendelea pale na alihisi yule dada nimekuja naye maana tuliendelea kupiga story na yule dada kama kawaida, lakini nilimwambia IRYN tumekutana palepale.

IRYN: “Insider huyu dada ni nani? ndo umekuja naye.?”

MIMI: “Hapana mimi ndo nimemkuta hapa ndo nikajoin”

IRYN: “Mara hii mmezoena tayari kwa muda mfupi?”

MIMI: “si unajua Bar ndo sehemu ambayo inawakutanisha watu mbalimbali tofauti na mnavibe?”

IRYN: “Bila mimi kuja najua ungeondoka naye tu.”

MIMI: “Acha kunichukulia cheap sana, wewe unaona huyu dada wa kulala na mimi?”

Kwa upande mwingine pale Bambalaga niliweka heshima maana kila mtu aliyekuwa around alikuwa anamuangalia Iryn, japo yeye alikuwa ameshazoea hii hali na alikuwa anaona kawaida tu, hata mimi kwa upande wangu nilikuwa namwona Iryn wa kawaida tu maana nilikuwa nishazoea kuwa naye.

Saa 6 usiku nilimwambia Iryn tuondoke na yeye kwa upande wake alikuwa amekunywa wine nusu tu. Nilifanya malipo na kabla hatujaondoka nilimwaga dada na nilimshukuru kwa kampani yake na sisi tukaondoka kurudi hotelini.

Baada ya kuwasili hotelini kila mtu alikwenda room yake na mimi kwa upande wangu sikutaka kumlazimisha alale na mimi maana niliwaza mpaka amebook vyumba 2 ni kweli amemaanisha hivyo sitakiwi kutumia nguvu kwenye hili jambo na niwe mpole tu.

Muda huu nilichukua laptop yangu na nikaanza kuandika mkataba wa kupangisha nyumba na plan zangu zilikuwa navyoondoka Dom niwe nishapata hata wateja wa kuingia pale nianze kupata hela.

Wakati nikiendelea kuwa busy na laptop yangu kwa upande mwingine nilisikia mlango unagongwa kwa mbali hivyo ilibidi nisogee nikafungue, na kabla sijafungua ilibidi niulize nani, na kwa mbali nilisikia sauti ya Iryn.

ITAENDELEA
Aaachi gigjgiji jii
 
Wakati nikiendelea kuwa busy na laptop yangu kwa upande mwingine nilisikia mlango unagongwa kwa mbali hivyo ilibidi nisogee nikafungue, na kabla sijafungua ilibidi niulize nani, na kwa mbali nilisikia sauti ya Iryn.

Hewalaaaa...

Naamini baada ya hapo laptop ikafunikwa ngaaaah...

Project ya kula zabibu za Dodoma ikaendelea ngiiiih...
 
EPISODE 65
“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

TULIKOISHIA
Na mimi niliondoka pale nimemuacha amekaa kwenye coach na nilisikia akiniita na mimi hata sikuwa na habari naye. Baada ya kufika parking sikutaka kupoteza muda niliwasha gari na wakati natoka pale getini kwa upande mwingine nilimwona ametoka pale nje lakini alikuwa kachelewa tayari na niliondoka kwa kasi sana.

ENDELEA….

Niliwaza kwenda kuonana na Lucy muda huu maana alikuwa ameomba sana tuonane lakini sikuweza kwenda, sababu nilikuwa nakwenda Mlimani city kwaajili ya kununua mahitaji ya nyumbani niliona nipitie pale ofisini ili tuonane. Kwa upande mwingine Iryn alikuwa akinipigia sana simu na mimi sikutaka kupokea simu zake kabisa.

Baada ya kuwasili pale ofisini nilimkuta Lucy bado hajatoka na alikuwa anaweka mambo sawa, hivyo alivyoniona alifunga ofisi na tukaanza safari. Wakati na drive gari macho yote yalikuwa kwangu afu nikimtizama alikuwa anatabasamu,

MIMI: “Lucy vipi mama naona unafuraha sana, leo deal zimetema nini? na mimi unipe mgao wangu.?”

LUCY: “Insider mimi nakuangalia afu nawaza the way unavyowateka warembo wakali, leo nimeshinda na Bossy ofisini ana furaha sana, japo hutaki kunambia ukweli lakini naamini umemt*mba ile siku.”

MIMI: “Hahahaa Lucy unanifurahisha sana kwanza unajua nilimtongoza afu akanitolea nje?”

LUCY: “Safi sana umefanya jambo la maana sana hata kama amekataa kwasasa utakuwa huru na umeweka green light ya yeye kujileta kwako maana wewe ushamwambia ukweli.”

MIMI: “Eti anasema mimi na mke hawezi kukubali kuwa mchepuko kwani ameachana na Grizz kwa sababu hii.”

LUCY: “Insider Iryn anakupenda sana ni vile hataki kujirahisisha kwako na mimi nilikushauri ufanye hivi ili maamuzi yabaki kwake. Mimi nakushauri kwa sasa mind your business ikiwezekana acha hata mazoea na mademu wa ofisi zote.”

Kwa upande mwingine simu ya Lucy ilianza kuita na baada ya kuitoa kwenye mkoba wake alinambia ni Iryn anapiga

“Insider Iryn anapiga simu”

Kwa upande wangu nilijua lazima anampigia simu Lucy sababu ya lile sakata la muda mfupi uliopita wala sio kingine, na mimi nilimwambia Lucy aweke loudspeaker,

LUCY: “Hi Bossy.”

IRYN: “Lucy upo wapi?”

LUCY: “Niko hapa Mwenge mataa ndo naelekea home.”

IRYN: “Okay unaweza kuja hapa kwangu now? please nitakurudishia gharama za usafiri.”

Ilibidi nimuoneshe ishara Lucy ya kukataa maana nilijua anachomuitia,

LUCY: “Bossy umepata matatizo? maana huu muda ni wa kwenda kuonana na mama kabla hajalala.”

IRYN: “Am not in trouble but kama unawahi kwa mama it’s okay.”

LUCY: “Shida ni nini?”

IRYN: “Insider amefound out nilikuwa namspy kule Masaki kupitia Rebby hata sijui amejuaje na nimempigia simu Rebby anasema Insider aliomba simu yake ndo akaona chats zetu. Insider amekuja kwangu sio muda mrefu amegomba sana na sijawahi kumuona akiwa na hasira kama leo, mpaka nimeogopa.”

LUCY: “Pole sana lazima angemind, mimi nitakuja kesho tuongee mapema sana ili tuyamalize ila muombe msamaha kwa hili hata mimi ningejisikia vibaya..”

IRYN: “Hapokei simu zangu naomba umwambie apokee niongee naye.”

Baada ya Iryn kukata simu kwa upande mwingine Lucy ilibidi aanze kuniuliza maswali kuhusu kilichotokea. Kwa upande wangu nilimwambia mkanda wote kuhusu kilichokuwa kinaendelea, hata Lucy naye alishangaa kusikia haya.

LUCY: “Insider unaonaa, nikikwambia Iryn anakupenda wewe mbishi, tena this time kapagawa kabisa.”

MIMI: “Lucy nakudrop hapa, mimi naingia ndani Mlimani city kununua mahitaji ya nyumbani.”

LUCY: “Usije ukawa una mchepuko huko unakwenda onana naye, subiri nikupe mgao wako”

MIMI: “Wow thank you umejuaje sina hela leo?”

LUCY: “Laki 3 hizo na kesho lile deal linaweza kutiki hivyo nitakujulisha.”

MIMI: “Sawa mummy.”

Tuliagana na Lucy pale na mimi niliingia ndani Mlimani city kununua mahitaji maana toka tuhamie makazi mapya sikuwai kununua mahitaji yoyote wife alikuwa hayupo, nilijikuta mpaka dawa ya meno imeisha ndani.

Nilitumia kama nusu saa pale Mlimani city na niliondoka maeneo haya kurudi home. Baada ya kurudi home kwa Upande mwingine niliwasiliana na mama wa2 na alikuwa ananikumbusha kuwa kesho anahamia kwenye kibanda chake hivyo niandae usafiri mapema na pia niwahi kwenda kumkampani. Kwa upande mwingine Iryn alikuwa akipiga simu sana lakini sikuwa napokea wala kureply text zake na nikaamua kumtia block kama yeye alivyonifanyia.

Tangu mama wa2 achukue emergence ofisini kwaajili ya kukamilisha zoezi la uhamiaji katika nyumba yake mpya, na mimi kwa upande wangu ratiba za asubuhi zilibadilika. Nilikuwa naamka saa 12 asubuhi nakwenda jogging maana ratiba za kumchukua mama wa2 ile asubuhi zilikuwa zimekufa hivyo sasa nilikuwa huru kufanya jogging na mazoezi.

Baada ya kutoka jogging nilijiandaa nikapata breakfast na nikaanza safari ya kwenda mzigoni kufanya majukumu yangu ya kila siku. Baada ya kuwasili Masaki nilipark gari nikaingia ndani na niliwakuta dada wakifanya usafi pale reception na mimi niliwasalimia nikaenda moja kwa moja ofisini kwenda kuangalia ripoti kama Asmah alituma.

Wakati naendelea kukagua ripoti kwa upande mwingine Asmah naye aliwasili hivyo alikuja ofisini kwangu na kwa upande wake alionekana kuwa na furaha sana.

MIMI: “Nambie dear wangu nakuona unafuraha sana.”

ASMAH: “Insider nilikuwa nina wasiwasi juu yako kumbe hamna mahusiano yoyote ya ki mapenzi na Iryn.”

MIMI: “Wewe nani kakwambia haya?”

ASMAH: “Rebby jana kaniomba msamaha ndo akanambia haya.”

MIMI: “Ni Kweli hatuna mahusiano yoyote dear.”

ASMAH: “Sasa mbona Bossy anakuwa na wivu juu yako.?”

MIMI: “Tuachane na haya Asmah, ndomana unafuraha sana?”

