Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Mpaka leo sijui aliandikaga nini mle ndani ila nahisi ilikuwa ni farewell[emoji23]

Akili zangu zilikuwa zinawaza mtoto that time, na mawazo yangu yalikuwa yananiambia Iryn anatoa ile mimba kwa hasira zake za kitoto.

We jamaa hatari sana, Bado ukamuuliza kwanini ameamua kubeba mimba bila ridhaa Yako?

Nimelipenda jibu lake hata hivyo.
 
Antonnia haya watu wanapewa mbaka card kuna viumbe wameumbwa na bahati bwana ona sasa anyway mshikaji wangu tutafute chaka jipya ,,tumetoka kwa jirani kule goba tumekuja kwa insider sijui saiv tunaenda wapi
Noma sana bestie watu na bahati zao kwakweli!

Ukipata docho usinisahau ndugu yako!
 
EPISODE 64

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN.”

PREVIOUS
Kwa upande mwingine utamu wa Iryn ulinipagawisha na nilijikuta natamani kuendelea kuwa naye maana utamu nilioupata ni wa kipekee, hivyo niliona bora nimtongoze tu ifahamike moja maana hata yeye ananipenda maybe anasubiri mimi nimfungukie. Ukweli nilikuwa nimetembea na wanawake tofauti lakini sio sana maana mimi sio muhuni, lakini Iryn ana utofauti sana asee ni mlaini, ananyumbulika kitandani, anajua mapenzi afu coochie yake ni hot, Prisca alikuwa ananipagawisha lakini Iryn funga kazi.


CONTINUE

Niliwaza pale Iryn anapataje taarifa za mimi kwenda kwa Asmah?, niliwaza nianze kwanza kuongea na Asmah then mengine yatajulikana, kwa upande mwingine simu yangu ilianza kuita na ile kucheki alikuwa ni Mary akipiga simu na mimi nilipokea simu yake,

“Hi Mary.”

“Poa, Insider hupokei simu zangu are you still hungry with me?”

“No Mary I am really sorry nilikuwa nimebanwa sana jana, tell me unaendeleaje?”

“Niko poa naomba kuonana na wewe please.”

“Kwa leo ngumu labda kwa badae nikipata chance nitakucheki, ukiona kimya bhasi kesho.”

“Okay, byee.”

Mary alikuwa anaomba tuonane lakini sikujua anataka kuongea nini na kwa upande wangu nilihisi lazima litakuwa suala la Prisca, pia sikuona sababu ya kumkatalia maana Mary ni mtu wangu wa karibu sana na alinipa kampani sana kipindi cha Msiba.

Niliingia chumbani na nilimkuta Iryn kalala bado na ilikuwa saa 6 mchana tayari hivyo niliamua kumuamsha na kofi la kalio pale kitandani ili ajiandae tuondoke.

“Mummy ulisema tunatoka mchana jiandae tuondoke saa 6 tayari.”

Iryn alishuka kitandani na alivua nguo zake mbele yangu na akaenda bafuni kuoga, kwa upande mwingine hakuwa na aibu na mimi kabisa. Wakati anajiandaa kwa upande wangu nilitangulia kwenda kuonana na mama mlinzi ili anipe key za gari na tulikuwa tunaongea pale,

“Vipi Mzee hajamind alivyoona gari yangu?”

“Nilimpoza kidogo na yeye hata hajapiga kelele, hakuna asiyependa hela.”

“Mama Ahsante sana maana tumefanikiwa kuyajenga badae nitakupa zawadi yako.”

“Usijali kuwa na amani kabisa.”

Na muda huu Iryn alikuwa ameshuka chini tayari kwa safari na aliniita pale, “Insider…..” na mimi nilimpa ishara asogee mpaka usawa gari ili tuondoke maana gari nilipark upande mwingine.

Tuliondoka pale na break ya kwanza ilikuwa pale Mikocheni kwa Osama, na tulinunua chips kuku sahani 8 na soda, Bossy lady aliamua kuwapa offa ya lunch wafanyakazi wake.

Kwa upande mwingine Lucy alikuwa kanipigia sana simu na mimi sikuzipokea wala kuchat naye maana nilijua lazima tungeonana na kuzungumza haya, kwa upande wangu nilisema siwezi kumwambia kilicho endelea kati yetu.

Baada ya kuwasili pale Salon palikuwa busy sana na nilimuacha Iryn reception akiongea na mimi nilikwenda moja kwa moja mpaka ofisini. Haikuchukua muda Lucy alikuja ofisini na alionekana kuwa na shauku sana ya kujua kinachoendelea na uso wake ulichanua tabasamu kubwa sana,

“Insider you made it?”

“Yeah, tumeyamaliza kwasasa tuko cool.”

“Vipi ume hit? Naona Bossy anafuraha sana leo tena ile halisi.”

“Hahahaha hapana Lucy labda amefurahi tulivyo yamaliza.”

“Insider mimi sio mtoto ujue, jana wote hampokei simu zangu na sio kawaida yenu, pia hamja ni call back, leo nawaona mnakuja pamoja, mlilala pamoja jana.”

“Trust me Lucy jana nilikuwa nakunywa bia huko mbezi si unajua na mastress?”

“I know mshikaji wangu ila wewe ni nyoko kama umefanikiwa kuyamaliza bhasi nakupa respect yangu, najua umemla ila hutaki kunambia but nitafound out soon.”

Wakati tukiendelea kupiga story pale kwa upande mwingine Iryn alikuja ofisini,

“Lucy kumbe umekuja kukaa huku na Insider, tumewaletea chakula kiko kwenye gari, Insider tuondoke.”

“Kila ukiniona na Lucy lazima utuharibie maongezi yetu.”

Tuliondoka pale Mikocheni kwenda Masaki na wakati tuko njiani tulikuwa tunapiga story sana na pia ilibidi nimuulize sababu ya kumuachisha kazi Sumaiya.

“Mummy kwanini umemsimamisha kazi Sumaiya?, kwa hili sijapenda kwakweli unajua mtoto wake amelazwa?.”

“Sijamuachisha kazi ila nime msimamisha kwa muda kutokana na tabia zake, kumbuka yeye ndo incharge pale then anachelewa na hatoi taarifa anajenga nini kwa hawa wengine? ndomana nimechukua hatua.”

“Ulitakiwa uulize kwanza kabla ya kuamua kufanya maamuzi ya kipumbavu kama haya, kumbuka yule ni binadamu afu anamtoto, taarifa alitoa kwangu lakini wewe ulikuwa umeniblock, kwa hili umezingua sana, afu kumbuka hii ni kampuni huwezi kumsimamisha mtu bila barua akienda mahakamani utachomoka.?”

“Nimepata taarifa zake pia anafanya ujanja sana kwenye mauzo ana haribu reputation ya kampuni kumbuka hapa Masaki wateja wetu wengi ni foreigners.”

“Ni sawa unachosema lakini lilikuwa ni suala la kukaa naye chini, Sumaiya nafanya naye kazi vizuri na hakuna kilichoharibika, ifike mahala chuki zako kwa Sumaiya ziishe, tufocus na kampuni. Naomba umrudishe kazini kesho na usipo fanya hivyo na mimi naandika barua ya kuresign position yangu, maana taarifa alitoa kwangu.”

Ilibidi nimtetee Sumaiya muda huu ili kibarua chake kirudi, wivu wa Iryn ndo ulisababisha amsimamishe kazi.

“Sumaiya atarudi kazini na atakwenda kusimamia kampuni ya usafi na sio huku Salon tena, atakuwa manager na mshahara atapandishiwa.”

“Hapo sawa najua hutaki niwe naye karibu but sio mbaya nitampa hizi taarifa badae.”

“Unamtetea sana b*tch wako”

Baada ya kuwasili pale ofisini Masaki nilipark gari na tulikwenda moja kwa moja mpaka ndani na mimi niliamua kwenda ofisini kwa Asmah kumsalimia na sikumwambia kama nimekuja na Iryn. Kwa upande mwingine nilimkuta anachati na baada ya kuniona tulianza kupiga story pale, na mimi kichwani plan zangu nianze kumspy,

Asmah ni mtu ambaye yuko kivyake vyake na sio mtu wa kampani, she is minding her business,

“Baby nakuona umetulia umekula?”

“Nilikuwa na order hapa food bora nimekuona utanilipia.”

“Usijali leo nitakupa offa, naomba tuongee jambo moja maana sielew elewi.”

“Insider jana nimekupigia simu ili tuonane lakini hukupokea nilitaka tuongee haya.“

“Jana nilikuwa busy ndomana, pia kuna kitu hakipo sawa, Iryn amejuaje kama mimi huwa nakuja kwako?.”

“Hata mimi sijui kwakweli au huwa unamuachia simu yako anaikagua.?”

“Iryn hashiki simu yangu, mimi ndo nikuulize wewe labda kuna mtu humu ndani mnashare mambo yenu?.”

“Insider wewe unanijua vizuri sinaga time na mashosti wa humu ndani na ninaanzaje kushare hii kitu?.”

“Huwa una share simu yako na mtu yoyote humu ndani? tuanzie hapa kwanza.”

“Yes!, Rebecca mara nyingi huwa ananiazima simu yangu na ndo yeye ambaye huwa anaomba hakuna mwingine.”

“Rebecca ana snitch? Mbona kama haimake sense.”

“Insider nahisi Rebecca anasnitch atakuwa anaangaliaga chats zetu na anampa Bossy taarifa. Pia kuna siku niliwakuta ofisini wamekaa wanaongea baada ya mimi kuingia wakakatisha maongezi yao, kwa hili leo nimehisi ni yeye.”

“Sawa niachie mimi nitajua ya kudeal naye ila kwasasa uwe unafuta chats na usimpe simu yako.”

“Rebby ni mshenzi sana.”

Mpaka hapo nilihisi Rebecca anahusika moja kwa moja kumpa taarifa Bossy lady kinacho endelea pale ofisini na wakati tukiendelea kupiga story, kwa upande mwingine Iryn alifungua mlango na alituona na Asmah tunacheka, alimsalimia Asmah na akanipa ishara ya kuondoka.

Baada ya kufika parking na kuingia kwa gari Iryn alikuwa ananiangalia sana ni kama alimind kuniona kuwa na Asmah pale ofisini.

“Tunakwenda kula wapi?”

“Chagua mwenyewe sehemu nzuri tukale.”

Na mimi nilindesha gari mpaka Moyo kitchen na baada ya kuingia ndani tuliagiza chakula na tukaanza kupiga story pale, kwa upande wangu
nilikuwa nampango nianze kumtongoza lakini nilikuwa nakosa point, na muda huu wote tulikuwa kimya na yeye alikuwa busy na Iphone yake, muda huu na mimi nilianzisha maongezi,

“Bossy mbona hunambii kama umeniachisha kazi.?”

“Nimekuachisha lini? Mbona sikuelewi Insider.”

“Kitendo cha kumpa Asmah majukumu yangu ulikuwa unamaanisha nini?”

“Insider ulitaka nifanyaje wakati ulikuwa hutumi ripoti?”

“Si umeni block wewe?.”

“Ripoti unatuma kwa whatsapp sikuhizi? na sio kwa mail tena.”

Na mimi nilibidi ninyamaze tu maana kweli nilikuwa nimezingua,

“Hivi kwanini unanichukia na unakuwa na wivu na mimi?”

“Insider mimi siko hivo kama unavyofikiri naona unakuwa hujiamini.”

“Iryn do you love me?”

“Yes I was, but toka nifaham una mke upendo wangu kwako ulikufa na hizi scandals zako zina nisogeza mbali na wewe.”

“Mbona mimi nilivyojua unadate na Grizz upendo wangu ulizidi kuimarika kwako na sikuonesha sign yoyote ile au unafikiri na mimi sikuumia?. So hapa unanionesha ni jinsi gani ulivyo mbinafsi unaangali moyo wako tu.”

Na muda huu Iryn alinyamaza kimya na alikuwa anajifanya kuwa busy na simu yake, baada ya kuona nimemkamata tayari niliendelea kutema sumu kama Koboko,

“Iryn embu niangalie usoni, mimi sipendi dharau ujue, naongea na wewe upo busy kuchezea simu kuonesha mimi naye ongea ni kama fala kwako.”

“Insider nakusikiliza vizuri kabisa… Okay sorry endelea.”

“Mimi nataka tunavyotoka hapa kila mmoja awe hana kinyongo na mwenzake, tuzimalize tofauti zetu. Mimi nakuahidi hutaniona nikifanya mautani na kina Sumaiya, kama hili huwa linakukwaza bhasi kwasasa hapana.”

“A good start, najua una utani nao sana na wamekuzoea sana, but kuwa na mipaka.”

“Pia nataka leo utambue mimi Insider nakupenda sana nataka ikiwezekana uwe mke wangu.”

“Eti what…?” Na muda huu Iryn alinza kucheka maana aliona huyu MTALIBAN anazingua,

“Insider suala la mimi na wewe kuwa kwenye mahusiano haliwezekani kwasasa, nimeachana na Grizzman sababu hii afu tena nianze tena mahusiano na wewe mme wa mtu? na isitoshe mama J ni rafiki yangu unafikiri atajisikiaje akilijua hili?, kumbuka ana Moyo kama mimi. Kuna msemo unasema “what’s goes around comes around “ and karma is bitch.”

“Actually nilitaka wewe uamue kama unaona suala la mimi na wewe kuwa kwenye mahusiano haliwezekani bhasi tuendelee kuwa washikaji tu.”

“Kwa hili nakuunga mkono na wewe utulie na mke wako, unajua unabahati sana ya kuwa na mwanamke mzuri mwenye brain.”

“Haya hayakuhusu, tuondoke mimi nina appointment zangu badae kumbuka niko na wewe toka jana kuna mambo yangu ya kutakecare.”

Tuliondoka pale huku tumeongozana na mimi nilikuwa niko nyuma yake namfanyia mautani ya kumsfia jinsi alivyo na kiuno kizuri pamoja na cut-walks zake. Baada ya kuingia kwa gari tulianza safari na kwa upande wake alisema ni mpeleke kwa Lucy.

Wakati tuko njiani simu yangu ilianza kuita na ile kuangalia alikuwa ni Prisca akipiga na mimi bila wasiwasi niliipokea simu yake. Kwa upande wake Prisca alikuwa bado haamini kama kweli nimemuacha na alikuwa bado ananisisitiza sana tuendelee na mahusiano, lakini mimi niliendelea kumkazia kuwa suala la mahusiano halitojirudia tena.

Kwa upande mwingine Iryn alikuwa makini sana kufuatilia maongezi yetu na alijua ninaongea na Prisca, lakini alinyamaza kimya.

Baada ya kuwasili Mikocheni nilimdrop pale na nikamuaga lakini kwa upande wake alifungua mkoba wake na akatoa noti 3 za $100 na akanipa,

“Insider kaweke mafuta hii nina muda sana sijajaza mafuta byee, takecare.”

Kwanza ilibidi nishangae maana niliona kama utani hivi, ukweli toka nianze kumkera Iryn alipunguza kunipa maokoto, ndomana nilishangaa kuona katoa pesa.

“Bossy unanipa malipo ya kutumika jana nini?Ahsante nashukuru.”

Na muda huu Iryn aliishia kucheka tu na mimi nikaondoka maneno haya kuelekea home. Baada ya kufika home na kupark gari nilikwenda kulala kwani nilikuwa nasikia sana uchovu muda huu.

Nilimka saa 1 usiku na nikiwa bado kitandani niliwaza niwe na mchepuko mmoja wa kunipunguza stress, Iryn alikuwa kachomoa tayari hivyo nilikuwa nina option 2 zimebaki kwa Mary au Asmah. Kwa upande wa Asmah niliona bora huu mpango niachane nao na nikae naye mbali.

Mary ndo alikuwa anafaa kuwa mchepuko lakini sasa niliwaza pale, je Mary atakubali? na atanichukulia mimi kama mwanaume ambaye sijatulia, ukweli alikuwa ananipenda lakini toka afahamu mahusiano yangu na mdogo wake hakuwai tena kuonesha sign yoyote kwangu na hii ndo ilinifanya nimwone Mary ni mwanamke mwenye msimamo. Lakini pia niliwaza kudate na mdogo mtu then dada mtu haitakuwa busara hivyo niliona huu mpango utakuwa mgumu kwangu.

Kwa upande mwingine toka nisex na Iryn nilikuwa nimeridhika kabisa kitendo cha kumla siku nzima kwangu ilikuwa ni ushindi tosha hata alivyonambia hawezi kuwa na mimi niliona sawa tu, hata sikuwa na kinyongo.

Muda huu nilichukua simu yangu na nilimpigia simu Mary na iliita mpaka ikakata bila kupokelewa na mimi nilikwenda zangu kuoga. Wakati nimetoka bafuni simu iliita tena na alikuwa ni yeye akipiga na baada ya kuongea tulikubaliana tukutane Havanna ya pale Mbezi Beach classic Mall.

Saa 2 usiku mapema nilikuwa nimewasili pale kwa upande mwingine yeye alikuwa hajafika bado na ilimchukua kama nusu saa kuwasili maeneo haya na alinikuta nina kunywa taratibu. Tulisalimiana pale na yeye kwa upande wake aliagiza wine na story zilikuwa zikiendelea,

“Insider kwanza niombe radhi kwa ile siku maana nilikuwa na hasira sana juu yako, lakini nimegundua Prisca mwenyewe ndo aliyekubali.”

“Usijali najua wewe kama dada lazima ungeumia lakini Prisca ndo aliyekubali na sikumlazimisha, hata mimba aliibeba bila ridhaa yangu.”

“Ameniambia haya yote lakini nilitaka kusikia kutoka kwako shemu, pia amenambia umemuacha na hajanipa sababu shida ni nini Insider?”

“Ongea na mdogo wako akwambie kila kitu, kavunja makubaliano yetu na mimi nayeye ndo bhasi. I made mistakes lakini sio sasa.”

“I need you guys back together, msiachane.”

