Jinsi Crown media ilivyoajiri. Ni somo kubwa kwa Graduates wanaotafuta ajira. Zama zimebadilika

Jinsi Crown media ilivyoajiri. Ni somo kubwa kwa Graduates wanaotafuta ajira. Zama zimebadilika

Graduates wengi hawajui wanaishi dunia ya aina gani na hiyo dunia inataka nini kutoka kwao.

Hili likawe somo watu watengeneze folios watu wawaone wanavyovifanya na kuvifahamu.
Majuzi america wame change policy kwenye ajira, now ni skill based employment, education ina nafasi yake but kwneye excutive ila kwenye chini ya hapo wanaangalia ni nn mtu anaweza kufanya.

Anacho kifanya crown ni indication kuwa talent na skills ndio zinapewa kipaombele si vyeti tena
 
Habari wadau.

Kwenye media industry ya Tanzania kuna media mpya imeanzishwa ambayo inamilikiwa na Joseph Kusaga akishirikiana na msanii alikiba.

Kusaga ni mzoefu mmiliki wa media nyingi ikiwemo cloudsfm, wasafimedia etc.

Mfumo wa kuajiri uliotumika kupata wafanyakazi wa media mpya una somo kubwa kwa job hunters hasa grafuates.

Udsm, udom na vyuo vikuu vingine vina kozi nyingi za waandishi wa habari na kuzalisha graduates kila mwaka wenye degree za journalism na mass communications. Na wengi wapo mtaani wanatafuta ajira za fani zao.

Kusaga na management ya Crown media inalijua hilo. Ila haikuwapa kipaumbele sababu wanajua soko la media linataka nini.

First class za udsm na udom kwenye kozi za media zimeachwa. Ila wenye talent ndio wamepewa kazi.

Walichofanya kwenye kuajiri wamefanya hunting ya staff kupitia social media. Wametazama tik tok, youtube na instagram vijana wanaopendwa content creators hao ndio imewapa ofa za ajira bila hata interviews.

Jirani yangu mtaani kuna binti anapenda sana tik tok

Crown media wamemtafuta wenyewe na kumpa ofa ya ajira. Sababu walimuona tik tok anajua kutengeneza stories.. hivyo kipindi cha stories wamempa akifanye yeye.

Hili ni somo kwa graduates. Tafuta sehemu onesha unachokiweza. Usitegemee kuzungusha CV na bahasha tu.

Ukiwa unajua unapata kazi bila hata rushwa wala kujuana
Tatizo wanarudi kulekule kwenye kusongamana na kina wasafi na clouds na efm. Hawaoni soko kwa hawa watu wenye umri wa miaka 30 hadi 50. Hawa hawana media yao. Hii Crown kama haijatazama hilo itakwama tu. Na hao wa talent labda wapelekwe kozi maana hawawezi kutegemea talanta zao siku zote. Elimu inahusika sana
 
Majuzi america wame change policy kwenye ajira, now ni skill based employment, education ina nafasi yake but kwneye excutive ila kwenye chini ya hapo wanaangalia ni nn mtu anaweza kufanya.

Anacho kifanya crown ni indication kuwa talent na skills ndio zinapewa kipaombele si vyeti tena
Elimu ni muhimu sana mkuu mnawaiga USA ambao ninyi mpo kwenye maisha ya kupanda bajaji na boda boda wenzenu wanatumia dk 30 kufika eneo la mbali kwa usafiri wa kisasa...
 
Majuzi america wame change policy kwenye ajira, now ni skill based employment, education ina nafasi yake but kwneye excutive ila kwenye chini ya hapo wanaangalia ni nn mtu anaweza kufanya.

Anacho kifanya crown ni indication kuwa talent na skills ndio zinapewa kipaombele si vyeti tena
Hii nilisikia .
 
