Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

I really appreciate your insight and personal story and it’s great to see how you took responsibility and embraced fatherhood despite the situation. I fully agree that as men, we must be accountable for our actions and support those around us. In my case, I’m working through things step by step and making sure everyone involved is cared for, just like you did. It’s not an easy path, but I’m determined to handle it responsibly and ensure that those close to me, like Junior and others, are happy and well supported. Thanks again for the advice, it’s a reminder to stay grounded and take pride in doing the right thing. ✊
Tangu tumeanza mwanzo wa story yako hii tamu na yenye mafunzo mengi ndani yake.
Kwakweli tunaisi kama tumekuwa moja ya familiya yako.
Hongera Sana Kijana.
Nakumbuka Sana Mzee PAMA(Mnyamwezi)
 
Wewe hujaisoma story yote; mwamba hakuwahi kumtongoza Iryn; Iryn katumia sana wafanyakazi wake, Sumaiya na hasa Lucy; mwamba alivompotezea, ni Iryn ndio kamtafuta dogo akiwa zake mafichoni Dodoma, tena this time alikwenda na kaka yake. Is Iryn ndio anataka hadi bibi na babu yake Aria wamjue; unasemaje kama INSIDER MAN ni opportunitist? Unamuonea. Jamaa ni mpambanaji na baadhi ya fursa zinamfata alipo kwasababu ya mbegu ya uaminifu alioipanda, refer mzee Jumaa, Jane na marafiki wa hayati mzee Pama
All in all ana bahati na bahati humfata mwenye juhudi.

Ana heshima, anajua nani aongee nae nini, amejua kucheza karata zake vizuri. Alipoipata hiyo bahat hakuiacha na haikumuacha coz ana maarifa.
 
Karibu sana kwenye Uislamu ndugu, hapo umeongea point usizini oa kihalali kabisa tena utapata na fursa ya kumuongeza na Asmah na Mery hapo wakawa 4 no problem 😊
Ndoa ziko za aina mbili: 1) Ndoa ya Mke mmoja (Mf. Kikristo) na 2) Ndoa ya mke zaidi ya mmoja (Mfano za Kiislamu, ndoa za Kimila na Kiserikali). Aidha, ndoa inaweza kubadilishwa kutoka kutoka aina moja kwenda nyingine isipokuwa ndoa za Kikristo. Options zipo ikiwa mtu hahitaji kufungamana na imani za kidini
 
Mkuu INSIDER MAN … Pole na pongezi ni juu yako, umetupa stori tamu saana.

Pia mkuu… inatakiwa uongee vzur na MAX ili ujue atakunufaisha vp, maana hii stori yako imefanya watu wengi wawe kama walinzi kwa kufuatilia MWENDELEZO.

Kupitia stori yako kwa kweli tumepata kujua mambo mengi.

Ww umeona ni vema kushea nasi stori lakn kwa MAX hichi ulichofanya ni BIDHAA.

Kumbuka; bado unataka kuleta MWENDELEZO zaidi na zaidi, hivyo kupitia stori hii uliyo imaliza ndo iwe kama TRELA ktk muvi ila upate MAOKOTO ya mwendelezo kutoka kwa MAX.

Mwisho.
—————————————————————
 

Attachments

  • 1728316202379.png
    1728316202379.png
    982.7 KB · Views: 22
Mkuu INSIDER MAN … Pole na pongezi ni juu yako, umetupa stori tamu saana.

Pia mkuu… inatakiwa uongee vzur na MAX ili ujue atakunufaisha vp, maana hii stori yako imefanya watu wengi wawe kama walinzi kwa kufuatilia MWENDELEZO.

Kupitia stori yako kwa kweli tumepata kujua mambo mengi.

Ww umeona ni vema kushea nasi stori lakn kwa MAX hichi ulichofanya ni BIDHAA.

Kumbuka; bado unataka kuleta MWENDELEZO zaidi na zaidi, hivyo kupitia stori hii uliyo imaliza ndo iwe kama TRELA ktk muvi ila upate MAOKOTO ya mwendelezo kutoka kwa MAX.

Mwisho.
—————————————————————
Them orange yebo yebos carrying something.....
 