“Mary haiwezekani kwakweli acha nifocus na familia yangu kwasasa.”

Kwa upande mwingine Mary aliomba azione picha za familia yangu na mimi bila hiyana nilimwonesha na aliomba siku aje aisalimie familia yangu na mimi nilimkaribisha.

Tulikaa pale na Mary tukiendelea kuongea mambo mbalimbali na kubwa nilimshauri atafute nyumba apange aanze kujitegemea maana ashakuwa mkubwa tayari. Kwa upande wake aliufurahia ushauri huu na akasema ataongea na wazazi wake afu atanipa mrejesho.

Saa 5 usiku tuliagana na yeye alirequest usafiri wa kumrudisha home, kwa upande mwingine wakati niko na Mary, Sumaiya alikuwa amepiga sana simu, baada ya kuachana na Mary ilibidi nimpigie simu.

Baada ya kufanya mazungumzo na Sumaiya nilimpa taarifa za kuamishiwa ofisi nyingine ile ya usafi na yeye kwa upande wake ni alifurahi sana, pia alinishukuru sana.

“Wewe mwanaume unanisaidiaga sana lakini kila nikitaka nikutunuku unaringa.”

“Hahahaa inaonesha umedhamiria sana usije ukaniua bure, afu kuna kitu naomba nikuulize noana kuna something fishy kinaendelea pale ofisini. Nahisi Rebecca ananisnitch kwa Iryn yaani kila nacho fanya anakuwa na taarifa zangu, lakini bado nafuatilia.”

“Huyo ndo snitch sasa na kama hujui, kila kinachofanyika pale ofisini yeye ndo anampa taarifa Queen na suala langu yeye ndo alinichongea. Mimi na yeye hatupatani toka nichukue madaraka yake hili jambo mpaka leo linamuuma, nilitegemea angepewa uongozi lakini kapewa Asmah.”

“Duuh aisee kumbe watu mna mabifu toka muda, usiku mwema tutawasiliana kesho.”

Yalikuwa ni maongezi marefu sana mpaka nafika home getini na wakati naongea na Sumaiya kwa upande mwingine Iryn alipiga simu lakini nilikuwa natumika na baada ya kumaliza maongezi na Sumaiya nilimpigia lakini ilikuwa bado blocked.

********
Jumatatu asubuhi mapema nilikwenda Mbweni kumsalimia Jane pamoja na kumjulia hali, baada ya kuwasili pale kwake nilipokelewa na Vicky lakini yeye alikuwa amelala. Nilikwenda kuangalia maendeleo ya mbwa na niliwaona wakiwa na afya nzuri na nilikwenda kuangalia gari yangu IST na ilionekana kubondwa upande wa nyuma na pembeni kwenye mashavu ilikuwa imebonyea.

Nilirudi ndani na tuliendelea kupiga story na Vicky na alikuwa ananipa maelezo namna jane alivyobamiza gari wakati anarudi reverse. Kwa upande wa gari ilikuwa imebonyea mlango wa buti, taa moja ya nyuma ilikuwa imevunjika pia, kwa upande wa mbele bampa lilikuwa halifai alikuwa kagongesha sana.

Kwa upande mwingine Vicky aliomba nimpe kampani ya sokoni kwenda kununua vitu na alikwenda kujiandaa na mimi nilikuwa pale seblen. Baada ya dakika 10 alitoka na tukaanza safari ya kwenda sokoni na tulikwenda Nyuki sokoni. Njiani tulikuwa tunaongea mambo mengi sana maana vicky ni talkative,

“Insider wewe na Mary mmegombana?”

“Hapana why unauliza?”

“Niliwoana hampo sawa siku ile, shida ni nini?”

“Hamna kitu tuko cool kabisa.”

“Mhh sawa na uliniahidi weekend hii unanitoa out lakini umezingua.”

“Nilikuwa nimebanwa kidogo afu unajua mimi nakuchukulia wewe kama mdogo wangu.”

“Insider umeanza dharau sasa, nimeshakuwa mtoto tayari.”

“Sijasema mtoto nakuchukulia kama mdogo wangu wa karibu, kuna mambo naweza yafanya huko afu kwako yakawa mageni.”

“Wasiwasi wako tu mimi sina utoto wowote.”

“Bhasi tutacheki this week tutoke.”

Baada ya kuwasili pale sokoni nilimpa kampani ya kununua mahitaji na baada ya kumaliza tulirudi Mbweni, kwa upande mwingine Jane alikuwa ameamka tayari na alikua amekaa kibarazani.

“Shem nilisikia sauti yako, nimeamka naambiwa mmetoka.”

“Vicky aliomba kampani ya kwenda sokoni ndo tumetoka huko.”

Tuliendelea kuongea pale kibarazani na pia alizingumzia suala la kuiharibu gari yangu na yeye alisema atanirudishia pesa ili nikanunue Ist nyingine na pia nimpe gharama za matengenezo ya gari. Baada ya kuzisikia hizi taarifa sikutaka kukataa maana gari alikuwa ameibonda sana na kuhusu Dualis alisema niendelee kuitumia mpaka atakapo jifungua ndo ataichukua.

Kwa upande mwingine tumbo lake lilikuwa kubwa sana na alikuwa anaonekana kuchoka sana kipindi hiki. Niliendelea kushinda pale kwa Jane na ile mchana Mzee Mollel alinipigia simu na alinipa taarifa ya kukamilika kwa nyumba na ipo tayari kwa kuhamia. Ofcourse nilifurahi sana kuzisikia hizi taarifa na nilimwambia Mzee Mollel wiki hii Ijumaa nitakwenda Dodoma kwaajili ya hili suala.

Jioni niliondoka maana nilikuwa na Vicky tu pale seblen na wakati natoka tulikuwa tumeongozana mpaka naingia kwa gari, na yeye alikwenda kunifungulia geti. Wakati narudi reverse kwa upande mwingine Jane alionekana akitoka ndani na alinipa ishara ya kusimama na akasogea mpaka usawa wangu na mimi nikashusha kioo nimsikilize,

“Insider nilikuwa na jambo nataka kuzungumza na wewe kwa bahati mbaya nilisahau mpaka nashtuka unaondoka.”

“Una jambo gani shem maana unanitisha.”

“Usiogope but tutaongea next time ukija.”

“Sawa shem haina shida.”

Na mimi nikaondoka maeneo haya lakini njiani nilikuwa nawaza Jane atakuwa na jambo gani?. Na mimi nilirudi home kulala mapema kwa upande mwingine Iryn alikuwa bado ameni block.

Jumanne asubuhi nilikuwa na miadi na mama wa2 na aliniomba kampani ya kwenda Madale kwenye nyumba yake ili akafanye usafi kabla ya kuhamia. Wakati najiandaa pia nilipigiwa simu na mama Janeth na alikuwa anaomba badae tuonane kwani ana mazungumzo muhimu na mimi.

Ilikuwa saa 3 asubuhi na nilikuwa nimewasili tayari kwa mama wa2 na baada ya kuingia ndani nilikaribishwa dining kunywa chai na baada ya hapo tuliondoka kuelekea Madale tukiwa na Rachel pamoja na dada wa nyumbani.

Baada ya kuwasili pale Madale kwa upande mwinginenyumba ilikuwa imekamilika tayari kasoro chini ilikuwa bado kuweka pervings kwa upande wa ndani ilikuwa kila kitu tayari. Pia kwa ndani walionekana mafundi wanaweka fimbo za mapazia na wengine walikuwa wanafunga taa.

“Mama mkwe hongera sana umepambana kwakweli.”

“Nashukuru sana hata siamini kama nimefanikisha, Mungu amenisaidia sana.”

“Kweli kabisa ngoja nitafute mtu atusaidie kufanya usafi wa nje.”

Tulisaidiana kufanya usafi wa ndani na nje na ndani ya masaa 3 tulikuwa tumemaliza na mchana tulitoka kwenda kupata lunch kwenye moja ya mgahawa pale Contena. Muda huu tulikuwa tunaongea mambo mengi sana na mimi kwa upande wangu nilimpa taarifa za kumalizika kwa nyumba yangu kule Dodoma na yeye aliishia kunipongeza sana, na mimi nilimwambia bila yeye nisingeweza kukamilisha.

Kwa upande mwingine tuliongelea suala la usafiri wa kumfuata asubuhi kule Madale maana zoezi lingekuwa gumu sana, hatahivyo ningempa gharama kubwa. Tulishauriana pale awe ana request usafiri wa kumpeleka kazini, pia kwa upande wake alisema anaplan anunue Dualis maana ameipenda sana ile ya Jane.

Muda wa jioni tulitoka pale Madale na nika warudisha home na mimi sikutaka kupoteza muda niliaga maana nilikuwa nasafari ya kwenda Masaki kuonana na Mama Janeth. Niliamua kupitia kwanza Masaki ofisini ili niendelee kubuy time navyosubiri muda ufike.

Baada ya kuwasili pale ofisini nilikwenda moja kwa moja mpaka kwa Rebecca na nikamuomba simu yake ili nimpigie mtu. Rebecca alinipa simu yake hata hakuwa na maswali na mimi nilikwenda nayo moja kwa moja mpaka ofisini kwangu na nilianza kukagua simu yake taratibu, nilikwenda direct kwenye conversation zake na Iryn. Baada ya kufungua chats zao nilikuta ujinga wote mle kuhusu kila kitu kinachoendelea pale ofisini huwa anamwambia Iryn, nilishangaa sana kwakweli maana Rebecca alikuwa TISS wa Iryn.

Kwa upande wangu nilipiga picha baadhi ya chats afu nikaiweka simu yake mezani nikaendelea na mambo yangu. Niliwaza pale nikaona Iryn anafanya ujinga sana kunifuatilia na nilijisemea kwa hili lazima nikamuwashie moto.

Niliendelea kuandaa report na kupitia baadhi ya taarifa incase mama Janeth akiuliza niwe na cha kumwambia, baada ya dakika 10 Rebecca alikuja ofisini kuchukua simu yake na mimi nilimpa ishara ya kukaa chini.

“Rebecca unajua wewe ni mtu wangu wa karibu na ninakuheshimu sana, kwanini unaingilia privacy zangu?”

“Insider mimi niingilie privacy zako kivipi?, mbona sikuelewi?.”

“Rebby usinione mimi ni mtoto najua unanisnitch kwa Iryn, hata Sumaiya umemsnitch kafukuzwa kazi, vipi umeona raha?, ukiendelea kukaza fuvu ninaweza kukuharibia kama ulivyofanya kwa Sumaiya, sasa nataka unambie kwa nini unafanya hivi?.”

Muda huu Rebby alianza kuwa na wasiwasi na alianza kutetemeka ni kama alijua nimecheki simu yake,

“Samahani manager, bossy ndo alinipa hii kazi ili kulinda kibarua changu.”

“Sawa najua sio wewe lakini ulimuuliza kwanini anakupa hii kazi ya kunichunguza mimi?”

“Sikia manager ipo hivi Iryn alikuja akanambia anataka kuwa kwenye mahusiano na wewe hivyo anaomba niwe nakuchunguza movement zako zote za hapa ofisini, hata hio simu kanipa sababu ya hii.”

Inshort Rebby alifunguka mambo mengi sana muda huu kuhusu hili jambo na aliniomba sana msamaha,

“Rebby ukitaka nikusamehe mpigie simu Iryn na umwambie taarifa unazompa mostly sio za kweli ndo utapata msamaha wangu.”

“Insider please atanisimamisha kazi.”

“Unajua ni namna gani nimetumia kurudisha mahusiano yangu karibu na Iryn?. Ulishajaribu kuwaza kuwa unachofanya ni unabomoa na sio kujenga.?”

“Nisamehe sana I had no choice, pia Iryn anafanya kwa mazuri, anakupenda sana Insider.”

“Fanya kama nilivyokwambia Rebby kwaheri.”

Na mimi niliamua kuondoka na nilimuacha pale ofisini amekaa kwenye kiti na alikuwa kama mtu ambaye hajui afanye nini.

Niliondoka pale ofisini kuelekea kwa mama Janeth na nilitumia muda mchache sana kuwasili pale kwake. Baada ya kuwasili nilikaribishwa ndani seblen na kwa upande mwingine nilimkuta Sumaiya amekaa pale seblen akiwa na mama Janeth.

Niliwasalimia wote na mimi nilikaa chini, ofcourse sikutegemea kama ningemkuta Sumaiya pale na kwa upande wake naye alikuwa anashangaa, ilikuwa ni kama surprise. Mama Janeth aliniomba twende kibarazani tukaongee na tulimwacha Sumaiya amekaa sebleni.

Mama Janeth alinambia sababu kubwa ya kuniita ni kunipa taarifa za kuondoka kwa Sumaiya pale ofisini ili akasimamie ofisi ya usafi. Kwa upande wake aliniomba msamaha kwa hili maana alisema anampenda sana Sumaiya na ana muamini sana, kwa upande wangu sikuwa na neno kwanza nilifurahi kusikia maneno ya mama Janeth. Tuliendelea kuzungumza mambo mengine mengi ambayo ni siri siwezi kuyaandika hapa na kubwa lingine aliniomba niwe namsaidia mambo ya uchumi kama budgeting nk, pale ambapo nitahitajika.

Kwa upande mwingine Sumaiya alikuwa amelamba bingo anatoka kwenye balimi anahamia kwenye heineken, na mama Janeth alimtaka Sumaiya afanye kila mbinu kupata wateja wengine wengi wakuingia nao mikataba. Hii kampuni ya usafi wateja wake wengi ni hizi organizations, kuna baadhi ya hotels na offices, japo mama Janeth alikuwa na mipango ya kupenetrate mpaka serikalini.

Mama Janeth alinipongeza sana kwa utendaji kazi wangu na alionekana kunikubali sana, ukweli niliibadilisha sana ofisi hasa kiutendaji na nili implement operating stategies (mbinu za kiutendaji) ambazo zilisaidia sana kufanya vizuri kimauzo na kupelekea kupata wateja wengi. (Siwezi kutaja hizi mbinu kwa maslahi ya kibiashara).

Tulikaa pale mpaka tukapata dinna ya pamoja na wakati tunapata chakula kwa upande mwingine Iryn alikuwa ananipigia sana simu, lakini nilikuwa nashindwa kuipokea maana ingeleta picha mbaya, hivyo nilisubiri nimalize kula then ningempigia.

Saa 2 usiku tuliaga pale kwa upande mwingine mama Janeth alinambia nimpelekee Iryn gari awe anatumia maana mara nyingi zinakuwa amezipark tu pale uwanjani, na yeye anatumia sana gari za ofisi.

“Sasa utaipelekekaje hii gari maana umekuja na gari yako au utakuja kesho?, ni kama saprise nataka mfanyia bint yangu.”

“Kesho ni ngumu, ngoja nimtafute dereva wa Uber nimuombe tuongozane afu nitamlipa, hawezi kukataa.”

“Yes! Good idea son.”

Na mimi nilifanya kurequest bolt na nilimpata dereva alikuwa karibu na baada ya kumpigia simu nilimuelekeza ataendesha gari yangu mpaka Kawe na yeye hata hakubisha na tulikubaliana elfu 30.

Mama Janeth alikwenda ndani na baada ya muda mfupi alirudi ameshikilia funguo na alinikabidhi pamoja na Leseni ya Udereva ya Iryn. Kwa upande wa gari alinipa funguo ya ile gari yake Audi Q7, baada ya dakika 5 dereva wa uber alikuwa kawasili na tuliaga pale.

Mimi nilikuwa nimempa lift Sumaiya ili nikamdrop pale Morocco, na wakati tuko njiani tulikuwa tunaongea masuala mbalimbali na kubwa alifurahi sana kwa kupata mkataba mpya na alinishukuru sana kwa kumpigania kwa Iryn.

“Insider thank you, Queen alinipigia simu na ameniomba msamaha kwa yote na ndo aliyesema nije kwa mama Janeth.”

“Wow nimefurahi sana kusikia hivyo na kingine nimemzingua sana Rebby hana hamu leo, maana nimemdaka vizuri sana.”

Ilibidi nimpe mkanda mzima Sumaiya namna nilivofanya ujasusi wangu mpaka namdaka, na aliishia kunipongeza kwa hili.

“Insider ofisi ipo hapahapa Masaki so hatuko mbali sana na wewe muda wa lunch tutakuwa tunaonana.”

“I told you Mama Janeth anakuelewa sana lakini hukutaka kuniamini rafiki yangu, kwanza hujawai kunambia mlikutanaje na mama Janeth.”

Sumaiya alinipa mkanda mzima namna walivyokutana na mama Janeth, kwa ufupi walikutana Posta kwenye hayahaya masuala ya Salon ndo mpaka leo. Baada ya kuwasili pale Morocco bus stand kwa upande mwingine Sumaiya aliomba nimkope pesa,

“Insider naomba niazime kama laki 2 cash maana mshahara wote nimelipa kodi ya nyumba na suala la mtoto nalo limenimalizia pesa.”

“Mtoto anaendeleaje kwasasa? Na ana umri gani.?

“Anaendelea vizuri ana miaka 4 na anakaa kwa mama yangu mzazi.”

“Sawa kwa sasa mimi sina cash ila nina dollar utaenda kuexchange kesho na utanirudishia pesa yangu mambo yako yakikaa vizuri.”

Na mimi nilitoa noti moja ya $100 kwa zile noti alizonipa Iryn na nikampa pale, kwa upande wake alifurahi sana na wakati anaondoka alinikiss shavuni, na sisi tukaendelea na safari kwenda kwa Iryn nikiwa na jamaa nyuma akiendesha Dualis.

Baada ya kuwasili kwenye zile apartments mlinzi alisogea yule mzee na baada ya kuniona mimi tulisalimiana na akafungua geti, tukaingia ndani. Tulipark gari zote usawa wa apartment ya Iryn na mimi nilimlipa jamaa pesa yake na akaondoka pale.

