Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

SEASON 02
CHAPTER 06:

A TRUE STORY BY INSIDER MAN

PREVIOUS:
Mida ya saa 11 jioni simu yangu ilianza kuita ni Iryn alikuwa anapiga, kwanza nilishangaa maana sikutegemea kuwa ni yeye ambaye anapiga na nilipokea kwa haraka sana.

“Hey Darling za wewe?”

“Poa baby unaendeleaje?”

“I’m great, niko Serena Hotel, I am waiting for you, please be hurry and I miss you so much.”

“What? Upo serena hotel?”

“Yes baby, you don’t trust me? Please I need you here right now na mwanao kakumiss sana.”

“I am coming baby soon!”

CONTINUE:

Sikutaka kumlaumu kabisa kwanini alikuwa kaniblock maana niliona naweza sababisha matatizo mengine, ukizingatia alionekana kuwa kwenye mood nzuri.

Nilishusha pumzi nzito muda huu na nilianza kufikiri namna ya kudeal na Mary maana tulikuwa tushapanga tayari kuonana badae. Ukweli nisingeweza kutoka na Mary afu nimwache Iryn kitu ambacho kisingewezekana, kwa upande mwingine Iryn alikuwa kaharibu mipango yetu.

Niliwaza namna ya kumpanga Mary vizuri ili anielewe lakini nilikuwa nakosa namna ya kumweleza, niseme nini?. Kama ni sound nishampiga sana tena za kutosha na leo ndo ilikuwa final chance ya kuonana naye.

Niliamua niache kufucos na Mary na nifocus namna ya kumpanga mama J sababu nakwenda kukaa na Iryn huko hotelini na sijui itachukua muda gani. Mama J alikuwa yuko dukani kwenye goli lake hivyo nilimpigia simu na kumdanganya nakwenda Dodoma,

“Baby nimepata emergence nakwenda Dodoma mara moja sababu ofisi ya Ardhi watakuwa wanapima viwanja na lile eneo letu jipya kesho litapimwa. Nimeona ni busara nikaenda mimi kuliko kumtumia mtu baki maana tukizembea tunaweza kudhulumiwa eneo letu.”

Mama J hakuwa na shida kabisa na alinipa baraka zote maana ni jambo muhimu sana.

Baada ya kumalizana na wife niliingia bafuni kuoga na wakati najiandaa kwa upande mwingine Mary alianza kupiga simu. Na muda huu nilikuwa nafikiri sound ya kumpiga Mary na nilisema acha liwalo na liwe, siwezi kumkera Iryn kwaajili yake.

Niliondoka kwenda Posta na kipindi niko njiani nilimpigia simu Mary ili nimpange kuwa nimepata emergence ya msiba hivyo niko njiani naelekea. Mary kwa upande wake hakuwa na say lakini alionekana kumind sana, ukizingatia alikuwa kajiandaa tayari kwaajili ya mtoko. Ilibidi nimwombe msamaha sana kwa jambo hili, nilimwambia tutatoka next time.

Baada ya kumalizana na Mary niliwaza sana, Why nikitaka kutoka na Mary lazima jambo lolote litokee? Kuna siri gani hapa? Kwanini iwe kwa Mary tu?. Nilijiona kama sina bahati naye na mimi nilijisemea sometimes huwezi jua mipango ya Mungu ananiepusha na nini.

Saa 12 za jioni ndo muda ambao nilikuwa nawasili Serena Hotel, pale reception niliweza kufanya utambulisho na nilikwenda moja kwa moja mpaka room ya Iryn. Niligonga mlango na haikuchukua muda alifungua na ile kuingia ndani tu! Nilipokelewa kwa kumbatiwa ni kama alikuwa akinisubiri kwa hamu sana pale.

“Baby I have missed you so much.”

Kwa upande wangu sikuwa na say zaidi na mimi niliendelea kumkumbatia na nilikuwa nikivuta harufu nzuri sana kutoka kwake. Joto nililokuwa nalifeel pale nilijikuta mnara umeanza kusaka mawimbi ghafla, hata yeye alianza kuhisi kitu kigumu kikimtekenya.

“Baby I can feel your Cock.”

Palepale tulianza kupeana makisi hatukuwa hata na muda wa kuongea ni romance zilianza na ndani ya muda mfupi nilikuwa nashuhudia uumbaji wa Mungu live. Jinsi nilivyokuwa nime-mmiss na ule uzuri wake RPG yangu ilizidi kuwa ngumu sana. Zoezi la kutengeneza njia ya mtoto ilifanyika barabara na baada ya hapo tulianza maongezi na muda huu alikuwa kajilaza kwenye kifua changu,

MIMI: “Baby mimba inakufanya unazidi kuwa mzuri.”

Ni kweli Iryn alionekana kuwa mrembo sana kuliko siku zote.

IRYN: “Hata wewe nakuona umebadilika baba mtoto, hii mimba imenipenda hainisumbui sana.”

MIMI: “Na kwanini umekuja bila kunipa taarifa?”

IRYN: “Baby I wanted to suprise you.”

MIMI: “Unajua kabisa mama J mambo yake, ungesema mapema unakuja mimi ningefanya maandalizi hata kuja kukupokea, sijapenda.”

IRYN: “Baby unatakiwa utambue mimi na mama J wote ni sawa, do you want to tell me that you only care about her? What about me?”

MIMI: “I do care about you.”

IRYN: “Seems unataka kuondoka uniache alone here, na nitakuwa na wewe hapa mpaka naondoka.”

MIMI: “Mimi niko na wewe mpaka unaondoka, ukweli nimekumiss sana na natamani urudi Tanzania ili niwe nacheza na mwanangu kama hivi.”

Iryn aliniangalia kwa tabasamu zuri sana maana maneno niliyompa yalikuwa matamu kwake na alisogea ili niendelee kumchezea tumbo.

“Kwanini ulini-block?”

IRYN: “I didn’t want to talk to you.”

MIMI: “Unamaaninisha nini?”

IRYN: “Mkataba wetu unaukumbuka? Sasa wewe endelea kufanya upuuzi wako, I think humtaki huyu mtoto ndomana unafanya hivi. Do you love Asmah? I am asking you.”

MIMI: “Sielewi point yako unamaanisha nini, na kwanini useme hivyo? Unanikosea heshima baby.”

IRYN: “Soon unakuwa baba wa watoto wawili, Insider tulia na focus na future za hawa watoto kwasasa achana na hawa akina Asmah maana watakusababishia matatizo. Nina appreciate kwa kazi mnayofanya kwenye kampuni lakini unavuka mipaka. How come you are dating the woman you had sex with? It's just like opening the Fanta and putting it on the table, ready for whenever you want to drink it again.”

MIMI: “Baby mimi naona wivu wako umevuka mipaka, Asmah tumetoka out ile juzi baada ya kumaliza mafunzo. Kumbuka mimi ni manager na ingekuwa ngumu kuwakatalia ndomana nilijumuika nao na nilirudi home mapema sana ile siku.”

IRYN: “Na kilichokuwa kinafanya msipokee simu ni nini? Kama hakukuwa na tatizo lolote?”

MIMI: “Simu ilikuwa kwa gari ndomana lakini hakuna kinachoendelea na hakiwezi kutokea.”

IRYN: “Be careful with this, by the time I turn around, our history will be over. Usinione mjinga sana kwa maamuzi niliyofanya ukajiona ume win, still ni mapema sana.”

Ni maneno aliyotoa Iryn na alionekana kuwa serious sana na kauli zake, lakini kwangu mimi ni kauli ambazo ziliniingia sana na niliona kweli nazingua.

“Baby tunaenda Capetown kula prawns sindio?”

MIMI: “Jiandae tuondoke ndo mida yenyewe hii.”

Tuliingia bath kuoga na nilitumia nafasi yangu kumuonesha utundu wangu kumuogesha, kwa upande wake alifurahi sana kwa kitendo nilichofanya. Kadri ya muda unavyozidi kwenda tulianza utoto wa kumwagiana maji mle ndani na tulijikuta tukianza tena kwichi kwichi.

Baada ya kutoka Iryn alifungua bag lake na alitoa zawadi alizoniletea kutoka Ufaransa ikiwemo perfume, nguo na raba. Muda huu aliendelea kujiandaa na ndani ya muda mfupi alikuwa kapendeza sana, niliishia kumwagia masifa pale.

Kwa upande mwingine tumbo lake ilikuwa bado dogo sana na hakuonesha kuwa na mimba. Tuliondoka huku tumeongozana na nilikuwa nimemshika kwa mkono wa kushoto na mkono wa kulia nilikuwa nimeshika handbag yake.

Tuliishiwa kupigwa macho mpaka tunafika parking ukizingatia jumamosi huwa panakuwa na movement ya watu sana pale hotelini. Iryn ni mwanamke mzuri sana pale ambapo utafanikiwa kumwona kwa mara ya kwanza lazima ugeuke umtizame kwa mara ya pili. Baada ya kufika kwa gari nilimfungulia mlango akaingia, nilikuwa namtreat kama malkia na yeye aliishia kufurahi tu. Ukweli tulikuwa tumemisiana sana-sana na story ziliendelea,

IRYN: “Darling mama kanambia unataka kurudisha hii gari, why?”

MIMI: “My turn! Why hukunambia hii gari ni yako?”

IRYN: “Mama ndo anasema hivyo but its okay, wewe endelea kuitumia tu!”

MIMI: “I wish lakini kwa hii gari hapana nitakuwa naendesha mara moja moja, kwa usalaama zaidi.”

Na muda huu nilikumbuka lile sakata la picha za ultra-sound.

“Hivi unajua mama J aliziona zile picha za vipimo vya ultra?”

IRYN: “My God! How did she get those pictures?”

MIMI: “Ulisahau kwenye gari, sijui alikuwa anatafuta nini akaziona japo…..”

Nilikatishwa maongezi yangu,

IRYN: “Then ilikuwaje?”

MIMI: “Nilimwambia hizo picha sio zako, japo yeye anaamini wewe ni mjamzito na umeondoka Dar kisa hiki. Why ulizisahau kwa gari? Kama mama Janeth angelitumia gari si angeziona?”

IRYN: “I don’t know how I forgot but nakumbuka sheet ya mwanzo niliitoa nikaichana.”

MIMI: “Na hii ndo ilisaidia otherwise siri ingekuwa ilifichuka. Itabidi uende ukamtembelee mama J hata kesho baby, ili aridhike.”

IRYN: “Sawa no problem nitakwenda kesho mchana kumsalimia mke mwenza.”

MIMI: “Why mchana huoni kama anaweza akahisi wewe ni mjamzito?”

IRYN: “Hii mimba inanisumbua sana nyakati za usiku ndo huwa najisikia vibaya ila sio sana. Nikienda usiku inaweza kuwa mbaya zaidi bora niende mchana, nitavaa gauni langu.”

MIMI: “Mama alikuja South mlionana?”

IRYN: “Yeah tulionana but she was so busy, How the hell did she find out you have a child?"