ASMAH: “Sasa mbona hukuwahi nambia kipindi chote hiki.?”

MIMI: “Sababu hukuwahi kuuliza, tuachane na haya nipe Slip kama hujaingiza bado nipe pesa nikaweke bank.”

ASMAH: “Nimeshaingiza uwe unaangalia whatsapp zako maana hata ukitafutwa hureply.”

MIMI: “Sorry jana ilikuwa busy day.”

Niliondoka pale Masaki na nilikwenda moja kwa moja mpaka Mikocheni na baada ya kuwasili pale sikumkuta Lucy na mimi nilijua lazima atakuwa kwa Iryn na sikutaka kumpigia simu. Nilikwenda ofisini na nilikuta pesa za mauzo zipo kwa droo na mimi baada ya kujiridhisha na mazingira ya pale niliamua kuondoka kwenda kuweka pesa then niende kwa mama wa2

Saa 6 mchana nilikuwa tayari nimewasili kwa mama wa2 kwa upande mwingine alikuwa ameshapanga vitu tayari kwaajili ya kuhama na alikuwa na rafiki yake pale wakisaidiana. Baada ya kuniona aliishia kufurahi na tulianza maongezi pale,

MAMA WA2: “Insider nataka uanze kupeleka baadhi ya vitu kule Madale na vitu vingine vidogo kwaajili ya usalama.”

MIMI: “Usijali ndomana nimekuja mapema sana afu navyotoka huko nitapitia pale shule kutafuta mtu wa canter nafikiri litatosha.”

MAMA WA2: “Na wewe utanichaji kiasi gani? Si unaona vitu vingi? utakuwa na root nyingi sana leo.”

MIMI: “Wewe nijazie mafuta full tank na nihakikishie lunch ya uhakika kuhusu malipo potezea.”

MAMA WA2: “Mhh Ahsante mkwe.”

Nilianza kazi ya kubeba vitu na kupeleka Madale na wakati narudi nilipitia Mbezi shule kutafuta usafiri na nilipata Canter kubwa ambayo ingebeba vitu vyote kwa wakati mmoja. Mpaka saa 12 jioni tulikuwa tumekamilisha kila kitu. Kwa upande wangu sikutaka kuendelea kubaki pale na nilimuaga mama wa2 naondoka. Kwa upande wake alinishukuru sana kwa kumpa kampani na nilimtakia kila la kheri kwenye maisha mapya ya nyumba yake.

Niliondoka Madale na kurudi home ukweli nilikuwa niko hoi sana hivyo baada ya kuwasili home niliingia bafuni kuoga. Baada ya kuoga muda huu niliingia jikoni kupika, kwa upande mwingine Lucy alinipigia simu na baada ya kupokea tulianza mazungumzo,

MIMI: “Mambo Lucy.”

LUCY: “Freshy Insider upo wapi?”

MIMI: “Niko home tu, nilipita asubuhi hukuwepo sijui ulikuwa wapi.”

LUCY: “Nilitoka kidogo, sasa nahitaji kuonana na wewe please.”

MIMI: “Lucy mimi napika hapa sidhani kama itawezekana kwa leo, kwanza nimechoka tufanye kesho asubuhi.”

LUCY: “Nielekeze unakokaa nije kama umebanwa ni muhimu sana ndomana.”

MIMI: “Huwezi kuongea kwa simu?”

LUCY: “Ndomana nikaomba tuonane Insider kama hutojali nitumie location nije chap.”

MIMI: “Sitaki uje maana utanitia nyege tu huku.”

LUCY: “ Insider acha utani niko serious ujue.”

MIMI: “Ok nakutumia kwa Whatsapp soon.”

Baada ya kukata simu nilimtumia location kwa whatsapp na mimi niliendelea kupika pale jikoni.

Baada ya nusu saa simu yangu ilianza kuita tena na alikuwa ni Lucy na nikapokea,

LUCY: “Insider nimeshaingia mtaa wenu nitajie house namba.”

MIMI: “Ok house No.09 gate la kijivu.”

LUCY: “Ok soon niko hapo.”

Baada ya dakika 3 alinipiga simu tena na kunipa taarifa kuwa amefika yuko nje getini hivyo nitoke.

Na mimi nilitoka kwenda kufungua geti na baada ya kucheki niliiona gari Audi ikiwa imesimama pembeni getini na mimi nikajua Lucy kaamua kuja na Iryn. Kwa upande wangu nilislide gate ili waingie ndani na gari iliingia ikapark pale uwanjani lakini nilishangaa kuona Iryn akishuka pake yake na alikuwa amewaka sana. Iryn nguo zake nyingi ni pensi za kombati zenye mifuko pembeni na long sleeve tops.

Tulisalimiana na mimi nilimkaribisha ndani kwa upande mwingine jirani yangu wa pembeni alikuwa ametoka nje na dem wake tukawasalimia pale,

JIRANI: “Kaka habari nyie ndo mmeingia hapa?”

MIMI: “Ndio Brother nina mwezi tayari sema hatuonani majirani.”

JIRANI: “Karibuni sana majirani hata sisi hatuna muda sana hapa na tumepishana kidogo tu.”

MIMI: “Ahsante sana kaka itabidi tubadilishane namba just incase of anything.”

JIRANI: “Yeah sure nipe yako.”

Baada ya kubadilishana namba tuliingia ndani kwa upande mwingine walikuwa wanamshanga sana Iryn.

Ukweli kuwa karibu na Iryn kumenipa sana heshima hasa hapa mjini Dar kwa wanawake na wanaume. Wahuni kibao huwa wananifuata wananisifia kuwa na pisi kali mpaka mademu nao huwa wananipa sifa. Kuna stage mpaka wanauliza nimempataje maana ni kama zali la mentali. Nikiingia maeneo ni heshima, niliamini hapa mjini ili uheshimike kuwa na kitu cha utofauti na wengine kama pisi kali na Pesa bhasi utaheshimika sana.

Tuendelee na story, muda huu Iryn alikuwa anashangaa sana mazingira ya pale seblen na alianza kuzishangaa picha za Junior, zilikuwa ni mpya nzuri ambazo mama yake alizitengeneza zenye ukubwa tofauti wa A4 na A3 na alikuwa amezipanga vizuri sana.

IRYN: “Insider Hii picha ya Junior nimeipenda sana can I have it?”

MIMI: “Achana na picha za Junior niambie kilichokuleta hapa kwangu ni nini?, si unaona mama J hayupo kuendelea kukaa na wewe hapa muda mrefu kutaleta picha mbaya.”

IRYN: “Okay Insider I’m really sorry for what happened.”

MIMI: “Alright kilicho nikera mimi ni wewe kunispy afu umejazwa maneno ya uongo na wewe unaamini, nataka leo niprove kwako mimi sijafanya chochote na Sumaiya.”

IRYN: “Insider kwamba nothing happened? haimake sense.”

MIMI: “Angalia chats zake za jana hizi”

Na muda huu nilimuonesha chats zangu na Sumaiya baada ya kutoka kwa mama Janeth, Sumaiya alikuwa anataka anitunuku pussy kama ahsante lakini mimi nilikuwa namtolea nje.

Na texy yake ilisomeka hivi,

SUMAIYA: “Insider thank you, shida yako kila nikitaka nikupe coochie unakuwa unaringa, wewe mwanaume unanipaga maswali sana, hii jeuri unaitolea wapi.?”

“Hapo sasa umeamini mimi na Sumaiya hakuna tulichofanya zaidi ya utani, na kama hujui vingi alikuwa anafanya mbele yako kwa makusudi maana anajua unanipenda.”

Kwa upande wa Iryn alikuwa kimya sana na hakuwa na cha kuongea kabisa na aliishia kuniangalia tu pale na mimi niliendelea kuongea.

“Mimi nimekusamehe, wanaume huwa hatuweki vitu moyoni nakuchana yanaisha. Twende jikoni ukanisaidie kutengeneza juice.”

Tulikwenda jikoni na yeye kwa upande wake alinisaidia kutengeneza juice ya nanasi na tulipata dinna ya pamoja. Baada ya dinna tuliendelea kuongea pale seblen na kubwa alisema october anakwenda South Africa kuendelea na masomo na mimi nilimwambia ijumaa nitakwenda Dodoma.

IRYN: “Insider huko Dodoma kuna nini eti?, tutakwenda wote this time ili nikaijue Dodoma sijawahi fika.”

MIMI: “Mummy mimi nakwenda na gari hii safari ndefu sana wewe pumzika jiandae na shule.”

IRYN: “Nikiangalia hapa nauli ya Dodoma kwa flight ni 230,000/= ukitumia gari cost zinakuwa kubwa na unachosha gari, tutakwenda na flight.”

MIMI: “Mimi sina nauli ya ndege na ninakwenda na gari najua sitakosa vichwa njiani na pia nataka kuipima perfomance ya gari barabarani haijakwenda masafa marefu.”

IRYN: “Nauli nitalipa mimi mpaka hotel, wewe nisaidie hotel gani nzuri kwa kule.”

MIMI: “Hotel nzuri kwa Dodoma ni Morena Hotel ni ya level zako.”

IRYN: “Ok niachie mimi nitafanya booking mapema.”

Kwa upande mwingine sikutaka kumkatalia niliona busara kwenda naye ili akaijue na Dodoma. Tuliendelea kukaa na Iryn mpaka saa4 usiku ndo aliondoka lakini wakati anaondoka aliiomba picha ya Junior ambayo ilikuwa seblen na mimi nilimpa ili aridhike.

Baada ya Iryn kuondoka nilimpigia simu Lucy na ilibidi nimuulize ilikuwaje wakatengeneza ile movie?. Kwa uaonde wake Lucy alicheka sana na alinambia alitaka kunikutanisha na Iryn ili tuyamalize sasa baada ya kumwambia siwezi bhasi Iryn akamwambia aseme anakuja kwangu ndo yeye akaja. Tuliishia kucheka na mimi nilimwambia tumeyamaliza kwasasa na pia nimeweka heshima tayari na tukaagana. Actually nilitaka Iryn aingie kwenye mfumo wangu hata kumvimbia nilikuwa na pretend nione reaction yake.

