Jinsi Crown media ilivyoajiri. Ni somo kubwa kwa Graduates wanaotafuta ajira. Zama zimebadilika

Jinsi Crown media ilivyoajiri. Ni somo kubwa kwa Graduates wanaotafuta ajira. Zama zimebadilika

Wanafunzi huko Marekani wanadoma masomo mangapi jumla? Hapa tz o level masomo 7 na zaidi. Vipi Marekani?
Sijawahi kukaa wala kufika huko ila nilipata kufundishwa na walimu wa peace corps ambao wengi wao ni wazaliwa wa America.
America unaweza hata kusoma somo kuu moja kutokea grammar school, mwalimu aliye kuwa ananifundisha alisoma hesabu tu hadi anachukua master yake university. Jamaa alikuwa anajua hesabu tu kwa upana wote ila,ukimuuliza maswala ya physics mnagombana.
 
Your right!!! Hivi tunavyojadili hapa android program ya Gepg haifanyi kazi kwa karibu miezi miwili sasa, toka walipojaribu ku upgrade. Na watu wa tehama hawasemi chochote.
Government Bills no body cares

Kuna ule msemo na sasa ndio najua kwann polepole Aliwaita wahuni.

WANASEMA ZINGATIA MAOKOTO

Posho ziliboreshwa in the last salary upgrade, ila kuna kada haipati hata Mia. Eti walijali wenye kima cha chini

waka boresha posho. Nurse anapata posho wapi. Polisi wa kawaida, mwalimu wa darasani?

HAWA WAHUNI TU
 
Cheti ni muhimu pia ila at least kiambatane na kipaji, huwa naangalia YouTube channels Kuna jamaa yupo USA yeye ni aircraft engeneer, the way anavoielezea complex mechanical stuff za kwenye ndege in a laymans language, unaona kabisa kipaji kimekutana na maarifa.
Anatumia jina gani mkuu tumfollow
 
Mkuu wa muhimbili Professor Janabi ni daktari bingwa. Ila pia ni content creator kwenye social media

Yeye amekuwa maarufu sababu ya content zake. Na hiyo imembeba kwenye kupata cheo. Maana rais na watu wengine wanaona uwezo wake kwenye content zake.

Tofauti na wale madaktari bingwa wanaoishi kizamani... watu watajuaje ubingwa wao ?

Dunia ya sasa hivi lazima uwe na marketing skills
Umetoa mfano mzuri kabisa. Content za professor Janabi hata ukimweka Mwijaku miaka kumi chumbani asome , akalili hataweza kuproduce hizo content. Kwa hiyo ni vizuri tuwaelekeze vijana juu ya umuhimu wa kusoma lakini kikubwa baada kuwa na competence na skills ya walichokisoma , ndipo waende hatua ya pili ya kucreate content zao, kuzimarket based on their acquired competence na skills. Safi kabisa, mfano mzuri sana. Humu jamii forum tunapotezana sana kwa sababu tu mtu mmoja kama Diamond katusua eti hakuna haja ya kusoma , fuatilia talent yako utatusua kama Diamond, We!!!
 
Back
Top Bottom