Baada ya kufika mlangoni nilifungua lakini ulikuwa umefungwa hivyo ilinibidi nigongea pale, niligonga lakini alikuwa hafungui mpaka nihisi labda atakuwa ametoka, nilijaribu kumpigia simu lakini nilikuwa bado niko blocked.

Niliwaza pale labda atakuwa ametoka lakini mzee angekuwa alinambia kama ametoka, hivyo nilihisi atakuwa amelala, niligonga tena kwa nguvu ndo akatoka kunifungulia,

“Mbona nagonga mlango hufungui?”

“Nilikuwa nimekaa kwa balcony ngumu kusikia, mbona hupokei simu zangu toka jumapili?.” Na alionekana kumind sana,

“Kila nikikupigia simu umeniblock afu unalalamika nini? Huoni unafanya utoto?. Nimekuletea gari pamoja na leseni kutoka kwa mama Janeth.” Na mimi nikamkabidhi pale.

“Woow thank you kumbe mama alikuwa serious juu ya kunitafutia Driving licence.”

“Na maongezi nawewe afu, why unanichunguza unaweka mpaka mtu wa kunispy?.”

“Insider umejuaje kama mimi nakuspy?”

“Ina maana hujui ujinga unaofanya sindio?

Na muda huu nilianza kumuwashia moto kwa ujinga wake na nilikuwa na hasira kwelikweli, kwa upande wake alikuwa anaogopa sana.

“Kumbe kwa muda wote huu unanichukia kwa maneno ya kuambiwa na Rebby ambayo hayana ukweli wowote, kwa hili umenikera sana na ushapoteza trust yangu Kwako. Unaweza kuniambia sababu ya wewe kufanya hivi before sija kutia kibao?”

“Insider calm down, please. Let’s talk about this.”

“Talk what?, mimi naondoka sina hata second ya kukusikiliza, kwaheri.”

Na mimi niliondoka pale nimemuacha amekaa kwenye coach na nilisikia akiniita na mimi hata sikuwa na habari naye. Baada ya kufika parking sikutaka kupoteza muda niliwasha gari na wakati natoka pale getini kwa upande mwingine nilimwona ametoka pale nje lakini alikuwa kachelewa tayari na niliondoka kwa kasi sana.

EPISODE 65[emoji116]
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
64
 
Hii story kwa hisia zangu ilikuwa na uwezo wa kuendelea zaidi ya hapa ,kwani Kuna mambo mengi muuhusika hajayaweka ,
Mf:mambo maendeleo ya mchepuko wa mzee Pama ,Maisha ya Ilyn huko SA na alivyoenda wakati wa kujifungua ,misukosuko aliyotuambia/pingamizi la ndugu ,Maendeleo ya kazi anazosimamia na mapokeo ya wafanyakazi kwa Iryn kuwa mama Mtoto rasmi na mengine mengi .

Tatizo lilianza kwa watu flani kuforce story iishe na wengine wakasema ingetakiwa imalizike episode ya 30 na watu kukosa uvumilivu wa kusubiri ,kila saa kejeli matusi na maneno mengi na lawama kwa msimuliaji
Mwisho akaona mambo yasiwe mengi ngoja aturidhishe .
Ndio maana akajitahidi kadri awezavyo akaandika ndefu na kubananisha mambo ndio maana anasema na amesha tekeleza atatupa Kama nyongeza ya namna mambo yalivyo endelea hivyo hii nyongeza ingewea kuwa Episode
Lingine angalia hii stori ni ya mwaka Jana mpaka mwezi wa tisa Kama sikosei Kuna zaidi ya Mwaka hapa hajatuwekea maisha yalisongeje .

Tutambue kuwa kwa Sasa majukumu ya Insardeman ni Mengi zaidi na siyo mtu wa kubweteka hivyo ndio maana story ilikuwa inachelewa na pia ndio sbb ya kufupisha ili amalizana nasi ,tofauti na hapo tungekuwa na subiri bado tungekuwa tunapata utamu[emoji2][emoji2][emoji2]
Yote kwa yote Asante mweshimiwa Insairdearman kwa story nzuri na kutokata taamaa kwani makwazo yalikuwa mengi ukitegemea kwa Sasa mambo ni [emoji91] na ulikuwa huna cha kupoteza Asante pia wasomaji na hasa waliokuwa na utulivu,na zidi Sana msimuliaji wetu, Asante Sana Sana ndugu
Niwatakie kila lililo jema wewe na Familia yako /zako pia katika miangaiko yako.
 
Ila Maguire hauchoki kutoa maboko mzee. Sasa demu umemkaza, na una uhakika umemkaza vizuri, unamtongoza ili iweje tena kaka?

Yani baada ya kushinda uchaguzi, ndio unaanza kupiga kampeni?

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kwa nyongeza wewe jamaa unapenda Sana watoto ,ukichukulia kipindi cha ujauzito wa priska ikaja ya Iryn na j wako hakika upo vizuri hongera Sana kwa hilo hapo umenikosha nami nipo hivyo hivyo linapokuja swala la Mtoto ni heri nipoteze vyote ata ndoa
Una Elements za kichaga kwani wanapenda watoto damu yao
 
EPISODE 65
“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

TULIKOISHIA
Na mimi niliondoka pale nimemuacha amekaa kwenye coach na nilisikia akiniita na mimi hata sikuwa na habari naye. Baada ya kufika parking sikutaka kupoteza muda niliwasha gari na wakati natoka pale getini kwa upande mwingine nilimwona ametoka pale nje lakini alikuwa kachelewa tayari na niliondoka kwa kasi sana.

ENDELEA….

Niliwaza kwenda kuonana na Lucy muda huu maana alikuwa ameomba sana tuonane lakini sikuweza kwenda, sababu nilikuwa nakwenda Mlimani city kwaajili ya kununua mahitaji ya nyumbani niliona nipitie pale ofisini ili tuonane. Kwa upande mwingine Iryn alikuwa akinipigia sana simu na mimi sikutaka kupokea simu zake kabisa.

Baada ya kuwasili pale ofisini nilimkuta Lucy bado hajatoka na alikuwa anaweka mambo sawa, hivyo alivyoniona alifunga ofisi na tukaanza safari. Wakati na drive gari macho yote yalikuwa kwangu afu nikimtizama alikuwa anatabasamu,

MIMI: “Lucy vipi mama naona unafuraha sana, leo deal zimetema nini? na mimi unipe mgao wangu.?”

LUCY: “Insider mimi nakuangalia afu nawaza the way unavyowateka warembo wakali, leo nimeshinda na Bossy ofisini ana furaha sana, japo hutaki kunambia ukweli lakini naamini umemt*mba ile siku.”

MIMI: “Hahahaa Lucy unanifurahisha sana kwanza unajua nilimtongoza afu akanitolea nje?”

LUCY: “Safi sana umefanya jambo la maana sana hata kama amekataa kwasasa utakuwa huru na umeweka green light ya yeye kujileta kwako maana wewe ushamwambia ukweli.”

MIMI: “Eti anasema mimi na mke hawezi kukubali kuwa mchepuko kwani ameachana na Grizz kwa sababu hii.”

LUCY: “Insider Iryn anakupenda sana ni vile hataki kujirahisisha kwako na mimi nilikushauri ufanye hivi ili maamuzi yabaki kwake. Mimi nakushauri kwa sasa mind your business ikiwezekana acha hata mazoea na mademu wa ofisi zote.”

Kwa upande mwingine simu ya Lucy ilianza kuita na baada ya kuitoa kwenye mkoba wake alinambia ni Iryn anapiga

“Insider Iryn anapiga simu”

Kwa upande wangu nilijua lazima anampigia simu Lucy sababu ya lile sakata la muda mfupi uliopita wala sio kingine, na mimi nilimwambia Lucy aweke loudspeaker,

LUCY: “Hi Bossy.”

IRYN: “Lucy upo wapi?”

LUCY: “Niko hapa Mwenge mataa ndo naelekea home.”

IRYN: “Okay unaweza kuja hapa kwangu now? please nitakurudishia gharama za usafiri.”

Ilibidi nimuoneshe ishara Lucy ya kukataa maana nilijua anachomuitia,

LUCY: “Bossy umepata matatizo? maana huu muda ni wa kwenda kuonana na mama kabla hajalala.”

IRYN: “Am not in trouble but kama unawahi kwa mama it’s okay.”

LUCY: “Shida ni nini?”

IRYN: “Insider amefound out nilikuwa namspy kule Masaki kupitia Rebby hata sijui amejuaje na nimempigia simu Rebby anasema Insider aliomba simu yake ndo akaona chats zetu. Insider amekuja kwangu sio muda mrefu amegomba sana na sijawahi kumuona akiwa na hasira kama leo, mpaka nimeogopa.”

LUCY: “Pole sana lazima angemind, mimi nitakuja kesho tuongee mapema sana ili tuyamalize ila muombe msamaha kwa hili hata mimi ningejisikia vibaya..”

IRYN: “Hapokei simu zangu naomba umwambie apokee niongee naye.”

Baada ya Iryn kukata simu kwa upande mwingine Lucy ilibidi aanze kuniuliza maswali kuhusu kilichotokea. Kwa upande wangu nilimwambia mkanda wote kuhusu kilichokuwa kinaendelea, hata Lucy naye alishangaa kusikia haya.

LUCY: “Insider unaonaa, nikikwambia Iryn anakupenda wewe mbishi, tena this time kapagawa kabisa.”

MIMI: “Lucy nakudrop hapa, mimi naingia ndani Mlimani city kununua mahitaji ya nyumbani.”

LUCY: “Usije ukawa una mchepuko huko unakwenda onana naye, subiri nikupe mgao wako”

MIMI: “Wow thank you umejuaje sina hela leo?”

LUCY: “Laki 3 hizo na kesho lile deal linaweza kutiki hivyo nitakujulisha.”

MIMI: “Sawa mummy.”

Tuliagana na Lucy pale na mimi niliingia ndani Mlimani city kununua mahitaji maana toka tuhamie makazi mapya sikuwai kununua mahitaji yoyote wife alikuwa hayupo, nilijikuta mpaka dawa ya meno imeisha ndani.

Nilitumia kama nusu saa pale Mlimani city na niliondoka maeneo haya kurudi home. Baada ya kurudi home kwa Upande mwingine niliwasiliana na mama wa2 na alikuwa ananikumbusha kuwa kesho anahamia kwenye kibanda chake hivyo niandae usafiri mapema na pia niwahi kwenda kumkampani. Kwa upande mwingine Iryn alikuwa akipiga simu sana lakini sikuwa napokea wala kureply text zake na nikaamua kumtia block kama yeye alivyonifanyia.

Tangu mama wa2 achukue emergence ofisini kwaajili ya kukamilisha zoezi la uhamiaji katika nyumba yake mpya, na mimi kwa upande wangu ratiba za asubuhi zilibadilika. Nilikuwa naamka saa 12 asubuhi nakwenda jogging maana ratiba za kumchukua mama wa2 ile asubuhi zilikuwa zimekufa hivyo sasa nilikuwa huru kufanya jogging na mazoezi.

Baada ya kutoka jogging nilijiandaa nikapata breakfast na nikaanza safari ya kwenda mzigoni kufanya majukumu yangu ya kila siku. Baada ya kuwasili Masaki nilipark gari nikaingia ndani na niliwakuta dada wakifanya usafi pale reception na mimi niliwasalimia nikaenda moja kwa moja ofisini kwenda kuangalia ripoti kama Asmah alituma.

Wakati naendelea kukagua ripoti kwa upande mwingine Asmah naye aliwasili hivyo alikuja ofisini kwangu na kwa upande wake alionekana kuwa na furaha sana.

MIMI: “Nambie dear wangu nakuona unafuraha sana.”

ASMAH: “Insider nilikuwa nina wasiwasi juu yako kumbe hamna mahusiano yoyote ya ki mapenzi na Iryn.”

MIMI: “Wewe nani kakwambia haya?”

ASMAH: “Rebby jana kaniomba msamaha ndo akanambia haya.”

MIMI: “Ni Kweli hatuna mahusiano yoyote dear.”

ASMAH: “Sasa mbona Bossy anakuwa na wivu juu yako.?”

MIMI: “Tuachane na haya Asmah, ndomana unafuraha sana?”

ASMAH: “Sasa mbona hukuwahi nambia kipindi chote hiki.?”

MIMI: “Sababu hukuwahi kuuliza, tuachane na haya nipe Slip kama hujaingiza bado nipe pesa nikaweke bank.”

ASMAH: “Nimeshaingiza uwe unaangalia whatsapp zako maana hata ukitafutwa hureply.”

MIMI: “Sorry jana ilikuwa busy day.”

Niliondoka pale Masaki na nilikwenda moja kwa moja mpaka Mikocheni na baada ya kuwasili pale sikumkuta Lucy na mimi nilijua lazima atakuwa kwa Iryn na sikutaka kumpigia simu. Nilikwenda ofisini na nilikuta pesa za mauzo zipo kwa droo na mimi baada ya kujiridhisha na mazingira ya pale niliamua kuondoka kwenda kuweka pesa then niende kwa mama wa2

Saa 6 mchana nilikuwa tayari nimewasili kwa mama wa2 kwa upande mwingine alikuwa ameshapanga vitu tayari kwaajili ya kuhama na alikuwa na rafiki yake pale wakisaidiana. Baada ya kuniona aliishia kufurahi na tulianza maongezi pale,

MAMA WA2: “Insider nataka uanze kupeleka baadhi ya vitu kule Madale na vitu vingine vidogo kwaajili ya usalama.”

MIMI: “Usijali ndomana nimekuja mapema sana afu navyotoka huko nitapitia pale shule kutafuta mtu wa canter nafikiri litatosha.”

MAMA WA2: “Na wewe utanichaji kiasi gani? Si unaona vitu vingi? utakuwa na root nyingi sana leo.”

MIMI: “Wewe nijazie mafuta full tank na nihakikishie lunch ya uhakika kuhusu malipo potezea.”

MAMA WA2: “Mhh Ahsante mkwe.”

Nilianza kazi ya kubeba vitu na kupeleka Madale na wakati narudi nilipitia Mbezi shule kutafuta usafiri na nilipata Canter kubwa ambayo ingebeba vitu vyote kwa wakati mmoja. Mpaka saa 12 jioni tulikuwa tumekamilisha kila kitu. Kwa upande wangu sikutaka kuendelea kubaki pale na nilimuaga mama wa2 naondoka. Kwa upande wake alinishukuru sana kwa kumpa kampani na nilimtakia kila la kheri kwenye maisha mapya ya nyumba yake.

Niliondoka Madale na kurudi home ukweli nilikuwa niko hoi sana hivyo baada ya kuwasili home niliingia bafuni kuoga. Baada ya kuoga muda huu niliingia jikoni kupika, kwa upande mwingine Lucy alinipigia simu na baada ya kupokea tulianza mazungumzo,

MIMI: “Mambo Lucy.”

LUCY: “Freshy Insider upo wapi?”

MIMI: “Niko home tu, nilipita asubuhi hukuwepo sijui ulikuwa wapi.”

LUCY: “Nilitoka kidogo, sasa nahitaji kuonana na wewe please.”

MIMI: “Lucy mimi napika hapa sidhani kama itawezekana kwa leo, kwanza nimechoka tufanye kesho asubuhi.”

LUCY: “Nielekeze unakokaa nije kama umebanwa ni muhimu sana ndomana.”

MIMI: “Huwezi kuongea kwa simu?”

LUCY: “Ndomana nikaomba tuonane Insider kama hutojali nitumie location nije chap.”

MIMI: “Sitaki uje maana utanitia nyege tu huku.”

LUCY: “ Insider acha utani niko serious ujue.”

MIMI: “Ok nakutumia kwa Whatsapp soon.”

Baada ya kukata simu nilimtumia location kwa whatsapp na mimi niliendelea kupika pale jikoni.

Baada ya nusu saa simu yangu ilianza kuita tena na alikuwa ni Lucy na nikapokea,

LUCY: “Insider nimeshaingia mtaa wenu nitajie house namba.”

MIMI: “Ok house No.09 gate la kijivu.”

LUCY: “Ok soon niko hapo.”

Baada ya dakika 3 alinipiga simu tena na kunipa taarifa kuwa amefika yuko nje getini hivyo nitoke.

Na mimi nilitoka kwenda kufungua geti na baada ya kucheki niliiona gari Audi ikiwa imesimama pembeni getini na mimi nikajua Lucy kaamua kuja na Iryn. Kwa upande wangu nilislide gate ili waingie ndani na gari iliingia ikapark pale uwanjani lakini nilishangaa kuona Iryn akishuka pake yake na alikuwa amewaka sana. Iryn nguo zake nyingi ni pensi za kombati zenye mifuko pembeni na long sleeve tops.

Tulisalimiana na mimi nilimkaribisha ndani kwa upande mwingine jirani yangu wa pembeni alikuwa ametoka nje na dem wake tukawasalimia pale,

JIRANI: “Kaka habari nyie ndo mmeingia hapa?”

MIMI: “Ndio Brother nina mwezi tayari sema hatuonani majirani.”

JIRANI: “Karibuni sana majirani hata sisi hatuna muda sana hapa na tumepishana kidogo tu.”

MIMI: “Ahsante sana kaka itabidi tubadilishane namba just incase of anything.”

JIRANI: “Yeah sure nipe yako.”

Baada ya kubadilishana namba tuliingia ndani kwa upande mwingine walikuwa wanamshanga sana Iryn.

Ukweli kuwa karibu na Iryn kumenipa sana heshima hasa hapa mjini Dar kwa wanawake na wanaume. Wahuni kibao huwa wananifuata wananisifia kuwa na pisi kali mpaka mademu nao huwa wananipa sifa. Kuna stage mpaka wanauliza nimempataje maana ni kama zali la mentali. Nikiingia maeneo ni heshima, niliamini hapa mjini ili uheshimike kuwa na kitu cha utofauti na wengine kama pisi kali na Pesa bhasi utaheshimika sana.