MIMI: “Niseme ilikuwa surprise maana nilikwenda na Junior ofisini jumamosi.” Ilibidi nimpe mkanda mzima jinsi ilivyokuwa,

IRYN: “Mama alinipigia simu akanambia kila kitu, japo alionesha kutopenda hii siri tuliyomficha. But nilimwambia hayo ni maisha yako binafsi na suala la wewe kuwa na familia halina impact na kazi.”

Ndani ya dakika 20 tulikuwa tumewasili pale Capetown kwa bahati mbaya kwa siku za weekend pale huwa panajaa sana, hivyo ilibidi tupark gari mwanzoni kabisa. Maeneo kama haya huwezi wakosa Masai na ndo aliyenipa nafasi ya parking na nilimsisitiza sana ulinzi wa ile gari.

IRYN: “Hey mpenzi tunakuachia gari yetu tulindie eeh! Nikirudi nitakufurahisha.”

MASAI: “Tajiri unamiliki kisu hatari sana, unakojolea pazuri sana.”

MIMI: “Masai wewe ilinde hii gari ndani ya saa 2 tutakuwa tumerudi.”

Iryn aliishia kutabasamu tu maana maneno ya Masai yalionekana kumfurahisha sana. Na aliniuliza kwanini Masai huwa wanatabia ya kuongea maneno kama haya tena bila aibu?. Licha ya sifa zote ambazo huwa anamwagiwa lakini yeye kwa upande wake huwa anajiona wa kawaida tu.

Niliimshika mkono kama kawaida yangu na tuliongozana kuingia ndani na niseme njiani macho yote yalikuwa kwa Iryn. Tulipokelewa na tulioneshwa sehemu ya kukaa na tulifanya kuagiza prawns na maongezi yaliendelea maana tulikuwa na vitu vingi sana vya kuongea.

Mpaka tunafika pale Capetown nilikuwa natamani sana kusikia taarifa za kutoka huko Ufaransa pamoja na Ethiopia kwa ujumla.

MIMI: “Baby now ni muda wa kudiscuss kilichokupeleka Ufaransa.”

IRYN: “Thank God everything went well, next month tunaweza kuanza business.”

MIMI: “Nimefurahi sana kusikia hivyo, ni project gani?”

IRYN: “Baby you know siwezi kutoka out na field ya Beauty. Pia sikukwambia South nimefungua biashara hiohio ya beauty na massage.”

MIMI: “Najivunia kuwa na wanawake wapambanaji hata mama J anafanya vizuri kwa nafasi yake.”

IRYN: “Mama J anaakili ya biashara ana mipango yake mingi tu huwa anashare kwangu.”

MIMI: “Nafurahi kuona mnapatana, na vipi kuhusu Ethiopia?.”

IRYN: “Sijakwenda baby maana mwezi ujao nitakwenda kwaajili ya ukumbusho wa kifo cha mama. Pia nilitaka kukwambia itabidi twende wote baby, I really need your company there, ukawajue na ndugu zangu taratibu.”

MIMI: “Mhhh! Hii ni bad idea utanitambulishaje kule? Na hio mimba vipi?”

IRYN: “Come down kinachofanya uogope ni nini? Nikuzalie mtoto afu home usijulikane? Unaona ina make sense?. Okay, mimi mpenzi wako unataka niende alone kwenye tukio muhimu kama hili?

Suala la kwenda Ethiopia kwangu mimi niliona ni mtihani maana niliwaza najiwekea kitanzi shingoni mwenyewe. Na muda huu Iryn alianza kubadilika na furaha yake ilianza kupotea, ilibidi nikubali kinafiki ili kurudisha furaha yake.

MIMI: “Baby sijamaanisha hivyo, will go together na tutakaa muda gani?”

IRYN: “Maximum three days.”

Na muda huu kwenye luninga ilionekana match ya Argentina na Mexico ikitaka kuanza na macho yangu yote yaliekeza kwenye luninga, ukizingatia mimi ni shabiki wa Argentina. Hii game nakumbuka nilikuwa naingalia kwa presha sana maana tulikuwa tunahitaji kushinda, afu sasa Argentina ikawa inacheza kama haitaki ushindi.

MIMI: “Baby wewe timu gani unashabikia kombe la Dunia.?”

IRYN: “France always and forever, kwa huo userious ulionao kwenye hii match wewe ni Argentina.”

MIMI: “Yeah baby

Mpaka kufikia half-time hii game ilikuwa bilabila na muda huu Iryn alianza kujisikia vibaya maana alisema anajisikia kichefu chefu. Nilimpa kampani kwenda washroom na mimi nikamsubiri mpaka anatoka, lakini baada ya kumwambia tuondoke alinigomea katukatu.

Kipindi cha pili dakika ya 60 na Messi anaweka goli wavuni watu tulipiga kelele balaa ilikuwa ni furaha sana kwetu hii siku. Mpaka game inaisha tulishinda 2-0 na sisi ndo kuondoka kwenda kulala.

Jumapili asubuhi Iryn alikuwa wakwanza kuamka, aliniamsha kwaajili ya breakfast na tuliongozana kwenda restaurant. Wakati tuko pale Iryn aliomba twende wote kwa Jane ili amsalimie, then wakati tunarudi apitie kwa Mama J amsalimie naye.

Saa 4 asubuhi ndo muda ambao tulitoka kwenda Mbweni na baada ya kuwasili maeneo yale, kulikuwa na magari uwanjani na mimi niliwaza lazima kuna wageni wakutosha huko ndani.

Baada ya kuingia ndani sebleni nilikutana na Mary, Vicky, mama yake na Pama nk na walikuwepo wageni wengine ambao siwajui. Jane alikuwepo pale sebleni na niliweza kumtambua best yake Mary wa kule Palm village.

Iryn confidence kwake ni suala dogo sana na aliwasalimia wote, alikwenda mpaka usawa wa Jane akamsalimia kisha akaomba kumbeba mtoto. Muda huu Mary macho yote yalikuwa kwa Iryn maana ilikuwa ni surprise afu hata mimi sikutegemea kukutana na Mary pale.

IRYN: “Dada Jane hongera sana, Insider alinipa taarifa nikaplan nikija Tanzania nije kukusalimia.”

JANE: “Thanks sana dear nakumbuka tulikuwa wote kwenye msiba ule usiku, nashukuru sana kwakuja.”

Iryn hakuwa mgeni machoni mwa baadhi ya watu pale seblen maana wengi wanamjua kasoro wageni ambao hawamfahamu ndo walikuwa wakimshangaa. Kwa upande mwingine mama yake Jane naye alionesha kufurahi sana kumwona Iryn na kila mtu pale alifurahi.

Iryn aliendelea kupiga story na Jane, kwa upande wangu nilikuwa naongea na mama yake Jane kuhusu maendeleo ya Jane kwa ujumla. Baada ya dakika 20 nilitoka kwenda nje kibarazani na haikuchukua muda Vicky alitoka pale nje na nilisikia akiniita,

VICKY: “Insider….”

MIMI: “Nambie Vicky za masomo?”

VICKY: “Safi, hivi yule dada uliyekuja naye nilimwona kipindi cha msiba ni nani?”

MIMI: “Vicky na wewe kwa maswali kama Police, na ukimjua ni nani itakusaidia nini?”

VICKY: “Insider kwanini unamajibu ya kukera? Nimekukosea nini?”

MIMI: “Yule dada ni Bossy wangu ndo ananiweka mjini hapa. Vipi umeridhika sasa?”

VICKY: “Nimeona da Mary anamwangalia sana mimi nikahisi labda ndo mke wako.”

MIMI: “Hapana sio mke wangu na Mary anamjua ndomana.”

VICKY: “Ni mzuri kwakweli amebarikiwa, kingine tarehe ya Mbwa kuchoma chanjo imekaribia. Naomba uongee na yule doctor aje kuwachoma chanjo.”

MIMI: “Usijali nitamkumbusha pia hata yeye atatupigia simu kutukumbusha, nafurahi kuona upo makini.”

Tuliendelea kuongea na Vicky pale nje kibarazani na nilimuomba akaniitie Mary ili niweze kuongea naye pale nje. Baada ya Vicky kurudi jibu alilonipa ni kuwa amesema anakuja na tukaendelea na story pale. Ilipita dakika 15 Mary hajatokea, nikawaza huenda atakuwa kachukia tena na kitendo cha kwenda na Iryn pale ndo nimeongeza petrol kwenye moto.

Vicky naye alihisi something fishy kinaendelea kati yetu hasa kitendo cha Mary kutokuja pale nje na alianza maswali kama kawaida yake, lakini sikumwambia chochote na nilirudi ndani.

Baada ya kurudi seblen Iryn alikuwa bado kamshika mtoto, na mimi niliishia kumpiga madongo pale na nikaanza kuongea na Jane. Haikuchukua dakika 5 Mary alisimama na best yake na wakamuaga Jane kuwa wanaondoka, lakini ilikuwa tofauti kwangu, hakunisemesha wala nini na wakaondoka.

Iryn aliusoma mchezo mzima unaondelea pale lakini niliishiwa kupigwa jicho, lakini kwa upande wa Jane yeye alinyamaza kimya maana ndo masta plan.

Tulitumia kama masaa 2 pale kwa Jane, na kabla ya kuondoka Iryn alimuomba Jane ampe Bank account No. ili amtumie pesa ya zawadi ya mtoto. Jane alitusindikiza mpaka nje, Iryn ndo alikuwa wakwanza kuingia kwa gari na sisi tuliendelea kuongea.

Mchezo mzima uliofanyika pale seblen Jane aliuona na alinambia next time tutakayo onana itabidi tukae chini tuongee. Maana stage aliyofikia Mary ni mbaya zaidi hivyo hatuna budi ya kumaliza tofauti zetu, ukitegemea sisi ni zaidi ya ndugu kwake.

Niliagana na Jane na yeye aliishia kumsifia Iryn pale na ile kuingia kwa gari maswali yalianza,

IRYN: “Darling! Kwanini yule dada hajakuaga wakati anaondoka pale kwa Jane?”

Lilikuwa ni trick question kwangu na sikuwa natarajia kuulizwa swali kama hili muda huu, na sikujua najibu nini.

MIMI: “Baby kwanini unauliza hivyo?”

IRYN: “I know yule ni dada yake na yule girlfriend wako, lakini kitendo cha kuondoka bila kukuaga kinatia maswali. What the f*ck is really going on?.”

MIMI: “Baby sikia toka niachane na mdogo wake hatukuwahi kuonana na leo imekuwa surprise. Reason ya kutoniaga sidhani kama ni big topic ya kudiscuss hapa.”

IRYN: “Doesn’t make sense to me! Insider mimi sio mtoto wa kudanganywa na kwa jinsi nilivyomuona kuna something kinaendelea kati yenu, huu ni ukweli ambao huwezi kuukubali. “

MIMI: “Maybe hajapenda mimi kuachana na mdogo wake you never know.”

IRYN: “Anyway tuachane na haya, now nakwenda kuonana na mama J. Tupitie supermarket ili ninue na vitu vya kupeleka, then ninunue na zawadi kwaajili ya Junior.”