Alhamis mchana nilikwenda kwa Jane ili kujua afya yake kabla sijaondoka na pia kuzungumza jambo lake alilotaka kunambia ile siku. Kwa upande mwingine nilikuwa namuangalia Jane kwa jicho la pekee sana maana nilikuwa nakazi kubwa sana ya kuhakikisha usalama wake.

Baada ya kuwasili pale Mbweni niliingia seblen moja kwa moja maana pale mimi ni kama home, kwa upande mwingine Jane alikuwa jikoni anapika na mimi niliamua kwenda hukohuko.

Kwa upande wangu nilishangaa kumuona akipika peke yake pale Jikoni na ilibidi nimuulize kwanini anapika na hali yake ilivyo?. Jane alinambia akina Vicky wamekwenda sokoni kununua chakula cha mbwa maana wanakula sana kama mchwa.

Muda huu na mimi niliendelea kumsaidia baadhi ya kazi huku tunapiga story na kubwa nilimwambia lengo la kwenda kwake ni kumuaga sababu nina safari ya kwenda Dodoma ijumaa. Kwa upande wake alisema hakuna jambo lolote kama Mbwa Vicky yuko vizuri na amewa-masta na mimi nilimshauri na yey awe anacheza nao ili wamzoee.

Tuliendelea kuongea mambo mengi na pia nilimpa gharama za ku import Ist kutoka Japan maana sikutaka kwenda showroom. Nilimwambia gharama za kuimport Ist ni 15 million na gharama za kupimp gari pamoja na Bima ni 2million hivyo jumla ni 17million. Kwa upande wake hakuwa na tatizo na alisema atanikabidhi pesa nikirudi kutoka Dodoma.

Kwa upande mwingine ilibidi nimkumbushie lile jambo alilotaka kunambia ile siku,

MIMI: “Shem ulikuwa na jambo gani ile siku?”

JANE: “It’s crazy but kuna jambo unatakiwa ulifahamu kuhusu best yako Mary.”

MIMI: “Nambie Mary kafanyaje tena.”

JANE: “Unajua Mary kwangu ni kama mdogo wangu na ni rafiki yangu kwasasa na anakuja sana hapa home hata jana tulikuwa wote ananifundisha kuendesha gari.”

MIMI: “Mary anajua kudrive kumbe? Sijawai fahamu hili kwakweli. Umepata best mzuri.”

JANE: “Nisikilize sasa Insider, Mary anakupenda sana hujui tu. Mpe mtoto wa watu anachotaka, sitaki kuona mdogo wangu anakosa raha kwaajili yako.”

MIMI: “Ndo amekutuma uyaseme haya kwangu.?”

JANE: “No hajanituma ila katika maongezi yetu nimejua anakupenda japo hataki kufunguka direct, na nilimwambia una mke.”

MIMI: “Hahahaa sawa bhana ila kuna kitu bado hajakwambia, mimi nimetoka na mdogo wake na tumeachana juzi hapa. Nimetoka na mdogo wake then nidate na yeye haitakuwa sawa hata yeye sidhani kama yuko tayari kwa hili.”

JANE: “Insider wewe ni hatari kumbe umelamba mpaka mdogo wake aisee hii hatari, wewe mle tu aridhike sio lazima mdate…., naona anakitu moyoni juu yako.”

MIMI: “Mmhh wewe endelea kubashiri tu ila Mary anajielewa sana.”

JANE: “Mwanamke akikupenda hata awe smart kiasi gani anakuwa fala tu, afu yule nyege zinamsumbua namwona anakiu sana ya kusuguliwa, kanambia ana mwaka hayuko kwa mahusiano.”

MIMI: “Hajataka tu ila kwa uzuri alionao hawezi kosa mtu wa kuwa naye.”

Kwa upande mwingine akina Vicky walikuwa wamerudi kutoka sokoni sasa vicky alivyoniona jikoni alinipiga na teke la kichokozi na akaondoka. Nafikiri Vicky hakujua kama dada yake yuko jikoni na Jane alinipiga jicho akaishia kutikisa kichwa cha kusikitika na akacheka.

JANE: “Dogo langu naye ameshazama mazima nazionaga movement zake Kwako.”

MIMI: “Hahahaa Vicky ni charming tu anapendaga matani tu.”

JANE: “Kwamba wewe unamjua Vicky kuliko mimi.?”

MIMI: “Pia kuna vitu kwako anahide kuliko akiwa na mimi, niseme namjua kiasi chake.”

Nilishinda na Jane pale mpaka jioni na pia niliwaogesha mbwa na nikawaaga naondoka, kwa upande mwingine Jane alisema akijifungua anategemea kuanza kufanya biashara.

*******
Ijumaa ilikuwa safari ya kwenda Dodoma na tulikuwa tunatarajia kuondoka na ndege ya saa 10 jioni. Kwa upande mwingine nilifanya mawasiliano na wife ili kumpa taarifa ya kwenda Dodoma na kwa upande wake alinisisitiza sana niangalie maendeleo ya maua yake.

Saa 6 mchana mapema nilimpitia Iryn pale kwake na alikuwa amejiandaa tayari na tukaanza safari ya kwenda JNIA na tulirequest bolt ya kutupeleka. Ofcourse tulifika mapema sana Terminal 2, hivyo tulikaa pale BAO cafe tukiendelea kupoteza muda huku tunakula bites na tulikuwa tunapiga sana story,

IRYN: “Hivi Insider mpaka sasa umefanya jambo gani la maendeleo?”

MIMI: “Kitendo cha kukuvua chupi kwangu mimi ni maendeleo makubwa sana.”

Iryn alicheka kwa nguvu sana mpaka akapaliwa na juice aliyokuwa anakunywa mpaka watu ilibidi wageuke maana kicheko kilikuwa kikubwa na sauti yake nzuri.

IRYN: “Insider wewe ni mshenzi sana hilo kwako ndo maendeleo?”

MIMI: “Sasa nitakuja kupata mwanamke mzuri kama wewe lini? maana wewe ulinipa bure lakini wengine watataka pesa.”

IRYN: “Be serious umefanya jambo gani?”

MIMI: “Utaona kesho kwa macho yako mwenyewe ndo linalo tupeleka huku Dodoma.”

IRYN: “Sawa Baba Junior afu babe wangu anarudi lini? nime mmiss sana kwakweli.”

MIMI: “Yuko uchagani huko atarudi tu, nafikiri by next week. Umepata room? maana ukikosa mimi nitakulaza vichochoroni.”

IRYN: “Haina shida hata huko tunalala wote.”

Muda ulivyowadia tulikwenda kucheck-in kwaajili ya kuanza safari ya kwenda Dodoma na tuliwasili Dodoma saa 12 jioni. Baada ya kuwasili pale Airport ilibidi tutafute usafiri wa kutupeleka hotelini,

IRYN: “Insider request usafiri wa kutupeleka Nashera Hotel, Morena nilikosa rooms.”

MIMI: “Na hii hotel umeijuaje?”

IRYN: “Booking.com.”

Baada ya dakika chache bolt alikuwa amefika na alitupeleka mpaka hotelini, kwa upande mwingine tulipokelewa vizuri sana na Iryn alijitambulisha pale reception na baada dakika kadhaa tuliongozana na mhudumu mpaka room.

DADA: “Rooms zote ni sawa sasa sijui maamuzi yenu.”

Iryn alimkatisha dada na maongezi yake, na mimi muda huu nilikuwa bado nashangaa kuona Iryn amebook rooms mbili za kulala, yaani kila mtu na yake.

IRYN: “Dada wewe nenda sisi tumefika tayari.”

Na dada aliondoka pale na alionesha tabasamu kubwa sana kwa Iryn, kwa upande wangu nilikuwa nimemind sana.

MIMI: “Kwanini umebook rooms mbili?, si unachezea hela tu.”

IRYN: “Yeah kwani kuna shida gani kila mtu kulala room yake. Why are you mad?”

MIMI: “Sawa bossy lady mimi sina neno.”

IRYN: “Kuwa na amani, weka bag tupumzike badae tukale dinna, ndomana nilikwambia hili suala niachie mimi.”

Kwa upande wangu nilimind sana maana nilikuwa nawaza kuila coochie yake ofcourse nilikuwa frustrated sana, tangu niko kwenye ndege nilikuwa naiwaza coochie yake na nilikuwa nimempania sana, lakini alinipiga na kitu kizito sana.

Baada ya kuingia ndani niliwasiliana na Mzee Mollel maana alisema nikiwasili Dodoma nimpe taarifa na lengo lake kubwa ni kunikabidhi nyumba, baada ya kuongea na Mzee Mollel tulikubaliana tuonane Jumapili. Niliwasiliana pia na Aggy na yeye nilimpa taarifa niko Dodoma na kwa upande wake alitaka kuniachia gari yake lakini nilimkatalia.

Saa 2 usiku Iryn alinipigia simu nitoke ili tukapate dinna na tulikwenda restaurant ya palepale hotelin kupata msosi. Mhudumu alikuja kutusikiliza na kila mtu aliagiza chakula anachotaka na tukaendelea na maongezi pale,

IRYN: “Insider kumbe Dodoma kuna baridi hivi?”

MIMI: “Sorry nilisahau kukwambia ubebe hata sweta, nitakupa prova yangu uvae.”

MIMI: “Na wewe utavaa nini?, hakuna duka jirani tukanunue?.”

MIMI: “Hali ya hewa ya huku nimeizoea usiwe na wasiwasi, kesho tunanunua.”

IRYN: “Kesho tunaondoka sangapi?”

MIMI: “Saa 4 asubuhi mummy.”