Tuendelee na story, muda huu Iryn alikuwa anashangaa sana mazingira ya pale seblen na alianza kuzishangaa picha za Junior, zilikuwa ni mpya nzuri ambazo mama yake alizitengeneza zenye ukubwa tofauti wa A4 na A3 na alikuwa amezipanga vizuri sana.

IRYN: “Insider Hii picha ya Junior nimeipenda sana can I have it?”

MIMI: “Achana na picha za Junior niambie kilichokuleta hapa kwangu ni nini?, si unaona mama J hayupo kuendelea kukaa na wewe hapa muda mrefu kutaleta picha mbaya.”

IRYN: “Okay Insider I’m really sorry for what happened.”

MIMI: “Alright kilicho nikera mimi ni wewe kunispy afu umejazwa maneno ya uongo na wewe unaamini, nataka leo niprove kwako mimi sijafanya chochote na Sumaiya.”

IRYN: “Insider kwamba nothing happened? haimake sense.”

MIMI: “Angalia chats zake za jana hizi”

Na muda huu nilimuonesha chats zangu na Sumaiya baada ya kutoka kwa mama Janeth, Sumaiya alikuwa anataka anitunuku pussy kama ahsante lakini mimi nilikuwa namtolea nje.

Na texy yake ilisomeka hivi,

SUMAIYA: “Insider thank you, shida yako kila nikitaka nikupe coochie unakuwa unaringa, wewe mwanaume unanipaga maswali sana, hii jeuri unaitolea wapi.?”

“Hapo sasa umeamini mimi na Sumaiya hakuna tulichofanya zaidi ya utani, na kama hujui vingi alikuwa anafanya mbele yako kwa makusudi maana anajua unanipenda.”

Kwa upande wa Iryn alikuwa kimya sana na hakuwa na cha kuongea kabisa na aliishia kuniangalia tu pale na mimi niliendelea kuongea.

“Mimi nimekusamehe, wanaume huwa hatuweki vitu moyoni nakuchana yanaisha. Twende jikoni ukanisaidie kutengeneza juice.”

Tulikwenda jikoni na yeye kwa upande wake alinisaidia kutengeneza juice ya nanasi na tulipata dinna ya pamoja. Baada ya dinna tuliendelea kuongea pale seblen na kubwa alisema october anakwenda South Africa kuendelea na masomo na mimi nilimwambia ijumaa nitakwenda Dodoma.

IRYN: “Insider huko Dodoma kuna nini eti?, tutakwenda wote this time ili nikaijue Dodoma sijawahi fika.”

MIMI: “Mummy mimi nakwenda na gari hii safari ndefu sana wewe pumzika jiandae na shule.”

IRYN: “Nikiangalia hapa nauli ya Dodoma kwa flight ni 230,000/= ukitumia gari cost zinakuwa kubwa na unachosha gari, tutakwenda na flight.”

MIMI: “Mimi sina nauli ya ndege na ninakwenda na gari najua sitakosa vichwa njiani na pia nataka kuipima perfomance ya gari barabarani haijakwenda masafa marefu.”

IRYN: “Nauli nitalipa mimi mpaka hotel, wewe nisaidie hotel gani nzuri kwa kule.”

MIMI: “Hotel nzuri kwa Dodoma ni Morena Hotel ni ya level zako.”

IRYN: “Ok niachie mimi nitafanya booking mapema.”

Kwa upande mwingine sikutaka kumkatalia niliona busara kwenda naye ili akaijue na Dodoma. Tuliendelea kukaa na Iryn mpaka saa4 usiku ndo aliondoka lakini wakati anaondoka aliiomba picha ya Junior ambayo ilikuwa seblen na mimi nilimpa ili aridhike.

Baada ya Iryn kuondoka nilimpigia simu Lucy na ilibidi nimuulize ilikuwaje wakatengeneza ile movie?. Kwa uaonde wake Lucy alicheka sana na alinambia alitaka kunikutanisha na Iryn ili tuyamalize sasa baada ya kumwambia siwezi bhasi Iryn akamwambia aseme anakuja kwangu ndo yeye akaja. Tuliishia kucheka na mimi nilimwambia tumeyamaliza kwasasa na pia nimeweka heshima tayari na tukaagana. Actually nilitaka Iryn aingie kwenye mfumo wangu hata kumvimbia nilikuwa na pretend nione reaction yake.

Alhamis mchana nilikwenda kwa Jane ili kujua afya yake kabla sijaondoka na pia kuzungumza jambo lake alilotaka kunambia ile siku. Kwa upande mwingine nilikuwa namuangalia Jane kwa jicho la pekee sana maana nilikuwa nakazi kubwa sana ya kuhakikisha usalama wake.

Baada ya kuwasili pale Mbweni niliingia seblen moja kwa moja maana pale mimi ni kama home, kwa upande mwingine Jane alikuwa jikoni anapika na mimi niliamua kwenda hukohuko.

Kwa upande wangu nilishangaa kumuona akipika peke yake pale Jikoni na ilibidi nimuulize kwanini anapika na hali yake ilivyo?. Jane alinambia akina Vicky wamekwenda sokoni kununua chakula cha mbwa maana wanakula sana kama mchwa.

Muda huu na mimi niliendelea kumsaidia baadhi ya kazi huku tunapiga story na kubwa nilimwambia lengo la kwenda kwake ni kumuaga sababu nina safari ya kwenda Dodoma ijumaa. Kwa upande wake alisema hakuna jambo lolote kama Mbwa Vicky yuko vizuri na amewa-masta na mimi nilimshauri na yey awe anacheza nao ili wamzoee.

Tuliendelea kuongea mambo mengi na pia nilimpa gharama za ku import Ist kutoka Japan maana sikutaka kwenda showroom. Nilimwambia gharama za kuimport Ist ni 15 million na gharama za kupimp gari pamoja na Bima ni 2million hivyo jumla ni 17million. Kwa upande wake hakuwa na tatizo na alisema atanikabidhi pesa nikirudi kutoka Dodoma.

Kwa upande mwingine ilibidi nimkumbushie lile jambo alilotaka kunambia ile siku,

MIMI: “Shem ulikuwa na jambo gani ile siku?”

JANE: “It’s crazy but kuna jambo unatakiwa ulifahamu kuhusu best yako Mary.”

MIMI: “Nambie Mary kafanyaje tena.”

JANE: “Unajua Mary kwangu ni kama mdogo wangu na ni rafiki yangu kwasasa na anakuja sana hapa home hata jana tulikuwa wote ananifundisha kuendesha gari.”

MIMI: “Mary anajua kudrive kumbe? Sijawai fahamu hili kwakweli. Umepata best mzuri.”

JANE: “Nisikilize sasa Insider, Mary anakupenda sana hujui tu. Mpe mtoto wa watu anachotaka, sitaki kuona mdogo wangu anakosa raha kwaajili yako.”

MIMI: “Ndo amekutuma uyaseme haya kwangu.?”

JANE: “No hajanituma ila katika maongezi yetu nimejua anakupenda japo hataki kufunguka direct, na nilimwambia una mke.”

MIMI: “Hahahaa sawa bhana ila kuna kitu bado hajakwambia, mimi nimetoka na mdogo wake na tumeachana juzi hapa. Nimetoka na mdogo wake then nidate na yeye haitakuwa sawa hata yeye sidhani kama yuko tayari kwa hili.”

JANE: “Insider wewe ni hatari kumbe umelamba mpaka mdogo wake aisee hii hatari, wewe mle tu aridhike sio lazima mdate…., naona anakitu moyoni juu yako.”

MIMI: “Mmhh wewe endelea kubashiri tu ila Mary anajielewa sana.”

JANE: “Mwanamke akikupenda hata awe smart kiasi gani anakuwa fala tu, afu yule nyege zinamsumbua namwona anakiu sana ya kusuguliwa, kanambia ana mwaka hayuko kwa mahusiano.”

MIMI: “Hajataka tu ila kwa uzuri alionao hawezi kosa mtu wa kuwa naye.”

Kwa upande mwingine akina Vicky walikuwa wamerudi kutoka sokoni sasa vicky alivyoniona jikoni alinipiga na teke la kichokozi na akaondoka. Nafikiri Vicky hakujua kama dada yake yuko jikoni na Jane alinipiga jicho akaishia kutikisa kichwa cha kusikitika na akacheka.

JANE: “Dogo langu naye ameshazama mazima nazionaga movement zake Kwako.”

MIMI: “Hahahaa Vicky ni charming tu anapendaga matani tu.”

JANE: “Kwamba wewe unamjua Vicky kuliko mimi.?”

MIMI: “Pia kuna vitu kwako anahide kuliko akiwa na mimi, niseme namjua kiasi chake.”

Nilishinda na Jane pale mpaka jioni na pia niliwaogesha mbwa na nikawaaga naondoka, kwa upande mwingine Jane alisema akijifungua anategemea kuanza kufanya biashara.

*******
Ijumaa ilikuwa safari ya kwenda Dodoma na tulikuwa tunatarajia kuondoka na ndege ya saa 10 jioni. Kwa upande mwingine nilifanya mawasiliano na wife ili kumpa taarifa ya kwenda Dodoma na kwa upande wake alinisisitiza sana niangalie maendeleo ya maua yake.

Saa 6 mchana mapema nilimpitia Iryn pale kwake na alikuwa amejiandaa tayari na tukaanza safari ya kwenda JNIA na tulirequest bolt ya kutupeleka. Ofcourse tulifika mapema sana Terminal 2, hivyo tulikaa pale BAO cafe tukiendelea kupoteza muda huku tunakula bites na tulikuwa tunapiga sana story,

IRYN: “Hivi Insider mpaka sasa umefanya jambo gani la maendeleo?”

MIMI: “Kitendo cha kukuvua chupi kwangu mimi ni maendeleo makubwa sana.”

Iryn alicheka kwa nguvu sana mpaka akapaliwa na juice aliyokuwa anakunywa mpaka watu ilibidi wageuke maana kicheko kilikuwa kikubwa na sauti yake nzuri.

IRYN: “Insider wewe ni mshenzi sana hilo kwako ndo maendeleo?”

MIMI: “Sasa nitakuja kupata mwanamke mzuri kama wewe lini? maana wewe ulinipa bure lakini wengine watataka pesa.”

IRYN: “Be serious umefanya jambo gani?”

MIMI: “Utaona kesho kwa macho yako mwenyewe ndo linalo tupeleka huku Dodoma.”

IRYN: “Sawa Baba Junior afu babe wangu anarudi lini? nime mmiss sana kwakweli.”

MIMI: “Yuko uchagani huko atarudi tu, nafikiri by next week. Umepata room? maana ukikosa mimi nitakulaza vichochoroni.”

IRYN: “Haina shida hata huko tunalala wote.”

Muda ulivyowadia tulikwenda kucheck-in kwaajili ya kuanza safari ya kwenda Dodoma na tuliwasili Dodoma saa 12 jioni. Baada ya kuwasili pale Airport ilibidi tutafute usafiri wa kutupeleka hotelini,

IRYN: “Insider request usafiri wa kutupeleka Nashera Hotel, Morena nilikosa rooms.”

MIMI: “Na hii hotel umeijuaje?”

IRYN: “Booking.com.”

Baada ya dakika chache bolt alikuwa amefika na alitupeleka mpaka hotelini, kwa upande mwingine tulipokelewa vizuri sana na Iryn alijitambulisha pale reception na baada dakika kadhaa tuliongozana na mhudumu mpaka room.

DADA: “Rooms zote ni sawa sasa sijui maamuzi yenu.”

Iryn alimkatisha dada na maongezi yake, na mimi muda huu nilikuwa bado nashangaa kuona Iryn amebook rooms mbili za kulala, yaani kila mtu na yake.

IRYN: “Dada wewe nenda sisi tumefika tayari.”

Na dada aliondoka pale na alionesha tabasamu kubwa sana kwa Iryn, kwa upande wangu nilikuwa nimemind sana.

MIMI: “Kwanini umebook rooms mbili?, si unachezea hela tu.”

IRYN: “Yeah kwani kuna shida gani kila mtu kulala room yake. Why are you mad?”

MIMI: “Sawa bossy lady mimi sina neno.”

IRYN: “Kuwa na amani, weka bag tupumzike badae tukale dinna, ndomana nilikwambia hili suala niachie mimi.”

Kwa upande wangu nilimind sana maana nilikuwa nawaza kuila coochie yake ofcourse nilikuwa frustrated sana, tangu niko kwenye ndege nilikuwa naiwaza coochie yake na nilikuwa nimempania sana, lakini alinipiga na kitu kizito sana.

Baada ya kuingia ndani niliwasiliana na Mzee Mollel maana alisema nikiwasili Dodoma nimpe taarifa na lengo lake kubwa ni kunikabidhi nyumba, baada ya kuongea na Mzee Mollel tulikubaliana tuonane Jumapili. Niliwasiliana pia na Aggy na yeye nilimpa taarifa niko Dodoma na kwa upande wake alitaka kuniachia gari yake lakini nilimkatalia.

Saa 2 usiku Iryn alinipigia simu nitoke ili tukapate dinna na tulikwenda restaurant ya palepale hotelin kupata msosi. Mhudumu alikuja kutusikiliza na kila mtu aliagiza chakula anachotaka na tukaendelea na maongezi pale,

IRYN: “Insider kumbe Dodoma kuna baridi hivi?”

MIMI: “Sorry nilisahau kukwambia ubebe hata sweta, nitakupa prova yangu uvae.”

MIMI: “Na wewe utavaa nini?, hakuna duka jirani tukanunue?.”

MIMI: “Hali ya hewa ya huku nimeizoea usiwe na wasiwasi, kesho tunanunua.”

IRYN: “Kesho tunaondoka sangapi?”

MIMI: “Saa 4 asubuhi mummy.”

Baada ya kupata dinna nilijaribu kumshawishi Iryn tunywe wine na lengo langu impe nyege lakini alinigomea kabisa na alisema hajisikii kunywa na mpango wangu ukawa umefeli.

Baada ya kupata dinna tuliongozana mpaka chumbani kwake na tulikuwa tumekaa kwenye coach na muda huu alikuwa ananionesha picha zake za simu. Ofcourse picha zake zilikuwa zinasimumua sana ukiziangalia maana kuna ambazo alikuwa anapiga yuko swimming pamoja na video, zingine alikuwa anajichukua akiwa anacheza.

Muda huu mimi mawazo yangu kichwani yalikuwa yanawaza kumla tu wala sio kingine hata mnara ulikuwa upo active muda sana. Nilianza kumfanyia kashikashi pale kama kumchezea kiuno chake lakini kila nikipandisha mkono kumshika boobs zake alikuwa anakaza.

IRYN: “Insider stop this, It's not going to happen again". What happened that day was an accident.”

MIMI: “I don’t trust you, Ingekua accident usingetoa kelele za mahaba kama zile.”

IRYN: “Remember I told you, mama Junior ni rafiki yangu wa karibu na nina muheshimu sana ile siku hata sijui ilikuwaje tukasex.”

MIMI: “Acha unafiki wako hapa, umeshatembea na mme wake afu unaanza kuleta habari za heshima sahivi?, bado itabaki mimi na wewe tume-sex iwe mara moja au mara 100 ukweli ndo huu. Acha mimi niwahi nikalale kesho saa 4 asubuhi tutakwenda huko Makulu then tutamalizia na Iyumbu.

Niliondoka kwenda room yangu, ukweli nilikuwa nimefura sana muda huu hata sikuelewa kwanini Iryn anakaza coochie yake namna hii, nilishangaa sana.

Mary alinipigia simu muda huu na alinilalamikia sana kwanini nimekwenda Dodoma bila kumpa taarifa? na mimi nikaelewa Jane atakuwa kampasha habari. Kwa upande mwingine alilamika nimemchunia sana kipindi hiki tangu niachane na Prisca nimekuwa sina time naye na mimi nilimwomba msamaha nikamuahidi kumtafuta nikirudi Dar.

Saa 4 asubuhi baada ya kupata breakfast tulindoka kwenda Makulu mpaka site, kwa upande wake Iryn alikuwa na shauku sana ya kujua ni jambo gani ambalo lilinileta huku. Baada ya kuwasili pale site nilifungua geti tukaingia ndani na ukweli nyumba ilionekana kung’aa sana na ilipendeza balaa,

MIMI: “Bossy hii ndo project yangu na niliianza muda sana hata kabla hatujafahamiana.”

IRYN: “Really? Is this your house?”

MIMI: “Ndio mummy ila na madeni balaa, mshahara wote naopata nalipa mikopo.”

IRYN: “Congratulations umenifurahisha sana kwahili, I’m really proud of you.”

MIMI: “Thank you so much.”

Kwa upande wake alifurahi sana na tuliingia ndani kukagua kwakweli Mzee Mollel alikuwa amefanya kazi kubwa sana afu nzuri hata Iryn alisifia kwakweli. Tulitumia kama lisaa pale na tukaondoka kwenda Iyumbu kwenda kuangalia kiwanja.

Baada ya kuwasili pale pia nilimwambia Iryn hii nayo ni project yangu na yeye aliishia kushangaa sana. Na pia nilipanga kupanda miti kuzunguka mipaka ya kiwanja,

MIMI: “Mummy leo utanisaidia kupanda miti.”

IRYN: “Miti yenyewe iko wapi?”

MIMI: “Tunakwenda kununua barabarani hapo.”

Nilitafuta mtu wa kuchimba mashimo na sisi tulikwenda kununua miti na palepale tulikonunua miti tulipata na mbolea. Baada ya kurudi kwa upande mwingine tulikuta jamaa ameshamaliza kuchimba mashimo na tulianza kupanda miti.

Wakati zoezi likiendelea kwa upande wa Iryn alianza kupiga kelele kama mtoto na mimi ilibidi nisogee,

IRYN: “Insider nimejichoma na mwiba.” Na alikuwa akitoa sauti ya kudeka,

MIMI: “Pole mummy mpaka turudi Dar utakuwa umefubaa sana hii ndo Dodoma hakunaga warembo huku kabisa, hali ya hewa ya huku haipatani na warembo.”

