Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Bwahahahahahahahahah...!

Nimechekajeeeeee[emoji1787]!

Its a blessing kupata mwanaume wa kujua kulichokonoa kojo aisee!

Na its more blessings kupata mwenye mapeneee! Mwanaume akiwa na pesa ndio Inapendeza zaidiii kuprovide as head bana sio mwanamke ndio akuhonge!

Pesa asinunue utu wetu!
kwahiyo unamwambiaje Insider kuwa analelewa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Naona tangu jana amedhamiria kabisa atuoneshe na down tuone yaliyomo basii [emoji23]!
Iryn kwa CHINI.

[emoji2]
Screenshot_20231015-124119.jpg
 
Hata mama j nae hana hati
.kwa sabab kwenye stori hii alizaa tu hajaolewa bado.so why iwe kwamba mama j aanze kuwa na hadh tofaut na prislka.? Wote wapo sawa.
Wewe mama J ameanza nae kwenye chumba kimoja, wamepambana pamoja mpaka hapo walipo na usisahau ameshachumbiwa na mahari ilishatolewa kitambo sana, hadhi moja na prisca hiyo vipi mwenzangu.
Mama J ni mama mjengo tunamheshimu lakini Iryn tunampenda zaidi atusamehe kwa hilo
 
Tukutane Ijumaa ndugu yangu.
Kaka Insider kindly usiwe unasahau kuweka link kila mwisho wa Episode Kama ulichofanya kwa zingine na pia sijui wazo langu vp why usiuze hili wazo na story kwa waandishi wa vitabu trust me utapata maokoto hata ya kusubscribe ili mtu asome mwendelezo wake hata kwa kutoa buku sio mbaya kuliko kuwanufaisha wengine humu wasio na shukrani Mara waponde as if wanakulipa ilo ni wazo langu tu toka kwa Dada ako hapa mpendwa.
 
Kwa uzoefu Wangu mdogo Ile Raha yake haielezeki mkuu kila mwanamke ana staili yake ya kufika kilele huyo wako hio ndio njia yake ya ufikaji kilele pole sana kwa kuteseka sio yeye ni ule utamu anaoupata! !

Yeah mwanamke akikojoa kisawasawa anaeza zima au tulia kulala kimyaaa kwa dakika kadhaa then badae unarudi kawaida, anaweza sikia njaaa pia anaweza hisi kiu ya maji!!

Mwingine akiwa anakojoa kama hivo anaweza kusukuma mwanaume mwingine anamkumbatia kwanguvuuuu mwingine anakufinya ile sanaa mwingine analia anatoa machozi kabisa mwingine anakutukana kuna wa kukung'ata n.k n.k kila ke na hekaheka zake za ufikaji!

Ila kiukweli the feeling haielezeki!
Wee mdada/mmama umenichekesha! 😆😂😂kuna mmoja nilikutana naye akanilia saana hela yangu mwisho wa siku kaingia 18! Namimi sikuwa na mapepe naye nikawa nampelekea moto taratibu kama sitaki vile huku namsikilizia anavyonifeel! Isee! Mdada wa watu kaanza kunikodolea macho kana kwamba ananishangaa nilichokuwa nafanya wakati mwanzoni alikuwa anaficha uso wake! Taratibu nikaendelea kupeleka moto na kumuongelesha kwanini siku zote alikuwa ananipotezea! Basi, bwana! Kaanza kunishika kiuno changu kana kwamba anataka kunizamisha mazima ndani ya mbususu yake! Nikamtania nataka kuchomoa! Aloooh! "Atiii nini? Akiamungu ukichomoa nakuua!!" 😂😆😆 niliishia kucheka! Baada ya hapo si kwa kulowesha godoro maana sijui hayo maji yalitoka wapi? Haya mambo? Duh?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28] ni kweli kabisa ingawa visa ni vingi, pesa inabaki kuwa sabuni ya moyo. Kuna mama aliendaga ulaya kusoma akazama kwenye penzi na mzungu. Yaani alihamishia watoto wake wote ulaya na kumuacha mzee Baba kufa kwa kihoro kikubwa[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]alimtelekeza mume orijino na mzee wa watu kila akitaka kuhamia huko anapigwa kalenda. uzuri mzungu alikuwa na njuluku za kutosha hivyo watoto wakafaidika na pussy ya Mama yao
[emoji2961]
Mkuu nakubalina na wewe ,pesa ni kitu kingine,watu wanafanya maamuzi hadi unabaki mdomo wazi..
 
Moro mi mwenyejii tena sanaaa!! Mezaliwa huko mekulia hukooo mesomea hukoooo! Hadi mahenge mikumi ifakara kilombero ulanga kote hukoo hunipoteziiii,, kilosa kidete hukooo Dumila turianii dakawaa wami kilosa... matombo mgeta mvuhaa moro town ndio kabesaaaaaa!
Umesahau hadi ilonga,kimamba,mtende na cotc
 
Mzee kila mpishi na pishi lake ndio utofauti unapo anzia. Ukitaka kila wapishi wote wafanane kutakua hamna radha tofauti za vyakula. Mwingine anajua asipo weka chumvi ndio walaji wake watapenda, mwingine akiweka kawaida ndio walaji wanapenda mwingine akizidisha chumvi ndio walaji wanafurahia.


So acha hizo
Yaani Kama anamlipa Yaani Kuna watu humu JF Kama una Roho ndogo huwezi simulia kisa chako nakumbuka miaka kama 7 iliyopita niliwahi leta story humu kwa ID tofauti mbona nilikoma Yaani vilitokea Vidada humu mpaka vinakosoa eti nukta hujaiweka pale basi sio wewe sijui story umeiba sehemu watu wa humu ni wa kuombewa kwa MWAMPOSA
 
Back
Top Bottom