Ushasema kabla ya Yesu. Hakuna aliyekunyima kuoa wengi ila kama Yesu kwako ni Bwana na MWOKOZI wa maisha yako sheria yake haibadiliki kufuata tamaa za wanadamu mkuu. Hakunaga Mungu wa kisasa mzee. Mungu ni yule yule na utaratibu ni uleule.
Kama Mungu ni yuleyule tusingeshuhudia maaskofu wa Makanisa waasisi wa imani zetu nyingi kuhalalisha LGBTIQA zaidi sana wao wenyewe wakioa na kuolewa. Yesu wa sasa sio Yesu yule wa zama hizo, amekubaliana na globalization (In the context of what is happening, no wonder wanabarikiwa Makanisani). Misimamo ya dini imebakia Afrika (Alkebulan our home) mahali ambapo anahubiriwa Yesu myahudi aliyekuwa na mitume 12 wa kiyahudi lakini ajabu wote wana majina ya kizungu. I stand to be corrected, but to my opinion, ni heri kuwa na ndoa za mitala kama zilivyokuwa mila zetu kuliko kuwa wanafiki makanisani/misikitini deep down tukiendeleza LGBTIQA.
 
Kama Mungu ni yuleyule tusingeshuhudia maaskofu wa Makanisa waasisi wa imani zetu nyingi kuhalalisha LGBTIQA zaidi sana wao wenyewe wakioa na kuolewa. Yesu wa sasa sio Yesu yule wa zama hizo, amekubaliana na globalization (In the context of what is happening, no wonder wanabarikiwa Makanisani). Misimamo ya dini imebakia Afrika (Alkebulan our home) mahali ambapo anahubiriwa Yesu myahudi aliyekuwa na mitume 12 wa kiyahudi lakini ajabu wote wana majina ya kizungu. I stand to be corrected, but to my opinion, ni heri kuwa na ndoa za mitala kama zilivyokuwa mila zetu kuliko kuwa wanafiki makanisani/misikitini deep down tukiendeleza LGBTIQA.
Mungu ni yule yule ila vizazi vinabadilika. Mkataba wetu na mungu ni Biblia. Binadamu kubadilika ni kawaida ndio maana tunaongozwa na sheria
 
Anachokifanya Jimmy kwa dada yake ni sawa?. Insider kazalisha dada yake, lakini bado anamsupport jamaa kula madem wa club.
Nikionaga hawa jamaa waliotembea tembea sana huko duniani jinsi wanavyo kula mademu hovyo, yaani hawaogopi kabisa AIDS wallah naanzaga kufikiria huenda dawa ya Ukimwi IPO na inapatikana kwa connection. Hope wazee wenzangu mnamkumbuka mcheza Basketball wa NBA miaka hiyo ya mwanzoni mwa 90 bwana Magic Johnson, mwaka 1991 mwamba alikutwa but still todate jamaa yupo and he is our fellow black.
 
Kama Mungu ni yuleyule tusingeshuhudia maaskofu wa Makanisa waasisi wa imani zetu nyingi kuhalalisha LGBTIQA zaidi sana wao wenyewe wakioa na kuolewa. Yesu wa sasa sio Yesu yule wa zama hizo, amekubaliana na globalization (In the context of what is happening, no wonder wanabarikiwa Makanisani). Misimamo ya dini imebakia Afrika (Alkebulan our home) mahali ambapo anahubiriwa Yesu myahudi aliyekuwa na mitume 12 wa kiyahudi lakini ajabu wote wana majina ya kizungu. I stand to be corrected, but to my opinion, ni heri kuwa na ndoa za mitala kama zilivyokuwa mila zetu kuliko kuwa wanafiki makanisani/misikitini deep down tukiendeleza LGBTIQA.
Sina comment ju ya mambo yako mengine, nipo interested na mambo 2 ulioyataja.
1. Majina ya mitume wa Yesu kua ni Wayahudi halafu wana majina ya Kizungu
2. Kuhusu mambo ya LGBTQ
Nitafafanua kwa jinsi ninavyo jua:-
Wewe umejuaje kama mitume walikua na majina ya Kizungu? Yohana, Petro, Yakobo kuna uzungu gani hapo bro? Mbona hayo majina ya Kiswahili? Mariamu nalo ni jina la Kizungu? What about jina YESU na lenyewe la Kizungu? I think ulikua na assumption kwanza kichwani mwako na ile assumption ukaitolea jibu bila kui prove then ukatembea nayo....! Fikiria upya
Kuhusu mambo ya Ushoga na Ukristo; napataga sana shida na watu wanaosema eti Ukristo unaruhusu mambo hayo, najiulizaga, wanafanya makusudi kusema hivo au hawaelewi? Kuna kitabu kimezungumza kwa ukali issues za ushoga kama Biblia? Matendo ya viongozi wa dini kutokufata Biblia yalitabiriwa sana; wengine wamebadiri dini kua biashara, wanajinuifaisha kibinafsi wao wenyewe, Biblia ilitabiri hilo enzi hizooo watu wakiwa na hofu kubwa ya Mungu kwamba hao watu watatokea, hivi hujawahi kusoma hapa, "Siku za mwisho watatokea manabii wengi wa UONGO......., mtawatambua kwa matunda yao (neno matunda hapo ni matendo yao) maana watakua wamevaa ngozi za KONDOO lakini ndani ni Mbwa mwitu wakali. Jisomee mwenyewe with free mind, utajifunza vingi
 