Baada ya kupata dinna nilijaribu kumshawishi Iryn tunywe wine na lengo langu impe nyege lakini alinigomea kabisa na alisema hajisikii kunywa na mpango wangu ukawa umefeli.

Baada ya kupata dinna tuliongozana mpaka chumbani kwake na tulikuwa tumekaa kwenye coach na muda huu alikuwa ananionesha picha zake za simu. Ofcourse picha zake zilikuwa zinasimumua sana ukiziangalia maana kuna ambazo alikuwa anapiga yuko swimming pamoja na video, zingine alikuwa anajichukua akiwa anacheza.

Muda huu mimi mawazo yangu kichwani yalikuwa yanawaza kumla tu wala sio kingine hata mnara ulikuwa upo active muda sana. Nilianza kumfanyia kashikashi pale kama kumchezea kiuno chake lakini kila nikipandisha mkono kumshika boobs zake alikuwa anakaza.

IRYN: “Insider stop this, It's not going to happen again". What happened that day was an accident.”

MIMI: “I don’t trust you, Ingekua accident usingetoa kelele za mahaba kama zile.”

IRYN: “Remember I told you, mama Junior ni rafiki yangu wa karibu na nina muheshimu sana ile siku hata sijui ilikuwaje tukasex.”

MIMI: “Acha unafiki wako hapa, umeshatembea na mme wake afu unaanza kuleta habari za heshima sahivi?, bado itabaki mimi na wewe tume-sex iwe mara moja au mara 100 ukweli ndo huu. Acha mimi niwahi nikalale kesho saa 4 asubuhi tutakwenda huko Makulu then tutamalizia na Iyumbu.

Niliondoka kwenda room yangu, ukweli nilikuwa nimefura sana muda huu hata sikuelewa kwanini Iryn anakaza coochie yake namna hii, nilishangaa sana.

Mary alinipigia simu muda huu na alinilalamikia sana kwanini nimekwenda Dodoma bila kumpa taarifa? na mimi nikaelewa Jane atakuwa kampasha habari. Kwa upande mwingine alilamika nimemchunia sana kipindi hiki tangu niachane na Prisca nimekuwa sina time naye na mimi nilimwomba msamaha nikamuahidi kumtafuta nikirudi Dar.

Saa 4 asubuhi baada ya kupata breakfast tulindoka kwenda Makulu mpaka site, kwa upande wake Iryn alikuwa na shauku sana ya kujua ni jambo gani ambalo lilinileta huku. Baada ya kuwasili pale site nilifungua geti tukaingia ndani na ukweli nyumba ilionekana kung’aa sana na ilipendeza balaa,

MIMI: “Bossy hii ndo project yangu na niliianza muda sana hata kabla hatujafahamiana.”

IRYN: “Really? Is this your house?”

MIMI: “Ndio mummy ila na madeni balaa, mshahara wote naopata nalipa mikopo.”

IRYN: “Congratulations umenifurahisha sana kwahili, I’m really proud of you.”

MIMI: “Thank you so much.”

Kwa upande wake alifurahi sana na tuliingia ndani kukagua kwakweli Mzee Mollel alikuwa amefanya kazi kubwa sana afu nzuri hata Iryn alisifia kwakweli. Tulitumia kama lisaa pale na tukaondoka kwenda Iyumbu kwenda kuangalia kiwanja.

Baada ya kuwasili pale pia nilimwambia Iryn hii nayo ni project yangu na yeye aliishia kushangaa sana. Na pia nilipanga kupanda miti kuzunguka mipaka ya kiwanja,

MIMI: “Mummy leo utanisaidia kupanda miti.”

IRYN: “Miti yenyewe iko wapi?”

MIMI: “Tunakwenda kununua barabarani hapo.”

Nilitafuta mtu wa kuchimba mashimo na sisi tulikwenda kununua miti na palepale tulikonunua miti tulipata na mbolea. Baada ya kurudi kwa upande mwingine tulikuta jamaa ameshamaliza kuchimba mashimo na tulianza kupanda miti.

Wakati zoezi likiendelea kwa upande wa Iryn alianza kupiga kelele kama mtoto na mimi ilibidi nisogee,

IRYN: “Insider nimejichoma na mwiba.” Na alikuwa akitoa sauti ya kudeka,

MIMI: “Pole mummy mpaka turudi Dar utakuwa umefubaa sana hii ndo Dodoma hakunaga warembo huku kabisa, hali ya hewa ya huku haipatani na warembo.”

Ilibidi na jamaa aanze kucheka muda huu,

MIMI: “Kaka uongo? na mfundisha mama maisha hapa si unaona mtoto laini bado ngozi yake haijazoea shida kama sisi.”

JAMAA: “Kweli kabisa hata hivyo una mke mzuri sana.”

MIMI: “Ahaste sana kwa kulitambua hili ndugu yangu, si unaona amefurahi mwenyewe kusifiwa.”

IRYN: “Insider stop this.” Na aliishia kunipiga na ngumi ya mgongo.

Muda tuliotumia Iyumbu ni kama masaa 4 mpaka tuna maliza kupanda mitu na pia nilimpa kazi jamaa ya kumwagilia maji ile miti.

IRYN: “Kaka hakikisha hii miti haikauki sawa?”

JAMAA: “Msijali mabosi zangu kila kitu kitakuwa sawa.”

Na sisi tuliondoka maeneo haya na tulirudi hotelini, kwa upande wa Iryn alionekana kuchoka sana hata tulivyofika hotelini alikwenda moja kwa moja room yake hata hamu ya kula hakuwa nayo.

Saa 2 usiku nilimpigia simu tukapate dinna pale Golden fork lakini alisema amechoka sana hawezi kwenda ila tutatoka kesho, hivyo tuliamua kwenda kula palepale hotelini. Wakati tunakula Pale kwa upande mwingine Bossy lady alionekana kuchoka sana, si mnajua jua la Dodoma linavyochosha,

“Mummy umechoka sana.”

Aliniangalia na akatikisha kichwa kukubaliana na kauli yangu, ukweli alipiga sana kazi hii siku kwa mwanamke ambaye hajazoea hii mikiki lazima apoteane. Ukweli Iryn anabadilika kutokana na mazingira na hanaga ile ya kujionesha kwamba yeye anapesa au ni mzuri hanaga hizi tabia.

“Pole sana, niagize wine?”

“No hata sijisikii kunywa, nipeleke nikalale.”

“Ok lets go.”

Tuliachana pale na mimi niliingia room yangu na muda huu niliwaza nitoke hata out nikapoteze muda kama usingizi nilikuwa sina. Saa yangu ilikuwa inasoma saa 3 usiku hivyo nilibadilika chap sana na nikaondoka kwenda Bambalaga.

Sikutaka kumwaga Iryn maana nilijua atakuwa amelala tu hivyo niliondoka kimya kimya mpaka Bambalaga. Kwa upande mwingine niliwaza kumpandia Maggy lakini niliona itakuwa ni bad idea maana sikumpa taarifa kama niko mjini. Na baada ya kuwasili pale Bambalaga nilikuta kuna watu wengi tu, hivyo nilipiga jicho angle zote nikapata sehemu nzuri ya kukaa lakini kulikuwa na dada yuko peke yake.

Nilisogea mpaka kwenye ile meza nikamsalimia yule dada na mimi nikakaa na niliagiza heineken kama kawaida yangu. Niliendelea kumjasusi dada ili story ziwe zinaendelea na alikuwa anatoa ushirikiano sana na story ziliendelea kukolea pale.

Baada ya lisaa kupita simu yangu ilianza kuita na Iryn ndo alikuwa akipiga muda huu lakini sikupokea simu yake sababu ya kelele. Na palepale nilimtumia ujumbe kwa haraka,

“Mummy niko kwenye kelele unasemaje?”

Alipiga tena simu ikabidi nipokee hivyo hivyo kibishi lakini tukawa hatuelewani vizuri na palepale akanitumia ujumbe,

IRYN: “Insider sikuelewi kwani uko wapi?.”

MIMI: “Nimetoka out mummy sikutaka kukusumbua kwasababu ya uchovu.”

IRYN: “Upo na nani?”

MIMI: “Niko peke yangu hapa.”

IRYN: “Nitumie location ulipo I am coming.”

MIMI: “No, wewe pumzika mimi narudi sio muda.”

IRYN: “Sikuelewi ujue mimi niko sawa send me the exact location.”

MIMI: “Okay request bolt ikulete BAMBALAGA, ndo niko hapa.”

Baada ya dakika 20 Iryn aliwasili pale na mimi nilimtuma mhudumu anisaidie kumfuata na amlete nilipo, baada ya dakika chache alikuwa amemleta na kwa upande wake aliagiza wine. Kwa upande mwingine yule dada aliishia kumtazama Iryn kwa macho ya kiwizi wizi sana maana hakuamini kama ninamiliki mrembo mkali kama yule. Kama mnavyojua Dodoma hakuna warembo kabisa, mtu kama Iryn akionekana anakuwa kivutio sana machoni pa watu.

Kwa upande wa Iryn alikuwa bado haelewi kinachoendelea pale na alihisi yule dada nimekuja naye maana tuliendelea kupiga story na yule dada kama kawaida, lakini nilimwambia IRYN tumekutana palepale.

IRYN: “Insider huyu dada ni nani? ndo umekuja naye.?”

MIMI: “Hapana mimi ndo nimemkuta hapa ndo nikajoin”

IRYN: “Mara hii mmezoena tayari kwa muda mfupi?”

MIMI: “si unajua Bar ndo sehemu ambayo inawakutanisha watu mbalimbali tofauti na mnavibe?”

IRYN: “Bila mimi kuja najua ungeondoka naye tu.”

MIMI: “Acha kunichukulia cheap sana, wewe unaona huyu dada wa kulala na mimi?”

Kwa upande mwingine pale Bambalaga niliweka heshima maana kila mtu aliyekuwa around alikuwa anamuangalia Iryn, japo yeye alikuwa ameshazoea hii hali na alikuwa anaona kawaida tu, hata mimi kwa upande wangu nilikuwa namwona Iryn wa kawaida tu maana nilikuwa nishazoea kuwa naye.