Ilibidi na jamaa aanze kucheka muda huu,

MIMI: “Kaka uongo? na mfundisha mama maisha hapa si unaona mtoto laini bado ngozi yake haijazoea shida kama sisi.”

JAMAA: “Kweli kabisa hata hivyo una mke mzuri sana.”

MIMI: “Ahaste sana kwa kulitambua hili ndugu yangu, si unaona amefurahi mwenyewe kusifiwa.”

IRYN: “Insider stop this.” Na aliishia kunipiga na ngumi ya mgongo.

Muda tuliotumia Iyumbu ni kama masaa 4 mpaka tuna maliza kupanda mitu na pia nilimpa kazi jamaa ya kumwagilia maji ile miti.

IRYN: “Kaka hakikisha hii miti haikauki sawa?”

JAMAA: “Msijali mabosi zangu kila kitu kitakuwa sawa.”

Na sisi tuliondoka maeneo haya na tulirudi hotelini, kwa upande wa Iryn alionekana kuchoka sana hata tulivyofika hotelini alikwenda moja kwa moja room yake hata hamu ya kula hakuwa nayo.

Saa 2 usiku nilimpigia simu tukapate dinna pale Golden fork lakini alisema amechoka sana hawezi kwenda ila tutatoka kesho, hivyo tuliamua kwenda kula palepale hotelini. Wakati tunakula Pale kwa upande mwingine Bossy lady alionekana kuchoka sana, si mnajua jua la Dodoma linavyochosha,

“Mummy umechoka sana.”

Aliniangalia na akatikisha kichwa kukubaliana na kauli yangu, ukweli alipiga sana kazi hii siku kwa mwanamke ambaye hajazoea hii mikiki lazima apoteane. Ukweli Iryn anabadilika kutokana na mazingira na hanaga ile ya kujionesha kwamba yeye anapesa au ni mzuri hanaga hizi tabia.

“Pole sana, niagize wine?”

“No hata sijisikii kunywa, nipeleke nikalale.”

“Ok lets go.”

Tuliachana pale na mimi niliingia room yangu na muda huu niliwaza nitoke hata out nikapoteze muda kama usingizi nilikuwa sina. Saa yangu ilikuwa inasoma saa 3 usiku hivyo nilibadilika chap sana na nikaondoka kwenda Bambalaga.

Sikutaka kumwaga Iryn maana nilijua atakuwa amelala tu hivyo niliondoka kimya kimya mpaka Bambalaga. Kwa upande mwingine niliwaza kumpandia Maggy lakini niliona itakuwa ni bad idea maana sikumpa taarifa kama niko mjini. Na baada ya kuwasili pale Bambalaga nilikuta kuna watu wengi tu, hivyo nilipiga jicho angle zote nikapata sehemu nzuri ya kukaa lakini kulikuwa na dada yuko peke yake.

Nilisogea mpaka kwenye ile meza nikamsalimia yule dada na mimi nikakaa na niliagiza heineken kama kawaida yangu. Niliendelea kumjasusi dada ili story ziwe zinaendelea na alikuwa anatoa ushirikiano sana na story ziliendelea kukolea pale.

Baada ya lisaa kupita simu yangu ilianza kuita na Iryn ndo alikuwa akipiga muda huu lakini sikupokea simu yake sababu ya kelele. Na palepale nilimtumia ujumbe kwa haraka,

“Mummy niko kwenye kelele unasemaje?”

Alipiga tena simu ikabidi nipokee hivyo hivyo kibishi lakini tukawa hatuelewani vizuri na palepale akanitumia ujumbe,

IRYN: “Insider sikuelewi kwani uko wapi?.”

MIMI: “Nimetoka out mummy sikutaka kukusumbua kwasababu ya uchovu.”

IRYN: “Upo na nani?”

MIMI: “Niko peke yangu hapa.”

IRYN: “Nitumie location ulipo I am coming.”

MIMI: “No, wewe pumzika mimi narudi sio muda.”

IRYN: “Sikuelewi ujue mimi niko sawa send me the exact location.”

MIMI: “Okay request bolt ikulete BAMBALAGA, ndo niko hapa.”

Baada ya dakika 20 Iryn aliwasili pale na mimi nilimtuma mhudumu anisaidie kumfuata na amlete nilipo, baada ya dakika chache alikuwa amemleta na kwa upande wake aliagiza wine. Kwa upande mwingine yule dada aliishia kumtazama Iryn kwa macho ya kiwizi wizi sana maana hakuamini kama ninamiliki mrembo mkali kama yule. Kama mnavyojua Dodoma hakuna warembo kabisa, mtu kama Iryn akionekana anakuwa kivutio sana machoni pa watu.

Kwa upande wa Iryn alikuwa bado haelewi kinachoendelea pale na alihisi yule dada nimekuja naye maana tuliendelea kupiga story na yule dada kama kawaida, lakini nilimwambia IRYN tumekutana palepale.

IRYN: “Insider huyu dada ni nani? ndo umekuja naye.?”

MIMI: “Hapana mimi ndo nimemkuta hapa ndo nikajoin”

IRYN: “Mara hii mmezoena tayari kwa muda mfupi?”

MIMI: “si unajua Bar ndo sehemu ambayo inawakutanisha watu mbalimbali tofauti na mnavibe?”

IRYN: “Bila mimi kuja najua ungeondoka naye tu.”

MIMI: “Acha kunichukulia cheap sana, wewe unaona huyu dada wa kulala na mimi?”

Kwa upande mwingine pale Bambalaga niliweka heshima maana kila mtu aliyekuwa around alikuwa anamuangalia Iryn, japo yeye alikuwa ameshazoea hii hali na alikuwa anaona kawaida tu, hata mimi kwa upande wangu nilikuwa namwona Iryn wa kawaida tu maana nilikuwa nishazoea kuwa naye.

Saa 6 usiku nilimwambia Iryn tuondoke na yeye kwa upande wake alikuwa amekunywa wine nusu tu. Nilifanya malipo na kabla hatujaondoka nilimwaga dada na nilimshukuru kwa kampani yake na sisi tukaondoka kurudi hotelini.

Baada ya kuwasili hotelini kila mtu alikwenda room yake na mimi kwa upande wangu sikutaka kumlazimisha alale na mimi maana niliwaza mpaka amebook vyumba 2 ni kweli amemaanisha hivyo sitakiwi kutumia nguvu kwenye hili jambo na niwe mpole tu.

Muda huu nilichukua laptop yangu na nikaanza kuandika mkataba wa kupangisha nyumba na plan zangu zilikuwa navyoondoka Dom niwe nishapata hata wateja wa kuingia pale nianze kupata hela.

Wakati nikiendelea kuwa busy na laptop yangu kwa upande mwingine nilisikia mlango unagongwa kwa mbali hivyo ilibidi nisogee nikafungue, na kabla sijafungua ilibidi niulize nani, na kwa mbali nilisikia sauti ya Iryn.

EPISODE 66[emoji116]
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
65
 
EPISODE 66
BY INSIDER MAN

PREVIOUS
Wakati nikiendelea kuwa busy na laptop yangu kwa upande mwingine nilisikia mlango unagongwa kwa mbali hivyo ilibidi nisogee nikafungue, na kabla sijafungua ilibidi niulize nani, na kwa mbali nilisikia sauti ya Iryn.

CONTINUE …

Nilimfungulia mlango nikamkaribisha na akaingia ndani,

MIMI: “Welcome mummy, ulikuwa bado hujalala tu.?”

IRYN: “Sina usingizi hapa.”

MIMI: “Pole hata mimi sina usingizi nachezea laptop.”

Na mimi nilikwenda kwenye coach kuendelea na kazi zangu na yeye alilala pale kitandani huku macho yake yote ameelekeza kwangu.

IRYN: “Insider unafanya nini?”

MIMI: “Naandika mkataba wa nyumba.”

IRYN: “Njoo tulale bhasi, utaandika kesho.”

MIMI: “Mimi nitalala hapahapa kwenye Coach wewe lala hapo kitandani.”

IRYN: “Bhasi nakuja hapo tulale wote kama hutaki kuja kitandani.”

Na mimi nilifunga laptop yangu nikapanda kitandani, baada ya hapo tuliendelea kupiga story pale ofcourse muda huu tulikuwa ndani ya blanket na tulikuwa tumegeukiana tuko very close. Nilishangaa kuona mkono wake ukipenyeza boxer yangu na akaukamata mtwangio wangu na alikuwa anachezea kichwa cha mtwangio. Iryn ana asili ya kuwa na joto sana, sasa lile joto la mkono wake lilikuwa linafanya nasisimka sana huku nasikia raha, nilikuwa nahisi Dunia yote yangu.

Na mimi sikutaka kuwa mzembe nilianza kumchezea na kuzinyonya boobs zake kwa ufundi na romance zikaendelea pale kitandani. Muda huu pia nilipitisha mkono wangu taratibu ili kutalii serengeti yake na ilioneka kulowa sana, na nikajua huyu toka muda alikuwa ana upwiru ila alikuwa analeta maringo na kilichomleta kwangu ni sex* wala sio kingine.

Ndani ya muda mfupi alikaa juu yangu na akaukalia mtwangio na akaanza kuukatikia na mimi nilimuacha aendelee na hili zoezi mpaka atakavyochoka yeye. Baadae nilimgeuza nikamuweka Doggy na muda huu nilikuwa naenjoy sana kuyachezea makalio yake laini, ilikuwa ni match ndefu na iliisha kwa sare kwa kila mmoja kupiga bao za kutosha na tulilala huku tumekumbatiana.

Asubuhi niliamka mapema sana na Iryn alikuwa bado kalala hivyo ilibidi nijiandae haraka ili niendeee kusikilizia milio kutoka kwa Mzee Mollel maana alisema akitoka church anatanijulisha ili tukaonane. Pia muda huu nilikuwa nawaza zawadi ya kumpa mzee Mollel kwa kazi aliyoifanya, kumbuka alikuwa anajitolea na alinisaidia sana, hivyo sikuwa na budi kumpa Ahsante yangu. Kwa upande wangu nilikuwa na laki 6 kama balance tu na nilitamani angalau nimpe ka million na pia bado alikuwa ananidai kama laki 7 kuna pervings zilipwelea akatoa pesa yake mfukoni, niliwaza pale napataje hela na wazo likanijia nimwombe Iryn.

Muda huu Iryn alikuwa ameamka tayari na nilisikia akiniita pale,

IRYN: “Darling unakwenda wapi this morning.?”

MIMI: “Kuna mzee wangu aliyenisaidia kusimamia ujenzi ndo nakwenda onana naye.”

IRYN: “Naomba twende wote bhasi.”

Na mimi ilibidi nikae kitandani muda huu,

MIMI: “No swirry huyu Mzee ni rafiki wa baba yangu kwenda na wewe anaweza kuhisi vibaya na haitaleta picha nzuri, isitoshe anamjua wife na tunakwenda kuonana kule site ili anikabidhi nyumba.”

IRYN: “Sawa babe promise me you don’t be late.”

MIMI: “I promise mummy, pia ninashida ya fedha kidogo kama utaweza nisaidia.”

IRYN: “Unataka kwaajili ya nini.?”

MIMI: “Nataka kumpa mzee kama Ahsante ya kazi aliyoifanya maana amefanya kazi kubwa sana.”

Iryn aliniambia niende room yake nikachukue ATM card ipo kwenye bag na alisema nitoe kiasi cha pesa ambacho naona kitatosha na alinitajia na code za card. Kwa upande wangu sikuamini kama ningepewa card nikajisevie mwenyewe kwa ATM na hii ilikuwa mara yangu ya kwanza namwomba Iryn Pesa.

Tulijadili suala la kuondoka Dodoma na tuliona turudi Dar jumanne ili kesho ambayo ni Jumatatu tutafute sehemu nzuri ya nje ya mji ili twende tukatembee. Tulikwenda kupata breakfast ile asubuhi na pia alitoa maelezo pale reception ya kuongezewa muda mpaka jumanne na aliomba vitu vyake vyote vipelekwe room yangu, maana yake hapo tunalala pamoja. Hata dada pale reception alikuwa anashangaa ni kama alikuwa haamini kusikia maneno ya Iryn ni kama alipatwa na wivu.

Baada ya kupata breakfast tulirudi room na mida ya saa 4 Mzee Mollel alinipigia simu kunipa taarifa ametoka church hivyo tuonane kulekule site. Nilimwaga Iryn na nilipitia kwa wakala kutoa pesa na nilikuwa nawaza nitoe kiasi gani cha pesa maana nilipewa uhuru, na mimi nilitoa million 3 tu. Baada ya kuchukua risiti balance ilokuwa inaonekana pale ni balaa ilibidi niangalie vizuri tena, niliona kama nimekosea kuangalia. Account yake ilikuwa na pesa kibao na yeye anasemaga ile local account ni kwaajili ya pesa za matumizi tu, nilijisemea kuna watu wanahela maana Account ilikuwa inasoma 9 digits.

Ndani ya muda mfupi nilikuwa nimewasili pale site na nilimkuta Mzee Mollel amewasili tayari, tulisalimiana na akaanza kunitembeza maeneo ya nyumba. Kwa upande wangu nilimshukuru sana kwa kazi aliyoifanya na nilimkabidhi bahasha na nilikuwa nimeweka jumla ya million 2 pamoja na deni lake.

Muda huu pia nilimpigia video call wife na yeye alikuwa na shauku sana ya kuona maendeleo ya miti na maua yake. Baada ya kuona maendeleo ni mazuri aliishia kufurahi na akanambia weekend ijayo atarudi Dar pia amenimiss sana.

Tuliongea mambo mengi sana na Mzee Mollel pia alinipa namba ya Dalali wa kumtumia kwaajili ya kunitafutia wapangaji na alinikabidhi hati ya plot yangu ya kule Iyumbu. Hatukutaka kuendelea kupoteza muda hivyo tuliagana maana alisema ana majukumu mengine ya kufanya.

Mzee Mollel aliondoka akiwa ameniacha pale site na mimi niliamua kumpigia simu Aggy ili tuonane lakini alinambia yuko busy sana hivyo tufanye baadae. Pia Niliwasiliana na Maggy na nilimpa taarifa za kukamilika kwa nyumba kwa upande wake alifurahi sana na akanambia yeye atakuwa wakwanza kuingia na tulikubalina tutaonana badae.

Ilikuwa ni mchana tayari hivyo niliwasiliana na Iryn ajiandae kwani soon nitampitia ili tukapate lunch na mimi sikuchukua muda mrefu kuwasili pale hotelini na tukaenda Chako ni chako. Baada ya kuwasili tuliagiza kuku choma mzima kwa upande wangu niliagiza ugali na yeye aliagiza chips.

Baada ya kupata lunch tuliondoka kurudi hotelini na mimi niliingia kuoga then baada ya hapo tulitoka kwenda garden kupoteza muda na tulikaa karibu na swimming.

Maongezi yetu makubwa yalikuwa kuhusu suala lake la kwenda shule na alisema anataka kuwa karibu na baba yake mzazi, pia alinambia kuna uwezekano mkubwa wa mama Janeth kwenda HQ kwaajili ya masula ya vita ya Russia-Ukraine. Ofcourse tuliongea mambo mengi sana ya maisha na biashara na giza lilipoanza kuingia tulirudi room kujiandaa kwenda kupata dinna.

Muda huu nilifanya mawasiliano na Dalali ili anitafutie mtu mmoja wa kuhamia pale site na nilimwambia namba nimepewa na Mzee Mollel. Nilimuelekeza nyumba ilivyo na akasema itapendeza sana kama atakwenda kuiona na mimi nikamwambia kesho asubuhi tutaonana kwaajili ya hili suala.

Baada ya kuongea na Dalali, Aggy naye alinipigia simu na akanambia jioni tuonane kwaajili ya dinna na nikamwambia tuonane pale Golden fork, pia nikakumbuka kumpa taarifa na Maggy ili tukutane hapo.

Iryn alikuwa amelala kitandani hivyo nilimgeukia na tukaanza kuongea,

MIMI: “Mummy badae tutakwenda kupata dinna Golden folk na nitakuwa na ndugu zangu.”

IRYN: “Sawa haina shida ila kesho usisahau itabidi twende sehemu ya mbali.”

MIMI: “Usijali mummy ukitaka hata tulale hukohuko ni wewe.”

Saa moja usiku tulitoka pale hotelini kwenda Golden Folk kwaajili ya dinna na tulimkuta pale Aggy amewasili tayari akitusubiri sisi tu. Kwa upande mwingine alishangaa sana kuona nimeongozana na Iryn maana ilikuwa ni kama surprise kwake.

Tulikaa kwenye viti na mimi nilifanya utambulisho mfupi na nilianza kumtambulisha Aggy kama rafiki yangu wa Muda mrefu na ndo ambaye huwa alikuwa ananisaidia kuingalia nyumba na nilimtambulisha Iryn kama Bossy wangu.

Mhudumu alikuwa amefika kutusikiliza na tuliagiza chakula pale kwa pamoja na story zilikuwa zinaendelea. Nilimshukuru Aggy kwa msaada wake kwa kipindi chote cha ujenzi na nilimwambia siwezi kumpa zawadi maana yeye ni mshikaji wangu, na yeye aliishia kucheka tu.

Baada ya nusu saa Maggy aliwasili pale na baada ya kutuona aliishia kufurahi sana, Maggy alikuwa anatujua wote so kwake ilikuwa ni kama surprise.

MAGGY: “Aisee usinambie umekuja na bossy wangu hapa na sijamwona muda sana.”

IRYN: “Ahsante sana dada kama apartment ulinichagulia, afu kumbe upo huku? Insider hajanambia kabisa.”

MAGGY: “Nipo huku toka July dear.”

IRYN: “Insider kila kona anayo kwenda ana marafiki, nimefurahi kukuona dear.”

Maggy aliagiza chakula na story zingine ziliendelea pale,

MAGGY: “Insider Junior anaendeleaje? Leo nina zawadi zake.”

