Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Kwa upande mwingine niliishia kusoma story na kwa upande wangu nikaona bora nicomment na nikaishia kufurahi tuu. Kwa upande mwingine wadau wanaishia kuifurahia story nasubiri kuona kwa upande wa wanaosema hii ni chai wanaendeleaje.
Kwa upande mwingine hii imeenda
 
EPISODE 66
BY INSIDER MAN

PREVIOUS
Wakati nikiendelea kuwa busy na laptop yangu kwa upande mwingine nilisikia mlango unagongwa kwa mbali hivyo ilibidi nisogee nikafungue, na kabla sijafungua ilibidi niulize nani, na kwa mbali nilisikia sauti ya Iryn.

CONTINUE …

Nilimfungulia mlango nikamkaribisha na akaingia ndani,

MIMI: “Welcome mummy, ulikuwa bado hujalala tu.?”

IRYN: “Sina usingizi hapa.”

MIMI: “Pole hata mimi sina usingizi nachezea laptop.”

Na mimi nilikwenda kwenye coach kuendelea na kazi zangu na yeye alilala pale kitandani huku macho yake yote ameelekeza kwangu.

IRYN: “Insider unafanya nini?”

MIMI: “Naandika mkataba wa nyumba.”

IRYN: “Njoo tulale bhasi, utaandika kesho.”

MIMI: “Mimi nitalala hapahapa kwenye Coach wewe lala hapo kitandani.”

IRYN: “Bhasi nakuja hapo tulale wote kama hutaki kuja kitandani.”

Na mimi nilifunga laptop yangu nikapanda kitandani, baada ya hapo tuliendelea kupiga story pale ofcourse muda huu tulikuwa ndani ya blanket na tulikuwa tumegeukiana tuko very close. Nilishangaa kuona mkono wake ukipenyeza boxer yangu na akaukamata mtwangio wangu na alikuwa anachezea kichwa cha mtwangio. Iryn ana asili ya kuwa na joto sana, sasa lile joto la mkono wake lilikuwa linafanya nasisimka sana huku nasikia raha, nilikuwa nahisi Dunia yote yangu.

Na mimi sikutaka kuwa mzembe nilianza kumchezea na kuzinyonya boobs zake kwa ufundi na romance zikaendelea pale kitandani. Muda huu pia nilipitisha mkono wangu taratibu ili kutalii serengeti yake na ilioneka kulowa sana, na nikajua huyu toka muda alikuwa ana upwiru ila alikuwa analeta maringo na kilichomleta kwangu ni sex* wala sio kingine.

Ndani ya muda mfupi alikaa juu yangu na akaukalia mtwangio na akaanza kuukatikia na mimi nilimuacha aendelee na hili zoezi mpaka atakavyochoka yeye. Baadae nilimgeuza nikamuweka Doggy na muda huu nilikuwa naenjoy sana kuyachezea makalio yake laini, ilikuwa ni match ndefu na iliisha kwa sare kwa kila mmoja kupiga bao za kutosha na tulilala huku tumekumbatiana.

Asubuhi niliamka mapema sana na Iryn alikuwa bado kalala hivyo ilibidi nijiandae haraka ili niendeee kusikilizia milio kutoka kwa Mzee Mollel maana alisema akitoka church anatanijulisha ili tukaonane. Pia muda huu nilikuwa nawaza zawadi ya kumpa mzee Mollel kwa kazi aliyoifanya, kumbuka alikuwa anajitolea na alinisaidia sana, hivyo sikuwa na budi kumpa Ahsante yangu. Kwa upande wangu nilikuwa na laki 6 kama balance tu na nilitamani angalau nimpe ka million na pia bado alikuwa ananidai kama laki 7 kuna pervings zilipwelea akatoa pesa yake mfukoni, niliwaza pale napataje hela na wazo likanijia nimwombe Iryn.

Muda huu Iryn alikuwa ameamka tayari na nilisikia akiniita pale,

IRYN: “Darling unakwenda wapi this morning.?”

MIMI: “Kuna mzee wangu aliyenisaidia kusimamia ujenzi ndo nakwenda onana naye.”

IRYN: “Naomba twende wote bhasi.”

Na mimi ilibidi nikae kitandani muda huu,

MIMI: “No swirry huyu Mzee ni rafiki wa baba yangu kwenda na wewe anaweza kuhisi vibaya na haitaleta picha nzuri, isitoshe anamjua wife na tunakwenda kuonana kule site ili anikabidhi nyumba.”

IRYN: “Sawa babe promise me you don’t be late.”

MIMI: “I promise mummy, pia ninashida ya fedha kidogo kama utaweza nisaidia.”

IRYN: “Unataka kwaajili ya nini.?”

MIMI: “Nataka kumpa mzee kama Ahsante ya kazi aliyoifanya maana amefanya kazi kubwa sana.”

Iryn aliniambia niende room yake nikachukue ATM card ipo kwenye bag na alisema nitoe kiasi cha pesa ambacho naona kitatosha na alinitajia na code za card. Kwa upande wangu sikuamini kama ningepewa card nikajisevie mwenyewe kwa ATM na hii ilikuwa mara yangu ya kwanza namwomba Iryn Pesa.

Tulijadili suala la kuondoka Dodoma na tuliona turudi Dar jumanne ili kesho ambayo ni Jumatatu tutafute sehemu nzuri ya nje ya mji ili twende tukatembee. Tulikwenda kupata breakfast ile asubuhi na pia alitoa maelezo pale reception ya kuongezewa muda mpaka jumanne na aliomba vitu vyake vyote vipelekwe room yangu, maana yake hapo tunalala pamoja. Hata dada pale reception alikuwa anashangaa ni kama alikuwa haamini kusikia maneno ya Iryn ni kama alipatwa na wivu.

Baada ya kupata breakfast tulirudi room na mida ya saa 4 Mzee Mollel alinipigia simu kunipa taarifa ametoka church hivyo tuonane kulekule site. Nilimwaga Iryn na nilipitia kwa wakala kutoa pesa na nilikuwa nawaza nitoe kiasi gani cha pesa maana nilipewa uhuru, na mimi nilitoa million 3 tu. Baada ya kuchukua risiti balance ilokuwa inaonekana pale ni balaa ilibidi niangalie vizuri tena, niliona kama nimekosea kuangalia. Account yake ilikuwa na pesa kibao na yeye anasemaga ile local account ni kwaajili ya pesa za matumizi tu, nilijisemea kuna watu wanahela maana Account ilikuwa inasoma 9 digits.

Ndani ya muda mfupi nilikuwa nimewasili pale site na nilimkuta Mzee Mollel amewasili tayari, tulisalimiana na akaanza kunitembeza maeneo ya nyumba. Kwa upande wangu nilimshukuru sana kwa kazi aliyoifanya na nilimkabidhi bahasha na nilikuwa nimeweka jumla ya million 2 pamoja na deni lake.

Muda huu pia nilimpigia video call wife na yeye alikuwa na shauku sana ya kuona maendeleo ya miti na maua yake. Baada ya kuona maendeleo ni mazuri aliishia kufurahi na akanambia weekend ijayo atarudi Dar pia amenimiss sana.

Tuliongea mambo mengi sana na Mzee Mollel pia alinipa namba ya Dalali wa kumtumia kwaajili ya kunitafutia wapangaji na alinikabidhi hati ya plot yangu ya kule Iyumbu. Hatukutaka kuendelea kupoteza muda hivyo tuliagana maana alisema ana majukumu mengine ya kufanya.

Mzee Mollel aliondoka akiwa ameniacha pale site na mimi niliamua kumpigia simu Aggy ili tuonane lakini alinambia yuko busy sana hivyo tufanye baadae. Pia Niliwasiliana na Maggy na nilimpa taarifa za kukamilika kwa nyumba kwa upande wake alifurahi sana na akanambia yeye atakuwa wakwanza kuingia na tulikubalina tutaonana badae.

Ilikuwa ni mchana tayari hivyo niliwasiliana na Iryn ajiandae kwani soon nitampitia ili tukapate lunch na mimi sikuchukua muda mrefu kuwasili pale hotelini na tukaenda Chako ni chako. Baada ya kuwasili tuliagiza kuku choma mzima kwa upande wangu niliagiza ugali na yeye aliagiza chips.

Baada ya kupata lunch tuliondoka kurudi hotelini na mimi niliingia kuoga then baada ya hapo tulitoka kwenda garden kupoteza muda na tulikaa karibu na swimming.

Maongezi yetu makubwa yalikuwa kuhusu suala lake la kwenda shule na alisema anataka kuwa karibu na baba yake mzazi, pia alinambia kuna uwezekano mkubwa wa mama Janeth kwenda HQ kwaajili ya masula ya vita ya Russia-Ukraine. Ofcourse tuliongea mambo mengi sana ya maisha na biashara na giza lilipoanza kuingia tulirudi room kujiandaa kwenda kupata dinna.