Tulikwenda Shopperz ya pale Mbezi Beach kwaajili ya shopping na alinunua mazaga kibao ya kupeleka. Hatukutumia muda mrefu sana na tuliondoka, baada ya kuwasili Rainbow nilipark gari pale GBP na nilifanya kurequest usafiri wa kumpeleka home. Uber ilikuwa imeshasogea pale, hivyo tuliagana na mimi niliondoka kwenda Mikocheni Triple 7 kumsubiri maeneo yale.

Mida ya saa 11 jioni nilipata ujumbe kutoka kwa Iryn kupitia whatsapp na baada ya kufungua alikuwa kanitumia picha ambayo iliwaonesha akiwa na mama J pamoja na Junior. Mimi nilifurahi sana kuona wake zangu wanafuraha na wakati nikiendelea kuizoom ile picha, alituma text kuuliza niko wapi? Na chap nilimwambia nilipo.

Saa 12 jioni Iryn alikuwa kawasili pale Triple 7 na tulianza safari ya kwenda Masaki Coral beach Hotel. Kipindi tuko njiani alikuwa ananipa mrejesho wa kilichokuwa kianendelea kule home na alisema mama J kafurahi sana na mimi nilimuuliza ataondoka lini?.

MIMI: “Baby hujanambia unaondoka lini?”

IRYN: “Niliplan kuondoka kesho but nitaondoka jumatano. Nataka kesho tukawasalimie team yangu.”

MIMI: “What? Mama J hawezi nielewa kabisa na leo akiona kimya ataanza kusumbua.”

IRYN: “Darling unatakiwa ujue mimi pia nina haki ya kuwa na wewe maana ushakuwa baba mtoto kwangu kama mama J. Kama hutaki niendelee kuwa hapa Dar nambie niondoke but sitaki uanze kunipa masharti utafikiri mimi sina umuhimu kwako.”

MIMI: “Baby sijamaanisha hivyo, kwanza tambua umekuja bila taarifa na hapa umekosea sana, pia mazingira yangu unayajua vizuri.”

IRYN: “I told you before nikitoka France nitapitia Tanzania for you au umesahau?. Na kesho tutakwenda wote kumsalimia mama na utakaa na mimi mpaka naondoka.”

Bhasi ilibidi niwe mpole tu maana sikuwa na jinsi na niliamua kunyamaza kimya na muda huu alianza kunichezea ndevu taratibu.

Break yangu ilikuwa Coral Beach hotel na nilishangaa sana kumuona rafiki yake Claire akitusubiri pale. Kwangu mimi sijukua kama tungeonana naye na Iryn alinambia alimpa taarifa best yake ya kukutana hapa.

Claire baada ya kumwona Iryn alikuja spidi wakakumbatiana na muda huu mimi nilikuwa kama mpenzi mtizamaji. Baada ya kumalizana na Iryn, Claire alisogea kwangu na tukasalimiana na tukaondoka kwenda kukaa usawa wa beach.

Claire na Iryn walionekana kumisiana sana maana hata baada ya kukaa pale waliendelea na story na nilitega sikio vizuri baada ya Claire kumuuliza Iryn kuhusu maendeleo ya mimba. Nilikuwa nataka kusikia Claire akiongea nini, lakini nilijua hawezi kuwa huru kama mimi nikiendelea kuwepo pale. Niliwaza niweke voice record afu niage nakwenda washroom na simu nitaiacha mezani ili niwape uhuru wa kuongea.

Nilikuwa namwona Claire kama ni snitch kwangu, hivyo ilibidi nitumie mbinu za kijasusi kuwajua maadui zangu. Niliweka simu kwenye voice record na nilimuaga Iryn nakwenda washroom kisha nika-mkiss shavuni. Niliwaacha pale wakiendelea na story na nilikwenda washroom kisha nikazuga kwa dakika 10 ndo nikarudi.

Baada ya kurudi walionekana kucheka na mazungumzo yao yalikuwa ya kawaida, nilichukua simu yangu na ilikuwa bado inarecord, nikaiweka mfukoni. Muda huu Claire alianza utani wake kwangu,

CLAIRE: “Shem unanitupa sana utafikiri huijui apartment yangu?.”

MIMI: “Sijapewa ruhusa ya kuja kwako, soon nikipewa nitakuja shem.”

IRYN: “Claire thubutu, aje kwako kufanya nini?.”

CLAIRE: “Jamani si shem wangu kuna tatizo akija kunipa salamu?.”

IRYN: “Darling na usithubutu kabisa kwenda I said NO.”

Mimi nilinyamaza kimya sikutaka kusema kitu na muda huu nilikuwa busy na chakula changu.

Saa 4 usiku tuliondoka lakini tulianza kumdrop Claire Mariana apartments na tukaendelea na safari ya kurudi Serena. Wakati tuko Tanzanite Bridge kwa upande mwingine simu yangu ilianza kuita na alikuwa ni mama J akipiga.

“Mama J anapiga lazima anauliza narudi lini.?”

“Pokea msikilize anasemaje.”

Baada ya kuongea na wife ilibidi nimdanganye kuwa nimeshindwa kufanikisha mpaka kesho jumatatu. Wife alinielewa kwa upande wake na muda huu tuliishia kupigana macho na hakuna aliyemsemesha mwenzie mpaka tunafika hotelini.

********
Asubuhi mimi ndo nilikuwa wakwanza kuamka na ilikuwa saa 3 asubuhi tayari, nilimuasha Iryn ili tukaoge then tuondoke, lakini akanambia nisubiri kwanza anamalizia kutype assignment ili asubmit.

Mimi nilitoka kwenda parking kuchukua laptop yangu ili nipitie report za weekend before sijakwenda na Iryn kule ofisini. Sasa baada ya kurudi nilikuta Iryn anaongea na simu, sikumzingatia, sasa ile kusogea ndo naona ni simu yangu.

“Huyu hapa amerudi ngoja nikupe uongee naye.”

Muda huu nilikuwa nimepigwa na butwaa nilijiuliza anaongea na nani huyu mwanamke? Na alinipa simu yangu, ile kuangalia naona ni mama yangu mzazi. Nilimind sana na ilibidi nitoke chumbani ili niweze kuongea na mama,

MIMI: “Mama shikamoo mnaendeleaje huko?”

MAMA: “Tuko salama mwanangu, huyo aliyepokea simu ni nani mwanangu?”

Moyo ulipiga PAAAH! Nikajisemea Iryn kashafunguka nini? Na kama hajafunguka nimjibu nini mama?, niliwaza kwa haraka sana pale.

MIMI: “Mama kwani yeye kajitambulishaje?”

MAMA: “Hamna kapokea simu kanisalimia kwa adabu, akauliza maendeleo yangu na hapa nyumbani, wakati nataka kumuuliza yeye ni nani ndo kunambia wewe umerudi.”

MIMI: “Ooh! Ni bossy wangu mama yule nilokwambia kipindi kile.”

MAMA: “Sawa mwanangu anaonekana ana nidhamu na adabu sana.”

MIMI: “Hana shida kama utawahi kuja utamuona umfahamu pia.”

MAMA: “Mimi nakuja jumamosi hii na harusi itakuwa next week tarehe 10.”

MIMI: “Sawa mama karibu sana, nikukatie tiketi ya ndege au unakuja na bus?”

MAMA: “Mwanangu hiyo hela ya ndege si bora unipe niongezee mtaji kwenye biashara yangu ya kuku?”

MIMI: “Hahahaa mama kupanda ndege sahivi hata maskini tunapanda ni cheap.”

Wakati naendelea kuongea na mama ghafla Iryn alikuja na akanikumbatia kwa nyuma na mikono yake aliizungushia tumboni. Mimi sikutaka kuendelea mazungumzo na mama, hivyo tukaagana pale na nilimgeukia Iryn,

MIMI: “Baby kwanini umepokea simu ya mama? Huoni utaniweka matatizoni kama ataongea na mama J?”

IRYN: “Baby nilitaka kuisikia sauti ya mama, then hata hatujaongea sana na mama. Baby nataka wewe mwenyewe unitambulishe kwa mama mkwe wangu, hiki ni kiumbe chako kina haki ya kumjua bibi yake sawa?”

MIMI: “Sio kwasasa lakini, baadae huko nitakutambulisha taratibu.”

IRYN: “This is for your child not me.”

Iryn alirudi chumbani na mimi niliendelea kubaki pale koridoni na nilianza kuona Iryn anazingua mapema sana, kaanza kusema yeye na mama J ni sawa. Tena anaanza habari za kutaka kutambulishwa kwa mama yangu, yaani daah niliona kadri siku zinavyokwenda na mambo yanazidi kuwa magumu.

Saa 5 asubuhi tuliondoka na kila kitu pale hotelini maana alisema atakwenda kumalizia siku zake pale Coral hotel, Masaki. Tulianza kwanza kwenda ofisi ya masaki na baada ya kufika pale, Hilda ndo alikuwa wa kwanza kumuona Iryn pale reception na wakasalimiana.

Ilikuwa ni surprise maana hatukutoa taarifa ya ujio wake na wakati Hilda akiendelea kushangaa, wafanyakazi wengine walikuwa wamemwona na kelele zilianza na kila kila mtu alitoka pale reception kwaajili ya kumwangalia.

Mimi nilikwenda ndani ofisini, nilimkuta Asmah akiendelea na kazi zake na tukasalimiana pale lakini alionekana kuwa busy, nikaendelea na mambo yangu.

Baada ya dakika 10 Iryn aliingia ofisini na Asmah baada ya kumuona Iryn alishtuka sana maana hakutegema ujio wake kabisa, na Asmah aliniangalia kama mtu ambaye amemind kwanini sijampa taarifa?.

Asmah alionekana kumwogopa sana Iryn na mimi nilikuwa makini sana kumsoma muda huu, Iryn alimsalimia Asmah afu akakaa kwenye coach.

IRYN: “Asmah kipenzi changu habari yako?”

ASMAH: “Safi bossy karibu sana, umeamua kutufanyia surprise.”

IRYN: “Na nitakuwa nawasurprise sana this time.”

Kwa upande wangu niliona ni busara nikaondoka maeneo haya ili niwaache waongee kwa uhuru maana Asmah alikuwa na kesi za kujibu kwa Iryn. Nilitoka nje nikawa napiga story na mlinzi pale getini na baada ya dakika 20 hivi Iryn alitoka na kunipa ishara ya kuondoka.

Safari yetu ilikuwa kwenda Mikocheni na alisema tunavyorudi ndo tutapitia kumsalimia mama Janeth ofisini kwake. Ndani ya muda mfupi tulikuwa pale getini na baada ya kuingia ndani tuliwakuta akina Julieth pale reception na baada ya kumwona Iryn walikuja speed sana kumkumbatia. Kutokana na zile kelele za pale reception haikuchukua muda Lucy naye alitoka na baada ya kumwona Iryn walikumbatiana.

Lucy ndo kipenzi pekee cha Iryn kwa wafanyakazi wote, pia Iryn anawapenda sana wafanyakazi wa Mikocheni kuliko Masaki. Iryn aliendelea kupiga nao story pale na mimi niliingia ndani ofisini, haikuchukua muda Lucy akaja,

LUCY: “Insider unatabia mbaya sana, hivi kwanini hujanambia kama Iryn karudi?”