Elimu ni muhimu sana mkuu mnawaiga USA ambao ninyi mpo kwenye maisha ya kupanda bajaji na boda boda wenzenu wanatumia dk 30 kufika eneo la mbali kwa usafiri wa kisasa...
Bado hujaelezea why tusiige. Kwa hiyo ajira zijali vyeti zaidi kwasababu watu wanapanda boda boda? Pathetic man

Na si US tu, dunia inaelekea huko, vyeti vina umuhimu wake lakin kwa sasa dunia inahitaji watendaji zaidi kuliko viongozi. Us , europe even baadhi ya nchi africa zimeshaona hili
 
Course Kama ualimu , habari , na mambo yote ya kukariri yalibidi kupigwa marufuku


Maana watangazi wazuri ni talented
Walimu wazuri ni talented

So course zitolewe Kama short course haiwezekani MTU anakaa chuo miaka 3 anasoma mambo ambayo 90% hatoyatumia katika maisha yake.
 
Habari wadau.

Kwenye media industry ya Tanzania kuna media mpya imeanzishwa ambayo inamilikiwa na Joseph Kusaga akishirikiana na msanii alikiba.

Kusaga ni mzoefu mmiliki wa media nyingi ikiwemo cloudsfm, wasafimedia etc.

Mfumo wa kuajiri uliotumika kupata wafanyakazi wa media mpya una somo kubwa kwa job hunters hasa grafuates.

Udsm, udom na vyuo vikuu vingine vina kozi nyingi za waandishi wa habari na kuzalisha graduates kila mwaka wenye degree za journalism na mass communications. Na wengi wapo mtaani wanatafuta ajira za fani zao.

Kusaga na management ya Crown media inalijua hilo. Ila haikuwapa kipaumbele sababu wanajua soko la media linataka nini.

First class za udsm na udom kwenye kozi za media zimeachwa. Ila wenye talent ndio wamepewa kazi.

Walichofanya kwenye kuajiri wamefanya hunting ya staff kupitia social media. Wametazama tik tok, youtube na instagram vijana wanaopendwa content creators hao ndio imewapa ofa za ajira bila hata interviews.

Jirani yangu mtaani kuna binti anapenda sana tik tok

Crown media wamemtafuta wenyewe na kumpa ofa ya ajira. Sababu walimuona tik tok anajua kutengeneza stories.. hivyo kipindi cha stories wamempa akifanye yeye.

Hili ni somo kwa graduates. Tafuta sehemu onesha unachokiweza. Usitegemee kuzungusha CV na bahasha tu.

Ukiwa unajua unapata kazi bila hata rushwa wala kujuana
Kwani kuna shida gani ukiwa na Talent na ni Graduate wa UDSM au UDOM.
 
Same tu me, nilichosomea na nachofanya now ni tofauti ila kupitia knowledge niliyopata skuli nai apply kwenye mitikasi yangu ya sasa..

Elimu ya darasani ina nafasi yake katika maisha si ya kuibeza kabisa..
Serious.. hicho cheti kinawez kukuaminisha sehem ukafanya kazi ambayo haiendani na cheti.. ila wanajua kbs huyu mtu anajitambua, ukiwa hauna kushawishi watu kwamba unajitambua ni ngumu.
 
Elimu ni muhimu sana mkuu mnawaiga USA ambao ninyi mpo kwenye maisha ya kupanda bajaji na boda boda wenzenu wanatumia dk 30 kufika eneo la mbali kwa usafiri wa kisasa...
Ni kweli elimu ni muhimu sana, ila Mkuu Isanga family kumbuka kuwa elimu sio vyeti na elimu ipo kwenye mifumo mingi. Rasmi na isiyo rasmi. Kifupi elimu ni maarifa.

Tatizo vijana wengi hawana maarifa juu ya mahitaji ya dunia ya sasa wao wamekalia mavyeti nyumbani na wanaogopa kufanya mambo kuonesha matunda ya elimu walizoenda kupata chuo.

Matokeo yake, sisi jamii tunaona ni kama hawa vijana hawakupata elimu yoyote chuo bali walienda poteza muda.

Elimu ni lazima uoneshe kwa vitendo sio kwa kutoa vyeti kabatini
 
Back
Top Bottom