Muda huu nilifanya mawasiliano na Dalali ili anitafutie mtu mmoja wa kuhamia pale site na nilimwambia namba nimepewa na Mzee Mollel. Nilimuelekeza nyumba ilivyo na akasema itapendeza sana kama atakwenda kuiona na mimi nikamwambia kesho asubuhi tutaonana kwaajili ya hili suala.

Baada ya kuongea na Dalali, Aggy naye alinipigia simu na akanambia jioni tuonane kwaajili ya dinna na nikamwambia tuonane pale Golden fork, pia nikakumbuka kumpa taarifa na Maggy ili tukutane hapo.

Iryn alikuwa amelala kitandani hivyo nilimgeukia na tukaanza kuongea,

MIMI: “Mummy badae tutakwenda kupata dinna Golden folk na nitakuwa na ndugu zangu.”

IRYN: “Sawa haina shida ila kesho usisahau itabidi twende sehemu ya mbali.”

MIMI: “Usijali mummy ukitaka hata tulale hukohuko ni wewe.”

Saa moja usiku tulitoka pale hotelini kwenda Golden Folk kwaajili ya dinna na tulimkuta pale Aggy amewasili tayari akitusubiri sisi tu. Kwa upande mwingine alishangaa sana kuona nimeongozana na Iryn maana ilikuwa ni kama surprise kwake.

Tulikaa kwenye viti na mimi nilifanya utambulisho mfupi na nilianza kumtambulisha Aggy kama rafiki yangu wa Muda mrefu na ndo ambaye huwa alikuwa ananisaidia kuingalia nyumba na nilimtambulisha Iryn kama Bossy wangu.

Mhudumu alikuwa amefika kutusikiliza na tuliagiza chakula pale kwa pamoja na story zilikuwa zinaendelea. Nilimshukuru Aggy kwa msaada wake kwa kipindi chote cha ujenzi na nilimwambia siwezi kumpa zawadi maana yeye ni mshikaji wangu, na yeye aliishia kucheka tu.

Baada ya nusu saa Maggy aliwasili pale na baada ya kutuona aliishia kufurahi sana, Maggy alikuwa anatujua wote so kwake ilikuwa ni kama surprise.

MAGGY: “Aisee usinambie umekuja na bossy wangu hapa na sijamwona muda sana.”

IRYN: “Ahsante sana dada kama apartment ulinichagulia, afu kumbe upo huku? Insider hajanambia kabisa.”

MAGGY: “Nipo huku toka July dear.”

IRYN: “Insider kila kona anayo kwenda ana marafiki, nimefurahi kukuona dear.”

Maggy aliagiza chakula na story zingine ziliendelea pale,

MAGGY: “Insider Junior anaendeleaje? Leo nina zawadi zake.”

MIMI: “Zawadi zenyewe ziko wapi? mbona sizioni mama.”

MAGGY: “Wewe tulia kwani ni zako.?”

MIMI: “Mhhh! sawa naona umeanza kurithi tabia za kigogo.”

Baada ya lisaa kukata Aggy aliomba kuondoka maana alisema ana wageni pale kwake afu ana kikao asubuhi cha kazi, hivyo aliaga na mimi nilimsindikiza mpaka parking alikokuwa amepark gari.

AGGY: “Insider una bahati sana ya kukutana na warembo huyu dada mmekutana wapi.?”

MIMI: “Hahahaa ni story ndefu sana siku ukija Dar nitakwambia.”

AGGY: “Mhhh sawa bhana nambie kuna kitu chochote unahitaji kutoka kwangu.?”

MIMI: “Yeah, una funguo za nyumba.”

AGGY: “Nilisahau ujue ngoja nikupe zipo kwa gari, mnaondoka lini huku Dodoma.?”

MIMI: “Jumanne afu kesho naweza kukucheki kama utakuwa available.”

AGGY: “Yeah sure tutawasiliana, byee.”

Tuliagana pale na Aggy na mimi nikarudi ndani na niliwakuta Iryn na Maggy wanaongea.

Tulianza mazungumzo na Maggy na alisema yuko tayari kuhamia hata kesho maana anakokaa hajakupenda na alisema ikiwezekana asubuhi twende wote akaione nyumba. Kwa yale mazingira ya pale site niliona ni mazuri na salama kwa Maggy na nilijua lazima atapapenda tu.

MAGGY: “Vipi kuhusu kodi?”

MIMI: “Nafikiri kesho tutaongea vizuri hili ukisha ona mazingira ya nyumba.”

MAGGY: “Na kesho muda gani.?”

MIMI: “Tufanye hata saa 3 asubuhi.”

MAGGY: “Sawa tutawasiliana hata hivyo mimi sikai acha niwaache lakini nimefurahi kukuona Insider.”

MIMI: “Maggy unawahi wapi? au ushapata sponsa? Vigogo wa serikali huku ni wengi sana.”

MAGGY: “Hamna leo nilikuwa nafanya usafi kutwa nzima na nimechoka sana afu huku Dodoma hakuna hata vibe, nimekumiss Dar.”

MIMI: “Ukipata muda uwe unakuja mara moja moja.”

MAGGY: “Nina semina next month hope tuta enjoy ila usiniletee uswahili.”

Maggy alituaga pale na sisi kwa upande wetu tuliamua kuondoka kurudi hotelini na baada ya kuwasili hotelin tuliamua kwenda moja kwa moja mpaka bar na tuliagiza vinywaji tukaanza kupeleka taratibu. Muda huu Iryn alionekana kuwa na furaha sana yaani muda wote alikuwa ananiangalia sana huku anatabasamu.

MIMI: “Mummy unaniangalia sana mpaka nakosa confidence.”

IRYN: “Insider unaakili sana ya maisha nimekua suprised sana, so pale kodi itakuwa kiasi gani?”

MIMI: “Kesho nitaonana na Dalali nafikiri nitamsikiliza na mawazo yake.”

IRYN: “Na ile plot unampango gani.?”

MIMI: “Bado sijajua nafikiri nitakaa chini kufikiri project ya kuweka pale.”

IRYN: “Ukipata idea nzuri niambie niku assist sawa?”

MIMI: “Sawa bossy wangu toka lini nikupinge?”

Tulikaa sana pale bar mpaka tukaanza kuoneshana hisia za mapenzi live na tulianza kupeana kashikashi pale, tulikuwa kwenye Huba zito sana muda huu. Kadri muda unavyozidi kwenda Iryn alionekana anahitaji kushughulikiwa na alifanya malipo akanishika mkono akanambia tuondoke.

Baada ya kuingia room tuliingia kuoga kwanza na baada ya hapo kilichoendelea ni siri yetu, ilikuwa ni show kali sana na ndefu na tuliishia kuchafua mashuka ya watu na kitanda kilikuwa shaghalabaghala.

Niliamka saa 2 asubuhi lakini Iryn alikuwa bado amelala, nilingia bafuni kuoga mpaka namaliza kujiandaa lakini wapi alikuwa bado kalala, sikutaka kumuamsha na nikaondoka.

Nilifanya mawasilino ma Maggy na akanambia yuko ofisini tayari na alikuwa anasubiri call yangu ili atoke na nikamwambia achukue usafiri tukutane Makulu kituoni. Baada ya kuongea na Maggy nilimpigia simu Dalali na yeye alisema yuko njiani ndani ya dakika 15 atakuwa around kwani mtaa anaujua vizuri sana.

Tulionana na Maggy pale Makulu na tukachukua bajaji ya kutupeleka site na baada ya kuwasili tuliingia ndani na kwa upande wake Maggy alivutiwa sana na nyumba na akasema anahamia leoleo.

Baada ya dakika 20 Dalali naye aliwasili pale site na tukaanza maongezi na yeye aliishia kuisifia nyumba. Tulifanya mazungumzo pale na alisema kodi ya maeneo ya kule ni 400,000/= kwa nyumba standard na ya vyumba viwili.

Maggy alichagua nyumba ya upande wa chini (Apartment ya mwanzo) maana zote zilikuwa sawa tu na Dalali alisema ana mteja tayari yupo wa kuhamia pale, nilimpa account No. ya bank na nikamwambia akiwa tayari anambie tumalize kabisa.

Baada ya kumalizana na hawa watu tuliongozana na Maggy na yeye alikuwa anarudi ofisini na mimi nilikuwa narudi hotelini. Wakati niko njiani nilikuwa nawaza sehemu ya kwenda na Iryn na nikapata wazo la kwenda Kondoa, niliona ni mbali kidogo ya mji lakini pia panavutia.

