Jinsi Crown media ilivyoajiri. Ni somo kubwa kwa Graduates wanaotafuta ajira. Zama zimebadilika

Jinsi Crown media ilivyoajiri. Ni somo kubwa kwa Graduates wanaotafuta ajira. Zama zimebadilika

MELEKAHE

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2023
Posts
1,340
Reaction score
5,588
Habari wadau.

Kwenye media industry ya Tanzania kuna media mpya imeanzishwa ambayo inasemekana inamilikiwa na Joseph Kusaga , salim kikeke wakishirikiana na msanii alikiba

Kusaga ni mzoefu mmiliki wa media nyingi ikiwemo cloudsfm, wasafimedia etc.

Mfumo wa kuajiri uliotumika kupata wafanyakazi wa media mpya una somo kubwa kwa job hunters hasa grafuates.

Udsm, udom na vyuo vikuu vingine vina kozi nyingi za waandishi wa habari na kuzalisha graduates kila mwaka wenye degree za journalism na mass communications. Na wengi wapo mtaani wanatafuta ajira za fani zao.

Kusaga na management ya Crown media inalijua hilo. Ila haikuwapa kipaumbele sababu wanajua soko la media linataka nini.

First class za udsm na udom kwenye kozi za media zimeachwa. Ila wenye talent ndio wamepewa kazi.

Walichofanya kwenye kuajiri wamefanya hunting ya staff kupitia social media. Wametazama tik tok, youtube na instagram vijana wanaopendwa content creators hao ndio imewapa ofa za ajira bila hata interviews.

Jirani yangu mtaani kuna binti anapenda sana tik tok

Crown media wamemtafuta wenyewe na kumpa ofa ya ajira. Sababu walimuona tik tok anajua kutengeneza stories.. hivyo kipindi cha stories wamempa akifanye yeye.

Hili ni somo kwa graduates. Tafuta sehemu onesha unachokiweza. Usitegemee kuzungusha CV na bahasha tu.

Ukiwa unajua unapata kazi bila hata rushwa wala kujuana
 
Vipi ITV nao wanaajiri kwa mtindo hup, namaanisha gazeti la uhuru ni wangaaalia tiktok.

Wasafi, Clouds na Clown ni media za burdening na sio journalism, journalism ni sehemu tu kwao jiulize wanaofanya kipindi cha taarifa ya habari nao wamewatoa tiktok....REASONING
 
Habari wadau.

Kwenye media industry ya Tanzania kuna media mpya imeanzishwa ambayo inamilikiwa na Joseph Kusaga akishirikiana na msanii alikiba.

Kusaga ni mzoefu mmiliki wa media nyingi ikiwemo cloudsfm, wasafimedia etc.

Mfumo wa kuajiri uliotumika kupata wafanyakazi wa media mpya una somo kubwa kwa job hunters hasa grafuates.

Udsm, udom na vyuo vikuu vingine vina kozi nyingi za waandishi wa habari na kuzalisha graduates kila mwaka wenye degree za journalism na mass communications. Na wengi wapo mtaani wanatafuta ajira za fani zao.

Kusaga na management ya Crown media inalijua hilo. Ila haikuwapa kipaumbele sababu wanajua soko la media linataka nini.

First class za udsm na udom kwenye kozi za media zimeachwa. Ila wenye talent ndio wamepewa kazi.

Walichofanya kwenye kuajiri wamefanya hunting ya staff kupitia social media. Wametazama tik tok, youtube na instagram vijana wanaopendwa content creators hao ndio imewapa ofa za ajira bila hata interviews.

Jirani yangu mtaani kuna binti anapenda sana tik tok anajiita Momo a.k.a You people.

Crown media wamemtafuta wenyewe na kumpa ofa ya ajira. Sababu walimuona tik tok anajua kutengeneza stories.. hivyo kipindi cha stories wamempa akifanye yeye.

Hili ni somo kwa graduates. Tafuta sehemu onesha unachokiweza. Usitegemee kuzungusha CV na bahasha tu.

Ukiwa unajua unapata kazi bila hata rushwa wala kujuana
Zama za digilii zinaisha

Itabaki kwenye ajira za serikali tu
 
Habari wadau.

Kwenye media industry ya Tanzania kuna media mpya imeanzishwa ambayo inamilikiwa na Joseph Kusaga akishirikiana na msanii alikiba.

Kusaga ni mzoefu mmiliki wa media nyingi ikiwemo cloudsfm, wasafimedia etc.

Mfumo wa kuajiri uliotumika kupata wafanyakazi wa media mpya una somo kubwa kwa job hunters hasa grafuates.

Udsm, udom na vyuo vikuu vingine vina kozi nyingi za waandishi wa habari na kuzalisha graduates kila mwaka wenye degree za journalism na mass communications. Na wengi wapo mtaani wanatafuta ajira za fani zao.

Kusaga na management ya Crown media inalijua hilo. Ila haikuwapa kipaumbele sababu wanajua soko la media linataka nini.

First class za udsm na udom kwenye kozi za media zimeachwa. Ila wenye talent ndio wamepewa kazi.

Walichofanya kwenye kuajiri wamefanya hunting ya staff kupitia social media. Wametazama tik tok, youtube na instagram vijana wanaopendwa content creators hao ndio imewapa ofa za ajira bila hata interviews.

Jirani yangu mtaani kuna binti anapenda sana tik tok anajiita Momo a.k.a You people.

Crown media wamemtafuta wenyewe na kumpa ofa ya ajira. Sababu walimuona tik tok anajua kutengeneza stories.. hivyo kipindi cha stories wamempa akifanye yeye.

Hili ni somo kwa graduates. Tafuta sehemu onesha unachokiweza. Usitegemee kuzungusha CV na bahasha tu.

Ukiwa unajua unapata kazi bila hata rushwa wala kujuana
Mambo yamebadilika sana kujipendekeza nayo inanafasi yake kwa tusioweza tayari CV ina drop

Soko la ajira limebadilika ili uonekane ni lazima uoneshe kitu , kwa sasa inaelekea hautumii nguvu kubwa kutembea na CV yako bali mabosi sasa hivi wanatafuta wafanyakazi wenyewe kwa ku pick.
 
Vipi ITV nao wanaajiri kwa mtindo hup, namaanisha gazeti la uhuru ni wangaaalia tiktok.

Wasafi, Clouds na Clown ni media za burdening na sio journalism, journalism ni sehemu tu kwao jiulize wanaofanya kipindi cha taarifa ya habari nao wamewatoa tiktok....REASONING

Millard ayo hana digrii wala diploma ila amewai ajiriwa ITV na kipindi chake kilikuwa taarifa ya habari
 
GPA na DEGREE haina umuhimu hasa UKIWA nayo.... ukiwa hauna ndio utajua umuhimu wake..

My take.

Kila mtu ajitathmin na ajitambue mapema hasa hao waliopo Chuoni, Mtaani etc.

Mie nilichosoma na ninachofanyia kazi ni vitu viwili tofauti..
 
Back
Top Bottom