Jinsi Crown media ilivyoajiri. Ni somo kubwa kwa Graduates wanaotafuta ajira. Zama zimebadilika

Jinsi Crown media ilivyoajiri. Ni somo kubwa kwa Graduates wanaotafuta ajira. Zama zimebadilika

Vipi ITV nao wanaajiri kwa mtindo hup, namaanisha gazeti la uhuru ni wangaaalia tiktok.

Wasafi, Clouds na Clown ni media za burdening na sio journalism, journalism ni sehemu tu kwao jiulize wanaofanya kipindi cha taarifa ya habari nao wamewatoa tiktok....REASONING
Mkuu kuna typing error hapo umeandika nilipo bold nadhani unapoteza maana. Badala ya Crown umeandika Clown nadhani umenielewa.
 
Mwanangu shika sana elimu usiache elimu aende zake...
"Kuna tofauti kubwa sana kati ya aliesoma na asiesoma katika uwasilishaji wa jambo.."
 
Binafsi siamini hilo. Wanataka cheap labor, Fikiria wachukue first class udsm na vyuo vingine then waajiri watu kama 10 ivi. Na hao wengine mshara utakuwa sawa.
First class wa udsm wengi sio compitent, ndo hao wanahangaika na mabahasha mitaani, unakuta mtu ana degree ya mechanical engeneering halafu hata piston haijui. Huyu unategemea atapata soko kweli?
 
Bado hujaelezea why tusiige. Kwa hiyo ajira zijali vyeti zaidi kwasababu watu wanapanda boda boda? Pathetic man

Na si US tu, dunia inaelekea huko, vyeti vina umuhimu wake lakin kwa sasa dunia inahitaji watendaji zaidi kuliko viongozi. Us , europe even baadhi ya nchi africa zimeshaona hili
Usifikirie dunia inafkiria kipuuzi kama wew negro unayedhani Elimu haina umuhimu, unakuja na senseless points hapa eti dunia inaelekea huko nani kakuambia dunia inaelekea kutothamini elimu??
 
Hizo media zinatangaza habari za aina gani zaidi ya umbea na udaku na matakatakA tu
Waambieni watoto wenu wasome
Na kama vp,watafutieni channel nje huko waende,huku wabakie wmbea na wapenda udaku tu

Ova
 
Zama za digilii zinaisha

Itabaki kwenye ajira za serikali tu
Digrii haiwez kuisha zama.. private sector wanaangalia added advantage. Yani wako more evidential basing on profit. Unawez kukuta anaajiriwa hata joti kuwa raisi wa kampuni ya media ambae hata muandiko wake akiuandika ofisi nzim mnapata shida kuusoma.

Hii ni common sana na jnashika kasi dunia nzima sio bongo tu. Vijana wajitahidj kuongeza Value katika fan zao. Walioajiriwa crown tyari ana fan base hata kama crown haina. So, automatic crown haiwez kuanza moja kujitafuta na kusaga meno kama media nyjngine mpya/changa zinavyoanza.

Leo hii konde afungue media, amuajiri millard ayo.. kesho tu tz nzima kwa combineshen hii wataijua media hio
 
Digrii haiwez kuisha zama.. private sector wanaangalia added advantage. Yani wako more evidential basing on profit. Unawez kukuta anaajiriwa hata joti kuwa raisi wa kampuni ya media ambae hata muandiko wake akiuandika ofisi nzim mnapata shida kuusoma.

Hii ni common sana na jnashika kasi dunia nzima sio bongo tu. Vijana wajitahidj kuongeza Value katika fan zao. Walioajiriwa crown tyari ana fan base hata kama crown haina. So, automatic crown haiwez kuanza moja kujitafuta na kusaga meno kama media nyjngine mpya/changa zinavyoanza.

Leo hii konde afungue media, amuajiri millard ayo.. kesho tu tz nzima kwa combineshen hii wataijua media hio
Uko sahihi

But digrii is not everything
 
Too general.

Labda graduates wa kwenye media huko.

Kuna taaluma hazitaki janja janja, lazima uingie darasani na Ufanye vizuri.
I do agree. Journalism sawa kwani kinachokuwa displayed ni sanaa, ni matendo, maneno na uwezo wa kudisplay hiyo content. Sasa kuna fani nyingine kinachokuwa displayed ni content sawa ila content inayohitaji shule, ni content ambayo ili uweze kuidisplay inavyotakiwa lazima uwe na shule yake. Na hapo ndipo utofauti unaingia.

Ni kweli kwa sasa competence na skills ndivyo vigezo vya kuajili na employers kwenye profesions nyingine waajili wanakupima elimu yako kwa kuassess your competence na skills. Sasa ukiwa hauna elimu husika kwa pasi mark inayotakiwa tayari hutaweza kuvuka kigezo au hatua ya kupimwa competence na skills kwa sababu kigezo cha kwanza cha elimu takiwa hujakifikia. Tuwasisitize vijana wasome pia watengeneze competenence na skills
 
mfano kama mtu nakwenda chuo na kusoma fani fulani eti sababu apate mkopo unategemea nini apo
 
I do agree. Journalism sawa kwani kinachokuwa displayed ni sanaa, ni matendo, maneno na uwezo wa kukudisplay. Sasa kuna fani nyingine kinachokuwa displayed ni content inayohitaji shule, ni content ambayo ili uweze kuidisplay lazima uwe na shule yake. Na hapo ndipo utofauti unaingia. Ni kweli kwa sasa competence na skills ndivyo vigezo vya kuajili na kwenye profesions nyingine waajili wanakupima elimu yako kwa kuassess your competence na skills. Sasa ukiwa hauna elimu takiwa tayari hutaweza kuvuka kigezo au hatua ya kupimwa competence na skills kwa sababu kigezo cha kwanza cha elimu takiwa hujakifikia. Tuwasisitize vijana wasome pia watengeneze competenence na skills

Mkuu wa muhimbili Professor Janabi ni daktari bingwa. Ila pia ni content creator kwenye social media

Yeye amekuwa maarufu sababu ya content zake. Na hiyo imembeba kwenye kupata cheo. Maana rais na watu wengine wanaona uwezo wake kwenye content zake.

Tofauti na wale madaktari bingwa wanaoishi kizamani... watu watajuaje ubingwa wao ?

Dunia ya sasa hivi lazima uwe na marketing skills
 
Back
Top Bottom