Usafiri ungekua changamoto maana tungetumia costa au private ya kukodi hivyo niliona afadhali nimuazime Aggy gari yake ili tusave na muda. Nilimpigia simu Aggy na nikampanga, kwa upande wake hakuwa na shida na alinambia nikachukue ofisini kwake, tuliachana na Maggy na mimi nilikwenda kuonana na Aggy.

Baada ya kuonana na Aggy na kunikabidhi gari nilirudi moja kwa moja mpaka hotelin na Ilikuwa ni saa 4 asubuhi tayari na Iryn alikuwa bado amelala. Ilibidi nishangae maana nilihisi atakuwa anaumwa na niliamuasha pale na alionekana kuchoka sana,

MIMI: “Mummy are you ok.?”

IRYN: “Am fine, nimechoka na uchovu.”

MIMI: “Amka tukapate breakfast ili tuondoke.”

IRYN: “Tunakwenda wapi?.”

MIMI: “Kuna sehemu inaitwa Kondoa ni wilaya ya Dodoma, tutakwenda huko.”

IRYN: “Ok darling, ngoja nika bath ili tuondoke.”

Iryn alikwenda kuoga na mimi muda huu nilikuwa nimekaa kwenye coach nikimsubiri, na muda huu Lucy alipiga simu na mimi niliipokea pale,

LUCY: “Mshikaji wangu umeenda Dodoma na Bossy hata hunambii serious.?”

MIMI: “Hapana Lucy nani amekwambia haya.?”

LUCY: “Yeye ndo kanambia jana mpaka nimeshangaa kwanini hujanambia.”

MIMI: “Lucy usimind kama amekwambia yeye sawa ni kweli tuko huku alinipa kampani.”

LUCY: “Natarajia habari njema kutoka kwako, tutaongea ukirudi.”

MIMI: “Sawa Lucy usijali.”

Iryn naye alikuwa ametoka kuoga na alikuwa uchi kama alivyozaliwa, Aisee!! nyie muda huu nilikuwa namshangaa mwili wake ulivyo mweupe na mzuri yaani nilikuwa nasisimka tu.

IRYN: “Insider mbona unaniangalia kwa uchu sana.”

MIMI: “Unanipa ugwadu tu hapa, hujui tu.”

IRYN: “Kwamba kwa kazi iliyofanyika usiku kucha bado unataka tena.?”

MIMI: “Ndio nataka tena”

IRYN: “Kwasasa mimi bhasi umenichosha sana na tunakwenda na usafiri gani.?”

MIMI: “Nimekuja na gari ya kutupeleka huko nimeazima kwa Aggy yule best yangu wa jana.”

IRYN: “Ulinambia anafahamiana na mama J hawezi kumwambia uko na mimi huku?”

MIMI: “Atakuwa amezidi mipaka sidhani kama atafanya hivyo.”

IRYN: “Insider nivaaje?”

MIMI: “Kwa mazingira tunayokwenda vaa skin jeans na raba zako za Airforce.”

IRYN: “Sawa nimekuelewa.”

Ndani ya muda mfupi Iryn alikuwa amevaa tayari na alikuwa kavaa skinny jeans ya blue, raba ya Airmax ya blue bahari na shortsleeve nyeupe na kiunoni alikuwa kajifunga waist bag bila kusahau cap ya kaki.

Tulitoka pale hotelini saa 5 asubuhi hata chai hatukunywa na tulianza safari ya kwenda Kondoa, ulikuwa ni mwendo wa masaa 2 mpaka tunawasili Kondoa. Baada ya kuwasili Kondoa kwenye ile roundabout hatukwenda stand ila tuliishia pale na tukapark gari sheli ipo upande wa kulia.

Baada ya kupark gari pale tulikuwa tunashauriana pale twende wapi, lakini Iryn kwa upande wake alikuwa anataka twende hata kijiji chochote cha jirani akatoe na misaada kwa watu wenye uhitaji na pia akaoyaone mazingira ya bush yalivyo.

Tulishuka kwenye gari ikabidi tuulize watu wenyeji wa maeneo ya pale kuhusu kijiji cha karibu ambapo barabara inapitika vizuri ili twende. Kuna jamaa alitushauri twende kijiji cha Mondo na alisema kwa leo kuna mnada kule hivyo kutakuwa kuzuri sana. Hiki kijiji cha Mondo ni kama unatokea Dodoma ukishafika ile roundabout kushoto unakwenda Kondoa na ukizunguka kulia unakwenda huko Mondo.

Iryn alisema tutafute bank atoe Pesa za kutosha kwaajili ya kutoa na misaada huko tunakokwenda. Kama unakwenda Kondoa mjini/stand kwa mbele kidogo kushoto kuna Bank kubwa tu iko maeneo yale, hivyo tuliingia na tukatoa pesa. Na alitoa million 5 na tukaendelea na safari yetu ya kwenda kijiji cha Mondo.

Tulitumia kama dakika 40 kuwasili pale kijijini na tuliulizia serikali ya mtaa tukapelekwa mpaka kwa Mtendaji, lakini alikuwa hayupo na walisema amekwenda kwenye mnada ikabidi tuombe watupeleke huko mnadani.

Baada ya kuwasili pale mnadani palionekana kuwa busy na watu wengi sana na ulikuwa ni uwanja mkubwa ambapo bidhaa mbalimbali zilikuwa zinauzwa pale, nadhani minada ya vijijini mnaijua inavyokuwa.

Yule baba tuliyekuwa tumeongozana naye alituambia tusubiri anakwenda kumuita mtendaji, kwa upande mwingine watu walikuwa wakituangalia sana, hasa wamasai walikuwa wanamshangaa sana Iryn. Kwa upande wa Iryn yeye hakuwa na shida bali alikuwa anawafurahia sana na kile kitendo kiliwavutia wakanza kumiminika pale na akawa anapiga nao picha.

Baada ya dakika 10 yule baba alirudi akiwa ameongozana na watu wawili na kwa upande wao walionekana kuwa na wasiwasi sana sijui walidhani sisi ni watu wa system.

“Mzee shikamoo mimi naitwa Insider na huyu dada anaitwa Iryn, tumekuja hapa kijijini kwako kwaajili ya kutembea na pia kutoa misaada kwa watu wenye uhitaji. Nafahamu fika hawa watu wenye shida unawajua vizuri mpaka nyumba zao.”

Mtendaji baada ya kusikia hivi alipata amani maana alikuwa anaonekana kuogopa sana.

“Karibuni sana vijana wangu hawa watu ni wengi pia kuna mzee anaumwa sana anakosa pesa za matibabu nafikiri tutaanza na huyu, ila naomba niwatembeze kwanza kwenye mnada wetu mjionee.”

Tulianza kutembezwa kwenye ule mnada na kuna sehemu tulipita walikuwa wamechinja mbuzi, kondoo na ng’ombe wa kutosha na walikuwa wanachoma. Tulinunua pande la mbuzi kubwa la kuchoma aisee! niseme sijawahi kula mbuzi mtamu wa kuchoma kama yule, wale jamaa wanachoma nyama kwa chini, yaani mkaa unawekwa chini juu kuna kuwa na kichanja cha wavu, nyama inabanikwa inaiva taratibu, ni mafundi hatari.

Tuliweka odda ya kubanikiwa paja mbili za mbuzi na sisi tukaondoka kwenda kuwaona wahitaji na tulianza na huyo mzee ambaye alikuwa anaumwa sana na hana msaada. Baada ya kufika kwake kweli alikuwa anaumwa sana hata kuongea alikuwa anashindwa na Iryn palepale akatoa odda apelekwe hospital, na mtendaji alisema apelekwe Kondoa mjini na Iryn alitoa pesa ya usafiri pale.

Tuliendelea Kutembelea watu wengine na Iryn hasa aliwatarget wamama wajane ambao wanahali ngumu za maisha na wazee. Tulitembelea watu wengi sana mpaka akasema bhasi inatosha maana pesa ilikata, ukweli kule vijijini kuna watu wanashida sana. Niseme vijijini kuna watu wanashida sana na wanakosa msaada jamani, tujenge mazoea ya kwenda huko vijijini kuna watu wana hali mbaya sana na wanaishi maisha magumu.

Tulipewa jogoo 4 mpaka zingine tulikuwa tunazikataa maana hatukuwa na pakuzipeleka hatahivyo hao jogoo wa4 nilipanga kumpa mzee Mollel na akina Maggy. Tulirudi mnadani kuchukua mbuzi wetu na wamasai walivyotuona walikuja spidi na Iryn aliwapa 20,000/= kila mmoja na walikuwa 7 muda huu, ofcourse walifurahi sana na akapiga picha nao tena ya pamoja.

Ilikuwa jioni tayari hivyo tuliondoka na Mtendaji kwenda Kondoa mjini na baada ya kuwasili pale hospital tulikuta mzee anahudumiwa na alikuwa kalazwa.