Saa 6 usiku nilimwambia Iryn tuondoke na yeye kwa upande wake alikuwa amekunywa wine nusu tu. Nilifanya malipo na kabla hatujaondoka nilimwaga dada na nilimshukuru kwa kampani yake na sisi tukaondoka kurudi hotelini.

Baada ya kuwasili hotelini kila mtu alikwenda room yake na mimi kwa upande wangu sikutaka kumlazimisha alale na mimi maana niliwaza mpaka amebook vyumba 2 ni kweli amemaanisha hivyo sitakiwi kutumia nguvu kwenye hili jambo na niwe mpole tu.

Muda huu nilichukua laptop yangu na nikaanza kuandika mkataba wa kupangisha nyumba na plan zangu zilikuwa navyoondoka Dom niwe nishapata hata wateja wa kuingia pale nianze kupata hela.

Wakati nikiendelea kuwa busy na laptop yangu kwa upande mwingine nilisikia mlango unagongwa kwa mbali hivyo ilibidi nisogee nikafungue, na kabla sijafungua ilibidi niulize nani, na kwa mbali nilisikia sauti ya Iryn.

ITAENDELEA
Mbona unatuacha na maswali kuwa iryn kafuata nn usku huu kwako
 
EPISODE 65
“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

TULIKOISHIA
Na mimi niliondoka pale nimemuacha amekaa kwenye coach na nilisikia akiniita na mimi hata sikuwa na habari naye. Baada ya kufika parking sikutaka kupoteza muda niliwasha gari na wakati natoka pale getini kwa upande mwingine nilimwona ametoka pale nje lakini alikuwa kachelewa tayari na niliondoka kwa kasi sana.

ENDELEA….

Niliwaza kwenda kuonana na Lucy muda huu maana alikuwa ameomba sana tuonane lakini sikuweza kwenda, sababu nilikuwa nakwenda Mlimani city kwaajili ya kununua mahitaji ya nyumbani niliona nipitie pale ofisini ili tuonane. Kwa upande mwingine Iryn alikuwa akinipigia sana simu na mimi sikutaka kupokea simu zake kabisa.

Baada ya kuwasili pale ofisini nilimkuta Lucy bado hajatoka na alikuwa anaweka mambo sawa, hivyo alivyoniona alifunga ofisi na tukaanza safari. Wakati na drive gari macho yote yalikuwa kwangu afu nikimtizama alikuwa anatabasamu,

MIMI: “Lucy vipi mama naona unafuraha sana, leo deal zimetema nini? na mimi unipe mgao wangu.?”

LUCY: “Insider mimi nakuangalia afu nawaza the way unavyowateka warembo wakali, leo nimeshinda na Bossy ofisini ana furaha sana, japo hutaki kunambia ukweli lakini naamini umemt*mba ile siku.”

MIMI: “Hahahaa Lucy unanifurahisha sana kwanza unajua nilimtongoza afu akanitolea nje?”

LUCY: “Safi sana umefanya jambo la maana sana hata kama amekataa kwasasa utakuwa huru na umeweka green light ya yeye kujileta kwako maana wewe ushamwambia ukweli.”

MIMI: “Eti anasema mimi na mke hawezi kukubali kuwa mchepuko kwani ameachana na Grizz kwa sababu hii.”

LUCY: “Insider Iryn anakupenda sana ni vile hataki kujirahisisha kwako na mimi nilikushauri ufanye hivi ili maamuzi yabaki kwake. Mimi nakushauri kwa sasa mind your business ikiwezekana acha hata mazoea na mademu wa ofisi zote.”

Kwa upande mwingine simu ya Lucy ilianza kuita na baada ya kuitoa kwenye mkoba wake alinambia ni Iryn anapiga

“Insider Iryn anapiga simu”

Kwa upande wangu nilijua lazima anampigia simu Lucy sababu ya lile sakata la muda mfupi uliopita wala sio kingine, na mimi nilimwambia Lucy aweke loudspeaker,

LUCY: “Hi Bossy.”

IRYN: “Lucy upo wapi?”

LUCY: “Niko hapa Mwenge mataa ndo naelekea home.”

IRYN: “Okay unaweza kuja hapa kwangu now? please nitakurudishia gharama za usafiri.”

Ilibidi nimuoneshe ishara Lucy ya kukataa maana nilijua anachomuitia,

LUCY: “Bossy umepata matatizo? maana huu muda ni wa kwenda kuonana na mama kabla hajalala.”

IRYN: “Am not in trouble but kama unawahi kwa mama it’s okay.”

LUCY: “Shida ni nini?”

IRYN: “Insider amefound out nilikuwa namspy kule Masaki kupitia Rebby hata sijui amejuaje na nimempigia simu Rebby anasema Insider aliomba simu yake ndo akaona chats zetu. Insider amekuja kwangu sio muda mrefu amegomba sana na sijawahi kumuona akiwa na hasira kama leo, mpaka nimeogopa.”

LUCY: “Pole sana lazima angemind, mimi nitakuja kesho tuongee mapema sana ili tuyamalize ila muombe msamaha kwa hili hata mimi ningejisikia vibaya..”

IRYN: “Hapokei simu zangu naomba umwambie apokee niongee naye.”

Baada ya Iryn kukata simu kwa upande mwingine Lucy ilibidi aanze kuniuliza maswali kuhusu kilichotokea. Kwa upande wangu nilimwambia mkanda wote kuhusu kilichokuwa kinaendelea, hata Lucy naye alishangaa kusikia haya.

LUCY: “Insider unaonaa, nikikwambia Iryn anakupenda wewe mbishi, tena this time kapagawa kabisa.”

MIMI: “Lucy nakudrop hapa, mimi naingia ndani Mlimani city kununua mahitaji ya nyumbani.”

LUCY: “Usije ukawa una mchepuko huko unakwenda onana naye, subiri nikupe mgao wako”

MIMI: “Wow thank you umejuaje sina hela leo?”

LUCY: “Laki 3 hizo na kesho lile deal linaweza kutiki hivyo nitakujulisha.”

MIMI: “Sawa mummy.”

Tuliagana na Lucy pale na mimi niliingia ndani Mlimani city kununua mahitaji maana toka tuhamie makazi mapya sikuwai kununua mahitaji yoyote wife alikuwa hayupo, nilijikuta mpaka dawa ya meno imeisha ndani.

Nilitumia kama nusu saa pale Mlimani city na niliondoka maeneo haya kurudi home. Baada ya kurudi home kwa Upande mwingine niliwasiliana na mama wa2 na alikuwa ananikumbusha kuwa kesho anahamia kwenye kibanda chake hivyo niandae usafiri mapema na pia niwahi kwenda kumkampani. Kwa upande mwingine Iryn alikuwa akipiga simu sana lakini sikuwa napokea wala kureply text zake na nikaamua kumtia block kama yeye alivyonifanyia.

Tangu mama wa2 achukue emergence ofisini kwaajili ya kukamilisha zoezi la uhamiaji katika nyumba yake mpya, na mimi kwa upande wangu ratiba za asubuhi zilibadilika. Nilikuwa naamka saa 12 asubuhi nakwenda jogging maana ratiba za kumchukua mama wa2 ile asubuhi zilikuwa zimekufa hivyo sasa nilikuwa huru kufanya jogging na mazoezi.

Baada ya kutoka jogging nilijiandaa nikapata breakfast na nikaanza safari ya kwenda mzigoni kufanya majukumu yangu ya kila siku. Baada ya kuwasili Masaki nilipark gari nikaingia ndani na niliwakuta dada wakifanya usafi pale reception na mimi niliwasalimia nikaenda moja kwa moja ofisini kwenda kuangalia ripoti kama Asmah alituma.

Wakati naendelea kukagua ripoti kwa upande mwingine Asmah naye aliwasili hivyo alikuja ofisini kwangu na kwa upande wake alionekana kuwa na furaha sana.

MIMI: “Nambie dear wangu nakuona unafuraha sana.”

ASMAH: “Insider nilikuwa nina wasiwasi juu yako kumbe hamna mahusiano yoyote ya ki mapenzi na Iryn.”

MIMI: “Wewe nani kakwambia haya?”

ASMAH: “Rebby jana kaniomba msamaha ndo akanambia haya.”

MIMI: “Ni Kweli hatuna mahusiano yoyote dear.”

ASMAH: “Sasa mbona Bossy anakuwa na wivu juu yako.?”

MIMI: “Tuachane na haya Asmah, ndomana unafuraha sana?”

ASMAH: “Sasa mbona hukuwahi nambia kipindi chote hiki.?”

MIMI: “Sababu hukuwahi kuuliza, tuachane na haya nipe Slip kama hujaingiza bado nipe pesa nikaweke bank.”

ASMAH: “Nimeshaingiza uwe unaangalia whatsapp zako maana hata ukitafutwa hureply.”

MIMI: “Sorry jana ilikuwa busy day.”

Niliondoka pale Masaki na nilikwenda moja kwa moja mpaka Mikocheni na baada ya kuwasili pale sikumkuta Lucy na mimi nilijua lazima atakuwa kwa Iryn na sikutaka kumpigia simu. Nilikwenda ofisini na nilikuta pesa za mauzo zipo kwa droo na mimi baada ya kujiridhisha na mazingira ya pale niliamua kuondoka kwenda kuweka pesa then niende kwa mama wa2

Saa 6 mchana nilikuwa tayari nimewasili kwa mama wa2 kwa upande mwingine alikuwa ameshapanga vitu tayari kwaajili ya kuhama na alikuwa na rafiki yake pale wakisaidiana. Baada ya kuniona aliishia kufurahi na tulianza maongezi pale,

MAMA WA2: “Insider nataka uanze kupeleka baadhi ya vitu kule Madale na vitu vingine vidogo kwaajili ya usalama.”

