Jinsi Crown media ilivyoajiri. Ni somo kubwa kwa Graduates wanaotafuta ajira. Zama zimebadilika

Jinsi Crown media ilivyoajiri. Ni somo kubwa kwa Graduates wanaotafuta ajira. Zama zimebadilika

Course Kama ualimu , habari , na mambo yote ya kukariri yalibidi kupigwa marufuku


Maana watangazi wazuri ni talented
Walimu wazuri ni talented

So course zitolewe Kama short course haiwezekani MTU anakaa chuo miaka 3 anasoma mambo ambayo 90% hatoyatumia katika maisha yake.
Mkuu kila mwalimu ana jambo ambalo anaweza kufundisha watu. Na kila mwalimu anaweza kukaa sehemu yoyote ile akafanya kazi.

Tatizo watu wanafikiri kama chuo alisomea ualimu kwa masomo historia na lugha basi aende kutafuta kazi kwa hayo masomo.

Alafu unakuta huyu mwalimu ni mpiga kinanda mzuri tu kanisani ila bado anasema hana ajira na fani yake ya ualimu hawezi kujiajiri.

Wakati huyu mwalimu anao uwezo wa kufundisha watu mtandaoni namna ya kupiga kinanda, akaandaa lesson plan akafundisha kwa ujuzi wa ualimu alioupata chuo akaeleweka vizuri sana.

Akatafuta sponsors wakamlipa kwa kuweka matangazo. Sio rahisi ila akikomaa kwa mwaka mzima atapata matunda ya kazi yake hiyo.

Vile vile kwa mwalimu yoyote yule, angalia unajua nini kama ni mapishi sawa, kama ni namna ya kufua nguo sawa, kama ni namna ya kusafisha mwili sawa, kama ni mapenzi sawa, wewe fundisha watu mtandaoni kwa taaluma uliyonayo kifupi hakuna mwalimu anayekosa kazi ya kufanya.

Tatizo vijana wengi bongo tumerelax sana. Mtu anataka kama alisomea ualimu wa kiswahili basi akafundishe hicho hicho shuleni utadhani alisoma Unit moja tu ya kiswahili huko chuo.

Wakeup brothers
 
Vipi ITV nao wanaajiri kwa mtindo hup, namaanisha gazeti la uhuru ni wangaaalia tiktok.

Wasafi, Clouds na Clown ni media za burdening na sio journalism, journalism ni sehemu tu kwao jiulize wanaofanya kipindi cha taarifa ya habari nao wamewatoa tiktok....REASONING
big jo na timu yake ni wabunifu, wanajua soko linataka nini kwa wakati. Ukiwa na journalism ethics inatosha kuwa na exposure kwenye taaluma hiyo ambayo msingi mkubwa ni kipaji na ubunifu
 
Mkuu kila mwalimu ana jambo ambalo anaweza kufundisha watu. Na kila mwalimu anaweza kukaa sehemu yoyote ile akafanya kazi.

Tatizo watu wanafikiri kama chuo alisomea ualimu kwa masomo historia na lugha basi aende kutafuta kazi kwa hayo masomo.

Alafu unakuta huyu mwalimu ni mpiga kinanda mzuri tu kanisani ila bado anasema hana ajira na fani yake ya ualimu hawezi kujiajiri.

Wakati huyu mwalimu anao uwezo wa kufundisha watu mtandaoni namna ya kupiga kinanda, akaandaa lesson plan akafundisha kwa ujuzi wa ualimu alioupata chuo akaeleweka vizuri sana.

Akatafuta sponsors wakamlipa kwa kuweka matangazo. Sio rahisi ila akikomaa kwa mwaka mzima atapata matunda ya kazi yake hiyo.

Vile vile kwa mwalimu yoyote yule, angalia unajua nini kama ni mapishi sawa, kama ni namna ya kufua nguo sawa, kama ni namna ya kusafisha mwili sawa, kama ni mapenzi sawa, wewe fundisha watu mtandaoni kwa taaluma uliyonayo kifupi hakuna mwalimu anayekosa kazi ya kufanya.

Tatizo vijana wengi bongo tumerelax sana. Mtu anataka kama alisomea ualimu wa kiswahili basi akafundishe hicho hicho shuleni utadhani alisoma Hnit moja tu ya kiswahili huko chuo.

Wakeup brothers

I agree with you .
 