Iryn alinambia tutafute Atm ya karibu tutoe hela tena maana alikuwa kaishiwa na mimi nilimshauri tutafute wakala inaweza kuwa uhakika kuliko kwenda ATM kutoa.

Baada ya kutoa Pesa Iryn alimuita Mtendaji pembeni akamkabidhi laki tano (5) kwaajili ya malipo ya mgonjwa kwa kipindi chote atakachokuwa pale hospital pamoja na dawa na gharama zingine zitakazo jitokeza.

Wakati tunaondoka alimuita pembeni dada ambaye ndo mtoto wa yule mzee mgonjwa na alikuwa anaongea naye pembeni na niliona anatoa pesa anamkabidhi, muda huu mimi nilikuwa kwenye gari.

Muda ulikuwa umekwenda sana na sisi kwa upande wetu hatukutaka kuendelea kupoteza muda hivyo tuliwaaga pale na Mtendaji aliishia kutushukuru sana na tulibadilisha namba za simu kwaajili ya kujulishana maendeleo ya mgonjwa. (Yule babu alipona na anaendelea vizuri na afya yake, na christimas mtendaji alinitumia mbuzi mkubwa kwaajili ya sikukuu.)

Wakati tuko barabarani tukirudi Dodoma Mjini Iryn alionekana kuwa na furaha sana muda huu na alinambia toka maisha yake yote hajawai kutembelea maeneo ya vijijini kama haya na leo ilikuwa surprise kwake.

Saa 1 usiku ilitukutia pale mipango na mimi nilimpa bodaboda Kuku awapeleke kwa Mzee Mollel maana alikuwa amenipa namba zake za mawasiliano. Baada ya hapo tulikwenda kwanza site kuonana na Maggy maana alikuwa ameanza kuhamia na nilimpa Zawadi ya Jogoo.

Kwa upande mwingine nilimwomba Maggy awe ananisaidia kuangalia ile nyumba na yeye nilimpunguzia kodi kidogo maana ni ndugu yangu na tumetoka mbali. Maggy alisema usiku huuhuu atakuwa amekamilisha kuhamia na mimi nilimwambia kesho tutakuja kushinda naye kabla ya kurudi Dar, na alisema hataenda kazini.

Baada ya kuachana na Maggy niliwasiliana na Aggy ili tuonane pale Golden Fork na baada ya kuwasili pale nilimkuta ananisubiri na nilimpa kuku yake na gari ilikuwa full tank.

MIMI: “Umenipa gari haina wese ila imerudi iko full tank na Jogoo juu.”

AGGY: “Mimi sinaga shida na wewe maana nakujua hunaga baya mshikaji wangu. Naamini kila kitu kimekwenda sawa huko.”

MIMI: “Yeah tunashukuru Mungu na kesho tunaondoka jioni lakini.”

AGGY: “I hope nitakuona before hujaondoka nikupe na kampani, pia kuna jambo nataka tuongee.”

MIMI: “Sawa dada wa system.”

Tuliishia kucheka pale na tukaagana kwa kukumbatiana na sisi tukaingia ndani kupata chakula, hii siku tulishindia nyama tu, toka tunatoka kule Mondo tulikuwa tunakula zile paja za mbuzi.

Baada ya kupata dinna tulirudi hotelini kwaajili ya kulala, Iryn alionekana kuchoka sana na baada ya kufika hotelini tulipitia pale reception kutoa taarifa za kuondoka kesho.
******

Jumanne ilikuwa ni safari ya kurudi Dar ambapo tulitarajia kuondoka Dodoma na ndege ya jioni na ile asubuhi baada ya kuamka tulijiandaa, tukapata breakfast na tulikwenda kwa Maggy kupoteza muda.

Baada ya kuwasili pale tulikuta Maggy anaweka mambo sawa na alikuwa amehamia tayari na kwa mara ya kwanza nilimkuta yuko na dada wa kazi. Maggy baada ya kutuona alifurahi sana na akatukaribisha ndani,

“Insider karibu kwenye nyumba yako.”

“Hahahaa Ahsante sana Maggy now is yours.”

“Kuna mtu pia ameingia huko juu bila shaka utakuwa na taarifa.”

“Dalali alinipa taarifa tayari, ngoja niende nikamsalimie.”

Nilikwenda kuonana na dada na nilikuta yuko nje kibarazani, nilimsalimia pale na mimi nilijitambulisha kama mwenye nyumba na yeye alishangaa sana kuona kijana mdogo namiliki mjengo na nilimpa mkataba wake wa kupanga kwa niaba ya mme wake.

Tulishinda na Maggy hii siku na nikamsaidia kumchinja yule jogoo na kumuandaa kabisa maana yeye alisema anaogopa kuchinja kuku. Mchana tulipata lunch ya pamoja na muda huu nilimwomba Maggy awe ananisaidia kuangalia nyumba, ofcourse namuamini sana Maggy.

Saa 10 jioni tuliaga pale na Aggy alikuwa amekuja kutufuata na akatupa ride mpaka hotelini tukachukua mabag yetu na akatupeleka mpaka Airport. Wakati tunasubiri kucheck-in muda huu tulikuwa tunazungumza na Aggy Kuhusu jambo lake alilotaka kunambia na baada ya hapo tuliagana.

Na kwa upande wetu hatukaa sana pale bali tulicheck-in kuanza safari ya kurudi Dar na wakati tuko kwa flight tulikuwa tunazungumza mambo mengi sana na Iryn na kubwa alinambia amefurahi sana kwa jambo tulilolifanya jana kwani kwake lina thamani sana.

IRYN: “Insider jitahidi sana ufuatilie maendeleo ya yule mzee sawa.?”

MIMI: “Usijali bossy wangu hilo ondoa shaka hata leo nimeongea na Mtendaji na amenambia meendeleo ni mazuri.”

IRYN: “Nimemtumia Daddy picha za jana amefurahi sana.”

MIMI: “Una roho nzuri sana Mungu ataendelea kukubariki.”

IRYN: “Hata wewe Insider.” Na akanikiss shavuni

MIMI: “Hivi uliniamini nini mpaka ukanipa Atm card yako.?”

IRYN: “Insider nishindwe kukuamini kwa vitu vidogo kama Pesa? ni vingapi unafanya peke yako.?”

MIMI: “Hata hivyo upo vizuri sana kama ni Pesa za matumizi tu hizo account zingine itakuwaje?.”

IRYN: “Natumiwa Pesa za matumizi na watu wengi kama Daddy, Mama Janeth, Mamkubwa, , bado kuna rafiki wa mama ambao wananiingizia pesa nknk,”

MIMI: “Mama Janeth anakupa pocket money?”

IRYN: “Mimi ni kama mtoto wake au umesahau yule ni mama mlezi wangu? afu Kwanini umetoa pesa ndogo sana na mimi nilikupa uhuru wa kutoa kiasi unachotaka.”

MIMI: “Ningekuwa mwizi kutoa kiasi ambacho sikuwa na shida nacho hata hivyo nashukuru sana mummy.”

Tuliwasili JNIA na lilikuwa usiku tayari hivyo nilifanya kurequest usafiri wa kutupeleka home. Baada ya kuwasili pale kwake tuliingia ndani na yule mama Mlinzi baada ya kutuona alikuja kutusalimia lakini niliona target yake kubwa ilikuwa ni Iryn,

“Mama samahani sana afu nilisahau nilipata emergence ya haraka ungenipigia tu simu.”

“Nilijua tu utakuwa umepata dharura na sikutaka kukusumbua.”

“Mwanao hawaja msumbua shule?”

“Hapana kwakweli niliongea na mkuu wa shule.”

“Sawa ngoja nikupe kabisa sahivi nisije nikasau tena.”

Na mimi niliamua kuingia ndani na mabag maana mazungumzo ya pale yalikuwa hayanihusu na niliwaacha pale nje wakiendelea kuongea.

Baada ya dakika 5 Iryn aliingia ndani na akaenda moja kwa moja jikoni akarudi seblen ameshika chupa ya wine na glass 2 na tukaanza kuinywa pale,

IRYN: “Insider ni jambo gani ambalo hulipendi kutoka kwangu.?”

MIMI: “Achana na biashara zako za Massage”

IRYN: “Ndo hilo tu hulipendi?”

MIMI: “Yes ukiachana na hili tutakwenda pamoja maana sioni sababu ya kuhangaika wakati Pesa unazo.”

Na muda huu alinisogelea close na akawa ananiangalia pale,

IRYN: “Insider mimi nimeachana na hii biashara kwaajili yako, but naomba uniahidi jambo moja tu.”

MIMI: “What is it?”

IRYN: “Truly I love you, promise me hutakuwa na mwanamke mwingine wa pembeni zaidi yangu.”

MIMI: “Mimi sina mwanamke wa pembeni kwasasa kama ni hili ondoa wasiwasi afu mimi sio mhuni kama unavyoniwazia.”