MIMI: “Hata mimi hakunambia na mimi nikaamua nisiwambie.”

LUCY: “Unatabia mbaya sana, amezidi kuwa mzuri sana wifi yangu.”

MIMI: “Usifananishe South na Dar mama, Dar chafuchafu hii.”

Na muda huu Iryn aliingia tukaanza kupiga story kwa pamoja pale na baadae alisema tutoke na team yote tukapate lunch ya pamoja pale Golden fork.

Baada ya kupata lunch ya pamoja tuliwaaga na tukaondoka kurudi tena Masaki na tulianza kwanza kupitia ofisi ya mama Janeth. Baada ya kufika pale getini kama unavyojua ile ni organization kubwa hivyo ukaguzi wake huwa mkubwa sana.

Iryn alijitambulisha na uzuri wanamjua hivyo tuliruhusiwa kuingia ndani. Tulikwenda moja kwa moja mpaka pale reception na Iryn aliomba kuonana na mama. Japo alimwambia dada asimwambia mama kama ni yeye maana anataka kumsurprise.

Ilimchukua dakika 20 mama kutoka na hakuamini kumuona Iryn pale ofisini na waliishia kukumbatiana kwa furaha sana. Mama alikaa chini na tukaanza kupiga story na alisema kesho ataondoka kwenda USA. Iryn alimwambia kafikia Coral hotel na badae atakwenda kumsalimia akirudi toka kazini, japo mama hakupenda kuona Iryn kafikia hotelini.

Baada ya kuagana na mama tuliondoka kwenda hotelini maana Iryn alionekana kuchoka sana. Baada ya kuwasili pale hotelini tulipelekwa mpaka kwenye room yetu. Nilimuacha Iryn apumzike na nilikwenda kuangalia Worldcup Samakisamaki na nilikutana na yule Jamaa ambaye mara ya mwisho tulikuwa pamoja kwenye game ya Ufaransa. (Huyu jamaa tumuite Allan).

Hii siku niliweza kumjua Allan vizuri na alinambia yeye ni Auditor na anafanyia kazi moja ya Auditing firm kubwa hapa nchini. Tuliongea mambo mengi sana kuhusu uhasibu na alinishauri sana nifanye mitihani ya CPA kama muda ninapata na atanisaidia sana kwa hili.

Mida ya saa 1 usiku Iryn alinipigia simu kuuliza niliko maana alikuwa hanioni, nilimwambia naangalia match Samakisamaki. Na akanambia anakwenda kumsalimia mama Janeth kwake, then anavyotoka atanambia nikamchukue. Muda huuhuu niliwasiliana na mama J na nilimwambia nitarudi home jumatano mchana kwani mambo hayajakwenda vizuri bado.

Mida ya saa 2 za usiku alinipigia simu kunipa taarifa nikamchukue ili turudi wote hotelini. Nilimuaga Allan then nikaondoka kwenda kumfuata pale kwa mama. Baada ya kufunguliwa gate kwa mbali niliwaona wamesimama wakiongea na mimi baada ya kushuka nilikwenda nikamsalimia mama.

Mama Janeth alimsisitiza Iryn suala la kuanza mchakato wa kuandaa Financial statements mapema. Kwa upande mwingine mama aliniaga anaondoka kwenda USA na alisema atachelewa kurudi, pia alinikumbushia suala la kumsaidia usafiri yule mgeni wake.

Iryn aliagana na mama yake kwa kukumbatiana na sisi tukaondoka maeneo haya kurudi hotelini. Iryn aliniomba tukifika hotelini twende swimming pool kwani amemiss sana kuswim na angependa twende wote, ofcourse anajua mimi sio mpenzi na haya mambo.

Baada ya kuwasili tulikwenda room kubadilika chap na tukaenda swimming maana Iryn anapenda sana kuswim na yuko vizuri. Kwangu mimi nilitamani sana kujua mipango yake hasa baada ya kumaliza chuo na nilitamani kujua ataishi wapi?. Yeye kwa upande wake alinambia angependa sana kuishi Ufaransa na watoto kwa hapo baadae ila kipindi hiki ataendelea kuishi na mzee wake.

MIMI: “Baby siku ambayo mama Janeth atagundua huo ujauzito ni wangu unafikiri itakuwaje? Si atanichukia sana?”

IRYN: “Why akuchukie? Wewe ndo uliyeni-force mimi nibebe hii mimba?. Insider embu jiamini, pia tambua kwenye hii Dunia huwezi pendwa na kila mtu.”

MIMI: “What do you mean?”

IRYN: “Wewe unamuona mama kama mtu mkamilifu sana lakini leo nakwambia ukweli kuhusu yeye. Nitashangaa sana kuona kama atakuchukia kwa hili wakati hata yeye amefanya haya, sidhani kama atakuwa na hii jeuri otherwise awe anakupenda.”

MIMI: “Baby ujue sikuelewi haya unayoongea ni nini ambacho kinaendeelea?”

IRYN: “Mama ana watoto watatu lakini kila mtoto ana baba yake. Na yule mtoto wa mwisho wa mama (Smith)ni mdogo wangu wa damu kabisa…”

Na nilimkatisha maongezi yake,

MIMI: “What? Babe sikuelewi ujue kwamba Mama Janeth kazaa na Baba yako?”

IRYN: “Insider hivi huoni Smith kafanana sana na Baba yangu Mzazi?”

TO BE CONTINUED

Kwa hi si ilikwishaga au imekuwa isidingo the need
Ndiyo kwanza imeanza upyaaa
 
SEASON 02
CHAPTER 06:

A TRUE STORY BY INSIDER MAN

PREVIOUS:
Mida ya saa 11 jioni simu yangu ilianza kuita ni Iryn alikuwa anapiga, kwanza nilishangaa maana sikutegemea kuwa ni yeye ambaye anapiga na nilipokea kwa haraka sana.

“Hey Darling za wewe?”

“Poa baby unaendeleaje?”

“I’m great, niko Serena Hotel, I am waiting for you, please be hurry and I miss you so much.”

“What? Upo serena hotel?”

“Yes baby, you don’t trust me? Please I need you here right now na mwanao kakumiss sana.”

“I am coming baby soon!”

CONTINUE:

Sikutaka kumlaumu kabisa kwanini alikuwa kaniblock maana niliona naweza sababisha matatizo mengine, ukizingatia alionekana kuwa kwenye mood nzuri.

Nilishusha pumzi nzito muda huu na nilianza kufikiri namna ya kudeal na Mary maana tulikuwa tushapanga tayari kuonana badae. Ukweli nisingeweza kutoka na Mary afu nimwache Iryn kitu ambacho kisingewezekana, kwa upande mwingine Iryn alikuwa kaharibu mipango yetu.

Niliwaza namna ya kumpanga Mary vizuri ili anielewe lakini nilikuwa nakosa namna ya kumweleza, niseme nini?. Kama ni sound nishampiga sana tena za kutosha na leo ndo ilikuwa final chance ya kuonana naye.

Niliamua niache kufucos na Mary na nifocus namna ya kumpanga mama J sababu nakwenda kukaa na Iryn huko hotelini na sijui itachukua muda gani. Mama J alikuwa yuko dukani kwenye goli lake hivyo nilimpigia simu na kumdanganya nakwenda Dodoma,

“Baby nimepata emergence nakwenda Dodoma mara moja sababu ofisi ya Ardhi watakuwa wanapima viwanja na lile eneo letu jipya kesho litapimwa. Nimeona ni busara nikaenda mimi kuliko kumtumia mtu baki maana tukizembea tunaweza kudhulumiwa eneo letu.”

Mama J hakuwa na shida kabisa na alinipa baraka zote maana ni jambo muhimu sana.

Baada ya kumalizana na wife niliingia bafuni kuoga na wakati najiandaa kwa upande mwingine Mary alianza kupiga simu. Na muda huu nilikuwa nafikiri sound ya kumpiga Mary na nilisema acha liwalo na liwe, siwezi kumkera Iryn kwaajili yake.

Niliondoka kwenda Posta na kipindi niko njiani nilimpigia simu Mary ili nimpange kuwa nimepata emergence ya msiba hivyo niko njiani naelekea. Mary kwa upande wake hakuwa na say lakini alionekana kumind sana, ukizingatia alikuwa kajiandaa tayari kwaajili ya mtoko. Ilibidi nimwombe msamaha sana kwa jambo hili, nilimwambia tutatoka next time.

Baada ya kumalizana na Mary niliwaza sana, Why nikitaka kutoka na Mary lazima jambo lolote litokee? Kuna siri gani hapa? Kwanini iwe kwa Mary tu?. Nilijiona kama sina bahati naye na mimi nilijisemea sometimes huwezi jua mipango ya Mungu ananiepusha na nini.

Saa 12 za jioni ndo muda ambao nilikuwa nawasili Serena Hotel, pale reception niliweza kufanya utambulisho na nilikwenda moja kwa moja mpaka room ya Iryn. Niligonga mlango na haikuchukua muda alifungua na ile kuingia ndani tu! Nilipokelewa kwa kumbatiwa ni kama alikuwa akinisubiri kwa hamu sana pale.

“Baby I have missed you so much.”

Kwa upande wangu sikuwa na say zaidi na mimi niliendelea kumkumbatia na nilikuwa nikivuta harufu nzuri sana kutoka kwake. Joto nililokuwa nalifeel pale nilijikuta mnara umeanza kusaka mawimbi ghafla, hata yeye alianza kuhisi kitu kigumu kikimtekenya.

“Baby I can feel your Cock.”

Palepale tulianza kupeana makisi hatukuwa hata na muda wa kuongea ni romance zilianza na ndani ya muda mfupi nilikuwa nashuhudia uumbaji wa Mungu live. Jinsi nilivyokuwa nime-mmiss na ule uzuri wake RPG yangu ilizidi kuwa ngumu sana. Zoezi la kutengeneza njia ya mtoto ilifanyika barabara na baada ya hapo tulianza maongezi na muda huu alikuwa kajilaza kwenye kifua changu,

MIMI: “Baby mimba inakufanya unazidi kuwa mzuri.”

Ni kweli Iryn alionekana kuwa mrembo sana kuliko siku zote.

IRYN: “Hata wewe nakuona umebadilika baba mtoto, hii mimba imenipenda hainisumbui sana.”

MIMI: “Na kwanini umekuja bila kunipa taarifa?”

IRYN: “Baby I wanted to suprise you.”

MIMI: “Unajua kabisa mama J mambo yake, ungesema mapema unakuja mimi ningefanya maandalizi hata kuja kukupokea, sijapenda.”

IRYN: “Baby unatakiwa utambue mimi na mama J wote ni sawa, do you want to tell me that you only care about her? What about me?”

MIMI: “I do care about you.”

IRYN: “Seems unataka kuondoka uniache alone here, na nitakuwa na wewe hapa mpaka naondoka.”

