Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Kweli arosto imetufikisha pabaya wote tunahitaji kujua kile kilichoendelea baada ya ujio wa boss lady Iryne.Insider fanya kweli utuletee kilichojiri kwanza mwambie arudishe gharama zote ulizotumia South Africa ukimtaduta na dada yetu wa Arusha
 
Ha ha haaaaaaaaa
Kuna wanawake wengi.. Waliandika kabla alikuwaje.. Ni tabia chafu anafanya kuwazunguka wanawake wanao fahamiana bado awebwana huruma kwa Jane naye siku moja na mdogo wake Jane.

Hajiheshimu kabisa na hana heshima kwa wanawake haswa mke mtarajiwa Mama J na akifatiwa na Iryn nini kwenda kwa Asmah!!!!!

Shameful man
PUNGUZA KUTOA USHAURI NA MALALAMIKO
 
Tabia yako ya huruma huruma kwa wanawake .. Jibadilishe.. Unaboa.. Umeniboa tangu uanze na A.. Haujiheshimu kabisaaaa wale wanawake zako.. Unawazunguka.. M sister wa P.. Mama J kapata mume bomu.. Aishi tu na wewe kwa maslahi tu na lazima nae amekujua amwnyamaza ale maisha.. Magonjwa omba yasikujie.. 😊
We chawa wa Makonda usiwe serious sana na maisha. Hii ni hadithi tu na haina uhalisia wowote ule.
 
Kweli watu ni wa sahaulifu, hapo nyuma kidogo tu ulisema dadako alikusaidia kuhusu hilo tatizo ila saivi wajiona MWAMBA kwa7b ya Wamasai.

We wamasai wame kulisha mizizi ya NGUVU KULUKUNDU ni ya uchungu kama nn, umepona eti saiv ww tena unajiona DAKTARI kwa wagonjwa [emoji33][emoji33][emoji33]
Ndo maana anasema hakuna
 
Back
Top Bottom