IRYN: “I’m yours now.”

MIMI: “Are you serious? You’re m…”

Nilijikuta nimevutwa nimepewa ulimi kwa haraka ni kama alikuwa ananinyamazisha,… aisee ngoja tuishiie hapa kwa leo

EPISODE 67[emoji116]
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
 
EPISODE 57

Baada ya kumpandia hewani Dav alisema yuko tayari kwenda ilimradi uwe mkataba wa uhakika na nikamwambia aandae CV na vyeti viwe karibu.

CONTINUE

Jumapili asubuhi nilipigiwa video call kutoka kwa Iryn kubwa alikuwa ananisalimia pamoja na kunipa taarifa za kufika salama Ethiopia. Muda huu alikuwa kutembelea kaburi la mama yake na alikuwa ananionesha kupitia video. Kwa upande mwingine walionekana watu tofauti pale kaburini na alinambia ni ndugu zake,

“Insider huyu ni dada yangu tumefanana eeh.”

“Mmefanana aisee ukoo wenu umebarikiwa kwakweli.”

Hao ndugu zake walikuwa ni wazuri balaa.

Yalikuwa ni maongezi kama ya dakika 15 hivi na Iryn aliniaga kwani alisema wanapanda maua na kuosha kaburi.

Kwa upande mwingine toka lile sakata la Prisca litokee alikuwa kaniblock namba zangu zote mpaka Whatsapp hata hali yake nilikuwa sijui ikoje. Ilibidi nimpigie simu Mary ili nijue maendeleo yake na baada ya kupiga simu ilisikika sauti ya Ivy kwa simu,

IVY: “Shem shikamoo.”

MIMI: “Wow Ivy hujambo?.”

IVY: “Sijambo kwanini unamkasirisha dada Prisca?

MIMI: “Kwanini na wewe unapokea simu ya da Mary?”

IVY: “Kanipa nicheze game! yeye anapika na da Prisca.”

MIMI: “Mpe simu da Prisca niongee naye sawa eeh.”

IVY: “Da Prisca hataki kuongea na wewe…”

Na muda huu Mary alichukua simu na tukaanza maongezi.

MARY: “Insider wewe na mama kijacho wako kwani mnashida gani? Mapenzi yenu huwa siyaelewi kabisa. Ni nini kinaendelea?”

MIMI: “Yeye anasemaje?”

MARY: “Hajasema lolote.”

MIMI: “Itakuwa mimba inampa mabadiliko so inabidi umzoee tu mdogo wako.”

Kwa upande mwingine nilikuwa simwambii Mary mambo yangu na Prisca maana kama mdogo wake alikuwa hamwambii mimi ninapatia wapi hiyo nguvu?.

Jioni niliondoka kwenda kwa Mama wa2 kwaajili ya kuzungumza suala la dili ambalo alikuwa kanipigia assist na baada ya kuwasili pale kwake alisema twende sehemu nzuri tukatulie.

Tuliamua kwenda Ramada Hotel kwa upande wa mama wa2 alikuwa kaongozana na bint yake Rachel. Ulikuwa ni mwendo wa dakika 10 mpaka tunawasili pale na baada ya kuingia ndani tulikwenda kukaa karibu na swimming pool kwenye miamvuli.

Kila mtu aliagiza anachotaka muda huu na baada ya hapo maongezi yaliendelea kuhusu suala la kazi.

Kwa ufupi, Mama wa2 alinambia ile baada ya mimi kumtumia CV alianza michakato mapema na mtu aliyemcheki ni Baba Rachel, hivyo kuwa na qualifications nzuri zilimvutia sana Baba Rachel na palepale alimvutia waya HR na akasema kuna nafasi Mtwara ipo wazi na inahitajika kujazwa haraka sana, ila kwa Dar es Salaam hakuna kwa kipindi hiki.

“Aisee Mama mkwe umeupiga mwingi sana hujalipia kweli kwa Baba Rachel?”

“Hahaha Insider wewe ni mshenzi sana, yule ni Baba mtoto wangu hanaga shida na ananisaidiaga mambo mengi sana, mtu kama huyu unaanzaje kumkazia.?”

Hata mimi nilishindwa kumjibu maana niliona mama wa2 yuko sahihi kabisa.

Mama wa2 alinambia ilibidi anipambanie mapema maana alihisi niko kwenye wakati mgumu kutokana na suala la biashara kuwa ngumu. Mama wa2 alinisisitiza niende Mtwara afu baada ya mwezi ningerudi Dar es Salaam na alinihakikishia kwa 100%.

“Mama mkwe kwanza niseme ahsante sana kwa yote ila wakati jana unanipigia simu sikutaka kukataa hili dili maana ninge kuvunja moyo. Pia muda ule nilikuwa nimetoka kuonana na yule Mzee Juma nilokwambia kaachiwa maagizo na Mzee kuhusu kazi.”

Muda huu ilibidi nimpe mkanda mzima kuhusu Mzee Juma na mama wa2 hakuwa na shida kwani alinielewa na alifurahi sana kusikia hizi habari.

“Mama mkwe nafasi hii imepatikana tukisema tuiache ipotee hewani hata Baba Rachel ataona hatuko serious. Naomba tumpe ndugu yangu kama itawezekana yeye ana Digrii ya Finance na yuko vizuri.”

“Sawa Insider haina shida mwambie akutumie CV na certificates tuone kama anasifa maana kwasasa hili jambo liko chini yangu.”

Ilibidi niwasiliane na Dav muda huu na chap akanitumia CV yake pamoja na vyeti na baada ya kumuonesha mama wa2 alizikubali na akasema kesho aende ofisini wakaonane.

Nilimpigia simu Dav na nikampa hizi taarifa lakini kwa upande wake alijua kama natania hivi maana alikuwa dizaini kama haamini nachomwambia muda huu.

Tulikaa pale na mama wa2 mpaka saa 3 usiku na alikuwa kashazipeleka Savanna 6 na alionekana kuwa hoi sana na mtu mwenye upwiru.

Niliwapeleka home na mwanae na kabla hawajashuka nilimkabidhi mama wa2 pesa na niliclear deni lote la mkopo lililokuwa limebaki. Mama wa2 alinipongeza sana na akanambia nikitaka mkopo mwingine mkubwa nimwambie muda wowote.

Tuliagana na mimi nilimkiss shavuni kama shukrani ya kunisaidia kumpa kazi jamaa yangu na mimi niliondoka kwenda home kulala.

Jumatatu asubuhi niliwasiliana na Dav na nilimpa maelekezo jinsi ya kufika ofisini ili kuonana na mama wa2 na nilimpa namba zake za simu ili wawasiliane.

Ile mchana Dav alinirudia na alinipa taarifa ya kupewa mkataba wa kazi na Bank hivyo jumatano ataanza training. Kwa upande wake alinishukuru sana maana alikuwa haamini mpaka alivyopewa mkataba wa kazi na kuusaini hapo ndo sasa alijua ishu kweli ni serious.

Dav alishangaa sana kuona kupata kazi kimasihara tena bila hata kufanya interview zaidi alihojiwa kidogo na mama wa2. Aliniuliza nimezipataje hizi connection na mimi nikamwambia tukionana tutaongea haya yote.

************
Jumatano nilikuwa na miadi na Mzee Juma kama tulivyokubaliana jumamosi na alisema safari itaanzia kwake Mikocheni.

Kwa upande mwingine kwa siku za kazi ratiba zangu zilikuwa vilevile, kwa ile asubuhi lazima nimpeleke mama wa2 ofisini kwake lakini hii kazi ilikuwa imesha nichosha tayari na nilikuwa natamani sana mama wa2 anunue gari. Na baada ya kuachana na mama wa2 nilikuwa nakwenda salon zote kukagua mauzo na kisha kupeleka pesa Bank.

Hii siku baada ya kumalizana na ofisi ya masaki niliamua kwenda kutulia pale Mikocheni kwa Lucy huku nikibuy time ya kwenda kwa Mzee Juma na nilikuwa na wazo kichwani ambalo nilipenda sana kumshirikisha Lucy.

Nilimshirikisha Lucy kuhusu mpango wa kumshauri Iryn awe anatoa mikopo kwa wafanyakazi wake ili kuwasaidia kiuchumi pale wanapokwama. Kwa upande wa Lucy aliunga mkono mpango huu na alisema ni mzuri sana hivyo nikaplan Iryn akirudi nitamshirikisha.

Saa 6 mchana niliwasiliana na Mzee Juma na akanielekeza nyumbani kwake, na mimi sikutaka kwenda na gari hivyo niliacha gari pale kwa Lucy nikaenda kwa Bodaboda.

