mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Huyo Sabaya hua simkubali wala nini lkn kwa hili namuunga mkono.Hii video Ole Sabaya kampigia simu Mkuregenzi Brela kasema haijasajiliwa na walisha toa tahadhari kwa bahadhi ya taasisi ya serekali zilipo omba kujua uhakika wake : DC SABAYA AINGILIA KATI SAKATA LA WANANCHI KUTAPELIWA