MIMI: “Mimi niko na wewe mpaka unaondoka, ukweli nimekumiss sana na natamani urudi Tanzania ili niwe nacheza na mwanangu kama hivi.”

Iryn aliniangalia kwa tabasamu zuri sana maana maneno niliyompa yalikuwa matamu kwake na alisogea ili niendelee kumchezea tumbo.

“Kwanini ulini-block?”

IRYN: “I didn’t want to talk to you.”

MIMI: “Unamaaninisha nini?”

IRYN: “Mkataba wetu unaukumbuka? Sasa wewe endelea kufanya upuuzi wako, I think humtaki huyu mtoto ndomana unafanya hivi. Do you love Asmah? I am asking you.”

MIMI: “Sielewi point yako unamaanisha nini, na kwanini useme hivyo? Unanikosea heshima baby.”

IRYN: “Soon unakuwa baba wa watoto wawili, Insider tulia na focus na future za hawa watoto kwasasa achana na hawa akina Asmah maana watakusababishia matatizo. Nina appreciate kwa kazi mnayofanya kwenye kampuni lakini unavuka mipaka. How come you are dating the woman you had sex with? It's just like opening the Fanta and putting it on the table, ready for whenever you want to drink it again.”

MIMI: “Baby mimi naona wivu wako umevuka mipaka, Asmah tumetoka out ile juzi baada ya kumaliza mafunzo. Kumbuka mimi ni manager na ingekuwa ngumu kuwakatalia ndomana nilijumuika nao na nilirudi home mapema sana ile siku.”

IRYN: “Na kilichokuwa kinafanya msipokee simu ni nini? Kama hakukuwa na tatizo lolote?”

MIMI: “Simu ilikuwa kwa gari ndomana lakini hakuna kinachoendelea na hakiwezi kutokea.”

IRYN: “Be careful with this, by the time I turn around, our history will be over. Usinione mjinga sana kwa maamuzi niliyofanya ukajiona ume win, still ni mapema sana.”

Ni maneno aliyotoa Iryn na alionekana kuwa serious sana na kauli zake, lakini kwangu mimi ni kauli ambazo ziliniingia sana na niliona kweli nazingua.

“Baby tunaenda Capetown kula prawns sindio?”

MIMI: “Jiandae tuondoke ndo mida yenyewe hii.”

Tuliingia bath kuoga na nilitumia nafasi yangu kumuonesha utundu wangu kumuogesha, kwa upande wake alifurahi sana kwa kitendo nilichofanya. Kadri ya muda unavyozidi kwenda tulianza utoto wa kumwagiana maji mle ndani na tulijikuta tukianza tena kwichi kwichi.

Baada ya kutoka Iryn alifungua bag lake na alitoa zawadi alizoniletea kutoka Ufaransa ikiwemo perfume, nguo na raba. Muda huu aliendelea kujiandaa na ndani ya muda mfupi alikuwa kapendeza sana, niliishia kumwagia masifa pale.

Kwa upande mwingine tumbo lake ilikuwa bado dogo sana na hakuonesha kuwa na mimba. Tuliondoka huku tumeongozana na nilikuwa nimemshika kwa mkono wa kushoto na mkono wa kulia nilikuwa nimeshika handbag yake.

Tuliishiwa kupigwa macho mpaka tunafika parking ukizingatia jumamosi huwa panakuwa na movement ya watu sana pale hotelini. Iryn ni mwanamke mzuri sana pale ambapo utafanikiwa kumwona kwa mara ya kwanza lazima ugeuke umtizame kwa mara ya pili. Baada ya kufika kwa gari nilimfungulia mlango akaingia, nilikuwa namtreat kama malkia na yeye aliishia kufurahi tu. Ukweli tulikuwa tumemisiana sana-sana na story ziliendelea,

IRYN: “Darling mama kanambia unataka kurudisha hii gari, why?”

MIMI: “My turn! Why hukunambia hii gari ni yako?”

IRYN: “Mama ndo anasema hivyo but its okay, wewe endelea kuitumia tu!”

MIMI: “I wish lakini kwa hii gari hapana nitakuwa naendesha mara moja moja, kwa usalaama zaidi.”

Na muda huu nilikumbuka lile sakata la picha za ultra-sound.

“Hivi unajua mama J aliziona zile picha za vipimo vya ultra?”

IRYN: “My God! How did she get those pictures?”

MIMI: “Ulisahau kwenye gari, sijui alikuwa anatafuta nini akaziona japo…..”

Nilikatishwa maongezi yangu,

IRYN: “Then ilikuwaje?”

MIMI: “Nilimwambia hizo picha sio zako, japo yeye anaamini wewe ni mjamzito na umeondoka Dar kisa hiki. Why ulizisahau kwa gari? Kama mama Janeth angelitumia gari si angeziona?”

IRYN: “I don’t know how I forgot but nakumbuka sheet ya mwanzo niliitoa nikaichana.”

MIMI: “Na hii ndo ilisaidia otherwise siri ingekuwa ilifichuka. Itabidi uende ukamtembelee mama J hata kesho baby, ili aridhike.”

IRYN: “Sawa no problem nitakwenda kesho mchana kumsalimia mke mwenza.”

MIMI: “Why mchana huoni kama anaweza akahisi wewe ni mjamzito?”

IRYN: “Hii mimba inanisumbua sana nyakati za usiku ndo huwa najisikia vibaya ila sio sana. Nikienda usiku inaweza kuwa mbaya zaidi bora niende mchana, nitavaa gauni langu.”

MIMI: “Mama alikuja South mlionana?”

IRYN: “Yeah tulionana but she was so busy, How the hell did she find out you have a child?"

MIMI: “Niseme ilikuwa surprise maana nilikwenda na Junior ofisini jumamosi.” Ilibidi nimpe mkanda mzima jinsi ilivyokuwa,

IRYN: “Mama alinipigia simu akanambia kila kitu, japo alionesha kutopenda hii siri tuliyomficha. But nilimwambia hayo ni maisha yako binafsi na suala la wewe kuwa na familia halina impact na kazi.”

Ndani ya dakika 20 tulikuwa tumewasili pale Capetown kwa bahati mbaya kwa siku za weekend pale huwa panajaa sana, hivyo ilibidi tupark gari mwanzoni kabisa. Maeneo kama haya huwezi wakosa Masai na ndo aliyenipa nafasi ya parking na nilimsisitiza sana ulinzi wa ile gari.

IRYN: “Hey mpenzi tunakuachia gari yetu tulindie eeh! Nikirudi nitakufurahisha.”

MASAI: “Tajiri unamiliki kisu hatari sana, unakojolea pazuri sana.”

MIMI: “Masai wewe ilinde hii gari ndani ya saa 2 tutakuwa tumerudi.”

Iryn aliishia kutabasamu tu maana maneno ya Masai yalionekana kumfurahisha sana. Na aliniuliza kwanini Masai huwa wanatabia ya kuongea maneno kama haya tena bila aibu?. Licha ya sifa zote ambazo huwa anamwagiwa lakini yeye kwa upande wake huwa anajiona wa kawaida tu.

Niliimshika mkono kama kawaida yangu na tuliongozana kuingia ndani na niseme njiani macho yote yalikuwa kwa Iryn. Tulipokelewa na tulioneshwa sehemu ya kukaa na tulifanya kuagiza prawns na maongezi yaliendelea maana tulikuwa na vitu vingi sana vya kuongea.

Mpaka tunafika pale Capetown nilikuwa natamani sana kusikia taarifa za kutoka huko Ufaransa pamoja na Ethiopia kwa ujumla.

MIMI: “Baby now ni muda wa kudiscuss kilichokupeleka Ufaransa.”

IRYN: “Thank God everything went well, next month tunaweza kuanza business.”

MIMI: “Nimefurahi sana kusikia hivyo, ni project gani?”

IRYN: “Baby you know siwezi kutoka out na field ya Beauty. Pia sikukwambia South nimefungua biashara hiohio ya beauty na massage.”

MIMI: “Najivunia kuwa na wanawake wapambanaji hata mama J anafanya vizuri kwa nafasi yake.”

IRYN: “Mama J anaakili ya biashara ana mipango yake mingi tu huwa anashare kwangu.”

MIMI: “Nafurahi kuona mnapatana, na vipi kuhusu Ethiopia?.”

IRYN: “Sijakwenda baby maana mwezi ujao nitakwenda kwaajili ya ukumbusho wa kifo cha mama. Pia nilitaka kukwambia itabidi twende wote baby, I really need your company there, ukawajue na ndugu zangu taratibu.”

MIMI: “Mhhh! Hii ni bad idea utanitambulishaje kule? Na hio mimba vipi?”

IRYN: “Come down kinachofanya uogope ni nini? Nikuzalie mtoto afu home usijulikane? Unaona ina make sense?. Okay, mimi mpenzi wako unataka niende alone kwenye tukio muhimu kama hili?

Suala la kwenda Ethiopia kwangu mimi niliona ni mtihani maana niliwaza najiwekea kitanzi shingoni mwenyewe. Na muda huu Iryn alianza kubadilika na furaha yake ilianza kupotea, ilibidi nikubali kinafiki ili kurudisha furaha yake.

MIMI: “Baby sijamaanisha hivyo, will go together na tutakaa muda gani?”

IRYN: “Maximum three days.”

Na muda huu kwenye luninga ilionekana match ya Argentina na Mexico ikitaka kuanza na macho yangu yote yaliekeza kwenye luninga, ukizingatia mimi ni shabiki wa Argentina. Hii game nakumbuka nilikuwa naingalia kwa presha sana maana tulikuwa tunahitaji kushinda, afu sasa Argentina ikawa inacheza kama haitaki ushindi.

MIMI: “Baby wewe timu gani unashabikia kombe la Dunia.?”

IRYN: “France always and forever, kwa huo userious ulionao kwenye hii match wewe ni Argentina.”

MIMI: “Yeah baby

Mpaka kufikia half-time hii game ilikuwa bilabila na muda huu Iryn alianza kujisikia vibaya maana alisema anajisikia kichefu chefu. Nilimpa kampani kwenda washroom na mimi nikamsubiri mpaka anatoka, lakini baada ya kumwambia tuondoke alinigomea katukatu.

Kipindi cha pili dakika ya 60 na Messi anaweka goli wavuni watu tulipiga kelele balaa ilikuwa ni furaha sana kwetu hii siku. Mpaka game inaisha tulishinda 2-0 na sisi ndo kuondoka kwenda kulala.

Jumapili asubuhi Iryn alikuwa wakwanza kuamka, aliniamsha kwaajili ya breakfast na tuliongozana kwenda restaurant. Wakati tuko pale Iryn aliomba twende wote kwa Jane ili amsalimie, then wakati tunarudi apitie kwa Mama J amsalimie naye.

Saa 4 asubuhi ndo muda ambao tulitoka kwenda Mbweni na baada ya kuwasili maeneo yale, kulikuwa na magari uwanjani na mimi niliwaza lazima kuna wageni wakutosha huko ndani.

Baada ya kuingia ndani sebleni nilikutana na Mary, Vicky, mama yake na Pama nk na walikuwepo wageni wengine ambao siwajui. Jane alikuwepo pale sebleni na niliweza kumtambua best yake Mary wa kule Palm village.