Ukitaka habari za tajiri nenda kwa masikini atakuambia kuhusu tajiri!! Ila tajiri hana habari za masikini. Hii ndio Dunia




KAZI ni kipimo cha UTU
 
Ni dhambi sana. Watu wamehangaikamkusoma alafu kazi hawapati
hawana ubunifu na ni wajinga. Vipi usome halafu ukose kazi? Kama umesoma fani ya uandishi andika habari hata bure wape gazeti lolote lenye kuandika maudhui hayo, wahariri wake wataona kazi hiyo na itapewa nafasi na mwisho wa siku utapata ajira hapo. Mitandao ipo, onesha unajua kutangaza watu wa tv watakuona, watayarishaji wa kipindi watakuona
 
Majuzi america wame change policy kwenye ajira, now ni skill based employment, education ina nafasi yake but kwneye excutive ila kwenye chini ya hapo wanaangalia ni nn mtu anaweza kufanya.

Anacho kifanya crown ni indication kuwa talent na skills ndio zinapewa kipaombele si vyeti tena
Tokea zamani walikuwa na structure ya elimu ambayo ni skill based, hiyo change of policy ni ku fine tune the already stable education system. mwalimu wangu wa peace Corp aliniambia kuwa in America mashuleni darasani ndio utamkuta mwalimu, so Kuna darasa la math, chemistry, physics etc, kama ukitaka kusoma physics pekee unashinda kwenye darasa la somo Hilo, ndio maana vijana walikuwa wanaweza maliza topics kwa muda mfupi na ku graduate wakiwa wadogo, na mahiri.
Huku kwetu mtoto wa darasa la saba ana masomo karibia nane, by the time anakuja ku specialize ni a level, na tayari alishajaza makorokoro kibao ambayo hayatumiii tena,
 
Mkuu kila mwalimu ana jambo ambalo anaweza kufundisha watu. Na kila mwalimu anaweza kukaa sehemu yoyote ile akafanya kazi.

Tatizo watu wanafikiri kama chuo alisomea ualimu kwa masomo historia na lugha basi aende kutafuta kazi kwa hayo masomo.

Alafu unakuta huyu mwalimu ni mpiga kinanda mzuri tu kanisani ila bado anasema hana ajira na fani yake ya ualimu hawezi kujiajiri.

Wakati huyu mwalimu anao uwezo wa kufundisha watu mtandaoni namna ya kupiga kinanda, akaandaa lesson plan akafundisha kwa ujuzi wa ualimu alioupata chuo akaeleweka vizuri sana.

Akatafuta sponsors wakamlipa kwa kuweka matangazo. Sio rahisi ila akikomaa kwa mwaka mzima atapata matunda ya kazi yake hiyo.

Vile vile kwa mwalimu yoyote yule, angalia unajua nini kama ni mapishi sawa, kama ni namna ya kufua nguo sawa, kama ni namna ya kusafisha mwili sawa, kama ni mapenzi sawa, wewe fundisha watu mtandaoni kwa taaluma uliyonayo kifupi hakuna mwalimu anayekosa kazi ya kufanya.

Tatizo vijana wengi bongo tumerelax sana. Mtu anataka kama alisomea ualimu wa kiswahili basi akafundishe hicho hicho shuleni utadhani alisoma Unit moja tu ya kiswahili huko chuo.

Wakeup brothers
Kassim Majaliwa ni mwalimu, Magufuli ni mwalimu, Nyerere ni Mwalimu.
 
Habari wadau.

Kwenye media industry ya Tanzania kuna media mpya imeanzishwa ambayo inamilikiwa na Joseph Kusaga akishirikiana na msanii alikiba.

Kusaga ni mzoefu mmiliki wa media nyingi ikiwemo cloudsfm, wasafimedia etc.

Mfumo wa kuajiri uliotumika kupata wafanyakazi wa media mpya una somo kubwa kwa job hunters hasa grafuates.

Udsm, udom na vyuo vikuu vingine vina kozi nyingi za waandishi wa habari na kuzalisha graduates kila mwaka wenye degree za journalism na mass communications. Na wengi wapo mtaani wanatafuta ajira za fani zao.

Kusaga na management ya Crown media inalijua hilo. Ila haikuwapa kipaumbele sababu wanajua soko la media linataka nini.

First class za udsm na udom kwenye kozi za media zimeachwa. Ila wenye talent ndio wamepewa kazi.

Walichofanya kwenye kuajiri wamefanya hunting ya staff kupitia social media. Wametazama tik tok, youtube na instagram vijana wanaopendwa content creators hao ndio imewapa ofa za ajira bila hata interviews.

Jirani yangu mtaani kuna binti anapenda sana tik tok

Crown media wamemtafuta wenyewe na kumpa ofa ya ajira. Sababu walimuona tik tok anajua kutengeneza stories.. hivyo kipindi cha stories wamempa akifanye yeye.