Baada ya kuwasili pale kwake nilikaribishwa ndani seblen na nilikuwa niko peke yangu pale nikishangaa ukubwa na uzuri wa ile sebule. Na baada ya dakika 5 alitoka Camilla na tukasalimiana na alimwambia dada aniletee kinywaji na mimi niliomba niletewe maji tu.

Pale sebleni kulikuwa na picha kubwa ya familia na niliweza kuwaona watoto wa Mzee Juma na mke wake, ilikuwa ni familia ya watoto 3 tu.

Baada ya nusu saa Mzee Juma alitoka na nilisimama kumsalimia na yeye alimuita Camilla pale seblen.

MZEE JUMA: “Hivi nyie mmelelewaje? Unamuachaje mgeni seblen peke yake?”

CAMILLA: “Sorry daddy nilikuwa namwambia kaka aoshe gari tunayo ondoka nayo.”

MIMI: “Mzee naona familia yako yote kwenye picha lakini wengine siwaoni.”

MZEE JUMA: “Kaka yao kama nilivyokwambia siku ile anafanya kazi nje, Camilla ndo huyu na uyo mdogo wao anasoma India science, Mama yao yuko kazini.”

MIMI: “Hongera sana Mzee.”

MZEE JUMA: “Sasa ngoja amalizie kuosha gari tuondoke na mimi nikajiandae.”

Mzee Juma aliondoka na alituacha pale seblen mimi na Camilla. Muda huu tulikuwa kimya pale seblen hakuna aliyekuwa anamsemesha mwenzake mpaka Mzee Juma alivyotoka ndani.

Mzee Alisema tuondoke yuko tayari na baada ya kutoka nje gari tuliyokuwa tunakwenda nayo ni Jeep na Camilla alikuwa dereva.

Ulikuwa ni mwendo wa dakika 45 mpaka tunawasili Mbweni kwa Jane na tulikaribishwa ndani seblen.

Muda huu mazungumzo yalikuwa yakiendelea pale seblen na mimi nilikuwa napiga story na Vicky mdogo wake Jane na alikuwa yuko likizo kipindi hiki amefunga chuo.

Baada ya nusu saa tulipata lunch ya pamoja na baada ya lunch Mzee Juma alitoka na Jane nje garden, walikuwa na mazungumzo private hasa mipango ya kwenda Tabora kumaliza msiba pamoja na mirathi na wiki hii walitakiwa kuondoka Dar.

Nilitoka nje nikiwa nimeongozana na Vicky na nilikwenda moja kwa moja kuangalia gari yangu na ilionekana kuchubuliwa kwelikweli hasa kwenye bampa zote nyuma na mbele.

VICKY: “Dada amekuharibia gari yako si unaona kazi hiyo.”

MIMI: “Ni kawaida hata hivyo kajitahidi, lakini atakaa sawa tu bado ana ulena.”

VICKY: “Lakini alisema atakununulia gari nyingine hii ataendelea kujifunzia.”

Tuliongea mambo mengi sana na Vicky muda huu na tulikuwa tumezoeana hivyo story zilikuwa nyingi sana na tulikuwa tumekaa nje kibarazani muda huu.

Saa 10 jioni tuliondoka pale Mbweni na tulikwenda mpaka Ununio kwa Mrs. Pama, tuliwakuta watoto wake wote na ndugu wengine lakini Mrs alikuwa kazini.

Tuliwasalimia na tulitumia lisaa kukaa pale Ununio na tukaondoka maeneo yale na break ilikuwa Bahari Beach kwenye gate ambalo lina uzio mkubwa. Na baada ya kuingia ndani nilijua lazima lile ni eneo la mzee maana lilionekana kuwa kubwa sana afu halijajengwa.

Tulitumia pale kama nusu saa na Mzee alionekana kuwa busy na bint yake kama wakipanga mipango yao kuhusu eneo hili.

Wakati tunarudi niliomba waniache pale Palm village ili iwe rahisi kwenda ofisini kuchukua gari. Baada ya kuwasili pale tuliagana na akanambia jumamosi wataondoka na Jane kwenda Tabora hivyo akirudi tutaongea na lile jambo letu.

Kwa upande mwingine hii siku pia Prisca alinipigia simu wakati niko na Mzee Juma na aliniomba msamaha kwa lile jambo na alinipa taarifa za kuanza field na pia nikamwambia jumamosi tutaonana maana nina safari ya Dodoma.

*******
Ijumaa niliandika barua vizuri ya kuomba emergence ya siku 5 na niliituma kwa mama Janeth.

Kwa masuala ya Human resource yote yapo chini ya Mama Janeth na masuala ya Fedha yapo chini ya Iryn.

Baada ya kumtumia ile barua kwenye e-mail, mama Janeth alinipigia simu na akaniuliza nimepata shida gani na mimi ilibidi nimwambie ni masuala ya kifamilia tu.

Mama Janeth hakuwa na tatizo na alinipa ruhusa pamoja na kunitakia safari njema ya Dodoma. Na alinambia kama kuna jambo lolote nitahitaji nimwambie na mimi nilimtoa wasiwasi.

Kwa upande mwingine Iryn alisema angerudi Ijumaa ya week hii lakini baada ya kuwasiliana nae alinambia anakwenda kwanza Ufaransa hivyo atarudi jumatano, na mimi sikutaka kumwambia kama nimeomba emergence sababu hili suala halikuwa chini yake.

Niliongea na Lucy pamoja na Sumaiya ili wawe wananisaidia kuziingiza Pesa bank kipindi ambacho sitokuwepo, kwa upande wao hawakuwa na shida hivyo walinitoa wasiwasi.

Baada ya kumalizana na Lucy nilikwenda kuonana na Dalali kwaajili ya kwenda kuangalia nyumba na baada ya kuzikagua zote niliipenda nyumba ambayo ilikuwa mbezi Beach upande wa chini unaingilia sheli ya Puma.

Mazingira ya nyumba yalikuwa mazuri mpaka usalama hata kodi ilikuwa ya kawaida. Kwenye compound kulikuwa na jumla ya nyumba nne tu, baada ya kuridhika na nyumba ilibidi niwasiliane na wife kwanza na baada ya kuyaona mazingira kupitia simu alisema nilipie tu haina shida.

Kutokana na suala la kupatikana kwa nyumba tulishauriana na wife tuhamie kabla ya safari ili tukirudi Dodoma twende moja kwa moja makazi mapya.

Jumamosi tulipanga tuhamie pale na ile asubuhi tulikwenda wote kufanya usafi kwenye makazi mapya. Wakati wanaendelea na usafi kwa upande wangu na Junior tulikuwa tunabeba vitu vidogo vidogo tunapeleka. Mpaka kufikia saa 2 usiku kila kitu kilikuwa kimekamilika kwa upande wa kuhamia makazi mapya.

Baada ya kuona mambo yameenda sawa ilibidi nichomoke ili nikaonane na Prisca ili nimjulie hali kabla sijaondoka. Sikutaka kuwaaga na muda huu walikuwa wanapanga vitu vizuri pale sebleni.

Baada ya kuwasili pale getini Prisca alitoka na Mary na tukaondoka kwenda mpaka “Target” ndo tulichill pale. Tuliagiza chakula pale na story zilikuwa zinaendelea pale wakati tukipata dinna.

Wakati Mary amekwenda washroom Prisca alinambia ana upwiru sana na sababu nakwenda Dodoma kukaa kwa muda mrefu atazidiwa hivyo tutafute means ya kupunguza muwashawasha wake.

Ofcourse niliona kutengeneza njia ya mtoto ni muhimu na mpaka akanambia nilijua tu lazima Prisca yuko kwenye hali mbaya maana ilikuwa ni week tayari na siku zimepita sijamgusa.

PRISCA: “Honey tunafanyaje sasa maana njia ya mtoto itaziba pia, tumuage da Mary afu tutamrudia.”

MIMI: “Mhh that is bad idea, dada yako ajue tumetoka kulana? Tumekuja wote afu tumuache alone sidhani kama ni sawa.”

PRISCA: “Sasa unampango gani?”

MIMI: “Nafikiri tubadili kiwanja twende pale 25 then tumuache Mary kwa muda afu mimi nitamwambia soon tunarudi.”

Baada ya Mary kurudi nilimwambia tunakwenda EB 25 na yeye aliunga mkono hoja na hao tukaanza safari ya kwenda Makonde. Baada ya kuwasili pale nilimwambia Mary ashuke atafute sehemu nzuri ya kukaa sisi tunarudi soon nayeye hakuwa na maswali.

Niliondoka na Prisca kwa kasi na tulikwenda Hotel moja ya karibu na maeneo yale. Hatukutaka kupoteza muda maana zoezi lililokuwa limetuleta ni kutengeneza njia ya mtoto, hivyo kazi ilianza.

Prisca na aina ya wale wanawake ambao wana ile high sex drive tena kipindi hiki cha ujauzito ni kama alikuwa too much yaani muda wote anataka dyudyu.