MIMI: “Usijali ndomana nimekuja mapema sana afu navyotoka huko nitapitia pale shule kutafuta mtu wa canter nafikiri litatosha.”

MAMA WA2: “Na wewe utanichaji kiasi gani? Si unaona vitu vingi? utakuwa na root nyingi sana leo.”

MIMI: “Wewe nijazie mafuta full tank na nihakikishie lunch ya uhakika kuhusu malipo potezea.”

MAMA WA2: “Mhh Ahsante mkwe.”

Nilianza kazi ya kubeba vitu na kupeleka Madale na wakati narudi nilipitia Mbezi shule kutafuta usafiri na nilipata Canter kubwa ambayo ingebeba vitu vyote kwa wakati mmoja. Mpaka saa 12 jioni tulikuwa tumekamilisha kila kitu. Kwa upande wangu sikutaka kuendelea kubaki pale na nilimuaga mama wa2 naondoka. Kwa upande wake alinishukuru sana kwa kumpa kampani na nilimtakia kila la kheri kwenye maisha mapya ya nyumba yake.

Niliondoka Madale na kurudi home ukweli nilikuwa niko hoi sana hivyo baada ya kuwasili home niliingia bafuni kuoga. Baada ya kuoga muda huu niliingia jikoni kupika, kwa upande mwingine Lucy alinipigia simu na baada ya kupokea tulianza mazungumzo,

MIMI: “Mambo Lucy.”

LUCY: “Freshy Insider upo wapi?”

MIMI: “Niko home tu, nilipita asubuhi hukuwepo sijui ulikuwa wapi.”

LUCY: “Nilitoka kidogo, sasa nahitaji kuonana na wewe please.”

MIMI: “Lucy mimi napika hapa sidhani kama itawezekana kwa leo, kwanza nimechoka tufanye kesho asubuhi.”

LUCY: “Nielekeze unakokaa nije kama umebanwa ni muhimu sana ndomana.”

MIMI: “Huwezi kuongea kwa simu?”

LUCY: “Ndomana nikaomba tuonane Insider kama hutojali nitumie location nije chap.”

MIMI: “Sitaki uje maana utanitia nyege tu huku.”

LUCY: “ Insider acha utani niko serious ujue.”

MIMI: “Ok nakutumia kwa Whatsapp soon.”

Baada ya kukata simu nilimtumia location kwa whatsapp na mimi niliendelea kupika pale jikoni.

Baada ya nusu saa simu yangu ilianza kuita tena na alikuwa ni Lucy na nikapokea,

LUCY: “Insider nimeshaingia mtaa wenu nitajie house namba.”

MIMI: “Ok house No.09 gate la kijivu.”

LUCY: “Ok soon niko hapo.”

Baada ya dakika 3 alinipiga simu tena na kunipa taarifa kuwa amefika yuko nje getini hivyo nitoke.

Na mimi nilitoka kwenda kufungua geti na baada ya kucheki niliiona gari Audi ikiwa imesimama pembeni getini na mimi nikajua Lucy kaamua kuja na Iryn. Kwa upande wangu nilislide gate ili waingie ndani na gari iliingia ikapark pale uwanjani lakini nilishangaa kuona Iryn akishuka pake yake na alikuwa amewaka sana. Iryn nguo zake nyingi ni pensi za kombati zenye mifuko pembeni na long sleeve tops.

Tulisalimiana na mimi nilimkaribisha ndani kwa upande mwingine jirani yangu wa pembeni alikuwa ametoka nje na dem wake tukawasalimia pale,

JIRANI: “Kaka habari nyie ndo mmeingia hapa?”

MIMI: “Ndio Brother nina mwezi tayari sema hatuonani majirani.”

JIRANI: “Karibuni sana majirani hata sisi hatuna muda sana hapa na tumepishana kidogo tu.”

MIMI: “Ahsante sana kaka itabidi tubadilishane namba just incase of anything.”

JIRANI: “Yeah sure nipe yako.”

Baada ya kubadilishana namba tuliingia ndani kwa upande mwingine walikuwa wanamshanga sana Iryn.

Ukweli kuwa karibu na Iryn kumenipa sana heshima hasa hapa mjini Dar kwa wanawake na wanaume. Wahuni kibao huwa wananifuata wananisifia kuwa na pisi kali mpaka mademu nao huwa wananipa sifa. Kuna stage mpaka wanauliza nimempataje maana ni kama zali la mentali. Nikiingia maeneo ni heshima, niliamini hapa mjini ili uheshimike kuwa na kitu cha utofauti na wengine kama pisi kali na Pesa bhasi utaheshimika sana.

Tuendelee na story, muda huu Iryn alikuwa anashangaa sana mazingira ya pale seblen na alianza kuzishangaa picha za Junior, zilikuwa ni mpya nzuri ambazo mama yake alizitengeneza zenye ukubwa tofauti wa A4 na A3 na alikuwa amezipanga vizuri sana.

IRYN: “Insider Hii picha ya Junior nimeipenda sana can I have it?”

MIMI: “Achana na picha za Junior niambie kilichokuleta hapa kwangu ni nini?, si unaona mama J hayupo kuendelea kukaa na wewe hapa muda mrefu kutaleta picha mbaya.”

IRYN: “Okay Insider I’m really sorry for what happened.”

MIMI: “Alright kilicho nikera mimi ni wewe kunispy afu umejazwa maneno ya uongo na wewe unaamini, nataka leo niprove kwako mimi sijafanya chochote na Sumaiya.”

IRYN: “Insider kwamba nothing happened? haimake sense.”

MIMI: “Angalia chats zake za jana hizi”

Na muda huu nilimuonesha chats zangu na Sumaiya baada ya kutoka kwa mama Janeth, Sumaiya alikuwa anataka anitunuku pussy kama ahsante lakini mimi nilikuwa namtolea nje.

Na texy yake ilisomeka hivi,

SUMAIYA: “Insider thank you, shida yako kila nikitaka nikupe coochie unakuwa unaringa, wewe mwanaume unanipaga maswali sana, hii jeuri unaitolea wapi.?”

“Hapo sasa umeamini mimi na Sumaiya hakuna tulichofanya zaidi ya utani, na kama hujui vingi alikuwa anafanya mbele yako kwa makusudi maana anajua unanipenda.”

Kwa upande wa Iryn alikuwa kimya sana na hakuwa na cha kuongea kabisa na aliishia kuniangalia tu pale na mimi niliendelea kuongea.

“Mimi nimekusamehe, wanaume huwa hatuweki vitu moyoni nakuchana yanaisha. Twende jikoni ukanisaidie kutengeneza juice.”

Tulikwenda jikoni na yeye kwa upande wake alinisaidia kutengeneza juice ya nanasi na tulipata dinna ya pamoja. Baada ya dinna tuliendelea kuongea pale seblen na kubwa alisema october anakwenda South Africa kuendelea na masomo na mimi nilimwambia ijumaa nitakwenda Dodoma.

IRYN: “Insider huko Dodoma kuna nini eti?, tutakwenda wote this time ili nikaijue Dodoma sijawahi fika.”

MIMI: “Mummy mimi nakwenda na gari hii safari ndefu sana wewe pumzika jiandae na shule.”

IRYN: “Nikiangalia hapa nauli ya Dodoma kwa flight ni 230,000/= ukitumia gari cost zinakuwa kubwa na unachosha gari, tutakwenda na flight.”

MIMI: “Mimi sina nauli ya ndege na ninakwenda na gari najua sitakosa vichwa njiani na pia nataka kuipima perfomance ya gari barabarani haijakwenda masafa marefu.”

IRYN: “Nauli nitalipa mimi mpaka hotel, wewe nisaidie hotel gani nzuri kwa kule.”

MIMI: “Hotel nzuri kwa Dodoma ni Morena Hotel ni ya level zako.”

IRYN: “Ok niachie mimi nitafanya booking mapema.”

Kwa upande mwingine sikutaka kumkatalia niliona busara kwenda naye ili akaijue na Dodoma. Tuliendelea kukaa na Iryn mpaka saa4 usiku ndo aliondoka lakini wakati anaondoka aliiomba picha ya Junior ambayo ilikuwa seblen na mimi nilimpa ili aridhike.

Baada ya Iryn kuondoka nilimpigia simu Lucy na ilibidi nimuulize ilikuwaje wakatengeneza ile movie?. Kwa uaonde wake Lucy alicheka sana na alinambia alitaka kunikutanisha na Iryn ili tuyamalize sasa baada ya kumwambia siwezi bhasi Iryn akamwambia aseme anakuja kwangu ndo yeye akaja. Tuliishia kucheka na mimi nilimwambia tumeyamaliza kwasasa na pia nimeweka heshima tayari na tukaagana. Actually nilitaka Iryn aingie kwenye mfumo wangu hata kumvimbia nilikuwa na pretend nione reaction yake.

Alhamis mchana nilikwenda kwa Jane ili kujua afya yake kabla sijaondoka na pia kuzungumza jambo lake alilotaka kunambia ile siku. Kwa upande mwingine nilikuwa namuangalia Jane kwa jicho la pekee sana maana nilikuwa nakazi kubwa sana ya kuhakikisha usalama wake.

Baada ya kuwasili pale Mbweni niliingia seblen moja kwa moja maana pale mimi ni kama home, kwa upande mwingine Jane alikuwa jikoni anapika na mimi niliamua kwenda hukohuko.

Kwa upande wangu nilishangaa kumuona akipika peke yake pale Jikoni na ilibidi nimuulize kwanini anapika na hali yake ilivyo?. Jane alinambia akina Vicky wamekwenda sokoni kununua chakula cha mbwa maana wanakula sana kama mchwa.

Muda huu na mimi niliendelea kumsaidia baadhi ya kazi huku tunapiga story na kubwa nilimwambia lengo la kwenda kwake ni kumuaga sababu nina safari ya kwenda Dodoma ijumaa. Kwa upande wake alisema hakuna jambo lolote kama Mbwa Vicky yuko vizuri na amewa-masta na mimi nilimshauri na yey awe anacheza nao ili wamzoee.