BONUS CHAPTER 1

Nimeanza kuandika story hii nikiwa South Africa, ule wakati ambao nilikuwa na muda wa ziada, ndipo nilipoanza kuandika Season 1 na kuwapostia. Lengo langu kuu ni kuwapa ujumbe kuhusu safari ya maisha yangu, kutoka mwanzo hadi sasa, maisha ambayo bado ninaishi. Sikutaka kukata tamaa, hata baada ya kumaliza mkataba wangu na taasisi X niliamua kujiingiza kwenye uber, huku ndo nilikopata mafanikio makubwa sana.

Nilichowaandikia ni kama asilimia 30 ya maisha yangu; bado kuna mengi ambayo sijagusia kutokana na sababu za usalama wangu pia.

Kwa ufupi, tangu Iryn alipojifungua, maisha yangu yalianza kubadilika kwa kasi sana. Niliamua kuelekeza nguvu zangu kwenye familia zangu na kujituma zaidi kutafuta hela kwa bidii.

Mwezi Januari 2024, nilikutana na mzee na kumueleza kuhusu suala la kuzaa na Iryn. Alishtushwa sana na habari hizi, na hakusita kunilaumu vikali juu ya hilo. Hata hivyo, nilijitahidi sana kujitetea, hasa kwa kutumia mbinu nzuri ambazo Sister aliniambia.

Mzee aliweza kuelewa hali halisi, na mwezi Februari mwaka huu alikutana na Iryn. Tulienda Zambia kwa ajili ya hili, na baada ya kumuona Aria, mzee alikiri kwamba ni damu yetu. Changamoto iliyobaki sasa ni namna ya kumwambia mama yangu mzazi. Tumepanga kumtaarifu mwezi huu, na safari hiyo itakuwa mimi, mzee, na sister.

Kuhusu mama J, tuko shwari kabisa, na upendo kati yetu umeendelea kukua kwa kasi; tunapendana sana. Junior mwaka huu alianza shule na anaendelea kufanya vizuri sana darasani. Kampuni ya Masaki bado ipo na inaendelea kufanya vizuri sana, na pia mama mtoto amefungua biashara nyingine hapa Dar es Salaam.

Kuhusu mtoto wetu Aria, sasa ana mwaka mmoja na miezi mitatu, na tumefanana sana. Ninajitahidi kumtembelea mara kwa mara kule South, hata wiki iliyopita nilikuwa huko kumuona.

Habari njema nyingine ni kwamba mwezi wa 10 huu ninatarajia kupata mtoto wa pili na Iryn. Baada ya kuja Disemba mwaka jana, tulikutana na hali hiyo ikapelekea kushika mimba. Ingawa hatukupanga hili, hatukuwa na namna zaidi ya kukubaliana yeye kuzaa. Hali hii imefanya niwe nasafiri mara kwa mara kwenda South Africa.

Kuhusu Mary, alipata kazi Mwanza katika moja ya taasisi nyeti inayoshughulika na masuala ya BOP. Hatuko kwenye mahusiano ya kimapenzi rasmi, lakini bado tunakutana kisela.

Mipango yangu ni kuhakikisha kwamba kufikia mwakani kila kitu kiwe wazi kwa mama J. Hata hivyo, hili linasubiri wazazi watoe maamuzi, kwani tunasubiri kuona mama atachukua hatua gani akijua ukweli. Nia yangu ni kumuoa mama J kwa kufunga naye ndoa, lakini hilo litafanyika tu endapo atajua ukweli na kukubali kwa hiari yake.