Tulitumia kama dakika 45 kutengeneza njia na baada ya hapo mimi nilitoka nje nikimsubiri atoke ili tuondoke, na muda huu Mary alipiga simu kuuliza tuko wapi na mimi ilibidi nimdanganye tu, nikamwambia tuko njiani tunarudi.

Baada ya kuwasili pale 25 Mary hakuwa na maswali yoyote japo aliishia kulalamika tumemwacha peke yake yale maeneo teba kwa muda mrefu. Tulishinda pale mpaka saa 7 usiku tukaondoka na kwa upande wao ilibidi warequest usafiri wa kuwarudisha nyumbani.

Asubuhi mapema tuliamka kujiandaa maana tulikuwa tunaondoka na ndege ya saa 5 asubuhi kwenda Dodoma. Tuliondoka na Junior lakini kutokana na mazingira mageni ilibidi dada aende nyumbani kwa wife (ukweni) mpaka tutakavyo rudi.

Tuliondoka saa2 asubuhi kuelekea Airport na nilirequest uber ya kutupeleka, na baada ya kuwasili JNIA Terminal 2 nilionana na Tyna na yeye ndo aliyenisaidia kukata tiketi. Tulipiga sana story wakati tukisubiri kucheck-in na muda ulivyofika tuliagana pale.

Baada ya kuwasili Dodoma tulikutana na Aggy ndo ambaye alikuja kutupokea pale Airport na tulipitia kwanza pale “Chako ni chako” tukapata lunch then tulipitia madukani kununua masweta kwaajili ya mtoto na sisi, si mnajua mazingira ya Dodoma ni baridi.

Baada ya kupata lunch tulikwenda mpaka Hotelin maeneo ya CBE ambapo tungekaa kwa kipindi chote ambacho tungekuwa Dodoma.

Aggy na wife walikuwa wanajuana hata Junior alikuwa anamjua ila alimuona akiwa mdogo bado. Aggy akijaga Dar kikazi lazima aje home na mara nyingi huwa analala kwangu ni kama ndugu kwa upande wangu.

Baada ya kuweka mabag tuliamua kwenda mpaka site Oysterbay na mimi nilikuwa nina hamu sana ya kuiona nyumba hata wife naye alikuwa anashauku sana.

Kwa upande mwingine mzee Mollel alikuwa na taarifa ya ujio wangu wa Dodoma hivyo alisema nikienda site nitawakuta mafundi wakiendelea na ujenzi na akasema jioni itabidi tuonane.

Baada ya kuwasili pale site kweli tuliwakuta mafundi wakichacharika kwa upande mwingine nyumba ilikuwa imeisha ndani na kila kitu kilikuwa tayari ni vitu vichache sana vilikuwa bado.

Mama Junior kwa upande wake alifurahi sana na hapo sasa aliamini kweli nilikuwa serious na ujenzi. Na yeye alisema anataka kufanya jambo atatengeneza bustani nje ya fense na atapanda maua na miti. Na pale kulikuwa na fundi anajenga ukuta wa tank waka fanya makubalino ya ujenzi wa bustani.

Kwa upande wa madirisha nilinunua kwa kutumia Pesa aliyokuwa amenipa Mzee Pama hivyo nilitafuta msumari nikasogea kwenye dirisha la seblen nikachonga tarehe ya kifo cha Pama kama kumbukumbu (X../VI/MMXXII). Na nilifanya hivi kwa madirisha yote ya seblen kwa nyumba zote 2 mpaka leo hii tarehe ipo ni kama memory kwangu.

Tulishinda pale mpaka jioni ya saa 11 na muda huu mipango ilikuwa kwenda kuonana na Mzee Mollel ili aijue na familia yangu.

Kwa upande mwingine Aggy aliniachia gari na akasema niitumie mpaka nitakavyo maliza ratiba zangu kwa Dodoma. Baada ya kuachana na Aggy pale CBE sisi tulikwenda mpaka nyumbani kwa Mzee Mollel na baada ya kuwasili pale tulikaribishwa ndani.

Mzee Mollel kama nilivyowaambia awali kwangu ni kama ndugu maana wametoka mbali sana na Mzee wangu. Baada ya utambulisho mzee Mollel alinipongeza sana kwakuwa na familia na muda huu alikuwa amemshika Junior.

Mama Junior naye hakuwa mbali aliungana na Mama Mollel Jikoni kwenda kupika na sisi tukabaki seblen tukiendelea na maongezi yetu.

Mzee Mollel alinipongeza sana na alisema mpaka sasa nyumba imekwisha na ilikuwa bado kuweka makabati ya jikoni, pervings pamoja na kuweka blundering. Pia kutokana na kuwa na eneo kubwa linalobakia alinishauri kwa upande wa juu nijenge chumba na sebule.

Kwa upande wangu niliona ni ushauri mzuri na nilimwambia tujenge kwanza msingi afu tutaendelea nikishakamilisha nyumba. Pia tulipiga hesabu ya vitu vilivyobaki ili kukamilisha ujenzi na ibaki kuhamia tu.

Kwa upande mwingine Mzee Mollel alinambia kuna kiwanja kinauzwa Ihumwa na kipo karibu na barabara na eneo kilipo ni kimezungukwa na makazi ya watu na ukubwa wake ni nusu heka. Mzee alitoa simu na kunionesha kile kiwanja na kweli kilionekana kuwa kizuri sana,

“Kiwanja ni kizuri sana ni vile mimi nina mambo mengi pia nimeshanunua viwanja vingi mpaka sasa ila ningekuwa na pesa hiki ningechukua.”

Mzee alinishauri kama niko vizuri nichukue kile kiwanja maana ni kikubwa afu mhusika alikuwa anakiuza kwa bei ya kutupwa sababu alikuwa na shida sana ya pesa.

Nilimwambia Mzee Mollel kesho ambayo ni Jumatatu tutakwenda kukiona na kama kitakuwa vizuri nitafikiria

“Kijana kama upo vizuri chukua hiki kiwanja Ihumwa ni eneo zuri sana badae kitakuwa asset kwako. Mwenye kiwanja anashida sana na hela kwa sasa na ameshusha bei ya kiwanja na bei yake ni 16million.”

Baada ya kupata dinna pale ya pamoja tuliaga tunaondoka na Mzee Mollel akasema kesho asubuhi atanipitia CBE ili twende kukiona kiwanja na sisi tulirudi hotelin kulala.

******

Jumatatu asubuhi niliamka mapema na tulikuwa tumeanza mwezi mpya wa August, sasa baada ya kupata breakfast tuliondoka kwenda Ihumwa na tulikutana na Mzee Mollel pale CBE.

Baada ya kuwasili eneo la tukio ukweli eneo lilikuwa ni zuri sana hata wife alivutiwa nalo maana halikuwa mbali na Dsm Road, na ukubwa wa kiwanja ni 1600sq (40x40) ni eneo kubwa sana.

Sikutaka kupoteza ile chance hivyo nikawaza nitumie ile pesa ya Muajemi kwenye kununua kile kiwanja, afu pesa ya kumalizia ujenzi ningekopa. Mzee Mollel alifanya mawasiliano na wahusika na ndani ya nusu saa walikuwa eneo la tukio na walikuja na hati ya kiwanja.

Kwa upande wangu nilikuwa namuamini sana Mzee Mollel maana alinitoa wasiwasi kabisa kuhusu kile kiwanja. Tuliita mashahidi pamoja na serikali za mtaa tukaandikishiana na baada ya hapo Mollel aliupeleka mtaba kwa mwanasheria ukagongwa mhuri.

Tulikubaliana million 15 na nilifanya malipo ya million 10 kwanza na balance tulikubaliana ndani ya mwezi ningekuwa nimeclear deni lote. Baada ya kulipia nilipewa hati ya nyumba ambapo tulikubaliana itakaa kwa Mzee Mollel na Jamaa alisema tutabadilisha jina pale ambapo nitamaliza deni.

Baada ya hapo nilirudi na mama Junior pale site na yeye alikuwa bado anaratiba zake za kupanda miti na maua na tulishinda pale mpaka jioni ndo tukarudi hotelini.

Kwa upande mwingine toka niwasili Dodoma sikuwahi kuwasiliana na Maggy na alikuwa hajui ujio wangu, hivyo niliona bora nimpe taarifa ili hata kesho tuonane na pia aijue familia yangu.

Baada ya kumpigia simu Maggy nilimpa taarifa niko Dodoma na alifurahi sana kusikia taarifa hizi hivyo tukakubaliana kesho jioni tungeonana.

Asubuhi ratiba zilikuwa ni zilezile kwenda site na good news hii siku mzee Mollel alinipa hesabu inayohitajika ili kumaliza ujenzi.