Iryn confidence kwake ni suala dogo sana na aliwasalimia wote, alikwenda mpaka usawa wa Jane akamsalimia kisha akaomba kumbeba mtoto. Muda huu Mary macho yote yalikuwa kwa Iryn maana ilikuwa ni surprise afu hata mimi sikutegemea kukutana na Mary pale.

IRYN: “Dada Jane hongera sana, Insider alinipa taarifa nikaplan nikija Tanzania nije kukusalimia.”

JANE: “Thanks sana dear nakumbuka tulikuwa wote kwenye msiba ule usiku, nashukuru sana kwakuja.”

Iryn hakuwa mgeni machoni mwa baadhi ya watu pale seblen maana wengi wanamjua kasoro wageni ambao hawamfahamu ndo walikuwa wakimshangaa. Kwa upande mwingine mama yake Jane naye alionesha kufurahi sana kumwona Iryn na kila mtu pale alifurahi.

Iryn aliendelea kupiga story na Jane, kwa upande wangu nilikuwa naongea na mama yake Jane kuhusu maendeleo ya Jane kwa ujumla. Baada ya dakika 20 nilitoka kwenda nje kibarazani na haikuchukua muda Vicky alitoka pale nje na nilisikia akiniita,

VICKY: “Insider….”

MIMI: “Nambie Vicky za masomo?”

VICKY: “Safi, hivi yule dada uliyekuja naye nilimwona kipindi cha msiba ni nani?”

MIMI: “Vicky na wewe kwa maswali kama Police, na ukimjua ni nani itakusaidia nini?”

VICKY: “Insider kwanini unamajibu ya kukera? Nimekukosea nini?”

MIMI: “Yule dada ni Bossy wangu ndo ananiweka mjini hapa. Vipi umeridhika sasa?”

VICKY: “Nimeona da Mary anamwangalia sana mimi nikahisi labda ndo mke wako.”

MIMI: “Hapana sio mke wangu na Mary anamjua ndomana.”

VICKY: “Ni mzuri kwakweli amebarikiwa, kingine tarehe ya Mbwa kuchoma chanjo imekaribia. Naomba uongee na yule doctor aje kuwachoma chanjo.”

MIMI: “Usijali nitamkumbusha pia hata yeye atatupigia simu kutukumbusha, nafurahi kuona upo makini.”

Tuliendelea kuongea na Vicky pale nje kibarazani na nilimuomba akaniitie Mary ili niweze kuongea naye pale nje. Baada ya Vicky kurudi jibu alilonipa ni kuwa amesema anakuja na tukaendelea na story pale. Ilipita dakika 15 Mary hajatokea, nikawaza huenda atakuwa kachukia tena na kitendo cha kwenda na Iryn pale ndo nimeongeza petrol kwenye moto.

Vicky naye alihisi something fishy kinaendelea kati yetu hasa kitendo cha Mary kutokuja pale nje na alianza maswali kama kawaida yake, lakini sikumwambia chochote na nilirudi ndani.

Baada ya kurudi seblen Iryn alikuwa bado kamshika mtoto, na mimi niliishia kumpiga madongo pale na nikaanza kuongea na Jane. Haikuchukua dakika 5 Mary alisimama na best yake na wakamuaga Jane kuwa wanaondoka, lakini ilikuwa tofauti kwangu, hakunisemesha wala nini na wakaondoka.

Iryn aliusoma mchezo mzima unaondelea pale lakini niliishiwa kupigwa jicho, lakini kwa upande wa Jane yeye alinyamaza kimya maana ndo masta plan.

Tulitumia kama masaa 2 pale kwa Jane, na kabla ya kuondoka Iryn alimuomba Jane ampe Bank account No. ili amtumie pesa ya zawadi ya mtoto. Jane alitusindikiza mpaka nje, Iryn ndo alikuwa wakwanza kuingia kwa gari na sisi tuliendelea kuongea.

Mchezo mzima uliofanyika pale seblen Jane aliuona na alinambia next time tutakayo onana itabidi tukae chini tuongee. Maana stage aliyofikia Mary ni mbaya zaidi hivyo hatuna budi ya kumaliza tofauti zetu, ukitegemea sisi ni zaidi ya ndugu kwake.

Niliagana na Jane na yeye aliishia kumsifia Iryn pale na ile kuingia kwa gari maswali yalianza,

IRYN: “Darling! Kwanini yule dada hajakuaga wakati anaondoka pale kwa Jane?”

Lilikuwa ni trick question kwangu na sikuwa natarajia kuulizwa swali kama hili muda huu, na sikujua najibu nini.

MIMI: “Baby kwanini unauliza hivyo?”

IRYN: “I know yule ni dada yake na yule girlfriend wako, lakini kitendo cha kuondoka bila kukuaga kinatia maswali. What the f*ck is really going on?.”

MIMI: “Baby sikia toka niachane na mdogo wake hatukuwahi kuonana na leo imekuwa surprise. Reason ya kutoniaga sidhani kama ni big topic ya kudiscuss hapa.”

IRYN: “Doesn’t make sense to me! Insider mimi sio mtoto wa kudanganywa na kwa jinsi nilivyomuona kuna something kinaendelea kati yenu, huu ni ukweli ambao huwezi kuukubali. “

MIMI: “Maybe hajapenda mimi kuachana na mdogo wake you never know.”

IRYN: “Anyway tuachane na haya, now nakwenda kuonana na mama J. Tupitie supermarket ili ninue na vitu vya kupeleka, then ninunue na zawadi kwaajili ya Junior.”

Tulikwenda Shopperz ya pale Mbezi Beach kwaajili ya shopping na alinunua mazaga kibao ya kupeleka. Hatukutumia muda mrefu sana na tuliondoka, baada ya kuwasili Rainbow nilipark gari pale GBP na nilifanya kurequest usafiri wa kumpeleka home. Uber ilikuwa imeshasogea pale, hivyo tuliagana na mimi niliondoka kwenda Mikocheni Triple 7 kumsubiri maeneo yale.

Mida ya saa 11 jioni nilipata ujumbe kutoka kwa Iryn kupitia whatsapp na baada ya kufungua alikuwa kanitumia picha ambayo iliwaonesha akiwa na mama J pamoja na Junior. Mimi nilifurahi sana kuona wake zangu wanafuraha na wakati nikiendelea kuizoom ile picha, alituma text kuuliza niko wapi? Na chap nilimwambia nilipo.

Saa 12 jioni Iryn alikuwa kawasili pale Triple 7 na tulianza safari ya kwenda Masaki Coral beach Hotel. Kipindi tuko njiani alikuwa ananipa mrejesho wa kilichokuwa kianendelea kule home na alisema mama J kafurahi sana na mimi nilimuuliza ataondoka lini?.

MIMI: “Baby hujanambia unaondoka lini?”

IRYN: “Niliplan kuondoka kesho but nitaondoka jumatano. Nataka kesho tukawasalimie team yangu.”

MIMI: “What? Mama J hawezi nielewa kabisa na leo akiona kimya ataanza kusumbua.”

IRYN: “Darling unatakiwa ujue mimi pia nina haki ya kuwa na wewe maana ushakuwa baba mtoto kwangu kama mama J. Kama hutaki niendelee kuwa hapa Dar nambie niondoke but sitaki uanze kunipa masharti utafikiri mimi sina umuhimu kwako.”

MIMI: “Baby sijamaanisha hivyo, kwanza tambua umekuja bila taarifa na hapa umekosea sana, pia mazingira yangu unayajua vizuri.”

IRYN: “I told you before nikitoka France nitapitia Tanzania for you au umesahau?. Na kesho tutakwenda wote kumsalimia mama na utakaa na mimi mpaka naondoka.”

Bhasi ilibidi niwe mpole tu maana sikuwa na jinsi na niliamua kunyamaza kimya na muda huu alianza kunichezea ndevu taratibu.

Break yangu ilikuwa Coral Beach hotel na nilishangaa sana kumuona rafiki yake Claire akitusubiri pale. Kwangu mimi sijukua kama tungeonana naye na Iryn alinambia alimpa taarifa best yake ya kukutana hapa.

Claire baada ya kumwona Iryn alikuja spidi wakakumbatiana na muda huu mimi nilikuwa kama mpenzi mtizamaji. Baada ya kumalizana na Iryn, Claire alisogea kwangu na tukasalimiana na tukaondoka kwenda kukaa usawa wa beach.

Claire na Iryn walionekana kumisiana sana maana hata baada ya kukaa pale waliendelea na story na nilitega sikio vizuri baada ya Claire kumuuliza Iryn kuhusu maendeleo ya mimba. Nilikuwa nataka kusikia Claire akiongea nini, lakini nilijua hawezi kuwa huru kama mimi nikiendelea kuwepo pale. Niliwaza niweke voice record afu niage nakwenda washroom na simu nitaiacha mezani ili niwape uhuru wa kuongea.

Nilikuwa namwona Claire kama ni snitch kwangu, hivyo ilibidi nitumie mbinu za kijasusi kuwajua maadui zangu. Niliweka simu kwenye voice record na nilimuaga Iryn nakwenda washroom kisha nika-mkiss shavuni. Niliwaacha pale wakiendelea na story na nilikwenda washroom kisha nikazuga kwa dakika 10 ndo nikarudi.

Baada ya kurudi walionekana kucheka na mazungumzo yao yalikuwa ya kawaida, nilichukua simu yangu na ilikuwa bado inarecord, nikaiweka mfukoni. Muda huu Claire alianza utani wake kwangu,

CLAIRE: “Shem unanitupa sana utafikiri huijui apartment yangu?.”

MIMI: “Sijapewa ruhusa ya kuja kwako, soon nikipewa nitakuja shem.”

IRYN: “Claire thubutu, aje kwako kufanya nini?.”

CLAIRE: “Jamani si shem wangu kuna tatizo akija kunipa salamu?.”

IRYN: “Darling na usithubutu kabisa kwenda I said NO.”

Mimi nilinyamaza kimya sikutaka kusema kitu na muda huu nilikuwa busy na chakula changu.

Saa 4 usiku tuliondoka lakini tulianza kumdrop Claire Mariana apartments na tukaendelea na safari ya kurudi Serena. Wakati tuko Tanzanite Bridge kwa upande mwingine simu yangu ilianza kuita na alikuwa ni mama J akipiga.

“Mama J anapiga lazima anauliza narudi lini.?”

“Pokea msikilize anasemaje.”

Baada ya kuongea na wife ilibidi nimdanganye kuwa nimeshindwa kufanikisha mpaka kesho jumatatu. Wife alinielewa kwa upande wake na muda huu tuliishia kupigana macho na hakuna aliyemsemesha mwenzie mpaka tunafika hotelini.

********
Asubuhi mimi ndo nilikuwa wakwanza kuamka na ilikuwa saa 3 asubuhi tayari, nilimuasha Iryn ili tukaoge then tuondoke, lakini akanambia nisubiri kwanza anamalizia kutype assignment ili asubmit.

