Alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 6,535
- 14,840
Daaah!Muosha huoshwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah!Muosha huoshwa
Yaaaani hamna kinachouma kama mwizi kuibiwa, unajiona mjanja kumbe mjinga.Pale mwizi anapoibiwa huhisi ameonewa
Dada wa watu alichoka kukimbiza upepo 😂😂😂
Hahahah aliyeuza cheni bandia na yeye amepewa hela bandiaYaaaani hamna kinachouma kama mwizi kuibiwa, unajiona mjanja kumbe mjinga.
Hatari mnooo, usije ukanifanyia hivyo aisee.Hahahah aliyeuza cheni bandia na yeye amepewa hela bandia
Team mama J mmefurahi mwamba kupigwa tukio😂😂🙆♂️Hahahah aliyeuza cheni bandia na yeye amepewa hela bandia
Me team iryn till downTeam mama J mmefurahi mwamba kupigwa tukio😂😂🙆♂️
Sikufanyii bossHatari mnooo, usije ukanifanyia hivyo aisee.
Asantee sana boss, bila shaka ulikuwa unachat na cousin wako yaahSikufanyii boss
Hahaha yeah si ndo maana nkakupatia ushike simu yangu bila wasiwasiAsantee sana boss, bila shaka ulikuwa unachat na cousin wako yaah
Asingekua anamtuma akafuate hizo fedha. She ain't that stupid and also she had opportunity to date Muajemi who is way richer than that guy but she turned down. I still believe he saw Convo concerning all his daily itinerary. That should worry him because she actually know all his movement.Hili nalo linawezekana...lakini rejea kuna jamaa insider alisemaga hamuelewi kuna dollass za miamala mara kadhaa kutoka kwa huyo mtu kuja kwa irene, huenda ndio mwenyewe ngoja tuone.
ndgu hyo luga s msala babu mana wengne skonga tulikmbiaAsingekua anamtuma akafuate hizo fedha. She ain't that stupid and also she had opportunity to date Muajemi who is way richer than that guy but she turned down. I still believe he saw Convo concerning all his days itinerary. That should worry him because she actually know all his movement.
mbona unarukia mkuki kwa mbele mkuuI still don`t believe Iryn cheated....there must be some sort of misunderstandings somewhere
Asingekua anamtuma akafuate hizo fedha. She ain't that stupid and also she had opportunity to date Muajemi who is way richer than that guy but she turned down. I still believe he saw Convo concerning all his daily itinerary. That should worry him because she actually know all his movement.
Hakuna kitu kinauma kama mwizi kuibiwa na mwizi mwenzie😆😆😆Mimi kama mwizi nimeumia sana
Mimi kama mwizi nimeumia sana kuona mwizi mwenzangu unaibiwa 😔