Mchana nilipigiwa simu na Mama kijacho na baada ya kupokea simu yake tulianza mazungumzo

“Nambie mama kijacho unaendeleaje ?”

“Safi tu mke mkubwa anaendeleaje? Na hujanambia unafanya nini huko.”

“Nikirudi nitakuambia maendeleo yako ni vipi?”

“Tumbo linauma sana honey.”

“Mtoto anakua tumboni ni kawaida hata mama Junior alikuwa analalamika kama wewe, ukiona maumivu yanazidi nenda hospital.”

“Sawa honey, I love you.”

“I love you too byee.”

Hii siku tuliwahi kutoka pale site na tulikwenda moja kwa moja mpaka hotelini naa usiku tulimpitia Aggy ili twende kupata Dinna pamoja pale Golden Fork.

Kwa upande mwingine Maggy alikuwa amewasili tayari muda mtefu na alikuwa ananisubiri.

Baada ya kuwasili maeneo yale na kuingia ndani Maggy aliniona na alinikimbilia akani-hug kwa furaha ni kama alikuwa haamini anayeniona ndo mimi Insider.

“Wow nimekumiss sana Insider.”

Na muda huu wife macho yote yalikuwa kwa Maggy ni kama aliona Maggy anaingilia code za watu.

Tulikwenda kukaa na muda huu Maggy macho yote yalikuwa kwa Junior,

MAGGY: “Insider huyu ni mtoto wako maana mmefanana sana.”

MIMI: “Macho yako hayadanganyi unachoona na huyu ni mke wangu mama watoto, dada hapa ni ndugu yangu anaitwa Aggy yeye anafanyia kazi taasisi X.”

Muda huu pia nilimtambulisha Maggy kama dada yangu wa karibu sana.

MAGGY: “Insider hukuwai nambia kama una mke na mtoto ila hongera sana.”

MIMI: “Ahsante nilipanga siku nitakusaprise kama leo hivi na nimekufuata Dodoma.”

MAGGY: “Ndugu zangu nimefurahi sana kuwafahamu, nipe Junior nimshike,….Insider mna agenda gani huku Dodoma maana mpaka umekuja na familia sio jambo dogo.”

MIMI: “Usijali tukimaliza kula tutaongea kwa nafasi.”

Baada ya kupata dinna tulikaa sehemu nyingine na Maggy na tukaanza maongezi pale, ilibidi nimwambie Maggy ukweli kuwa kilichonileta ni suala la ujenzi.

MAGGY: “Insider hongera sana na umejengea wapi?”

MIMI: “Makulu huko na nyumba ni ya kupangisha ikiisha nitakuambia ili na wewe uwe mteja wangu. Mpaka September kila kitu kitakuwa sawa kwa wapangaji kuingia.”

MAGGY: “Insider ikiisha nambie ili nihamie niwe mteja wako, nimepata nyumba mbaya na bado mshahara hawajaingiza mpaka sasa.”

MIMI: “Aisee pole sana na pia unaonekana kufubaa, Dodoma imekukataa mama vipi upo sawa lakini? Seem like you’re not.”

MAGGY: “Acha tu Insider nimefulia hatari kwasasa maana nimetumia akiba zote kulipia kodi na kununua vitu.”

MIMI: “Seems like unataka mkopo kwangu.”

MAGGY: “Hahahahaa naogopa hata kukupiga mzinga maana umekuja kwaajili ya ujenzi najua umetoboka sana.”

MIMI: “Kwako wewe usiwe na wasiwasi nambie unahitaji kiasi gani? Maana wewe ni ndugu yangu.”

MAGGY: “Nikipata laki5 nitakuwa niko pazuri sana kwakweli kwenye kipindi hiki cha mpito.”

MIMI: “Sawa hio usijali nitakupa ukikaa sawa utanirejeshea.”

Maggy alifurahi sana hii siku na tuliagana pale maana alisema asubuhi atawahi kuamka sababu ya kikao hivyo aliwaaga akina Mama J na nilimsindikiza mpaka nje akaondoka.

Baada ya kuachana na Maggy muda huu Iryn alipiga video call na baada ya kupokea tulianza story pale. Iryn alinambia kesho ambayo Jumatano anarudi Tanzania hivyo nikampokee na mimi nilimwambia niko Dodoma.

IRYN: “Insider huko Dodoma una b*tch maana hunaga sababu ya msingi.”

Na mimi nilisogea mpaka kwa wife na akawa anatuona pale.

MIMI: “Huyu ndo b*tch wangu unayemwongelea sema lingine dada.”

IRYN: “Wow kumbe upo na wifi yangu, guys mna agenda gani huko Dodoma?”

WIFE: “Nimekuja kutambulishwa mpenzi si unajua ndoa soon.”

IRYN: “Safi sana na mimi nataka mwaka huu mfunge ndoa nitalipia gharama zote za harusi.”

MIMI: “Acha uchawi wako harusi mapema hivi?”

Tulipiga sana story na Iryn muda huu na alionekana kuwa na furaha sana usiku huu na alisema nikirudi nimjulishe tuonane.

Tuliendelea kukaa pale mpaka saa 4 usiku ndo tuliamua kuondoka kurudi kulala kwa upande mwingine nilimwambia mama Junior kesho asubuhi tutakwenda Kondoa kumsalimia mamdogo wangu pamoja na kumtambulisha.

Ile asubuhi baada ya kupata breakfast tulianza safari ya kwenda Kondoa na hii siku mamdogo hakwenda kazini kwaajili yetu.

Baada ya kuwasili Kondoa mamdogo alikuwa yuko barabarani tayari kutupokea na tuliondoka moja kwa moja mpaka nyumbani kwake.

Hii ilikuwa ndo mara ya kwanza mamdogo kuwaona live wife na Junior maana alikuwaga anaishia kuwaona kwenye picha tu. Na mimi niliishia kufanya utambulisho kwa wote pale na mamdogo alifurahi sana.

Baada ya maongezi kidogo niliwaacha seblen wakiendelea kufahamiana na mimi nilitoka nje kupiga simu maana wakati tuko njiani nilipigiwa simu na Mary kutokana na mazingira sikupokea simu zake.

Nilifanya mawasiliano na Mary na alinambia wako hospital kwani Prisca analalamika sana tumbo lina uma. Ilibidi niulize maendeleo yake na Mary alinambia yuko salama kabisa hakuna shida yoyote niwe na amani.

Tulishinda na mamdogo pale kwake mpaka jioni ndo tuliaga na kuanza safari ya kurudi Dodoma. Lakini tukiwa njiani kurudi Dodoma Roho yangu ilikuwa inauma sana kwani kuna ndoto niliiota nikiwa na Prisca lakini sikujua ilikuwa inamaanisha nini na muda huu nilikuwa naifikiria sana.

Wakati tuko njiani tulipanga na wife kwa kesho tutakwenda kufanya usafi wa nyumba ndani na nje pamoja na kupanda miti mingine afu ijumaa tungerudi Dar.

Baada ya kuwasili Dodoma ilikuwa ni usiku tayari hivyo nilikwenda kuoga na niliishia kulala pale kitandani maana nilikuwa nauchovu sana hii siku.

Usiku mida ya saa 6 simu yangu ilianza kuita na nilishtuka muda huu na ile kucheki alikuwa ni Mary na mimi nilitoka room kwenda koridoni kupokea simu yake.

Baada ya kupokea simu muda huu Mary alinipa taarifa mbaya sana na nilijikuta nikianza kuishiwa nguvu pale, maana zilikuwa ni habari mbaya sana kwa upande wangu. [emoji24] [emoji24]

TUTAENDELEA
Aseeh nimeweka kituoa hapa nitarudi,,,,[emoji124][emoji124][emoji119]
 
Kwa Upande wangu mimi nimefurahi hadithi inazidi kupendeza.
 
IRENE....., Code zishafunguka au nitaje mpaka jina lake...., ofisi zake....., Na kwa hyo Bi mkubwa wake ambaye now hayupo TZ[emoji28][emoji28]
Picsart_23-10-10_18-19-40-654.jpg
 
So ukisema social unamanisha nini? Mana udom inaanzia chimwaga.mpaka medicine. Au weee nhuwa unaendaga ngo'ngona mzee.kuvizia wale wanaokujaga kujumua pale sabasaba.madumla ya nyanya
Social na humanities nazo ni college zilizopo UDOM.
 
Mr INSIDER MAN habari yako.
Usitoe ep nyingine hadi Alhamisi.
Sababu;
Ukitoa alhamisi nitaweza kuiuza kwenye group langu la Whatsapp nipate PESA za kunywa Bia [emoji481] siku ya ijumaa wakati SIMBA [emoji881] anacheza.
Nadhani umeelewa na utatii maamuzi haya.

Nakutakia utekelezaji mwema.
 
Back
Top Bottom