Tuliendelea kuongea mambo mengi na pia nilimpa gharama za ku import Ist kutoka Japan maana sikutaka kwenda showroom. Nilimwambia gharama za kuimport Ist ni 15 million na gharama za kupimp gari pamoja na Bima ni 2million hivyo jumla ni 17million. Kwa upande wake hakuwa na tatizo na alisema atanikabidhi pesa nikirudi kutoka Dodoma.

Kwa upande mwingine ilibidi nimkumbushie lile jambo alilotaka kunambia ile siku,

MIMI: “Shem ulikuwa na jambo gani ile siku?”

JANE: “It’s crazy but kuna jambo unatakiwa ulifahamu kuhusu best yako Mary.”

MIMI: “Nambie Mary kafanyaje tena.”

JANE: “Unajua Mary kwangu ni kama mdogo wangu na ni rafiki yangu kwasasa na anakuja sana hapa home hata jana tulikuwa wote ananifundisha kuendesha gari.”

MIMI: “Mary anajua kudrive kumbe? Sijawai fahamu hili kwakweli. Umepata best mzuri.”

JANE: “Nisikilize sasa Insider, Mary anakupenda sana hujui tu. Mpe mtoto wa watu anachotaka, sitaki kuona mdogo wangu anakosa raha kwaajili yako.”

MIMI: “Ndo amekutuma uyaseme haya kwangu.?”

JANE: “No hajanituma ila katika maongezi yetu nimejua anakupenda japo hataki kufunguka direct, na nilimwambia una mke.”

MIMI: “Hahahaa sawa bhana ila kuna kitu bado hajakwambia, mimi nimetoka na mdogo wake na tumeachana juzi hapa. Nimetoka na mdogo wake then nidate na yeye haitakuwa sawa hata yeye sidhani kama yuko tayari kwa hili.”

JANE: “Insider wewe ni hatari kumbe umelamba mpaka mdogo wake aisee hii hatari, wewe mle tu aridhike sio lazima mdate…., naona anakitu moyoni juu yako.”

MIMI: “Mmhh wewe endelea kubashiri tu ila Mary anajielewa sana.”

JANE: “Mwanamke akikupenda hata awe smart kiasi gani anakuwa fala tu, afu yule nyege zinamsumbua namwona anakiu sana ya kusuguliwa, kanambia ana mwaka hayuko kwa mahusiano.”

MIMI: “Hajataka tu ila kwa uzuri alionao hawezi kosa mtu wa kuwa naye.”

Kwa upande mwingine akina Vicky walikuwa wamerudi kutoka sokoni sasa vicky alivyoniona jikoni alinipiga na teke la kichokozi na akaondoka. Nafikiri Vicky hakujua kama dada yake yuko jikoni na Jane alinipiga jicho akaishia kutikisa kichwa cha kusikitika na akacheka.

JANE: “Dogo langu naye ameshazama mazima nazionaga movement zake Kwako.”

MIMI: “Hahahaa Vicky ni charming tu anapendaga matani tu.”

JANE: “Kwamba wewe unamjua Vicky kuliko mimi.?”

MIMI: “Pia kuna vitu kwako anahide kuliko akiwa na mimi, niseme namjua kiasi chake.”

Nilishinda na Jane pale mpaka jioni na pia niliwaogesha mbwa na nikawaaga naondoka, kwa upande mwingine Jane alisema akijifungua anategemea kuanza kufanya biashara.

*******
Ijumaa ilikuwa safari ya kwenda Dodoma na tulikuwa tunatarajia kuondoka na ndege ya saa 10 jioni. Kwa upande mwingine nilifanya mawasiliano na wife ili kumpa taarifa ya kwenda Dodoma na kwa upande wake alinisisitiza sana niangalie maendeleo ya maua yake.

Saa 6 mchana mapema nilimpitia Iryn pale kwake na alikuwa amejiandaa tayari na tukaanza safari ya kwenda JNIA na tulirequest bolt ya kutupeleka. Ofcourse tulifika mapema sana Terminal 2, hivyo tulikaa pale BAO cafe tukiendelea kupoteza muda huku tunakula bites na tulikuwa tunapiga sana story,

IRYN: “Hivi Insider mpaka sasa umefanya jambo gani la maendeleo?”

MIMI: “Kitendo cha kukuvua chupi kwangu mimi ni maendeleo makubwa sana.”

Iryn alicheka kwa nguvu sana mpaka akapaliwa na juice aliyokuwa anakunywa mpaka watu ilibidi wageuke maana kicheko kilikuwa kikubwa na sauti yake nzuri.

IRYN: “Insider wewe ni mshenzi sana hilo kwako ndo maendeleo?”

MIMI: “Sasa nitakuja kupata mwanamke mzuri kama wewe lini? maana wewe ulinipa bure lakini wengine watataka pesa.”

IRYN: “Be serious umefanya jambo gani?”

MIMI: “Utaona kesho kwa macho yako mwenyewe ndo linalo tupeleka huku Dodoma.”

IRYN: “Sawa Baba Junior afu babe wangu anarudi lini? nime mmiss sana kwakweli.”

MIMI: “Yuko uchagani huko atarudi tu, nafikiri by next week. Umepata room? maana ukikosa mimi nitakulaza vichochoroni.”

IRYN: “Haina shida hata huko tunalala wote.”

Muda ulivyowadia tulikwenda kucheck-in kwaajili ya kuanza safari ya kwenda Dodoma na tuliwasili Dodoma saa 12 jioni. Baada ya kuwasili pale Airport ilibidi tutafute usafiri wa kutupeleka hotelini,

IRYN: “Insider request usafiri wa kutupeleka Nashera Hotel, Morena nilikosa rooms.”

MIMI: “Na hii hotel umeijuaje?”

IRYN: “Booking.com.”

Baada ya dakika chache bolt alikuwa amefika na alitupeleka mpaka hotelini, kwa upande mwingine tulipokelewa vizuri sana na Iryn alijitambulisha pale reception na baada dakika kadhaa tuliongozana na mhudumu mpaka room.

DADA: “Rooms zote ni sawa sasa sijui maamuzi yenu.”

Iryn alimkatisha dada na maongezi yake, na mimi muda huu nilikuwa bado nashangaa kuona Iryn amebook rooms mbili za kulala, yaani kila mtu na yake.

IRYN: “Dada wewe nenda sisi tumefika tayari.”

Na dada aliondoka pale na alionesha tabasamu kubwa sana kwa Iryn, kwa upande wangu nilikuwa nimemind sana.

MIMI: “Kwanini umebook rooms mbili?, si unachezea hela tu.”

IRYN: “Yeah kwani kuna shida gani kila mtu kulala room yake. Why are you mad?”

MIMI: “Sawa bossy lady mimi sina neno.”

IRYN: “Kuwa na amani, weka bag tupumzike badae tukale dinna, ndomana nilikwambia hili suala niachie mimi.”

Kwa upande wangu nilimind sana maana nilikuwa nawaza kuila coochie yake ofcourse nilikuwa frustrated sana, tangu niko kwenye ndege nilikuwa naiwaza coochie yake na nilikuwa nimempania sana, lakini alinipiga na kitu kizito sana.

Baada ya kuingia ndani niliwasiliana na Mzee Mollel maana alisema nikiwasili Dodoma nimpe taarifa na lengo lake kubwa ni kunikabidhi nyumba, baada ya kuongea na Mzee Mollel tulikubaliana tuonane Jumapili. Niliwasiliana pia na Aggy na yeye nilimpa taarifa niko Dodoma na kwa upande wake alitaka kuniachia gari yake lakini nilimkatalia.

Saa 2 usiku Iryn alinipigia simu nitoke ili tukapate dinna na tulikwenda restaurant ya palepale hotelin kupata msosi. Mhudumu alikuja kutusikiliza na kila mtu aliagiza chakula anachotaka na tukaendelea na maongezi pale,

IRYN: “Insider kumbe Dodoma kuna baridi hivi?”

MIMI: “Sorry nilisahau kukwambia ubebe hata sweta, nitakupa prova yangu uvae.”

MIMI: “Na wewe utavaa nini?, hakuna duka jirani tukanunue?.”

MIMI: “Hali ya hewa ya huku nimeizoea usiwe na wasiwasi, kesho tunanunua.”

IRYN: “Kesho tunaondoka sangapi?”

MIMI: “Saa 4 asubuhi mummy.”

Baada ya kupata dinna nilijaribu kumshawishi Iryn tunywe wine na lengo langu impe nyege lakini alinigomea kabisa na alisema hajisikii kunywa na mpango wangu ukawa umefeli.

Baada ya kupata dinna tuliongozana mpaka chumbani kwake na tulikuwa tumekaa kwenye coach na muda huu alikuwa ananionesha picha zake za simu. Ofcourse picha zake zilikuwa zinasimumua sana ukiziangalia maana kuna ambazo alikuwa anapiga yuko swimming pamoja na video, zingine alikuwa anajichukua akiwa anacheza.

Muda huu mimi mawazo yangu kichwani yalikuwa yanawaza kumla tu wala sio kingine hata mnara ulikuwa upo active muda sana. Nilianza kumfanyia kashikashi pale kama kumchezea kiuno chake lakini kila nikipandisha mkono kumshika boobs zake alikuwa anakaza.

IRYN: “Insider stop this, It's not going to happen again". What happened that day was an accident.”

MIMI: “I don’t trust you, Ingekua accident usingetoa kelele za mahaba kama zile.”

IRYN: “Remember I told you, mama Junior ni rafiki yangu wa karibu na nina muheshimu sana ile siku hata sijui ilikuwaje tukasex.”

MIMI: “Acha unafiki wako hapa, umeshatembea na mme wake afu unaanza kuleta habari za heshima sahivi?, bado itabaki mimi na wewe tume-sex iwe mara moja au mara 100 ukweli ndo huu. Acha mimi niwahi nikalale kesho saa 4 asubuhi tutakwenda huko Makulu then tutamalizia na Iyumbu.

