Jinsi binti niliekutana nae kwa miezi mitatu alivyotaka kunibambikizia mimba ya miezi 4, Teknolojia ilimuumbua kwa uhuni wake wa kienyeji.

Habari zenu wana JF, Nikiwa nimejawa maumivu na majonzi ya kisa hivi naandika kwa lengo la kuelimisha tu lakini kiukweli hata navyoandika sasa sina raha kabisa nikikumbuka usaliti huu.
gekuwa nalea mtoto ambae si wangu,
Maskini jamanii tamaa za watu wazima zimeteketeza roho isiyo na hatia.😭😭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…