Jinsi Bikra Maria alivyompa mtihani kiongozi wa Kanisa, Nabii Zakaria..

Maria hakufa mkuu,, alipalizwa Binguni...!

Sent using Jamii Forums mobile app

Kupalizwa kwa Maria ni Dogma ya Wakatoliki ila kuna maandiko na simulizi zinazosema kuwa alifariki pia tena kwa kufatwa na mwanaye na kupewa chaguo (kumbuka Maria hakuwa na dhambi ile yetu ya asili so hakuwa na ulazima wa kufa) akamjibu kuwa “Bwana, nataka kupitia kila ulichopitia” hivyo mwili na roho yake vikatengenishwa.

Kuna ushahidi wa sanda aliyozikiwa pia uko kwenye museum huko walipokuwepo. Ngoja nikutafutie hizo simulizi
 
Madini haya jamani
 
Sisi weusi tunazidiwa na weupe kwa idadi.Nadhani tuko moja ya saba hivi.

Utropicana umetufanya tukawa na akili zubaifu,jiografia imetukinga sana na majanga kwa hivo Bongo ya mtu mweusi haitumiki ipasavyo.Halafu pia upatikanaji wa mahitaji ni abundantly, akili inazubaa!
Ila wakati umeshawasili na tutapanda upesi sn kwenye daraja la juu.

Kuhusu Mada ya Bikira Maria,its amazing....coming soon!
 
Umeandika kitu kikubwa sana hizo sentensi za mwanzo mkuu
 
Zurie kama Zurie
 
aksante sana mkuu
 
Mungu wangu umetoa wapi huo ujinga??wapi imeandikwa kuwa yaliyomo kwenye biblia ni summary tu?
Una Biblia? Kama ndiyo hukuwahi kusoma habari kwamba yangeandikwa yote aliyoyafanya Yesu hata ulimwengu wote usingetisha kukokokita Biblia?

Nenda pia kasome kitabu Cha Wafalme. Kila bada habari za Mfalme Moja Kuna maelezo mengine kuhusu Walafme yameandikwa katika vitabu vingine vya Wafalme HUSIKA. Au huwa hamsomi Biblia hadi NUKTA ya mwisho ya kitabu HUSIKA????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…