NALIA NGWENA JF-Expert Member Joined Oct 6, 2016 Posts 10,587 Reaction score 13,425 May 1, 2023 #21 Kidogo upigwe Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
covid 19 JF-Expert Member Joined May 9, 2014 Posts 6,967 Reaction score 17,452 May 1, 2023 #22 sky soldier said: Habari zenu wana JF, Nikiwa nimejawa maumivu na majonzi ya kisa hivi naandika kwa lengo la kuelimisha tu lakini kiukweli hata navyoandika sasa sina raha kabisa nikikumbuka usaliti huu. gekuwa nalea mtoto ambae si wangu, Click to expand... Maskini jamanii tamaa za watu wazima zimeteketeza roho isiyo na hatia.😭😭
sky soldier said: Habari zenu wana JF, Nikiwa nimejawa maumivu na majonzi ya kisa hivi naandika kwa lengo la kuelimisha tu lakini kiukweli hata navyoandika sasa sina raha kabisa nikikumbuka usaliti huu. gekuwa nalea mtoto ambae si wangu, Click to expand... Maskini jamanii tamaa za watu wazima zimeteketeza roho isiyo na hatia.😭😭
Lovie Lady JF-Expert Member Joined Feb 5, 2023 Posts 2,826 Reaction score 4,652 May 1, 2023 #23 Uhuni wa Kienyeji🤣🤣🤣🤣🤣🙌
pwilo JF-Expert Member Joined May 27, 2015 Posts 10,913 Reaction score 13,876 May 1, 2023 #24 Na hiyo ndio sababu wanaume wengi wanakataa mimba
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 9,679 Reaction score 39,087 May 1, 2023 #25 Carrasco said: Hivi nyie mnaogopaje mimba mm demu akiniambia ana mimba namwambia zaa tutapima DNA kama anadanganya hakutafuti tena Click to expand... Bongo ukipima DNA mtoto ni wako.
Carrasco said: Hivi nyie mnaogopaje mimba mm demu akiniambia ana mimba namwambia zaa tutapima DNA kama anadanganya hakutafuti tena Click to expand... Bongo ukipima DNA mtoto ni wako.