MIMI: “Zawadi zenyewe ziko wapi? mbona sizioni mama.”

MAGGY: “Wewe tulia kwani ni zako.?”

MIMI: “Mhhh! sawa naona umeanza kurithi tabia za kigogo.”

Baada ya lisaa kukata Aggy aliomba kuondoka maana alisema ana wageni pale kwake afu ana kikao asubuhi cha kazi, hivyo aliaga na mimi nilimsindikiza mpaka parking alikokuwa amepark gari.

AGGY: “Insider una bahati sana ya kukutana na warembo huyu dada mmekutana wapi.?”

MIMI: “Hahahaa ni story ndefu sana siku ukija Dar nitakwambia.”

AGGY: “Mhhh sawa bhana nambie kuna kitu chochote unahitaji kutoka kwangu.?”

MIMI: “Yeah, una funguo za nyumba.”

AGGY: “Nilisahau ujue ngoja nikupe zipo kwa gari, mnaondoka lini huku Dodoma.?”

MIMI: “Jumanne afu kesho naweza kukucheki kama utakuwa available.”

AGGY: “Yeah sure tutawasiliana, byee.”

Tuliagana pale na Aggy na mimi nikarudi ndani na niliwakuta Iryn na Maggy wanaongea.

Tulianza mazungumzo na Maggy na alisema yuko tayari kuhamia hata kesho maana anakokaa hajakupenda na alisema ikiwezekana asubuhi twende wote akaione nyumba. Kwa yale mazingira ya pale site niliona ni mazuri na salama kwa Maggy na nilijua lazima atapapenda tu.

MAGGY: “Vipi kuhusu kodi?”

MIMI: “Nafikiri kesho tutaongea vizuri hili ukisha ona mazingira ya nyumba.”

MAGGY: “Na kesho muda gani.?”

MIMI: “Tufanye hata saa 3 asubuhi.”

MAGGY: “Sawa tutawasiliana hata hivyo mimi sikai acha niwaache lakini nimefurahi kukuona Insider.”

MIMI: “Maggy unawahi wapi? au ushapata sponsa? Vigogo wa serikali huku ni wengi sana.”

MAGGY: “Hamna leo nilikuwa nafanya usafi kutwa nzima na nimechoka sana afu huku Dodoma hakuna hata vibe, nimekumiss Dar.”

MIMI: “Ukipata muda uwe unakuja mara moja moja.”

MAGGY: “Nina semina next month hope tuta enjoy ila usiniletee uswahili.”

Maggy alituaga pale na sisi kwa upande wetu tuliamua kuondoka kurudi hotelini na baada ya kuwasili hotelin tuliamua kwenda moja kwa moja mpaka bar na tuliagiza vinywaji tukaanza kupeleka taratibu. Muda huu Iryn alionekana kuwa na furaha sana yaani muda wote alikuwa ananiangalia sana huku anatabasamu.

MIMI: “Mummy unaniangalia sana mpaka nakosa confidence.”

IRYN: “Insider unaakili sana ya maisha nimekua suprised sana, so pale kodi itakuwa kiasi gani?”

MIMI: “Kesho nitaonana na Dalali nafikiri nitamsikiliza na mawazo yake.”

IRYN: “Na ile plot unampango gani.?”

MIMI: “Bado sijajua nafikiri nitakaa chini kufikiri project ya kuweka pale.”

IRYN: “Ukipata idea nzuri niambie niku assist sawa?”

MIMI: “Sawa bossy wangu toka lini nikupinge?”

Tulikaa sana pale bar mpaka tukaanza kuoneshana hisia za mapenzi live na tulianza kupeana kashikashi pale, tulikuwa kwenye Huba zito sana muda huu. Kadri muda unavyozidi kwenda Iryn alionekana anahitaji kushughulikiwa na alifanya malipo akanishika mkono akanambia tuondoke.

Baada ya kuingia room tuliingia kuoga kwanza na baada ya hapo kilichoendelea ni siri yetu, ilikuwa ni show kali sana na ndefu na tuliishia kuchafua mashuka ya watu na kitanda kilikuwa shaghalabaghala.

Niliamka saa 2 asubuhi lakini Iryn alikuwa bado amelala, nilingia bafuni kuoga mpaka namaliza kujiandaa lakini wapi alikuwa bado kalala, sikutaka kumuamsha na nikaondoka.

Nilifanya mawasilino ma Maggy na akanambia yuko ofisini tayari na alikuwa anasubiri call yangu ili atoke na nikamwambia achukue usafiri tukutane Makulu kituoni. Baada ya kuongea na Maggy nilimpigia simu Dalali na yeye alisema yuko njiani ndani ya dakika 15 atakuwa around kwani mtaa anaujua vizuri sana.

Tulionana na Maggy pale Makulu na tukachukua bajaji ya kutupeleka site na baada ya kuwasili tuliingia ndani na kwa upande wake Maggy alivutiwa sana na nyumba na akasema anahamia leoleo.

Baada ya dakika 20 Dalali naye aliwasili pale site na tukaanza maongezi na yeye aliishia kuisifia nyumba. Tulifanya mazungumzo pale na alisema kodi ya maeneo ya kule ni 400,000/= kwa nyumba standard na ya vyumba viwili.

Maggy alichagua nyumba ya upande wa chini (Apartment ya mwanzo) maana zote zilikuwa sawa tu na Dalali alisema ana mteja tayari yupo wa kuhamia pale, nilimpa account No. ya bank na nikamwambia akiwa tayari anambie tumalize kabisa.

Baada ya kumalizana na hawa watu tuliongozana na Maggy na yeye alikuwa anarudi ofisini na mimi nilikuwa narudi hotelini. Wakati niko njiani nilikuwa nawaza sehemu ya kwenda na Iryn na nikapata wazo la kwenda Kondoa, niliona ni mbali kidogo ya mji lakini pia panavutia.

Usafiri ungekua changamoto maana tungetumia costa au private ya kukodi hivyo niliona afadhali nimuazime Aggy gari yake ili tusave na muda. Nilimpigia simu Aggy na nikampanga, kwa upande wake hakuwa na shida na alinambia nikachukue ofisini kwake, tuliachana na Maggy na mimi nilikwenda kuonana na Aggy.

Baada ya kuonana na Aggy na kunikabidhi gari nilirudi moja kwa moja mpaka hotelin na Ilikuwa ni saa 4 asubuhi tayari na Iryn alikuwa bado amelala. Ilibidi nishangae maana nilihisi atakuwa anaumwa na niliamuasha pale na alionekana kuchoka sana,

MIMI: “Mummy are you ok.?”

IRYN: “Am fine, nimechoka na uchovu.”

MIMI: “Amka tukapate breakfast ili tuondoke.”

IRYN: “Tunakwenda wapi?.”

MIMI: “Kuna sehemu inaitwa Kondoa ni wilaya ya Dodoma, tutakwenda huko.”

IRYN: “Ok darling, ngoja nika bath ili tuondoke.”

Iryn alikwenda kuoga na mimi muda huu nilikuwa nimekaa kwenye coach nikimsubiri, na muda huu Lucy alipiga simu na mimi niliipokea pale,

LUCY: “Mshikaji wangu umeenda Dodoma na Bossy hata hunambii serious.?”

MIMI: “Hapana Lucy nani amekwambia haya.?”

LUCY: “Yeye ndo kanambia jana mpaka nimeshangaa kwanini hujanambia.”

MIMI: “Lucy usimind kama amekwambia yeye sawa ni kweli tuko huku alinipa kampani.”

LUCY: “Natarajia habari njema kutoka kwako, tutaongea ukirudi.”

MIMI: “Sawa Lucy usijali.”

Iryn naye alikuwa ametoka kuoga na alikuwa uchi kama alivyozaliwa, Aisee!! nyie muda huu nilikuwa namshangaa mwili wake ulivyo mweupe na mzuri yaani nilikuwa nasisimka tu.

IRYN: “Insider mbona unaniangalia kwa uchu sana.”

MIMI: “Unanipa ugwadu tu hapa, hujui tu.”

IRYN: “Kwamba kwa kazi iliyofanyika usiku kucha bado unataka tena.?”

MIMI: “Ndio nataka tena”

IRYN: “Kwasasa mimi bhasi umenichosha sana na tunakwenda na usafiri gani.?”

MIMI: “Nimekuja na gari ya kutupeleka huko nimeazima kwa Aggy yule best yangu wa jana.”

IRYN: “Ulinambia anafahamiana na mama J hawezi kumwambia uko na mimi huku?”

MIMI: “Atakuwa amezidi mipaka sidhani kama atafanya hivyo.”

IRYN: “Insider nivaaje?”

MIMI: “Kwa mazingira tunayokwenda vaa skin jeans na raba zako za Airforce.”

IRYN: “Sawa nimekuelewa.”

Ndani ya muda mfupi Iryn alikuwa amevaa tayari na alikuwa kavaa skinny jeans ya blue, raba ya Airmax ya blue bahari na shortsleeve nyeupe na kiunoni alikuwa kajifunga waist bag bila kusahau cap ya kaki.

Tulitoka pale hotelini saa 5 asubuhi hata chai hatukunywa na tulianza safari ya kwenda Kondoa, ulikuwa ni mwendo wa masaa 2 mpaka tunawasili Kondoa. Baada ya kuwasili Kondoa kwenye ile roundabout hatukwenda stand ila tuliishia pale na tukapark gari sheli ipo upande wa kulia.

Baada ya kupark gari pale tulikuwa tunashauriana pale twende wapi, lakini Iryn kwa upande wake alikuwa anataka twende hata kijiji chochote cha jirani akatoe na misaada kwa watu wenye uhitaji na pia akaoyaone mazingira ya bush yalivyo.

Tulishuka kwenye gari ikabidi tuulize watu wenyeji wa maeneo ya pale kuhusu kijiji cha karibu ambapo barabara inapitika vizuri ili twende. Kuna jamaa alitushauri twende kijiji cha Mondo na alisema kwa leo kuna mnada kule hivyo kutakuwa kuzuri sana. Hiki kijiji cha Mondo ni kama unatokea Dodoma ukishafika ile roundabout kushoto unakwenda Kondoa na ukizunguka kulia unakwenda huko Mondo.

Iryn alisema tutafute bank atoe Pesa za kutosha kwaajili ya kutoa na misaada huko tunakokwenda. Kama unakwenda Kondoa mjini/stand kwa mbele kidogo kushoto kuna Bank kubwa tu iko maeneo yale, hivyo tuliingia na tukatoa pesa. Na alitoa million 5 na tukaendelea na safari yetu ya kwenda kijiji cha Mondo.

Tulitumia kama dakika 40 kuwasili pale kijijini na tuliulizia serikali ya mtaa tukapelekwa mpaka kwa Mtendaji, lakini alikuwa hayupo na walisema amekwenda kwenye mnada ikabidi tuombe watupeleke huko mnadani.

Baada ya kuwasili pale mnadani palionekana kuwa busy na watu wengi sana na ulikuwa ni uwanja mkubwa ambapo bidhaa mbalimbali zilikuwa zinauzwa pale, nadhani minada ya vijijini mnaijua inavyokuwa.

Yule baba tuliyekuwa tumeongozana naye alituambia tusubiri anakwenda kumuita mtendaji, kwa upande mwingine watu walikuwa wakituangalia sana, hasa wamasai walikuwa wanamshangaa sana Iryn. Kwa upande wa Iryn yeye hakuwa na shida bali alikuwa anawafurahia sana na kile kitendo kiliwavutia wakanza kumiminika pale na akawa anapiga nao picha.

Baada ya dakika 10 yule baba alirudi akiwa ameongozana na watu wawili na kwa upande wao walionekana kuwa na wasiwasi sana sijui walidhani sisi ni watu wa system.

“Mzee shikamoo mimi naitwa Insider na huyu dada anaitwa Iryn, tumekuja hapa kijijini kwako kwaajili ya kutembea na pia kutoa misaada kwa watu wenye uhitaji. Nafahamu fika hawa watu wenye shida unawajua vizuri mpaka nyumba zao.”

Mtendaji baada ya kusikia hivi alipata amani maana alikuwa anaonekana kuogopa sana.

“Karibuni sana vijana wangu hawa watu ni wengi pia kuna mzee anaumwa sana anakosa pesa za matibabu nafikiri tutaanza na huyu, ila naomba niwatembeze kwanza kwenye mnada wetu mjionee.”

Tulianza kutembezwa kwenye ule mnada na kuna sehemu tulipita walikuwa wamechinja mbuzi, kondoo na ng’ombe wa kutosha na walikuwa wanachoma. Tulinunua pande la mbuzi kubwa la kuchoma aisee! niseme sijawahi kula mbuzi mtamu wa kuchoma kama yule, wale jamaa wanachoma nyama kwa chini, yaani mkaa unawekwa chini juu kuna kuwa na kichanja cha wavu, nyama inabanikwa inaiva taratibu, ni mafundi hatari.

Tuliweka odda ya kubanikiwa paja mbili za mbuzi na sisi tukaondoka kwenda kuwaona wahitaji na tulianza na huyo mzee ambaye alikuwa anaumwa sana na hana msaada. Baada ya kufika kwake kweli alikuwa anaumwa sana hata kuongea alikuwa anashindwa na Iryn palepale akatoa odda apelekwe hospital, na mtendaji alisema apelekwe Kondoa mjini na Iryn alitoa pesa ya usafiri pale.

Tuliendelea Kutembelea watu wengine na Iryn hasa aliwatarget wamama wajane ambao wanahali ngumu za maisha na wazee. Tulitembelea watu wengi sana mpaka akasema bhasi inatosha maana pesa ilikata, ukweli kule vijijini kuna watu wanashida sana. Niseme vijijini kuna watu wanashida sana na wanakosa msaada jamani, tujenge mazoea ya kwenda huko vijijini kuna watu wana hali mbaya sana na wanaishi maisha magumu.

Tulipewa jogoo 4 mpaka zingine tulikuwa tunazikataa maana hatukuwa na pakuzipeleka hatahivyo hao jogoo wa4 nilipanga kumpa mzee Mollel na akina Maggy. Tulirudi mnadani kuchukua mbuzi wetu na wamasai walivyotuona walikuja spidi na Iryn aliwapa 20,000/= kila mmoja na walikuwa 7 muda huu, ofcourse walifurahi sana na akapiga picha nao tena ya pamoja.

Ilikuwa jioni tayari hivyo tuliondoka na Mtendaji kwenda Kondoa mjini na baada ya kuwasili pale hospital tulikuta mzee anahudumiwa na alikuwa kalazwa.

Iryn alinambia tutafute Atm ya karibu tutoe hela tena maana alikuwa kaishiwa na mimi nilimshauri tutafute wakala inaweza kuwa uhakika kuliko kwenda ATM kutoa.

Baada ya kutoa Pesa Iryn alimuita Mtendaji pembeni akamkabidhi laki tano (5) kwaajili ya malipo ya mgonjwa kwa kipindi chote atakachokuwa pale hospital pamoja na dawa na gharama zingine zitakazo jitokeza.

Wakati tunaondoka alimuita pembeni dada ambaye ndo mtoto wa yule mzee mgonjwa na alikuwa anaongea naye pembeni na niliona anatoa pesa anamkabidhi, muda huu mimi nilikuwa kwenye gari.

Muda ulikuwa umekwenda sana na sisi kwa upande wetu hatukutaka kuendelea kupoteza muda hivyo tuliwaaga pale na Mtendaji aliishia kutushukuru sana na tulibadilisha namba za simu kwaajili ya kujulishana maendeleo ya mgonjwa. (Yule babu alipona na anaendelea vizuri na afya yake, na christimas mtendaji alinitumia mbuzi mkubwa kwaajili ya sikukuu.)

Wakati tuko barabarani tukirudi Dodoma Mjini Iryn alionekana kuwa na furaha sana muda huu na alinambia toka maisha yake yote hajawai kutembelea maeneo ya vijijini kama haya na leo ilikuwa surprise kwake.

Saa 1 usiku ilitukutia pale mipango na mimi nilimpa bodaboda Kuku awapeleke kwa Mzee Mollel maana alikuwa amenipa namba zake za mawasiliano. Baada ya hapo tulikwenda kwanza site kuonana na Maggy maana alikuwa ameanza kuhamia na nilimpa Zawadi ya Jogoo.

Kwa upande mwingine nilimwomba Maggy awe ananisaidia kuangalia ile nyumba na yeye nilimpunguzia kodi kidogo maana ni ndugu yangu na tumetoka mbali. Maggy alisema usiku huuhuu atakuwa amekamilisha kuhamia na mimi nilimwambia kesho tutakuja kushinda naye kabla ya kurudi Dar, na alisema hataenda kazini.

Baada ya kuachana na Maggy niliwasiliana na Aggy ili tuonane pale Golden Fork na baada ya kuwasili pale nilimkuta ananisubiri na nilimpa kuku yake na gari ilikuwa full tank.

MIMI: “Umenipa gari haina wese ila imerudi iko full tank na Jogoo juu.”

AGGY: “Mimi sinaga shida na wewe maana nakujua hunaga baya mshikaji wangu. Naamini kila kitu kimekwenda sawa huko.”

MIMI: “Yeah tunashukuru Mungu na kesho tunaondoka jioni lakini.”

AGGY: “I hope nitakuona before hujaondoka nikupe na kampani, pia kuna jambo nataka tuongee.”

MIMI: “Sawa dada wa system.”

Tuliishia kucheka pale na tukaagana kwa kukumbatiana na sisi tukaingia ndani kupata chakula, hii siku tulishindia nyama tu, toka tunatoka kule Mondo tulikuwa tunakula zile paja za mbuzi.

Baada ya kupata dinna tulirudi hotelini kwaajili ya kulala, Iryn alionekana kuchoka sana na baada ya kufika hotelini tulipitia pale reception kutoa taarifa za kuondoka kesho.
******

Jumanne ilikuwa ni safari ya kurudi Dar ambapo tulitarajia kuondoka Dodoma na ndege ya jioni na ile asubuhi baada ya kuamka tulijiandaa, tukapata breakfast na tulikwenda kwa Maggy kupoteza muda.

