Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Una rafiki wa dadaako anafanya kazi airport!!! Ambae kipindi Cha nyuma alikusaidia kupata tiketi za kwenda Dodoma!
Kwanini hukuwaza kumtumia huyo kwenye swala la tiketi za Kenya?
Usichukulie serious sana brother, ni story tu. Kwa ujanja aliovalishwa huyu main character wetu, lazima atakua anajua suala la kupata ticket feki ni suala dogo sana. Simu mbili tu, unapewa ticket inayoonyesha ulienda sayari ya pluto, hadi hoteli uliyofikia huko kwenye mabarafu!

Pale kariakoo hata mihuri ya ikulu unaipata, sembuse ticket za ndege? Ni script yetu ndio ilitaka tu hilo suala lionekane gumu ili kutengeneza suspense kwa msomaji.
 
Usichukulie serious sana brother, ni story tu. Kwa ujanja aliovalishwa huyu main character wetu, lazima atakua anajua suala la kupata ticket feki ni suala dogo sana. Simu mbili tu, unapewa ticket inayoonyesha ulienda sayari ya pluto, hadi hoteli uliyofikia huko kwenye mabarafu!

Pale kariakoo hata mihuri ya ikulu unaipata, sembuse ticket za ndege? Ni script yetu ndio ilitaka tu hilo suala lionekane gumu ili kutengeneza suspense kwa msomaji.
Aaaaaaahhhhhhh acha bas mkuu 😂
 
Ndugu zangu naongeza 50k nyingine.

1. Kizoka nitampa gari Episode ya ngapi? (25k)

2. Nitakwenda Zanzibar kufuatilia mzigo uliotumwa na Iryn. Nitaongozana na nani? (25k).

Kazi kwenu, niko honestly kwa atakae patia atapata cash yake.

NB: Wa kwanza kupatia ndo atakuwa mshindi.

Ndugu zangu naongeza 50k nyingine.

1. Kizoka nitampa gari Episode ya ngapi? (25k)

2. Nitakwenda Zanzibar kufuatilia mzigo uliotumwa na Iryn. Nitaongozana na nani? (25k).

Kazi kwenu, niko honestly kwa atakae patia atapata cash yake.

NB: Wa kwanza kupatia ndo atakuwa mshindi.
Utaongozana na mary
 
Kizoka hutampa gari maelezo ni ep ya 14

Zanzibar utaenda na asmar

Nawasilisha
 
Inahusu nini hii story najiona daily naipotezea huyo dada ni jini au tapeli naombeni kwa ufupi na je ni fiction au reality?
 
Inahusu nini hii story najiona daily naipotezea huyo dada ni jini au tapeli naombeni kwa ufupi na je ni fiction au reality?
Inahusu maisha. wenzetu wanaishi huku TUKIWASINDIKIZA tukiwa hatuna maono na bahati tukijawa na uchungu tukiishi ndani ya mstari wa maisha ulioandikwa katika hatima na vinasaba vyetu.
Ukiingia utawaonna majasiri wa nafsi wenye kushikilia hatma za wenzao kimapenzi.

utajiri

ujasusi

ujasiri

usaliti

unafiki

urafiki wa faida

undugu

uaminifu

Ndugu, umefikaje ukurasa wa mwisho?
 
Inahusu nini hii story najiona daily naipotezea huyo dada ni jini au tapeli naombeni kwa ufupi na je ni fiction au reality?
Kuna nyimbo inaitwa Zali La mentali ya Prof. J.

Prof J alikuwa anasukuma mkokoteni, akajikuta mkononi mwa demu mmoja wa kitajiri. Pisi matata

Ila mwandisi insider alikuwa anaendesha Uber, akajikuta mikononi wa pisi matata yatajiri. Imebadilisha maisha yake, maono yake....story nzuri sana

Story ina udambwi udambwi mwingi
1. Romance
2. Billionaire
3. Betrayal
4. Crime
5. Fantasy
6. Mystery
7. Humor
8. Erotica

Hii story ukiitia kwenye television drama inakuwa bonge la story.

Ushauri wangu soma utaifurahia
 
Kuna nyimbo inaitwa Zali La mentali ya Prof. J.

Prof J alikuwa anasukuma mkokoteni, akajikuta mkononi mwa demu mmoja wa kitajiri. Pisi matata

Ila mwandisi insider alikuwa anaendesha USER, akajikuta mikononi wa pisi matata yatajiri. Imebadilisha maisha yake, maono yake....story nzuri sana

Story ina udambwi udambwi mwingi
1. Romance
2. Billionaire
3. Betrayal
4. Crime
5. Fantasy
6. Mystery
7. Humor
8. Erotica

Hii story ukiitia kwenye television drama inakuwa bonge la story.

Ushauri wangu soma utaifurahia
kwaio ushaur wako n upi hapo
bado hatujaipata point yako ya msng
 
Ndugu zangu naongeza 50k nyingine.

1. Kizoka nitampa gari Episode ya ngapi? (25k)

2. Nitakwenda Zanzibar kufuatilia mzigo uliotumwa na Iryn. Nitaongozana na nani? (25k).

Kazi kwenu, niko honestly kwa atakae patia atapata cash yake.

NB: Wa kwanza kupatia ndo atakuwa mshindi.
Unaenda na iryn
 
Back
Top Bottom