Mimi nilitoka kwenda parking kuchukua laptop yangu ili nipitie report za weekend before sijakwenda na Iryn kule ofisini. Sasa baada ya kurudi nilikuta Iryn anaongea na simu, sikumzingatia, sasa ile kusogea ndo naona ni simu yangu.

“Huyu hapa amerudi ngoja nikupe uongee naye.”

Muda huu nilikuwa nimepigwa na butwaa nilijiuliza anaongea na nani huyu mwanamke? Na alinipa simu yangu, ile kuangalia naona ni mama yangu mzazi. Nilimind sana na ilibidi nitoke chumbani ili niweze kuongea na mama,

MIMI: “Mama shikamoo mnaendeleaje huko?”

MAMA: “Tuko salama mwanangu, huyo aliyepokea simu ni nani mwanangu?”

Moyo ulipiga PAAAH! Nikajisemea Iryn kashafunguka nini? Na kama hajafunguka nimjibu nini mama?, niliwaza kwa haraka sana pale.

MIMI: “Mama kwani yeye kajitambulishaje?”

MAMA: “Hamna kapokea simu kanisalimia kwa adabu, akauliza maendeleo yangu na hapa nyumbani, wakati nataka kumuuliza yeye ni nani ndo kunambia wewe umerudi.”

MIMI: “Ooh! Ni bossy wangu mama yule nilokwambia kipindi kile.”

MAMA: “Sawa mwanangu anaonekana ana nidhamu na adabu sana.”

MIMI: “Hana shida kama utawahi kuja utamuona umfahamu pia.”

MAMA: “Mimi nakuja jumamosi hii na harusi itakuwa next week tarehe 10.”

MIMI: “Sawa mama karibu sana, nikukatie tiketi ya ndege au unakuja na bus?”

MAMA: “Mwanangu hiyo hela ya ndege si bora unipe niongezee mtaji kwenye biashara yangu ya kuku?”

MIMI: “Hahahaa mama kupanda ndege sahivi hata maskini tunapanda ni cheap.”

Wakati naendelea kuongea na mama ghafla Iryn alikuja na akanikumbatia kwa nyuma na mikono yake aliizungushia tumboni. Mimi sikutaka kuendelea mazungumzo na mama, hivyo tukaagana pale na nilimgeukia Iryn,

MIMI: “Baby kwanini umepokea simu ya mama? Huoni utaniweka matatizoni kama ataongea na mama J?”

IRYN: “Baby nilitaka kuisikia sauti ya mama, then hata hatujaongea sana na mama. Baby nataka wewe mwenyewe unitambulishe kwa mama mkwe wangu, hiki ni kiumbe chako kina haki ya kumjua bibi yake sawa?”

MIMI: “Sio kwasasa lakini, baadae huko nitakutambulisha taratibu.”

IRYN: “This is for your child not me.”

Iryn alirudi chumbani na mimi niliendelea kubaki pale koridoni na nilianza kuona Iryn anazingua mapema sana, kaanza kusema yeye na mama J ni sawa. Tena anaanza habari za kutaka kutambulishwa kwa mama yangu, yaani daah niliona kadri siku zinavyokwenda na mambo yanazidi kuwa magumu.

Saa 5 asubuhi tuliondoka na kila kitu pale hotelini maana alisema atakwenda kumalizia siku zake pale Coral hotel, Masaki. Tulianza kwanza kwenda ofisi ya masaki na baada ya kufika pale, Hilda ndo alikuwa wa kwanza kumuona Iryn pale reception na wakasalimiana.

Ilikuwa ni surprise maana hatukutoa taarifa ya ujio wake na wakati Hilda akiendelea kushangaa, wafanyakazi wengine walikuwa wamemwona na kelele zilianza na kila kila mtu alitoka pale reception kwaajili ya kumwangalia.

Mimi nilikwenda ndani ofisini, nilimkuta Asmah akiendelea na kazi zake na tukasalimiana pale lakini alionekana kuwa busy, nikaendelea na mambo yangu.

Baada ya dakika 10 Iryn aliingia ofisini na Asmah baada ya kumuona Iryn alishtuka sana maana hakutegema ujio wake kabisa, na Asmah aliniangalia kama mtu ambaye amemind kwanini sijampa taarifa?.

Asmah alionekana kumwogopa sana Iryn na mimi nilikuwa makini sana kumsoma muda huu, Iryn alimsalimia Asmah afu akakaa kwenye coach.

IRYN: “Asmah kipenzi changu habari yako?”

ASMAH: “Safi bossy karibu sana, umeamua kutufanyia surprise.”

IRYN: “Na nitakuwa nawasurprise sana this time.”

Kwa upande wangu niliona ni busara nikaondoka maeneo haya ili niwaache waongee kwa uhuru maana Asmah alikuwa na kesi za kujibu kwa Iryn. Nilitoka nje nikawa napiga story na mlinzi pale getini na baada ya dakika 20 hivi Iryn alitoka na kunipa ishara ya kuondoka.

Safari yetu ilikuwa kwenda Mikocheni na alisema tunavyorudi ndo tutapitia kumsalimia mama Janeth ofisini kwake. Ndani ya muda mfupi tulikuwa pale getini na baada ya kuingia ndani tuliwakuta akina Julieth pale reception na baada ya kumwona Iryn walikuja speed sana kumkumbatia. Kutokana na zile kelele za pale reception haikuchukua muda Lucy naye alitoka na baada ya kumwona Iryn walikumbatiana.

Lucy ndo kipenzi pekee cha Iryn kwa wafanyakazi wote, pia Iryn anawapenda sana wafanyakazi wa Mikocheni kuliko Masaki. Iryn aliendelea kupiga nao story pale na mimi niliingia ndani ofisini, haikuchukua muda Lucy akaja,

LUCY: “Insider unatabia mbaya sana, hivi kwanini hujanambia kama Iryn karudi?”

MIMI: “Hata mimi hakunambia na mimi nikaamua nisiwambie.”

LUCY: “Unatabia mbaya sana, amezidi kuwa mzuri sana wifi yangu.”

MIMI: “Usifananishe South na Dar mama, Dar chafuchafu hii.”

Na muda huu Iryn aliingia tukaanza kupiga story kwa pamoja pale na baadae alisema tutoke na team yote tukapate lunch ya pamoja pale Golden fork.

Baada ya kupata lunch ya pamoja tuliwaaga na tukaondoka kurudi tena Masaki na tulianza kwanza kupitia ofisi ya mama Janeth. Baada ya kufika pale getini kama unavyojua ile ni organization kubwa hivyo ukaguzi wake huwa mkubwa sana.

Iryn alijitambulisha na uzuri wanamjua hivyo tuliruhusiwa kuingia ndani. Tulikwenda moja kwa moja mpaka pale reception na Iryn aliomba kuonana na mama. Japo alimwambia dada asimwambia mama kama ni yeye maana anataka kumsurprise.

Ilimchukua dakika 20 mama kutoka na hakuamini kumuona Iryn pale ofisini na waliishia kukumbatiana kwa furaha sana. Mama alikaa chini na tukaanza kupiga story na alisema kesho ataondoka kwenda USA. Iryn alimwambia kafikia Coral hotel na badae atakwenda kumsalimia akirudi toka kazini, japo mama hakupenda kuona Iryn kafikia hotelini.

Baada ya kuagana na mama tuliondoka kwenda hotelini maana Iryn alionekana kuchoka sana. Baada ya kuwasili pale hotelini tulipelekwa mpaka kwenye room yetu. Nilimuacha Iryn apumzike na nilikwenda kuangalia Worldcup Samakisamaki na nilikutana na yule Jamaa ambaye mara ya mwisho tulikuwa pamoja kwenye game ya Ufaransa. (Huyu jamaa tumuite Allan).

Hii siku niliweza kumjua Allan vizuri na alinambia yeye ni Auditor na anafanyia kazi moja ya Auditing firm kubwa hapa nchini. Tuliongea mambo mengi sana kuhusu uhasibu na alinishauri sana nifanye mitihani ya CPA kama muda ninapata na atanisaidia sana kwa hili.

Mida ya saa 1 usiku Iryn alinipigia simu kuuliza niliko maana alikuwa hanioni, nilimwambia naangalia match Samakisamaki. Na akanambia anakwenda kumsalimia mama Janeth kwake, then anavyotoka atanambia nikamchukue. Muda huuhuu niliwasiliana na mama J na nilimwambia nitarudi home jumatano mchana kwani mambo hayajakwenda vizuri bado.

Mida ya saa 2 za usiku alinipigia simu kunipa taarifa nikamchukue ili turudi wote hotelini. Nilimuaga Allan then nikaondoka kwenda kumfuata pale kwa mama. Baada ya kufunguliwa gate kwa mbali niliwaona wamesimama wakiongea na mimi baada ya kushuka nilikwenda nikamsalimia mama.

Mama Janeth alimsisitiza Iryn suala la kuanza mchakato wa kuandaa Financial statements mapema. Kwa upande mwingine mama aliniaga anaondoka kwenda USA na alisema atachelewa kurudi, pia alinikumbushia suala la kumsaidia usafiri yule mgeni wake.

Iryn aliagana na mama yake kwa kukumbatiana na sisi tukaondoka maeneo haya kurudi hotelini. Iryn aliniomba tukifika hotelini twende swimming pool kwani amemiss sana kuswim na angependa twende wote, ofcourse anajua mimi sio mpenzi na haya mambo.

Baada ya kuwasili tulikwenda room kubadilika chap na tukaenda swimming maana Iryn anapenda sana kuswim na yuko vizuri. Kwangu mimi nilitamani sana kujua mipango yake hasa baada ya kumaliza chuo na nilitamani kujua ataishi wapi?. Yeye kwa upande wake alinambia angependa sana kuishi Ufaransa na watoto kwa hapo baadae ila kipindi hiki ataendelea kuishi na mzee wake.

MIMI: “Baby siku ambayo mama Janeth atagundua huo ujauzito ni wangu unafikiri itakuwaje? Si atanichukia sana?”

IRYN: “Why akuchukie? Wewe ndo uliyeni-force mimi nibebe hii mimba?. Insider embu jiamini, pia tambua kwenye hii Dunia huwezi pendwa na kila mtu.”

MIMI: “What do you mean?”

IRYN: “Wewe unamuona mama kama mtu mkamilifu sana lakini leo nakwambia ukweli kuhusu yeye. Nitashangaa sana kuona kama atakuchukia kwa hili wakati hata yeye amefanya haya, sidhani kama atakuwa na hii jeuri otherwise awe anakupenda.”

MIMI: “Baby ujue sikuelewi haya unayoongea ni nini ambacho kinaendeelea?”

IRYN: “Mama ana watoto watatu lakini kila mtoto ana baba yake. Na yule mtoto wa mwisho wa mama (Smith)ni mdogo wangu wa damu kabisa…”

Na nilimkatisha maongezi yake,

MIMI: “What? Babe sikuelewi ujue kwamba Mama Janeth kazaa na Baba yako?”

IRYN: “Insider hivi huoni Smith kafanana sana na Baba yangu Mzazi?”