Baada ya kuwasili pale tulikuta Maggy anaweka mambo sawa na alikuwa amehamia tayari na kwa mara ya kwanza nilimkuta yuko na dada wa kazi. Maggy baada ya kutuona alifurahi sana na akatukaribisha ndani,

“Insider karibu kwenye nyumba yako.”

“Hahahaa Ahsante sana Maggy now is yours.”

“Kuna mtu pia ameingia huko juu bila shaka utakuwa na taarifa.”

“Dalali alinipa taarifa tayari, ngoja niende nikamsalimie.”

Nilikwenda kuonana na dada na nilikuta yuko nje kibarazani, nilimsalimia pale na mimi nilijitambulisha kama mwenye nyumba na yeye alishangaa sana kuona kijana mdogo namiliki mjengo na nilimpa mkataba wake wa kupanga kwa niaba ya mme wake.

Tulishinda na Maggy hii siku na nikamsaidia kumchinja yule jogoo na kumuandaa kabisa maana yeye alisema anaogopa kuchinja kuku. Mchana tulipata lunch ya pamoja na muda huu nilimwomba Maggy awe ananisaidia kuangalia nyumba, ofcourse namuamini sana Maggy.

Saa 10 jioni tuliaga pale na Aggy alikuwa amekuja kutufuata na akatupa ride mpaka hotelini tukachukua mabag yetu na akatupeleka mpaka Airport. Wakati tunasubiri kucheck-in muda huu tulikuwa tunazungumza na Aggy Kuhusu jambo lake alilotaka kunambia na baada ya hapo tuliagana.

Na kwa upande wetu hatukaa sana pale bali tulicheck-in kuanza safari ya kurudi Dar na wakati tuko kwa flight tulikuwa tunazungumza mambo mengi sana na Iryn na kubwa alinambia amefurahi sana kwa jambo tulilolifanya jana kwani kwake lina thamani sana.

IRYN: “Insider jitahidi sana ufuatilie maendeleo ya yule mzee sawa.?”

MIMI: “Usijali bossy wangu hilo ondoa shaka hata leo nimeongea na Mtendaji na amenambia meendeleo ni mazuri.”

IRYN: “Nimemtumia Daddy picha za jana amefurahi sana.”

MIMI: “Una roho nzuri sana Mungu ataendelea kukubariki.”

IRYN: “Hata wewe Insider.” Na akanikiss shavuni

MIMI: “Hivi uliniamini nini mpaka ukanipa Atm card yako.?”

IRYN: “Insider nishindwe kukuamini kwa vitu vidogo kama Pesa? ni vingapi unafanya peke yako.?”

MIMI: “Hata hivyo upo vizuri sana kama ni Pesa za matumizi tu hizo account zingine itakuwaje?.”

IRYN: “Natumiwa Pesa za matumizi na watu wengi kama Daddy, Mama Janeth, Mamkubwa, , bado kuna rafiki wa mama ambao wananiingizia pesa nknk,”

MIMI: “Mama Janeth anakupa pocket money?”

IRYN: “Mimi ni kama mtoto wake au umesahau yule ni mama mlezi wangu? afu Kwanini umetoa pesa ndogo sana na mimi nilikupa uhuru wa kutoa kiasi unachotaka.”

MIMI: “Ningekuwa mwizi kutoa kiasi ambacho sikuwa na shida nacho hata hivyo nashukuru sana mummy.”

Tuliwasili JNIA na lilikuwa usiku tayari hivyo nilifanya kurequest usafiri wa kutupeleka home. Baada ya kuwasili pale kwake tuliingia ndani na yule mama Mlinzi baada ya kutuona alikuja kutusalimia lakini niliona target yake kubwa ilikuwa ni Iryn,

“Mama samahani sana afu nilisahau nilipata emergence ya haraka ungenipigia tu simu.”

“Nilijua tu utakuwa umepata dharura na sikutaka kukusumbua.”

“Mwanao hawaja msumbua shule?”

“Hapana kwakweli niliongea na mkuu wa shule.”

“Sawa ngoja nikupe kabisa sahivi nisije nikasau tena.”

Na mimi niliamua kuingia ndani na mabag maana mazungumzo ya pale yalikuwa hayanihusu na niliwaacha pale nje wakiendelea kuongea.

Baada ya dakika 5 Iryn aliingia ndani na akaenda moja kwa moja jikoni akarudi seblen ameshika chupa ya wine na glass 2 na tukaanza kuinywa pale,

IRYN: “Insider ni jambo gani ambalo hulipendi kutoka kwangu.?”

MIMI: “Achana na biashara zako za Massage”

IRYN: “Ndo hilo tu hulipendi?”

MIMI: “Yes ukiachana na hili tutakwenda pamoja maana sioni sababu ya kuhangaika wakati Pesa unazo.”

Na muda huu alinisogelea close na akawa ananiangalia pale,

IRYN: “Insider mimi nimeachana na hii biashara kwaajili yako, but naomba uniahidi jambo moja tu.”

MIMI: “What is it?”

IRYN: “Truly I love you, promise me hutakuwa na mwanamke mwingine wa pembeni zaidi yangu.”

MIMI: “Mimi sina mwanamke wa pembeni kwasasa kama ni hili ondoa wasiwasi afu mimi sio mhuni kama unavyoniwazia.”

IRYN: “I’m yours now.”

MIMI: “Are you serious? You’re m…”

Nilijikuta nimevutwa nimepewa ulimi kwa haraka ni kama alikuwa ananinyamazisha,… aisee ngoja tuishiie hapa kwa leo

EPISODE 67[emoji116]
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
67
 
Insider man nashukuru kwa muda wako uliotumia kuandika simulizi ndefu inayo husu maisha yako pamoja na kero tulizo pata kutoka kwa baadhi ya wasomaji, kero haikuwa kwako tu hata kwa mimi msomaji bado ulivumilia na kutuletea muendelezo.

Pongezi kwako kwa kuwa na mahusiano mazuri na Iryn na mmefanikiwa kupata mtoto na upendo alionao Iryn nikutoka moyoni ni wanawake wachache wenye mapenzi ya kweli kama Iryn hakikisha humpotezi Iryn.

Upatapo muda naomba tujulishe kwa ufupi kuhusu Jane na mimba yake kama kafanikisha kujifungua salama maana mwanae ilitegemewa kuwa wakiume na ndugu wa mzee Pama walikuwa wakisubiri damu yao.

Kwa ufupi mliishia wapi na Marry kwakuwa naye kaonesha anahisia na wewe kuna wengine Mama wawili .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
EXTRA EPISODE 06
BY INSIDER MAN

Kwanini nimemuita Iryn ni Mrembo wa Ajabu?


Kabla ya kuandika hii story nilipata tabu sana kwenye kuchagua kichwa kutakacho beba jina la story, lakini target ya huu uzi ilikuwa ni Iryn.

Ningeweza kuandika heading nyingi tu lakini niliona hii ndo sahihi kutokana na jinsi tulivyokutana na tulivyoishi sababu tulipitia mambo mengi sana.

Kwangu Iryn nilikuwa namuona ni mtu wa ajabu, kwanza namna tulivyo kutana, pili maisha yake kwa ujumla kwangu mimi yalikuwa yananipa maswali sana, tatu utajiri wa wazazi wake na yeye pia, nne uzuri na urembo wake.

Nilikutana na Iryn kimaajabu sana kupitia hiihii bishara ya Uber, ukisoma vizuri wakati nakutana naye ilikuwa ni usiku sana afu nimechoka. Baada ya kupata request yake nilitaka kupiga chini ile request lakini nikaamua kwenda kibishi na ndo yeye kaja kunipa heshima ya kuwa baba mtoto.

Kama ningeipiga chini ile request ina maana nisingekuja kumfahamu mtu anayeitwa Iryn kwenye Maisha yangu, kuna msemo wazungu wanasema “everything happen for a reason.”

Tukija kwenye maisha yetu halisi huenda tunapishana na baraka nyingi na connections nyingi kwa kupuuzia tu, kama wewe dereva wa Uber unapata request ya kwenda Mbagala lakini hutaki kwenda, kumbe ilikuwa ni connection kwako bila kujua.


Iryn ni moja ya mwanamke mzuri na mrembo hapa Duniani na uzuri wake ni natural sio namsifia kumpa sifa ambazo hana, hapana ni moja ya mwanamke mrembo sana na amekamilika kila Idara (Episode ya 7 nilimuelezea kidogo). Hii ilinifanya nimuone Iryn ni moja ya mwanamke wa ajabu kukutana naye kwenye maisha yangu. Kuna muda ile mwanzoni nilikuwa nahisi maybe atakuwa sio kiumbe wa kawaida. Kitu kingine suala la kuwa mtoto pekee kwa mama nalo kilifanya nimuone Iryn wa tofauti sana.

Suala la mali na utajiri ambao familia yake unao kuanzia marehem mama yake, Mzee wake na yeye pia vilikuwa vinanipa maswali sana. Mzee wake Iryn anapesa sana na huko South Africa ana ma apartments kibao anayamiliki na bado ni mfanyabiashara mkubwa.

Nimeplay part kubwa sana ya kumuweka Iryn sawa maana alikuwa ni mtu wa mawazo sana, kitendo cha kuwa naye close mara kwa mara ndo kilifanya aanze kunipenda kwa kasi ya 5G.

Licha ya kufaham nina familia ila kwake yeye ilikuwa tofauti na aliendelea kunipenda tena ni upendo wa kweli. Tumepitia mambo mengi sana na sikuyaandika yote, niliyoandika ni baadhi tu.

Baada ya Iryn kwenda South Africa hapa katikati mambo mengi sana yalitokea, na yeye alikuwa anakuja Dar kuniona kama alivyo niahidi na ilikuwa ni kwasiri sana na hakuna aliyekuwa anajua hili. Amekuja sana Dar mpaka mimba ilivyokuwa kubwa ndo akaacha kuja na toka aondoke kwenda South Africa hajawahi kuonana na mama J tena.

Pia kuna mambo mengi sana yalitokea na mazito juu ya ujauzito wake na niliishi kwa stress sana ndugu zangu. Kwa upande wake alikutana na pingamizi kubwa sana hasa upande wa ndugu, lakini all kila kitu kilikwenda sawa na mwezi June 2023 alijifungua salama na tulipata mtoto wa kike.

Nilifurahi sana kupata mtoto wa kike japo nilikuwa najua kuwa nitapata mtoto wa kike lakini baada ya kujifungua na kujihakikishia kwa macho nilifurahi sana. Before hajajifungua mwezi wa sita nilikwenda South Africa kwa mara ya pili ili niwepo wakati wa kujifungua na nilikaa kule kwa week 2.

Siku anayojifungua nilikuwa naye hospital nikishuhudia kila kitu kule leba asee kule kama mwanaume unahasira utaishia kuwapiga madoctor[emoji23][emoji23], wanachokonoa sana K kwa mikono. All nashukuru Mungu alijifungua salama kwa kupush, na kama tulivyokubaliana mimi ndo nilimpa jina mtoto.

Mtoto wetu ana miezi 5 kasoro mpaka sasa na anakua vizuri, ana afya nzuri niseme she is so beautiful jamani na nimefanana naye copyright. Pia amefanana sana na kaka yake Junior, yaani siku wakija kukaa pamoja itaonesha ni watoto wa mama mmoja maana wote wamefanana sana na mimi, hata mama J akija kumuona hatauliza mtoto ni wanani kwani tumefanana sana.

Hili suala bado imebaki kuwa siri kwangu hata wazazi hawajui mpaka sasa navyoandika hapa. December hii Iryn atakuja Dar na bado najifikiri niende naye mkoani na mtoto kwa wazazi wamuone au niendelee kuvunga tu mpaka mtoto akue, au niwape taarifa na mtoto wa nje?, hapa bado nakosa majibu.

Iryn anataka kunizalia mtoto mwingine wa pili, amesema yeye anahitaji watoto sababu anaona ndo furaha kwake na jinsi tunavyoishi hata kama tuko mbali anaona mimi natosha kuwa mume wake. Unajua Iryn anajua fika mimi sijampendea kisa pesa zake na anafahamu fika mimi sina habari na pesa zake kabisa na ninamchukulia kama mama watoto wangu.

Niilimpa greenlight kama atapata mtu sahihi awe huru kuwa naye au kuolewa, lakini amegoma kabisa hataki kuzisikia hizi habari. Yeye anasema hakuna mwanaume wa kumpenda kama jinsi mimi navyompenda na hatamani kuwa na mtu mwingine kwa heshima yangu na mtoto, pia ameridhika kuwa mchepuko.

Kwa upande mwingine nilimwambia yeye ni mke mdogo na nimempa hiko cheo na ninaandaa mpango wa kumpeleka home akaijue familia yangu maana analea damu yetu, na yeye ana hamu kubwa sana.

Kipindi alichojifungua ndo nilijihakikishia Iryn sio mtu wa kawaida, unajua walikuja watu wengi sana kumuona kule South Africa, kuanzia friends zake zake wa chuo, ndugu zake wa Ethiopia nknk.

Kwa upande wa mimi na mama J mahusiano yetu yako strong sana kwasasa, japo baada ya Iryn kuondoka kuna mambo yalitokea lakini bado tuko pamoja na familia yetu inazidi kustawi na mwakani tunatarajia kufunga Ndoa rasmi kama Mungu akitujalia uhai.

Kwa upande wa my son Junior yeye kashakua mkubwa tayari na mwakani tunategemea aanze nursery mapema na atakuwa na 2.5yrs by January. Dogo kawa mtundu sana, ni mkorofi sana kupiga watoto wenzie kwake ni kitu cha kawaida ila huji kuta akiwapiga watoto wa kike.

December Iryn atakuja kama nilivyosema awali na tutadiscus mambo mengi sana ikiwemo kuhusu project ya kufanya kule Dodoma, suala lingine nilimwambia nikimaliza chuo nataka kufanya project zangu sitaki kuwa chini yake tena.

Nilimwambia yeye ni mke wangu kuendelea kunilipa mshahara naona kama dharau, so kama vipi tufungue kampuni ya pamoja au mimi nifanye mambo yangu. Baada ya kumpa hizi taarifa naona hajazipenda na amesema yuko tayari kunisikiliza ila hataki nifanye kazi na mtu mwingine kwani bado ananitegemea sana, akija mwezi ujao ndo tutafikia muhafaka.

Plan za Iryn akimaliza chuo anataka kwenda kuishi Ufaransa na mtoto maana kuna project zake mpya anazo kule. Pia hata yeye anapenda sana kuishi Ufaransa.

Mwisho, sikuwahi kuwaza kuja kuchepuka au kuzaa na mwanamke mwingine nje na mama J, nilianza kuchepuka kutokana na kutopewa tendo kwa wakati maana kama mwanaume uvumilivu ulinishinda na kile kitendo cha kuondoka kwenda kwao kisa Prisca na huku sijatembea naye, ukweli kilinikera sana.

NB: Nitaangalia kama nitawapa muendelezo hata mwakani huko lakini siwapi promise kwa hili, nitaangalia kama kuna code zozote zimefunguka kupitia hii story mpaka sasa na kama upepo ni shwari nitaangalia namna ya kuwapa.

“Katika maisha yangu sijawai kukutana na mrembo mzuri kama IRYN, nimeona wanawake wengi hapa dsm lakini Iryn alikua ni mwanamke mzuri sana ambaye amekamilika kila idara, nyie Mungu ni fundi sana, sio shepu, matiti, sura, lips, mguu, mweupe, sauti na mguu mzuri. Ningekua na uwezo ningetuma picha yake ila ndo hivyo sitoweza.

Ni mwanamke ambaye akipita lazima ugeuke umtizame nyie, kiukweli sikuijutia kazi yangu ya uber ni moja ya kazi ambayo ilinikutanisha na warembo wengi sana.
(EPISODE 07)
Tukumbukane kwenye opportunity
 
EXTRA EPISODE 06
BY INSIDER MAN

Kwanini nimemuita Iryn ni Mrembo wa Ajabu?


Kabla ya kuandika hii story nilipata tabu sana kwenye kuchagua kichwa kutakacho beba jina la story, lakini target ya huu uzi ilikuwa ni Iryn.

Ningeweza kuandika heading nyingi tu lakini niliona hii ndo sahihi kutokana na jinsi tulivyokutana na tulivyoishi sababu tulipitia mambo mengi sana.

Kwangu Iryn nilikuwa namuona ni mtu wa ajabu, kwanza namna tulivyo kutana, pili maisha yake kwa ujumla kwangu mimi yalikuwa yananipa maswali sana, tatu utajiri wa wazazi wake na yeye pia, nne uzuri na urembo wake.

Nilikutana na Iryn kimaajabu sana kupitia hiihii bishara ya Uber, ukisoma vizuri wakati nakutana naye ilikuwa ni usiku sana afu nimechoka. Baada ya kupata request yake nilitaka kupiga chini ile request lakini nikaamua kwenda kibishi na ndo yeye kaja kunipa heshima ya kuwa baba mtoto.

Kama ningeipiga chini ile request ina maana nisingekuja kumfahamu mtu anayeitwa Iryn kwenye Maisha yangu, kuna msemo wazungu wanasema “everything happen for a reason.”

Tukija kwenye maisha yetu halisi huenda tunapishana na baraka nyingi na connections nyingi kwa kupuuzia tu, kama wewe dereva wa Uber unapata request ya kwenda Mbagala lakini hutaki kwenda, kumbe ilikuwa ni connection kwako bila kujua.