Hili ni somo kwa graduates. Tafuta sehemu onesha unachokiweza. Usitegemee kuzungusha CV na bahasha tu.

Ukiwa unajua unapata kazi bila hata rushwa wala kujuana
Ndo mana hizi media nyingine zinawaandishi wanafanya vitu so unprofessional, wabongo tunapenda ujinga ujinga tu yani. Kuna wakati unakutana na mwandishi eti anaaweka habari title inasema "Utacheka dokta samia alivyomtania diamond" sasa ni nn???
Upuuzi upuuzi Upuuzi ! Yote hii kwasababu watu wanafikilia wanaweza kufanya vitu bila elimu, nakubali talent ni muhimu lakini Elimu + talent ni muhimu zaidi.
Hii sekta ya media saivi ina vitu vya ajabu sana kwasababu ya hayo mambo ya kukosa professionalism ndo mana sioni ajabu kuona zinafungiwa fungiwa hovyo
 
Naomba msimu 2024/25 tuongeze contents za tiktok challenges and best stories creators. Huwezi jua
 
Bado hujaelezea why tusiige. Kwa hiyo ajira zijali vyeti zaidi kwasababu watu wanapanda boda boda? Pathetic man

Na si US tu, dunia inaelekea huko, vyeti vina umuhimu wake lakin kwa sasa dunia inahitaji watendaji zaidi kuliko viongozi. Us , europe even baadhi ya nchi africa zimeshaona hili
Maisha ya kimasikini harafu mnasema uige USA haya maisha wenzetu waliishi miaka 200 iliyopita ya kutembeza bakuri ili Nchi iendelee Nchi imejaa majambazi kila kona kwa mali za Umma Waziri Mkuu anazunguka kutangaza watu wasiibe na vyombo vya kuwakamata wezi na kuwawajibisha vipo ila vipo kimya harafu eti tuige sijui USA mkiangalia goggle zenu mnakuja na majibu yeyote...USA Rais anapelekwa mahakamani kwa kukwepa kodi huku Waziri tu anakingiwa kifua...
 
Wenye vyeti kabatini huku wameshapata cha kufanya mbona wanavidharau sana? ambao hawana ndio wanajua uchungu wa kuto kuwanavyo
 
Habari wadau.

Kwenye media industry ya Tanzania kuna media mpya imeanzishwa ambayo inamilikiwa na Joseph Kusaga akishirikiana na msanii alikiba.

Kusaga ni mzoefu mmiliki wa media nyingi ikiwemo cloudsfm, wasafimedia etc.

Mfumo wa kuajiri uliotumika kupata wafanyakazi wa media mpya una somo kubwa kwa job hunters hasa grafuates.

Udsm, udom na vyuo vikuu vingine vina kozi nyingi za waandishi wa habari na kuzalisha graduates kila mwaka wenye degree za journalism na mass communications. Na wengi wapo mtaani wanatafuta ajira za fani zao.

Kusaga na management ya Crown media inalijua hilo. Ila haikuwapa kipaumbele sababu wanajua soko la media linataka nini.

First class za udsm na udom kwenye kozi za media zimeachwa. Ila wenye talent ndio wamepewa kazi.

Walichofanya kwenye kuajiri wamefanya hunting ya staff kupitia social media. Wametazama tik tok, youtube na instagram vijana wanaopendwa content creators hao ndio imewapa ofa za ajira bila hata interviews.

Jirani yangu mtaani kuna binti anapenda sana tik tok

Crown media wamemtafuta wenyewe na kumpa ofa ya ajira. Sababu walimuona tik tok anajua kutengeneza stories.. hivyo kipindi cha stories wamempa akifanye yeye.

Hili ni somo kwa graduates. Tafuta sehemu onesha unachokiweza. Usitegemee kuzungusha CV na bahasha tu.

Ukiwa unajua unapata kazi bila hata rushwa wala kujuana
Mkuu radio/tv presenter siku hizi ni KIPAJI na sio ELIMU wala UJUZI

Mfumo huu hauwezi kuwa applicable kwenye fani kama za Afya, Uhasibu, Udereva nk nk

Kwenye tasnia ya HABARI wasomi wanaajiriwa kufanya kazi nyuma ya screen au mic
Huku mbele ya TV au kwenye mic wanatakiwa watu kama akina Baba levo, Juma lokole, Zembwela, Mbwiga wa mbwiguke...... hakuna mtaala unafundisha kuwa na character kama zao
 
Back
Top Bottom