TO BE CONTINUED
For this episode nimecheka sana
 
Wewe Insider ni mshamba mnyonge na very cheap pia ni muoga u r there to please her kwenye kila kitu hata visivofaa kisa uoga nayeye anakujua kuwa ni mtu cheap anakutishia nyau kila mda kikwetu tunasema kushenteka hapo yeye ndo mwanaume na ana maamuzi. Naogopa sana mienendo ya hivi vijana wengi wanapoteza linder kwa kupenda vya kupewapewa mtu anapokea mpk simu yamamako ingekua prisca na mimba apokee simu wat cud be ur reaction?! S ungesimama kiume uchore mpaka uyo ailini unamuogoopa in a way huna say ah kwanza najichosha bure stori lenyewe la uongo
 
Wewe Insider ni mshamba mnyonge na very cheap pia ni muoga u r there to please her kwenye kila kitu hata visivofaa kisa uoga nayeye anakujua kuwa ni mtu cheap anakutishia nyau kila mda kikwetu tunasema kushenteka hapo yeye ndo mwanaume na ana maamuzi. Naogopa sana mienendo ya hivi vijana wengi wanapoteza linder kwa kupenda vya kupewapewa mtu anapokea mpk simu yamamako ingekua prisca na mimba apokee simu wat cud be ur reaction?! S ungesimama kiume uchore mpaka uyo ailini unamuogoopa in a way huna say ah kwanza najichosha bure stori lenyewe la uongo
mimi naungana na insider yupo sahihi.
Mwanamke ana pesa ana elimu ana kila kitu ni sahihi kabisa kumpa mimba. Kuliko angezaa na wanawake wanaonuka jasho, kisirani, ugumu wa maisha kama walivyo wengi hapa wakimtukana.
Hapo insider atawaoa wote kwa ndoa ya mila. Aache kusikiliza mawazo ya wanawake maskini kama wengi wanavyomshauri. Mwanamke hajawahi hata kumiliki wigi anaanza kumshauri insider kuhusu mwanamke mwenzake mwenye pesa nyingi.
Insider asisikilize watu maskini kwenye mambo kama haya maskin huwa tuna Laana aendelee yupo sahihi kabisa.
 
Hata mimi niliwaza sana hili kwenye hii story, INSIDER MAN anaona iryn yuko sawa kuwa mchepuko na kufanya lolote nikawaza je angekuwa prisca amepokea simu ya mama ake si angemtoa baru na makofi juu? Afu iryn anjihesabia haki kuliko malaya wengine na kumuwekea masharti juu hajui kama naye ni malayer kama malayer wengine walioamua kumharibia ndoa yake na mama j, na kwa vile ana hela bado anampeleka hadi home kisa anawafanyia shopping sheeiinzi kabisa
mambo ya kuwaza je angekua prisca kapokea simu ingekuwaje ni mambo ya kipumbavu! Sababu simu imepokelewa na Iryn si prisca angekuwa prisca tungeuliza kuhusu prisca hivyo hapo huna hoja.
Iryn anajihesabia haki kuliko malaya wengine? Malaya ni mtu wa aina gani? Tuelezee kwanza malaya anakuwa mtu wa aina gani ili tuangalie hizo tuhuma.
 
Wewe Insider ni mshamba mnyonge na very cheap pia ni muoga u r there to please her kwenye kila kitu hata visivofaa kisa uoga nayeye anakujua kuwa ni mtu cheap anakutishia nyau kila mda kikwetu tunasema kushenteka hapo yeye ndo mwanaume na ana maamuzi. Naogopa sana mienendo ya hivi vijana wengi wanapoteza linder kwa kupenda vya kupewapewa mtu anapokea mpk simu yamamako ingekua prisca na mimba apokee simu wat cud be ur reaction?! S ungesimama kiume uchore mpaka uyo ailini unamuogoopa in a way huna say ah kwanza najichosha bure stori lenyewe la uongo
Depreciation= (Value of Asset - Residual value)/Useful life. Only legends can understand this.
 
Hata mimi niliwaza sana hili kwenye hii story, INSIDER MAN anaona iryn yuko sawa kuwa mchepuko na kufanya lolote nikawaza je angekuwa prisca amepokea simu ya mama ake si angemtoa baru na makofi juu? Afu iryn anjihesabia haki kuliko malaya wengine na kumuwekea masharti juu hajui kama naye ni malayer kama malayer wengine walioamua kumharibia ndoa yake na mama j, na kwa vile ana hela bado anampeleka hadi home kisa anawafanyia shopping sheeiinzi kabisa
Dada unasahau Iryn ni pregnant. 90% ya wanawake wajawazito huwa ni wasumbufu maana wanajua tukileta ubabe tutakosa mtoto. Same to Iren anajua Insider anataka mtoto hivyo lazima atulie hana ujanja.

Kupokea simu ya mama sio tatizo ila angejitambulisha yeye ni nani hapo ndo tatizo, huoni hata mama Insider kakisifia chombo?. Ulitaka jamaa ampige Iryn kisa kupokea simu ya mama? afu ni mjamzito.

Prisca aligombana na jamaa sababu alimtukana mama J, hapa ndo ulitokea ugomvi ila alimpenda sana Prisca.

Kuna kitu mnashindwa kutambua kutoka kwa Iryn, huyu mwanamke anaoekana ni mjanja na very strategic na dizaini ya wanawake kama hawa mpaka akastick kwa mwanaume jua huyo jamaa wanaendana. Iryn ana wasiwasi kwa Asmah huoni hii ni weakness tayari anayo kwa jamaa😂😂,
 
mimi naungana na insider yupo sahihi.
Mwanamke ana pesa ana elimu ana kila kitu ni sahihi kabisa kumpa mimba. Kuliko angezaa na wanawake wanaonuka jasho, kisirani, ugumu wa maisha kama walivyo wengi hapa wakimtukana.
Hapo insider atawaoa wote kwa ndoa ya mila. Aache kusikiliza mawazo ya wanawake maskini kama wengi wanavyomshauri. Mwanamke hajawahi hata kumiliki wigi anaanza kumshauri insider kuhusu mwanamke mwenzake mwenye pesa nyingi.
Insider asisikilize watu maskini kwenye mambo kama haya maskin huwa tuna Laana aendelee yupo sahihi kabisa.
Ukweli huu, kufikia sasa Iryn na mama J ni 50=50, Insider anaweza oa yoyote. Wanawake wa humu ndani wana makasiriko sana.
 
Hata mimi niliwaza sana hili kwenye hii story, INSIDER MAN anaona iryn yuko sawa kuwa mchepuko na kufanya lolote nikawaza je angekuwa prisca amepokea simu ya mama ake si angemtoa baru na makofi juu? Afu iryn anjihesabia haki kuliko malaya wengine na kumuwekea masharti juu hajui kama naye ni malayer kama malayer wengine walioamua kumharibia ndoa yake na mama j, na kwa vile ana hela bado anampeleka hadi home kisa anawafanyia shopping sheeiinzi kabisa
alaf wwe dada, naona una roo ya umaskn na kwasababu unavo muongelea iryn kama n mtu mweny hatia kumpenda jamaaa alaf kumbuka mam j bad hajaolewa na iryn bad hajaolew ila jamaaa aliwai kumzalsha mama j na kama kpnd hiko angekutana na iryn kabl ya mam j angemuona iryn
Alaf iryn sio anajpa credit kwa jamaa kisa ana pesa hapan ni vile tyu amempend jamaa kutok moyon ila kwa kua wew.ni mshenz maskn ndo maana unaroo ya kwanini istoshe kama iryn angekua malaya asngekbal kaz yeny inamuingizia pesa ming san kxa jamaa mana hata jamaaa hana maisha ya kumuaford iryn hata kwa zero point zero one perce hamna
MIDADA YA KIBONGO YENYEWE INAWAZA UPUUZ MAPENZ NA PESA yan hain mapenz ya dhat kabxa yan ndo maana inatumika zen inaishia kupata mimb zszokua na baba na magonjwa ya znaaa
acha wivu utakufa mapepa
 
Depreciation= (Value of Asset - Residual value)/Useful life. Only legends can understand this.
sema kaka upuunguze tamaaa bas kama mdada kameamua kutulia na kukujali juu yako kwa kila kitu sasa tamaaa kwa mbwa mbwa za nn aiseee et mfano apo naon inaelekea bomba linatak kummwagia marry wa kaz gan xaxa onetme huyo iryn yupo sahii kwa kua we n mshenz na hiki kitu wabongo weng tunafel
iryn kwakwel hata aksemavumuoe yupo sahii n vle tu mama j alianza kuzaa na kpnd kile una maish mahum anakup kampan hukuwaza ukakulupuka kam bado we kijan una tamaa za mwil ila mpak xax bad mam j hana hak kwako na iryn pia han hak though mama j ulmtolea maal ila n seem tyu ya utambulshe na mamb uwa yana badlika
sema unafelisha kinoma wanawake wakbongo ni jau san TULIZA MBULI hao wakina ASMA na wakina MARY wana nyuchi ambaz.hata ww unathibitsh hazmfkii IRYN kwa kila kitu TULIZA BORI KIWANJA KIDOGO babuu ALAF naona kama uliishia kukosa mtoto na kaz na uaminifu ukapoteza pia kwa vitu vya kijinga ambavo vlikua unaweza kutulia ukafany ya msing mana n sawa tu ulkua parasite kwa kupewa penz na pesa ila hukua na ubinadam mana duuuuu ANYWAY lets go ktk zjazo tuone SEMA big up sana SALUTE SALUTE SALUTE
 
Wewe Insider ni mshamba mnyonge na very cheap pia ni muoga u r there to please her kwenye kila kitu hata visivofaa kisa uoga nayeye anakujua kuwa ni mtu cheap anakutishia nyau kila mda kikwetu tunasema kushenteka hapo yeye ndo mwanaume na ana maamuzi. Naogopa sana mienendo ya hivi vijana wengi wanapoteza linder kwa kupenda vya kupewapewa mtu anapokea mpk simu yamamako ingekua prisca na mimba apokee simu wat cud be ur reaction?! S ungesimama kiume uchore mpaka uyo ailini unamuogoopa in a way huna say ah kwanza najichosha bure stori lenyewe la uongo
Shaggy aliimba wimbo "Strength Of the Woman" na wengine women's power na dunia inawatumia wanawake ili mambo yawe rahisi au yafanikiwe. Hakuna mwanaume mwenye nguvu mbele ya mwanamke mkuu na kwenye maisha ya kila mwanaume huwa anatokea mwanamke mmoja ambaye huwezi pindua kwake na si lazima awe mke wako. Tena anaweza asiwe na sifa nzuri kama mke wako ila ndio anakushika masikio. Hakuna mkate mgumu mbele ya chai. Jaribu kukumbuka kisa cha Pastor wa Kawe alivyotulizwa kupiga kelele kuhusu kiongozi wa mkoa wa Dsm

If you're a big man you can understand what Insider Boy is going through. Kwa huyo mwanamke alihitaji kuwa smart si kukurupuka.
 
Back
Top Bottom