Mbali na mama J, pia nina mpango wa kumfanya Iryn awe mke wangu wa pili. Sijui wazazi watasema nini kuhusu hili, lakini anatarajia kupata mtoto wa pili. Hali hii inahusisha majadiliano mazito na maamuzi ambayo ni muhimu kabla ya kuchukua hatua zozote.

Nitarudi kuwapa hadithi fupi pale ambapo nitamuweka wazi mama J kuhusu hili suala. Sijui itakuwa lini—labda mwakani au baada ya miaka miwili au mitatu. Lakini nitawapa mrejesho wa kilichotokea kwa kuwapa Season 3 au lah. Nitawapa muendelezo wa mambo yalivyokuwa, kuanzia niliporudi Dar es Salaam mwezi Julai 2023. Hapa katikatika nimepitia mambo mengi sana, hadi sasa ni vile hamjui kinachoendelea nyuma ya pazia, kumekuwa na vikao vingi sana.

Mwisho kabisa, mwakani Mungu akijalia nitaondoka Tanzania na familia yangu kwenda kufanya kazi nje. Jambo la muhimu tuendelee kuombeana uzima na mapambano mema, tuache chuki na Roho mbaya.

Bonus, inayokuja tutachambua wote fursa zinazopatikana Dar es Salaam na huenda nikawa na thanks giving kwa baadhi ya watu watakao bahatika, nikaangalia namna ya kuwa support kwenye harakati zao. Lakini hadi kufikia sasa nimeshatoa kwa watu wengi tu, ambao walikuwa wanakuja inbox na sababu zilizonyooka, na wengi ni matapeli.

Tukutane kesho!
Asante Insider nilipitwa Gily Gru siku hizi huni tag kaka.
 
Nikionaga hawa jamaa waliotembea tembea sana huko duniani jinsi wanavyo kula mademu hovyo, yaani hawaogopi kabisa AIDS wallah naanzaga kufikiria huenda dawa ya Ukimwi IPO na inapatikana kwa connection. Hope wazee wenzangu mnamkumbuka mcheza Basketball wa NBA miaka hiyo ya mwanzoni mwa 90 bwana Magic Johnson, mwaka 1991 mwamba alikutwa but still todate jamaa yupo and he is our fellow black.
Malaya wote wanajali condom hali dem bila ndom
 
Sina comment ju ya mambo yako mengine, nipo interested na mambo 2 ulioyataja.
1. Majina ya mitume wa Yesu kua ni Wayahudi halafu wana majina ya Kizungu
2. Kuhusu mambo ya LGBTQ
Nitafafanua kwa jinsi ninavyo jua:-
Wewe umejuaje kama mitume walikua na majina ya Kizungu? Yohana, Petro, Yakobo kuna uzungu gani hapo bro? Mbona hayo majina ya Kiswahili? Mariamu nalo ni jina la Kizungu? What about jina YESU na lenyewe la Kizungu? I think ulikua na assumption kwanza kichwani mwako na ile assumption ukaitolea jibu bila kui prove then ukatembea nayo....! Fikiria upya
Kuhusu mambo ya Ushoga na Ukristo; napataga sana shida na watu wanaosema eti Ukristo unaruhusu mambo hayo, najiulizaga, wanafanya makusudi kusema hivo au hawaelewi? Kuna kitabu kimezungumza kwa ukali issues za ushoga kama Biblia? Matendo ya viongozi wa dini kutokufata Biblia yalitabiriwa sana; wengine wamebadiri dini kua biashara, wanajinuifaisha kibinafsi wao wenyewe, Biblia ilitabiri hilo enzi hizooo watu wakiwa na hofu kubwa ya Mungu kwamba hao watu watatokea, hivi hujawahi kusoma hapa, "Siku za mwisho watatokea manabii wengi wa UONGO......., mtawatambua kwa matunda yao (neno matunda hapo ni matendo yao) maana watakua wamevaa ngozi za KONDOO lakini ndani ni Mbwa mwitu wakali. Jisomee mwenyewe with free mind, utajivunza vingi
Apo umenena kaka 💯
 
Back
Top Bottom