Niliondoka kwenda room yangu, ukweli nilikuwa nimefura sana muda huu hata sikuelewa kwanini Iryn anakaza coochie yake namna hii, nilishangaa sana.

Mary alinipigia simu muda huu na alinilalamikia sana kwanini nimekwenda Dodoma bila kumpa taarifa? na mimi nikaelewa Jane atakuwa kampasha habari. Kwa upande mwingine alilamika nimemchunia sana kipindi hiki tangu niachane na Prisca nimekuwa sina time naye na mimi nilimwomba msamaha nikamuahidi kumtafuta nikirudi Dar.

Saa 4 asubuhi baada ya kupata breakfast tulindoka kwenda Makulu mpaka site, kwa upande wake Iryn alikuwa na shauku sana ya kujua ni jambo gani ambalo lilinileta huku. Baada ya kuwasili pale site nilifungua geti tukaingia ndani na ukweli nyumba ilionekana kung’aa sana na ilipendeza balaa,

MIMI: “Bossy hii ndo project yangu na niliianza muda sana hata kabla hatujafahamiana.”

IRYN: “Really? Is this your house?”

MIMI: “Ndio mummy ila na madeni balaa, mshahara wote naopata nalipa mikopo.”

IRYN: “Congratulations umenifurahisha sana kwahili, I’m really proud of you.”

MIMI: “Thank you so much.”

Kwa upande wake alifurahi sana na tuliingia ndani kukagua kwakweli Mzee Mollel alikuwa amefanya kazi kubwa sana afu nzuri hata Iryn alisifia kwakweli. Tulitumia kama lisaa pale na tukaondoka kwenda Iyumbu kwenda kuangalia kiwanja.

Baada ya kuwasili pale pia nilimwambia Iryn hii nayo ni project yangu na yeye aliishia kushangaa sana. Na pia nilipanga kupanda miti kuzunguka mipaka ya kiwanja,

MIMI: “Mummy leo utanisaidia kupanda miti.”

IRYN: “Miti yenyewe iko wapi?”

MIMI: “Tunakwenda kununua barabarani hapo.”

Nilitafuta mtu wa kuchimba mashimo na sisi tulikwenda kununua miti na palepale tulikonunua miti tulipata na mbolea. Baada ya kurudi kwa upande mwingine tulikuta jamaa ameshamaliza kuchimba mashimo na tulianza kupanda miti.

Wakati zoezi likiendelea kwa upande wa Iryn alianza kupiga kelele kama mtoto na mimi ilibidi nisogee,

IRYN: “Insider nimejichoma na mwiba.” Na alikuwa akitoa sauti ya kudeka,

MIMI: “Pole mummy mpaka turudi Dar utakuwa umefubaa sana hii ndo Dodoma hakunaga warembo huku kabisa, hali ya hewa ya huku haipatani na warembo.”

Ilibidi na jamaa aanze kucheka muda huu,

MIMI: “Kaka uongo? na mfundisha mama maisha hapa si unaona mtoto laini bado ngozi yake haijazoea shida kama sisi.”

JAMAA: “Kweli kabisa hata hivyo una mke mzuri sana.”

MIMI: “Ahaste sana kwa kulitambua hili ndugu yangu, si unaona amefurahi mwenyewe kusifiwa.”

IRYN: “Insider stop this.” Na aliishia kunipiga na ngumi ya mgongo.

Muda tuliotumia Iyumbu ni kama masaa 4 mpaka tuna maliza kupanda mitu na pia nilimpa kazi jamaa ya kumwagilia maji ile miti.

IRYN: “Kaka hakikisha hii miti haikauki sawa?”

JAMAA: “Msijali mabosi zangu kila kitu kitakuwa sawa.”

Na sisi tuliondoka maeneo haya na tulirudi hotelini, kwa upande wa Iryn alionekana kuchoka sana hata tulivyofika hotelini alikwenda moja kwa moja room yake hata hamu ya kula hakuwa nayo.

Saa 2 usiku nilimpigia simu tukapate dinna pale Golden fork lakini alisema amechoka sana hawezi kwenda ila tutatoka kesho, hivyo tuliamua kwenda kula palepale hotelini. Wakati tunakula Pale kwa upande mwingine Bossy lady alionekana kuchoka sana, si mnajua jua la Dodoma linavyochosha,

“Mummy umechoka sana.”

Aliniangalia na akatikisha kichwa kukubaliana na kauli yangu, ukweli alipiga sana kazi hii siku kwa mwanamke ambaye hajazoea hii mikiki lazima apoteane. Ukweli Iryn anabadilika kutokana na mazingira na hanaga ile ya kujionesha kwamba yeye anapesa au ni mzuri hanaga hizi tabia.

“Pole sana, niagize wine?”

“No hata sijisikii kunywa, nipeleke nikalale.”

“Ok lets go.”

Tuliachana pale na mimi niliingia room yangu na muda huu niliwaza nitoke hata out nikapoteze muda kama usingizi nilikuwa sina. Saa yangu ilikuwa inasoma saa 3 usiku hivyo nilibadilika chap sana na nikaondoka kwenda Bambalaga.

Sikutaka kumwaga Iryn maana nilijua atakuwa amelala tu hivyo niliondoka kimya kimya mpaka Bambalaga. Kwa upande mwingine niliwaza kumpandia Maggy lakini niliona itakuwa ni bad idea maana sikumpa taarifa kama niko mjini. Na baada ya kuwasili pale Bambalaga nilikuta kuna watu wengi tu, hivyo nilipiga jicho angle zote nikapata sehemu nzuri ya kukaa lakini kulikuwa na dada yuko peke yake.

Nilisogea mpaka kwenye ile meza nikamsalimia yule dada na mimi nikakaa na niliagiza heineken kama kawaida yangu. Niliendelea kumjasusi dada ili story ziwe zinaendelea na alikuwa anatoa ushirikiano sana na story ziliendelea kukolea pale.

Baada ya lisaa kupita simu yangu ilianza kuita na Iryn ndo alikuwa akipiga muda huu lakini sikupokea simu yake sababu ya kelele. Na palepale nilimtumia ujumbe kwa haraka,

“Mummy niko kwenye kelele unasemaje?”

Alipiga tena simu ikabidi nipokee hivyo hivyo kibishi lakini tukawa hatuelewani vizuri na palepale akanitumia ujumbe,

IRYN: “Insider sikuelewi kwani uko wapi?.”

MIMI: “Nimetoka out mummy sikutaka kukusumbua kwasababu ya uchovu.”

IRYN: “Upo na nani?”

MIMI: “Niko peke yangu hapa.”

IRYN: “Nitumie location ulipo I am coming.”

MIMI: “No, wewe pumzika mimi narudi sio muda.”

IRYN: “Sikuelewi ujue mimi niko sawa send me the exact location.”

MIMI: “Okay request bolt ikulete BAMBALAGA, ndo niko hapa.”

Baada ya dakika 20 Iryn aliwasili pale na mimi nilimtuma mhudumu anisaidie kumfuata na amlete nilipo, baada ya dakika chache alikuwa amemleta na kwa upande wake aliagiza wine. Kwa upande mwingine yule dada aliishia kumtazama Iryn kwa macho ya kiwizi wizi sana maana hakuamini kama ninamiliki mrembo mkali kama yule. Kama mnavyojua Dodoma hakuna warembo kabisa, mtu kama Iryn akionekana anakuwa kivutio sana machoni pa watu.

Kwa upande wa Iryn alikuwa bado haelewi kinachoendelea pale na alihisi yule dada nimekuja naye maana tuliendelea kupiga story na yule dada kama kawaida, lakini nilimwambia IRYN tumekutana palepale.

IRYN: “Insider huyu dada ni nani? ndo umekuja naye.?”

MIMI: “Hapana mimi ndo nimemkuta hapa ndo nikajoin”

IRYN: “Mara hii mmezoena tayari kwa muda mfupi?”

MIMI: “si unajua Bar ndo sehemu ambayo inawakutanisha watu mbalimbali tofauti na mnavibe?”

IRYN: “Bila mimi kuja najua ungeondoka naye tu.”

MIMI: “Acha kunichukulia cheap sana, wewe unaona huyu dada wa kulala na mimi?”

Kwa upande mwingine pale Bambalaga niliweka heshima maana kila mtu aliyekuwa around alikuwa anamuangalia Iryn, japo yeye alikuwa ameshazoea hii hali na alikuwa anaona kawaida tu, hata mimi kwa upande wangu nilikuwa namwona Iryn wa kawaida tu maana nilikuwa nishazoea kuwa naye.

Saa 6 usiku nilimwambia Iryn tuondoke na yeye kwa upande wake alikuwa amekunywa wine nusu tu. Nilifanya malipo na kabla hatujaondoka nilimwaga dada na nilimshukuru kwa kampani yake na sisi tukaondoka kurudi hotelini.

Baada ya kuwasili hotelini kila mtu alikwenda room yake na mimi kwa upande wangu sikutaka kumlazimisha alale na mimi maana niliwaza mpaka amebook vyumba 2 ni kweli amemaanisha hivyo sitakiwi kutumia nguvu kwenye hili jambo na niwe mpole tu.

Muda huu nilichukua laptop yangu na nikaanza kuandika mkataba wa kupangisha nyumba na plan zangu zilikuwa navyoondoka Dom niwe nishapata hata wateja wa kuingia pale nianze kupata hela.

Wakati nikiendelea kuwa busy na laptop yangu kwa upande mwingine nilisikia mlango unagongwa kwa mbali hivyo ilibidi nisogee nikafungue, na kabla sijafungua ilibidi niulize nani, na kwa mbali nilisikia sauti ya Iryn.

ITAENDELEA
Mbona unatuacha na maswali kuwa iryn kafuata nn usku huu kwako
 
Back
Top Bottom