Iryn ni moja ya mwanamke mzuri na mrembo hapa Duniani na uzuri wake ni natural sio namsifia kumpa sifa ambazo hana, hapana ni moja ya mwanamke mrembo sana na amekamilika kila Idara (Episode ya 7 nilimuelezea kidogo). Hii ilinifanya nimuone Iryn ni moja ya mwanamke wa ajabu kukutana naye kwenye maisha yangu. Kuna muda ile mwanzoni nilikuwa nahisi maybe atakuwa sio kiumbe wa kawaida. Kitu kingine suala la kuwa mtoto pekee kwa mama nalo kilifanya nimuone Iryn wa tofauti sana.

Suala la mali na utajiri ambao familia yake unao kuanzia marehem mama yake, Mzee wake na yeye pia vilikuwa vinanipa maswali sana. Mzee wake Iryn anapesa sana na huko South Africa ana ma apartments kibao anayamiliki na bado ni mfanyabiashara mkubwa.

Nimeplay part kubwa sana ya kumuweka Iryn sawa maana alikuwa ni mtu wa mawazo sana, kitendo cha kuwa naye close mara kwa mara ndo kilifanya aanze kunipenda kwa kasi ya 5G.

Licha ya kufaham nina familia ila kwake yeye ilikuwa tofauti na aliendelea kunipenda tena ni upendo wa kweli. Tumepitia mambo mengi sana na sikuyaandika yote, niliyoandika ni baadhi tu.

Baada ya Iryn kwenda South Africa hapa katikati mambo mengi sana yalitokea, na yeye alikuwa anakuja Dar kuniona kama alivyo niahidi na ilikuwa ni kwasiri sana na hakuna aliyekuwa anajua hili. Amekuja sana Dar mpaka mimba ilivyokuwa kubwa ndo akaacha kuja na toka aondoke kwenda South Africa hajawahi kuonana na mama J tena.

Pia kuna mambo mengi sana yalitokea na mazito juu ya ujauzito wake na niliishi kwa stress sana ndugu zangu. Kwa upande wake alikutana na pingamizi kubwa sana hasa upande wa ndugu, lakini all kila kitu kilikwenda sawa na mwezi June 2023 alijifungua salama na tulipata mtoto wa kike.

Nilifurahi sana kupata mtoto wa kike japo nilikuwa najua kuwa nitapata mtoto wa kike lakini baada ya kujifungua na kujihakikishia kwa macho nilifurahi sana. Before hajajifungua mwezi wa sita nilikwenda South Africa kwa mara ya pili ili niwepo wakati wa kujifungua na nilikaa kule kwa week 2.

Siku anayojifungua nilikuwa naye hospital nikishuhudia kila kitu kule leba asee kule kama mwanaume unahasira utaishia kuwapiga madoctor[emoji23][emoji23], wanachokonoa sana K kwa mikono. All nashukuru Mungu alijifungua salama kwa kupush, na kama tulivyokubaliana mimi ndo nilimpa jina mtoto.

Mtoto wetu ana miezi 5 kasoro mpaka sasa na anakua vizuri, ana afya nzuri niseme she is so beautiful jamani na nimefanana naye copyright. Pia amefanana sana na kaka yake Junior, yaani siku wakija kukaa pamoja itaonesha ni watoto wa mama mmoja maana wote wamefanana sana na mimi, hata mama J akija kumuona hatauliza mtoto ni wanani kwani tumefanana sana.

Hili suala bado imebaki kuwa siri kwangu hata wazazi hawajui mpaka sasa navyoandika hapa. December hii Iryn atakuja Dar na bado najifikiri niende naye mkoani na mtoto kwa wazazi wamuone au niendelee kuvunga tu mpaka mtoto akue, au niwape taarifa na mtoto wa nje?, hapa bado nakosa majibu.

Iryn anataka kunizalia mtoto mwingine wa pili, amesema yeye anahitaji watoto sababu anaona ndo furaha kwake na jinsi tunavyoishi hata kama tuko mbali anaona mimi natosha kuwa mume wake. Unajua Iryn anajua fika mimi sijampendea kisa pesa zake na anafahamu fika mimi sina habari na pesa zake kabisa na ninamchukulia kama mama watoto wangu.

Niilimpa greenlight kama atapata mtu sahihi awe huru kuwa naye au kuolewa, lakini amegoma kabisa hataki kuzisikia hizi habari. Yeye anasema hakuna mwanaume wa kumpenda kama jinsi mimi navyompenda na hatamani kuwa na mtu mwingine kwa heshima yangu na mtoto, pia ameridhika kuwa mchepuko.

Kwa upande mwingine nilimwambia yeye ni mke mdogo na nimempa hiko cheo na ninaandaa mpango wa kumpeleka home akaijue familia yangu maana analea damu yetu, na yeye ana hamu kubwa sana.

Kipindi alichojifungua ndo nilijihakikishia Iryn sio mtu wa kawaida, unajua walikuja watu wengi sana kumuona kule South Africa, kuanzia friends zake zake wa chuo, ndugu zake wa Ethiopia nknk.

Kwa upande wa mimi na mama J mahusiano yetu yako strong sana kwasasa, japo baada ya Iryn kuondoka kuna mambo yalitokea lakini bado tuko pamoja na familia yetu inazidi kustawi na mwakani tunatarajia kufunga Ndoa rasmi kama Mungu akitujalia uhai.

Kwa upande wa my son Junior yeye kashakua mkubwa tayari na mwakani tunategemea aanze nursery mapema na atakuwa na 2.5yrs by January. Dogo kawa mtundu sana, ni mkorofi sana kupiga watoto wenzie kwake ni kitu cha kawaida ila huji kuta akiwapiga watoto wa kike.

December Iryn atakuja kama nilivyosema awali na tutadiscus mambo mengi sana ikiwemo kuhusu project ya kufanya kule Dodoma, suala lingine nilimwambia nikimaliza chuo nataka kufanya project zangu sitaki kuwa chini yake tena.

Nilimwambia yeye ni mke wangu kuendelea kunilipa mshahara naona kama dharau, so kama vipi tufungue kampuni ya pamoja au mimi nifanye mambo yangu. Baada ya kumpa hizi taarifa naona hajazipenda na amesema yuko tayari kunisikiliza ila hataki nifanye kazi na mtu mwingine kwani bado ananitegemea sana, akija mwezi ujao ndo tutafikia muhafaka.

Plan za Iryn akimaliza chuo anataka kwenda kuishi Ufaransa na mtoto maana kuna project zake mpya anazo kule. Pia hata yeye anapenda sana kuishi Ufaransa.

Mwisho, sikuwahi kuwaza kuja kuchepuka au kuzaa na mwanamke mwingine nje na mama J, nilianza kuchepuka kutokana na kutopewa tendo kwa wakati maana kama mwanaume uvumilivu ulinishinda na kile kitendo cha kuondoka kwenda kwao kisa Prisca na huku sijatembea naye, ukweli kilinikera sana.

NB: Nitaangalia kama nitawapa muendelezo hata mwakani huko lakini siwapi promise kwa hili, nitaangalia kama kuna code zozote zimefunguka kupitia hii story mpaka sasa na kama upepo ni shwari nitaangalia namna ya kuwapa.

“Katika maisha yangu sijawai kukutana na mrembo mzuri kama IRYN, nimeona wanawake wengi hapa dsm lakini Iryn alikua ni mwanamke mzuri sana ambaye amekamilika kila idara, nyie Mungu ni fundi sana, sio shepu, matiti, sura, lips, mguu, mweupe, sauti na mguu mzuri. Ningekua na uwezo ningetuma picha yake ila ndo hivyo sitoweza.

Ni mwanamke ambaye akipita lazima ugeuke umtizame nyie, kiukweli sikuijutia kazi yangu ya uber ni moja ya kazi ambayo ilinikutanisha na warembo wengi sana.
(EPISODE 07)
Swali Mkuu uliaga vipi kwa mama J kwamba unaenda SA for two weeks wakati anafahamu Irene yupo kule na wewe ukamfata

Kuhusu kupata mtoto wa kike hongera sana huyu ndiyo atakusaidia, Junior mara nyingi atakuwa na majukumu mengine

Endelea kutunza siri kwa mama J ikiwezekana asijekujua kipindi hiki labda baadaye sana huko, lakini mpeleke nyumbani kwa mama lakini muombe mama atunze siri hii

Ongeza watoto kwa Mrembo wako Iryn kadri uwezavyo maana wanapo pakupata mkate wa kila Siku

You are Nobody until Somebody Loves You.
 
EXTRA EPISODE 06
BY INSIDER MAN

Kwanini nimemuita Iryn ni Mrembo wa Ajabu?


Kabla ya kuandika hii story nilipata tabu sana kwenye kuchagua kichwa kutakacho beba jina la story, lakini target ya huu uzi ilikuwa ni Iryn.

Ningeweza kuandika heading nyingi tu lakini niliona hii ndo sahihi kutokana na jinsi tulivyokutana na tulivyoishi sababu tulipitia mambo mengi sana.

Kwangu Iryn nilikuwa namuona ni mtu wa ajabu, kwanza namna tulivyo kutana, pili maisha yake kwa ujumla kwangu mimi yalikuwa yananipa maswali sana, tatu utajiri wa wazazi wake na yeye pia, nne uzuri na urembo wake.

Nilikutana na Iryn kimaajabu sana kupitia hiihii bishara ya Uber, ukisoma vizuri wakati nakutana naye ilikuwa ni usiku sana afu nimechoka. Baada ya kupata request yake nilitaka kupiga chini ile request lakini nikaamua kwenda kibishi na ndo yeye kaja kunipa heshima ya kuwa baba mtoto.

Kama ningeipiga chini ile request ina maana nisingekuja kumfahamu mtu anayeitwa Iryn kwenye Maisha yangu, kuna msemo wazungu wanasema “everything happen for a reason.”

Tukija kwenye maisha yetu halisi huenda tunapishana na baraka nyingi na connections nyingi kwa kupuuzia tu, kama wewe dereva wa Uber unapata request ya kwenda Mbagala lakini hutaki kwenda, kumbe ilikuwa ni connection kwako bila kujua.


Iryn ni moja ya mwanamke mzuri na mrembo hapa Duniani na uzuri wake ni natural sio namsifia kumpa sifa ambazo hana, hapana ni moja ya mwanamke mrembo sana na amekamilika kila Idara (Episode ya 7 nilimuelezea kidogo). Hii ilinifanya nimuone Iryn ni moja ya mwanamke wa ajabu kukutana naye kwenye maisha yangu. Kuna muda ile mwanzoni nilikuwa nahisi maybe atakuwa sio kiumbe wa kawaida. Kitu kingine suala la kuwa mtoto pekee kwa mama nalo kilifanya nimuone Iryn wa tofauti sana.

Suala la mali na utajiri ambao familia yake unao kuanzia marehem mama yake, Mzee wake na yeye pia vilikuwa vinanipa maswali sana. Mzee wake Iryn anapesa sana na huko South Africa ana ma apartments kibao anayamiliki na bado ni mfanyabiashara mkubwa.

Nimeplay part kubwa sana ya kumuweka Iryn sawa maana alikuwa ni mtu wa mawazo sana, kitendo cha kuwa naye close mara kwa mara ndo kilifanya aanze kunipenda kwa kasi ya 5G.

Licha ya kufaham nina familia ila kwake yeye ilikuwa tofauti na aliendelea kunipenda tena ni upendo wa kweli. Tumepitia mambo mengi sana na sikuyaandika yote, niliyoandika ni baadhi tu.

Baada ya Iryn kwenda South Africa hapa katikati mambo mengi sana yalitokea, na yeye alikuwa anakuja Dar kuniona kama alivyo niahidi na ilikuwa ni kwasiri sana na hakuna aliyekuwa anajua hili. Amekuja sana Dar mpaka mimba ilivyokuwa kubwa ndo akaacha kuja na toka aondoke kwenda South Africa hajawahi kuonana na mama J tena.

Pia kuna mambo mengi sana yalitokea na mazito juu ya ujauzito wake na niliishi kwa stress sana ndugu zangu. Kwa upande wake alikutana na pingamizi kubwa sana hasa upande wa ndugu, lakini all kila kitu kilikwenda sawa na mwezi June 2023 alijifungua salama na tulipata mtoto wa kike.

Nilifurahi sana kupata mtoto wa kike japo nilikuwa najua kuwa nitapata mtoto wa kike lakini baada ya kujifungua na kujihakikishia kwa macho nilifurahi sana. Before hajajifungua mwezi wa sita nilikwenda South Africa kwa mara ya pili ili niwepo wakati wa kujifungua na nilikaa kule kwa week 2.

Siku anayojifungua nilikuwa naye hospital nikishuhudia kila kitu kule leba asee kule kama mwanaume unahasira utaishia kuwapiga madoctor[emoji23][emoji23], wanachokonoa sana K kwa mikono. All nashukuru Mungu alijifungua salama kwa kupush, na kama tulivyokubaliana mimi ndo nilimpa jina mtoto.

Mtoto wetu ana miezi 5 kasoro mpaka sasa na anakua vizuri, ana afya nzuri niseme she is so beautiful jamani na nimefanana naye copyright. Pia amefanana sana na kaka yake Junior, yaani siku wakija kukaa pamoja itaonesha ni watoto wa mama mmoja maana wote wamefanana sana na mimi, hata mama J akija kumuona hatauliza mtoto ni wanani kwani tumefanana sana.

Hili suala bado imebaki kuwa siri kwangu hata wazazi hawajui mpaka sasa navyoandika hapa. December hii Iryn atakuja Dar na bado najifikiri niende naye mkoani na mtoto kwa wazazi wamuone au niendelee kuvunga tu mpaka mtoto akue, au niwape taarifa na mtoto wa nje?, hapa bado nakosa majibu.

Iryn anataka kunizalia mtoto mwingine wa pili, amesema yeye anahitaji watoto sababu anaona ndo furaha kwake na jinsi tunavyoishi hata kama tuko mbali anaona mimi natosha kuwa mume wake. Unajua Iryn anajua fika mimi sijampendea kisa pesa zake na anafahamu fika mimi sina habari na pesa zake kabisa na ninamchukulia kama mama watoto wangu.

Niilimpa greenlight kama atapata mtu sahihi awe huru kuwa naye au kuolewa, lakini amegoma kabisa hataki kuzisikia hizi habari. Yeye anasema hakuna mwanaume wa kumpenda kama jinsi mimi navyompenda na hatamani kuwa na mtu mwingine kwa heshima yangu na mtoto, pia ameridhika kuwa mchepuko.

Kwa upande mwingine nilimwambia yeye ni mke mdogo na nimempa hiko cheo na ninaandaa mpango wa kumpeleka home akaijue familia yangu maana analea damu yetu, na yeye ana hamu kubwa sana.

Kipindi alichojifungua ndo nilijihakikishia Iryn sio mtu wa kawaida, unajua walikuja watu wengi sana kumuona kule South Africa, kuanzia friends zake zake wa chuo, ndugu zake wa Ethiopia nknk.

Kwa upande wa mimi na mama J mahusiano yetu yako strong sana kwasasa, japo baada ya Iryn kuondoka kuna mambo yalitokea lakini bado tuko pamoja na familia yetu inazidi kustawi na mwakani tunatarajia kufunga Ndoa rasmi kama Mungu akitujalia uhai.

Kwa upande wa my son Junior yeye kashakua mkubwa tayari na mwakani tunategemea aanze nursery mapema na atakuwa na 2.5yrs by January. Dogo kawa mtundu sana, ni mkorofi sana kupiga watoto wenzie kwake ni kitu cha kawaida ila huji kuta akiwapiga watoto wa kike.

December Iryn atakuja kama nilivyosema awali na tutadiscus mambo mengi sana ikiwemo kuhusu project ya kufanya kule Dodoma, suala lingine nilimwambia nikimaliza chuo nataka kufanya project zangu sitaki kuwa chini yake tena.

Nilimwambia yeye ni mke wangu kuendelea kunilipa mshahara naona kama dharau, so kama vipi tufungue kampuni ya pamoja au mimi nifanye mambo yangu. Baada ya kumpa hizi taarifa naona hajazipenda na amesema yuko tayari kunisikiliza ila hataki nifanye kazi na mtu mwingine kwani bado ananitegemea sana, akija mwezi ujao ndo tutafikia muhafaka.

Plan za Iryn akimaliza chuo anataka kwenda kuishi Ufaransa na mtoto maana kuna project zake mpya anazo kule. Pia hata yeye anapenda sana kuishi Ufaransa.

Mwisho, sikuwahi kuwaza kuja kuchepuka au kuzaa na mwanamke mwingine nje na mama J, nilianza kuchepuka kutokana na kutopewa tendo kwa wakati maana kama mwanaume uvumilivu ulinishinda na kile kitendo cha kuondoka kwenda kwao kisa Prisca na huku sijatembea naye, ukweli kilinikera sana.

NB: Nitaangalia kama nitawapa muendelezo hata mwakani huko lakini siwapi promise kwa hili, nitaangalia kama kuna code zozote zimefunguka kupitia hii story mpaka sasa na kama upepo ni shwari nitaangalia namna ya kuwapa.

“Katika maisha yangu sijawai kukutana na mrembo mzuri kama IRYN, nimeona wanawake wengi hapa dsm lakini Iryn alikua ni mwanamke mzuri sana ambaye amekamilika kila idara, nyie Mungu ni fundi sana, sio shepu, matiti, sura, lips, mguu, mweupe, sauti na mguu mzuri. Ningekua na uwezo ningetuma picha yake ila ndo hivyo sitoweza.

Ni mwanamke ambaye akipita lazima ugeuke umtizame nyie, kiukweli sikuijutia kazi yangu ya uber ni moja ya kazi ambayo ilinikutanisha na warembo wengi sana.
(EPISODE 07)
Maadam maisha yanaendelea hii stori inaendelea, kuna swala la Jeni, jinsi ulivyo pata chuo, ni misukosuko gani ulipata, mpaka Iriny anajifungua, mama Janeth baada ya.kujua mtoto ni wako amesemaje, vp kuhusu Marry vick, je ule upelelezi wa yule dogo kuhusu Prisca na jamaa anekuja pale, hi stori bado sana.
 
Back
Top Bottom