Jinsi DC Sabaya alivyomnasa Afisa Ugani na mtandao wa kitapeli wa Q NET alivyochota mamilioni ya watu

Jinsi DC Sabaya alivyomnasa Afisa Ugani na mtandao wa kitapeli wa Q NET alivyochota mamilioni ya watu

Bado hawaishi wavivu wa kufikiri, tunapenda shortcut sana
Inahuzunisha sana. Lakini pia viombo vya ulinzi na usalama viwasaidie Wananch kwa kuweka sheria kali yahawa matapeli wakishikwa wafungwe vifungo virefu. Pesa siyo rahis kupatikana halaf
 
Yani kila siku watu hawajifunzi. Mimi nilidhani tukio la Billionea wa mahindi Songea litakuwa la mwisho. Yani kila mmoja kamkabidhi jamaa milion 3 hivi hivi.
Mkuu mimi niliandika kipindi cha Mista kuku Farm, kwamba 'kupigwa' kwa watanzania ni tendo endelevu maana watanzania wana mitaji ila hawajui waifanyie nini izae, pia uoga wa kuanzisha projekti zao binafsi na kuzikuza. badala yake wamekuwa wepesi wa kudandia project fake kwa lengo la kuvuna huku wakilinda mitaji.
 
Inahuzunisha sana. Lakini pia viombo vya ulinzi na usalama viwasaidie Wananch kwa kuweka sheria kali yahawa matapeli wakishikwa wafungwe vifungo virefu. Pesa siyo rahis kupatikana halaf
Kweli mkuu
 
Kila kitu serikali serikali..pumbaf

Tumezidi kuwa wajinga..na dunia ya leo ukiwa mjinga wewe ni mtaji kwa watu.

Mtu ni mwalimu mwenye degree,lakini bado anadandia project fake za kitapeli bila hata kushtuka..hapo na serikali ni ya kuiita jameni?

Na mahakamani hapo kesi kimsingi hamna kwa uelewa wangu mdogo wa sheria..labda mambo yafanyike kibabe maana hawa watu wanachukua hela za watu kirahisi sana
 
Inahuzunisha sana. Lakini pia viombo vya ulinzi na usalama viwasaidie Wananch kwa kuweka sheria kali yahawa matapeli wakishikwa wafungwe vifungo virefu. Pesa siyo rahis kupatikana halaf
Tatizo nalo watu hawakomi kila wakiambiwa hawasiki

Ova
 
Hakika mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Kwa kitendo alicho kifanya DC wa Hai kuwaokoa walimu walio ingizwa mkenge na wajanja wa mjin ni kitendo cha pongezi .

Haiwezekani biashara izi za chain market ziwe njia ya kuwalalia walala hoi kwa mzunguko wake usiokuwa na faida yenye mashiko na kuendeshwa kinyume na utaratibu wa nchi

 
Mwalimu mzima unashindwa kujua kuwa QNET ni matapeli na sio mara ya kwanza wanaanikwa wazi hawa QNET🥵

waliosema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa hawakukosea, tufanyeni kazi halali, tuache tamaa na tuache kupenda shortcuts, hela za chapchap namna hiyo hakuna
 
Mwalimu mzima unashindwa kujua kuwa QNET ni matapeli na sio mara ya kwanza wanaanikwa wazi hawa QNET🥵

waliosema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa hawakukosea, tufanyeni kazi halali, tuache tamaa na tuache kupenda shortcuts, hela za chapchap namna hiyo hakuna

Mkuu wewe kama upo Dar una fahamu janja janja ya chain market bali tambua mikoani huko hawana hayo maarifa na ndio maana hapa Dar siku hizi vijiwe vyingi vya chain market wazee wa kupendeza vimeadimika wengi wametia kambi mikoani humo

Wana jilia vichwa....
Ila jambo ambalo mm nqjiuliza ni namna makampuni haya yanavyo fanya kazi tena kama ambavyo DC alivyo mpigia simu mtu wa BRELA ina maqna ofisi hizi zina operate kinyumee na sheria au inakuwaje ?

Jambo lingine ni ubora wa madawa yao wanayouza je ni kweli yame idhinishwa na TMDA na TBS ?
 
Mkuu ww kama upo dsm una fahamu janja janja ya chain market bac tambua mikoani huko hawana hayo maarifa na ndio maana hapa dsm siku izi vijiwe vyingi vya chain market wazee wa kupendeza vimeadimika wengi wametia kambi mikoani humo
Wana jilia vichwa....
Ila jambo ambalo mm nqjiuliza ni namna makampuni haya yanavyo fanya kazi tena kama ambavyo DC alivyo mpigia simu mtu wa BRELA ina maqna ofisi hizi zina operate kinyumee na sheria au inakuwaje ?

Jambo lingine ni ubora wa madawa yao wanayouza je ni kweli yame idhinishwa na TMDA na TBS ?
Nilichogundua kwao kingine ni kwamba

Wanakuwa na vyeti vya usajili fyeki vya kuedit, vya BRELA, TRA, TMDA NA LESENI ZINGINE ILI KUWAHADAA WATU, na wengine bila kufikiri mara mbili au zaidi wanaamini hizo document feki
 
Mm nimeshajiapiza mtu akija kwangu kunitajia tu michongo ya pesa hatuwezi elewana kwamba niweke pesa kwanza siwezi muelewa
 
Back
Top Bottom