Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Kunyanyua mkono na kumpiga mtoto wa kike ni kosa kubwa sana kwa mwanaume aliyekamilika kulifanya
We Fala tu hujawahi kushikwa kinyeo au kupandwa kichwani na wanawake, na ndo mnaambukizana huu upumbavu mifumo jike nyie. Ila sisi kunyanyaswa ni haki yao.

Wewe ndo mkeo au mtu wako anaongea na X wake mbele yako ungechukua hatua gani ambayo ungezuia mihemuko.
 
We Fala tu hujawahi kushikwa kinyeo au kupandwa kichwani na wanawake, na ndo mnaambukizana huu upumbavu mifumo jike nyie. Ila sisi kunyanyaswa ni haki yao.

Wewe ndo mkeo au mtu wako anaongea na X wake mbele yako ungechukua hatua gani ambayo ungezuia mihemuko.
Angemuambia Daaarling don't do thaaaat its wroooong. Halafu anaenda na kumkaangia mayai
 
Iv INSIDER MAN katika misukosuko yako hujawaiii kumkutaa au kumhisii mama j anakucheat na ki ben 10 ukoo maana kilaa siku vipengele kwako unampiga matukiioo tu mengne anashtukia mengne yanampta yeye ametulia tu?
kumegewa ni siri ya ndani mkuu au muongozo ulibadilika kikao cha mwisho? ashakutana nayo sana huoni mwanamke hamfuatilii kwa kina na ukute ni kwasababu ya kumegewa ndo mana amekua kito..ile hivo.
 
Back
Top Bottom